OPERESHENI YA KUWASAKA WAASI DRC CONGO
HTML-код
- Опубликовано: 6 фев 2025
- Hali ya usalama eneo la Beni Kivu Kaskazini imekuwa ni ya wasiwasi kwa muda mrefu kutokana na mauaji yanayofanywa na makundi ya waasi likiwemo kundi la ADF ambalo limeshutumiwa kuua zaidi ya watu 7000 toka mwaka 2013. Hivi leo basi tunakuletea ripoti maalum ambapo mwandishi wetu Austere Malivika ametembelea eneo hilo kufahamu zaidi kinachoendelea na juhudi zinazofanywa na serikali ya DRC katika kukabiliana na tatizo hili. #DL #VOA
Mwandishi selemani Vika nakupa hongera sana na Mungu akulinde
Mungu azilaze roho za askari hao wa tz na kazi iendelee kwa nguvu moja mpaka kieleweke
Kazi ya jeshi sio ya kushobokea nakubali sana jeshi LA Congo kila siku mbilinge mungu awape nguvu 🙏👉🇹🇿
Après
Yyyyy@@pasteurelie4720
safi sana Wanajeshe ndio kazi yk kupigania TAIFA sio kuonea raia gaidi ndie wakumuangamiza wnanchi tuishi kwa Aman
Kazi nzuri wapiganaji
Mungu bariki jeshi letu la Tanzania JWTZ. Katika harakati za kulinda aman ya DRC
Jwtz kulinda amani drc
Ewe ALLAH wanusuru hawa waja wako vita ikome mara moja kama ulivyosema niombeni ntakukibuni basi tujibu dua zetu ili wananchi waendelee kukuabudu aamiin aamiin ya rabil'aalamiin.
Mungu wasaidie wanajeshi wetu wa tanzania
Polen wacongo mungu awape nguvu
Mungu abewe sifa🎉🎉🎉🎉🎉
Hatari sana na pole sana
Those Journalists always hide the truth why They don't mention all the bombs launched from Congo DRC to Rwanda and killing more than 5 people with hundreds injuries
Those Journalists always hide the truth why They don't mention all the bombs launched from Congo DRC to Rwanda and killing more than 5 people with hundreds injuries
Those Journalists always hide the truth why They don't mention all the bombs launched from Congo DRC to Rwanda and killing more than 5 people with hundreds injuries
Those Journalists always hide the truth why They don't mention all the bombs launched from Congo DRC to Rwanda and killing more than 5 people with hundreds injuries
Asante kwa information
Pole sana, malgré ibi byote Mungu hata acha congo
Mungu azilaze roho za asikali watu wa tanzania
Kiswahili kinatumika vizuri DRC ebu mwenyezi mungu awape amani
Those Journalists always hide the truth why They don't mention all the bombs launched from Congo DRC to Rwanda and killing more than 5 people with hundreds injuries
Those Journalists always hide the truth why They don't mention all the bombs launched from Congo DRC to Rwanda and killing more than 5 people with hundreds injuries
Hiii hali kweli Dunia,Mungu Congo imekufanyiya nini tunaomba utusamehe tupate amani onahiii hali sasa tufanye nini? Raïs tshiseketi tunakuomba wewe ndiye David,samusoni Musa tunakutegemeya Mungu akuogoze nawewe pia.
Colonel Mamadou Ndala angalikuwepo, Beni ingalipata amani 2014! RIP!
Do you guys know know how Mamadou ndala was killed? Some said that was killed with his partner that was corrupted with Rwandan president. Is that true?
@@bjabdi6582 He was killed by his seniors from Kinshasa. They were afraid of how he was endeared by the people. He was a classical tactical field commander. He led his 42 battalion with ethics never witnessed before in DRC to-date. He was a great soul.
@@jesseykariuki4028 .That's so sad to hear that he was killed by his seniors from Kinshasa. That's why I said D.R.C 's Authorities and soldiers are so corrupt they even give damn about theirs civilians.
@@jesseykariuki4028 R.I.P.
Miamba JWTZ imeingia kazn aman itapatikana mama yetu si tunazid kukuombea kwan at hii amani tuliyo nayo wenzetu wanatuonea wivu
Kuwepo na mwisho mapigano sasa jeshi la Africa lijiunge na ulinzi lazima utakuwepo bila ivo bado maana nchi moja itaenda kutetea ila nyingine ikibaki bas katika walio baki ndo waharifu wanaweza kiwa miongoz mwao wasio shirikishwa aman kongo na karibuni Tanzania mungu anawapenda siku moja amani itatawala jeshi letu lisiludi nyumba maana ndo kiapo cha jeshi kufia vitani
i have admired the general
Mungu wasaidie wakongo waishi kwaamani
Jamani jenerali anaongea kiswairi vizuri mpaka lahaaaaaa
Pamoja na mungu tuta shina
Wananchi wa congo kazaneni munguatawasaidia shike I panga nashoka mfike mpaka ruanda
Beni pole saana. Wadunguzango pole kabisa
Those Journalists always hide the truth why They don't mention all the bombs launched from Congo DRC to Rwanda and killing more than 5 people with hundreds injuries
Ces journalistes cachent toujours la vérité, pourquoi ne mentionnent-ils pas toutes les bombes lancées du Congo RDC vers le Rwanda et tuant plus de 5 personnes avec des centaines de blessés
Asantekututumiyavidio
Mungu awasaidie sana wananchi wa congo
One love Tanzania
Umoja wa mataifa ni wanafki wanajua vizuri ya kwamba Raisi Museveni ndiyo muhifadhi mkubwa wa waasi hao.
0
Kifupi wanao nufaika na madini ya Congo ni Rwanda na uganda na mzungu pia analetasilaha anabadikishana na dhahabu.. Viongozi wa Congo bado wapo kweny usingiz mzito siku wakiamka madini yameisha🙌
Those Journalists always hide the truth why They don't mention all the bombs launched from Congo DRC to Rwanda and killing more than 5 people with hundreds injuries
Ces journalistes cachent toujours la vérité, pourquoi ne mentionnent-ils pas toutes les bombes lancées du Congo RDC vers le Rwanda et tuant plus de 5 personnes avec des centaines de blessés
Mungu awachome ao wauwaji
My people Congolese We need to stand up and fight with this 3 country ouganda, Rwanda. And Burundi we need peace in East of congo
I'm nb inon
Que le bon Dieu vous protege merci beaucoup notre FARDC
Jambo ndugu ivi leo waasi wanakuwa wapi ?
Inauzunisha sana kbs
Those Journalists always hide the truth why They don't mention all the bombs launched from Congo DRC to Rwanda and killing more than 5 people with hundreds injuries
Ces journalistes cachent toujours la vérité, pourquoi ne mentionnent-ils pas toutes les bombes lancées du Congo RDC vers le Rwanda et tuant plus de 5 personnes avec des centaines de blessés
Yanga
Drc tumeteseka sana akuna waasi watanaswa ni wongo ya serkali zetu
Bado kati ya Monusco kuna waasi pia, wanaoficha ADF fulani fulani, ni hasa wa kabila la wanyarwanda . Angalieni vizuri, mutawagunduwa kati ya Monusco kabla hawaja jificha.
Miaka 7 hawajawaangamiza waasi hayo ni maigizo kuna mchezo mchafu hapo
Kweli kabisa tatizo ni hizo mali
ben,Ituri wanaitaji M23 ndio peke itaosha hawo wawuaji wa ADF kama vile imewafurusha FDRL ruschuru na masisi bira m23 ADF itawatesa mpaka
ba soda ya Rwanda bakotata na Congo bavadi bisope tokota kuna tovanda totikate bango babomibiso mingi
biso tozanga baboti likolo nabango
If our kenya force managed to maintain peace and security through UN mandate of keeping peace In East Timor,Bosnian,Croatia,Liberiia,Angola,Sudan DRC Goma nini,we shall overun M23
Hatari sana
Asante
Jamani siwatuachie inchi yetu
Issue kubwa nani anawafaziri waasi kwa siraha? Huyo Ndio mchawi, Duu madini yetu bado tunauawa mzungu hafai hata kidogo
Ni Kweli kabisa hao silaha wanapata wapi kama sio kuna mtu nyuma yao wanawapa
Wanapata Rwanda
@@samoocoolingsystem93 hakuna asiyejua kua rais kagame anahusuka moja kwa moja na vikundi baadhi ana husika navyo kuna tetesi nchi ya rwanda na uganda zina mikono yao ktk hiv vikundi lengo ni kupora madini... Nimefatilia kwa kina sana kuhusu hiv vikundi na aliye nyuma yake so sina Shaka na ninacho kiandika...... Kma unakumbuka wakti rais kikwete akiwa madarakani aliwahi kupeleka jeshi congo kulinda amani wakti ule kikundi cha M23 ndo kilikua tishio hasa na jeshi letu likaenda kufyeka wote mpka lile kundi likasambaa... Rais kikwete alipeleka jeshi kwa nia njema kabisa kunusuru wananchi na Mali zao.. Kilicho ibuka baada ya hapo rais kagame alianza maneno maneno sna baada ya lile tukio na alianza kumsakama kikwete waz waz ila sababu ilikua ni hiyo wale walikua ni vijana wake
@@samoocoolingsystem93 hakuna asiyejua kua rais kagame anahusuka moja kwa moja na vikundi baadhi ana husika navyo kuna tetesi nchi ya rwanda na uganda zina mikono yao ktk hiv vikundi lengo ni kupora madini... Nimefatilia kwa kina sana kuhusu hiv vikundi na aliye nyuma yake so sina Shaka na ninacho kiandika...... Kma unakumbuka wakti rais kikwete akiwa madarakani aliwahi kupeleka jeshi congo kulinda amani wakti ule kikundi cha M23 ndo kilikua tishio hasa na jeshi letu likaenda kufyeka wote mpka lile kundi likasambaa... Rais kikwete alipeleka jeshi kwa nia njema kabisa kunusuru wananchi na Mali zao.. Kilicho ibuka baada ya hapo rais kagame alianza maneno maneno sna baada ya lile tukio na alianza kumsakama kikwete waz waz ila sababu ilikua ni hiyo wale walikua ni vijana wake
Hii inaniudhi Sana!. Waasi vifaa vya kijeshi Wana to tumia nivya halo ya juu Sana. Wafrika tuache ujinga wakutumiwa na nchi za nje kuangamiza wafrika wenzetu. NANI ANAFADHILI MAKUNDI
Cool
god is big
Nani ANAFADHILI wa waasi Hawa?. Wafrika tutauna Hadi lini?. Maraisi wa uganda,rwanda na drc wanakuja ukweli wa MAKUNDI haya jameni tuongee ukweli. Inaniudhi Sana kuona watoto wadogo wakipitia mateso yakutisha. Mlungu bariki africa.
Jambon tumefuraia kusikia ma ha bari kutoka sauti y'a radio bbc
Halafu kuna bwege mmoja Tz akishiba anaanza KUOMBA vita
😁😁😁😁😁
Amani japo ya woga Tanzania tunajivunia
Hiyo askali, ya m7 ndiyo yanye, inahalibisha, congo
Courage FARDC💪💪💪
Ao ukiwawekea tu ngoma ya koffi olomide na siraha wanatupa wanaanza katika viuno
Ndevu. Funga matako yako.
Wangeacha vita wakaingiza pesa za kigeni kwenye milima ya rwenzori kwa kupokea wageni na sio vita acheni vita sisi africa ni moja
Waace kubaguwana afraca ya waafrica banyamulenge ni wakongo
Poa poa Mary Mgawe
Waasi wakubwa Ni hao wanaojiita jeshi la umoja wa mataifa hilo Ni jeshi la wauwaji wakubwa hata hao waasi wao ndio wanawafadhili kuuwauwa wakongo utumwa wa kiakili
Nafikiri kusudi tushinde wahasi wa adf nalu na vitendo vya ukaidi vinavyo fanika mashariki ya nchi yetu, tukate mausiano yeyote na Rwanda na uganda, kufunga mipaka yetu, baadaye kuondowa majeshi wageni kama wa nyarwanda ndani ya army yetu ya fardc, nakuachana na monusco sababu ndo wana lisha magaidi msituni na kuwapa silaa.
Kweli kabisaa
Wazungu wanaomdanganya Kagame ajihadhari, watamgeuka km walivyofanya kwa Savimbi wa Angola.
Yani mm ningekua kiongozi wa Jeshi ningewauwa wote nchi kama congo ina lasilimari vip ulinzi kuwa dhaifu
Congo is facing military embargo, Kuna silaha hawaruhusiwi kununua baadhi ya silaha
Nzambe tala ba congolais
Magharibi mbona hawajalaani huo uasi kweli wazungu mnatutesa ulimwenguni mna chochea muuwe mpwate
Wanatoa wapi silaha,risasi,vyakula na hifadhi mavazi🤣🤣
Laisi Wa Congo yupo kweli,wasaidie jamani Mbona shida
@@rehemamlowe5104 tatizo wanapenda ili wapate misaada
Serekali ya Congo una jali tu Kinshasa
ENDELEYENI HADI UGANDA MZEE!!
STP BO TRADUIRE BISO NA LINGALA, BAZALI KOLOBA NINI PO NAMONI BALAKISI CASQUE BLEU MOKO YA SOLDAT MOKO ????
Waasi ni hao hao wanajeshi kutoka rwanda ndo wanao huwa watu hovyo!
Tunaomba amani idumu Kwa jirani yetu
Miaka 20 umoja wa mataifa una walinzi wa amani huko lkn hakuna mabadiliko yoyote ya maana,hizi ni mbinu tu za kusababisha mgogoro uendelee ili kuiba madini ya congo.Viongoziwakiafrika mkiendelea kuwategemea hawa mbwa wa kizungu mtaendelee kuteseka na kuwatesa raia wenu milele,acheni unafiki
Izo ni biashara za wazungu, baana,yaaani zitoke ndenge zote za kivita,Askari wote wa Dunia hiii ,halafu hao washenzi wabakie
Monusco hakuna kazi yenye wanafanya generali
Sasa serekali ya congo inachunga nini kwanini wasichunge mipaka sasa rais wa congo ni mavi mwenyewe
Msipige adui mumupige President Museveni yeye ndiye mwenyeji wa Kundi hilo la waasi hao.
General afanani mazoezi sad 😞 RIP MAMADOU
DRC needs to have the military who are not afraid like Mamadou ndala. Also, DRC soldiers some are very corrupt with Their neighbors countries such as Rwandan's government.
Inafa ma bass ziwekue kila pali
Yooooo pol
Merci beaucoup à nos vaillant militaire que le Dieu très haut vous protège et qu'il nous donne la victoire
ilo kundi chomeni moto ilo kundi lote mana naona munawabebeleza tu apo tumen ndege yakivita piga fire
Kutoka jiji la Nairobi Kenya, nawafuatilia kwa Karibu sana. Wakongo ni watu wajinga! Vita kutoka miaka ya1840-2025 ?!
Kwani shida hua ni ipi kule., Ni muda sasa nikisikia hizi vita.
Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 yetu 😭😭😭😭😭😭😘😘
Yote hayo yanaletwa na marekani Putin ndio muokoz wetu
Kongo Kongo hambaliki mm tangu Nina soma darasa LA tatu mpaka Leo ninawatoto 5 nasikiaga Kongo ni vita tu badilikeni na mumrudie mungu
Ma ngumu uku
Rip general
Nela
Tanzania ntamanyanga ntacyinyoma ariko umucyino uraho Kongo uri kurwego rwo hejuru.
Jeshi la monusco na jeshi la rwanda ndo wanajeshi wanao wauwa watu kutaka waache miji wazi wa tusti kutoka rwanda waje wakakae ndani ya miji kitu ambacho hakita wezekana kamwe...!, pia video zote hizo ndugu mtangazaji anazotuonyesha heti wanapiga ni uhongo mtupu hakuna mtu ao waasi wanao pambana nao hongo yao wanajifyaturia risase bure tu, hizo ngombe hizo...!
Itafikiya hata Goma wenye wariwuwa Ambasadeur wa itali ni Mai Mai Ya Serufuri hutu
Wongooo mtupu wanasiyasa wetu ndo wenye gundi la waasi
Miaka Saba Jeshi gani hilo
😢😢😢
Monusco ndio inawapa silaha! Watu wanauwawa machoni pa monusco, sijui hao majeshi ya UN inafanya nini tuwafukuze na kuwauwa. Raia wa Kongo tusimame tuwafukuze monusco, na wa multinationales, na hao wazungu ambao wako mu virunga wote hao ndio wanathamini waasi wote nchini Kongo lazima tuanze kuwauwa sasa
Polen wakongo mani
FARDC hampendi nachi yenu
Rip mamadou ndala
Kanga.monoko
Kacheze lumba tu eti amani inanza kurudi kidogodogo😆
Tuishi kwaaman Tanzania vita mbay
Cirimwabo tunagufata aboba fpr musibitikiye kogombanisha mone sikosiyobizuri
🙏🙏😳😳💪