HAKIKA ya ALLAH akuhifadhi na akulinde na akupe afya njema na akupe hitaji lako na akupe mwisho mwema na akuingize PEPONI Tena Firdausi Yani umefasili vyema wallah mieuku nimekosheka sana Tena mno
Tawhid ni moja tu kumpwekesha M.mungu hakuna sababu ya kuzungukazunguka wakati wa mtume hakukuwa na tauhid tatu mumetowa wapi mbona jibu lenye akili hutowi
Sasa Kwan shekh kajib swal gan apo si Ilo Ilo lavigawanyo na kachambua vizur na ajatumia akil yake ni Aya ya Quran ndio imegawanya sio yeye we unavyoona mgawanyo huo aliouweleza ALLAH apo kweny hiyo aya na mgawanyo wamanaswara ni sawa? Kama sio sawa yanin kuludie swal ambalo lishajibiwa
Hao wanao uliza hawajaweza kutafautisha nini tawhid naninani Alla ,ndio maana wanasema "Alla amegawika" Baadae wafafanulie hiyo Aya ya utatu wa ukirsto, labda watafahamu Ahsant sh.muhammad.
Na mtihani utabakia kwa waislamu wasioijua Dini yao kwa uhakika balu wanakwenda kwa kuiga na kuzingatia walivyo waona wazee wao na mashekhe zao wakifanya na kuamini
Na la kigawanyo hicho Ni Sawa mbona hakufanya mtume sallallahu alaihi wa alihi wassallam? Mbona hakufanya maswahaba? Mbona hawakuyafanya watu wa qarne Bora,? لوكان خيرا لسبقونا إليه لوكان خيرا
Swali ninani alieigawanya hi tawhid mara 3?ni Mtume au Maswahaba? Mtume alishasemaga RUBUBIA,ASMAA WASIFAT,ULUHIA? Lete kitabu chenye kuonyesha Mtume ametamka hayo maneno.
Kwa ilmu hiyo mbona iko wazi kabisa kwamba haihusiani na trinity(utatu) wanao uabudia wakristo? Huyo Sheikh aliye uliza, kapata wapi na vipi cheo hicho?
@@makameally1962 tawheed haijagawanywa mara tatu , ni imefanunuliwa zile njia ambazo unafaa kufanya tawheed , kusema kwamba yeye ni Muumba peke yake, hakuna wakuabudiwa Ile yeye na asiitwe mwengine kwa jina ama sifa ambazo ni zake yeye..... Haijagawanywa
Kwan shekh kachambua maneno yake au kachambua Aya ya Quran? ALLAH ndio aliesema yeye ndie rabbi na yeye ndie anaestahik kuabudiwa na majina yake yaliokuwa mazur Sasa ilikuwa haja gan Aya kueleza yote hayo siingeixhia tu kweny rabbi ssamaawat wal'ardhw wamaa baina hhumaa shekh hii din jaman tuache ushabik shekh kaichambua aya inavyosema
Wakristo wanaitakidi kwamba MUNGU BABA, MUNGU MWANA na MUNGU ROHO nikitu kimoja. Wenyewe hawasemi kwamba MUNGU ROHO ni Jibril hiyo ni tafsir yetu sisi waislamu. Wanasema wote hao nikitu kimoja japokuwa wamegawa sehemu 3.
Mungu baba, Mungu mwana na Roho mtakatifu vyote nikimoja. Wenyewe wanasema: HAPO MWANZO KULIKUWA*NENO*, NAYEYE *NENO* ALIKUWA KWA MUNGU, NA HUYO *NENO* NDO MUNGU.
Shekh😂!! Roho Mtakatifu sio malaika Gibril shekh! Mnakwama wapiiii!!!? Iweje had leo hii kwa usomi wenu mkasema Roho Mtakatifu ni gibril!!?😅 Duh kwel sion shaka kuwa katika Kristo
Wapi hadith kaigawa tauhid au hata aya Allah kaigawanya hiyo tauhid shida mnadandia treni kwa mbele hamjui mwanzilishi wa hicho kitu kakusudia kitu gani.
HAKIKA ya ALLAH akuhifadhi na akulinde na akupe afya njema na akupe hitaji lako na akupe mwisho mwema na akuingize PEPONI Tena Firdausi Yani umefasili vyema wallah mieuku nimekosheka sana Tena mno
Aamin
@@mudybeka6698😅😅😅😅😅😅😅😅😅😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😅
Sheikh hawawezi kukuelewa masufi kwa sabab waanzilish wa mataasul ni wao sasa sisi ambao tunakuelewa ALLAH akuhifadhi Sheikh
Wallahi ambae hajaelewa bas aidha nimnaafiki au ni juha kupitiliza,allah akulipe shekhe letu,twakupenda sana ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Shekh nakupenda kwa ajili ya Allah acha kusema mungu, au mwenyezimungu,
Mhhhh
Shekhe Muhammad maashaa Allaah umejibu vizuri sana Allaah akulipe kheri
M a chwakupenda Sanaa shekh langu Muhammad bacho
allah akuhifadhi shekh muhammad bachu
MOHAMED ACHA KIBURI MCHE ALLAH
Mashaallah jazakumllah kheir ust uko p
Baaraka llahu fik, shukran sheikh Mohammed
Shekh tumekuelewa sana na allah atupe pepo yake kwa neema zake, ila mungu sio jina miongoni mwa majina ya allah...
Aamin
BIDAA hii ya utatu inapigiwa Debe Sana ingawa mtume s. a.w. hakuifundisha
Tawhid ni moja tu kumpwekesha M.mungu hakuna sababu ya kuzungukazunguka wakati wa mtume hakukuwa na tauhid tatu mumetowa wapi mbona jibu lenye akili hutowi
Mnafanya bid aa
Na mwisho tunasema laa hawla walaa quwwata illaa billaah.
MAA SHAA ALLAH ALLAH AWABARIKI MASHEIKH
Basi na sisi Tumpwekeshe Allah SW katika ibada zote tusije tukalaumiwa km walivyolaumiwa Mayahudi na Manaswala
Hata katika manaswra pia wamegawanyika katika utatu....... fahamu Hilo
Kichwa chako kigumu kama ujaelewa apo kwenye hiyo aya autaelewa mbaka unakufa Kaa kiushabik shabik hivyo hivyo tu
@@ramaadam3551 hamasa Ni za za Nini mahemko Ni ya Nini Realx Mimi Ni Swali tu nimeuliza uzuri ulikua unijibu Na unyamaze tu
Sasa Kwan shekh kajib swal gan apo si Ilo Ilo lavigawanyo na kachambua vizur na ajatumia akil yake ni Aya ya Quran ndio imegawanya sio yeye we unavyoona mgawanyo huo aliouweleza ALLAH apo kweny hiyo aya na mgawanyo wamanaswara ni sawa? Kama sio sawa yanin kuludie swal ambalo lishajibiwa
Hao wanao uliza hawajaweza kutafautisha nini tawhid naninani Alla ,ndio maana wanasema "Alla amegawika" Baadae wafafanulie hiyo Aya ya utatu wa ukirsto, labda watafahamu Ahsant sh.muhammad.
Hujajibu swali
Ana zunguka sana hajaongea kitu na hawezi kutete hio hoja maisha yake
Alouliza swali ilo ni mchungaji au myahudi
shukran
Na mtihani utabakia kwa waislamu wasioijua Dini yao kwa uhakika balu wanakwenda kwa kuiga na kuzingatia walivyo waona wazee wao na mashekhe zao wakifanya na kuamini
Jibu swali uliloulizwa acha kujikanyagakanyaga
Bachu wangonjwa mambrui ukatete itikadı yk😂😂
Haya matamshi ya tawheed ni Mungu 3 km wakiristo imenezwa sana na watu wa Twarika kuaribia watu wa Sunnah na kueneza propaganda.
Allah Akbar
Na la kigawanyo hicho Ni Sawa mbona hakufanya mtume sallallahu alaihi wa alihi wassallam?
Mbona hakufanya maswahaba?
Mbona hawakuyafanya watu wa qarne Bora,?
لوكان خيرا لسبقونا إليه
لوكان خيرا
swali limejibiwa tena kwa vitendo lakini mtu anatuma sms anasema swali halija jibiwa jamani tumche allah na tuache ushabiki ktk dini ya allah
Ninachompendea sheikh Muhammad ni maelezo yake ni muruwa kabisa
Swali halijajibiwa swali kwnn mgawe tawuhidi
Swali ninani alieigawanya hi tawhid mara 3?ni Mtume au Maswahaba?
Mtume alishasemaga RUBUBIA,ASMAA WASIFAT,ULUHIA?
Lete kitabu chenye kuonyesha Mtume ametamka hayo maneno.
Kwa ilmu hiyo mbona iko wazi kabisa kwamba haihusiani na trinity(utatu) wanao uabudia wakristo?
Huyo Sheikh aliye uliza, kapata wapi na vipi cheo hicho?
Athman akiwa na sifa ya upishi. Je, ni watu wawili tofauti?
Rabbi ndo ilah na ilah ina sifa ndo hiyo hiyo moja haina haja ya kuigawanya
Hakujagawanywa kitu isipokuwa imefafanuliwa ....na hapo kaleta Aya ambayo imefafanuwa ....usikubali ujinga ukutawale utafeli maishani
@@abdulrahmanabubakar5127 jee mtume kagawanya tawheed??!
@@makameally1962 tawheed haijagawanywa mara tatu , ni imefanunuliwa zile njia ambazo unafaa kufanya tawheed , kusema kwamba yeye ni Muumba peke yake, hakuna wakuabudiwa Ile yeye na asiitwe mwengine kwa jina ama sifa ambazo ni zake yeye..... Haijagawanywa
Kwan shekh kachambua maneno yake au kachambua Aya ya Quran? ALLAH ndio aliesema yeye ndie rabbi na yeye ndie anaestahik kuabudiwa na majina yake yaliokuwa mazur Sasa ilikuwa haja gan Aya kueleza yote hayo siingeixhia tu kweny rabbi ssamaawat wal'ardhw wamaa baina hhumaa shekh hii din jaman tuache ushabik shekh kaichambua aya inavyosema
Tawhed haiwez kugawanywa
Kwanza hakuna kauli ya tawhihidi ndani ya Qur'an bali ni الدين الخالص
Unaposema tawhidi ni ku unite ...kuunganisha kuwa kitu kimoja.
Hicho mnachokifnya hakifai
Wakristo wanaitakidi kwamba MUNGU BABA, MUNGU MWANA na MUNGU ROHO nikitu kimoja. Wenyewe hawasemi kwamba MUNGU ROHO ni Jibril hiyo ni tafsir yetu sisi waislamu.
Wanasema wote hao nikitu kimoja japokuwa wamegawa sehemu 3.
Hiko kitu kimoja ndo kipi sasa?
Mungu baba, Mungu mwana na Roho mtakatifu vyote nikimoja. Wenyewe wanasema:
HAPO MWANZO KULIKUWA*NENO*, NAYEYE *NENO* ALIKUWA KWA MUNGU, NA HUYO *NENO* NDO MUNGU.
Tatizo ni kwamba hata adabu ya kielimu hauna
Adabu yako ni mdogo sawa aisee wewe kijana salaaaalaa
Naomba dalili ya aya au hadithi, mtume hakutoa hata hadithi moja ya tauhidi tatu
Huyu ana bla blatu ujanja mwingiii
Kusha kwama towa hadisi kamawewe inavyo washurutisha watu was maulidi
Shekh😂!! Roho Mtakatifu sio malaika Gibril shekh! Mnakwama wapiiii!!!? Iweje had leo hii kwa usomi wenu mkasema Roho Mtakatifu ni gibril!!?😅 Duh kwel sion shaka kuwa katika Kristo
Bachu jielewe usipayuke payuke ovyo kwani mtume amefundisha hiyo tauhid 3 au ni moja ya bidaa zenu za kiwahabi tu sema usikike
wacha porojo sheikh hiyo ndio bidaa safi
🤣🤣🤣🤣
Yaani wewe ni majinun zifte yaani
Kua na Adabu wewe maana nyie mlipokosa kujua hili somo la tawheed manaenda kuombewa siku hizi makanisani na pasta ezekiel majaoni shenzi sana wewe
Kwan mtume S.a.w kaigawa hiyo tauhid. Mnatupiga changalamacho. Bado hoja zako hazilishi unaongea ongea tu kwa fikira zako.
Kasome vizuri mwalim
Wapi hadith kaigawa tauhid au hata aya Allah kaigawanya hiyo tauhid shida mnadandia treni kwa mbele hamjui mwanzilishi wa hicho kitu kakusudia kitu gani.
@@KHALIFAMPYA-TV Bado nakwambia tena zidi kusoma mwalim ili ujuwe kutumia elimu yako vizuri
Hamna kitu hapo we ndo ukasome
Hamna kitu hapo we ndo ukasome