DAKIKA 6 ZA SUGU MBELE YA LEMA "WATAONDOKA WOTE WAMEFANYA UFISADI SANA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024

Комментарии • 101

  • @frbm1729
    @frbm1729 Год назад +3

    Nyie mna bwabwaja tu ,jpm siyo level yenu.

  • @josephandrew3444
    @josephandrew3444 Год назад +1

    Fanyeni siasa safi leteni mawazo mbadala ili mshinde kiurahisi ni sera na agenda za nguvu achaneni na marehemu mchukueni dct slaa anaweza hayo yote muingie ikuli

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Год назад +6

    Mwambie huyo dogo ajipangeee peoples power💪💪

  • @babudicky
    @babudicky Год назад

    Ahsante nimuda wetu vijana kubadilika

  • @midiansifumwike9004
    @midiansifumwike9004 Год назад +1

    Uhuru umepitiliza Sasa ndo hayo magufuri alikuwa hataki mkusanyiko. Mnavuka mipaka sana. Acha kabisa kumuongelea MAGUFULI

  • @tozzowilliams308
    @tozzowilliams308 Год назад +1

    Badoo Sanaa kuiondoa CCM,,,watu wameichoka CCM Ila hakuna mbadala..sasa chama kinazungumza MTU mmoja aliyekufa wakati wenzake wote wako madarakani ..

  • @sundaystanley5322
    @sundaystanley5322 Год назад +1

    Mmechemka sana,magufuli atawatesa sana

  • @mganyizimarcoenock3856
    @mganyizimarcoenock3856 Год назад +2

    No mnakosea sana Mimi pia ni ccm na nimesema kwa uchaguzi wa 2025 bora tumpe chadema lakn kwa stahil hii ya kila vikao vyenu kumtaja Magufuli mnakosea sana na awamu ya tano ndio hii pia ni ya 5 maana samia hatujampigia kura et sasa mnasemaje awamu ya 6 Jipangeni mtatupoteza.

  • @FUMBAMTIMA
    @FUMBAMTIMA 6 месяцев назад

    Pamoja sana chadema

  • @jumazuberihomera6773
    @jumazuberihomera6773 Год назад +2

    Hivi ni kweli mbeya hakuna uwanja wa ndege ? Na iringa du aisee tutafika Mbi guni tumechoka sana hivi iringa uwanja wa kisasa unamalixiwa kukarabatiwa ulikuwepo ,pia Mbeya uwanja ni mzuri sana na umewekwa na taa za kutosha ndege zinatua usiku du rafiki yangu Jongwe

  • @samwelhiinyamhangahiileosi1060
    @samwelhiinyamhangahiileosi1060 Год назад +1

    Nyie kudhika madaraka hadi yesu arudi hamko sriesi mna njaa na tamaa sn

  • @riziwanikupaza8713
    @riziwanikupaza8713 Год назад +3

    Chama chenyew et tunadai democrasia alaf miaka yote mwenyekt mbowe haaaaa atr

  • @fredrickyakobo
    @fredrickyakobo Год назад +2

    Mbilinyi semeni Sasa ndo muda mwafak wa kuiondoa CCM madarakani... We are together Tanzania ni yetu.... Nimefurahi kuona ujio wa pro. Wajakhoa

  • @neliusdidas8749
    @neliusdidas8749 Год назад +10

    Palikuwa na ufisadi lakini mambo mengi yalifanyika Kwa sana rest in peace ank magu

  • @felixthomas7128
    @felixthomas7128 Год назад

    Tunakusubiri Kwa hamu mbeya town mtu wetu daima milele sugu mbeya president #People'sPower

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 Год назад

    Kwa kweli miongoni mwa masipika wa ajabu kuwahi tokea Nchi hii, ni wale waliopatikana wakati wa utawala wa magufuli. Kwanza walibarikiwa na wamebarikiwa roho mbaya mnooo! Dhidi ya walio wadhidi hoja.

  • @kadaskarim5081
    @kadaskarim5081 Год назад +8

    Ongea mengne maguful muache kabsa hakuna mtu anaekubukwa Tanzania kama maguful lala salama baba

    • @saidkipalo4427
      @saidkipalo4427 Год назад +1

      Kwako wewe

    • @shabanadam4476
      @shabanadam4476 Год назад +1

      Wengine tuliisha msahau safari njema 😇

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 Год назад

      We ndiyo unamkumbuka ila me simkumbuki… Me mtu ninayemkumbuka ni Mwalimu Nyerere..

  • @josiahsimon5333
    @josiahsimon5333 Год назад +1

    Mwacheni CHUMA fanyeni siasa Chuma namba nyingine atakumbukwa milele

  • @felixthomas7128
    @felixthomas7128 Год назад

    People's power forever

  • @ramsochacha5798
    @ramsochacha5798 Год назад +1

    Acheni kudili na hayati ongeleeni uongozi uliopo ndo mnapambana nao

  • @denisimaliyaweni9183
    @denisimaliyaweni9183 Год назад +4

    May team ever is chadema

  • @saidali8338
    @saidali8338 Год назад +4

    Mimi mkimzungumzia magufuli kwa kejeli ndipo mnapo nichefua kiukweli sitawasapoti,,

  • @inspirationmotivation2858
    @inspirationmotivation2858 Год назад +2

    Hamna kitu pumba tuuuupu

  • @lastonsimon2932
    @lastonsimon2932 Год назад +1

    Arusha hongeleni sana

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 Год назад +8

    Mnajidanganya kumuchafua Magufuli wasenge nyie naaliewatuma kuma ote

  • @riziwanikupaza8713
    @riziwanikupaza8713 Год назад +2

    Ccm Ina mbinu 100 had sasa miaka yote hyo imetumia mbinu 2 utawawezaje

  • @mohdykessy5855
    @mohdykessy5855 Год назад +2

    WANANCHI WEZANGU ..WAPIZANI WAMEKIRI KUWA MAMA APAUPIGA MWINGI ..MITANO KWA MAMA

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 Год назад +1

    Sugu hujasoma ...Ndiyo maana huna akili ya uchumi. Watanzania unatukosea Magufuli alitufaa wananchi

  • @fidelludemwa7223
    @fidelludemwa7223 Год назад +2

    Hiki ndicho kinachowaferisha chadema badala yakuhangaikia kupata mgombea wa urais nimatusi tu mnaferi wapi Sasa kama hapo suguye kaongea Nini Cha maana anatumalizia MB zetu tu

    • @danieltungira
      @danieltungira Год назад

      Wote ni wabinafsi tu hao,wanatafta namna waingie bungen

  • @franciscarligubi9210
    @franciscarligubi9210 Год назад

    Nipeni card

  • @riziwanikupaza8713
    @riziwanikupaza8713 Год назад +2

    Chadema nyiee hmna agenda

  • @edenusmrosso9225
    @edenusmrosso9225 Год назад

    kama hamna sera nendene mkalale mumwache Magu maana hamna namna mtakayofanya muweze kumchafua, sanaaa mnajichafua wenyewe

  • @gyeong5972
    @gyeong5972 Год назад +6

    Wenye akili pekee Ndyo huelewa

  • @emmanuelmasele9585
    @emmanuelmasele9585 Год назад

    Semaaaa!

  • @maprosokelly2986
    @maprosokelly2986 Год назад +3

    Hapo kwa magufuli sito wasapot kabisa mwacheni baba yetu apumzike tulimpenda san hongera lema???

  • @kinisannko1893
    @kinisannko1893 Год назад

    Uongo wa sugu so wa kawaida, ni muongo na mjinga, anajijengea umaarufu wa ki-siasa akijaribu kurudi ubungeni kwa kumkachifu mbunge aliyeko kumbe Chaga-dema hawana fedha na wanadai kusaidia wa-Tanzania........! Ebu sugu aache kujioshea na aongee ukweli. Upuuzi mtupu.

  • @doctorkarola2257
    @doctorkarola2257 Год назад +2

    Saizi ni muda wa kujipongeza kwanza muda wa kuuza sera bado

  • @mosesembughi4284
    @mosesembughi4284 Год назад +2

    Naona wote hamna hoja ktk chama hiki.tens Hanna hata mmoja mwenye maoni.wote mnabwata yoliopita na wakati.hamna kitu wote mnatafuta donge la familia zenu

  • @zanarttz4335
    @zanarttz4335 Год назад +2

    HOTUBA YAKO NZURI VIPI UKIMPONDA JPM BILA KUSIFU ALIYAACHA YA WAZI BASI NI DHAMBI KUSIKILIZA R.I.P MKWELI

  • @abdalahdickison4010
    @abdalahdickison4010 Год назад +2

    Anko magu ni baba wataifa ebu muachane uyo mwambaa

  • @scholamwasi2782
    @scholamwasi2782 Год назад

    Faiza unamuona baba yupo vizuri

  • @kelvinjackson7456
    @kelvinjackson7456 Год назад

    I like your thing about weed men😂😂😂, Tanzania yangu

  • @johnmsambuzi9094
    @johnmsambuzi9094 Год назад +1

    Semeni waheshimiwa Sana tuko pamoja,wenye elim haambiwi tazama,au elewa

  • @sethmwakangata1871
    @sethmwakangata1871 Год назад +1

    Kwa mfumo huu chadema kuchukua nchi ni Bado sana

    • @mgosimkome9242
      @mgosimkome9242 Год назад

      Mi mwenyewe ndo nashangaa mtu badala ujenge hoja za msingi unabaki kuongea mambo ambayo hayapo. Mi nawaambiaga bado hatuna chama cha upinzani kuchukua nchi jmn

  • @sky-wz5zi
    @sky-wz5zi Год назад +1

    Dogo Gambo 😃

  • @riziwanikupaza8713
    @riziwanikupaza8713 Год назад +1

    Chama chenu komedi tuuu

  • @danielgadiye7983
    @danielgadiye7983 Год назад +15

    Nashauri chadema Mimi Kama mwananchi nawapenda Sana acheni kumuongelea mzee magufuli nikweli sikatai lakin hata Kama ni Mimi ningefanya vile alivyofanya maana na uwezo huwezi nipigia kelele nipo kazi kingine fanyeni siasa zenye mashiko rudini mjengoni Kwanza tuangalie itakuwaje kuhusu urais sahauni mtasubiri Sana siasa zenu Bado Sana alafu watanzania Bado wanahitaji elimu ya kujielewa so ya kisiasa watu hawajui demokrasia Nini? So I can send

    • @frankmwakatundu2435
      @frankmwakatundu2435 Год назад +3

      Daniel wewe ndiyo huna elimu unaishi kama Kasuku wa kufugwa!!!

    • @ajsmainde5138
      @ajsmainde5138 Год назад +2

      kafue chupi zako kwanza

    • @elizabethaugustine8190
      @elizabethaugustine8190 Год назад

      Upinzani bado sana. Waache bange kwanza.

    • @danielgadiye7983
      @danielgadiye7983 Год назад

      @@frankmwakatundu2435 sijasema na akili nimechangia maoni yangu tu kaka kwani Kuna tatizo vp wewe mwenye akili umeisaidiaje nchi yako pamoja na jamii yako na ndugu zako so I can see the picture

    • @bonnyngowo7567
      @bonnyngowo7567 Год назад +2

      Wewe ndio usiejua democracy ni nini.Idd Amin wa Uganda,Mobutu wa Zaire na wengine wengi bado tunawajadili sembuse magu!!

  • @johnmsambuzi9094
    @johnmsambuzi9094 Год назад +2

    Mbona farao,heroda unamuongerea yupo hai,ushabiki was kukosa elim

    • @musaissa7463
      @musaissa7463 Год назад

      Wenye akili tu ndio wanaelewa hii spch.

  • @hamynas
    @hamynas Год назад

    miladi mbona unaikatakata spichi ya jongwe?

  • @priscusmboya4623
    @priscusmboya4623 Год назад

    CHADEMA MKIWA WAJANJA ACHANANE NA MAGU HAKUNA MTU ATAWAELEWA

  • @ynyynyyny
    @ynyynyyny Год назад +5

    Mwacheni Magu apumzike, acheni njaa

    • @canoksancomprehensivelearn7182
      @canoksancomprehensivelearn7182 Год назад +1

      mag hakuwaachia watu wapumzike alikuwa anaeatekana kuwauwa watamuachaje apumzike? alinyanyasa na alikuwa katili mkuu na muuwaji asiye na huruma nankila aloumia hajamuacha apumzike, watu ameuawa kikatili na kutiwa kwenye maroba, ingekuwa kaka yako kafanyiwa hayo ungeyasahau? Bado hatasahaulika katia watoto wengi uyatima na wengine ulemavu na wengine kisaikolojia mateso waloyapatankusea kwao sasa ndio dawa inapunguza mateso ya kifikra. yule katili hatasahaulika kwa ukatili n ubabe na unyama aloufanya kwa walofanyiwa. nyie ambao hamkuguswa tulieni maana mateso anapoteswa anajua aloteswa na wale watu wake wanaomuhusu na nyie hamuwezi kuyahisi mlokuwa pmbeni

    • @josephmussa0625
      @josephmussa0625 Год назад

      @@canoksancomprehensivelearn7182 kamuua ndugu yako??

  • @emmanuelsimsokwe6244
    @emmanuelsimsokwe6244 Год назад

    😂😂😂😂 siasa mbovu..ambayo haina mashiko zaidi ya chuki ndo maana nchi haikabidhiwi mikonon mwa wasio na uwezo miaka yote Mbeya kafanya

  • @jescamanuna-tc8rn
    @jescamanuna-tc8rn Год назад

    Mmetumka na ccm kumtoa jpm kwa maslah yenu mnatumika na cc kuchafua marehemu kwa maslah yenu binafs sasa hamuwez kuds hutawala uliopo kwa kuramba asali

  • @fidelludemwa7223
    @fidelludemwa7223 Год назад +2

    Acha kashifa dogo ongelea maendeleo

  • @santiagobernabeu1611
    @santiagobernabeu1611 Год назад +1

    Nyie timu magufuli acheni ujinga .. magufuli ni Nani asisemwe?

  • @santiagobernabeu1611
    @santiagobernabeu1611 Год назад

    Asiesemwa ni MUNGU (YEHOVA) tu

  • @ibrahimgench
    @ibrahimgench Год назад +4

    Ongera point marehemu hasemwi ndugu ongea point ya maana

  • @samsonkusupa6809
    @samsonkusupa6809 Год назад +1

    Usifikirie mbeya mjini tafuta Jimbo lingine mzee yule dada amekuzidi kila kitu kwenye hiki kipind kichache alichokuwepo

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Год назад +1

    Sera yenu ni ipi? Nilikua nawaelewa ila kwa sasa sioni kingine zaidi ya kupambana na marehemu

  • @iddymsulwafurniture6589
    @iddymsulwafurniture6589 Год назад

    Iddy msulwa

  • @modycadabra8721
    @modycadabra8721 Год назад +1

    Ccm ina akil sana yan hawa chadema jamaa wanataka kuforce tumkatae Jpm ili iweje cc tunataka Sera co maneno tuuu

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 Год назад

    Spika wa ajabu sana kwa kuwalinda majizi kma akina Halima mdee wa wenzake

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Год назад

    Ongeeni kitu kingine mkianza kimiongerea magufuli wetu mtasababisha hata nyinyi tutawapi chiniiii sisi hatutaki kumzungumuzia mgufuli kenge www

    • @ignasamando5795
      @ignasamando5795 Год назад

      Sema mm sio sisi ndugu yangu
      Kila mtu na maono yake.

  • @silvestaroman5673
    @silvestaroman5673 Год назад

    Ushind.we2.chadema