Waasi wa M23 waudhibiti mji wa Goma na kuwakamata mamluki wa Jeshi la Congo na wanajeshi wa FARDC .

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025
  • Baada ya ku chukuwa mji wa Goma ambao ni mji mkuu wa Kivu kaskazini, waasi wa M23 wameanza msako wa wanajeshi wa serikali na wote walio kuwa wakishirikiana nao hasa wanajeshi kutoka Burundi na mamluki kutoka Ufarsa na Rumani .
    VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani-leo na Makala Maalum ya Jarida la Wikiendi.
    Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
    Matangazo yetu yanasambazwa kupitia satellite, cable, FM na MW, na and kupitia mtandao wa vituo vya matangazo vya washirika wetu takriban 3000.
    Tangu kuanzishwa mwaka 1942, Sauti ya Amerika imeendelea na azma yake ya kutoa habari za kina na kuwaambia wasikilizaji wake ukweli. Tangu kipindi cha Vita Vya Pili vya Dunia, Vita Baridi, Vita dhidi ya ugaidi wa kimataifa, na juhudi za ukombozi duniani kote hivi leo VOA imekuwa mfano katika kutekeleza kanuni za vyombo vya habari huru.
    Jiunge na VOA Swahili:
    » Tembelea Tovuti Yetu: bit.ly/3PtyNWc
    »Angalia Video Zaidi za VOASwahili: bit.ly/3TNTiiI
    »Pakua VOA+ katika vifaa vya Apple : bit.ly/VOAPlus
    »Download VOA+ katika vifaa vya Android bit.ly/3KykriI
    »Tembelea Tovuti yetu: www.voaswahili...
    »Upende ukurasa wetu wa Facebook: / voaswahili
    »Tufuatilie katika Instagram: / voaswahili
    »Tufuatilie katika X: / voaswahili
    »Tufuatilie katika RUclips: / @voaswahili
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 546

  • @DanielNtambala
    @DanielNtambala 6 дней назад +38

    Aaaaaah, nimeona tu KISWAHILI nikaamua kuwafuata maana nitaelewa kirahisi, ahsanteni sana, mmeshtuka mapema sana, kiswahili kitakuja kutumiwa sana Afrika. Hongereni

  • @Dcreature-Tz
    @Dcreature-Tz 7 дней назад +32

    Asante Baba kiswahili kimenyoka Thank you I like the you speak peace in Swahili❤❤❤Amani Congo

  • @GeoffreyOino-h7h
    @GeoffreyOino-h7h 7 дней назад +46

    I love one guy mwenye ameongea kiswahili sanifu...bila kuweka banatusumbua ,banataka na connecticio,thanks.. May peace be in congo

    • @JohnJustuce
      @JohnJustuce 7 дней назад +1

      😂😂😂baaache baende

    • @Djdimeja
      @Djdimeja 7 дней назад +1

      Jina ni Willy Ngoma

    • @SimonMwita-k8s
      @SimonMwita-k8s 6 дней назад

      It's like this happened to DRC.this mamuluki on gorvement side they are on side of this croks ediots m 23

    • @allysakate5411
      @allysakate5411 6 дней назад

    • @Danchira_dan
      @Danchira_dan 4 дня назад

      😂😂

  • @Steph-bh8fm
    @Steph-bh8fm 7 дней назад +87

    Afande Willy Ngoma, well done 👏

  • @ronaldkimengich8958
    @ronaldkimengich8958 7 дней назад +36

    I Love m23 Very Nice 👍👍👍👍 Fighting for your rights hii upuzi ya France kucontrol Africa ikome

    • @benjaminlawi1400
      @benjaminlawi1400 7 дней назад +1

      You think M23 don't have White background??

  • @Veni584
    @Veni584 7 дней назад +9

    Duh! Wana roho nzuri

  • @Eliasryoba-z7d
    @Eliasryoba-z7d 5 дней назад +2

    Eee Mungu ijalie amani Congo na Africa kwa ujumla

  • @KipajiMenge
    @KipajiMenge 2 дня назад +1

    Kabisa mungu bariki Tanzania baliki afrika 💪💪💪🇹🇿

  • @UBUMENYINYABWOTV-1
    @UBUMENYINYABWOTV-1 7 дней назад +128

    Everyone in DRC is fighting for minerals except M23 they're fighting for their lives

    • @malcomketer8262
      @malcomketer8262 7 дней назад

      I think leaders of M23 have invested in real estate in Kenya in exchange of minerals... it's true... M23 is funded by western countries thru Rwanda

    • @RiphinMolika-u3b
      @RiphinMolika-u3b 7 дней назад +1

      Are you crazy?? You are Congolese or rwandan?

    • @UBUMENYINYABWOTV-1
      @UBUMENYINYABWOTV-1 7 дней назад +8

      @RiphinMolika-u3b I'm Congolese from Masisi, I know what I'm telling you! And you don't know how painful to be called munyarwanda and being descriminated because you speak kinyarwanda

    • @HorebuKasuku-zz8cj
      @HorebuKasuku-zz8cj 7 дней назад

      😂😂 SO WHAT DO YOU WANT?​@@UBUMENYINYABWOTV-1

    • @UBUMENYINYABWOTV-1
      @UBUMENYINYABWOTV-1 7 дней назад +6

      @@RiphinMolika-u3b And am not ashamed to say that I love Kagame and Museveni coz they are only leaders who understand our painful! So we'll fight for our rights until the end of this world

  • @gladesedwin4348
    @gladesedwin4348 7 дней назад +45

    Kazi nzuri kaka,Mungu akupe maisha marefu reporter wetu kutokea Kongo,huna baya

  • @everyyy9923
    @everyyy9923 7 дней назад +37

    Y’all built like bodybuilders! Mad respect to M23 Rwanda. ❤❤ wr support

  • @PascalDavid-u1b
    @PascalDavid-u1b 7 дней назад +7

    Pole sana ndugu zangu wa goma

  • @MaurusMpinga
    @MaurusMpinga 7 дней назад +22

    Wanajua kitakachowakuta wakiwaua 😂😂😂😂afrika bado sana

    • @gilbertesifa230
      @gilbertesifa230 7 дней назад

      Ndo hapo sasa. Wa subutu wale wauwaji. Manyama

    • @KitomangaMpango
      @KitomangaMpango 6 дней назад +1

      We uko imbwa sana njuu ya kuwacha wane we unanjua kua wanangoa nkitu apana we uko bupumbafu au a na akili mukicha yako nyama wew

    • @alexandrucarmen3185
      @alexandrucarmen3185 4 дня назад +1

      M23 ni makomando halisi hawawezi kuuwa hovyo wanachotaka ni haki sawa kwa wacongo wote congo ya mashariki imeumizwa sana

    • @phoibemkumbwa5945
      @phoibemkumbwa5945 2 дня назад

      Umo kwenye vimabag vyao ndo kuna madini ivo yanaondoka

  • @FrankNafasi
    @FrankNafasi 7 дней назад +42

    M23 SIO WAASI MI NAWAKUBALI SANA M23 WANAPIGANIA HAKI YA NCHI YAO

    • @NoreveLeroyIBADJINOUVING
      @NoreveLeroyIBADJINOUVING 7 дней назад +1

      Les droit de la RDC c'est d'être annexer par le Rwanda ?
      Toi si tu es congolais vraiment kiadi quoi

    • @gilbertesifa230
      @gilbertesifa230 7 дней назад

      Haki gani wewe nyama

    • @RunezerwaPaul
      @RunezerwaPaul 7 дней назад

      ​@@gilbertesifa230
      Haki yakukuwa na freedom Kwa inchi yao

    • @epardsijali
      @epardsijali 7 дней назад

      Unajua mkubwa wa M23
      Kama kweli wana uzuri wa kongo
      Na willy ngoma ni msemaji na sio mkuu

    • @KhadidjaGihozo-dl9uk
      @KhadidjaGihozo-dl9uk 7 дней назад

      Asante ndugu yangu 23❤❤❤

  • @arnaulddolfi20
    @arnaulddolfi20 7 дней назад +50

    Bravo M23 ! M23 wako na haki !

  • @gegerenne897
    @gegerenne897 7 дней назад +25

    Mungu abariki M23 tena awo ndio wazalendo wa ukweli.pigania inchi yako na wandugu zako.thisekedi mwizi enemie wa congo100%

    • @gilbertesifa230
      @gilbertesifa230 7 дней назад

      Uko nyama kabisa. Watusi wanajionesha wazi

    • @gegerenne897
      @gegerenne897 7 дней назад

      @gilbertesifa230 ww ni mbaho aoo?sisi wote ni nyama ndugu.wacheni chuki mupate amani

  • @jontecaros3194
    @jontecaros3194 7 дней назад +21

    Huyu Commanda wa M23 ako sawa kabisa ana moyo wa samaha😢 M23 lindeni nchi yenu!

  • @AshuraMhando-m9w
    @AshuraMhando-m9w 2 дня назад

    Huyu Mwana habari namkubali sana Mungu Amlinde kwa kweli napenda unatoa habari za kueleweka❤

  • @HidriPro
    @HidriPro 7 дней назад +22

    Alihamdurilah m23 ❤❤❤❤❤

  • @peterkanamugire7216
    @peterkanamugire7216 7 дней назад +27

    Congz M23 liberation group professionnel, patriotisme, organiser than FARDC

  • @gl-uo6ny
    @gl-uo6ny 6 дней назад +3

    Mwenyezi mungu awapiganie wandugu zangu emwola wetu tunakuomba uwapiganie wewe ndie mwenye nguvu zakutosha

  • @UwambajimanaAugustin
    @UwambajimanaAugustin 7 дней назад +6

    ❤❤ Bravo, Wiringo,nikwer

  • @chemosisoi5561
    @chemosisoi5561 5 дней назад +1

    Austera malivika you are still a live? Live long sir,nimekaa sana bila kukuskia pole sana kwa kazi ngumu

  • @EGM-TZ
    @EGM-TZ 5 дней назад

    From #EconomicallyGrowthMusicians Poleni sana Guys EGM Tunawapeni sana pole ningi na za dhati

  • @Karashpeewee
    @Karashpeewee 7 дней назад +38

    M23 I think it’s for good reasons even Congoleses ppl thy are fighting with M23 that’s really for good purpose ❤

    • @grasstete9236
      @grasstete9236 7 дней назад

      God forgive you because you don't know what you're saying

    • @nuhyabdul6587
      @nuhyabdul6587 7 дней назад +1

      Yeah me too

    • @Lastbornecadet
      @Lastbornecadet 7 дней назад

      Fighting for good in someone's land😭 stop that foolish

    • @labeza_rw
      @labeza_rw 6 дней назад

      ​@@LastbornecadetThey are in their homeland too

    • @6xsavs
      @6xsavs 6 дней назад

      @@Lastbornecadet Yes leopold's land that he stole.

  • @KamitiJohn
    @KamitiJohn 7 дней назад +8

    Good , following from kenya.

  • @FistonKayi
    @FistonKayi 7 дней назад +3

    Suis content pour cette situation

  • @NeemaMateleka
    @NeemaMateleka 5 дней назад +1

    Mungu awape amani na utulivu mungu awakumbuke

  • @MohdMkubwa-v8k
    @MohdMkubwa-v8k 6 дней назад +7

    nimefurahi sana kuona kiswahili chetu cha tanzania kimekuwa

    • @gilbertesifa230
      @gilbertesifa230 6 дней назад

      @@MohdMkubwa-v8kkumbe hata wa Tanzania wana sapoti kagame. Hamuja mjuwa huyu muuwaji

    • @MohdMkubwa-v8k
      @MohdMkubwa-v8k 5 дней назад

      @@gilbertesifa230 wewe mimi nazungumzia lugha wewe unasema kagame

    • @titolugoe-q3z
      @titolugoe-q3z 5 дней назад

      Alyekuambia kiswahli nicha tanzania tu nan??

    • @MohdMkubwa-v8k
      @MohdMkubwa-v8k 5 дней назад

      @titolugoe-q3z uhalisia wake unatokea wapi kwani hemu tujuze

  • @BoroméeNiyo
    @BoroméeNiyo 2 часа назад

    Inauzunisha sana kbs

  • @Drgbjiumd
    @Drgbjiumd 7 дней назад +11

    Pole pole dunia utajuwa ukweli,congo iko inadanganyia rwanda lakini hapa mutawona ukweli,kisekedi muizi tu, kula shilling zawanaincii😢😢😢😢😢

  • @Alice-s5p7o
    @Alice-s5p7o 7 дней назад +18

    Kikubwa ni Amani kiralaeri Kwa kuzidikulejesha Amani ni wananchi

  • @chrispaskanyengele3188
    @chrispaskanyengele3188 4 дня назад

    Safi sana this is Africa tupo strong

  • @Chriss-Jenn
    @Chriss-Jenn 7 дней назад +18

    pole sana Malivika kumbe ungali Goma? nafurahi. M23 songeni mbele BRAVO🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SatieKanu
    @SatieKanu 7 дней назад +26

    They are the local native people of the land,if they come back to take it, it's there right 👍 the government needs settlement with them, so all of them can enjoy the mineral s, together as one.

    • @calabash4221
      @calabash4221 7 дней назад

      Coming back from where? Goma is not an empty City

    • @grasstete9236
      @grasstete9236 7 дней назад

      Stop bing a fool.. that means they have to kill thier brothers and sisters and reps women just because they want power? Think first before you talk. And it is clear that they are being supported by Rwanda be the logistics because where are they getting guns?

    • @abigailchimene3378
      @abigailchimene3378 7 дней назад +2

      Your head is not functioning, this people came from Rwanda 1994 from genocide war and they were welcomed to Congo... go and read your book well.

  • @VumiliaDonald
    @VumiliaDonald 7 дней назад +31

    God bless M23

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036 3 дня назад +1

    Kwanini nchi zisiungane ziwaue waasi wote ibaki amani?

  • @Kevinmuhire-m7e
    @Kevinmuhire-m7e 7 дней назад +31

    Willy ngoma we love you wanyarwanda❤❤❤ song mbere musemaji🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂

    • @denisealice1994
      @denisealice1994 7 дней назад

      Sinimutumishiwenyu

    • @elvianludovick7428
      @elvianludovick7428 7 дней назад +2

      Nyie wanyarwanda ni washenzi mnaua wakongo ili muibe

    • @Lastbornecadet
      @Lastbornecadet 7 дней назад +2

      Sasa nyie uko kwenu rwanda ardhi ni ndogo au vp ,maana hatuelewi mnataka nini ,Mungu aliumba kila watu na kwao ,mbona nyie hampendi kwenu

    • @Johannesb-wf9wv
      @Johannesb-wf9wv 7 дней назад +1

      Wanyarwanda fikeni SUD-KIVU tuwachome na moto washenzi nyie

  • @rwandawildchronicles
    @rwandawildchronicles 7 дней назад +11

    M23 Songa mbele

  • @DivineIshimwe-c7m
    @DivineIshimwe-c7m 7 дней назад +12

    👏👏👏❤❤M23

  • @AmaniManase-x1i
    @AmaniManase-x1i 3 дня назад

    Daah watu wanaongea kwa huruma sana Mungu aingilie kati kwa hili

  • @Sahra3718
    @Sahra3718 6 дней назад +1

    I love their kiswahili ❤❤

  • @OmyCrez
    @OmyCrez 7 дней назад +10

    Yani kweli waasi wanawazidi nguvu taifa la Kongo kweli Kongo hamna jeshi

  • @UwihoreyeAsia
    @UwihoreyeAsia 6 дней назад +3

    Mbakunda mumabara yosep❤❤❤❤

  • @KilimoMichael
    @KilimoMichael 7 дней назад +2

    ❤lipota wetu huna baya

  • @JastinSimonMwakalukila
    @JastinSimonMwakalukila 4 дня назад +1

    Huyu msemaji wa M23,anaonekana ni mtu hatar na siliasi Sana ukiingia kwenye 18 zake.

  • @Muta-m4m
    @Muta-m4m 7 дней назад +1

    M23 niwakombozi sio waasi bwana. Wazungu wametuzoweya saana. 🙏🏿 m23

  • @ELIAMbise-sy5ue
    @ELIAMbise-sy5ue 7 дней назад +1

    Kiswahili ni kicongo. Thank you very much

    • @hekimasuleiman895
      @hekimasuleiman895 6 дней назад

      Mimi binafisi napenda amani, tusibaguane, tuoane,tupendane, tuheshimiane, kila mmoja aabudu anachotaka paspo kuvunja sheria,
      niseme tu: nachukia sana udini,
      nachukia sana ukabila
      spendi vita, kwanini mnauwa watu.
      acheni wafe siku wakizeeka

  • @markyuvenalis254
    @markyuvenalis254 6 дней назад +2

    Karibu Kenya on peaceful land

  • @MatiyasiSumaidi
    @MatiyasiSumaidi 3 дня назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉 pamoja sana

  • @SadaliJohnesburg
    @SadaliJohnesburg День назад

    Safi saana m23 NYie ndo wanaume viongozi wanakura nguvu zetu vijana wa Africa ni vire 2 nipo mbalii kumamake mkuriya mm

  • @KIMALEX254
    @KIMALEX254 День назад

    They are freedom fighters not rebels 😞💪💪 Africa needs better leadership

  • @yulla7654
    @yulla7654 7 дней назад +16

    Asante M23 They did

  • @Believepady
    @Believepady 4 дня назад

    Willy Ngoma mapinga ya solo solo😊

  • @mugishacyizaeric628
    @mugishacyizaeric628 7 дней назад +3

    Bravo M23❤ les liberateurs

  • @mwasunyaglau536
    @mwasunyaglau536 7 дней назад +9

    Wazee wa lingala poleni sana

  • @rahmajaffar794
    @rahmajaffar794 6 дней назад +1

    Salute to you M23 lakini kipaumbele ni amani na usalama wa wananchi, na sisi watanzania tuendeleze amani tuinunue kwa bei yoyote .upendo, umoja na heshoma ni funguo za mafanikio

  • @BizumuremyJoseph
    @BizumuremyJoseph 7 дней назад +2

    M23. Ni. Watu. Wa. Freedom. Wanapenda. Kila. Mutu. Na. Adui. Yake

  • @donenciamwachofi7974
    @donenciamwachofi7974 4 дня назад

    May the almighty God restore peace in congo

  • @JeannetteManirambona-o6m
    @JeannetteManirambona-o6m 7 дней назад +3

    Semaji kama semaji willy ngoma😂😂

  • @NapewaBienfait
    @NapewaBienfait 7 дней назад +1

    Pole sana

  • @IzackJohn-f7l
    @IzackJohn-f7l 5 дней назад

    me naiomba serikali yangu ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania irudishe jeshi letu nyumbani maana Hilo ni jambo lakuelewana wao kwa wao

  • @NdahiroFred-n8j
    @NdahiroFred-n8j 7 дней назад +5

    Songa mbere Wana jeshi

  • @TuzabanaInnocent-i8s
    @TuzabanaInnocent-i8s 7 дней назад +3

    kwaiyo habar tunawashuru asante sana watangazaj

  • @EliasLucasjr
    @EliasLucasjr 7 дней назад +1

    Amani ndo kila kitu 😢😢

  • @alextercisio
    @alextercisio 7 дней назад +3

    I used to hate M23 but from today i repect them they are truly fighting for better life of congolese

    • @patrickakaolivier
      @patrickakaolivier 7 дней назад +1

      Tu connais rien renseigner toi bien

    • @Djdimeja
      @Djdimeja 7 дней назад

      ​@patrickakaolivieruts their home Kivu

  • @mpelienock
    @mpelienock 7 дней назад +3

    Wameachia Watanzania wetu 43 hawajawadhuru imetupa hope.
    Wanawaachia wanajeshi waende kwao salama wanabadili mtazamo wa wengi kua huenda madai yao ni ya msingi si kama wassi wanavyojulikana.

    • @Mutako-ig1ik
      @Mutako-ig1ik 7 дней назад

      Hawa ni watu wanao ipambania haki yao siyo Waasi kama dunia inavo wachafua ukitaka kujua ukweli wao tafta hotuba moja aliwahi Zungumuzia Nyerere zamani kuhusu watusi wa Congo utaelewa hawa ni watu wabaya kweli au wanachafuliwa tu nawatu wabaya ili wachukiwe na kila mtu

  • @mapendoumoja800
    @mapendoumoja800 7 дней назад +4

    Mambo bado 😮😮 hakuna usalama wahiyo taifa teule 😢😢

    • @gilbertesifa230
      @gilbertesifa230 7 дней назад

      Kizazi cha nyoka hicho ndugu yangu. Wanauwa watu sana. Siyo watu hao wana pepo wa mauwaji

  • @MathayoPamagila
    @MathayoPamagila 4 дня назад

    Mungu awafanyie wepesi ili Amani itawale muishi kwa upendo wakweri mapigano yanini😂

  • @Lastbornecadet
    @Lastbornecadet 7 дней назад +2

    Mimi ni mkongomani wa sud kivu Fizi ila nachanganikiwa sana na awa watu wa goma , kuna namna isia zangu zinaniambia goma kuna damu ya kinyarwanda sana , na kama goma ndo sababu ya vita basi goma ingeenda upande wa rwanda ili congo tubaki na amani

    • @Joe-tr2vk
      @Joe-tr2vk 7 дней назад

      Hukusikia M23 wanakuja Bukavu? Na Sud Kivu iende Rwanda,non?😅

    • @samwa9496
      @samwa9496 7 дней назад +1

      Umeongea ukweli ila daw ya kukomesha ukabila ni kuoana ili damu ichanganyike hiyo ndio mwisho wa chuki

    • @Lastbornecadet
      @Lastbornecadet 6 дней назад

      @@Joe-tr2vk ivi ushawai kusikia sehemu inayoitwa bubembe FIZI? Uliza vzr kama kunakuaga ata pua moja ya mnyarwanda kule

    • @LevyMundeke
      @LevyMundeke 6 дней назад

      Monsieur hauko bien,Kati yagoma na Bukavu wanani wana changa damu kama nyinyi wahavu,wanani wanafiki kama nyinyi

    • @Lastbornecadet
      @Lastbornecadet 6 дней назад

      @@LevyMundeke ilo swali muhulizane nyie na watu wa bukavu ,sisi kwetu fizi akuonekanagi mnyarwanda tena

  • @christineangoro1097
    @christineangoro1097 6 дней назад

    Mimi natoka Kenya mko na ujinga mliipo waua vijana mungu atawalaani

  • @chillGR-q7c
    @chillGR-q7c 6 дней назад

    Ekosila kk zoba yo m23 okosuka mabe😢😢😢😅😅😅😅

  • @SebintuNtagawa
    @SebintuNtagawa 7 дней назад +4

    Ni ayibu sana kushika wa mamluki

  • @kelvinmugambi8447
    @kelvinmugambi8447 6 дней назад +1

    Huyu msemaji wa m23 bado Ako uhai.... Waache kuhangaisha raia bana... It's wrong for an African killing an African 😢

  • @VidaNetwork-o3o
    @VidaNetwork-o3o 7 дней назад +1

    Mambo imebadilika kaka saa hii ni lazima selikari ya Kinshasa itoke

  • @PovertyPeace
    @PovertyPeace 7 дней назад +6

    Ushauri kama goma ndio inang'ang'aniwa inatakiwa goma iwe kambi ya jeshi la Kongo

  • @mugishawebster6586
    @mugishawebster6586 5 дней назад

    Kabisa 👍@M23 piga #Muzungu sana 👍 mu

  • @HaronMacharia-z5r
    @HaronMacharia-z5r 7 дней назад +1

    M23 you are very matured you have displayed an act of mercy to the arrested soldiers

  • @PeterShikoli
    @PeterShikoli 7 дней назад

    Mungu atanikumbuka

  • @hasani565
    @hasani565 5 дней назад

    Congo is coming to the world 🌎🌍

  • @sylivester-q9l
    @sylivester-q9l 7 дней назад +1

    May God be with them

  • @NickyPeter-ec4gv
    @NickyPeter-ec4gv 4 дня назад

    HAO WANAJESHI WAZUNGU WANAKAZI GANI HAPO KAMA MAZUZU TU ET WANALINDA AMANI ILA AFRICA WAZUNGU WALIKWISHA TUONA VIAZI KABISA HATUJIELEWI

  • @niwamanyatrevor4645
    @niwamanyatrevor4645 7 дней назад +5

    Vive m23

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 6 дней назад +1

    Yesu awalinde

  • @ManishimwePacifique-w8g
    @ManishimwePacifique-w8g 7 дней назад +1

    J'aime le pouvoir de Wilingoma parce qu'il nous montre le pouvoir de l'Africain

  • @hekimasuleiman895
    @hekimasuleiman895 6 дней назад

    Mimi binafisi napenda amani, tusibaguane, tuoane,tupendane, tuheshimiane, kila mmoja aabudu anachotaka paspo kuvunja sheria,
    niseme tu: nachukia sana udini,
    nachukia sana ukabila
    spendi vita, kwanini mnauwa watu.
    acheni wafe siku wakizeeka

  • @laurrabolingo
    @laurrabolingo 5 дней назад

    Willy ngoma kende nde aéroport ya goma tondimayo

  • @arodiboyi
    @arodiboyi 6 дней назад

    Hao wanajeshi wa kimataifa pia waondolewe na M23, wamekuwa hapo miaka thalathini na bado hawajawai thibiti inchi ya Congo na kuleta amani inayo dhamiriwa na wa Congomani....

  • @AimableRw
    @AimableRw 6 дней назад +1

    My Lion🦁🦁

  • @RenatusMugyabuso
    @RenatusMugyabuso 5 дней назад

    Poleni kwa maangaiko ila mungu atawasaidia

  • @Cynty-sn8wq
    @Cynty-sn8wq 7 дней назад +7

    M23❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ God is good 🙏🙌🙌🙌🙌

  • @jamesmayila7372
    @jamesmayila7372 6 дней назад

    Dah kumbe ao romania hawakua wanajeshi kumbe ni mamluki tu yaani watu wanaokodiwa kupigana

  • @emilyachieng-o8y
    @emilyachieng-o8y 6 дней назад

    Viongozi wanajua chanzo cha vita Congo tuambieni ukweli bana . Kama pesa ndio inafanya unauwa na kutesa haiki ya watu Mungu anakiona aki

  • @magariabdallah8066
    @magariabdallah8066 6 дней назад

    Mjitahidi hali inazidi kuwa mbaya vijijini kwa goma Na sio mjini

  • @AldoGenius
    @AldoGenius 7 дней назад +2

    Acheni uongo ndugu zangu. Wangalikuwa kwenye wa FRDC hamungewaacha hivi. Msitudanganye

  • @KIGOLAORGINAL-kw6fq
    @KIGOLAORGINAL-kw6fq 6 дней назад

    Hivi hao jamaa m23 wananguvu kubwa hivyo Yani baada ya jeshi la congo kubwa mstari wa mbere kutetea wanachi wao ndio wako nyuma Sasa huyo muasi anaonyesha kuwa ni mzalendo wakuitetea nchi yake Mungu awasidie wa congo

  • @yusuphmruma1771
    @yusuphmruma1771 7 дней назад +1

    Serekali ya kongo si waaminifu sio wakweli wanajaribu kuwa Fukuza ndugu zao kisa tama ya pesa

  • @JoshuaMuhumuza-lb6hs
    @JoshuaMuhumuza-lb6hs 5 дней назад

    I love William ngoma

  • @Oslo-f9r
    @Oslo-f9r 4 дня назад +1

    Love ❤

  • @JanethKiando
    @JanethKiando 6 дней назад

    Mchezo unaochezwa ni mdogo sana aisee