PART 5: MAX RIOBA ASIMULIA ALIVYOKUTANA na MUUJIZA, SHETANI ALIVYOTAKA KUINGILIA MKUTANO | HARD TALK

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • PART 5: MAX RIOBA ASIMULIA ALIVYOKUTANA na MUUJIZA, SHETANI ALIVYOTAKA KUINGILIA MKUTANO | HARD TALK
    HII ni SEHEMU ya TANO ya HARD TALK na Mtumishi wa Mungu Lilian Mwasha, mgeni ni Maxmilian Rioba Mkurugenzi wa kampuni ya Aunthentic Media Group ambaye ameeleza mengi juu ya maisha yake ikiwemo kuzinduka kutoka kwenye ufahamu baada ya kupoteza ufahamu kwa siku 90 huku akiwa katika ulimwengu wa ajabu uliomkutanisha na kiumbe kisichojulikana..
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 73

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +3

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @sein.208
    @sein.208 Год назад +3

    SUBHANA ALLAH
    ALLAHU AKBAR
    Hakika umepitia mitihani mingi mno ,kila kitu kina sababu na Allah ni mjuzi zaidi... Pole sana kaka yangu Mungu akufanyie wepesi popote penye uzito🤲🏼.

  • @negwakomwaipopo1289
    @negwakomwaipopo1289 Год назад +3

    Kaka Max, usije kumuacha Mungu katika maisha yako, hakika Nimemuona Mungu kupitia wewe.

  • @millhamissa7490
    @millhamissa7490 Год назад +2

    Hakika mungu mkubwa allhamdulillah Allah qull Hall

  • @franciskajessy4468
    @franciskajessy4468 Год назад

    Kaka umenibariki sana arafu umenifundisha kitu ubarikiwe sana,nimefatiria tangu part 1-5 naangalia toka 🇺🇸

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Год назад

    Kuna Mungu mbinguni. Through JEsus Christ he hears us.

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Год назад +4

    Very possible,, ukianza kufanya mikutano na Mungu ukawa siriaz.. it's possible. Asante Sana Max Mungu azidi kukubariki

  • @fbr5113
    @fbr5113 Год назад

    NI KWELI KABISA MUNGU ANAZUNGUMZA NASI TUNAOMUAMINI KATIKA KWELI. ASANTE SANA KAKA MARKS TUBARIKIWE SOTE KUPITIA USHUHUDA WAKO. AMINA

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Год назад

    God bless you max

  • @maryswai625
    @maryswai625 Год назад

    am learning

  • @margaretmwasi62
    @margaretmwasi62 Год назад

    Profound

  • @Adonai810
    @Adonai810 Год назад +7

    HALLELUJAH 🙏🙏🙏🔥🔥. BRO MAX YOUR TESTIMONY HAS BEEN SPIRITUAL TO ME. AS A CHILD OF GOD I TOTALLY UNDERSTAND THE POWER OF GOD. OUR FATHER IS ALL LOVING, FAITHFUL ,GRACIOUS AND ALL HONOR WILL ALWAYS GOES TO HIM.MAY GOOD BLESS YOU ABUNDANTLY MISS LILIAN MWASHA. PLEASE LISTEN TO THE BLESSING BY EVALATION WORSHIP.

  • @masalidorice3402
    @masalidorice3402 Год назад +2

    Tangu part 1 imenifanya nitafakari upya uhusiano wangu na Mungu.....now nimeamua kurudi

  • @nancysway786
    @nancysway786 Год назад

    Huyu kaka ametubariki....asanteni sana

  • @victoriareward6188
    @victoriareward6188 Год назад +4

    Maximilian ni mwalimu wangu wa kanisani nikiwa binti mdogo and I was one of his favorite students nilimuona Mungu kupitia yy na bado namuona Mungu nikimuona natamani siku moja nikutane nae nimueleze jinsi gani alinifanya nimpende Mungu nakumuamini nakua na vikao na Mungu

  • @نجمةموبيبي
    @نجمةموبيبي Год назад +2

    Interview ambayo nimejifunza vipya na pole sana kaka

  • @blandinajoseph1291
    @blandinajoseph1291 Год назад

    Unanena kwa mazoea au ni ROHO MTAKATIFU?

  • @janethshemzigwa5044
    @janethshemzigwa5044 Год назад +2

    Maisha ya kaka Max yana ushuhuda ambao,umenipa nguvu mpya, Mungu azidi kukutunza,akupe kibali kikubwa zaidi Amen 🙏🙏🙏🙏

  • @lidsamu4056
    @lidsamu4056 Год назад

    This story is too much for me 😭😭😭😭😭 Max save God pray hard read the word of God so u can grow spiritual so God can you use u mightly

  • @joycemuro6505
    @joycemuro6505 Год назад +2

    Bwana nimesikia habari zako nimeogopa unatisha Bwana unashangaza ooh hallelujah 🙌🙌 nimeoua shuhuda wa kuwatumia watu hiizi story wasikie na wautafakali ukuu wa Mungu kaka endelea kumtangaza huyu Yesu kwa hakika yupo na anaishi barikiwa sanasana dada Lilian God bless you.

  • @aggie7008
    @aggie7008 Год назад

    Shetani kukuzomea ni kweli kabisaa hiyo ipo hasa akiona unataka tu kufanikisha jambo lako na mungu

  • @neemamoses4630
    @neemamoses4630 Год назад +1

    Mamy pls tuletee Dada Helen tena

  • @dorahmavazi111
    @dorahmavazi111 Год назад

    Huwa nafukuza kwa sauti kisha nakuwa shwari

  • @jaydensolomon7887
    @jaydensolomon7887 Год назад +1

    I really missed God,i missed this moment with God, always i wish to go back there to those meeting with God,i need help, Holy spirit please come to me, i need a revival

  • @suziemichael4338
    @suziemichael4338 Год назад +1

    max rioba ana utumishi mkubwa sana ndani yake

  • @irenelulu530
    @irenelulu530 Год назад

    Be blessed maxrioba

  • @happyodran4347
    @happyodran4347 Год назад

    Thank you max

  • @hadijafataki6664
    @hadijafataki6664 Год назад +1

    Mungu ni mkuu sana uendelee kubarikiwa sana, Kwa Kila jambo.

  • @eutropiamakoi6945
    @eutropiamakoi6945 Год назад

    Helpfull

  • @lystermgonja7631
    @lystermgonja7631 Год назад

    Mm naamn naninaliaaaa inatosha Kaka kutukomboa sisi wachache,Kaka siombi kufa Wala sikat tamaaaaaa tenaaaaaaaaaaa jaman,nimemuona mungu kaka

  • @anessabinery5654
    @anessabinery5654 Год назад +1

    Huyu Mungu niwa upendo sana ,,

  • @negwakomwaipopo1289
    @negwakomwaipopo1289 Год назад +1

    Kaka Max ,Mungu anakupenda, sifa na utukufu kwake Mungu, muumba wa vyote .

  • @itsbryner
    @itsbryner Год назад +1

    Iam highly blessed with ur story and believe me it has changed my life positively and I will no longer view things the way I used to anymore 🙏

    • @marympochela7903
      @marympochela7903 Год назад

      Ubarikiwe Max kwa ushuhuda huo,Hakika Mungu amekupitisha huko kote ili iwe somo na wengi waweze kujifunza kupitia haho

  • @julianaharrison4356
    @julianaharrison4356 Год назад +1

    Ina wezekana kuongea na Mungu kabisa

  • @imanicharles936
    @imanicharles936 Год назад

    Hakika kumtafuta MUNGU tumetofautiana ni kama shule, wa darasa la 7 tofauti na chuo, Duh MUNGU nisaidie kuwa karibu yako

  • @bettyanthony947
    @bettyanthony947 Год назад

    God bless you both mumenifungua mahali.. Najifunza menge kutoka kwako kaka max ubarikiwe sana🙏🏾🙏🏾

  • @marthamsoma2664
    @marthamsoma2664 Год назад

    Kwakweli shetani sio mtu mzuri mimi hutegesha alarm ikifika muda niliona nitasali naanza kupata uvivu mara naacha kusali hasa nyakati za usiku nimegundua sio mimi tu mwenyezi Mungu usiruhusu shetani atufanyie ivyo

  • @eliwitnessjoseph4350
    @eliwitnessjoseph4350 Год назад

    Amen ,sifa kwa MUNGU , wa mbinguni anatushangazaga siku zote

  • @Mrs.Adam7
    @Mrs.Adam7 Год назад +1

    Hakika Mungu ni mkuu👏

  • @elizabethmarwa4021
    @elizabethmarwa4021 Год назад

    Daaaah kaka naomba namba Yako nataka kuvuka mahali kwakweli Niko Ambae Niko ni Ebenezer

  • @luckylukas8789
    @luckylukas8789 Год назад

    Hallelujah, Kaka max interview yako imenifunza mambo mengi sana na kuzidi kuinua imani yangu zaidi kwa Mungu mm binafsi nimejifunza kuwa na ujasiri wa kuishinda sauti ya shetan Asante sana dada lilian tunaomba interview nyingi kama hiz zinazogusa na kubadili maisha yetu kiimani

  • @irenendauka4353
    @irenendauka4353 Год назад

    Mungu azidi kukubariki kaka kiukweli Mungu yupo jamani 🙏🙏🙏🙏

  • @davinaheven4794
    @davinaheven4794 Год назад

    Max unaabudu wapi? Mungu akubariki kwa kushea safari ya mapito.

  • @MsKay-kq8wq
    @MsKay-kq8wq Год назад

    Thank you for this show. I’ve really learned a lot from it., Thank you brother Max, thank you Lillian. God bless you🙏🏽
    God help me to get serious with you🙏🏽🙏🏽
    Happy sabbath.

  • @neemamassawe8091
    @neemamassawe8091 Год назад

    Brother Max sina mengi yakusema ila Mungu akutunze na akuinue zaid

  • @imanicharles936
    @imanicharles936 Год назад

    Kaka MUNGU azidi kukupa uhai ili uendelee kuwa ushuhida kwa waliokata tamaa

  • @yunislemnge5558
    @yunislemnge5558 Год назад

    Anaongea vizuri jamani you are man of god.

  • @neemamassawe8091
    @neemamassawe8091 Год назад

    Da Lilian barikiwa sana kipind chako kinabariki, kinainua , kinafundisha pia kimeponya watu wengi!

  • @sallyochieng1948
    @sallyochieng1948 Год назад

    God bless you brother Max for rededicating your life Christ Jesus our Lord and Savior. We have only watched you in tv but your testimony is a great encouragement, glory to the king of kings🇰🇪

  • @beatricejoseph2347
    @beatricejoseph2347 Год назад

    Mbarikiwe sana wote wawili Max and Lilian .Mungu wetu ni mwaminifu alichokiweka ndani yenu hakika kimeinua imani na kuponya mioyo ya watu wengi.🙏🙏🙏

  • @zuhurahaji7979
    @zuhurahaji7979 Год назад

    Kwa kweli umenibariki na umefungua upeo wangu wa kuwa karibu na mungu

  • @magrethmanintveld5477
    @magrethmanintveld5477 Год назад

    Asante Sana kusema Asante kwa Mungu

  • @brijidalawrence1097
    @brijidalawrence1097 Год назад

    Nimebadilika sana kaka Max

  • @Jamess_-500
    @Jamess_-500 Год назад

    May god bless u max 😭🙏🙏🙏🙏🙏

  • @osinyoruth2769
    @osinyoruth2769 Год назад

    Max unanibariki daily.

  • @victoriajulius5239
    @victoriajulius5239 Год назад

    Hakika mungu yupoo🙏🙏

  • @clarajoachim9658
    @clarajoachim9658 Год назад

    A spiritual session waoooo I can’t wait

  • @chapter2719
    @chapter2719 Год назад

    Halleluja revival in the streets of Dar es salaam Thank you Jesus

  • @roseafrican
    @roseafrican Год назад

    Amen🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @pendopoul7082
    @pendopoul7082 Год назад

    God! Thanks to calvary

  • @aureliayuktankabebwa5066
    @aureliayuktankabebwa5066 Год назад

    Our God lives🙏🏾

  • @quintavitalis926
    @quintavitalis926 Год назад

    Amen

  • @miriamedward5451
    @miriamedward5451 Год назад

    Amina

  • @ramlafyumagwa209
    @ramlafyumagwa209 Год назад

    Ameeen

  • @tshaladeco380
    @tshaladeco380 Год назад

    Merci beaucoup

  • @phibymakuyu5056
    @phibymakuyu5056 Год назад

    Amen

  • @marianamsuha3899
    @marianamsuha3899 Год назад

    Ahsante Mungu

    • @pendoplacid9058
      @pendoplacid9058 Год назад

      Yaani very touching mimi namfuatilia tangu episode 1 Mungu awabariki na kuna kitu nimejifunza

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 Год назад

    Pole kaka

    • @pendoplacid9058
      @pendoplacid9058 Год назад

      Kweli kumtafuta Mungu ni kuzuri yaani Mungu ni mtamu ,mzuri alafu Yesu wewe ni Noma