OPERESHENI YA KUWASAKA WAASI DRC CONGO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025
  • Hali ya usalama eneo la Beni Kivu Kaskazini imekuwa ni ya wasiwasi kwa muda mrefu kutokana na mauaji yanayofanywa na makundi ya waasi likiwemo kundi la ADF ambalo limeshutumiwa kuua zaidi ya watu 7000 toka mwaka 2013. Hivi leo basi tunakuletea ripoti maalum ambapo mwandishi wetu Austere Malivika ametembelea eneo hilo kufahamu zaidi kinachoendelea na juhudi zinazofanywa na serikali ya DRC katika kukabiliana na tatizo hili. #DL #VOA

Комментарии • 140

  • @YohanaMorsi-yp1tk
    @YohanaMorsi-yp1tk Год назад +2

    Mwandishi selemani Vika nakupa hongera sana na Mungu akulinde

  • @LeoJohn-t9p
    @LeoJohn-t9p 5 дней назад +1

    Mungu azilaze roho za askari hao wa tz na kazi iendelee kwa nguvu moja mpaka kieleweke

  • @frediricknandonde1690
    @frediricknandonde1690 4 года назад +15

    Kazi ya jeshi sio ya kushobokea nakubali sana jeshi LA Congo kila siku mbilinge mungu awape nguvu 🙏👉🇹🇿

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 3 года назад +1

    safi sana Wanajeshe ndio kazi yk kupigania TAIFA sio kuonea raia gaidi ndie wakumuangamiza wnanchi tuishi kwa Aman

  • @hamadiselemani8665
    @hamadiselemani8665 3 года назад +1

    Kazi nzuri wapiganaji

  • @anoldpotentin2446
    @anoldpotentin2446 3 года назад +9

    Mungu bariki jeshi letu la Tanzania JWTZ. Katika harakati za kulinda aman ya DRC

  • @abdallahluhinda
    @abdallahluhinda 11 дней назад

    Ewe ALLAH wanusuru hawa waja wako vita ikome mara moja kama ulivyosema niombeni ntakukibuni basi tujibu dua zetu ili wananchi waendelee kukuabudu aamiin aamiin ya rabil'aalamiin.

  • @jacklinmasawe2697
    @jacklinmasawe2697 2 года назад +1

    Mungu wasaidie wanajeshi wetu wa tanzania

  • @NashoniNtabo
    @NashoniNtabo День назад

    Polen wacongo mungu awape nguvu

  • @CocoISUMBAVYOSE
    @CocoISUMBAVYOSE 10 месяцев назад +1

    Mungu abewe sifa🎉🎉🎉🎉🎉

  • @heritiertumusifuruvugwa7553
    @heritiertumusifuruvugwa7553 2 года назад +1

    Hatari sana na pole sana

    • @QTQT-gj9kt
      @QTQT-gj9kt 8 дней назад

      Those Journalists always hide the truth why They don't mention all the bombs launched from Congo DRC to Rwanda and killing more than 5 people with hundreds injuries
      Those Journalists always hide the truth why They don't mention all the bombs launched from Congo DRC to Rwanda and killing more than 5 people with hundreds injuries
      Those Journalists always hide the truth why They don't mention all the bombs launched from Congo DRC to Rwanda and killing more than 5 people with hundreds injuries
      Those Journalists always hide the truth why They don't mention all the bombs launched from Congo DRC to Rwanda and killing more than 5 people with hundreds injuries

  • @AbelMoussa
    @AbelMoussa 2 месяца назад

    Asante kwa information

  • @dorcaskahindo8632
    @dorcaskahindo8632 2 года назад

    Pole sana, malgré ibi byote Mungu hata acha congo

  • @mariamngoha639
    @mariamngoha639 4 дня назад

    Mungu azilaze roho za asikali watu wa tanzania

  • @Jkemtranslators
    @Jkemtranslators 3 года назад +2

    Kiswahili kinatumika vizuri DRC ebu mwenyezi mungu awape amani

    • @QTQT-gj9kt
      @QTQT-gj9kt 8 дней назад

      Those Journalists always hide the truth why They don't mention all the bombs launched from Congo DRC to Rwanda and killing more than 5 people with hundreds injuries
      Those Journalists always hide the truth why They don't mention all the bombs launched from Congo DRC to Rwanda and killing more than 5 people with hundreds injuries

  • @ZaireMudeba-lx8pt
    @ZaireMudeba-lx8pt 11 месяцев назад +1

    Hiii hali kweli Dunia,Mungu Congo imekufanyiya nini tunaomba utusamehe tupate amani onahiii hali sasa tufanye nini? Raïs tshiseketi tunakuomba wewe ndiye David,samusoni Musa tunakutegemeya Mungu akuogoze nawewe pia.

  • @jesseykariuki4028
    @jesseykariuki4028 4 года назад +10

    Colonel Mamadou Ndala angalikuwepo, Beni ingalipata amani 2014! RIP!

    • @bjabdi6582
      @bjabdi6582 3 года назад

      Do you guys know know how Mamadou ndala was killed? Some said that was killed with his partner that was corrupted with Rwandan president. Is that true?

    • @jesseykariuki4028
      @jesseykariuki4028 3 года назад +1

      @@bjabdi6582 He was killed by his seniors from Kinshasa. They were afraid of how he was endeared by the people. He was a classical tactical field commander. He led his 42 battalion with ethics never witnessed before in DRC to-date. He was a great soul.

    • @bjabdi6582
      @bjabdi6582 3 года назад +1

      @@jesseykariuki4028 .That's so sad to hear that he was killed by his seniors from Kinshasa. That's why I said D.R.C 's Authorities and soldiers are so corrupt they even give damn about theirs civilians.

    • @moasiyena5012
      @moasiyena5012 3 года назад

      @@jesseykariuki4028 R.I.P.

  • @Thadeiraphaelkulaya
    @Thadeiraphaelkulaya 10 дней назад +1

    Miamba JWTZ imeingia kazn aman itapatikana mama yetu si tunazid kukuombea kwan at hii amani tuliyo nayo wenzetu wanatuonea wivu

  • @bilioneamwegole5138
    @bilioneamwegole5138 3 года назад +1

    Kuwepo na mwisho mapigano sasa jeshi la Africa lijiunge na ulinzi lazima utakuwepo bila ivo bado maana nchi moja itaenda kutetea ila nyingine ikibaki bas katika walio baki ndo waharifu wanaweza kiwa miongoz mwao wasio shirikishwa aman kongo na karibuni Tanzania mungu anawapenda siku moja amani itatawala jeshi letu lisiludi nyumba maana ndo kiapo cha jeshi kufia vitani

  • @chegekabati5819
    @chegekabati5819 3 года назад +1

    i have admired the general

  • @jacklinmasawe2697
    @jacklinmasawe2697 2 года назад

    Mungu wasaidie wakongo waishi kwaamani

  • @jacklinmasawe2697
    @jacklinmasawe2697 2 года назад

    Jamani jenerali anaongea kiswairi vizuri mpaka lahaaaaaa

  • @obedicamunani
    @obedicamunani Год назад +1

    Pamoja na mungu tuta shina

  • @ZakariaSkanda
    @ZakariaSkanda 2 дня назад

    Wananchi wa congo kazaneni munguatawasaidia shike I panga nashoka mfike mpaka ruanda

  • @heritiertumusifuruvugwa7553
    @heritiertumusifuruvugwa7553 2 года назад +1

    Beni pole saana. Wadunguzango pole kabisa

    • @QTQT-gj9kt
      @QTQT-gj9kt 8 дней назад

      Those Journalists always hide the truth why They don't mention all the bombs launched from Congo DRC to Rwanda and killing more than 5 people with hundreds injuries
      Ces journalistes cachent toujours la vérité, pourquoi ne mentionnent-ils pas toutes les bombes lancées du Congo RDC vers le Rwanda et tuant plus de 5 personnes avec des centaines de blessés

  • @Mapendondyanabo
    @Mapendondyanabo 3 месяца назад

    Asantekututumiyavidio

  • @hamisigazza2838
    @hamisigazza2838 3 года назад

    Mungu awasaidie sana wananchi wa congo

  • @mikewilliam6907
    @mikewilliam6907 3 года назад +3

    One love Tanzania

  • @wonderfulmedia4697
    @wonderfulmedia4697 4 года назад +15

    Umoja wa mataifa ni wanafki wanajua vizuri ya kwamba Raisi Museveni ndiyo muhifadhi mkubwa wa waasi hao.

    • @onesmokaganda9533
      @onesmokaganda9533 3 года назад

      0

    • @mursallusinde9189
      @mursallusinde9189 3 года назад

      Kifupi wanao nufaika na madini ya Congo ni Rwanda na uganda na mzungu pia analetasilaha anabadikishana na dhahabu.. Viongozi wa Congo bado wapo kweny usingiz mzito siku wakiamka madini yameisha🙌

    • @QTQT-gj9kt
      @QTQT-gj9kt 8 дней назад

      Those Journalists always hide the truth why They don't mention all the bombs launched from Congo DRC to Rwanda and killing more than 5 people with hundreds injuries
      Ces journalistes cachent toujours la vérité, pourquoi ne mentionnent-ils pas toutes les bombes lancées du Congo RDC vers le Rwanda et tuant plus de 5 personnes avec des centaines de blessés

  • @chingaboy6917
    @chingaboy6917 3 года назад

    Mungu awachome ao wauwaji

  • @godisgood2114
    @godisgood2114 3 года назад +3

    My people Congolese We need to stand up and fight with this 3 country ouganda, Rwanda. And Burundi we need peace in East of congo

  • @jamesmatondo29
    @jamesmatondo29 3 года назад +2

    Que le bon Dieu vous protege merci beaucoup notre FARDC

  • @JamesMgala
    @JamesMgala 11 месяцев назад +1

    Jambo ndugu ivi leo waasi wanakuwa wapi ?

  • @rwesimbibicharles8994
    @rwesimbibicharles8994 3 года назад

    Inauzunisha sana kbs

    • @QTQT-gj9kt
      @QTQT-gj9kt 8 дней назад

      Those Journalists always hide the truth why They don't mention all the bombs launched from Congo DRC to Rwanda and killing more than 5 people with hundreds injuries
      Ces journalistes cachent toujours la vérité, pourquoi ne mentionnent-ils pas toutes les bombes lancées du Congo RDC vers le Rwanda et tuant plus de 5 personnes avec des centaines de blessés

  • @silayovitalis1625
    @silayovitalis1625 2 года назад +1

    Yanga

  • @lelozaina8711
    @lelozaina8711 3 года назад

    Drc tumeteseka sana akuna waasi watanaswa ni wongo ya serkali zetu

  • @kaboberdo227
    @kaboberdo227 3 года назад +3

    Bado kati ya Monusco kuna waasi pia, wanaoficha ADF fulani fulani, ni hasa wa kabila la wanyarwanda . Angalieni vizuri, mutawagunduwa kati ya Monusco kabla hawaja jificha.

  • @mathewtwimanye92
    @mathewtwimanye92 4 года назад +6

    Miaka 7 hawajawaangamiza waasi hayo ni maigizo kuna mchezo mchafu hapo

  • @therockn1666
    @therockn1666 Год назад +1

    ben,Ituri wanaitaji M23 ndio peke itaosha hawo wawuaji wa ADF kama vile imewafurusha FDRL ruschuru na masisi bira m23 ADF itawatesa mpaka

  • @SébastienKaitano
    @SébastienKaitano Год назад

    ba soda ya Rwanda bakotata na Congo bavadi bisope tokota kuna tovanda totikate bango babomibiso mingi

  • @mohamedabdullahi8874
    @mohamedabdullahi8874 2 года назад +1

    If our kenya force managed to maintain peace and security through UN mandate of keeping peace In East Timor,Bosnian,Croatia,Liberiia,Angola,Sudan DRC Goma nini,we shall overun M23

  • @achillenamikomachilinlin1314
    @achillenamikomachilinlin1314 4 года назад

    Hatari sana

  • @AbelMoussa
    @AbelMoussa 2 месяца назад

    Asante

  • @germainwakati7429
    @germainwakati7429 4 года назад +3

    Jamani siwatuachie inchi yetu

  • @mathewtwimanye92
    @mathewtwimanye92 4 года назад +15

    Issue kubwa nani anawafaziri waasi kwa siraha? Huyo Ndio mchawi, Duu madini yetu bado tunauawa mzungu hafai hata kidogo

    • @samoocoolingsystem93
      @samoocoolingsystem93 4 года назад

      Ni Kweli kabisa hao silaha wanapata wapi kama sio kuna mtu nyuma yao wanawapa

    • @maishacenter-eastafricatv3976
      @maishacenter-eastafricatv3976 3 года назад +2

      Wanapata Rwanda

    • @mursallusinde9189
      @mursallusinde9189 3 года назад +1

      @@samoocoolingsystem93 hakuna asiyejua kua rais kagame anahusuka moja kwa moja na vikundi baadhi ana husika navyo kuna tetesi nchi ya rwanda na uganda zina mikono yao ktk hiv vikundi lengo ni kupora madini... Nimefatilia kwa kina sana kuhusu hiv vikundi na aliye nyuma yake so sina Shaka na ninacho kiandika...... Kma unakumbuka wakti rais kikwete akiwa madarakani aliwahi kupeleka jeshi congo kulinda amani wakti ule kikundi cha M23 ndo kilikua tishio hasa na jeshi letu likaenda kufyeka wote mpka lile kundi likasambaa... Rais kikwete alipeleka jeshi kwa nia njema kabisa kunusuru wananchi na Mali zao.. Kilicho ibuka baada ya hapo rais kagame alianza maneno maneno sna baada ya lile tukio na alianza kumsakama kikwete waz waz ila sababu ilikua ni hiyo wale walikua ni vijana wake

    • @mursallusinde9189
      @mursallusinde9189 3 года назад +1

      @@samoocoolingsystem93 hakuna asiyejua kua rais kagame anahusuka moja kwa moja na vikundi baadhi ana husika navyo kuna tetesi nchi ya rwanda na uganda zina mikono yao ktk hiv vikundi lengo ni kupora madini... Nimefatilia kwa kina sana kuhusu hiv vikundi na aliye nyuma yake so sina Shaka na ninacho kiandika...... Kma unakumbuka wakti rais kikwete akiwa madarakani aliwahi kupeleka jeshi congo kulinda amani wakti ule kikundi cha M23 ndo kilikua tishio hasa na jeshi letu likaenda kufyeka wote mpka lile kundi likasambaa... Rais kikwete alipeleka jeshi kwa nia njema kabisa kunusuru wananchi na Mali zao.. Kilicho ibuka baada ya hapo rais kagame alianza maneno maneno sna baada ya lile tukio na alianza kumsakama kikwete waz waz ila sababu ilikua ni hiyo wale walikua ni vijana wake

    • @kizambohermaton3514
      @kizambohermaton3514 3 года назад

      Hii inaniudhi Sana!. Waasi vifaa vya kijeshi Wana to tumia nivya halo ya juu Sana. Wafrika tuache ujinga wakutumiwa na nchi za nje kuangamiza wafrika wenzetu. NANI ANAFADHILI MAKUNDI

  • @georgemusubao4084
    @georgemusubao4084 3 года назад

    Cool

  • @francislomba7546
    @francislomba7546 3 года назад

    god is big

  • @kizambohermaton3514
    @kizambohermaton3514 3 года назад

    Nani ANAFADHILI wa waasi Hawa?. Wafrika tutauna Hadi lini?. Maraisi wa uganda,rwanda na drc wanakuja ukweli wa MAKUNDI haya jameni tuongee ukweli. Inaniudhi Sana kuona watoto wadogo wakipitia mateso yakutisha. Mlungu bariki africa.

  • @KarimBelisa
    @KarimBelisa 11 месяцев назад

    Jambon tumefuraia kusikia ma ha bari kutoka sauti y'a radio bbc

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 3 года назад +2

    Halafu kuna bwege mmoja Tz akishiba anaanza KUOMBA vita

  • @rashid3562
    @rashid3562 Год назад

    Amani japo ya woga Tanzania tunajivunia

  • @wamunguemmanuel6784
    @wamunguemmanuel6784 4 года назад +2

    Hiyo askali, ya m7 ndiyo yanye, inahalibisha, congo

  • @joelnyabwana5096
    @joelnyabwana5096 3 года назад

    Courage FARDC💪💪💪

    • @ndevundavo7798
      @ndevundavo7798 3 года назад

      Ao ukiwawekea tu ngoma ya koffi olomide na siraha wanatupa wanaanza katika viuno

    • @estajeanette7487
      @estajeanette7487 Год назад

      Ndevu. Funga matako yako.

  • @johnyagat973
    @johnyagat973 3 года назад

    Wangeacha vita wakaingiza pesa za kigeni kwenye milima ya rwenzori kwa kupokea wageni na sio vita acheni vita sisi africa ni moja

  • @ndayishimiyejean6262
    @ndayishimiyejean6262 6 месяцев назад

    Waace kubaguwana afraca ya waafrica banyamulenge ni wakongo

  • @donmlevi
    @donmlevi 4 года назад

    Poa poa Mary Mgawe

  • @selemanabdalla342
    @selemanabdalla342 4 года назад

    Waasi wakubwa Ni hao wanaojiita jeshi la umoja wa mataifa hilo Ni jeshi la wauwaji wakubwa hata hao waasi wao ndio wanawafadhili kuuwauwa wakongo utumwa wa kiakili

  • @johnsonmangala2446
    @johnsonmangala2446 3 года назад +1

    Nafikiri kusudi tushinde wahasi wa adf nalu na vitendo vya ukaidi vinavyo fanika mashariki ya nchi yetu, tukate mausiano yeyote na Rwanda na uganda, kufunga mipaka yetu, baadaye kuondowa majeshi wageni kama wa nyarwanda ndani ya army yetu ya fardc, nakuachana na monusco sababu ndo wana lisha magaidi msituni na kuwapa silaa.

  • @godfreyobadiah7892
    @godfreyobadiah7892 2 года назад

    Wazungu wanaomdanganya Kagame ajihadhari, watamgeuka km walivyofanya kwa Savimbi wa Angola.

  • @awardhakimu4777
    @awardhakimu4777 3 года назад +1

    Yani mm ningekua kiongozi wa Jeshi ningewauwa wote nchi kama congo ina lasilimari vip ulinzi kuwa dhaifu

    • @goldensensemedia.7906
      @goldensensemedia.7906 3 года назад

      Congo is facing military embargo, Kuna silaha hawaruhusiwi kununua baadhi ya silaha

  • @noemwamba2366
    @noemwamba2366 3 года назад

    Nzambe tala ba congolais

  • @nzeyimanaambari9754
    @nzeyimanaambari9754 Год назад

    Magharibi mbona hawajalaani huo uasi kweli wazungu mnatutesa ulimwenguni mna chochea muuwe mpwate

  • @mhifadhi797
    @mhifadhi797 3 года назад +3

    Wanatoa wapi silaha,risasi,vyakula na hifadhi mavazi🤣🤣

    • @rehemamlowe5104
      @rehemamlowe5104 3 года назад

      Laisi Wa Congo yupo kweli,wasaidie jamani Mbona shida

    • @mhifadhi797
      @mhifadhi797 3 года назад

      @@rehemamlowe5104 tatizo wanapenda ili wapate misaada

  • @Enemyofallah-y4u
    @Enemyofallah-y4u 4 года назад +1

    Serekali ya Congo una jali tu Kinshasa

  • @kapasakitengewalumweno9448
    @kapasakitengewalumweno9448 3 года назад +1

    ENDELEYENI HADI UGANDA MZEE!!

  • @coloradocity3669
    @coloradocity3669 3 года назад

    STP BO TRADUIRE BISO NA LINGALA, BAZALI KOLOBA NINI PO NAMONI BALAKISI CASQUE BLEU MOKO YA SOLDAT MOKO ????

  • @bmsecuritydorchester2844
    @bmsecuritydorchester2844 4 года назад

    Waasi ni hao hao wanajeshi kutoka rwanda ndo wanao huwa watu hovyo!

  • @husseinmndeme5380
    @husseinmndeme5380 2 года назад

    Tunaomba amani idumu Kwa jirani yetu

  • @greysonmheni5176
    @greysonmheni5176 3 года назад

    Miaka 20 umoja wa mataifa una walinzi wa amani huko lkn hakuna mabadiliko yoyote ya maana,hizi ni mbinu tu za kusababisha mgogoro uendelee ili kuiba madini ya congo.Viongoziwakiafrika mkiendelea kuwategemea hawa mbwa wa kizungu mtaendelee kuteseka na kuwatesa raia wenu milele,acheni unafiki

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 3 года назад

    Izo ni biashara za wazungu, baana,yaaani zitoke ndenge zote za kivita,Askari wote wa Dunia hiii ,halafu hao washenzi wabakie

  • @achillenamikomachilinlin1314
    @achillenamikomachilinlin1314 4 года назад +2

    Monusco hakuna kazi yenye wanafanya generali

  • @bugaleriziki5633
    @bugaleriziki5633 3 года назад

    Sasa serekali ya congo inachunga nini kwanini wasichunge mipaka sasa rais wa congo ni mavi mwenyewe

  • @wonderfulmedia4697
    @wonderfulmedia4697 4 года назад

    Msipige adui mumupige President Museveni yeye ndiye mwenyeji wa Kundi hilo la waasi hao.

  • @Enemyofallah-y4u
    @Enemyofallah-y4u 4 года назад +2

    General afanani mazoezi sad 😞 RIP MAMADOU

  • @bjabdi6582
    @bjabdi6582 3 года назад +1

    DRC needs to have the military who are not afraid like Mamadou ndala. Also, DRC soldiers some are very corrupt with Their neighbors countries such as Rwandan's government.

  • @djosskiala1845
    @djosskiala1845 3 года назад +1

    Inafa ma bass ziwekue kila pali

  • @karimadgul8914
    @karimadgul8914 3 года назад

    Yooooo pol

  • @taylorsuapatv5171
    @taylorsuapatv5171 2 года назад

    Merci beaucoup à nos vaillant militaire que le Dieu très haut vous protège et qu'il nous donne la victoire

  • @NestoBanda-c4r
    @NestoBanda-c4r 3 дня назад

    ilo kundi chomeni moto ilo kundi lote mana naona munawabebeleza tu apo tumen ndege yakivita piga fire

  • @alphayomogunde7828
    @alphayomogunde7828 7 дней назад

    Kutoka jiji la Nairobi Kenya, nawafuatilia kwa Karibu sana. Wakongo ni watu wajinga! Vita kutoka miaka ya1840-2025 ?!

  • @tonnyanthonys2159
    @tonnyanthonys2159 3 года назад

    Kwani shida hua ni ipi kule., Ni muda sasa nikisikia hizi vita.

  • @SYAVUYIRWA_SYAYIPUMA
    @SYAVUYIRWA_SYAYIPUMA 3 года назад

    Congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩 yetu 😭😭😭😭😭😭😘😘

  • @aleyidukury8333
    @aleyidukury8333 2 года назад

    Yote hayo yanaletwa na marekani Putin ndio muokoz wetu

  • @othmanally1230
    @othmanally1230 4 года назад

    Kongo Kongo hambaliki mm tangu Nina soma darasa LA tatu mpaka Leo ninawatoto 5 nasikiaga Kongo ni vita tu badilikeni na mumrudie mungu

  • @HellenMakund
    @HellenMakund 11 дней назад

    Rip general

  • @ndelaphilip1097
    @ndelaphilip1097 2 года назад

    Nela

  • @musangamfuracelestin6629
    @musangamfuracelestin6629 Год назад

    Tanzania ntamanyanga ntacyinyoma ariko umucyino uraho Kongo uri kurwego rwo hejuru.

  • @bmsecuritydorchester2844
    @bmsecuritydorchester2844 4 года назад +1

    Jeshi la monusco na jeshi la rwanda ndo wanajeshi wanao wauwa watu kutaka waache miji wazi wa tusti kutoka rwanda waje wakakae ndani ya miji kitu ambacho hakita wezekana kamwe...!, pia video zote hizo ndugu mtangazaji anazotuonyesha heti wanapiga ni uhongo mtupu hakuna mtu ao waasi wanao pambana nao hongo yao wanajifyaturia risase bure tu, hizo ngombe hizo...!

  • @gapitadenis3542
    @gapitadenis3542 4 года назад

    Itafikiya hata Goma wenye wariwuwa Ambasadeur wa itali ni Mai Mai Ya Serufuri hutu

  • @lelozaina8711
    @lelozaina8711 3 года назад

    Wongooo mtupu wanasiyasa wetu ndo wenye gundi la waasi

  • @kelvinluoga5140
    @kelvinluoga5140 4 года назад

    Miaka Saba Jeshi gani hilo

  • @VitalNgoma-x8x
    @VitalNgoma-x8x День назад

    😢😢😢

  • @sungesonji4412
    @sungesonji4412 3 года назад

    Monusco ndio inawapa silaha! Watu wanauwawa machoni pa monusco, sijui hao majeshi ya UN inafanya nini tuwafukuze na kuwauwa. Raia wa Kongo tusimame tuwafukuze monusco, na wa multinationales, na hao wazungu ambao wako mu virunga wote hao ndio wanathamini waasi wote nchini Kongo lazima tuanze kuwauwa sasa

  • @maishacenter-eastafricatv3976
    @maishacenter-eastafricatv3976 3 года назад

    FARDC hampendi nachi yenu

  • @neuillyjoyce1228
    @neuillyjoyce1228 3 года назад +1

    Rip mamadou ndala

  • @veroniquelukama1272
    @veroniquelukama1272 2 года назад

    Kanga.monoko

  • @irakozejclaude7869
    @irakozejclaude7869 3 года назад

    Kacheze lumba tu eti amani inanza kurudi kidogodogo😆

  • @jacklinmasawe2697
    @jacklinmasawe2697 3 года назад

    Tuishi kwaaman Tanzania vita mbay

  • @emmanuelmarafiki1022
    @emmanuelmarafiki1022 2 года назад

    Cirimwabo tunagufata aboba fpr musibitikiye kogombanisha mone sikosiyobizuri

  • @namirembedenise3393
    @namirembedenise3393 Год назад

    🙏🙏😳😳💪