PART 5: MAX RIOBA ASIMULIA ALIVYOKUTANA na MUUJIZA, SHETANI ALIVYOTAKA KUINGILIA MKUTANO | HARD TALK
HTML-код
- Опубликовано: 2 окт 2024
- PART 5: MAX RIOBA ASIMULIA ALIVYOKUTANA na MUUJIZA, SHETANI ALIVYOTAKA KUINGILIA MKUTANO | HARD TALK
HII ni SEHEMU ya TANO ya HARD TALK na Mtumishi wa Mungu Lilian Mwasha, mgeni ni Maxmilian Rioba Mkurugenzi wa kampuni ya Aunthentic Media Group ambaye ameeleza mengi juu ya maisha yake ikiwemo kuzinduka kutoka kwenye ufahamu baada ya kupoteza ufahamu kwa siku 90 huku akiwa katika ulimwengu wa ajabu uliomkutanisha na kiumbe kisichojulikana..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
SUBHANA ALLAH
ALLAHU AKBAR
Hakika umepitia mitihani mingi mno ,kila kitu kina sababu na Allah ni mjuzi zaidi... Pole sana kaka yangu Mungu akufanyie wepesi popote penye uzito🤲🏼.
Kaka Max, usije kumuacha Mungu katika maisha yako, hakika Nimemuona Mungu kupitia wewe.
Hakika mungu mkubwa allhamdulillah Allah qull Hall
Kaka umenibariki sana arafu umenifundisha kitu ubarikiwe sana,nimefatiria tangu part 1-5 naangalia toka 🇺🇸
Kuna Mungu mbinguni. Through JEsus Christ he hears us.
Very possible,, ukianza kufanya mikutano na Mungu ukawa siriaz.. it's possible. Asante Sana Max Mungu azidi kukubariki
NI KWELI KABISA MUNGU ANAZUNGUMZA NASI TUNAOMUAMINI KATIKA KWELI. ASANTE SANA KAKA MARKS TUBARIKIWE SOTE KUPITIA USHUHUDA WAKO. AMINA
God bless you max
am learning
Profound
HALLELUJAH 🙏🙏🙏🔥🔥. BRO MAX YOUR TESTIMONY HAS BEEN SPIRITUAL TO ME. AS A CHILD OF GOD I TOTALLY UNDERSTAND THE POWER OF GOD. OUR FATHER IS ALL LOVING, FAITHFUL ,GRACIOUS AND ALL HONOR WILL ALWAYS GOES TO HIM.MAY GOOD BLESS YOU ABUNDANTLY MISS LILIAN MWASHA. PLEASE LISTEN TO THE BLESSING BY EVALATION WORSHIP.
Amen and Amen 🙏 🙌
Tangu part 1 imenifanya nitafakari upya uhusiano wangu na Mungu.....now nimeamua kurudi
Huyu kaka ametubariki....asanteni sana
Maximilian ni mwalimu wangu wa kanisani nikiwa binti mdogo and I was one of his favorite students nilimuona Mungu kupitia yy na bado namuona Mungu nikimuona natamani siku moja nikutane nae nimueleze jinsi gani alinifanya nimpende Mungu nakumuamini nakua na vikao na Mungu
Interview ambayo nimejifunza vipya na pole sana kaka
Unanena kwa mazoea au ni ROHO MTAKATIFU?
Maisha ya kaka Max yana ushuhuda ambao,umenipa nguvu mpya, Mungu azidi kukutunza,akupe kibali kikubwa zaidi Amen 🙏🙏🙏🙏
This story is too much for me 😭😭😭😭😭 Max save God pray hard read the word of God so u can grow spiritual so God can you use u mightly
Bwana nimesikia habari zako nimeogopa unatisha Bwana unashangaza ooh hallelujah 🙌🙌 nimeoua shuhuda wa kuwatumia watu hiizi story wasikie na wautafakali ukuu wa Mungu kaka endelea kumtangaza huyu Yesu kwa hakika yupo na anaishi barikiwa sanasana dada Lilian God bless you.
Shetani kukuzomea ni kweli kabisaa hiyo ipo hasa akiona unataka tu kufanikisha jambo lako na mungu
Mamy pls tuletee Dada Helen tena
Huwa nafukuza kwa sauti kisha nakuwa shwari
I really missed God,i missed this moment with God, always i wish to go back there to those meeting with God,i need help, Holy spirit please come to me, i need a revival
max rioba ana utumishi mkubwa sana ndani yake
Be blessed maxrioba
Thank you max
Mungu ni mkuu sana uendelee kubarikiwa sana, Kwa Kila jambo.
Helpfull
Mm naamn naninaliaaaa inatosha Kaka kutukomboa sisi wachache,Kaka siombi kufa Wala sikat tamaaaaaa tenaaaaaaaaaaa jaman,nimemuona mungu kaka
Huyu Mungu niwa upendo sana ,,
Kaka Max ,Mungu anakupenda, sifa na utukufu kwake Mungu, muumba wa vyote .
Iam highly blessed with ur story and believe me it has changed my life positively and I will no longer view things the way I used to anymore 🙏
Ubarikiwe Max kwa ushuhuda huo,Hakika Mungu amekupitisha huko kote ili iwe somo na wengi waweze kujifunza kupitia haho
Ina wezekana kuongea na Mungu kabisa
Hakika kumtafuta MUNGU tumetofautiana ni kama shule, wa darasa la 7 tofauti na chuo, Duh MUNGU nisaidie kuwa karibu yako
God bless you both mumenifungua mahali.. Najifunza menge kutoka kwako kaka max ubarikiwe sana🙏🏾🙏🏾
Kwakweli shetani sio mtu mzuri mimi hutegesha alarm ikifika muda niliona nitasali naanza kupata uvivu mara naacha kusali hasa nyakati za usiku nimegundua sio mimi tu mwenyezi Mungu usiruhusu shetani atufanyie ivyo
Amen ,sifa kwa MUNGU , wa mbinguni anatushangazaga siku zote
Hakika Mungu ni mkuu👏
Daaaah kaka naomba namba Yako nataka kuvuka mahali kwakweli Niko Ambae Niko ni Ebenezer
Hallelujah, Kaka max interview yako imenifunza mambo mengi sana na kuzidi kuinua imani yangu zaidi kwa Mungu mm binafsi nimejifunza kuwa na ujasiri wa kuishinda sauti ya shetan Asante sana dada lilian tunaomba interview nyingi kama hiz zinazogusa na kubadili maisha yetu kiimani
Mungu azidi kukubariki kaka kiukweli Mungu yupo jamani 🙏🙏🙏🙏
Max unaabudu wapi? Mungu akubariki kwa kushea safari ya mapito.
Thank you for this show. I’ve really learned a lot from it., Thank you brother Max, thank you Lillian. God bless you🙏🏽
God help me to get serious with you🙏🏽🙏🏽
Happy sabbath.
Brother Max sina mengi yakusema ila Mungu akutunze na akuinue zaid
Kaka MUNGU azidi kukupa uhai ili uendelee kuwa ushuhida kwa waliokata tamaa
Anaongea vizuri jamani you are man of god.
Da Lilian barikiwa sana kipind chako kinabariki, kinainua , kinafundisha pia kimeponya watu wengi!
God bless you brother Max for rededicating your life Christ Jesus our Lord and Savior. We have only watched you in tv but your testimony is a great encouragement, glory to the king of kings🇰🇪
Mbarikiwe sana wote wawili Max and Lilian .Mungu wetu ni mwaminifu alichokiweka ndani yenu hakika kimeinua imani na kuponya mioyo ya watu wengi.🙏🙏🙏
Kwa kweli umenibariki na umefungua upeo wangu wa kuwa karibu na mungu
Asante Sana kusema Asante kwa Mungu
Nimebadilika sana kaka Max
May god bless u max 😭🙏🙏🙏🙏🙏
Max unanibariki daily.
Hakika mungu yupoo🙏🙏
A spiritual session waoooo I can’t wait
Halleluja revival in the streets of Dar es salaam Thank you Jesus
Amen🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
God! Thanks to calvary
Our God lives🙏🏾
Amen
Amina
Ameeen
Merci beaucoup
Amen
Ahsante Mungu
Yaani very touching mimi namfuatilia tangu episode 1 Mungu awabariki na kuna kitu nimejifunza
Pole kaka
Kweli kumtafuta Mungu ni kuzuri yaani Mungu ni mtamu ,mzuri alafu Yesu wewe ni Noma