Kimewaka! "Wanafunzi wa Shule ya Msingi wanafundishwa Ushoga", taasisi hizi hapa matatani kwa Ushoga

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • #TANZANIA: Kiwewaka! "#Wanafunzi wa #Shule ya #Msingi wanafundishwa #Ushoga", taasisi hizi hapa matatani kwa Ushoga
    Credit to ATN TV

Комментарии • 62

  • @hosianamosha389
    @hosianamosha389 Год назад +2

    Dk Mwakyembe Mungu akuhifadhi dhidi ya kisasi cha adui sawa na zaburi 41.2, Zaburi ya 91 uhifadhiwe uwe mbali kabisa na kisasi cha adui , maana umewagusa

  • @willymwaipaja6783
    @willymwaipaja6783 Год назад +1

    Hili vuguvugu la ushoga linapita kwenye mapito ya madai ya haki sawa kwa wanawake kuwa vichwa kama wanaume kinyume na neno la Mungu. Nguo wanazovaa wanawake leo ni za aibu na machukizo, lakini zinakubalika siku kwa siku ambapo kwa hapo nyuma isingwezekana kabisa. kadhalika ushoga huko mbele utakuja kuonekana ni haki na ni sawa, ngoja tusubiri kwani kwa wazungu tayari ni sawa lakini hapo zamani ilikuwa hata huwezi kuliongelea hata huko kwa wazungu. Dunia iko kwenye mapinduzi. Yesu hayuko mbali, maana dalili za mapinduzi dhidi ya maagizo ya Mungu zinazidi kuonekana kuashiria aina ya kizazi

  • @Ommyjames313
    @Ommyjames313 Год назад +3

    Ubarikiwe mzee Allah akulinde umewashinda BAKWATA

  • @dartrending1571
    @dartrending1571 Год назад +2

    Dah😢😢....mzee mung akuwek na akupe nguv ulichkiongea ni kikubwa mno...

  • @peemsafi6068
    @peemsafi6068 Год назад +1

    Mwakyembe mbona Kama unafaa kugombea ulaisi kama kweli unacho kisema kinatoka moyoni mwako🙏

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 Год назад

    Allaah Awahefadhi watoto wetu na ndugu zetu kwa uumojaa na wajukuuu yarrrraaaab. Missionering mzahaaa duniyaaa itazamaaa watafunikwa walioko na wasiomoo Allaah Atunusuruh kwa soteee

  • @abbyiddy9996
    @abbyiddy9996 Год назад +1

    Inch ngum saana hiii na wakat ma hospitalin kuna viteng vya kuwasaidia mashoga na kuwapa mafunzo pamoja na vifaa

  • @BeatriceBagoka-sw1xt
    @BeatriceBagoka-sw1xt Год назад +1

    Mungu hadhiakiwi, malipo yao watayapata hapa hapa. Na ni haki yetu kukemea huo uchafu unaendelea hapa nchini.

  • @mwami_the_don_
    @mwami_the_don_ Год назад +5

    Tanzania bila mashoga inawezekana

  • @easy-muchwa8175
    @easy-muchwa8175 Год назад +1

    Uungwana wetu kwa wageni nao inabidi tuubadilishe sana mzee wetu.asante kwa akili yako na maono🙏

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi7635 Год назад +1

    Mzee Mwakyembe, nakukubali,
    na kukumbuka, tangu enzi za Richmond.

  • @saidnassormohammed9589
    @saidnassormohammed9589 Год назад +1

    Mungu akupe nguvu waziri mstaafu uzidi kulipigia kelele

  • @athanaskipeto572
    @athanaskipeto572 Год назад +1

    Kama tuna letewa na virutubishi vya kuweka kwenye unga wa mahindi tuna ponaje hapo?

  • @sifawayesu7079
    @sifawayesu7079 Год назад

    Watu wa Mungu mnafanya kazi kubwa saaaaanaaaaa!!!

  • @foundationforcommunityhope7327

    Mh.Dr.H.Mwakyembe asantee Sana Kwa Taarifa hii...Una Hali nzuri ya kutoka Kwa Mwl.JK Nyerere na pia Mh.Rais JPM unajali JAMII yetu na Taifa LETU.Sodoma na Gomora ipo laana inakuja na Adhabu Toka Kwa MUNGU.

  • @donaldmaziku7915
    @donaldmaziku7915 Год назад +6

    Nashangaa kuna watu wanapiga makofi, hivi kwa kipi badala ya kusikitishwa na taarifa hiyo?

  • @willymwaipaja6783
    @willymwaipaja6783 Год назад

    Hili vuguvugu la ushoga linapita kwenye mapito waliyopitia wanawake kudai haki sawa na wanaume kuwa vichwa na kufanya wapendavyo pasipo kuzuiliwa na neno la Mungu au waume zao. Nguo wanazovaa wanawake leo ni za aibu na machukizo, lakini zinakubalika siku hizi kuwa ni haki za wanawake ambapo kwa hapo nyuma isingewezekana kabisa kuvaliwa hadharani. Sasa zinavaliwa hata maofisini. Mambo huwa yanaanza kidogo na hatimae kukua kadri ya werevu wa adui.
    Harakati za ushoga kudai haki tayari zimeanza, na upinzani upo, lakini ushoga huko mbele utakuja kukubalika nchini mwetu kuwa haki kwenye jamii na maofisini. Ngoja tusubiri maana tayari vuguvugu la harakati limeanza kama walivyokuwa wameanza wanawake. Kwa wazungu hapo nyuma ushoga ulikuwa ni chukizo, lakini kadri walivyopotoshwa na mungu aitwae maendeleo, ndipo harakati zikaanza japo kwa upinzani, lakini hatimae ushoga huko ulaya ni haki kisheria na uko hadharani kwa uhuru.
    Dunia iko kwenye mapinduzi dhidi ya maagizo ya Mungu. Yesu hayuko mbali, maana dalili za mapinduzi zinazidi kuenea kuashiria nyakati za mwisho giza kutamalaki kabla ya ujio wa Yesu ambaye atakuja kupindua meza hizi zote za uasi uliojificha kwenye madai ya haki kengeufu. Kama ambavyo kukemea mavazi maovu ya wanawake eti ni ukatili wa kijinsia wa kuzuia uhuru wa mwanamke, kadhalika huko mbele kumsema hadharani shoga itakuwa ni kuingilia haki ya uhuru wa faragha ya mwingine. Mambo yameanza kwa ingizo la elimu ya uzazi mashuleni, chanjo, vipandikizi, vyakula na mavazi chochezi na harakati za haki batili za wanawake na watoto n.k. Eti haki za binadamu!!!!, yaani mwanadamu anayajua yaliyo ya haki kuliko Mungu?!!. Hivi ni haki wapagani wawamurie wacha Mungu yaliyo ya haki!!? Ni upumbavu mkubwa sana. Wazungu hao hao ndio waliotuletea haki za wanawake, sasa mwanamke ni kichwa cha mumewe yaani kiongozi na mtawala wa mumewe, na sasa watoto hawana maadili, maana baba si msimamizi tena wa nyumba yake,hana sauti tena. Ni uhuru tu alioukusudia adui wa amani yetu. Haikuwa hivyo kabla, ni mageuzi ya kishetani kupitia wazungu wapotofu kuyashinikiza duniani kwa sharti la maendeleo. Leo kusema mwanamke hapaswi kumuongoza mwanamume, utaonekana ni ubaguzi wa kijinsia. Lakini Mungu ndiye alietofautisha jinsia akisema kuwa Mume ni kichwa cha mkewe, (1Kor 11:1-3; Ef 5:23) hakusema wote ni vichwa ili kuweka usawa, hayo yatoka kwa yule mpinzani. Kwa hiyo wanawake wanaodai usawa na mwanamume wanatumiwa na nyoka vitani kushindana na maagizo ya Mungu. Kiuhalisia hawa wana vita dhidi ya Neno la Mungu, wakisema lina ubaguzi, katili na linalodhalilisha jinsia ya kike!!!. Shetani yuko kazini kumdanganya Eva akiuke neno ili awe kama Mungu. Na sasa mwanamke wa leo nae anadanganywa akiuke neno la UKICHWA wa mwanamume ili nae ndipo awe kichwa sawa na mwanamume. Mapinduzi haya ya uasi yanatiwa muhuri na makanisa yaliyopotoka hata mwanamke kuwa mchungaji kanisani ingawaje hapo nyuma ilikuwa mwiko sawa na maandiko.
    Muumbaji aliweka wazi alipokuwa akiongoza Israel kuwa asiwepo shoga katika Israel. Lakini wazungu wanasema ni haki yake katika kutumiwa na adui kushindana na Mungu ili kuleta laana duniani- Ushoga umepita dhambi na kuwa CHUKIZO - Law 18:22; 20:13, na Rum 1:24-27
    Dhambi moja huanzisha nyingine, sasa kuna vuguvugu pia la haki za watoto, ngoja zishike kasi na kukubalika rasmi ndipo hatimae itakuwa ni haki za watoto kutowatii wazazi wao na hata kuwa na haki ya kuwashtaki ama kuwafunga wazazi wao, wanapowakalipia na kuwachapa kama ilivyo ulaya, maana ni zamu ya mke kuwa kichwa cha familia! Haki ya kweli ni watoto kuwatii wazazi wao. Amlaaniye mzazi wake kufa na afe - Law 20:9 na Mith 20:20 na Ef 6:1,2. Yetu macho na masikio kushuhudia kutimizwa kwa ukengeufu wa siku za mwisho, giza kuu kufunika kabila za watu duniani. Ila jambo la hakika, mageuzi haya yatazidi kuambatana na majanga duniani yanayoitwa kwa uongo kuwa ni mabadiliko ya tabia ya nchi wakati ukweli ni mabadiliko ya tabia za wanadamu wa leo kuasi sheria za Mungu ndipo dunia inatiwa laana - Isaya 24:1-20.

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 Год назад +1

    Nadhan pia hata hivi vyombo vya habar vinapromote haya mambo kwenye kutangaza

  • @edsonpetro3754
    @edsonpetro3754 Год назад

    barikiwa mzee wangu

  • @hosianamosha389
    @hosianamosha389 Год назад

    Na hii mambo ya kuendelea kukopa kopa pesa zao inawasababishia viongozi wetu wanakua wanyonge kusema hapana , ukishakua maskini wa kuomba omba ndo haya sasa yanaleta mambo ya aibu kwa taifa letu, viongozi wetu waache tabia mbaya za kukopa kopa hela zao maana ndo wanaleta majanga haya kwa Taifa letu na hii dhambi wataibeba wao

  • @asyamakame359
    @asyamakame359 Год назад

    Jaman me naomba kuulza zle dawa za homa wanazopenyezwa watoto ktk njia ya haja kubwa nazo hazichochei?

  • @highmedland9280
    @highmedland9280 Год назад

    Wazazi wanatoa hela nyingi kuwapeleka watoto shule naa baada hapo watoto wakifika shule wanafundishwa kua mashoga, hapo wanapoteza mda wao mwingi kuwa shulen kuanzia saa Kumi na Moja alfjr kusubiri gari la shule hadi jion ndio kurejeshwa, pili tunalipa hela nyingi kusomesha watoto, tatu matokeo yake wanafundishwa kua mashoga, ni hasara juu ya hasara , na wazee wakienda makazini wakiachia wafanyakazi wa ndani watoto zao pia nihasara, shida nikua na mama mzazi anataka afanye kazi japo ya kuuza vijora ilimradi asikae ndan matokeo yake familia yote inakua mashoga, tuwe makini jaman kutafta pesa mpaka hatuna mda wa kulea watoto wetu, Allah atufanyie wepesi 🙏

  • @abbyiddy9996
    @abbyiddy9996 Год назад +1

    Tanzania bila ushoga inawezekana bwana

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Год назад +1

    Huyo wa mkuu wake mdogo wa marekani

  • @evelynereuben147
    @evelynereuben147 Год назад

    Mungu aturehemu

  • @fgygihtgyhujb2558
    @fgygihtgyhujb2558 Год назад

    Muheshimiwa tunakuomba utusaidie sana kina mmaa watoto wetu waharibika sanaa wanakuwa hawana nguvu yakufanya kazi hao wanajisisha kufanya vitendo vichafu w

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Год назад +1

    Tena mjiandae siyo ushoga tu kusain makaratasi kimya kimya, wanakuja pia kutuvuna, madini yetu.

  • @pascalseleman7919
    @pascalseleman7919 Год назад +1

    Tumbo la uzazi kila mwanamke kwa taarifa hii lazima liume au mwili ukose nguvu

  • @mulokozimwijage7507
    @mulokozimwijage7507 Год назад +1

    Ni wakati wa kuzilinda alama zetu za imani hasa za wakristo ikiwemio MSALABA, biblia Takatifu kama hati miliki halali ya wakristo. Anayetaka kuzitumia lazima awe amepata idhibati kutoka umoja wa makanisa ya kikiristo Tanzania. Mitume feki wamezitumia, matapeli na wasanii wadini wamezitumia huku tunaangalia. Waanze ya kwao, Tuwe wakali sana katika kulinda tunu za alama na vitabu vitakatifu.

    • @easy-muchwa8175
      @easy-muchwa8175 Год назад

      Suluhisho ni kuandika vitabu vyetu na historia yetu mpya! Tusipende kuendelea kuwa watumwa....

    • @easy-muchwa8175
      @easy-muchwa8175 Год назад

      Tuandike vitabu vyetu tu

  • @foundationforcommunityhope7327

    Mh.sio matamko tu no Sheria ziwepo kama Uganda.

  • @mombrian4265
    @mombrian4265 Год назад

    Hata ujio wa makamu wa rais wa Marekani mh 🙄🙄🙄🙄 tujiangalie kwa kweli.

  • @kimodomsafitz
    @kimodomsafitz Год назад

    🙏🤔

  • @joycejackson2320
    @joycejackson2320 Год назад

    we willy mwaipaja sio kutoa shutuma za wanawake tu kwani hao mashoga ni wanawake??? wewe una haki gani ya kujibadilisha kuwa mwanamke?? ni kufuru hiyo baba mzima!
    haya mambo ni pande zote tu hakuna aliye sahihi! tuombe Rehema ya Mungu

  • @wilfredkuyonza2151
    @wilfredkuyonza2151 Год назад

    Nasikitika Mzee wetu kaongea vitu vya msingi sana na post ipo hewani muda mrefu lakini comment kidogo sana ila kwenye mambo ya kipumbavu watanzania wanajaza comment video ikiwa na masaa mawili tuu hewani Watanzania tuamke tupige vita ushoga kwa nguvu zote na hawa mashoga waliopo wakamatwe wanatuharibia nchi yetu au wafukuzwe nchini wakaishi na mashoga zao huko ulaya na amerika

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 Год назад

    MUNGU ANALIPA HAPA HAPA JAPO OPERATION YA MAKONDA HAIKUWA NA STAHA LKN ALIKUWA SAHIHI IMEFIKA WAKATI MJUE KUWA KIJANA ALITAKIWA TU KUREKEBISHWA HATUA ZAKE .MRUFISHENI SERIKALINI HARAKA.

  • @HassanHassan-sn5cj
    @HassanHassan-sn5cj Год назад

    Baba sheria za wanaadam ndo zimetufikisha hapo wapeni waislam dhamana ya sheria kwa mwezi au miezi miezi mitatu kua wao walisimamie baada yahapo mchukue dhamana yenu nahilo litakua limekwisha!!

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Год назад +1

    Tanzania tumetekwa.

  • @mgosilawanukoviri2734
    @mgosilawanukoviri2734 Год назад

    Mihadhara ya wa islamu na WA kiristo huwa ina fichua mengi na kuwa zinduwa wengi ila mme ipiga marufuku weekend utaratibu mzuri Ili iendelee kuna baazi waliacha mambo hayo kupitia mihazara

  • @kimodomsafitz
    @kimodomsafitz Год назад

    Sioni haja ya walioudhuria kikao hiki sijui semina eti wanapiga makofi huu ni msiba. Na kwakuwa ni miaka 10 ushoga upandikizwe Tanzania lazima tufanye juhudi kubwa kuondoa hii sodoma na gomora. Serikali ya jamuhuri imesaini mikata na mashirika ya kishoga kama USDA

  • @hosianamosha389
    @hosianamosha389 Год назад

    Wanarudisha Faifa kwenye dhambi ya Sodoma na gomora kwa kufanya hayo hauikwepi adhabu ya Mungu, sasa kabla hasira ya Mungu haijaendelea waache tamaa ya kukopa kopa hovyo na ku saini mikataba ya kimya kimya ingali wanajua kabisa madhara yake lakini kwa sababu ya tamaaa ya fedha bado wanasaini wanakubaliana na mambo ya ajabu ajabu

  • @zakariyamkhandi5713
    @zakariyamkhandi5713 Год назад

    Si tulikubali kuchanjwa hamkujua madhara yake

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Год назад

    Ni aibu kubwa sana

  • @hamadimadisa9346
    @hamadimadisa9346 Год назад

    Bwana mtakubali tuu na kama mtakataa mambo ya ushoga mtakuba,mkataye au sikataye

  • @chrispinboniface3329
    @chrispinboniface3329 Год назад

    wakristo makanisa siku iz ujinga umekuwa mwingi !mbona waislam hatuon wakifanya ujinga kama unaoanywa na dini za kikristo

  • @peternyambo1439
    @peternyambo1439 Год назад

    KUNA VIBANDA WATOTO WANA KESHA WANACHEZA GAME, #PS** NAVYO VIANGALIWE SANA WATOTO WANAJIFUNGIA NDANI YA VIFREM KUTWA NZIMA HATA SHULE HAWAENDI. HIKI NI KIRUSI #PLAYSTATION

  • @siasia5469
    @siasia5469 Год назад

    WACHENI USHABIKI... MAKOFI YA N! N?

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro1552 Год назад

    Mwakyembe jembe

  • @kimodomsafitz
    @kimodomsafitz Год назад +1

    Sa .makofi ya nini Watanzania wapumbavu

    • @jumanesaidi7635
      @jumanesaidi7635 Год назад

      Hayo makofi ni kufurahia hatua pendekezwa, kupambana na janga, sio kufurahia.

    • @siasia5469
      @siasia5469 Год назад +1

      😲😳😲

    • @kimodomsafitz
      @kimodomsafitz Год назад

      @@jumanesaidi7635 hatua gani wakati hajakamatwa mzugu. Ushoga upo kwa mchongo Tanzania viongozi wanakula pesa kupitia vijana mashoga. Hakuna juhudi hapo makofi hayatakiw

    • @davidelenest
      @davidelenest Год назад

      Mungu irehem Tanzania kwa uovu huu! Watanzania tufunguke tupinge ushoga kwa nguvu zetu na tumwombe Mungu atuepushie mbali na hizo biblia za kishoga