Alhamdulillah rabbi l'aalamiin. Sufa zote njema n za Allah sw mola wa viumbe vyote. Ashukuruwe Allah sw kw kuturejeshea sheik wetu Nassor Bachu(Bachu no.2) mtetea haki,mpinga batwil.Muwazi,mpinga unafik. Tumuombe Allah sw avirithishe vizazi vyetu yalikokuwa mema na viapukane na yaliyo machafu. Awasimamishie kalmatu Tawhiid ya Laa ilaaha illa llahu Muhammada rasuulu llah.
Wallahi she ukosawa sanaa inshallah kwa hili tu Allah ukuingize peponi kwa rehma zake. Wallahi watoto wa kieke wa kiislam wanajieka uchi sana kwa kile kinachoitwa uigizaji na usanii.kisa nini ajira ,umaarufu maisha bora. Waislam tumoo tunawafuata makafiri hatuwa kwa hatuwa hatawakiingia kwenye mashimo ya furkenge. Mtume hasemi uongo.
Yaani Wallahi nina maneno Mengi Ila Allah kamgomba Kupitia Kinywa Chake mwenyewe Baada Ya Kusema Hiv unaa adabu we una adabu ww kuigiza saut ya nyundo Inahitaj mazingatio makubwa hapa
Tena ni zaidi ya kushangaza , hizi ndizi karne za mwisho mn RUSSULLULLAH ashayatabiri haya karne kipindi ya uhai wake na ndio ss yajitokeza ALLAH atuongoze amiini
Ni kweli wallah ... alaf uyu jamaa aambiwe kwamba tabia yake ya kumuigiza al-marhum sheikh nyundo sio nzur coz anafanya maskhara ktk dini ya ALLAH.. Alaf ubaya mwengine antaka kuharibu vizazi kwa huo upuuzi alouomba hapa.
Ni vizuri mashekhe kuyafanyia kazi mambo kama haya na kuwaelimisha vijana ili wapate kuongoka. Hapo ndio umuhimu wa mashekhe wa karibu kuanzia Mufti na wengineo wawape nasiha pande zote, muombaji na muombwa japo kwa pembeni. Sioni huyo muombaji kama atafaidika na chochote isipokuwa labda kupata kujulikana tu au kuitwa kwa sifa za kike na kujipunguzia utukufu wake aliopewa na Allah SWT. Itakuwa vizuri mashekhe walifatilie.
Allah atuhifadh ss na vizaz vyet waushike mwenendo wa Rasuulullah kisawa sawa vijana hapa ndipo tulipofikia tunawakuta vijana wa kiume majian wamevaa vi pens juu ya magot uchi km wanawake waetokwa na haya wakat mambo haya yote yameziekekw kwa wanawake zaid kufanya ufaasiq
Watu wanaiga heri sio shari mm alivyomtaja sheikhe nyundo km nilitaka kutoka chozi manayangu namuonea kijana huruma naona anaelekea sipo shekhe nyundo akisaidia sana ktk jamii .
Viongozi wetu Kwa hakika izingatieni falsafa alio itumia Shekh Muhammad muta gundua mwisho mwema wa safari yenu. Shekh Muhammad umetoa ujumbe muhimu sana yalaiti utazingatiwa na .........
Nikijana hajielewi watu kwa hakika walikua wanamsibiria anaombani nini kumbe anaumba upumbavu kabisa wee na fasi kamaile baada kuomba kitu cha maisha yake anaomba upumbavu daah 😢😢😢😢
Yani nae ayoubu nae kamuombea MTU aongee ushoga nawakati tunalalamika kulawitiwa mungu amlani kama kuchekesha ndio avae nguo za like ASA anamuiga nyundo nyundo alikuwa analani mambo hYo yeye ndio anataka kupitia kwa sheh nyundo mungu amrehem
Dah yn hii njaa hp naona imezidi kiondosha fikra za watu hd anaomba avae nguo za kike kesho ataomba awe mke wa mtu ili apate huduma bila kufanya kazi uyoo..na mashuhuda wanafrahia ujinga wake...dahhh znz
Na wanakichesha nini maisha haya yalivo magumu, laanatukum hawa, wanaacha kufanya mambo ya maana wanaleta upuuzi kanakwamba hapa duniani tumekuja kucheza
Hajapoteza kamzindua raisi wetu .Alo na elimu ya Allah anampa.ufanisi zaid ya walioko chini yake .Hawa ndo walezi wa nchi . Allah akuhifadh uzidi kutufunua akili zetu ziko lala .watu alihisi ni vichekesho tu maskin
Innallillah WA innallillah rajiun . Hii ni mbinu ya kuomba kuhalalishiwa ushoga na rais wa znz . Allah. Avilinde visiwa vyetu na laana zote vizazi vyetu na baada yetu sisi . yarab
Viongozi wanapo omba kuongea kwanza mujue wanacho taka kuongea mana hilijambo limeniuma nafasi kama hiyo unaongea ushoga kuomba mtaji ujiwezeshe kwa jasho lako uvae nguo yakike badae utatamani uolewe kama wengine mpumbavu ningekuepo ningefanya majabu ningelijifanya naenda mtunza ningempa bonge LA tosi wakambeba lanatullah
Shekh watu kama hao ndio wanaostahili kuradiwa kwani ni waovu sana, uko sahihi kumradi huyo katika jana ameongea utumbo mbele za watu, radi haitakikani kwa Mashekh waokwawao bali mashekhe wanatakiwa kushikamana kuwakataza kama hayo anayoyataka huyo kijana muovu
Innalillahi waina lilahi rajuun dah shekh we sio mnafiq Allah akujalie na akulinde na Shar zote na akuhifadhi inshaallah
INNALILLAIH WAINNAH ILLAIH RAJIUUNI , Mungu atuongoze
Alhamdulillah rabbi l'aalamiin.
Sufa zote njema n za Allah sw mola wa viumbe vyote.
Ashukuruwe Allah sw kw kuturejeshea sheik wetu Nassor Bachu(Bachu no.2) mtetea haki,mpinga batwil.Muwazi,mpinga unafik.
Tumuombe Allah sw avirithishe vizazi vyetu yalikokuwa mema na viapukane na yaliyo machafu.
Awasimamishie kalmatu Tawhiid ya Laa ilaaha illa llahu Muhammada rasuulu llah.
Wallahi she ukosawa sanaa inshallah kwa hili tu Allah ukuingize peponi kwa rehma zake. Wallahi watoto wa kieke wa kiislam wanajieka uchi sana kwa kile kinachoitwa uigizaji na usanii.kisa nini ajira ,umaarufu maisha bora. Waislam tumoo tunawafuata makafiri hatuwa kwa hatuwa hatawakiingia kwenye mashimo ya furkenge. Mtume hasemi uongo.
Inalillahi wainailahi rajuun. Subuhanallah Subuhanallah. Yani mwanaume Anatamani kuvaa vazi LAwanawake
Yaani Wallahi nina maneno Mengi Ila Allah kamgomba Kupitia Kinywa Chake mwenyewe Baada Ya Kusema Hiv unaa adabu we una adabu ww kuigiza saut ya nyundo Inahitaj mazingatio makubwa hapa
Allah akuhifadhi shekhe, alistahiki apigwe mikwaju pale pale
Kweli alkua apige bakoro kwanza man hana adabu kijana yeye mwenyewe.
Allah akuhifadh shekh. Na amuongoe kijana huyo na awaongoe viongozi wet wa nchi
Subhanallah msiba mzito zaidi ya misiba yote
Mashallah namuomba ALLAH akuhifadhi huku kwetu hakuna mashekh jasiri wakukosoa hivi
Ameeen
Shkran Allah Akulip Shekh
Allah akuhifadhi sheikh wetu na akulpe kila la kher.
Allah akulipe kheri kwa kukemea hili
إنا الله وانا اليه راجعون
Huu ni msiba mkubwa .kwa kweli tunatakiwa kuisoma dini yetu ipasavyo .
Hajaelewa anatakiwa kueleweshwa Allah amsameh na atuongoze katika hakki
Asante Sana sheikh kwa kufanya Hili na mipotovu ya adabu isiwanasinbishe masheikh wetu ubaradhuli wao
Wazizi, hii ndio hasara ya kutowasomesha watoto dini yao wanaomba Mambo yalio mdani ya laana msiba kwa waislamu
Barakh Allah Khair sheikh
Tabarakallh apa nakupa sapot shekhe wang nakupenda kwa ajil ya Allah
Allah akuhifadh sheikh wetu
Mungu atuongoze..pamoja na vzazi vjavyo
Umesema kweli ust mola akuhifadhi na madui amiin
Tena ni zaidi ya kushangaza , hizi ndizi karne za mwisho mn RUSSULLULLAH ashayatabiri haya karne kipindi ya uhai wake na ndio ss yajitokeza ALLAH atuongoze amiini
Kwakweli Mh Rais hakujibu hilo maana rais anajifahamu
Baaraka llahu fik Yah sheikh
Allah akuongoe ...chuma
Dah Allah atuhifazi na vizazi vyetu. Atupe watoto wakiume wawe wanaume na wakike wawe wanawake.
Subhaanallah huyo alitakiwa achapwe bakora mbele ya raysi
Allah akuhifadhi sheikh
Ni kweli wallah ... alaf uyu jamaa aambiwe kwamba tabia yake ya kumuigiza al-marhum sheikh nyundo sio nzur coz anafanya maskhara ktk dini ya ALLAH..
Alaf ubaya mwengine antaka kuharibu vizazi kwa huo upuuzi alouomba hapa.
Ni vizuri mashekhe kuyafanyia kazi mambo kama haya na kuwaelimisha vijana ili wapate kuongoka.
Hapo ndio umuhimu wa mashekhe wa karibu kuanzia Mufti na wengineo wawape nasiha pande zote, muombaji na muombwa japo kwa pembeni.
Sioni huyo muombaji kama atafaidika na chochote isipokuwa labda kupata kujulikana tu au kuitwa kwa sifa za kike na kujipunguzia utukufu wake aliopewa na Allah SWT.
Itakuwa vizuri mashekhe walifatilie.
Sahihi
Allah atuhifadh ss na vizaz vyet waushike mwenendo wa Rasuulullah kisawa sawa vijana hapa ndipo tulipofikia tunawakuta vijana wa kiume majian wamevaa vi pens juu ya magot uchi km wanawake waetokwa na haya wakat mambo haya yote yameziekekw kwa wanawake zaid kufanya ufaasiq
Duh😲 mtihani huu...innalillahi wainnaailayhi rajuun..msiba huu shekh mmh..!!!?
Watu wanaiga heri sio shari mm alivyomtaja sheikhe nyundo km nilitaka kutoka chozi manayangu namuonea kijana huruma naona anaelekea sipo shekhe nyundo akisaidia sana ktk jamii .
Innalillahi wainnailayhi rajiuun. Mtihani mkubwa sana huu.
Hujui ulifanyalo mungu akusamehe.. M
Haya ndiyo yaliyofika kwa waturuki nao wameomba uhuru na mashoga wengi na ile ardhi ya kislamu mungu atusaidie
Allah asiwasimamishe Hawa mabarazuli
Definitely shekhe umegonga kitaamu Sana Hilo somo
Da yani maneno kaongea mwengine naona haya mimi
Mtihani sana allah amuongoze
Subhanallah dah
Sheikh si Mzanzibari yule ni mkimbizi
Dalili za kiama hizi wasanii wengi shenzi Sana kuharibu vijana wetu
Wakanye Sana wanakoelekea siko
Amemfanyia kejeli Sheikh Nyundo huku watu wakicheka , Shauri yako ewe kijana , badilika wendako siko , na mavazi ya kike wayataka ! Aaah!
Mtihani wallah
Kijana mjinga sana huyo sheikh Nyundo hakuwahi kuongea ujinga kama huo..
Inna Lillah waina Ileyhi Rajiun
Jazakallah
Viongozi wetu Kwa hakika izingatieni falsafa alio itumia Shekh Muhammad muta gundua mwisho mwema wa safari yenu.
Shekh Muhammad umetoa ujumbe muhimu sana yalaiti utazingatiwa na .........
Huyo kitumbua
Inshaallah nusra iko karibu tutayaondosha hayo kwa mikono yetu tusha nasihi sana Alhamdulillah ishatosha
Nikijana hajielewi watu kwa hakika walikua wanamsibiria anaombani nini kumbe anaumba upumbavu kabisa wee na fasi kamaile baada kuomba kitu cha maisha yake anaomba upumbavu daah 😢😢😢😢
SUBHANNALLAH
Mh, hatari
Innalilah wainnailaih raajiun
Yani nae ayoubu nae kamuombea MTU aongee ushoga nawakati tunalalamika kulawitiwa mungu amlani kama kuchekesha ndio avae nguo za like ASA anamuiga nyundo nyundo alikuwa analani mambo hYo yeye ndio anataka kupitia kwa sheh nyundo mungu amrehem
Raising ulikuwa umtie ndani hajaona lakuongea mshrnzi Dana kajiamini vipi cbure
Ilo alilo muagizia shek nyundo ndio jawabu la ombi lake .
سبحان الله
Ushoga huoooo allah atunusuru lkn ni mitihani kweli
Dah yn hii njaa hp naona imezidi kiondosha fikra za watu hd anaomba avae nguo za kike kesho ataomba awe mke wa mtu ili apate huduma bila kufanya kazi uyoo..na mashuhuda wanafrahia ujinga wake...dahhh znz
Subhanallah
Mr raisi wewe tunakua mini kwa jitihada yako kua kipao mbele kwa imani usiruhusu mavazi yakike kua mwanaume kabisa hilo nijukumu. Kubwa kwa mungu
Subuhanallah
Kuna watu kuongea mbele ya umma hawawezi, Wakati mwingine ndo unakuta Mtu anaongea kitu Cha hovyo Kama kijana huyo aliyepuyanga hapo
Kateleza kijana naona
Subahana
Leo kidg umeongea ya maana
Huku ndio Kuruhusa Ushoga baradhuli huyu alieomba
Esememe vizuli huwenda nishoga yani anaingiliwa nyuma pumbavu
Fact
Watu wengine hawajielewi mtihani huo ndio mwanzo waushoga
Ww kijan kama ww ni muislamu bc acha kumfanyia shitizai shekh utaenda kujuta mbele ya Allah
Huyo kijana hana adabu,znz hatutaki mambo hayo,dalili za ushoga
Na wanakichesha nini maisha haya yalivo magumu, laanatukum hawa, wanaacha kufanya mambo ya maana wanaleta upuuzi kanakwamba hapa duniani tumekuja kucheza
Yule nhc si mzima barabara n kwn watu wa Sheikh Nyundo wanakubali wadhalilishiwe mzee wao
Msiba
Inalilai walnalilai rajiuni
Subuhannallah 😳
Huyu ni mtanganyika si Mzanzibari uyo anaeomba aachiwe avae kama joti hafai uyo
shekh wangu.unapoteza mda wako kumjibu Mpumbavu uyo mjinga tu.
Lazima apewe nasaha
@@seifsalim5817 ohh sawa inshaallah. tumuombe Allah.atuongoze njia ya haki tuifuate daima
Sheikh amjibu huyo kijana bali anajibu serekali hili isikubali ufizuli kama huyo wahuyo kijana
Hajapoteza kamzindua raisi wetu .Alo na elimu ya Allah anampa.ufanisi zaid ya walioko chini yake .Hawa ndo walezi wa nchi . Allah akuhifadh uzidi kutufunua akili zetu ziko lala .watu alihisi ni vichekesho tu maskin
@@arbabhijjabshop3076 sawa inshaallah, nasi.tumuombe Allah.atuongoze.na kutudumisha Kwenye njia ya haki.na waislam wote
Vaa mpaka shanga ikiwezekana toboa kipini vaa vidani herini siunataka uwe kama wao
ishara za kiama hizo dunia iko kwenye zama za mwisho
من أراد أن ينصح لذي سلطان فلا يبده علانية
NASAHA KWA MTAWALA HUWAGA KWA SIRI SI KWA SURA HII..
Pumbavuuuuuuuu waruhusiwe wavae nguo za kike wanataka kufirwa sasa
Hili nami nakuunga mkono kaka kwakusema hivi.....kama kijana kaamua kuomba aruhusiwe kuvaa mavazi ya kike kwani huyo shikh nyundo alikua akivaa mavazi ya kike ndio awasilishe khutba yake?
Huyu kijana mungu amgeuze maana anako elekea sikuzuri
Nimecheka eti nenda Sokoni 😂😂😥
Mchafuzi wa zanzibar
ana lana
mh huu ni mtihani mkubwa sana
INNALILLAH WAINNAILAYH RAJEOUN dah
Subhanallah. He is mad 😠
Tn angemtafuta Kwa udi na uvumba akampa mikofi
Innallillah WA innallillah rajiun . Hii ni mbinu ya kuomba kuhalalishiwa ushoga na rais wa znz . Allah. Avilinde visiwa vyetu na laana zote vizazi vyetu na baada yetu sisi . yarab
Uyo kijana atafutwe tumtie mikwaju.pia ofisi ya muft au kadhi haisemi lolote ktk kijana alizungumzia uhuni huo
Viongozi wanapo omba kuongea kwanza mujue wanacho taka kuongea mana hilijambo limeniuma nafasi kama hiyo unaongea ushoga kuomba mtaji ujiwezeshe kwa jasho lako uvae nguo yakike badae utatamani uolewe kama wengine mpumbavu ningekuepo ningefanya majabu ningelijifanya naenda mtunza ningempa bonge LA tosi wakambeba lanatullah
Amelaaniwa mwanaume mweye kuvaa mavazi au mapambo ya kike na amelaaniwa mwanamke mwenye kuvaa mavazi ya kiume haijalishi uwe msanii Wala nn
Shekh watu kama hao ndio wanaostahili kuradiwa kwani ni waovu sana, uko sahihi kumradi huyo katika jana ameongea utumbo mbele za watu, radi haitakikani kwa Mashekh waokwawao bali mashekhe wanatakiwa kushikamana kuwakataza kama hayo anayoyataka huyo kijana muovu
Pigaaa mikiyaaa ya taaa pumbavuuuu zkeee
Uko ni kuruhusu ushoga
Asa umuigize sheikh Nyundo na NGUO ZA KIKE? Ungefuata ya huyo Sheikh unaye muigiza kuliko kufuata ya Joti!
Mume au atakae kuja kuolewa na wanaume wenye Akili hizi mtihani na mzazi atakae Kuja kumpa mke huyu ni Sawa na Yy....
Sasa anamuigiza sheikh nyundo, hayo mavazi ya kike na sheikh nyundo wapi na wapi? Mbona kamtukana Mareham huyu
Wee mzanzibar mzimaaa unataka kuleta mambo ya kina joti, unaakili wewe, Joto ni kafiri.