UHARAMU WA NYIMBO NA MUZIKI. SHEIKH KISHK.
HTML-код
- Опубликовано: 12 ноя 2020
- Khutba ya Ijumaa iliyotolewa na Sheikh Nurdeen Kishk Masjid Ihsaan Maarufu Veternary Temeke Tarehe 1/2/2008. Mada hii inaelezea namna jamii ilivyopotoka kutokana na wimbi kubwa la waimbaji kuongezeka, Kutokana na ongezeko hilo ndipo Sheikh alipoamua kuelezea uharamu wa nyimbo na muziki, ni uharamu upi itazame hadi mwisho upate kuelimiaka, tunaomba usambaze kwa wingi ujumbe huu na Allah atawalipeni InshaAllah.
Kweli music ni haram jameni, nimeshuhudiya mwenyewe.
Myaka 10 ilopita nilikuwa Dj lakin after kumskiya Sheikh akichambuwa uharamu wa music Alhamdulilah i stop listen to music.
BEST CHOICES EVER IN MY LIFE
- karibuni CD 300 na vyombo vyake nimetupa jalalani
- break contacts za watowaji kazi
- stop disco, clubs na Bar etc...
MATUNDA AFTER TO STOP MUSIC
- Imaan
-Quran
-Swala
- rizki ya halal
- ugonjwa wa kuanguka kifafa umepona
-Marafiki katika Imaan
-Utulivu wa moyo na akili
-Amani nyumbani
Etc...........
Masha Allah
MashaAllah brother
Ma shaa Allah
Mashallah allah azid kukuongoza ila namshkuru mung siupend mzik wal sin akil ya kuhifadh nyimb alhamdu lilah
Allahumah Amin
Allah Atunusuru sisi wote
subuhana wwah,,,,ya Allah (sw) tusamehe makosa yetu na utujaalie tuache kusikiliza nyimbo,,,,,lkn pia Allah(sw) atujaalie tuingie katika pepo ya firdaus kwa rehma zake amiiiiin
Alhamndulilah Allah akulipe kila kheri sheikh wetu tunakupenda kwa ajili ya Allah shukraan kwa ukumbusho Allah atujaalie mwisho mwema
Allah atuongoze katika kheir tuweze kuifata na atuepushe na shar tuweze kuiepuka
Ameen yaa Rabbil aalamiin
MaashaAllah sheikh Ni Hutba ya zamani lakn kukumbushana ndio sawa waislam..Shukran jazzillah
Maa shaa Allah,
Nimeikumbuka Hii Khutba miaka imepita Tokea zama zile mwalim Ako kwenye ubora wake mpaka Leo maa Shaa Allah.
Allah Amhufadhi zaidi
Ma shaa Allah, shukurani Jazzilla Yaa Raabby
Allah akupe umri mrefu shekh nurdeen kishk shukran kwa ukumhusho
Astaghfirullah Mwenyezi Mgu atuongoze katika njia iliyonyooka Amiin ya Rabbil Allamin shukraan jazzakah Allahu kheir sheikh barakallahu fik
Ameen
Kweli kabisa watu tumepinda sana ALLAH atufanyiye wepesi tuachi mabaya😭😭😭😭
Aaaamina ya Rabby 🤲 🤲 😔😔
Allah awalipe kheri Masheikh wetu..hakika Music inaharibu mioyo na Qur'an inaleta utulivu kwenye Mioyo yetu...Shukran Jaziyla Sheikh Kishq
Allah akujalie ishaallah
Kipindi icho ilikuwa shule nahiari nichlewe lkn darsa zake Kupitia Voice of Istqama nimskilize uyu sheikh.
Mashaallah hakika Allah Qareem
Shukran sheikh kwa kutuelimisha
Alhamdulilah Allah akulipe
Ya Rab, Atuhidi umati wa Nabii Muhammad Sallallahu Alayhiy Wa Ssalaam
Masha Allah
Jazaakallah kheir
Maa Shaa Allah... Allah akupe siha njema.
Allah akulipe kheri
Allah atujaghalie kher
Sheikh Kishik kuna jambo muhimu kuhusu uislam wetu naomba sana tuwasiliane tafadhari.
MashaAllah Shukran
Baraka llahu fik sheikh kishk
Allah akupe kila la khery sheiykh wetu nurdin kishk
Shukran sheikh
Allah a2fanyie wepec 2ache kuckiliza mambo ya ovyo
Mashaallah
Shukran
Mashallah
Yalllah tupemwusho mwwema yarab
Ameen
Ana ouhibou lillah Ana masrourou birou iyatihi
Masha Allah jkr
The professional
Yana umuhim mkubwa sana haya maneno
Mashaalaa dawaa nzur
Mashallah shukran
Jazaakallah kheir
Kwa hakika mawaidha haya yanagusa wengi
Jazaqallah khailla.
Masha Allah
Jazakum Allahu kheir
mawaidha haya nayapenda sana Alhamdullillah Alhamdullillah kwa neema ya kuwa Muslim
Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yangu hapo kama hautojal
Mashallaah
niukwer
Mungu atunusuru naayo
Manshallaah
Asalaam Aleikum....walai muziki ni msiba mkubwa kwa jamii haswa ya kiislamu...
Ya Allah utujaliye mwisho mwema
Jaman mi Nina mchumba nikitaka kumuoa lakini wakwe zangu ndo tatizo nisaidieni mchango wa mawazo nifanyaje?
Ma shaa Allah
Quruani tikufu shekhe kishki
Astaghfirullah😢😢
😭😭😭😭😭
😭😭😭😭🤲🤲🤲🤲🤲
P
Je ikiwa ngoma ni kharam dufu linaekwa nafasi gani?
Umenena
Zote hizo ni haramu huo do ukweli
Mtihan mkubwa(fitna kubwa) upo ktk Nyimbo na Miziki..Jamii imharibika kwa kuathirka na Miziki! Huu ni mpango (Mission) unaofanywa na Makafiri (Wamissiinary)/wanaopinga Uislam.
Leo utakuta (kawaida) baadhi ya % kubwa za Radio na Tv (vyombo ya habari) hutangaza matangazo/habari huku ikiambatana/ikifuatiwa na Nyimbo/Mziki lengo kuwapoteza Waislam wapende Miziki.
Utakuta kijana wa Kiislam anaimba Mziki (Mwanamziki) hujiita/huitwa msanii kioo cha jamii kumbe ni muharibifu wa maadili ya jamii . Wanadai mziki ni ajira, kiburudisho haha kama haram itabakia kuwa haram.
Astakafraallah
Huyu Shekhe kwanza mnafiki tu
Kwa hio unamaana kua mziki n halali ama
Ndugu yangu Taqqllah,usiwe mwepesi kusema hayo kwa Muislam mwenzio
subhanallah unafiki wake ni nn
Wengine akili zao Sio nzuri jmn km hawa wapuuzeni tu
Mashallah
Mashaallah