Allah akuhifadhi Sheikh Muhammad na akupe siha njema tuzidi kunafaika nawe, na Allah kamwe hayupo pamoja na madhwalim, Allah atunusuru kua miongon mwao
Ibn Nassor Allah akuhifadhi pia akuandal i e pepo wanasikia waskie wanaokubali wakubali Allah akujaalie uzidi kutufungua fahamu asotia fahamu sasa anajidai tuuuu lkn yako wazi kama unavofafanua asokubali anajitoa fahamu tuuu
Wakubwa kama bachu anakosea aya hiyo IPO inappsomwa kama kama wewe unatafsri nyengine mnamkosoa kwa aya hiyo hiyo..na sisi tusio juwa tujuwe..mkimkanusha bachu kwa kumkataa wewe sisi tusio juwa tutajuwaje pas na ayaya kukanusha
@@abdulmohd6880 yap kwani wapo washabiki wa mpira mashabiki wamuziki mashabiki wakamari sasa mimi kuna tatizo gani kuwa shabiki wa mcha Mungu shekhe Bachu Mungu amuhifazi
Sheikh Muhammad bachu unayotuambia kuwa ya uongo ni haqi.Hayo yote masufi na Mashia wameshindwa kutubainisha Kwa Hadith sahihi.masufi wamekuwa wanayakoroga tu mazungumzo Yao kama mseto au bilau
Kajisomea mwenyewe, hakusomeshw haya ni maneno ya Walid, jibuni hoja wanyama waliongea nani alikua anajua lugha za wanyama wakati huo chukueni elimu hapa kwa Bachu sio kinanda.
Tulia kama moja, alokwambia hiyo ni kauli ya ibnu taymiyya ni nani? Kama hujui kusoma vitabu uliza kwanza. Ibn taymiyya amesema Kuna watu wamesema Kisha akabainisha kuwa Kila mtu kauli yake yeza chukuliwa au kuwatwa. Sasa unataka ufafanuzi Gani?
Tatizo sio kutakasika,au kumsalia mtume,hukukatazwa kumsalia mtume,munakatazwa kumzulia mtume kwa mambo ambayo hayakustahili au kumzushia baadhi ya mambo
Mimi nashangazwa na watu WA twarika,mwailimishwa lkn washupavu sanaa, sikilizeni muilimike anaongea haki,msema kweli ni kipezi cha Allah,wengi wamerudi nyuma Kwa nn nyie washindani sanaa .wakti unaenda na umri unapunguwa fursa dhahabia itumieni ,Allah akuhifadh bachu hao wanakuamdama lkn hta wasikutie joto ww songa mbele Sisi twakuskiliza.
Kwahiyo wake zake hawakua wanawake??hawezi kuwa na matamanio nao hajazaa hafurahii kuishi na wakeze yani ulitaka awe mwanamke gani ndo awe mwanamke????
Yaani wewe ndo hujielewi kabisaaa, Kama hakuwa anatamani sasa wale wake wote aliowaoa walikuwa ni urembo tu ndani ama?, na mbona baadhi yao alizaa nao au hao watoto alisingiziwa?
al akhy yaani kila ninapokusikiliza naona ufahamu wako uko na shida sana na bado unamchukulia poa sana mtume, yes mtume ni kama sisi kama mifano unayotoa juu ya kuhisi mambo sababu yuko na nafsi ila daraja yake ina vitu extra ambazo kwa akili ya kawaida huwezi elewa jaribu kuifuata elimu kwa hao wanaomuelezea mtume kisha ndio utoe darsa ila hivihivi naona unaoata tabu kumuelewa mtume na watu wa twariqa
Kweli ndo unaouma sheikh Muhammad bachu endelea kulingania Nia yako anaeijua Allah sio hao wajinga wa kisufi na Mashia.Usiache kutuambia ukweli sheikh Muhammad bachu
Asalamu aleykum warahmatu llahi wabarakaatuh Ninaombi langu kwa wasomi wa twariqa Huyu bwana haya mambo yote aliyo yasema ni yauwongo Na nyinyi munadai ni yaukweli Basi twaomba na nyinyi tuelezeni kua haya niyaukweli kwa dalili hii nahii Aya ama hadithi swahihi kama niyasawa tujulisheni kwa Dalili tutawasikia HAATUU BURHAANAKUM IN KUNTUM SWAADIQIIN (NI MAOMBI YANGU NAOMBA KWA INSWAAF MUTUILIMISHE NAYINYI)
@@osmanmanbile9327 Hakuna anayekataa kuwa Mtume (s a w) ni mtukufu wa daraja na ni mbora wa viumbe, lakini pamoja na hayo yeye ni binadamu kama sisi, amezaliwa, anakula, anakunywa, anakidhi haja, anamatamanio na alikuwa anawaendea wake zake na alikuwa ana watoto pia, anaugua na anapatwa na umauti kama binadamu wengine walivyo, na do maana yeye mwenyewe aliwaambia maswahaba zake kuwa (mimi ni binadamu kama ninyi, ninasahau kama mnavyosahau, nikisahau basi nikumbusheni). Tatizo lenu ninyi mnamzidishia sifa ambazo si zake mpaka mnavuka mipaka. Kama Mtume (s a w) hakuwa kama sisi basi tuambieni alikuwa Malaika, Jini ama nani?
Kw vile ulishamtoa thamani bachu bac hata husikii anachokifundisha. Nyinyi hammaanishi NURU KUA NI UONGOFU TU BALI YEYE MWENYEWE AMEUMBWA KWA HIO NURU NA PIA ANAMURIKA KULIKO JUA KIASI YA KWAMBA KIVULI CHAKE HAKITOKEI ANAPOMURIKWA NA JUA
Acheni kumtetea bhachu kwani siye alienda kuongea na paka kuuliza Kama Wana habari mtume kazaliwa,fahamu zake ni hizitu akickia qurani ni Nuru anataka kuituma ucku hiyo Nuru imsaidie gizani
We wajua huna KAZI ya kufanya hata ushatukirihisha Bana kuna mambo mingi ya kuongelewa kwenye dunia hii ya Leo na umma wa kiislamu waangamia wewe unkazana kushindana na hawa watu wa maulidi kama kweli Una ilmu kweli na ni shekhe kweli ongea mambo ya muhimu Bana watukirihisha tunchoka tunchoka
We unatak ummah ufundishwe vp km maulid bidaa kuufundisha ummah ucfate bidaa kazi ndogo io bc usiskilize km umechoka kisha utajuana ww na mola wako hio cku ya cku
@hamdanhamdudy kwani umeambiwa na nini uje usikilize, nyinyi masufi mna hashuo sana, mnajifanya hamumpendi Bachu lakini Kila video mnakuja kuiangali, na munafaidika kichizi lakini hamtaki kusema tu.😂
Mrongo ww bachu mtume s a w ni kiumbe bora kuliko sote binadamu na mtume s a w alikua akitembea kiwingu cha mfuta kikimkinga na jua tena hapo hajapewa utume ww bachu kua na hishima na mtume s a w ww chunga mpotofu mkubwa ww
Hadithi ya mwisho ya mtume muhammad aliyoitoa mke wake kuhusu kuona kivuli cha mumewe umesema ni dhaifu ila umeitumia ili kujenga hoja yako kwamba nabii muhammad ana kivuli.Hivi si tulishakubaliana kwamba hadithi dhaifu hazifai kutumika na wewe mwenyewe ulitoa elimu hiyo?nimegundua wewe una matatizo ya akili.Unapinga hadithi dhaifu halafu hadithi dhaifu nyingine unazitumia ili kujenga hoja zako.Wewe ni mpotoshaji.
@@mybabyarchive2104 Yeye ndo alikuwa wa kwanza kuulizwa swali athibitishe kwa dalili sahihi kuwa wanyama waliongea, haya tuambie wewe huyo Said alithibitisha?
@@mybabyarchive2104 Badala ya kuthibisha yeye akauliza swali, eti kama hadithi iliyotumika ni munkar ni mwanachuoni gani amesema huyo mtu aitwe muongo? Pamoja na hayo alijibiwa kuwa yeye hajaona hiyo kauli ya mwanachuoni bado analazimisha lazima atoe kauli ya mwanachuoni
@@mybabyarchive2104 Yule Said anajua kabisa hakuna shekh yeyote duniani anayeweza kuthibitisha hayo ya Barzanj ndo maana hakujibu akatafuta swali la kujiegemeza na analazimisha ajibiwe kama anavyotaka yeye ili kukwepa fedheha
Alojikojolea mama Yako na mke wako kama unae, mbwa wewe, tutajie mmoja tu katika hao unaowaona wewe ni Masheikh waliojibu kwa uchambuzi mzuri kama anaotowa sheikh Bachu.
Wewe unae ona SHK bachu alijikojolea umepigwa hiyo ilikua ni propa ganda naukitak kujua hakuna hata shekhe mmoja alokuwepo pale kasema hayo maneno walijifanya kujiulizisha eti hawajui kisha SHK mmoja akashika sasa swali Shekhe alishika najsi kweli? Na asijue kam ni mkojo? Hiv mkojo nikitu ambacho kitakufanya usikikue? Ile walifnya vile ili mtazamaji ndo akiri kua ni mkojo na sio wao wao hawajawahi sema hilo kwahiyo hiyo inabaki kua ni dhimma kwa msemaji ambae hakuwepo na anathibitisha ilhali walokuwepo hawakuthibitisha Zinduka
Kila mada inayoongelewa na sheikh yoyote niyauwongo unayotoa wewe au wahabi yeyote niyaukweli ilihali elimu hamuna mutabwabwanya sana mtume ni nuru halipingiki hilo
😂😂😂😂😂kaza kichwa ndugu hao walosema hayo maneno si yeye ye ananukuu tu. Hata hao walosema ni nuru nao wamenukuu ishu nikwamba umenukuu ktk chimbuko gani je ni sahihi au sio sahihi ndo hapo wapewa mpak walosema na wnachuon wakawasema hao ni waongo sasa waje maßhekje wathibitishe ni wakweli✍🏼ikishindikan ujue ni uongo mkma wa samaki na wanyama ote kuongea mimba ilipoingia
Huyu jamaa simpendi ananichukiza wallah kwa sbb hana Mada kama vile baba ake alivotoa faida kwa umma ye anataka Kiki ili viewers wazidi apate kulipwa na RUclips ukitaka dunia utaipata baba
Wewe isss ni choko sana, hivi unadhani Mtume alikuwa hasemi ukweli? Mbona walipatikana makafiri wakamchukia kama wewe inavomchukia sheikh Bachu? Na Allah aliwaambia موتوا بغيضكم, kufeni na chuki zenu, sasa na wewe kufa na chuki zako, Kisha uone zitamdhuru ni sheikh Bachu hizo chuki zako
Kama wewe huoni faida unakuja kufanya nini kwenye video za mwanamme wenu? Hapa tunapata faida sana tu ya kujuwa kuwa nyinyi masufi mumemfanya Mtume ni biashara kwenu, mumempakaza uongo kabla hajazaliwa mapaka kufa kwake.
😂😂wamekupanga vzr sasa huwez kuelewa upo tu jibu swali au sema sijui sasa ktk maneno hayo jiulize yamekufaidisha nini? Muhammad bachu alisema wanyama hawakuongea na akatoa majibu kwanini hawakuongea baada ya Said kugoma kujibu. Sasa mwambie saidi majibu ya swali lake niyepi aseme . Nb:(ASIJIBU KAMA BACHU KUSEMA HAKUNA ITIFAKI HIYO) Ajibu tuone nayeye
halafu wewe Sufi unae sema eti bachu aseme siju.i unajua wewe unajua kanuni za kuuliza? mtu silazima aseme sijui unaweza sema sijui au najua au Hilo swali la kitoto hayo yote ni aina ya majibu. bachu kashajibu Hilo swali la kitoto sasa ilikuwa ni said ajibu atoe dalili kuhusu wa nyama lakini said alionyesha uoga flani yaani hakutaka kwenda mbele ndio akashikilia hapo Kwa swali la kitoto ili mjadala usiendelee. alafu alipoona bachu amengundua Hilo swali lakitoto akalazimisha bachu aseme sijui ili apate kujipa ushindi kwa njia ya mkato. haya maneno kwa mwenye ufahamu na uadilifu ataelewa hafu unasema eti bachu Yuko na chuki na mtume wallahi hii kauli Yako inaonesha wewe hauna elmu tafuta clip za mashekh wenu kama izudin na wengine uone vile wanasema kuhusu nyinyi Sufi wadogo wadogo munaosema eti wasiosoma maulid hawampendi mtume tafuta hizo clip utaona mashekh wenu wanakuchapa wewe
al akhy yaani kila ninapokusikiliza naona ufahamu wako uko na shida sana na bado unamchukulia poa sana mtume, yes mtume ni kama sisi kama mifano unayotoa juu ya kuhisi mambo sababu yuko na nafsi ila daraja yake ina vitu extra ambazo kwa akili ya kawaida huwezi elewa jaribu kuifuata elimu kwa hao wanaomuelezea mtume kisha ndio utoe darsa ila hivihivi naona unaoata tabu kumuelewa mtume na watu wa twariqa
Mashalw mungu akulinde najicho lahusd
Allah akuhifadhi Sheikh Muhammad na akupe siha njema tuzidi kunafaika nawe, na Allah kamwe hayupo pamoja na madhwalim, Allah atunusuru kua miongon mwao
Ibn Nassor Allah akuhifadhi pia akuandal i e pepo wanasikia waskie wanaokubali wakubali Allah akujaalie uzidi kutufungua fahamu asotia fahamu sasa anajidai tuuuu lkn yako wazi kama unavofafanua asokubali anajitoa fahamu tuuu
Shukran mwalimu mtafiti na mwenye kufanya taaswiil ktk mas ala, wataelewa tu
Asalam alaikum shekhe Muhammad bachu ,allah akukinge na shary , pia naomba kuasiliana nawe inshaallah namengi ya kuongea b idhinillah
Kumbemtume wetu amesingiziwa mengi mno na hawa wanaoitwa eti watu wa twarika twarika gan hiyo kumsingizia mtume
Shekhe bachu we kiboko ya wazushi allah akupe hifadhi ya juu ktk maneno ya allah
Wakubwa kama bachu anakosea aya hiyo IPO inappsomwa kama kama wewe unatafsri nyengine mnamkosoa kwa aya hiyo hiyo..na sisi tusio juwa tujuwe..mkimkanusha bachu kwa kumkataa wewe sisi tusio juwa tutajuwaje pas na ayaya kukanusha
ALLAAH YAHFADHK YAA AKHIL HABIYB
wa kwanza mimi.
Asante sana Muhammad bachu. ❤❤
Tumekuchoka Wacha usenge Kaa chino usome kwanza
Soma kwanza dog Wacha uchoko tumekuchoka huku mitandaoni
Alafu asielewa chochote akikusikiliza na huo muonekano ulionao mtu anaweza kuja shekh kweri kumbe muuza mirungi wa zanzibar
Jazaak Allah khair
Allah akuhifadhi shaikh Muhammad Bacho
Jazaaka llahu khayra...wa fadhaka llahu.
Masufi ndio muelewe kua hamujuwi kitu, nahuyu munae mdharau ndie anae kufundisheni, huyu ni mwalimu kwenu
Huyo ni mwalimu wawajinga kama nyinyi huyu bachu hamjui mtume s a w wala hana heshima na mtume s a w
Wakwaza jamani shabiki wa shekhe bachu naomba tumuombee duwa shekhe wetu
Allah amhifadhi
@@saadasaleh3177 Amni
Shabiki?
Ameen
@@abdulmohd6880 yap kwani wapo washabiki wa mpira mashabiki wamuziki mashabiki wakamari sasa mimi kuna tatizo gani kuwa shabiki wa mcha Mungu shekhe Bachu Mungu amuhifazi
Sheikh Muhammad bachu unayotuambia kuwa ya uongo ni haqi.Hayo yote masufi na Mashia wameshindwa kutubainisha Kwa Hadith sahihi.masufi wamekuwa wanayakoroga tu mazungumzo Yao kama mseto au bilau
This world when a man dedicates him self to faith and dawah work, his life as a result becomes one of toil and struggle.
Kajisomea mwenyewe, hakusomeshw haya ni maneno ya Walid, jibuni hoja wanyama waliongea nani alikua anajua lugha za wanyama wakati huo chukueni elimu hapa kwa Bachu sio kinanda.
Ahsant,tunaomba uchambuzi juu ya kauli ya mashekh wanaosema "Mtume atakujakaa kwenye arshi na Allah siku ya kiama?" Tafadhali shekh ufafanuzi
Tulia kama moja, alokwambia hiyo ni kauli ya ibnu taymiyya ni nani? Kama hujui kusoma vitabu uliza kwanza. Ibn taymiyya amesema Kuna watu wamesema Kisha akabainisha kuwa Kila mtu kauli yake yeza chukuliwa au kuwatwa. Sasa unataka ufafanuzi Gani?
Lkn mtume hana kinyongo kama vile ww ulivyo na kinyongo mtume ametakasika ndio maana kila akitwaja lazima tumswalie S.A.w
Tatizo sio kutakasika,au kumsalia mtume,hukukatazwa kumsalia mtume,munakatazwa kumzulia mtume kwa mambo ambayo hayakustahili au kumzushia baadhi ya mambo
Mimi nashangazwa na watu WA twarika,mwailimishwa lkn washupavu sanaa, sikilizeni muilimike anaongea haki,msema kweli ni kipezi cha Allah,wengi wamerudi nyuma Kwa nn nyie washindani sanaa .wakti unaenda na umri unapunguwa fursa dhahabia itumieni ,Allah akuhifadh bachu hao wanakuamdama lkn hta wasikutie joto ww songa mbele Sisi twakuskiliza.
Tusikize chizi ww una wazimu msikize ww chizi mwenzako
@@fikafikan8484Sunna ya mtume wetu hio ﷺ
Shekhe:kuna aya za Quran aikushuka Ardini wala Binguni,ambaye ni aya sita.tafuta Mwalimu wako akufunze utafahamu.asante.
Wapi hadhithi imeandikwa ikaitwa uongo sababu sisi tunakuskia ww ukisema uongo
Uongo n maneno yako ww bachu lkn
Cjaona hapo hadhithi imeitwa oungo
جاء الإسلام غريبا وسوف يعود غريبا كما بدأ.
Allah tujaalie waja wako mwisho mwema.
We bachu utakutana na ALLAH
SHEKHE WANGU NAKUOMBA UKITAJA KITABU SOMA KITABU.
USITUSOME GOOGLE.
HIYO GOOGLE NDIO ILIKUABISHA UKIWA NA USTADH SAID.
Usitusumbue ww suali moja lilikushinda na mpaka leo hutaki kulijibu hulijui na hutaki kusema sijui
Shika adabu yako mtume Akamtamani mtu we umesikia wapi hii kauli pimbi we hem kua na hishima kwa mtjme SAW
Hujuwi kiswahili
Kamshikishe adabu baba Yako mpumbavu wewe, kama Mtume hatamani basi huyo si binaadamu, nyinyi masufi Muna nini lakini kwenye vitwa vyenu?
Kwahiyo wake zake hawakua wanawake??hawezi kuwa na matamanio nao hajazaa hafurahii kuishi na wakeze yani ulitaka awe mwanamke gani ndo awe mwanamke????
Yaani wewe ndo hujielewi kabisaaa, Kama hakuwa anatamani sasa wale wake wote aliowaoa walikuwa ni urembo tu ndani ama?, na mbona baadhi yao alizaa nao au hao watoto alisingiziwa?
al akhy yaani kila ninapokusikiliza naona ufahamu wako uko na shida sana na bado unamchukulia poa sana mtume, yes mtume ni kama sisi kama mifano unayotoa juu ya kuhisi mambo sababu yuko na nafsi ila daraja yake ina vitu extra ambazo kwa akili ya kawaida huwezi elewa jaribu kuifuata elimu kwa hao wanaomuelezea mtume kisha ndio utoe darsa ila hivihivi naona unaoata tabu kumuelewa mtume na watu wa twariqa
Kwa hiyo kwa kuwa mtume ni mtukufu kiliko viumbe vyote ndo mumpe sifa za uongo ambazo si zake?
msikilize bachu, usimuangalie bachu. maana unachokizungumza tyr bachu ameshakizungumza zamani. Allaah akufahamishe
Kweli ndo unaouma sheikh Muhammad bachu endelea kulingania Nia yako anaeijua Allah sio hao wajinga wa kisufi na Mashia.Usiache kutuambia ukweli sheikh Muhammad bachu
Asalamu aleykum warahmatu llahi wabarakaatuh Ninaombi langu kwa wasomi wa twariqa Huyu bwana haya mambo yote aliyo yasema ni yauwongo Na nyinyi munadai ni yaukweli Basi twaomba na nyinyi tuelezeni kua haya niyaukweli kwa dalili hii nahii Aya ama hadithi swahihi kama niyasawa tujulisheni kwa Dalili tutawasikia HAATUU BURHAANAKUM IN KUNTUM SWAADIQIIN (NI MAOMBI YANGU NAOMBA KWA INSWAAF MUTUILIMISHE NAYINYI)
Arudi kwenye ile meza tumueleza ana kwa ana tunataka tumueleze hadharani na yeye akiwemo
@@mybabyarchive2104 Halafu mng'ang'anie tena kwenye swali lilelile hamna kubanduka kama ruba vile?
@@osmanmanbile9327 Kama mtu (s a w) hakuwa kama sisi kumbe alikuwa kama nani, Maila ama Majini?
@@osmanmanbile9327 Hakuna anayekataa kuwa Mtume (s a w) ni mtukufu wa daraja na ni mbora wa viumbe, lakini pamoja na hayo yeye ni binadamu kama sisi, amezaliwa, anakula, anakunywa, anakidhi haja, anamatamanio na alikuwa anawaendea wake zake na alikuwa ana watoto pia, anaugua na anapatwa na umauti kama binadamu wengine walivyo, na do maana yeye mwenyewe aliwaambia maswahaba zake kuwa (mimi ni binadamu kama ninyi, ninasahau kama mnavyosahau, nikisahau basi nikumbusheni). Tatizo lenu ninyi mnamzidishia sifa ambazo si zake mpaka mnavuka mipaka. Kama Mtume (s a w) hakuwa kama sisi basi tuambieni alikuwa Malaika, Jini ama nani?
Kwani buch ulipoambiwa quran n nuru ulifahamu vp kwa sababu kwenye haitoi mwangaza kutokana na ilimu yako ww
Kw vile ulishamtoa thamani bachu bac hata husikii anachokifundisha.
Nyinyi hammaanishi NURU KUA NI UONGOFU TU BALI YEYE MWENYEWE AMEUMBWA KWA HIO NURU NA PIA ANAMURIKA KULIKO JUA KIASI YA KWAMBA KIVULI CHAKE HAKITOKEI ANAPOMURIKWA NA JUA
Acheni kumtetea bhachu kwani siye alienda kuongea na paka kuuliza Kama Wana habari mtume kazaliwa,fahamu zake ni hizitu akickia qurani ni Nuru anataka kuituma ucku hiyo Nuru imsaidie gizani
Natamani niwe mwanafunzi wako shekh sema nipo mbali tu l
Ww bachu ni hasidi hii neema ya utukufu ya utumi hukuipata ww ndio maana unakanusha
Ww kausisome2 bachu
We wajua huna KAZI ya kufanya hata ushatukirihisha Bana kuna mambo mingi ya kuongelewa kwenye dunia hii ya Leo na umma wa kiislamu waangamia wewe unkazana kushindana na hawa watu wa maulidi kama kweli Una ilmu kweli na ni shekhe kweli ongea mambo ya muhimu Bana watukirihisha tunchoka tunchoka
We unatak ummah ufundishwe vp km maulid bidaa kuufundisha ummah ucfate bidaa kazi ndogo io bc usiskilize km umechoka kisha utajuana ww na mola wako hio cku ya cku
@hamdanhamdudy kwani umeambiwa na nini uje usikilize, nyinyi masufi mna hashuo sana, mnajifanya hamumpendi Bachu lakini Kila video mnakuja kuiangali, na munafaidika kichizi lakini hamtaki kusema tu.😂
Mungu amlinde shekhe wetu na mahasdi kama hawa wanocomment utumbo
😂😂😂😂😂😂 eti kunamamb mengi yepi sasa😂😂😂
😂😂sasa hayo mengi si unayajua tayar au yapi
Mrongo ww bachu mtume s a w ni kiumbe bora kuliko sote binadamu na mtume s a w alikua akitembea kiwingu cha mfuta kikimkinga na jua tena hapo hajapewa utume ww bachu kua na hishima na mtume s a w ww chunga mpotofu mkubwa ww
Hadithi ya mwisho ya mtume muhammad aliyoitoa mke wake kuhusu kuona kivuli cha mumewe umesema ni dhaifu ila umeitumia ili kujenga hoja yako kwamba nabii muhammad ana kivuli.Hivi si tulishakubaliana kwamba hadithi dhaifu hazifai kutumika na wewe mwenyewe ulitoa elimu hiyo?nimegundua wewe una matatizo ya akili.Unapinga hadithi dhaifu halafu hadithi dhaifu nyingine unazitumia ili kujenga hoja zako.Wewe ni mpotoshaji.
ww hujielewi hem sikiliza vzur kwanza unaongea ata hujielewi bwana msikilize vzur shekh au huelewi ww
Wacha ujinga bachu mtume s a w tutamsifu na mtume s a w ni nuru na ni rehma kwetu
Allah Nuru samawati wal arth
Allahu nuru ssamawati wal ardh, mathali nurihi ka misbaah
Yani ww ulitaka kumbana mwenzako munkar munkar dhaifu Leo ww ndio wazitaja eti zitilie nguvu kweli waswahili hawakukosea
Hizi comments za kumpongeza bhachu ndo inammaliza.akijiona ametosha aende Mombasa,,,,najua akimuona sheikh said roho ya enda mbio.
Huyo mpiga gita na vinanda mzee wa kukomaa na jambo moja tu hatoki hapohapo
@@badrudinsalum3139 Nyie si ndio mliotaka. Mlisema wenyewe kama swali halijajibiwa hakuna kwenda mbele
@@mybabyarchive2104 Yeye ndo alikuwa wa kwanza kuulizwa swali athibitishe kwa dalili sahihi kuwa wanyama waliongea, haya tuambie wewe huyo Said alithibitisha?
@@mybabyarchive2104 Badala ya kuthibisha yeye akauliza swali, eti kama hadithi iliyotumika ni munkar ni mwanachuoni gani amesema huyo mtu aitwe muongo? Pamoja na hayo alijibiwa kuwa yeye hajaona hiyo kauli ya mwanachuoni bado analazimisha lazima atoe kauli ya mwanachuoni
@@mybabyarchive2104 Yule Said anajua kabisa hakuna shekh yeyote duniani anayeweza kuthibitisha hayo ya Barzanj ndo maana hakujibu akatafuta swali la kujiegemeza na analazimisha ajibiwe kama anavyotaka yeye ili kukwepa fedheha
bachu adui wake mkubwa ni Mtume
Hiki kijamaa hakikomi aisee! Mbona akibanwa kidogo tu hujikojolea kama tulivyoona huko Mombasa ktk niqashi yake lkn bado hakomi
Hujayitwa nenda sas uko Mombasa
Alojikojolea mama Yako na mke wako kama unae, mbwa wewe, tutajie mmoja tu katika hao unaowaona wewe ni Masheikh waliojibu kwa uchambuzi mzuri kama anaotowa sheikh Bachu.
@@wardinizurihaina haja ya matusi bhsara muhimu
Wewe unae ona SHK bachu alijikojolea umepigwa hiyo ilikua ni propa ganda naukitak kujua hakuna hata shekhe mmoja alokuwepo pale kasema hayo maneno walijifanya kujiulizisha eti hawajui kisha SHK mmoja akashika sasa swali Shekhe alishika najsi kweli? Na asijue kam ni mkojo? Hiv mkojo nikitu ambacho kitakufanya usikikue? Ile walifnya vile ili mtazamaji ndo akiri kua ni mkojo na sio wao wao hawajawahi sema hilo kwahiyo hiyo inabaki kua ni dhimma kwa msemaji ambae hakuwepo na anathibitisha ilhali walokuwepo hawakuthibitisha
Zinduka
ni shetani
Ww utakufa vby sn insha Allah yetu macho tu tutaona
Wewe Unajua Ghaibu? Na je Wewe unajua utakavyo kufa? Muogope Allah Acha Chuki
Makinika utoe hoja lkn chuki hazitokufikisha mahali. Allaah akuongoze
Kila mada inayoongelewa na sheikh yoyote niyauwongo unayotoa wewe au wahabi yeyote niyaukweli ilihali elimu hamuna mutabwabwanya sana mtume ni nuru halipingiki hilo
😂😂😂😂😂kaza kichwa ndugu hao walosema hayo maneno si yeye ye ananukuu tu. Hata hao walosema ni nuru nao wamenukuu ishu nikwamba umenukuu ktk chimbuko gani je ni sahihi au sio sahihi ndo hapo wapewa mpak walosema na wnachuon wakawasema hao ni waongo sasa waje maßhekje wathibitishe ni wakweli✍🏼ikishindikan ujue ni uongo mkma wa samaki na wanyama ote kuongea mimba ilipoingia
@@suleymansalim5732 wakiristo wakiwahabi wa tauhidi 3 kilakitu uwongo danganyeni wahabi wenzenu huku ndio chimbuko la elimu hamtafaulu
Jamaa hana majazi wala chochote. anazidi kupayuka tuuu, hajijuwi maskini, anajiona hakuna Shekhe duniani wa kumshinda yeye.
Majazi anayo Sabab wenu, hapa ukija unapewa dalili tu, Kisha unakwenda kujiskilizia mbele kwa mbele uko
Kwani vip mbona kama mmepagawa hivi, shekh Bachu anawachoma sana nini?
Wewe ulishakosa kazi kazi kutu potezea tu mb zetu na elimu yako ya kujisomea bila kusomeshwa
Elimu ina foundtion akhy tartibu. usiwe km wakristo mpaka aseme badr.
Kwani umelazimishwa kumsikiliza?
Tutajie hao wanawake waliotamaniwa na mtume,bado utwambie alizini nao kwa macho sasa,Dajjaal wewe
Nenda ukasome wacha kujifariji
Kasome wew kwa Side boy
Mpe dada Yako asome nae vizuri
Kazi. Mtu anafungua vitabu wengine waona anaburudika
@@idisaidi287 hahaha
@@idisaidi287 eti Side boy
Huyu jamaa simpendi ananichukiza wallah kwa sbb hana Mada kama vile baba ake alivotoa faida kwa umma ye anataka Kiki ili viewers wazidi apate kulipwa na RUclips ukitaka dunia utaipata baba
Tatzo elimu
Ukimchukiya wew
ALLAH anampend kwa kusema hakki
Wewe isss ni choko sana, hivi unadhani Mtume alikuwa hasemi ukweli? Mbona walipatikana makafiri wakamchukia kama wewe inavomchukia sheikh Bachu? Na Allah aliwaambia موتوا بغيضكم, kufeni na chuki zenu, sasa na wewe kufa na chuki zako, Kisha uone zitamdhuru ni sheikh Bachu hizo chuki zako
Kama wewe huoni faida unakuja kufanya nini kwenye video za mwanamme wenu? Hapa tunapata faida sana tu ya kujuwa kuwa nyinyi masufi mumemfanya Mtume ni biashara kwenu, mumempakaza uongo kabla hajazaliwa mapaka kufa kwake.
Kama humpendi we acha bida'a au jinyonge tu ndugu yangu maana chuma bado kitaunguruma sana mpaka Aalah mwenyewe atakapokinyamazisha
Ww bachu chukia yako ni .mtume tuu jibu swali ama sema sijui
😂😂wamekupanga vzr sasa huwez kuelewa upo tu jibu swali au sema sijui sasa ktk maneno hayo jiulize yamekufaidisha nini? Muhammad bachu alisema wanyama hawakuongea na akatoa majibu kwanini hawakuongea baada ya Said kugoma kujibu. Sasa mwambie saidi majibu ya swali lake niyepi aseme . Nb:(ASIJIBU KAMA BACHU KUSEMA HAKUNA ITIFAKI HIYO) Ajibu tuone nayeye
halafu wewe Sufi unae sema eti bachu aseme siju.i unajua wewe unajua kanuni za kuuliza? mtu silazima aseme sijui unaweza sema sijui au najua au Hilo swali la kitoto hayo yote ni aina ya majibu. bachu kashajibu Hilo swali la kitoto sasa ilikuwa ni said ajibu atoe dalili kuhusu wa nyama lakini said alionyesha uoga flani yaani hakutaka kwenda mbele ndio akashikilia hapo Kwa swali la kitoto ili mjadala usiendelee. alafu alipoona bachu amengundua Hilo swali lakitoto akalazimisha bachu aseme sijui ili apate kujipa ushindi kwa njia ya mkato. haya maneno kwa mwenye ufahamu na uadilifu ataelewa hafu unasema eti bachu Yuko na chuki na mtume wallahi hii kauli Yako inaonesha wewe hauna elmu tafuta clip za mashekh wenu kama izudin na wengine uone vile wanasema kuhusu nyinyi Sufi wadogo wadogo munaosema eti wasiosoma maulid hawampendi mtume tafuta hizo clip utaona mashekh wenu wanakuchapa wewe
Asema hajui wakati anajuwa!!! Wewe mtoto ni chakula Cha wanaume wenzio nini?
Nimejaribu kutafuta Mada ya awesu qarni ya huyu dogo wala sijakiona kuonesha huyu bado hajafanya kazi Zaid ya ufisadi tu wa kuvuruga umma
Nenda kwa Side boy utuachie bachu
al akhy yaani kila ninapokusikiliza naona ufahamu wako uko na shida sana na bado unamchukulia poa sana mtume, yes mtume ni kama sisi kama mifano unayotoa juu ya kuhisi mambo sababu yuko na nafsi ila daraja yake ina vitu extra ambazo kwa akili ya kawaida huwezi elewa jaribu kuifuata elimu kwa hao wanaomuelezea mtume kisha ndio utoe darsa ila hivihivi naona unaoata tabu kumuelewa mtume na watu wa twariqa