MAONGEZI BAINA YA MTUME NA MKUU WA MALAIKA JIBRIL. SHEIKH NURDEEN KISHK
HTML-код
- Опубликовано: 8 сен 2024
- Khutba ya Ijumaa iliyotolewa na Sheikh Nurdeen Kishk Masjid Ihsaan Veternary Tarehe 8/10/2010 . Sira ya Mtume Muhammad s.a.w , ndani ya sira hii kuna majadiliano baina ya Mtume Muhammad na Mkuu wa Malaika Jibril, ni majadiliano gani fatilia mada hii hadi mwisho upate kuelimika,pia tunaomba usambaze ujumbe huu kwa wingi na Allah atawalipeni InshaAllah.
Mashaalah sheikh Nurdin Allah akujalie Afya na akuepushe na Shari ,macho ya mahasidi na akujalie mwisho mwema na jannatul firdos pamoja na Kipenzi chetu Muhammed S A W ,,, inshaalah ,Aminn
Mashallah jazaka allah kher sheikh kishk, naliwazika na darsa zako mungu akulipe mazuri inshallah
Mashaallah
Utujuze shekh wangu mpenzi wetu twa kupenda kwa Ajili ya Allah Shukran
Mashaalah shegh kishk allah akuzdishie kil laghri uzdi kutuelimish dini
Masha Allah
Mashaallah shukurn sheikh wang
Mashallah allah akubarik
JazakaLLAH khyr Sheck wetu
Asalaam Alaykum Warhamatullahi Wabarakatuh Nimekufwata Shekhe wetu kuhusu nywele mbona wengine usema kuliko kupaka kwenye ivi rangi nyeusi afadhali uweke hiinnaa
Allah amlipe akasha na chanel zote zilizo hifadh mada zako mpka sasa wazipata 😍😘
Mansha Allah Rabi aku zaidishe elimu Yako lkn Nike penda kama uta weza uni call kwa what's app 0720477768
ruclips.net/video/q1btQtosp00/видео.html hii 8yrs mashallah
Mashaallah
Masha Allah
Masha Allah
Masha Allah