PART 4: MAX RIOBA AELEZA ALIVYOKATWAKATWA KIFUANI, JINSI ANAVYOISHI na SHIMO MWILINI | HARD TALK
HTML-код
- Опубликовано: 2 окт 2024
- PART 4: MAX RIOBA AELEZA ALIVYOKATWAKATWA KIFUANI, JINSI ANAVYOISHI na SHIMO MWILINI | HARD TALK
HII ni SEHEMU ya NNE ya HARD TALK na Mtumishi wa Mungu Lilian Mwasha, mgeni ni Maxmilian Rioba Mkurugenzi wa kampuni ya Aunthentic Media Group ambaye ameeleza mengi juu ya maisha yake ikiwemo kuzinduka kutoka kwenye ufahamu baada ya kupoteza ufahamu kwa siku 90 huku akiwa katika ulimwengu wa ajabu uliomkutanisha na kiumbe kisichojulikana..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 *UWE WA KWANZA KUONA*👉 bit.ly/3MraYdQ
Mungu nilishakwambia kama utanibariki ilinikuwache naomba usinibariki,nibariki ili niwabariki wengine na kukupenda zaidi
Hizi ndio talks sasa, leteni hadi part 50 tutaruka nazo bila waaas✔️
Part 50? Aha aha haha
Brother Max asante umenikumbusha namna ya kupeleka hoja zangu kwa Mungu!
Yani max umeongea kweli mm nikianza kusimama kwenye maombi vita inainuka kwa ukubwa nikikaa kimya bila maombi sijaribiwi ivi kweli niko sahihi
Fofo Love- ata Mimi jamani 😢
Uyu kaka mungu ambarik sana ametukumbusha Mungu yupo na anatenda tena ni mwing wa huruma na rehema we love u kaka max ikiwapendez tunaomb part 5 maojiano yenu yan miujiz kun mahl mnatuvusha🙏🙏🙏
Dada Lily,Mungu akubariki sana kutuletea mtumishi wa Mungu huyu,pia nashindwa kupata neno nzuri zaidi kwake zaidi ya kusema tu Mungu anampango na watu wengine kuokelewa kupitia yeye hivyo asimame imara kuna watu wanatakiwa kumwona Mungu kupitia yeye.
Namsikiliza alafu pia nmekumbuka habr za mtume paulo,anyway kwa leo hakika amenifanya nitoe machozi na nitubu kwa Mungu kwani kuna wakati tunamwomba Mungu na anatujibu alafu ukipitia ugumu tyri unasahau jambo kubwa Mungu alilokutendea unaona kama hajawahi fanya kabisa ,kumbe hicho ni kipindi huenda unanolewa zaidi kuendea makubwa lakini hapo tunadondoka na kumhuzunisha Mungu.Asante sana Kaka Max umenitoa sehemu niliyokuwepo ya maumivu na kulalamika ,kumbe nilishaomba tyr na nikapewa stestimony yako imenizindua nitoke hapa kwenye maumivu na kupiga hatua mpya.
Barikiwa sanaaa
Yani leo nimebarikiwa sana kumsikiliza Max, huchoki yani
Hii story inafanya uone mkono wa Mungu huu hapa
powerful....tunasubiri part 5 na kuendelea dada lili
Bora mmetuwekea mapema
Elimu hii ya Acid reflux inapaswa kuelezwa sana Nyumbani watu wengi sana wanateseka nayo na hawajui wanita chembe cha moyo ,kwa wenzetu huku unaelezwa vema kbsa sio ulcers ,haitaki stress pia.I wish watu wengi wapate kuelewa hii inatesa sana hata mim ni mhamga ila nimejua jinsi ya kuish nayo.Asanten sana
Yehova Shujaa Hutusaidia na hutupandisha viwango Mbarikiwe Sana kwa hayon Glory to Almighty God.
Imenigusa Asante Max
Mwambie max ajitahidi kuongea kiswahili wote tuelewe
Jamani pole Sana Mungu yu nawe
Hata part 100 tutapitia tu
Nakupnda na unanijinga sana mam ilove u
Mmmj apo kwenye swala la Mungu kabisaa Dada Mmh eeti Max unaamini kuwa kuna Mungu duuu .Apana katika Waislam swala la Mungu toka tunakuwaa katika familiya zetu tunaamini shwa uwepo wa Allah ayijalishi Katika furaha ila huzuni
Pole sana, lakini Mungu yupo na yupo kweli.
Madaktari was Tz mnazingua.... Mnabahatisha Na mwili wa wanadamu bila kufanya vipimo maalum. Nkt!
Dada Lilian natamani kumuona kaka max naamini anaweza kunifanyia cancelling na kunipa msaada wa mawazo.Natamani mnoo uweza akanibadilisha Sana vile nipo stressed
Oh my God...,madokta wetu wanaweza kuuwa mtu ambae angepona. How sad??
Huyo ni Paulo hakika atatenda makuu kwa uwezo wa Mungu
🙏🙏
Ongea kiswahili wote tuelewe
Ni kwel shetan anataft wale waliokarib na Mungu
Max ukiwa mchungaji naamia kanisani kwako
Wewe ni "Friend of Jesus"
!
Mungu yupo
Huyu kaka Kama vile aliingiza kwenye la familia siries Kama Rafaeli
Ndyo yeye
Ndo yeye
ni actor mzuri tu