Israel na Hezbollah wa Lebanon Kuingiza Kwenye Vita Kamili? Netanyahu na Nasrallah Watoa Kauli Nzito

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Hivi karibuni kauli za kiongozi wa Israel Banjamin Netanyau na Kiongozi wa Hezbollah Hassan Nasrallah zimezua mashaka kwamba huenda mahasimu hao wakaingia kwenye vita kamili baada ya kipindi kirefu cha kushambuliana kwenye eneo la mpaka wa Israel na Lebanon.
    Wachambuzi wa mambo wanaona endapo jumuiya za kimataifa zitashindwa kuingilia kati na vita hii ikalipuka, basi hali ya ubinadamu katika eneo la mashariki ya kati itaendelea kuwa mbaya zaidi ukizingatia nguvu kubwa ya kijeshi ya Israel na silaha za kisasa walizonazo Hezbollah.
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Комментарии • 34

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 3 месяца назад +2

    Umekywisha jeshi lenu linaingia vitani huku wanajeshi wanalia wengi wamesha pata wazimu waislamu wapigana huku wanacheka tena halazimishwi mtuu

  • @MbarakSaud
    @MbarakSaud Месяц назад

    Alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu taaakbir alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu taaakbir alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu akbaar alhaahu taaakbir

  • @walker-96
    @walker-96 3 месяца назад +1

    Uchokozi wanao sana ila Israel ikiwapiga waasingizia watoto wadogo .....

  • @StephenKingwaa
    @StephenKingwaa 3 месяца назад +1

    Understanding is great problem,kwani mungu ni waeraeli

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel3380 2 месяца назад

    Hao Hezbollah wanawachokoza chuki ngoja wapigwe. Kwanza hilo kundi halina uwezo huo wakupambana na israel

  • @ImamAbas-f9b
    @ImamAbas-f9b 2 месяца назад

    Islaeli hatomboi hapo amekutana

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze 3 месяца назад

    Muungu nimmoja tuu wayakubu nihuyohuyo wawaislamu na mtume mohmda dah na nyinyi hamufahamu kuweni na msimamo muungu ni mmoja tuu na huyo muungu kawalaani israili

  • @SultanAlly-nz4mz
    @SultanAlly-nz4mz Месяц назад

    Nyetanyahu kufa tusikuone tena

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 3 месяца назад +1

    Israeli usiogope Mungu ni Mkuu kwako Atakupigania na mtanyamaza kimya kuogopa kumuogopa adui ni thambi utamfanya Mungu wa Yakobo Hawezi kukupigania, Ila msipige raia Ambae Hana hatia piga Adui tu,sio raia ,usianze Vita wewe wanze hao adui yako,

    • @Maajidabdillah
      @Maajidabdillah 3 месяца назад

      Soma biblia yako myahudi mpaka kiama kitakuja hawezi pambana na adui yake face to face na kama ni wanaume kweli na washuke ardhini waone moto utavyowawakia

    • @ramadhanjuma610
      @ramadhanjuma610 3 месяца назад

      😂 Israel taifa la shetani lita angamizwa tu kwa uwezo wa Mungu kama angelikua watu wa Mungu wasinge saidiwa na watu kama marekani na wengine Mungu mwenyewe ange wasaidia

    • @mudub0etz
      @mudub0etz 3 месяца назад

      Mash0ga hawaeezi kusaidiwa na mungu. Lbd wasaidiwe na bibi ak0 au mash0ga wenzie😂

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 3 месяца назад +2

    Hamas wamefutwa Sasa hawanao wanaenda kufutwa.

    • @majidimussa8678
      @majidimussa8678 3 месяца назад

      ndoto za mchana kweupe

    • @AliNassor-qt6fm
      @AliNassor-qt6fm 3 месяца назад

      Jitaidi watu wasijue kuwa huna akili , Hamas wamefutwa na hao wanaopigana huko Gaza ni nani?

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 3 месяца назад

      Ww ni shoga la mashoga

    • @mudub0etz
      @mudub0etz 3 месяца назад

      Una0ta. Israel wana0mba p000 mpk vi0ng0zi wajexhi, we uk0 dunia gn😂 au ubize na ush0ga unakuchanganya

    • @FeisalDoctor-wr8ws
      @FeisalDoctor-wr8ws 2 месяца назад

      Hamas ndio kwanz wamepigan vita asilimia 10 ww uko ulimwengu wa ushoga

  • @joshuamutambuki6643
    @joshuamutambuki6643 3 месяца назад +1

    ushidi kamili upo Israeli, Mungu wa ibraham Mungu wa isaka na Mungu wa yakobo, watakipata tu.Ata Leo wasipingane lkn kesho! kesho aita hefukika. Mungu tujalie tuone kesho

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze 3 месяца назад

    Hamasi iko imara yamchezesha kindubwendubwe bwanawenu yahudi lile ni jeshi la muungu

  • @EzekielTipaa
    @EzekielTipaa 2 месяца назад

    OMBI LETU WAFUGAJI WA KIJIJI KWEDIGOLE KATA KWEDIBOMA WILAYA KILINDI MKOA TA NGA KUOMBA WATANASAJI WA CHANNEL SOTE KUTUSAAIDA KURUSHA MALALAMIKO YETU KUHUDHU UFAMISI WA ENEO YA MALISHO KWEDIGOLE AMBAO IMEFAMIWA NA WAKULIMA WANAO TOKA MUKOA MBALIMBALI KINYUME NA UTARATIBU AMBAO SEREKALI WA KIJIJI CHA KWEDIGOLE KATA KWEDIBOMA WILAYA KILINDI MKOA TANGA WAMESHINDWA KUITATUWA KWAHIYO SUTUDIO SOTE ATUSAAIDIYE KURUSHA MALALAMIKO HII

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze 3 месяца назад

    Kwani huyu muungu simoja tuu sa huyu muungu wayakubu na muungu wa isihaka watokeya wapi nyinyi wakristo

  • @DuuSaid
    @DuuSaid 3 месяца назад

    Nyinyi wenyewe hamuoni kwamba izrail kila mda unavokwenda ndio inakwasha toka watu wanarusha mawe mpaka sasa wanasilaha zakisasa .musiwe majuha nyinyi .fanyeni tasmini sio muna penda kitu kwakushabikia tu .😎

  • @DuuSaid
    @DuuSaid 3 месяца назад

    hawawezi kushinda watu walio asi wajumbe wa mungu .wameletewa wajumbe wengi wamewapinga itakuwa hao wamarekani .isaa ibrahim musaa kuwaokoa kutoka kwa firauni walikuwa watumwa tu

    • @selemanisalum7685
      @selemanisalum7685 3 месяца назад

      Soma vizuri muisrael sio mzungu wale ni wamarekani na waingereza wafaransa na ulaya mashariki waisrael wenyewe ni wale waithiopian wale wazungu wako pale kwa mkakate wa waingereza na wamarekani ili kusiwe na amani maeneo hayo ili wachote utajiri wa mafuta tafakali hivyo uko nyuma waisrael zama walishi wote bila ugomvi walivyokuja waisrael hao wa mchongo ndio balaaa hilo

  • @KilimbikeHaji-iy2fm
    @KilimbikeHaji-iy2fm 3 месяца назад

    Mwenyezi mungu azidi kuwangamiza waiziraili wamarekani na washilika waoo
    Ewe mwenyezi mungu wauww nauwape marazi naufarikeshe wenyewe Kwa wenyewe
    Wasielewane