HIZI NI LAANA HAKUTAKIWA KUMUOMBA RAISI JAMBO HILI ||Muhammad Bachu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 130

  • @yassinijumanne1763
    @yassinijumanne1763 2 года назад +26

    Innalillahi waina lilahi rajuun dah shekh we sio mnafiq Allah akujalie na akulinde na Shar zote na akuhifadhi inshaallah

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 2 года назад +12

    INNALILLAIH WAINNAH ILLAIH RAJIUUNI , Mungu atuongoze

  • @yahyasix9025
    @yahyasix9025 2 года назад +6

    Alhamdulillah rabbi l'aalamiin.
    Sufa zote njema n za Allah sw mola wa viumbe vyote.
    Ashukuruwe Allah sw kw kuturejeshea sheik wetu Nassor Bachu(Bachu no.2) mtetea haki,mpinga batwil.Muwazi,mpinga unafik.
    Tumuombe Allah sw avirithishe vizazi vyetu yalikokuwa mema na viapukane na yaliyo machafu.
    Awasimamishie kalmatu Tawhiid ya Laa ilaaha illa llahu Muhammada rasuulu llah.

  • @muhammedsuleiman2137
    @muhammedsuleiman2137 2 года назад +4

    Wallahi she ukosawa sanaa inshallah kwa hili tu Allah ukuingize peponi kwa rehma zake. Wallahi watoto wa kieke wa kiislam wanajieka uchi sana kwa kile kinachoitwa uigizaji na usanii.kisa nini ajira ,umaarufu maisha bora. Waislam tumoo tunawafuata makafiri hatuwa kwa hatuwa hatawakiingia kwenye mashimo ya furkenge. Mtume hasemi uongo.

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 года назад +9

    Inalillahi wainailahi rajuun. Subuhanallah Subuhanallah. Yani mwanaume Anatamani kuvaa vazi LAwanawake

  • @zanzibarspice8686
    @zanzibarspice8686 2 года назад +5

    Yaani Wallahi nina maneno Mengi Ila Allah kamgomba Kupitia Kinywa Chake mwenyewe Baada Ya Kusema Hiv unaa adabu we una adabu ww kuigiza saut ya nyundo Inahitaj mazingatio makubwa hapa

  • @hajjmohd3602
    @hajjmohd3602 2 года назад +8

    Allah akuhifadhi shekhe, alistahiki apigwe mikwaju pale pale

    • @shambaboy41
      @shambaboy41 Год назад

      Kweli alkua apige bakoro kwanza man hana adabu kijana yeye mwenyewe.

  • @salumtakao9828
    @salumtakao9828 2 года назад +1

    Allah akuhifadh shekh. Na amuongoe kijana huyo na awaongoe viongozi wet wa nchi

  • @imamuathumani2780
    @imamuathumani2780 2 года назад +7

    Subhanallah msiba mzito zaidi ya misiba yote

  • @selfambassador1638
    @selfambassador1638 Год назад

    Mashallah namuomba ALLAH akuhifadhi huku kwetu hakuna mashekh jasiri wakukosoa hivi

  • @yusufsadic2930
    @yusufsadic2930 2 года назад +6

    Ameeen
    Shkran Allah Akulip Shekh

  • @shambaboy41
    @shambaboy41 Год назад +1

    Allah akuhifadhi sheikh wetu na akulpe kila la kher.

  • @khamissalum6351
    @khamissalum6351 2 года назад +4

    Allah akulipe kheri kwa kukemea hili

  • @talibabdulla2247
    @talibabdulla2247 2 года назад +4

    إنا الله وانا اليه راجعون
    Huu ni msiba mkubwa .kwa kweli tunatakiwa kuisoma dini yetu ipasavyo .

  • @ghanimaothman5409
    @ghanimaothman5409 2 года назад +4

    Hajaelewa anatakiwa kueleweshwa Allah amsameh na atuongoze katika hakki

  • @iddyramathan4507
    @iddyramathan4507 2 года назад +1

    Asante Sana sheikh kwa kufanya Hili na mipotovu ya adabu isiwanasinbishe masheikh wetu ubaradhuli wao

  • @makameomar1918
    @makameomar1918 2 года назад +1

    Wazizi, hii ndio hasara ya kutowasomesha watoto dini yao wanaomba Mambo yalio mdani ya laana msiba kwa waislamu

  • @abdulmwakubambanya9091
    @abdulmwakubambanya9091 2 года назад +5

    Barakh Allah Khair sheikh

  • @abdulkadirsuleiman7848
    @abdulkadirsuleiman7848 11 месяцев назад

    Tabarakallh apa nakupa sapot shekhe wang nakupenda kwa ajil ya Allah

  • @hassaniissa4085
    @hassaniissa4085 2 года назад +1

    Allah akuhifadh sheikh wetu

  • @mohamedhozi8110
    @mohamedhozi8110 2 года назад +1

    Mungu atuongoze..pamoja na vzazi vjavyo

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko 2 года назад

    Umesema kweli ust mola akuhifadhi na madui amiin

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 2 года назад +4

    Tena ni zaidi ya kushangaza , hizi ndizi karne za mwisho mn RUSSULLULLAH ashayatabiri haya karne kipindi ya uhai wake na ndio ss yajitokeza ALLAH atuongoze amiini

    • @ameabdalla4697
      @ameabdalla4697 2 года назад

      Kwakweli Mh Rais hakujibu hilo maana rais anajifahamu

  • @mwaramimwarami1479
    @mwaramimwarami1479 2 года назад +4

    Baaraka llahu fik Yah sheikh

  • @ayoubrashid8392
    @ayoubrashid8392 Год назад

    Allah akuongoe ...chuma

  • @Alkaburu
    @Alkaburu 2 года назад

    Dah Allah atuhifazi na vizazi vyetu. Atupe watoto wakiume wawe wanaume na wakike wawe wanawake.

  • @dauddaud-xm2wc
    @dauddaud-xm2wc Год назад

    Subhaanallah huyo alitakiwa achapwe bakora mbele ya raysi

  • @FatumaSaidi-u9x
    @FatumaSaidi-u9x Год назад

    Allah akuhifadhi sheikh

  • @shambaboy41
    @shambaboy41 Год назад +1

    Ni kweli wallah ... alaf uyu jamaa aambiwe kwamba tabia yake ya kumuigiza al-marhum sheikh nyundo sio nzur coz anafanya maskhara ktk dini ya ALLAH..
    Alaf ubaya mwengine antaka kuharibu vizazi kwa huo upuuzi alouomba hapa.

  • @websuperspy
    @websuperspy 2 года назад +1

    Ni vizuri mashekhe kuyafanyia kazi mambo kama haya na kuwaelimisha vijana ili wapate kuongoka.
    Hapo ndio umuhimu wa mashekhe wa karibu kuanzia Mufti na wengineo wawape nasiha pande zote, muombaji na muombwa japo kwa pembeni.
    Sioni huyo muombaji kama atafaidika na chochote isipokuwa labda kupata kujulikana tu au kuitwa kwa sifa za kike na kujipunguzia utukufu wake aliopewa na Allah SWT.
    Itakuwa vizuri mashekhe walifatilie.

  • @husnaally7964
    @husnaally7964 2 года назад

    Allah atuhifadh ss na vizaz vyet waushike mwenendo wa Rasuulullah kisawa sawa vijana hapa ndipo tulipofikia tunawakuta vijana wa kiume majian wamevaa vi pens juu ya magot uchi km wanawake waetokwa na haya wakat mambo haya yote yameziekekw kwa wanawake zaid kufanya ufaasiq

  • @zainabugwasa7654
    @zainabugwasa7654 2 года назад

    Duh😲 mtihani huu...innalillahi wainnaailayhi rajuun..msiba huu shekh mmh..!!!?

  • @rajabjuma277
    @rajabjuma277 Год назад

    Watu wanaiga heri sio shari mm alivyomtaja sheikhe nyundo km nilitaka kutoka chozi manayangu namuonea kijana huruma naona anaelekea sipo shekhe nyundo akisaidia sana ktk jamii .

  • @mwanahawamohammed8540
    @mwanahawamohammed8540 2 года назад +2

    Innalillahi wainnailayhi rajiuun. Mtihani mkubwa sana huu.

  • @mohamedhajj9881
    @mohamedhajj9881 2 года назад

    Hujui ulifanyalo mungu akusamehe.. M

  • @allyyussufshuwari4508
    @allyyussufshuwari4508 2 года назад

    Haya ndiyo yaliyofika kwa waturuki nao wameomba uhuru na mashoga wengi na ile ardhi ya kislamu mungu atusaidie

  • @mussaalawi9424
    @mussaalawi9424 2 года назад

    Allah asiwasimamishe Hawa mabarazuli

  • @mchajuma4271
    @mchajuma4271 2 года назад

    Definitely shekhe umegonga kitaamu Sana Hilo somo

  • @is-hakayussuf9981
    @is-hakayussuf9981 Год назад

    Da yani maneno kaongea mwengine naona haya mimi

  • @lumumbasankara6388
    @lumumbasankara6388 2 года назад

    Mtihani sana allah amuongoze

  • @abdulbandidu119
    @abdulbandidu119 2 года назад +1

    Subhanallah dah

  • @mohamedfaris3000
    @mohamedfaris3000 2 года назад

    Sheikh si Mzanzibari yule ni mkimbizi

  • @kamalmukaddam1521
    @kamalmukaddam1521 2 года назад +3

    Dalili za kiama hizi wasanii wengi shenzi Sana kuharibu vijana wetu

  • @ahmadmohd3771
    @ahmadmohd3771 2 года назад +1

    Wakanye Sana wanakoelekea siko

  • @شيخنيف
    @شيخنيف 2 года назад

    Amemfanyia kejeli Sheikh Nyundo huku watu wakicheka , Shauri yako ewe kijana , badilika wendako siko , na mavazi ya kike wayataka ! Aaah!

  • @othmanawadh3964
    @othmanawadh3964 2 года назад

    Mtihani wallah

  • @mohamedhajj9881
    @mohamedhajj9881 2 года назад

    Kijana mjinga sana huyo sheikh Nyundo hakuwahi kuongea ujinga kama huo..

  • @ashrafbunu2371
    @ashrafbunu2371 2 года назад +6

    Inna Lillah waina Ileyhi Rajiun

  • @shamsuddin4582
    @shamsuddin4582 2 года назад +1

    Jazakallah

  • @OmarOmar-wx9zg
    @OmarOmar-wx9zg 2 года назад +4

    Viongozi wetu Kwa hakika izingatieni falsafa alio itumia Shekh Muhammad muta gundua mwisho mwema wa safari yenu.
    Shekh Muhammad umetoa ujumbe muhimu sana yalaiti utazingatiwa na .........

  • @nasirymmanga9575
    @nasirymmanga9575 2 года назад +2

    Huyo kitumbua

    • @officialManhajSalafi
      @officialManhajSalafi 2 года назад +1

      Inshaallah nusra iko karibu tutayaondosha hayo kwa mikono yetu tusha nasihi sana Alhamdulillah ishatosha

  • @AA-yr7sr
    @AA-yr7sr Год назад

    Nikijana hajielewi watu kwa hakika walikua wanamsibiria anaombani nini kumbe anaumba upumbavu kabisa wee na fasi kamaile baada kuomba kitu cha maisha yake anaomba upumbavu daah 😢😢😢😢

  • @papaamularfins599
    @papaamularfins599 2 года назад +3

    SUBHANNALLAH

  • @ZINDUKAMUISILAMU30
    @ZINDUKAMUISILAMU30 2 года назад

    Mh, hatari

  • @hawakiza6067
    @hawakiza6067 2 года назад +6

    Innalilah wainnailaih raajiun

    • @someparuranga7377
      @someparuranga7377 2 года назад

      Yani nae ayoubu nae kamuombea MTU aongee ushoga nawakati tunalalamika kulawitiwa mungu amlani kama kuchekesha ndio avae nguo za like ASA anamuiga nyundo nyundo alikuwa analani mambo hYo yeye ndio anataka kupitia kwa sheh nyundo mungu amrehem

    • @someparuranga7377
      @someparuranga7377 2 года назад

      Raising ulikuwa umtie ndani hajaona lakuongea mshrnzi Dana kajiamini vipi cbure

  • @5ffGg-uy7mf
    @5ffGg-uy7mf Год назад

    Ilo alilo muagizia shek nyundo ndio jawabu la ombi lake .

  • @salumjazaa5595
    @salumjazaa5595 Год назад

    سبحان الله

  • @haidarkarume2769
    @haidarkarume2769 2 года назад

    Ushoga huoooo allah atunusuru lkn ni mitihani kweli

  • @nahidharith3748
    @nahidharith3748 2 года назад

    Dah yn hii njaa hp naona imezidi kiondosha fikra za watu hd anaomba avae nguo za kike kesho ataomba awe mke wa mtu ili apate huduma bila kufanya kazi uyoo..na mashuhuda wanafrahia ujinga wake...dahhh znz

  • @rashidissa1009
    @rashidissa1009 2 года назад

    Subhanallah

    • @rashidramadhan7139
      @rashidramadhan7139 2 года назад

      Mr raisi wewe tunakua mini kwa jitihada yako kua kipao mbele kwa imani usiruhusu mavazi yakike kua mwanaume kabisa hilo nijukumu. Kubwa kwa mungu

  • @princeshaqir1289
    @princeshaqir1289 2 года назад +1

    Subuhanallah

  • @zaburionlinetv6245
    @zaburionlinetv6245 2 года назад +2

    Kuna watu kuongea mbele ya umma hawawezi, Wakati mwingine ndo unakuta Mtu anaongea kitu Cha hovyo Kama kijana huyo aliyepuyanga hapo

  • @babazungu3180
    @babazungu3180 2 года назад

    Kateleza kijana naona

  • @madrasatikivinjab1638
    @madrasatikivinjab1638 2 года назад

    Subahana

  • @salimalriyami7779
    @salimalriyami7779 Год назад

    Leo kidg umeongea ya maana

  • @zanzibarspice8686
    @zanzibarspice8686 2 года назад +2

    Huku ndio Kuruhusa Ushoga baradhuli huyu alieomba

  • @ngumbosanga5359
    @ngumbosanga5359 2 года назад +1

    Esememe vizuli huwenda nishoga yani anaingiliwa nyuma pumbavu

  • @chinchon5984
    @chinchon5984 2 года назад

    Fact

  • @AliMohamed-gv7nw
    @AliMohamed-gv7nw 2 года назад

    Watu wengine hawajielewi mtihani huo ndio mwanzo waushoga

  • @JumaHamad-i3f
    @JumaHamad-i3f Год назад

    Ww kijan kama ww ni muislamu bc acha kumfanyia shitizai shekh utaenda kujuta mbele ya Allah

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 2 года назад

    Huyo kijana hana adabu,znz hatutaki mambo hayo,dalili za ushoga

  • @hidayamwinyi8347
    @hidayamwinyi8347 2 года назад

    Na wanakichesha nini maisha haya yalivo magumu, laanatukum hawa, wanaacha kufanya mambo ya maana wanaleta upuuzi kanakwamba hapa duniani tumekuja kucheza

  • @saidyussuf2291
    @saidyussuf2291 2 года назад

    Yule nhc si mzima barabara n kwn watu wa Sheikh Nyundo wanakubali wadhalilishiwe mzee wao

  • @taliatakhalifa8303
    @taliatakhalifa8303 2 года назад

    Msiba

  • @nooroman2535
    @nooroman2535 2 года назад +1

    Inalilai walnalilai rajiuni

  • @fatmazahor357
    @fatmazahor357 2 года назад

    Subuhannallah 😳

  • @alikidungura9419
    @alikidungura9419 Год назад

    Huyu ni mtanganyika si Mzanzibari uyo anaeomba aachiwe avae kama joti hafai uyo

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 2 года назад +2

    shekh wangu.unapoteza mda wako kumjibu Mpumbavu uyo mjinga tu.

    • @seifsalim5817
      @seifsalim5817 2 года назад

      Lazima apewe nasaha

    • @yahyahamad1802
      @yahyahamad1802 2 года назад

      @@seifsalim5817 ohh sawa inshaallah. tumuombe Allah.atuongoze njia ya haki tuifuate daima

    • @zulfahussein6784
      @zulfahussein6784 2 года назад +1

      Sheikh amjibu huyo kijana bali anajibu serekali hili isikubali ufizuli kama huyo wahuyo kijana

    • @arbabhijjabshop3076
      @arbabhijjabshop3076 2 года назад +1

      Hajapoteza kamzindua raisi wetu .Alo na elimu ya Allah anampa.ufanisi zaid ya walioko chini yake .Hawa ndo walezi wa nchi . Allah akuhifadh uzidi kutufunua akili zetu ziko lala .watu alihisi ni vichekesho tu maskin

    • @yahyahamad1802
      @yahyahamad1802 2 года назад

      @@arbabhijjabshop3076 sawa inshaallah, nasi.tumuombe Allah.atuongoze.na kutudumisha Kwenye njia ya haki.na waislam wote

  • @OmarMohamed-zf8dp
    @OmarMohamed-zf8dp Год назад

    Vaa mpaka shanga ikiwezekana toboa kipini vaa vidani herini siunataka uwe kama wao

  • @seifsalim5817
    @seifsalim5817 2 года назад

    ishara za kiama hizo dunia iko kwenye zama za mwisho

  • @adenifuyuush4991
    @adenifuyuush4991 2 года назад

    من أراد أن ينصح لذي سلطان فلا يبده علانية
    NASAHA KWA MTAWALA HUWAGA KWA SIRI SI KWA SURA HII..

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 2 года назад +1

    Pumbavuuuuuuuu waruhusiwe wavae nguo za kike wanataka kufirwa sasa

  • @hamisimwagarashi9501
    @hamisimwagarashi9501 Год назад

    Hili nami nakuunga mkono kaka kwakusema hivi.....kama kijana kaamua kuomba aruhusiwe kuvaa mavazi ya kike kwani huyo shikh nyundo alikua akivaa mavazi ya kike ndio awasilishe khutba yake?
    Huyu kijana mungu amgeuze maana anako elekea sikuzuri

  • @mohamedfaris3000
    @mohamedfaris3000 2 года назад

    Nimecheka eti nenda Sokoni 😂😂😥

  • @iddyramathan4507
    @iddyramathan4507 2 года назад

    Mchafuzi wa zanzibar

  • @fatmaally5181
    @fatmaally5181 2 года назад

    ana lana

  • @hishamally4846
    @hishamally4846 2 года назад

    mh huu ni mtihani mkubwa sana

  • @abdullahhassan.6368
    @abdullahhassan.6368 2 года назад

    INNALILLAH WAINNAILAYH RAJEOUN dah

  • @scarzz3rondo66
    @scarzz3rondo66 2 года назад

    Subhanallah. He is mad 😠

  • @alisuleiman2953
    @alisuleiman2953 2 года назад +2

    Tn angemtafuta Kwa udi na uvumba akampa mikofi

    • @arbabhijjabshop3076
      @arbabhijjabshop3076 2 года назад

      Innallillah WA innallillah rajiun . Hii ni mbinu ya kuomba kuhalalishiwa ushoga na rais wa znz . Allah. Avilinde visiwa vyetu na laana zote vizazi vyetu na baada yetu sisi . yarab

  • @alikidungura9419
    @alikidungura9419 Год назад

    Uyo kijana atafutwe tumtie mikwaju.pia ofisi ya muft au kadhi haisemi lolote ktk kijana alizungumzia uhuni huo

  • @someparuranga7377
    @someparuranga7377 2 года назад +1

    Viongozi wanapo omba kuongea kwanza mujue wanacho taka kuongea mana hilijambo limeniuma nafasi kama hiyo unaongea ushoga kuomba mtaji ujiwezeshe kwa jasho lako uvae nguo yakike badae utatamani uolewe kama wengine mpumbavu ningekuepo ningefanya majabu ningelijifanya naenda mtunza ningempa bonge LA tosi wakambeba lanatullah

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 2 года назад

    Amelaaniwa mwanaume mweye kuvaa mavazi au mapambo ya kike na amelaaniwa mwanamke mwenye kuvaa mavazi ya kiume haijalishi uwe msanii Wala nn

  • @muhamadhusein5260
    @muhamadhusein5260 2 года назад +3

    Shekh watu kama hao ndio wanaostahili kuradiwa kwani ni waovu sana, uko sahihi kumradi huyo katika jana ameongea utumbo mbele za watu, radi haitakikani kwa Mashekh waokwawao bali mashekhe wanatakiwa kushikamana kuwakataza kama hayo anayoyataka huyo kijana muovu

  • @seifsalum8082
    @seifsalum8082 2 года назад

    Pigaaa mikiyaaa ya taaa pumbavuuuu zkeee

  • @eviationeveryday258
    @eviationeveryday258 2 года назад

    Uko ni kuruhusu ushoga

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q 2 года назад

    Asa umuigize sheikh Nyundo na NGUO ZA KIKE? Ungefuata ya huyo Sheikh unaye muigiza kuliko kufuata ya Joti!

  • @zanzibarspice8686
    @zanzibarspice8686 2 года назад +1

    Mume au atakae kuja kuolewa na wanaume wenye Akili hizi mtihani na mzazi atakae Kuja kumpa mke huyu ni Sawa na Yy....

  • @ameeranassor1619
    @ameeranassor1619 2 года назад

    Sasa anamuigiza sheikh nyundo, hayo mavazi ya kike na sheikh nyundo wapi na wapi? Mbona kamtukana Mareham huyu

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 2 года назад +1

    Wee mzanzibar mzimaaa unataka kuleta mambo ya kina joti, unaakili wewe, Joto ni kafiri.