Machafuko DRC: Je chimbuko la vita kati ya M23 na DRC ni nini?
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) kumeshuhudiwa mzozo na ukosefu wa utulivu. Kwa muda usiokuwa chini ya miongo mitatu. Ila katika muongo mmoja uliopita, mapigano makali yamezuka mara kwa mara.
-
Je machafuko haya yalianzaje? M23 wanahusika vipi? Je na kwanini Rwanda inatajwa?
-
Mwandishi wa BBC @munie_noor anelezea zaidi
-
Kutazama kwa urefu zaidi makala hii, tembelea ukurasa wa RUclips wa BBCSwahili
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
Dada uko vizuri taarifa zako zinaeleweka hongera sana
BEST VIDEO SO FAR ON CONGO \\ VIDEO BORA ZAIDI KUHUSU MZOZO WA KONGO
Safi Sana mwandishi wa Habari Habari zako ni lmara kbsa wandishi wahabari wange kuwa kama wewe Afathari
Nakubari kwa report yako ni ya kweli
Mutangazaji ameonekana anajua kirakitu ndani ya Congo zaidi asante kbs🫡
Asante sana mutangazaji
We're one people! Matabaka ya kikabila yanatupeleka wapi ?
Munira from mtwara girls...big up
Huyu dada yuko sawa kbs❤❤
Sasa Rwanda kama ina back up m23 jee congo inasaidiwa na how many countries? Na bado wanapigwa 😅congo inamashida mingi hadi kuzielewa ngumu
Huyo msomali kiswa ameiva
Sema mashallah 😂
Amebobea kweli kweli ndugu
sema wa congo.wenyew hawaeleweki wana salitiana wao kwa wao wanatuulia tu wanajeshi wetu wanaokuja ku wasaidia congo ni inchi kubwa sio kwamba hawawez kuunda jeshi kubwa kuweza kulinda inchi yao
Mtangazaj mnyarwanda😂
Mutu wote wasura nzuri ni mu nyarwanda ? Kwa nini siyo mu Kenya 🇰🇪 ?
@@janviernziga934kwahiyo wanyarwanda ndo wanasura nzuri na meno ya nnje etieeeee
M 23🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 god protecting true freedom is the Winner
Aaaa ok huyo mtangazaji nimemsikiliza vizuri sana, kumbe m 23 iko sawa kwenye kile kinacho
Endelea
Tutsi people are strong ! We are from heaven !
Hawatatumaliza , born mighty
Asate sana amesema ukweli
sawa ila nasema mtangazaji ni mrembo 😅
May God safe ,people of DRC in is mercy
Nchi hii ina madini mengi na ingekuwa mbali sanaa kimaendeleo basi tuu 😢 viongozi wameshindwa kuweka maslahi ya wananchi mbele.
Chimbuko ni hao mabwana mnao watumikia hususan Uingereza, Marekan, Ufaransa , Ujeruman na Ubelgij, na hiyo ni tamaa ya wazungu halafu mbaya zaid na niny mmekubali kuendelea kuwa watumwa wa Wazungu
Kama hujui historia uliza wakubwa hilo kundi limetokana na wakoroni kuigawa nchi ya Rwanda na Kuipeleka Congo pamoja na wana nchi wake
Mtangazaji ni mrembo
Huo ndo ukweli usiyo pingika
Kwa nn wasirudi Rwanda? Watutsi na Wahutu kwao Rwanda si warudi kwao? Kagame anaunga mkono hao M23 na hao watutsi je? Na Kwa nn waue hata wenyeji wakongoman?
@@MsAggie5fatilia historia vizuri ndio . Hayo yoote ni matokeo ya Berlin Conference iliyogawa na kuweka mipaka nchi za ki-Africa. kutokana na wakoloni kugawanya ardhi za waafrica Uganda watutsi wapo , Tanzania wapo, Rwanda wapo ,Burundi wapo, Congo wapo .
Hayo yoooote ni athari za Berlin conference,lakini jambo ambalo linafanya sisi waafrica tusielewane ni kukataa ukweli na tukatafuta muafaka wa kumaliza hilo tatizo , na wakati historia inasema kweli .
Tatizo ni kusukuma tatizo kwa nchi nyingine na kukataa kulitatua kama inavyostahili na hapo ndipo waafrica tunapotia aibu na wazungu kupata tena mpenyo wa kutuingilia na kutugonganisha ili nchi zetu ziendelee kuwa zenye migogoro then wao wafanye wanayotaka.
It is a time now for African country to solve our own problems openly and accordingly. Unless other wise we will continue to face the side effect of colonialism for no reason. We need to uplift our understandings and solve our regional problems effectively and accordingly.
Hatali
Mungu ndo anajuwa tu
MUNGU awasaidie congo
IPO siku kitaeleweka. Mungu yuu haiiii atasemakatu neno ju ya congo. Sijawahi ona taifa ambalo lina roho ngumu Kama wanyarwanda
We should build a giant 45 GW Grand INGA DAM hydroelectric plant in DRC CONGO Inga 3, 4, 5, 6, 7, 8.,.
Mungu tuu
❤❤❤❤❤❤❤❤ Mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmh Wangekuwa wenyej wasingefanya ivo lkn kwasabab sio kwao ila hlo linafaamika Rwanda yupo nyuma kwa jambo hlo Uganda ivo ivo yupo ndan yahlo Umo1 wataifa kwakuwa wa Kongaman ndo wanafariki akuna chakuongea lkn wangekuwa hao wacnge Mngeckia saut mbal-mbal Achen machafuko ya nchi
Hawa watu wanao anzisha vita hawana hofu yamungu!
Who is buying them uniforms and guns??
Kumbe ndo ilivyo? Ili DRC kupata amani ni kuwarudisha wanyarwanda wote kwao, vinginevyo hamatawaeza wanyarwanda. 😂😂😂
Kikwete aliwarudisha kwao watu wasiojua athari zake wakalalamika. Kumbe aliona madhara yake mbeleni. Nawashukuru viongozi wa Tanzania wenye mapenzi na nchi yao na kutoa kipaumbele maslahi ya taifa kwanza kabla ya urafiki wa ujirani ambao siyo mara zote una manufaa.
❤
bbc hebu taswira kuhusu hao mamluku na kwanini wasi wajibiswe ili tujuwe ni wanatumikia kwa maana niwazi M23 ni wazawa
Tuko pamoja
Nilikuona nanikajuwa we’re ni mnyarwada ndo mana unawapaka mafutam23
Mhhh
😢😢😢😢
Nikupe nyepesi nyepesi Konde Gang yataka kumsaini Msanii mpya anaeitwa Hamy Love anaetamba kwa wimbo wake wa Subira andika Subira by Hamy Love ukaone utamu wa huyo mwamba
Hao wazungu walimuua Mbena maono ya congo juzi hapo ndio wamerudisha jino la mwamba
Vita congo kuisha,ni mpka wacongo wawatoe maafisa wa kijeshi wakitusi,walio ndani ya jeshi la DRC
Kumbe wa Africa muna matatizo kweli hawo watusi wa Congo unazani si wapo nchini mwao pia hivi Tzd inaweza kumufukuza Mumasai kwamba arudi Kenya? Au Mkenya kumufukuza mumasai wa Kenya kwamba aende Tzd acheni ushamba lawama za Wakoroni munazipeleka kwa Wanyarwanda acheni ujinga na kukalilishwa maneno musiyo kuwa na uhakika nayo
@Mutako-ig1ik nyie mnaendesha nchi kwa dhahabu y congo.kwenu hakuna kitu zaidi y parachichi.hamna zahabu,almasi,copa,gesi,mbao.hata viwanda hakuna.
@hamadsheni8997 haaaaaaaa sasa huoni haibu kweli kwa unayo yazungumuza pole
Rwanda inatengenezwa iwe kama izrael kujitanulia maeneo kwa manufaa ya wamarekani na England na magharibi yote
Chanjo ni Marecani kutaka kupola madini yao kwanguvu nakuanzisha mtafaruku kwakutumiya nchi fulani kwa kimvuli cha M-23
Uongoo bwana
M23 wanapigania eneo lao ambayo ni potential ,,eneo ambayo mataifa ya kibeberu yanatolea macho congo nenyew wanapambn kuwaondoa M23 ili wawekezaji wa nje waweze kumilik kitu ambacho waasi hawako taar ,kumbuka hao waasi ni Watusi cz eneo Lao limepakana na Rwanda na Uganda ndo mana wanapata msaada mkubwa kutoka Rwanda na Uganda ,,,Rwanda na Uganda zinananeemeka na ukanda huo wa masharik mwa Congo malighaf zaikisafirishwa zinapitia kwao ,,,,ukikaa na kufikiria utasema hao kweli ni waasi lakini wanapigania eneo Lao km ilivyo kwa wamasai na ngongoro
Congratulations M23❤❤❤😂😂😂
Congo hatuna watusi, Mtusi wote ambae iko Congo nimyarwanda, huo sio Mkongomani maana Congo hatuna watusi haswa waongea Kinyarwanda
Sasa ilikuwaje mkaruhusu waishi ndani ya kongo kama kabila?
Kwanini wanauzika kama Rwanda inasaidia M23 lakini wanasahau kama DRC inasaidiwa na Burundi,na Private armies from Armanie FDRL wazalendo even monusco sasa kimya tutashinda sisi namwenyezi mungu
Hakuna cha M23 hapo hao ni wanajeshi wa Rwanda.
Congo haina Raiya hata wahutu wa Congo hawana akili ndiyomaana Mungu atazidi kuwazibiti nyinyi ndiye mumezaliwa nakaini munaubaguzi Watusi nitaifa la Mungu hata tukiwashika maaduyi zetu tunawapa musamaa sisi nitaifa La Mungu angalieni Congo inaungwa mukono na lnterahamwe watu wamelaaniwa na Mungu kwamauwaji yakikabila Rwanda hata piya na Congo ndiyo maana mutashindwa paka siku Mungu atarudiya kucukuwa taifalake takatitu kama Wa nyamulenge wa Congo kutoka Minembwe na Masisi
Kama watusi wako kwa mpakani wa congo na Rwanda waachwe wake lakini kama walikimbia siku za vita ya Rwanda warudi kwao
Wenye walikimbia muliwapokea vizuri na nimajeshi ya RDC. Mulipokea mkoshi kabisa. Wana anza kuwuwa watu nakuwakula. Fukuzeni washenzi kwenu
Munyarwanda Nani anakuruusu ku pana habari.nyinyi aduwi ya DRC
Mtu aniambie jina ya huyu mutangazaji??
Viva m23
Sasa kama hao ni wazaliwa wa congo wanapigania nini ili kuitwa raia?hamuoni kuwa mi wanyarwanda wanataka kujipandikiza kabila la kikongo?ati ni wakongo wanao tumia lugha ya kinyarwanda!?hamuoni hata aibu?lini mlisikia mkongo akiongea kinyarwanda?subilini mtakufa.
M23 wapewe inchi yao kuwe na Congo kusini na Congo kazikazini
We ni miongo ucha ujinga
Unaongea isivyo vita niuwizi
Siku piganiya watusi
Nauliza hawa Wahutu tunaowajua wanaijambisha Israel na Marekani ni wakali.Wahutu wametoka Yemen wamrudi kwao Rwanda😂😂😂
Weye dada mtusikaji utukome na utukomazike
Hiyo Ni miradi ya watu kuvuna mali
m23 wapewe nchi yao waongoze na walinde wananchi na raslimali zao
Mtusi siyo mkongomani murudi kwenu Rwanda atumitaki ata kama mulizaliwa Congo please go home and don't forget enough is enough this is the end God is with us
Shenzi type.
Na haka kanakotangaza hii habali nikafusi kaliko zaliwa nawanyarwanda tanzania ukie huk alusha utakutana nao wa kijiita wamasai
😢😢 mind ya ni 💩
Kama Kuna ukweli hivi ok Mungu awape akili watu Wa Congo na makabila yao Tanzania tumeweza kuya kalisha chini makabila yote na kuelewana hivyo hivyo bado Zanzibar nawenyewe wata kaa chini vzr.
Acheni ujinga congo hakuna kabila la kitutsi,wewe mwenyewe mrwanda,rwanda kuna kabila tatu tu lakini mnabaguwana
Wemwenyewe ni mtusti ndomana unawasemea
Hhhha hakili ndogo
M23 yafaa jeshi la kenya.siku 3 tutakuwa tumerudisha goma kwa drc govt
Keep dreaming even Romania mercenaries wame failed, Tanzania, Burundi, south Africa, Mali, tangu lini Kenya imeshindwa na bandit baringo wanaweza resist kweri 20minutes?
Boza ba escroc ba mabolo ya ba maman na bino na ya kagame 243 libanga🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Unovoongea siyo ni uongo mtupu
Its your war on terror,in 2014 Paul Kagame killed Patrick Karegeya in S.A
Faustin Nyamwasa was shot and wounded in Johannesburg in 2010.
Seif Bamporiki Killed in Cape Town
Samuel Habimana killed in Zimbabwe in 2024
Théogène Turatsinze killed in Mozambique in 2021
Seth Sendashonga and Siragi Rubayita killed in Kenya
Noel Halimana killed in Malawi
Mtanganzaji mwenyewe,mtusi ndomana ameandika habari zinazo egemea upande wa M23, Mtusi ww
ahahhahah pole sana nawewe andika habari yako inayo ihusu congo
Hakuana chatamaa haya nimatusii makorofi
This is very Embarrassing!!!
Jumuiayaafurikamashariki imeshindwakuisaidiakongo. Kongoombenitaifakama urusiliwasaidie
Tosha ka sura ka refu pale
Mrembo kushinda dada yako
Uko umbwa ety izo umbwa za m23 ety ni wa congo umbwa sn ww iyo sura ya mutusi ww uko una teteya izo umbwa zako m23
Woe ndiyo mujinga Na iyo ujinga itawaishiya
Watutsi ni wauwaji , sisi WaKongo hatujafanya uhakika kamwe pia wahutu na watusi ni wageni nchini Kongo
Msitufanye wajinga inajulikana Rwanda Ina ipiga congo kwa tamaa tuu
niuwongo hakuna efedeleri congo rasirimalimani.yakongo.ndiyo.efedeleri
Mtangazaji unazingua ujue
Unaongeya usicho kijuwa hatunarahiya watutsi ndani ya congo,acha kupoteza data zawatu mpubavu wewe
Hauna hakili ya utangazaji rakini pia wewe finywa kama wengine unaegamia pande moja boss of this girl removed in in your page just removed 😊
😂😂😂😂
Ukweli ni Mungu anajuwa na yeye ndiye ata hamuwa sababu ni yeye muumbaji wa mbingu na Dunia. tunaeza ongeya juu tusikike na watu Kwamba na haki hayo yote ni Bure ni Mungu ndo mtetezi wa haki tunyamanze.
Huyu mbona na yeye ni mtusi
Uyo mutusi 2 ana lolote
atuambie vizuri
Na ww ni mtusi
And so??
Location of goma i
n drc
Ma of Rwanda
Sasa siii warudi kwao rwanda
Unashangaza sana eti warudi kwao Rwanda ?, kwao sio Rwanda kwao ni Congo !,ukubali ao husikubali ndo maana wanaridi kwao congo, alafu cha ku shangaza hizo Provence mbili (Nord Kivu na Sud Kivu) Majina za localités, groupement, na Districts naza Chefferies ziko kwa lugha za kinyarwanda na ma volcans zote kisha mnasema sio kwao ,hiyo inaingia kwa akili timamo?!.
Wewe ni mtusi pia