MAJIBU KWA YUSUFU DIWANI MKUFURISHAJI || SHEIKH MUHAMMAD IS-HAQ

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 33

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 3 месяца назад +2

    Huu ni mwezi wa rudud wa kuwanyoosha masufi tu Allah awahifadhi masheikh wa kisalafi

  • @Mahershalalhashbazi-kf6xi
    @Mahershalalhashbazi-kf6xi 3 месяца назад +1

    Sheikh Muhammad Is-haq nimekufuatilia kitambo kidogo,unanena bila unafiq,
    Mungu akupe Neema uijuwe kweli unusuriwe na jehannam
    Sheikh Bachu YESU(Yasur) anakuja soon mpokee tafadhali

  • @user-ug8hc4yh5k
    @user-ug8hc4yh5k 2 месяца назад

    Shukran sana sheikh is haq kwa kumfundisha mgaga wa kienyeji mpiga vipande Yusuf diwani
    Sheikh Muhammad ibnu Abdul wahabe sio aliye anza kugawa tauhidi
    Maimamu abu Hanifa waligawa tauhidi
    Na imamu abu Hanifa ni wahabe???
    Yusuf diwani
    AJIBU

  • @user-xi4le1hp4y
    @user-xi4le1hp4y 3 месяца назад +5

    Tatizo hawa masufi wameingiziwa chuki na mashia wao hawajui chochote ,ni wavivu wa kusoma na pia hawajui taarekh ya itiqadi ya Ahalu sunna wal jamaa.

  • @KhalfanMassoud
    @KhalfanMassoud 3 месяца назад +1

    Allah atuongoze Waislamu wote wakiwemo ndugu zetu masufi katika njia iliyo bora (sawa).

    • @Hamis-ks1sy
      @Hamis-ks1sy 3 месяца назад

      Allahumma aamiin.Yaani wewe ndugu yangu sikukosi kila sehemu Maa shaa Allah

    • @KhalfanMassoud
      @KhalfanMassoud 3 месяца назад

      @@Hamis-ks1sy Asante Hamis. Au khamisiiiii?
      Kisha umesema ndugu yangu yaani umepatia, nashangaaaa

    • @KhalfanMassoud
      @KhalfanMassoud 3 месяца назад

      @@darajanida ameen, wewe piga ua, ila upate pepo tu mwisho wasiku, hatumfosi mtu kufuata njia fulani, tunamshauri mtu afanye kila lililo lazima kufanywa ili mwisho wasiku wapate pepo.
      ولم يصبحوا صوفية أو سلفية أو شيعية أو وهابية.إلا بقدرة الله وحده

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 3 месяца назад +1

    Masufi nikama vinyago tu,

  • @abdulrahmanmussa4479
    @abdulrahmanmussa4479 3 месяца назад +1

    Diwani hamna kitu ni msiba mtupu

  • @hassanWanjiku
    @hassanWanjiku 3 месяца назад

    Huu uchafu utasafika inshaallah shia na masufi makhurafi wote ngora Moja na hawataki kuskia hili ndo la Sunnah wao wabaki kuzua tu n hawataki kuambiwa watafute majibu kwa Allah yakujibu

    • @user-lp3gi5wd4e
      @user-lp3gi5wd4e 3 месяца назад

      We yahudi kweli,Mnapinga bidaa wakati nyie ndo mnaongoza kwakuifanya!, Swali je hiyo tawhid ni Mtume au Maswahaba ndo walianzisha au ni bidaa Zenu.

    • @hassanWanjiku
      @hassanWanjiku 3 месяца назад

      @@darajanida nkama wee mmoja wa hao wazushi sio endeleeni kuchafua dini y Allah n muogopeni ALLAH jamani

    • @YasiniRajabuAlly-oc1pd
      @YasiniRajabuAlly-oc1pd 3 месяца назад

      ​@@user-lp3gi5wd4e inaonyesha hujaskiza kilichozungumzwa ukakurupukia comment bs nakushaur kaa uskize kwa umakini kabisa utaelewa ikiwa wataka kuelewa kwa idhni ya llah

  • @badrudinsalum3139
    @badrudinsalum3139 3 месяца назад

    Yaani huyo Diwani kam huo ndo ushahidi aliotoa kuthibitisha ukatoliki wa mawahabi basi anatakiwa apimwe akili na hao wafuasi wake ndo wakupelekwa milembe kabisaaa

  • @mansulesuleyman6217
    @mansulesuleyman6217 3 месяца назад

    Mzee ulikua wp ?? Ama ulikua hajatumwa?? Ama walikua hawajakufunza??? Ama walikua hawajakushikisha???

  • @saidsobongo912
    @saidsobongo912 3 месяца назад

    Masufi wapewe elimu kamahii waki kaliwa kimya wanajikuta vigogo kumbe wapuuzi waganga haoo sijui wana vichwa vya kuku maana hawa fahamu

    • @user-lp3gi5wd4e
      @user-lp3gi5wd4e 3 месяца назад

      We Yahudi endelea kuabudu mungu mwenye nywele ndogondogo na kujitoa Muhanga

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official 3 месяца назад

    masufi wanafeli wapi

  • @user-lp3gi5wd4e
    @user-lp3gi5wd4e 3 месяца назад

    Je,Mtume ndo aliwafunza maswahaba hivyo kua tawhid imegawanyika mara 3!?

    • @saidsobongo912
      @saidsobongo912 3 месяца назад

      Kwel ujinga ni upofu sasa ustadh usichokielewa hapo nin shekh anasoma na kutaja vitabu kisha una uliza upuuzi

    • @alf8177
      @alf8177 3 месяца назад

      je mtume aliwafundisha masahaba kama swala in nguzo 17? au hiuitakidi kama sala ina nguzo

    • @user-lp3gi5wd4e
      @user-lp3gi5wd4e 3 месяца назад

      @@saidsobongo912 We yahudi kweli,Endelea kuabuMungu mungu nikijana Mwenye Nywele ndogondogo

    • @user-lp3gi5wd4e
      @user-lp3gi5wd4e 3 месяца назад

      @@alf8177 We Yahudi,Endelea kuabudu mungu mwenye nywele ndogondogao.

    • @user-lp3gi5wd4e
      @user-lp3gi5wd4e 3 месяца назад

      @@alf8177 Sifahamu kama swala inanguzo,embu naomba nifaamishe nani alifundisha Kama swala inanguzo 17.

  • @user-pu2uw2ib5y
    @user-pu2uw2ib5y 3 месяца назад

    Inaonesha wewe hata akili hauna