Vita ya Mpina na Mwigulu I Nilipingwa na Mawaziri I Kuna Njama Zinasukwa Kuibia Mapato Serikali 🔥🔥

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 июн 2024
  • Waziri tulimshauri muda mrefu malimbukizo ya kodi kwa jailli ya TRAB na TRAT na hadi sasa yamefikia trilioni 10.48, huwezi kukusanya kodi katika mazingira ya namna hiyo, hivyo tusipolinda viand vyetu via ndani hatuwezi kukusanya kodi.” Mbunge wa Kisesa Mhe. Luhaga Mpina, leo wakati achangia bajeti ya Wizara ya Fedha ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2024/2025.
    Endelea kuperuzi kwenye mitandao yetu ya kijamii @cloudstv @cloudsfmtz na akaunti ya RUclips “Clouds Media” kwa updates zote.
    #KutokaBungeni
    #CloudsDigitalUpdates
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 36

  • @user-jj7qv7kh2s
    @user-jj7qv7kh2s Месяц назад +6

    Huyu mwigulu ni mwiba kwa Taifa letu, na ni kansa inayowamliza watanzania.

  • @user-vm4zq7kf4e
    @user-vm4zq7kf4e 16 дней назад

    Mpina ni mtu na nusu❤❤❤

  • @SaidiMkome-qq7hy
    @SaidiMkome-qq7hy Месяц назад +2

    Mpina🙌

  • @user-el4pg9zg8w
    @user-el4pg9zg8w Месяц назад +2

    The man himself. The living legend

  • @peterilimwa5754
    @peterilimwa5754 Месяц назад +4

    mpina wewe ni true mbunge

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 Месяц назад +3

    Mpina yupo kwa maslahi ya taifa

  • @judithsarahmasanja550
    @judithsarahmasanja550 Месяц назад

    Mh. Mpina tunakuombea Sana Sana na Mungu U pamoja nawe.

  • @user-ij2lp1om6i
    @user-ij2lp1om6i Месяц назад +1

    Mpina ndo mbunge pekee anafaa kupita bila kupingwa

  • @hamisimwinzagu6624
    @hamisimwinzagu6624 Месяц назад +2

    Ivi uyu mwigulu amekuwa kama nani apa nchini au munaiba nae ndio maana hamtaki kumtoa

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 Месяц назад +1

    Mpina ndio mbunge bora kabisa kwa sasa yan anajielewa kuliko mijitu mingi humo ndani

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 Месяц назад +1

    Mwigulu ni hatari kwa Taifa. Mpina ni chuma

  • @athumankaswaga605
    @athumankaswaga605 Месяц назад +1

    Nahofia usalama wako sizani kama wana ccm watakukuacha salama.

  • @augustinomlewa9662
    @augustinomlewa9662 Месяц назад +1

    uyoo jamaa ni mwamba sana

  • @victorphilipo
    @victorphilipo Месяц назад +1

    Wewe nijembe ila mungu akuli de uzidi kuwachambua wezi hao

  • @badymedia9648
    @badymedia9648 Месяц назад +1

    Huyu mbunge mbele kaachia titi nje au hio nibrauzi mbna udenda wantoka😂

  • @InnocentCharles-hm3ff
    @InnocentCharles-hm3ff Месяц назад

    Mifumo yetu ya uwajibikaji ni dhaifu mno...ukwapuaji hauwezi kukoma Kwa staili hii...jitihada za kudhibiti wakwepaji wa Kodi ziende sambamba na kudhibiti wafujaji wa Kodi za wananchi....nadhani pale kwenye Sheria mama kuna kitu kinatoa mianya hii....

  • @DivNg27
    @DivNg27 Месяц назад

    Mh mpina hapo kwenye sukari,tuache kidogo,hivyo viwanda hua vinaficha sukari ili bei ipande,Serikali iendelee kutoa vibali kwa wanaowagiza sukari nje,hivyo viwanda wanaagiza sukari wanavyojisikia wao...hatujasahau sukari ilivyofika 5000 kwa kg,kutokana na hiyo sheria yenu mliyoitunga 2020

  • @Mpendahaki
    @Mpendahaki Месяц назад

    Mpina ni mzalendo wa kweli.sema tu bunge la Sasa ni la vibogoyo

  • @kenjoseph3337
    @kenjoseph3337 Месяц назад

    Ila nchi hii

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h Месяц назад

    Wa tz wenye timamu wanakuelewa sana ila wana ccm wanao penda kusifia uozo wanakuchukia Mia mia mpina jembe sana mwamba

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 Месяц назад +1

    Huyu muigulu 😰

  • @emmanueliman7408
    @emmanueliman7408 Месяц назад

    Mh,watakuelewa tu

  • @hassanmwalle5628
    @hassanmwalle5628 Месяц назад

    Yani ao wafanyabiashara walipe madeni kwa pesa zetu?
    Waziri agiza Acha na wachumia tumbo hawa

  • @FransisLaurenti
    @FransisLaurenti Месяц назад

    Mpina ww ninoma wengine wanasifiya tu

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e Месяц назад

    Mbuge peke ake anaefanya kaz ili mlipakodi aone pesa inayolipa inafanya kaz

  • @damaspmtz1018
    @damaspmtz1018 Месяц назад

    CCM KUNA WATU WAZURI LAKINI KUNA BAADHI NI MACHAWA WA WEZI NA WARUDISHA MAENDELEO YA TAIFA LETU LA TANZANIA

  • @FransisLaurenti
    @FransisLaurenti Месяц назад

    Mpina mwagama yakutosha

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 Месяц назад

    Ivi mpina alisoma nn, anaakl sn

  • @kenjoseph3337
    @kenjoseph3337 Месяц назад +1

    Mpina kwa style hii hautaona Uwaziri

    • @majidimussa8678
      @majidimussa8678 Месяц назад +2

      bora kawa uwaziri nikutosimamia haki bas sawa hatauona

    • @damiankilyenyi5367
      @damiankilyenyi5367 Месяц назад +2

      Kuwa Waziri ukawa mpumbavu ni Bora kuwa Mbunge ambaye unatetea maslahi ya nchi.

  • @nasdaq1999
    @nasdaq1999 Месяц назад +1

    1usd = 2609 Tsh😢 f*k

    • @gabapentin8070
      @gabapentin8070 Месяц назад

      Asubui tu ilikua 2600 aaaf mama anapiga picha na msanii korea kusini uko dah

  • @justuswaziri3093
    @justuswaziri3093 Месяц назад +1

    You don't deserve to be in CCM. Wewe ni MTU hashwa