UHARAMU WA NYIMBO NA MUZIKI. SHEIKH KISHK.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 ноя 2020
  • Khutba ya Ijumaa iliyotolewa na Sheikh Nurdeen Kishk Masjid Ihsaan Maarufu Veternary Temeke Tarehe 1/2/2008. Mada hii inaelezea namna jamii ilivyopotoka kutokana na wimbi kubwa la waimbaji kuongezeka, Kutokana na ongezeko hilo ndipo Sheikh alipoamua kuelezea uharamu wa nyimbo na muziki, ni uharamu upi itazame hadi mwisho upate kuelimiaka, tunaomba usambaze kwa wingi ujumbe huu na Allah atawalipeni InshaAllah.

Комментарии • 83

  • @Mwanaume676
    @Mwanaume676 3 года назад +24

    Kweli music ni haram jameni, nimeshuhudiya mwenyewe.
    Myaka 10 ilopita nilikuwa Dj lakin after kumskiya Sheikh akichambuwa uharamu wa music Alhamdulilah i stop listen to music.
    BEST CHOICES EVER IN MY LIFE
    - karibuni CD 300 na vyombo vyake nimetupa jalalani
    - break contacts za watowaji kazi
    - stop disco, clubs na Bar etc...
    MATUNDA AFTER TO STOP MUSIC
    - Imaan
    -Quran
    -Swala
    - rizki ya halal
    - ugonjwa wa kuanguka kifafa umepona
    -Marafiki katika Imaan
    -Utulivu wa moyo na akili
    -Amani nyumbani
    Etc...........

    • @sein.208
      @sein.208 3 года назад

      Masha Allah

    • @nassrubushoot5750
      @nassrubushoot5750 3 года назад

      MashaAllah brother

    • @hawamatuta1905
      @hawamatuta1905 3 года назад

      Ma shaa Allah

    • @Awatee
      @Awatee 3 года назад +1

      Mashallah allah azid kukuongoza ila namshkuru mung siupend mzik wal sin akil ya kuhifadh nyimb alhamdu lilah

    • @Mwanaume676
      @Mwanaume676 3 года назад

      Allahumah Amin
      Allah Atunusuru sisi wote

  • @YusraynatAlly-mo7sq
    @YusraynatAlly-mo7sq Месяц назад +1

    subuhana wwah,,,,ya Allah (sw) tusamehe makosa yetu na utujaalie tuache kusikiliza nyimbo,,,,,lkn pia Allah(sw) atujaalie tuingie katika pepo ya firdaus kwa rehma zake amiiiiin

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 3 года назад +6

    Alhamndulilah Allah akulipe kila kheri sheikh wetu tunakupenda kwa ajili ya Allah shukraan kwa ukumbusho Allah atujaalie mwisho mwema

  • @halimaramadhan2975
    @halimaramadhan2975 3 года назад +6

    Allah atuongoze katika kheir tuweze kuifata na atuepushe na shar tuweze kuiepuka

    • @sakinat2527
      @sakinat2527 3 года назад

      Ameen yaa Rabbil aalamiin

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b 3 года назад +6

    MaashaAllah sheikh Ni Hutba ya zamani lakn kukumbushana ndio sawa waislam..Shukran jazzillah

  • @alqaasim_a_tz2412
    @alqaasim_a_tz2412 3 года назад +4

    Maa shaa Allah,
    Nimeikumbuka Hii Khutba miaka imepita Tokea zama zile mwalim Ako kwenye ubora wake mpaka Leo maa Shaa Allah.
    Allah Amhufadhi zaidi

  • @ashamhammed4708
    @ashamhammed4708 3 года назад +7

    Ma shaa Allah, shukurani Jazzilla Yaa Raabby

  • @asyahamaro7546
    @asyahamaro7546 3 года назад +3

    Allah akupe umri mrefu shekh nurdeen kishk shukran kwa ukumhusho

  • @user-ws9ek8dj5n
    @user-ws9ek8dj5n 3 года назад +3

    Astaghfirullah Mwenyezi Mgu atuongoze katika njia iliyonyooka Amiin ya Rabbil Allamin shukraan jazzakah Allahu kheir sheikh barakallahu fik

  • @qudraismail6825
    @qudraismail6825 3 года назад +7

    Kweli kabisa watu tumepinda sana ALLAH atufanyiye wepesi tuachi mabaya😭😭😭😭

    • @user-vg6gp3bz1f
      @user-vg6gp3bz1f 8 месяцев назад

      Aaaamina ya Rabby 🤲 🤲 😔😔

  • @rukiafaraj1400
    @rukiafaraj1400 3 года назад +5

    Allah awalipe kheri Masheikh wetu..hakika Music inaharibu mioyo na Qur'an inaleta utulivu kwenye Mioyo yetu...Shukran Jaziyla Sheikh Kishq

  • @zainabrashid385
    @zainabrashid385 3 года назад +4

    Allah akujalie ishaallah

  • @user412
    @user412 3 года назад +2

    Kipindi icho ilikuwa shule nahiari nichlewe lkn darsa zake Kupitia Voice of Istqama nimskilize uyu sheikh.

  • @saidomar6806
    @saidomar6806 3 года назад +6

    Mashaallah hakika Allah Qareem

  • @aishakinia4957
    @aishakinia4957 3 года назад +4

    Shukran sheikh kwa kutuelimisha

  • @rahmanassoro814
    @rahmanassoro814 3 года назад +4

    Alhamdulilah Allah akulipe

  • @umsoud3306
    @umsoud3306 Год назад +1

    Ya Rab, Atuhidi umati wa Nabii Muhammad Sallallahu Alayhiy Wa Ssalaam

  • @sein.208
    @sein.208 3 года назад +4

    Masha Allah
    Jazaakallah kheir

  • @sittikibonge8066
    @sittikibonge8066 3 года назад +2

    Maa Shaa Allah... Allah akupe siha njema.

  • @aminajaber9618
    @aminajaber9618 3 года назад +4

    Allah akulipe kheri

  • @dffxfgg678
    @dffxfgg678 3 года назад +2

    Allah atujaghalie kher

  • @wazirimwenevyale6361
    @wazirimwenevyale6361 3 года назад +1

    Sheikh Kishik kuna jambo muhimu kuhusu uislam wetu naomba sana tuwasiliane tafadhari.

  • @Stanbul.Y
    @Stanbul.Y 3 года назад +3

    MashaAllah Shukran

  • @halimaramadhan2975
    @halimaramadhan2975 3 года назад +2

    Baraka llahu fik sheikh kishk

  • @alymussa1806
    @alymussa1806 3 года назад +1

    Allah akupe kila la khery sheiykh wetu nurdin kishk

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 2 года назад +1

    Shukran sheikh

  • @RayaRashid-dc2hn
    @RayaRashid-dc2hn 3 месяца назад

    Allah a2fanyie wepec 2ache kuckiliza mambo ya ovyo

  • @rahmumohamedy1589
    @rahmumohamedy1589 3 года назад +4

    Mashaallah

  • @rashidjumamohamed3437
    @rashidjumamohamed3437 3 года назад +2

    Shukran

  • @shabaniadam7015
    @shabaniadam7015 3 года назад +5

    Mashallah

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 3 года назад +2

    Yalllah tupemwusho mwwema yarab

  • @KichkiMohamedKichki-wp3dp
    @KichkiMohamedKichki-wp3dp 9 месяцев назад

    Ana ouhibou lillah Ana masrourou birou iyatihi

  • @kamaltube6890
    @kamaltube6890 3 года назад +1

    Masha Allah jkr

  • @iddkumchenga9298
    @iddkumchenga9298 2 года назад +1

    The professional

  • @mwalimmakame6273
    @mwalimmakame6273 Год назад +1

    Yana umuhim mkubwa sana haya maneno

  • @rajabunkya7721
    @rajabunkya7721 3 года назад +1

    Mashaalaa dawaa nzur

  • @HalimaIssack-jj2xh
    @HalimaIssack-jj2xh 10 месяцев назад

    Mashallah shukran

  • @Elementmoteur26
    @Elementmoteur26 7 месяцев назад

    Jazaakallah kheir

  • @abdullahyassin6895
    @abdullahyassin6895 2 года назад +1

    Kwa hakika mawaidha haya yanagusa wengi

  • @NkurunzizaAbdoulhamid-ef3ls
    @NkurunzizaAbdoulhamid-ef3ls 8 месяцев назад

    Jazaqallah khailla.

  • @rahmaally5128
    @rahmaally5128 3 года назад

    Masha Allah
    Jazakum Allahu kheir

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 3 года назад

    mawaidha haya nayapenda sana Alhamdullillah Alhamdullillah kwa neema ya kuwa Muslim

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад +1

    Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yangu hapo kama hautojal

  • @mimimoop2617
    @mimimoop2617 3 года назад +2

    Mashallaah

  • @nourambarak6297
    @nourambarak6297 3 года назад +1

    niukwer

  • @user-ug8fq4kw3j
    @user-ug8fq4kw3j 5 месяцев назад

    Mungu atunusuru naayo

  • @zainabrashid385
    @zainabrashid385 3 года назад +1

    Manshallaah

  • @aishamaulid2358
    @aishamaulid2358 3 года назад

    Asalaam Aleikum....walai muziki ni msiba mkubwa kwa jamii haswa ya kiislamu...

  • @amofesa8166
    @amofesa8166 2 года назад

    Ya Allah utujaliye mwisho mwema

  • @RashidKonga
    @RashidKonga 8 месяцев назад

    Jaman mi Nina mchumba nikitaka kumuoa lakini wakwe zangu ndo tatizo nisaidieni mchango wa mawazo nifanyaje?

  • @ummuramadhan1842
    @ummuramadhan1842 2 года назад

    Ma shaa Allah

  • @sadausen2608
    @sadausen2608 2 года назад

    Quruani tikufu shekhe kishki

  • @husnakh5136
    @husnakh5136 3 года назад +1

    Astaghfirullah😢😢

  • @mariammuscat4300
    @mariammuscat4300 3 года назад +2

    😭😭😭😭😭

  • @rabiawaziri2525
    @rabiawaziri2525 2 года назад +1

    😭😭😭😭🤲🤲🤲🤲🤲

  • @maiyaaliesry6192
    @maiyaaliesry6192 3 года назад +1

    P

  • @presstv7700
    @presstv7700 3 года назад +3

    Je ikiwa ngoma ni kharam dufu linaekwa nafasi gani?

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 3 года назад +1

    Mtihan mkubwa(fitna kubwa) upo ktk Nyimbo na Miziki..Jamii imharibika kwa kuathirka na Miziki! Huu ni mpango (Mission) unaofanywa na Makafiri (Wamissiinary)/wanaopinga Uislam.
    Leo utakuta (kawaida) baadhi ya % kubwa za Radio na Tv (vyombo ya habari) hutangaza matangazo/habari huku ikiambatana/ikifuatiwa na Nyimbo/Mziki lengo kuwapoteza Waislam wapende Miziki.
    Utakuta kijana wa Kiislam anaimba Mziki (Mwanamziki) hujiita/huitwa msanii kioo cha jamii kumbe ni muharibifu wa maadili ya jamii . Wanadai mziki ni ajira, kiburudisho haha kama haram itabakia kuwa haram.

  • @hussenisalumu
    @hussenisalumu Год назад

    Astakafraallah

  • @bakarikihonga5717
    @bakarikihonga5717 3 года назад +1

    Huyu Shekhe kwanza mnafiki tu

    • @AbdulKarim-be6su
      @AbdulKarim-be6su 3 года назад +1

      Kwa hio unamaana kua mziki n halali ama

    • @shenjamamzingi7950
      @shenjamamzingi7950 3 года назад

      Ndugu yangu Taqqllah,usiwe mwepesi kusema hayo kwa Muislam mwenzio

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 года назад

      subhanallah unafiki wake ni nn

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 Год назад

      Wengine akili zao Sio nzuri jmn km hawa wapuuzeni tu

  • @MohdAli-sp2wq
    @MohdAli-sp2wq 3 месяца назад

    Mashallah

  • @ashirafuchazi896
    @ashirafuchazi896 3 года назад +1

    Mashaallah