Mwigulu Nchemba: Tunakopa Sababu Sisi Ni Matajiri

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba amesema kwamba Serikali ya Tanzania inakopa si kwa sababu ni maskini bali ni tajiri, inakopesheka na inao uwezo wa kulipa.
    Akitoa mrejesho wa mjadala wa bajeti ya Serikali kwa mwaka 2024/25 Mwigulu amesema kuwa Serikali inakopa kwa ajili ya kufanya shughuli za maendeleo na sio kwa ajili ya matumizi ya kawaida.

Комментарии • 36

  • @fahamnitwahir9249
    @fahamnitwahir9249 3 месяца назад +5

    Wazir wa hovyo kuwah kutokea tz

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd 3 месяца назад +4

    sasa ayo makofi ya nni sasa pumba tupu

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 3 месяца назад +3

    Lingine Mwiguru fedha nyingi zinaibwa na watumishi hizi zote ni kujenga uchumi

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha 3 месяца назад +2

    Huyu ana akili timamu kweli? Kweli kuna changamoto ya akili nchini hasa kwa hawa machawa. Nonsense.

  • @rashidabasi7940
    @rashidabasi7940 3 месяца назад +2

    Tukiliamsha tunanza na huyu Bumunda.
    Nchi zinakopa lkn pesa zinaonekana zinafanya kazi gani. Ninyi mnakopa then mnaongeza kodi si ujuha huo?
    Reli imejengwa kwa mkopo kias gani mbona hadi leo mnakopa kwq mrad huo huo na haukamiliki.?
    Anatoq sababu za kijua na za mzaha. Anajua anaongea na waTanzania majuju.

  • @HellenMacha
    @HellenMacha 3 месяца назад +2

    Report ya CAG ingekuwa inapewa kipaumbele watu wasingingepigwa makod ya namna hiii...issue sio mapato tu...na matumiz pia!

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 3 месяца назад +1

    Tajiri hakopi hata siku moja. Utakopa ulichonacho😢

  • @ExecutiveHouseKeeperElewana
    @ExecutiveHouseKeeperElewana 2 месяца назад

    Waziri hopeless kuwahi kutokea Tz. Ingekuwa ni Enzi ya Nyerere usingekuwa waziri. Kukopa cyo tatizo, tatizo ni walafi ni wengi sn sn sn

  • @NanaMaembe
    @NanaMaembe 2 месяца назад

    WEWE MWIGULU NI MPUMBAVU SANA WA MWISHO..... UNATAKA TUISHI KWA MIKOPO CHOKO WEWE?

  • @niazonbukoke1964
    @niazonbukoke1964 3 месяца назад +1

    Hayo yanayopiga makofi ni majinga kias gan??

  • @Andy-ez9jo
    @Andy-ez9jo 3 месяца назад

    Asimilia 20 ya bajeti ya Tanzania ni mikopo. Kama mkikosa mkopo hamwezi endesha nchi. Kuna hela gani iliyokopwa nchi hii imezalisha hela hela ya kulipa hayo madeni yanatoka wapi zaidi ya kuongeza kodi. Ma company yenyewe ya serikali yote yanaingiza hasara Si TTCL Si tanesco Si dawasa Si viwanda vya serikali kila kitu hasara hadi vyuo. Hadi mwendo kasi hamwezi ku endesha hiyo hela ya kulipa inatoka wapi Huyu Jamaa ana tu fanya sisi wajinga. Na anavojilinganisha na marekani marekani asilimia 80 ya madeni yake ni internal kwa maana serikali inajikopesha yenyewe kupitia states na government pensions anatuona sisi wajinga. Wabongo mpaka tuamke Haya mambo hayatokaa yaishe.

  • @SurprisedAutoRace-ib8nf
    @SurprisedAutoRace-ib8nf 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂 hata haujishangai na mnakopa kwa shida zenu hatupo karne ya70s na kila mtu anaelewa

  • @josephwilliammnyune5464
    @josephwilliammnyune5464 3 месяца назад

    Hamna siku mtanzania atadaiwa nuymbani kwake. Kwa sababu madeni ni ya serikali. Hiyo serikali inapata wapi fedha za kulipa hayo madeni, kama si wananchi????

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 3 месяца назад

    Huyu anaongea nn deni limeongezeka sasa Tanzania inapoteza pesa nying kwenye ufisadi lakn hatuna hatua chura kiziwi yupo tu

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl 3 месяца назад

    Acha bana, kwahiyo kama nitajiri unakopea nini ??,na kama mwenye uchumi wajuu duniani mkopaji mkuu,,jee anakopa kwa nani ,au anakòpa kwamasikini wachini zaidi ,sijaelewa vizuri

  • @georgempogomi7329
    @georgempogomi7329 3 месяца назад

    Ukila wewe ukashiba unaona ni tajiri sijaona mtu mbaya kama wewe pumbavu kabisa watu hata mlo mmoja ni shida wewe umeiba hela zote za Kodi unajiona tajiri na unafikiri wote

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl 3 месяца назад

    Pato lataifa linakuwa ,na kama linakuwa ,je pato la wananchi na lenyewe linakuwa??

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 3 месяца назад

    Mulisha tufanya kama chozi la samaki ambalo huenda na maji ila MUNGU wetu yupo atatupigania tuna amini na itakua ivo yani inchi inakopa kwakua ni tajili wkat madeni ni utumwa daaaaa! Sawa mwigulu

  • @smallscaleminingsupplies9670
    @smallscaleminingsupplies9670 3 месяца назад

    Huyu waziri hamnazo, kwani nani analipa TRA si mwananchi, na mkikopa nani analipa si mlipa kodi

  • @Rumishael
    @Rumishael 3 месяца назад +1

    Tujifunze kutoka Kenya

  • @clethbarnaba923
    @clethbarnaba923 3 месяца назад

    Kangara kweli

  • @juliethpetro8763
    @juliethpetro8763 2 месяца назад

    Mbona maneno yake yana kigugumizi?

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 3 месяца назад

    Hahaaaaa tz tumatajiri huku tunalala njaa

  • @josephfrancis9943
    @josephfrancis9943 3 месяца назад +1

    Mnakopa mnagawana wenyewe nchi inadaiwa mpaka kku mnatuachia shida ndo mana unapendekeza fain milion kumi na tano msenge ww huna akili

    • @andrewchihwalo8937
      @andrewchihwalo8937 3 месяца назад

      Ubongo wa makamasi eti waziri aibu sana wallah 😡😡😡😡

  • @robertnkyalu3241
    @robertnkyalu3241 3 месяца назад

    Upumbavu wa hali ya juu

  • @MakunyanziPeter
    @MakunyanziPeter 3 месяца назад

    Ndiye mtu msomi huyo

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 2 месяца назад

    Hak
    ana mahana

  • @febby8308
    @febby8308 3 месяца назад

    Tupigwa 2

  • @georgempogomi7329
    @georgempogomi7329 3 месяца назад

    Kafie kuzimu bumunda

  • @OnetimeShowtime-jj1ek
    @OnetimeShowtime-jj1ek 3 месяца назад

    Matajili hatukatai Shida yako Viongoz mumekua wanyanyasaji masikini limekua godro lenu tax Tozo nibom kwawa Tz

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 3 месяца назад

    Chawaaaa

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 3 месяца назад

    Hapo sijakuelewa unawezaje kuenda kuomba msaada kwa mtu alafu umbiye kuwa Mimi tajili

  • @patrickbenard7542
    @patrickbenard7542 3 месяца назад

    Sawa wanakopa wanakupa mkopo Kwa riba gani na Kwa mashart gani? Na Je wanakupangia project gani za kufanya?

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 3 месяца назад

    Ahhh mm ngoja nicheke tu

  • @HillaryMachano
    @HillaryMachano 3 месяца назад

    😢😢😢Mungu wangu!Nini hii