PART 4: MAX RIOBA AELEZA ALIVYOKATWAKATWA KIFUANI, JINSI ANAVYOISHI na SHIMO MWILINI | HARD TALK

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • PART 4: MAX RIOBA AELEZA ALIVYOKATWAKATWA KIFUANI, JINSI ANAVYOISHI na SHIMO MWILINI | HARD TALK
    HII ni SEHEMU ya NNE ya HARD TALK na Mtumishi wa Mungu Lilian Mwasha, mgeni ni Maxmilian Rioba Mkurugenzi wa kampuni ya Aunthentic Media Group ambaye ameeleza mengi juu ya maisha yake ikiwemo kuzinduka kutoka kwenye ufahamu baada ya kupoteza ufahamu kwa siku 90 huku akiwa katika ulimwengu wa ajabu uliomkutanisha na kiumbe kisichojulikana..
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии •

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +2

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 *UWE WA KWANZA KUONA*👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @musokedios8162
    @musokedios8162 Год назад +5

    Mungu nilishakwambia kama utanibariki ilinikuwache naomba usinibariki,nibariki ili niwabariki wengine na kukupenda zaidi

  • @Mrs.Adam7
    @Mrs.Adam7 Год назад +22

    Hizi ndio talks sasa, leteni hadi part 50 tutaruka nazo bila waaas✔️

  • @neemamassawe8091
    @neemamassawe8091 Год назад +3

    Brother Max asante umenikumbusha namna ya kupeleka hoja zangu kwa Mungu!

  • @fofolove5667
    @fofolove5667 Год назад +12

    Yani max umeongea kweli mm nikianza kusimama kwenye maombi vita inainuka kwa ukubwa nikikaa kimya bila maombi sijaribiwi ivi kweli niko sahihi

  • @victoriajulius5239
    @victoriajulius5239 Год назад +11

    Uyu kaka mungu ambarik sana ametukumbusha Mungu yupo na anatenda tena ni mwing wa huruma na rehema we love u kaka max ikiwapendez tunaomb part 5 maojiano yenu yan miujiz kun mahl mnatuvusha🙏🙏🙏

  • @naahmgonja9254
    @naahmgonja9254 Год назад +16

    Dada Lily,Mungu akubariki sana kutuletea mtumishi wa Mungu huyu,pia nashindwa kupata neno nzuri zaidi kwake zaidi ya kusema tu Mungu anampango na watu wengine kuokelewa kupitia yeye hivyo asimame imara kuna watu wanatakiwa kumwona Mungu kupitia yeye.
    Namsikiliza alafu pia nmekumbuka habr za mtume paulo,anyway kwa leo hakika amenifanya nitoe machozi na nitubu kwa Mungu kwani kuna wakati tunamwomba Mungu na anatujibu alafu ukipitia ugumu tyri unasahau jambo kubwa Mungu alilokutendea unaona kama hajawahi fanya kabisa ,kumbe hicho ni kipindi huenda unanolewa zaidi kuendea makubwa lakini hapo tunadondoka na kumhuzunisha Mungu.Asante sana Kaka Max umenitoa sehemu niliyokuwepo ya maumivu na kulalamika ,kumbe nilishaomba tyr na nikapewa stestimony yako imenizindua nitoke hapa kwenye maumivu na kupiga hatua mpya.
    Barikiwa sanaaa

  • @lucyvicent7440
    @lucyvicent7440 Год назад

    Yani leo nimebarikiwa sana kumsikiliza Max, huchoki yani

  • @quintavitalis926
    @quintavitalis926 Год назад +6

    Hii story inafanya uone mkono wa Mungu huu hapa

  • @nancysway786
    @nancysway786 Год назад +5

    powerful....tunasubiri part 5 na kuendelea dada lili

  • @julianaharrison4356
    @julianaharrison4356 Год назад +7

    Bora mmetuwekea mapema

  • @happinessmtui1336
    @happinessmtui1336 Месяц назад

    Elimu hii ya Acid reflux inapaswa kuelezwa sana Nyumbani watu wengi sana wanateseka nayo na hawajui wanita chembe cha moyo ,kwa wenzetu huku unaelezwa vema kbsa sio ulcers ,haitaki stress pia.I wish watu wengi wapate kuelewa hii inatesa sana hata mim ni mhamga ila nimejua jinsi ya kuish nayo.Asanten sana

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 Год назад +5

    Yehova Shujaa Hutusaidia na hutupandisha viwango Mbarikiwe Sana kwa hayon Glory to Almighty God.

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Год назад +3

    Imenigusa Asante Max

  • @mgayaely9840
    @mgayaely9840 Год назад +1

    Mwambie max ajitahidi kuongea kiswahili wote tuelewe

  • @groveyagroya1280
    @groveyagroya1280 Год назад +2

    Jamani pole Sana Mungu yu nawe

  • @kipipakipipa5050
    @kipipakipipa5050 Год назад +2

    Hata part 100 tutapitia tu

  • @aishaisbarty3934
    @aishaisbarty3934 Год назад +2

    Nakupnda na unanijinga sana mam ilove u

  • @aishairakoze2133
    @aishairakoze2133 Год назад

    Mmmj apo kwenye swala la Mungu kabisaa Dada Mmh eeti Max unaamini kuwa kuna Mungu duuu .Apana katika Waislam swala la Mungu toka tunakuwaa katika familiya zetu tunaamini shwa uwepo wa Allah ayijalishi Katika furaha ila huzuni

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Год назад +1

    Pole sana, lakini Mungu yupo na yupo kweli.

  • @elizabethwanjiku7831
    @elizabethwanjiku7831 Год назад

    Madaktari was Tz mnazingua.... Mnabahatisha Na mwili wa wanadamu bila kufanya vipimo maalum. Nkt!

  • @ilovemusic9594
    @ilovemusic9594 Год назад

    Dada Lilian natamani kumuona kaka max naamini anaweza kunifanyia cancelling na kunipa msaada wa mawazo.Natamani mnoo uweza akanibadilisha Sana vile nipo stressed

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Год назад

    Oh my God...,madokta wetu wanaweza kuuwa mtu ambae angepona. How sad??

  • @hellenamndeme4978
    @hellenamndeme4978 Год назад

    Huyo ni Paulo hakika atatenda makuu kwa uwezo wa Mungu

  • @Jamess_-500
    @Jamess_-500 Год назад +2

    🙏🙏

  • @marthapeter8246
    @marthapeter8246 Год назад +4

    Ongea kiswahili wote tuelewe

  • @salomekisanga560
    @salomekisanga560 Год назад +2

    Ni kwel shetan anataft wale waliokarib na Mungu

  • @jeniphammary96
    @jeniphammary96 Год назад

    Max ukiwa mchungaji naamia kanisani kwako

  • @Kidotii
    @Kidotii Год назад +3

    Wewe ni "Friend of Jesus"
    !

  • @janesiwingwa3142
    @janesiwingwa3142 Год назад

    Mungu yupo

  • @bahatijohn8923
    @bahatijohn8923 Год назад +1

    Huyu kaka Kama vile aliingiza kwenye la familia siries Kama Rafaeli