KIVULI CHA MTUME HAKIONEKANI KWENYE JUA NA MWEZI ?? || Muhammad Bachu || 23/11/2023.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 135

  • @asedikombo4609
    @asedikombo4609 11 месяцев назад +5

    Mashalw mungu akulinde najicho lahusd

  • @saadasaleh3177
    @saadasaleh3177 11 месяцев назад +5

    Allah akuhifadhi Sheikh Muhammad na akupe siha njema tuzidi kunafaika nawe, na Allah kamwe hayupo pamoja na madhwalim, Allah atunusuru kua miongon mwao

  • @muniraally4091
    @muniraally4091 11 месяцев назад +6

    Ibn Nassor Allah akuhifadhi pia akuandal i e pepo wanasikia waskie wanaokubali wakubali Allah akujaalie uzidi kutufungua fahamu asotia fahamu sasa anajidai tuuuu lkn yako wazi kama unavofafanua asokubali anajitoa fahamu tuuu

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 11 месяцев назад +3

    Shukran mwalimu mtafiti na mwenye kufanya taaswiil ktk mas ala, wataelewa tu

  • @tausikhitentya3357
    @tausikhitentya3357 11 месяцев назад +4

    Asalam alaikum shekhe Muhammad bachu ,allah akukinge na shary , pia naomba kuasiliana nawe inshaallah namengi ya kuongea b idhinillah

  • @abasijuma6989
    @abasijuma6989 11 месяцев назад +10

    Kumbemtume wetu amesingiziwa mengi mno na hawa wanaoitwa eti watu wa twarika twarika gan hiyo kumsingizia mtume

  • @tausikhitentya3357
    @tausikhitentya3357 11 месяцев назад +6

    Shekhe bachu we kiboko ya wazushi allah akupe hifadhi ya juu ktk maneno ya allah

    • @seydouside4081
      @seydouside4081 11 месяцев назад

      Wakubwa kama bachu anakosea aya hiyo IPO inappsomwa kama kama wewe unatafsri nyengine mnamkosoa kwa aya hiyo hiyo..na sisi tusio juwa tujuwe..mkimkanusha bachu kwa kumkataa wewe sisi tusio juwa tutajuwaje pas na ayaya kukanusha

  • @salimbaalwy9388
    @salimbaalwy9388 9 месяцев назад +1

    ALLAAH YAHFADHK YAA AKHIL HABIYB

  • @ishakakhalid
    @ishakakhalid 11 месяцев назад +8

    wa kwanza mimi.
    Asante sana Muhammad bachu. ❤❤

    • @mosesmngome1357
      @mosesmngome1357 11 месяцев назад

      Tumekuchoka Wacha usenge Kaa chino usome kwanza

    • @mosesmngome1357
      @mosesmngome1357 11 месяцев назад

      Soma kwanza dog Wacha uchoko tumekuchoka huku mitandaoni

    • @mosesmngome1357
      @mosesmngome1357 11 месяцев назад

      Alafu asielewa chochote akikusikiliza na huo muonekano ulionao mtu anaweza kuja shekh kweri kumbe muuza mirungi wa zanzibar

  • @khamisisima711
    @khamisisima711 11 месяцев назад +3

    Jazaak Allah khair
    Allah akuhifadhi shaikh Muhammad Bacho

  • @ayyamirubba5226
    @ayyamirubba5226 11 месяцев назад +3

    Jazaaka llahu khayra...wa fadhaka llahu.

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 11 месяцев назад +5

    Masufi ndio muelewe kua hamujuwi kitu, nahuyu munae mdharau ndie anae kufundisheni, huyu ni mwalimu kwenu

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 11 месяцев назад

      Huyo ni mwalimu wawajinga kama nyinyi huyu bachu hamjui mtume s a w wala hana heshima na mtume s a w

  • @NdongaKichwa-hz7jf
    @NdongaKichwa-hz7jf 11 месяцев назад +7

    Wakwaza jamani shabiki wa shekhe bachu naomba tumuombee duwa shekhe wetu

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 11 месяцев назад +6

      Allah amhifadhi

    • @NdongaKichwa-hz7jf
      @NdongaKichwa-hz7jf 11 месяцев назад

      @@saadasaleh3177 Amni

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 11 месяцев назад +3

      Shabiki?

    • @wardinizuri
      @wardinizuri 11 месяцев назад

      Ameen

    • @NdongaKichwa-hz7jf
      @NdongaKichwa-hz7jf 11 месяцев назад

      @@abdulmohd6880 yap kwani wapo washabiki wa mpira mashabiki wamuziki mashabiki wakamari sasa mimi kuna tatizo gani kuwa shabiki wa mcha Mungu shekhe Bachu Mungu amuhifazi

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl 11 месяцев назад +3

    Sheikh Muhammad bachu unayotuambia kuwa ya uongo ni haqi.Hayo yote masufi na Mashia wameshindwa kutubainisha Kwa Hadith sahihi.masufi wamekuwa wanayakoroga tu mazungumzo Yao kama mseto au bilau

  • @nassirzamzam9312
    @nassirzamzam9312 11 месяцев назад +2

    This world when a man dedicates him self to faith and dawah work, his life as a result becomes one of toil and struggle.

  • @jumasalim6126
    @jumasalim6126 11 месяцев назад +2

    Kajisomea mwenyewe, hakusomeshw haya ni maneno ya Walid, jibuni hoja wanyama waliongea nani alikua anajua lugha za wanyama wakati huo chukueni elimu hapa kwa Bachu sio kinanda.

  • @silimakhamis7088
    @silimakhamis7088 11 месяцев назад +2

    Ahsant,tunaomba uchambuzi juu ya kauli ya mashekh wanaosema "Mtume atakujakaa kwenye arshi na Allah siku ya kiama?" Tafadhali shekh ufafanuzi

    • @wardinizuri
      @wardinizuri 11 месяцев назад

      Tulia kama moja, alokwambia hiyo ni kauli ya ibnu taymiyya ni nani? Kama hujui kusoma vitabu uliza kwanza. Ibn taymiyya amesema Kuna watu wamesema Kisha akabainisha kuwa Kila mtu kauli yake yeza chukuliwa au kuwatwa. Sasa unataka ufafanuzi Gani?

  • @shabanbareh3824
    @shabanbareh3824 11 месяцев назад +3

    Lkn mtume hana kinyongo kama vile ww ulivyo na kinyongo mtume ametakasika ndio maana kila akitwaja lazima tumswalie S.A.w

    • @johariabdalla3319
      @johariabdalla3319 11 месяцев назад +5

      Tatizo sio kutakasika,au kumsalia mtume,hukukatazwa kumsalia mtume,munakatazwa kumzulia mtume kwa mambo ambayo hayakustahili au kumzushia baadhi ya mambo

  • @fatmasuleiman2710
    @fatmasuleiman2710 11 месяцев назад +2

    Mimi nashangazwa na watu WA twarika,mwailimishwa lkn washupavu sanaa, sikilizeni muilimike anaongea haki,msema kweli ni kipezi cha Allah,wengi wamerudi nyuma Kwa nn nyie washindani sanaa .wakti unaenda na umri unapunguwa fursa dhahabia itumieni ,Allah akuhifadh bachu hao wanakuamdama lkn hta wasikutie joto ww songa mbele Sisi twakuskiliza.

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 11 месяцев назад

      Tusikize chizi ww una wazimu msikize ww chizi mwenzako

    • @AliDaud-si3fg
      @AliDaud-si3fg 11 месяцев назад +1

      ​@@fikafikan8484Sunna ya mtume wetu hio ﷺ

  • @somosomo4860
    @somosomo4860 8 месяцев назад

    Shekhe:kuna aya za Quran aikushuka Ardini wala Binguni,ambaye ni aya sita.tafuta Mwalimu wako akufunze utafahamu.asante.

  • @shabanbareh3824
    @shabanbareh3824 11 месяцев назад +4

    Wapi hadhithi imeandikwa ikaitwa uongo sababu sisi tunakuskia ww ukisema uongo
    Uongo n maneno yako ww bachu lkn
    Cjaona hapo hadhithi imeitwa oungo

  • @salimchimwaga8384
    @salimchimwaga8384 11 месяцев назад +1

    جاء الإسلام غريبا وسوف يعود غريبا كما بدأ.
    Allah tujaalie waja wako mwisho mwema.

  • @BakariKassim-s7l
    @BakariKassim-s7l 11 месяцев назад

    We bachu utakutana na ALLAH

  • @mohamedumri4176
    @mohamedumri4176 11 месяцев назад +2

    SHEKHE WANGU NAKUOMBA UKITAJA KITABU SOMA KITABU.
    USITUSOME GOOGLE.
    HIYO GOOGLE NDIO ILIKUABISHA UKIWA NA USTADH SAID.

  • @alwymohammed2460
    @alwymohammed2460 11 месяцев назад +1

    Usitusumbue ww suali moja lilikushinda na mpaka leo hutaki kulijibu hulijui na hutaki kusema sijui

  • @issamohammednassor8688
    @issamohammednassor8688 11 месяцев назад +2

    Shika adabu yako mtume Akamtamani mtu we umesikia wapi hii kauli pimbi we hem kua na hishima kwa mtjme SAW

    • @idisaidi287
      @idisaidi287 11 месяцев назад

      Hujuwi kiswahili

    • @wardinizuri
      @wardinizuri 11 месяцев назад +2

      Kamshikishe adabu baba Yako mpumbavu wewe, kama Mtume hatamani basi huyo si binaadamu, nyinyi masufi Muna nini lakini kwenye vitwa vyenu?

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 11 месяцев назад +2

      Kwahiyo wake zake hawakua wanawake??hawezi kuwa na matamanio nao hajazaa hafurahii kuishi na wakeze yani ulitaka awe mwanamke gani ndo awe mwanamke????

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 11 месяцев назад +1

      Yaani wewe ndo hujielewi kabisaaa, Kama hakuwa anatamani sasa wale wake wote aliowaoa walikuwa ni urembo tu ndani ama?, na mbona baadhi yao alizaa nao au hao watoto alisingiziwa?

  • @nouhamour545
    @nouhamour545 11 месяцев назад +4

    al akhy yaani kila ninapokusikiliza naona ufahamu wako uko na shida sana na bado unamchukulia poa sana mtume, yes mtume ni kama sisi kama mifano unayotoa juu ya kuhisi mambo sababu yuko na nafsi ila daraja yake ina vitu extra ambazo kwa akili ya kawaida huwezi elewa jaribu kuifuata elimu kwa hao wanaomuelezea mtume kisha ndio utoe darsa ila hivihivi naona unaoata tabu kumuelewa mtume na watu wa twariqa

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 11 месяцев назад +2

      Kwa hiyo kwa kuwa mtume ni mtukufu kiliko viumbe vyote ndo mumpe sifa za uongo ambazo si zake?

    • @AliDaud-si3fg
      @AliDaud-si3fg 11 месяцев назад +1

      msikilize bachu, usimuangalie bachu. maana unachokizungumza tyr bachu ameshakizungumza zamani. Allaah akufahamishe

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl 11 месяцев назад +2

    Kweli ndo unaouma sheikh Muhammad bachu endelea kulingania Nia yako anaeijua Allah sio hao wajinga wa kisufi na Mashia.Usiache kutuambia ukweli sheikh Muhammad bachu

  • @mohamedbadi7742
    @mohamedbadi7742 11 месяцев назад +1

    Asalamu aleykum warahmatu llahi wabarakaatuh Ninaombi langu kwa wasomi wa twariqa Huyu bwana haya mambo yote aliyo yasema ni yauwongo Na nyinyi munadai ni yaukweli Basi twaomba na nyinyi tuelezeni kua haya niyaukweli kwa dalili hii nahii Aya ama hadithi swahihi kama niyasawa tujulisheni kwa Dalili tutawasikia HAATUU BURHAANAKUM IN KUNTUM SWAADIQIIN (NI MAOMBI YANGU NAOMBA KWA INSWAAF MUTUILIMISHE NAYINYI)

    • @mybabyarchive2104
      @mybabyarchive2104 11 месяцев назад

      Arudi kwenye ile meza tumueleza ana kwa ana tunataka tumueleze hadharani na yeye akiwemo

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 11 месяцев назад

      @@mybabyarchive2104 Halafu mng'ang'anie tena kwenye swali lilelile hamna kubanduka kama ruba vile?

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 10 месяцев назад

      @@osmanmanbile9327 Kama mtu (s a w) hakuwa kama sisi kumbe alikuwa kama nani, Maila ama Majini?

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 10 месяцев назад

      @@osmanmanbile9327 Hakuna anayekataa kuwa Mtume (s a w) ni mtukufu wa daraja na ni mbora wa viumbe, lakini pamoja na hayo yeye ni binadamu kama sisi, amezaliwa, anakula, anakunywa, anakidhi haja, anamatamanio na alikuwa anawaendea wake zake na alikuwa ana watoto pia, anaugua na anapatwa na umauti kama binadamu wengine walivyo, na do maana yeye mwenyewe aliwaambia maswahaba zake kuwa (mimi ni binadamu kama ninyi, ninasahau kama mnavyosahau, nikisahau basi nikumbusheni). Tatizo lenu ninyi mnamzidishia sifa ambazo si zake mpaka mnavuka mipaka. Kama Mtume (s a w) hakuwa kama sisi basi tuambieni alikuwa Malaika, Jini ama nani?

  • @shabanbareh3824
    @shabanbareh3824 11 месяцев назад +3

    Kwani buch ulipoambiwa quran n nuru ulifahamu vp kwa sababu kwenye haitoi mwangaza kutokana na ilimu yako ww

    • @AliDaud-si3fg
      @AliDaud-si3fg 11 месяцев назад

      Kw vile ulishamtoa thamani bachu bac hata husikii anachokifundisha.
      Nyinyi hammaanishi NURU KUA NI UONGOFU TU BALI YEYE MWENYEWE AMEUMBWA KWA HIO NURU NA PIA ANAMURIKA KULIKO JUA KIASI YA KWAMBA KIVULI CHAKE HAKITOKEI ANAPOMURIKWA NA JUA

    • @zeitunMohammed
      @zeitunMohammed 11 месяцев назад

      Acheni kumtetea bhachu kwani siye alienda kuongea na paka kuuliza Kama Wana habari mtume kazaliwa,fahamu zake ni hizitu akickia qurani ni Nuru anataka kuituma ucku hiyo Nuru imsaidie gizani

  • @abasijuma6989
    @abasijuma6989 11 месяцев назад +2

    Natamani niwe mwanafunzi wako shekh sema nipo mbali tu l

  • @alwymohammed2460
    @alwymohammed2460 11 месяцев назад +2

    Ww bachu ni hasidi hii neema ya utukufu ya utumi hukuipata ww ndio maana unakanusha

  • @IsmailiallyIsmaili
    @IsmailiallyIsmaili 11 месяцев назад

    Ww kausisome2 bachu

  • @hamdanhamdudy2864
    @hamdanhamdudy2864 11 месяцев назад +2

    We wajua huna KAZI ya kufanya hata ushatukirihisha Bana kuna mambo mingi ya kuongelewa kwenye dunia hii ya Leo na umma wa kiislamu waangamia wewe unkazana kushindana na hawa watu wa maulidi kama kweli Una ilmu kweli na ni shekhe kweli ongea mambo ya muhimu Bana watukirihisha tunchoka tunchoka

    • @saadasaleh3177
      @saadasaleh3177 11 месяцев назад +1

      We unatak ummah ufundishwe vp km maulid bidaa kuufundisha ummah ucfate bidaa kazi ndogo io bc usiskilize km umechoka kisha utajuana ww na mola wako hio cku ya cku

    • @wardinizuri
      @wardinizuri 11 месяцев назад +3

      @hamdanhamdudy kwani umeambiwa na nini uje usikilize, nyinyi masufi mna hashuo sana, mnajifanya hamumpendi Bachu lakini Kila video mnakuja kuiangali, na munafaidika kichizi lakini hamtaki kusema tu.😂

    • @NdongaKichwa-hz7jf
      @NdongaKichwa-hz7jf 11 месяцев назад +2

      Mungu amlinde shekhe wetu na mahasdi kama hawa wanocomment utumbo

    • @saidsobongo912
      @saidsobongo912 11 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂😂 eti kunamamb mengi yepi sasa😂😂😂

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 11 месяцев назад +2

      😂😂sasa hayo mengi si unayajua tayar au yapi

  • @fikafikan8484
    @fikafikan8484 11 месяцев назад +1

    Mrongo ww bachu mtume s a w ni kiumbe bora kuliko sote binadamu na mtume s a w alikua akitembea kiwingu cha mfuta kikimkinga na jua tena hapo hajapewa utume ww bachu kua na hishima na mtume s a w ww chunga mpotofu mkubwa ww

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 11 месяцев назад +1

    Hadithi ya mwisho ya mtume muhammad aliyoitoa mke wake kuhusu kuona kivuli cha mumewe umesema ni dhaifu ila umeitumia ili kujenga hoja yako kwamba nabii muhammad ana kivuli.Hivi si tulishakubaliana kwamba hadithi dhaifu hazifai kutumika na wewe mwenyewe ulitoa elimu hiyo?nimegundua wewe una matatizo ya akili.Unapinga hadithi dhaifu halafu hadithi dhaifu nyingine unazitumia ili kujenga hoja zako.Wewe ni mpotoshaji.

    • @Hawanalugha
      @Hawanalugha 11 месяцев назад

      ww hujielewi hem sikiliza vzur kwanza unaongea ata hujielewi bwana msikilize vzur shekh au huelewi ww

  • @fikafikan8484
    @fikafikan8484 11 месяцев назад +2

    Wacha ujinga bachu mtume s a w tutamsifu na mtume s a w ni nuru na ni rehma kwetu

    • @madhuru2554
      @madhuru2554 11 месяцев назад +1

      Allah Nuru samawati wal arth

    • @thefoodshaikh811
      @thefoodshaikh811 11 месяцев назад

      Allahu nuru ssamawati wal ardh, mathali nurihi ka misbaah

  • @iddswalehomar1323
    @iddswalehomar1323 10 месяцев назад

    Yani ww ulitaka kumbana mwenzako munkar munkar dhaifu Leo ww ndio wazitaja eti zitilie nguvu kweli waswahili hawakukosea

  • @zeitunMohammed
    @zeitunMohammed 11 месяцев назад

    Hizi comments za kumpongeza bhachu ndo inammaliza.akijiona ametosha aende Mombasa,,,,najua akimuona sheikh said roho ya enda mbio.

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 11 месяцев назад +1

      Huyo mpiga gita na vinanda mzee wa kukomaa na jambo moja tu hatoki hapohapo

    • @mybabyarchive2104
      @mybabyarchive2104 11 месяцев назад +1

      @@badrudinsalum3139 Nyie si ndio mliotaka. Mlisema wenyewe kama swali halijajibiwa hakuna kwenda mbele

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 11 месяцев назад

      @@mybabyarchive2104 Yeye ndo alikuwa wa kwanza kuulizwa swali athibitishe kwa dalili sahihi kuwa wanyama waliongea, haya tuambie wewe huyo Said alithibitisha?

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 11 месяцев назад

      @@mybabyarchive2104 Badala ya kuthibisha yeye akauliza swali, eti kama hadithi iliyotumika ni munkar ni mwanachuoni gani amesema huyo mtu aitwe muongo? Pamoja na hayo alijibiwa kuwa yeye hajaona hiyo kauli ya mwanachuoni bado analazimisha lazima atoe kauli ya mwanachuoni

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 11 месяцев назад

      @@mybabyarchive2104 Yule Said anajua kabisa hakuna shekh yeyote duniani anayeweza kuthibitisha hayo ya Barzanj ndo maana hakujibu akatafuta swali la kujiegemeza na analazimisha ajibiwe kama anavyotaka yeye ili kukwepa fedheha

  • @swabrianwar1020
    @swabrianwar1020 9 месяцев назад

    bachu adui wake mkubwa ni Mtume

  • @RajabuJuma-w1b
    @RajabuJuma-w1b 11 месяцев назад

    Hiki kijamaa hakikomi aisee! Mbona akibanwa kidogo tu hujikojolea kama tulivyoona huko Mombasa ktk niqashi yake lkn bado hakomi

    • @idisaidi287
      @idisaidi287 11 месяцев назад +1

      Hujayitwa nenda sas uko Mombasa

    • @wardinizuri
      @wardinizuri 11 месяцев назад +2

      Alojikojolea mama Yako na mke wako kama unae, mbwa wewe, tutajie mmoja tu katika hao unaowaona wewe ni Masheikh waliojibu kwa uchambuzi mzuri kama anaotowa sheikh Bachu.

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 11 месяцев назад +1

      ​@@wardinizurihaina haja ya matusi bhsara muhimu

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 11 месяцев назад +4

      Wewe unae ona SHK bachu alijikojolea umepigwa hiyo ilikua ni propa ganda naukitak kujua hakuna hata shekhe mmoja alokuwepo pale kasema hayo maneno walijifanya kujiulizisha eti hawajui kisha SHK mmoja akashika sasa swali Shekhe alishika najsi kweli? Na asijue kam ni mkojo? Hiv mkojo nikitu ambacho kitakufanya usikikue? Ile walifnya vile ili mtazamaji ndo akiri kua ni mkojo na sio wao wao hawajawahi sema hilo kwahiyo hiyo inabaki kua ni dhimma kwa msemaji ambae hakuwepo na anathibitisha ilhali walokuwepo hawakuthibitisha
      Zinduka

    • @mybabyarchive2104
      @mybabyarchive2104 11 месяцев назад

      ni shetani

  • @NUURUL-YAQIIN.123
    @NUURUL-YAQIIN.123 11 месяцев назад

    Ww utakufa vby sn insha Allah yetu macho tu tutaona

    • @ashrafhashim2116
      @ashrafhashim2116 11 месяцев назад +4

      Wewe Unajua Ghaibu? Na je Wewe unajua utakavyo kufa? Muogope Allah Acha Chuki

    • @AliDaud-si3fg
      @AliDaud-si3fg 11 месяцев назад +2

      Makinika utoe hoja lkn chuki hazitokufikisha mahali. Allaah akuongoze

  • @fadhilimusa9732
    @fadhilimusa9732 11 месяцев назад

    Kila mada inayoongelewa na sheikh yoyote niyauwongo unayotoa wewe au wahabi yeyote niyaukweli ilihali elimu hamuna mutabwabwanya sana mtume ni nuru halipingiki hilo

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 11 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂kaza kichwa ndugu hao walosema hayo maneno si yeye ye ananukuu tu. Hata hao walosema ni nuru nao wamenukuu ishu nikwamba umenukuu ktk chimbuko gani je ni sahihi au sio sahihi ndo hapo wapewa mpak walosema na wnachuon wakawasema hao ni waongo sasa waje maßhekje wathibitishe ni wakweli✍🏼ikishindikan ujue ni uongo mkma wa samaki na wanyama ote kuongea mimba ilipoingia

    • @fadhilimusa9732
      @fadhilimusa9732 11 месяцев назад

      @@suleymansalim5732 wakiristo wakiwahabi wa tauhidi 3 kilakitu uwongo danganyeni wahabi wenzenu huku ndio chimbuko la elimu hamtafaulu

  • @mwalimjecha6893
    @mwalimjecha6893 11 месяцев назад +1

    Jamaa hana majazi wala chochote. anazidi kupayuka tuuu, hajijuwi maskini, anajiona hakuna Shekhe duniani wa kumshinda yeye.

    • @wardinizuri
      @wardinizuri 11 месяцев назад

      Majazi anayo Sabab wenu, hapa ukija unapewa dalili tu, Kisha unakwenda kujiskilizia mbele kwa mbele uko

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 11 месяцев назад

      Kwani vip mbona kama mmepagawa hivi, shekh Bachu anawachoma sana nini?

  • @Abdallah-e7o
    @Abdallah-e7o 11 месяцев назад

    Wewe ulishakosa kazi kazi kutu potezea tu mb zetu na elimu yako ya kujisomea bila kusomeshwa

    • @AliDaud-si3fg
      @AliDaud-si3fg 11 месяцев назад +2

      Elimu ina foundtion akhy tartibu. usiwe km wakristo mpaka aseme badr.

    • @شيخنيف
      @شيخنيف 10 месяцев назад

      Kwani umelazimishwa kumsikiliza?

  • @jumamohamed628
    @jumamohamed628 11 месяцев назад

    Tutajie hao wanawake waliotamaniwa na mtume,bado utwambie alizini nao kwa macho sasa,Dajjaal wewe

  • @mohamedamiri4597
    @mohamedamiri4597 11 месяцев назад

    Nenda ukasome wacha kujifariji

    • @idisaidi287
      @idisaidi287 11 месяцев назад

      Kasome wew kwa Side boy

    • @wardinizuri
      @wardinizuri 11 месяцев назад

      Mpe dada Yako asome nae vizuri

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 11 месяцев назад +1

      Kazi. Mtu anafungua vitabu wengine waona anaburudika

    • @شيخنيف
      @شيخنيف 10 месяцев назад

      @@idisaidi287 hahaha

    • @شيخنيف
      @شيخنيف 10 месяцев назад

      @@idisaidi287 eti Side boy

  • @issamohammednassor8688
    @issamohammednassor8688 11 месяцев назад +1

    Huyu jamaa simpendi ananichukiza wallah kwa sbb hana Mada kama vile baba ake alivotoa faida kwa umma ye anataka Kiki ili viewers wazidi apate kulipwa na RUclips ukitaka dunia utaipata baba

    • @ameirfaki9277
      @ameirfaki9277 11 месяцев назад

      Tatzo elimu

    • @idisaidi287
      @idisaidi287 11 месяцев назад +5

      Ukimchukiya wew
      ALLAH anampend kwa kusema hakki

    • @wardinizuri
      @wardinizuri 11 месяцев назад

      Wewe isss ni choko sana, hivi unadhani Mtume alikuwa hasemi ukweli? Mbona walipatikana makafiri wakamchukia kama wewe inavomchukia sheikh Bachu? Na Allah aliwaambia موتوا بغيضكم, kufeni na chuki zenu, sasa na wewe kufa na chuki zako, Kisha uone zitamdhuru ni sheikh Bachu hizo chuki zako

    • @wardinizuri
      @wardinizuri 11 месяцев назад

      Kama wewe huoni faida unakuja kufanya nini kwenye video za mwanamme wenu? Hapa tunapata faida sana tu ya kujuwa kuwa nyinyi masufi mumemfanya Mtume ni biashara kwenu, mumempakaza uongo kabla hajazaliwa mapaka kufa kwake.

    • @badrudinsalum3139
      @badrudinsalum3139 11 месяцев назад +1

      Kama humpendi we acha bida'a au jinyonge tu ndugu yangu maana chuma bado kitaunguruma sana mpaka Aalah mwenyewe atakapokinyamazisha

  • @mahmudali705
    @mahmudali705 11 месяцев назад

    Ww bachu chukia yako ni .mtume tuu jibu swali ama sema sijui

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 11 месяцев назад +4

      😂😂wamekupanga vzr sasa huwez kuelewa upo tu jibu swali au sema sijui sasa ktk maneno hayo jiulize yamekufaidisha nini? Muhammad bachu alisema wanyama hawakuongea na akatoa majibu kwanini hawakuongea baada ya Said kugoma kujibu. Sasa mwambie saidi majibu ya swali lake niyepi aseme . Nb:(ASIJIBU KAMA BACHU KUSEMA HAKUNA ITIFAKI HIYO) Ajibu tuone nayeye

    • @Alrisaalaturrahmahislamiccente
      @Alrisaalaturrahmahislamiccente 11 месяцев назад

      halafu wewe Sufi unae sema eti bachu aseme siju.i unajua wewe unajua kanuni za kuuliza? mtu silazima aseme sijui unaweza sema sijui au najua au Hilo swali la kitoto hayo yote ni aina ya majibu. bachu kashajibu Hilo swali la kitoto sasa ilikuwa ni said ajibu atoe dalili kuhusu wa nyama lakini said alionyesha uoga flani yaani hakutaka kwenda mbele ndio akashikilia hapo Kwa swali la kitoto ili mjadala usiendelee. alafu alipoona bachu amengundua Hilo swali lakitoto akalazimisha bachu aseme sijui ili apate kujipa ushindi kwa njia ya mkato. haya maneno kwa mwenye ufahamu na uadilifu ataelewa hafu unasema eti bachu Yuko na chuki na mtume wallahi hii kauli Yako inaonesha wewe hauna elmu tafuta clip za mashekh wenu kama izudin na wengine uone vile wanasema kuhusu nyinyi Sufi wadogo wadogo munaosema eti wasiosoma maulid hawampendi mtume tafuta hizo clip utaona mashekh wenu wanakuchapa wewe

    • @wardinizuri
      @wardinizuri 11 месяцев назад

      Asema hajui wakati anajuwa!!! Wewe mtoto ni chakula Cha wanaume wenzio nini?

  • @issamohammednassor8688
    @issamohammednassor8688 11 месяцев назад

    Nimejaribu kutafuta Mada ya awesu qarni ya huyu dogo wala sijakiona kuonesha huyu bado hajafanya kazi Zaid ya ufisadi tu wa kuvuruga umma

    • @idisaidi287
      @idisaidi287 11 месяцев назад

      Nenda kwa Side boy utuachie bachu

  • @nouhamour545
    @nouhamour545 11 месяцев назад

    al akhy yaani kila ninapokusikiliza naona ufahamu wako uko na shida sana na bado unamchukulia poa sana mtume, yes mtume ni kama sisi kama mifano unayotoa juu ya kuhisi mambo sababu yuko na nafsi ila daraja yake ina vitu extra ambazo kwa akili ya kawaida huwezi elewa jaribu kuifuata elimu kwa hao wanaomuelezea mtume kisha ndio utoe darsa ila hivihivi naona unaoata tabu kumuelewa mtume na watu wa twariqa