Ikibidi kuwataja, Tutawataja wote wanaowasaidia Mashia. Sh. Nurdin Kishki

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • OBA online tv (Omar Bakari Almasi)

Комментарии • 79

  • @mteleshadia1609
    @mteleshadia1609 2 года назад +1

    Mm shekh kishk nakuelewaa snaaa,,yanii wnatetea din ya Allah kikamilifu,, Allah akuhifz piaa akupe pepoo iliyo bolaaa,, tukoo pmja Sanaa Sana snaa snaa snaa snaa snaa snaa snaa snaa snaa snaa shekh wetuu nurdin kishk,, nakuelewaa vzr snaa,, nimm muumn wakoo ,,, fanyaa Kaz yaa Allah mashkh wengne wanaokaaa kimyaa nawakt maovu yanfnyka hawasem,,Allah anawaona,,,,, Kishik nakuelewaa vzr snaa piaa tukoo pmja Sanaa Sana,,mm ndoo wakwanzaa ninayekupenda kwaa ajili ya Allah

  • @HamadHamduni
    @HamadHamduni 9 месяцев назад +1

    Tatzo ni hao viongozi wa bakwata,ni kumuomba mungu atuweke mbali nao

  • @omarothman6608
    @omarothman6608 2 года назад

    Mashallh shekhe wetu allh hakuhifadhi duniani na akhera narusha jiwegizani 😃😄😄😀

  • @mteleshadia1609
    @mteleshadia1609 2 года назад

    Allah akupe pepoo iliyo juuu,,juuu juu kbsaa,,wew ndoo shekh mwenyew,, syoo wengne wapoo kimasrah,, pmja Sanaa Sana snaa snaa snaa shekh wetuu nurdin kishk alhadal,, nikooo pmj snaa snaa snaa snaa snaa snaa snaa snaa,,, naww hadii mwishoo,, kwaa mawaizaa yakoo mazr,,

  • @jumaibrahim9029
    @jumaibrahim9029 2 года назад

    Shukran ya sheikh mashaa Allah umesema kweli aiwezekane kabisa masheikh ametaka pesa ukosahi Allah akujalie kila lakreri

  • @hidayasaid5131
    @hidayasaid5131 2 года назад

    Mashaallah Allah akuhifadhi sheikh wetu

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 года назад

    Maashaallah sheheqetu kishki

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 9 месяцев назад

    hamna shekh hapa

  • @omarmakame5713
    @omarmakame5713 2 года назад +4

    Nikujib kimjin mjin au jaman kwel ujahil umeingia kwahawa wanao jiita mashekhe sasa kwa mwenye akili pia atazingatia majib ya huyu katika uislam hakuna hukmu za kimjin mjin acha kudanganya watu ww

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 2 года назад +3

    Muaawiya alimtukana Aliy bin Abitwalib je hiyo tuiteje ???

    • @tvstation6472
      @tvstation6472 Год назад

      Kumpiga vita ,kumuua mwanae Hassan,nakumuuwa Ali ,bado tunafundiashwa muawiyya ataingia peponi!.jamaan mie bado natafta ukweli sijali kutukanwa.imagine eti ali alikua khalifa wanne,wakati hakukubali wa na yeyote.akauwawa na muawiyya na muawiyya akachaguliwa kua khalifa wa4.hili nduguzangu limekaaje mbona halitajwi?

    • @HamadHamduni
      @HamadHamduni 9 месяцев назад

      Mashia mna matatizo someni uislaamu muujue kabla hamjakurupuka na kuuchafua uislaamu,ushia ni uvundo

    • @HamadHamduni
      @HamadHamduni 9 месяцев назад

      ​@@tvstation6472nenda ukasome

    • @HamadHamduni
      @HamadHamduni 9 месяцев назад

      ​@@tvstation6472hivi kwanin nyie mashia hamuupendi uislaamu?

    • @HamadHamduni
      @HamadHamduni 9 месяцев назад

      Vitabu vya wanazuoni wakishia vimejaa uongo ulopitiliza

  • @Bilal70965
    @Bilal70965 2 года назад +2

    BID’A. YA, MASHIA.
    Baadh: ya mashia kwa kweli, hawaizingatiy! Hii Qur'an.
    Tuta jiuliza haya; maombolezo ya kujidhuru na visu hadi kujitowa na damu eti kwa sababu ya kifo cha mjukuu wa Mtume (s.a.w) Hussein (r.a) Wame yatowa katika kitabu gani?
    Maana: katika Qur'an tumesha fundishwa namna ya kufanya pindi tunapo patwa na msiba au, kifo na mengineyo.
    Anasema! Allah: (sw) na wapashe habari njema (waislam) wanaosubiri. [kuchukua hatuwa yoyote]
    Ambao: uwapatapo msiba (wowote wawo); husema! Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake yeye tutarejea.
    [Sio kujidhuru na visu na kujitoa damu na kusema maneno yasio mpendeza Mola wetu. acheni hayo nyie, mtakosa barka za Allah: na rehma zake.
    [Uongofu Sahihi ni kusema tu, INNA LILLAHI WA INNA ILAIHI RAJIUN.]
    Hao, (ndio) juu yao zitakuwa baraka zitokazo kwa Mola wao na rehma, na (hao) ndio wenye kuongoka.
    [Qur’an-2:155/157]
    [Walio uwawa wema
    ni wengi tu jaman, kuna...]
    1-Habil. (r.a)
    2-Yahya. (a.s)
    3-Zakaria. (S.w)
    4-Ali. (r.a)
    5-Hassan. (r.a)
    Na kadhalika.
    [Bona hao hatuoni mnavyo jidunga visu na kujitowa damu kwa ajili yawo kwani wawo hawa kufia haki?
    Aaah! bana, achenu uzushi nyie.
    Anasema! Allah: (sw)
    Wala! Msiseme kuwa wale walio uwawa katika njia ya Mwenyezi Mungu ni wafu (laa hasha!) bali hao ni wahai lakini nyinyi hamtambui.
    [Qur’an-2:154]
    [Mnajidunga dunga tu visu vya bure na kujitowa damu za kinafiki.]

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 8 месяцев назад

      Kwel kabisa mashia sio waisilam ni makafir.

  • @abiabi9353
    @abiabi9353 2 года назад +1

    Mimi naupenda msimamo wakishki kwamba watu wakiwatukana maswahaba wasiozeshwe. Lakini unasemaje je watu wanaomtukana Allah pia wanatakiwa wasiozeshwe na watengwe kabisaa? Unasemaje hapo kishki. Nataka nithibitishe hapa kuwa mawahabi ni wabaya zaidi tena nimakafiri wa wazi kuliko shia. Nataka ujue mungu wakiwahabi siyo mungu wa waislam.mungu wa mawahabi ni mungu wa mayahudi. Wao wanasema mungu anaviongo vya mwili kama binadamu.pia mungu wa mawahabi anashuka na kupanda kama ndege.pia mungu wa mawahabi anakaa mbinguni kama mawingu.pia mungu wa mawahabi anavaa ndala za dhahabu na analala kwenye godoro la dhahabu. Pia mungu wa mawahabi anachoka na anahitaji msaada wa malaika.pia mungu wa mawahabi ana makalio makubwa.pia mungu wa mawahabi nikijana anayevaa nguo za kijani. Huyu ndiye mungu wa mawahabi.ukiyataka haya kaangalie katika vitabu vya ibn taymiyah kwa mfano majmaul fatawa kwenye vol.2,3 na7.pia angalia vitabu ibn utheymeen.ukitaka ufafanuzi na ushahidi zaidi niambie nitakupa. Jamani huu si ukafiri na ushirikina uliowazi.alafu mtu huyu anakwambia muislam mwenzako mlotofautiana mtazamo juu ya maswahaba usimuozeshe.sasa kati ya matatizo ya shia na matatizo ya mawahabi yapi makubwa zaidi.kwahiyo ndugu zangu masuni msikubali kubebwa kama vipifu.tumieni akili zenu.kishki hana lolote la maana lakuwafundisha kafiri huyu

    • @mkude
      @mkude 2 года назад

      Wewe shia golo subiri nyundo zikupate za mawaidha,unaandika kama gazeti,unataka kuwasema mawahabi ili uonekane shia mko sawa hahahahaha, hizi sio zama za kudanganyana tenaa,nyinyi mashia mnawatukama maswahaba na wake za mtume s a w, kiongozi wa kwanza wa uislamu baada ya mtume s a w ni ABUBAKAR, UMAR ,UTHMAN ,ALLY r a.miyinyi mashia kama hamukubaliani na hilo basi sio wenzetu,usitake kuleta story za mawahabi ili kuhalalisha ushia wako.

    • @zuhrasherally2824
      @zuhrasherally2824 2 года назад +1

      ​@@mkude huyo hana msimamo..alikua answar sunnah akanunuliwa na mashia..tz kulikua hakuna mashia waafrika..Sasa hv wananunuliwa si bure..hlf wao wahindi wako mjiniiii...hawataki kuswali na waafrika..maskini wanadhalilishwa kwa ajili ya kula

    • @zuhrasherally2824
      @zuhrasherally2824 2 года назад +1

      Haya yoote uloandika hapo kama gazette sio unavotsfsiri wewe...hayo yanatak8wa ukae na mashekh usome kwanza Aqida yetu ya Ahlu Sunna kisha utajua..ndo maana ulitoka Answar Sunnah ukaenda ushia...ni kwa sbb hukusoma maskiniiii...Sasa mashia wanakusomesha (upotevu)unaona una elimu...elimu hata mayahudi wanayo tena sana...

    • @ushindiushindi5749
      @ushindiushindi5749 2 года назад

      Acha ulongo wew

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 2 года назад

      @@ushindiushindi5749 sisi mashia hatupo kudanganya watu kwa propaganda kama mawahabi .sisi tunazungumza kwa data.kwahiyo unataka ushahidi husu nini. Just be specific alafu mimi niwaonyeshe

  • @abdulomari4932
    @abdulomari4932 2 года назад +3

    masuni elimu zenu nindogo,kishki ni muhabi,na wahabi ndowanawanyan'ganya miskiti,leo marafikiki zenu

    • @saidjabu967
      @saidjabu967 2 года назад +1

      Acha propaganda mjinga ww na Uyahudi wenu

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 2 года назад +1

      @@saidjabu967 Mhhe yani mimi nashangaa kiwango cha ujahili wakiwahabi.Hivi kweli wanasoma vitabu vyao kabla ya kuongea? Wao wanadai mashia ni mayahudi lkn mbona tukisoma vitavyenu inaonyesha mungu wa mawahabi hanatofauti na mungu wa mauahudi na wakristo. Fungu majmaul fatawa cha ibn taymiyah kuanzia vol.2,3 hadi 7 .na vitabu vya ibn utheymeen.utaona mungu wao ana viungo kama binadamu. Pia anapanda na kushuka kama ndege.pia makao yake mungu wao mi mbinguni kama mawingu.poa mungu wa mawahabi ana godoro na ndala za dhahabu, pia anachoka na anahitaji msaada wa malaika.pia mungu wa mawahabi nikijana anayevaa nguo za kijani.jamani huyu ni mungu wa waislam kweli tunaye muita Allah? Sikweli huyu ni mungu wa mayahudi.na huu ni ushirikiana na ukafiri uliowazi wa mawahabi .sasa kati ya shia na wahabi nani kafiri zaidi. Naka kuna wahabi anapinga hiyo si itikadi yao anambie nimuonyeshe ukurasa kwa ukurasa.maana najua mawahabi si wasomi niwatu wakufatilia mihadhara yakihamasa tu

    • @mkude
      @mkude 2 года назад +3

      Hahahahaha wanataka kuleta story za mawahabi ili kuhalalisha ushia wao,mawahabi hawawatukani maswahaba wala wake za mtume s a w.nyinyi mnawatukata maswahaba na wake za mtume s a w.mkitaka kuwa waislamu na umoja acheni kuwajadili na kuwatukana maswahaba wa mtume s a w

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 2 года назад +1

      @@mkude tatizo lenu nyinyi si wasomi ni wstu wakurubuniwa na mawaidha ya mihemko tu na propaganda. Hivi kumtukana Allah na mtume wake na kumtukana swahaba lipi kubwa zaidi. Yani mnapotafsiri abasawatawala kuwa mtume kamkunjia kipofu uso ,yani mnasema mtume anatabia mbaya astaghfirullah. Hamuoni huko nikumtukana mtume? Na mnapo mpa mungu viungo kama binadamu na mkampandisha nakumshusha kama ndege na mkamuweka mahali pinguni kama mawingu.hamuoni huko nikumtukana Allah? Au kwenu majahili swahaba ni bora kuliko Allah na mtume wake?

    • @hashimabdulqadir4984
      @hashimabdulqadir4984 2 года назад

      kafiri vp hali

  • @froma3732
    @froma3732 2 года назад +1

    Hata wachaga pia wapo Waislamu na wa masai wanayo maduka pia

  • @gulamomar6394
    @gulamomar6394 2 года назад

    SIKU ZOTE HUA SIKUKUBALI ILA KWA MAJIBU HAYO NMEKUUNGA MKONO

  • @abdulomari4932
    @abdulomari4932 2 года назад +2

    muhabi nae anasemaje,maana nidhehebu la mchongo

  • @abiabi9353
    @abiabi9353 2 года назад +2

    Mimi nawasifu sana mawahabi kwa majibu yakihuni na yakijumlajumla. Lakini nawasikitikia hawawezi kujibu maswali kielimu na ki academia

    • @jamalsalum8726
      @jamalsalum8726 2 года назад

      Wahuni wanajibiwa kihuni

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 2 года назад +1

      Ww pia muhuni nandiyomaana unajuauhuni wa mashia wenzio. Ilashehewetu si muhuni

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 2 года назад

      @@jamalsalum8726 hakuns watu wahuni kama mawahabi. Hujitia kiarabu kingi lakini hawana wanachojua.wangekuwa na elimu wasingekuwa na tawheed yakiyahudi

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 2 года назад

      @@hanifatanzania7258 Huyo ni muhuni tu ndo masna anatoa majibu yakijumla jumla. Angekuwa na elimu angetoa uchambuzi wa kielimu.hivyo ndivyo mashia tunavyo fanya. Mawahabi akizungumza maswahaba anataja aya na hadithi zinazo wasifu maswahaba lkn zile aya na hadithi zinazo wakandia na kuwakemea maswahaba anaziacha.Hiyo ni dalili aidha ya uwoga au uchache wa waelimu.wewe kama unajiamini weka kila kitu mezani

    • @jamalsalum8726
      @jamalsalum8726 2 года назад

      @@abiabi9353 hawawazidi Mashia wanaolawitiana

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 9 месяцев назад

    kwanza shekh kishki hana elimu ya historia kama mnavyomkweza , pili hajui anachokiongea

  • @alternativeislamicmedicine8396
    @alternativeislamicmedicine8396 2 года назад +1

    Agenda ya mziwanda na genge lake dhidi ya shia || @fikrayakiislamu
    ruclips.net/video/BlYRBBONGRY/видео.html

    • @raniakhan5463
      @raniakhan5463 2 года назад +1

      Pelekeni ujinga wenu huko wa kishia .mnatetea hadi kufirana kwenu ni halali

  • @abdulomari4932
    @abdulomari4932 2 года назад

    hivi muhabi na sunijamaa nikitukimoja?

  • @athumanimvula3718
    @athumanimvula3718 2 года назад

    Itisheni mjadala tuone nani mkweli

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 2 года назад

    Unayosema ni kweli lakini sheikh hawa mashia na upotofu wao wanakuwa watekelezaji saana wa amana alafu watoaji saana ktk kuwavuta watu sie tumekalia ufakhari tu na wizi wa mali za waumini alafu tunatakiwa tuwe wakweli kwa kazi za dawa