LAZIMA WATUMIE UONGO ILI KUENEZA BIDAA ZAO || SHEIKH BAFANA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 360

  • @yasirsaid8464
    @yasirsaid8464 Год назад +11

    MAA SHAA ALLAH Shekh SAID BAFANA na Shkh MUHAMMAD BACHU ALLAH Awahifadhi

  • @nasraabdallah
    @nasraabdallah Год назад +25

    Allah atujaalie mwisho mwema shekhe bachu unapambana vita ya hakki allah ajaalie tuwe miongoni mwa waja wema🤲

  • @RamadhaniShembillu
    @RamadhaniShembillu Год назад +20

    Wallaahi mimi na maulidi Tena baaas nisawa na mbingu na ardhi ,kama mashekhezetu wameshindwa kutetea uongo unaosemwa bas kweli niuongooooo

    • @saidymujilili4618
      @saidymujilili4618 Год назад

      Kwani umelazimishwa au ndio unafiq

    • @swalehahmed6579
      @swalehahmed6579 Год назад

      Hakuna alokulazimisha jiunge nao hao mawahabi wasokuwa na ilimu wala kujielewa wao mashekhe wenu walipwa na saudiya kupiga kelele zote

    • @Buddy9072
      @Buddy9072 11 месяцев назад

      فقد روى الإمام أحمد في مسنده عن العرباض ابن سارية، عن النبي صلى الله عليه وسلم، قال: إني عبد الله في أم الكتاب لخاتم النبيين، وأن آدم لمنجدل في طينته، وسأنبئكم بتأويل ذلك: دعوة أبي إبراهيم، وبشرى عيسى قومه، ورؤيا أمي التي رأت أنه خرج منها نور أضاءت له قصور الشام، وكذلك ترى أمهات النبيين صلوات الله عليهم. ورواه الحاكم وصححه، ووافقه الذهبي.
      Naomba mtafute Bafana akueleze hii hadithi au akudhaifishie pia ni sawa. Kisha ndio upime munayoelezwa na hawa watu yapo ama ni uzushi???
      Hebu Bafana akusomeshe hapo

  • @AminaDodios-ml2lv
    @AminaDodios-ml2lv Год назад +15

    Acheni kutuchekesha! kweli maulidi ni bidaa ilo wazi wanakatika chakacha mpaka basi. Bachu Allah azidi kuku hifadhi nash.wetu bafana Allah awahifadhi nyote ambao mnaitetea haki bila kumsahau swaiba wako Abu qatada mkono kwa mkono hadi peponi.

  • @omarsirleem7105
    @omarsirleem7105 Год назад +15

    mashaAllah ❤❤ vibano vitaendelea mpaka waingie kwenye line

    • @Mr.korongo
      @Mr.korongo Год назад

      Nadhani Mohammad ataanza kuingia kwenye line nanyi mtafata

  • @isackwaite-uf1zy
    @isackwaite-uf1zy Год назад +8

    MashaAllah sheikh bachu ❤❤❤

  • @yunusramadhan2546
    @yunusramadhan2546 Год назад +1

    Mashaallah shaikh bafana nakukubali sana Allah akuhifadh milele

  • @shuaibalula9003
    @shuaibalula9003 Год назад +1

    Mashaallah Allah awahifadhi mashekhe wetu wa Sunnah

  • @Yousouf-wn1qz
    @Yousouf-wn1qz Год назад +1

    Shehe Bafana Mungu akuhifathi

  • @MuhammedBalkiss
    @MuhammedBalkiss Год назад +3

    Mashaallah sheikh allah akujaliyemwishomwema nahakuhifadhi nakwasote watuwa sunna❤

  • @salehothman6144
    @salehothman6144 Год назад +5

    Mashekhe hawazungumii tena haki za waislamu ,jinsi wanavokandamizwa,watoto wanavoingizwa katk ushoga na usagaji,wanavo bebeshwa mada ya kulevya,watoto wa kiislam jinsi wanavoingizwa ktk biashara ya ukahaba ! mtihani sana mayahudi wanatucheka sana wametukamata ndipo!

    • @furahisana7733
      @furahisana7733 Год назад

      Bidaa ni uozo kuliko hayo uyazungumziayo bidaa hii ni laana kabisa hata ufanye ibada ipi kwa bidaa hutoboi isipokuwa kwa rehema ya Mola kukemea bidaa ni muhimu sana halafu si kila mmoja atazungumzia mada zile zile acha kila mtu apambane wakutanishe juhudi kuna wanayofanya hayo unayoyasema nilipo mimi kila ijumaa hakuna kinachobadirika isipokuwa tarehe tu mambo yale yale muda mwingine unaamua tu ukaswali kwengine hii ni challenge watu warudi kwa Allah

    • @Aboodjan4-
      @Aboodjan4- Год назад

      Zungumzia na wewe bas.
      Wenyewe alisha zungumzia hayo kitambo na mara kwa mara huwa wanayazungumzia.
      Pia masheikh wapo wengi sasa unataka wato wazungumzie mada moja kila siku????
      Halaf hao watoto unaowasemea wengi wao wamechagua hizo njia.
      Pia bi-daa isipozungumziwa si ndo watu watazid kupotea bila elim??!

    • @rashidsuleiman9253
      @rashidsuleiman9253 Год назад

      Bahati mbaya hapo hamna Sheikh ila shehena@@Aboodjan4-

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 Год назад +7

    Ni kwelo kabsa masheikh zungumzen msiste kurud nyuma hakika umma unaangamia

  • @Nusrat_Khalifa
    @Nusrat_Khalifa Год назад +1

    Kila kukucha huzidi 👌🏻👌🏻❤️ endeleeni kufanya Maulidi watu wajue kama kuna maulidi yaendelea 🥰 النبي حي في قلوبنا

  • @thetravelquestservices
    @thetravelquestservices Год назад +3

    Sheikh bhachu usijali tuko nawe kielimu na sio kishabiki umedhihirisha umma ukweli ulivyo na tumetosheka...sasa endelea na da`wah yako kama kawaida na tutakuhakikishia ile silsilah ya maulid tutakua nawe sambamba... Allaah akuhifadhi na akujaalie umri mrefu na hikmah na akulinde na kila aina ya hasad na balaa zozote.

  • @fay9687
    @fay9687 Год назад +3

    Inalilahiwainailahirajiuun hiyo kucheza mpaka chini ni Ngoma au taarabu 😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @kassamruzuru4913
    @kassamruzuru4913 Год назад

    Masha Allah ukwel utazid kudhihirika hawana majibu ya hoja 19. Wanasema sheikh Muhammad Bachu hana elmu na lugha inamsumbuwa lakin na masheikh wakubwa kumbe waliyaongelea hayo aceni bidaa maulid hayana ushahidi wowote

  • @sayidshion
    @sayidshion Год назад +5

    Allahu Bareek ya Sheikh❤

  • @tvalmoftahofficial5173
    @tvalmoftahofficial5173 Год назад +2

    Wa bida hawajali kumdaru mtume inalilaahi wainailehi rajiun

  • @عبدالناصر-ل4ج
    @عبدالناصر-ل4ج Год назад

    Maa Shaa Allah.
    Ulimwengu mzima Barzanji kulisomwa sana. Salalaahu waswalim aleyh

  • @saidikipoto1090
    @saidikipoto1090 Год назад +2

    Pole I mawahabi kweny hakuna tofauti kati yamsiba na harusi mda wooote mmenunu tu.tuacheni mtume wetu kama hataki kumtangaza ninyinyi.swalu ghannabii❤

    • @omarchaijefwa729
      @omarchaijefwa729 Год назад

      Mumeoza twarika hata alivyongolewa meno mtume muhammad saw hamuoni ju ya kuitetea dini nyinyi mwakata viuno tu

    • @bakariomari8758
      @bakariomari8758 Год назад +1

      Nadhani watu wa matwari Allah keshawatia muhuri mioyo yenu na masikio yenu. Ole wenu musiporudi kwenye sunnah. Waakhasraaa

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 Год назад +1

    Kweli kabisa sheikh wng Said Bafana , Dini ni ya ALLAH wala msiseme tutawaonyesha laah

  • @abuujureyjkhaniykhaniy9645
    @abuujureyjkhaniykhaniy9645 Год назад +3

    جزاكم الله خيرا و احسن الجزء
    أنا في الاجتماع
    في أمان الله

  • @ummy-vo6sp
    @ummy-vo6sp Год назад +12

    Mimi nimedata na sauti tu ya bafana alipo soma voice over ❤ sauti ya qarma Neema tupu

  • @AbdallahShariif
    @AbdallahShariif Год назад

    Laana ya Allah imshukie shekh bachu Inshallah kwa kutaka malipo kwa wa2 wa RUclips

    • @sulaimaanunda2840
      @sulaimaanunda2840 Год назад

      Muogope Muumba wako ww... mas-ala ya kulaani mtu kwa kutaka malipo ya RUclips ww yakuhusu na wapi.... mbona hao watu wenyewe wasilalamike hata walalamika ww.... usiwe mtu wa jazba, ukatumia ubakhili wako, uchoyo wako, ulemavu wako wa kiakili na ujinga wako kumlaani mtu ambaye ameambia watu ukweli.... yaani wataka kusema hio video inamfaidisha bachu pekeake na wala sio upande wa pili pili... ama hao wa upande wa pili wawatetea kwa kigezo gani wkt hao wenyewe wameshindwa kutetea nukta moja tuu kati ya nukta nyingi zilizo hitajika... FUATA UKWELI NA UACHE UPPUUZI NDUGU, hasira zitakupeleka pabaya!!!

    • @salimutwahiri3693
      @salimutwahiri3693 Год назад

      Nyinyi mnaita nashidi tamasha na sisi tunayaita maulidi wapumbavu nyinyi

  • @Mswahili-12
    @Mswahili-12 Год назад +6

    Wataelewa tu insha-allah.

    • @musarashid-xw1qm
      @musarashid-xw1qm Год назад

      Uliposema inshallah umemaliza tunasubili tofiki ya alla yeye allah umuongaza amtakae

    • @Nuru_ya_sunnah.official
      @Nuru_ya_sunnah.official Год назад

      In shaa allah pia Raddi zitaendelea mpaka masufi waache maulidi au wafe 😅😅

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Год назад

    Ebaaana❤ ni noma

  • @Salimsaid-nk1qv
    @Salimsaid-nk1qv Год назад +1

    Masha Allah

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 Год назад +6

    Sheikh upo sahihi

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Год назад +1

    Masha Allah ♥️ kumbe na huu sheikh nimtu wasunnah! Acha nika mfwatilie kwenye chanel yake

  • @abdulkarimmavuo645
    @abdulkarimmavuo645 Год назад +5

    Mwaabudu makaburi makhurafi na masheikh zenu,mwapiga twari ka wanawake,videvu hamufugi masenge nyoko nyinyi

    • @mbagaherbal4796
      @mbagaherbal4796 Год назад

      Wewe ndo Shetani mkubwa, unaetukana matusi eti nyoko. Nawe Mbwa basi

  • @rashidkhamis8282
    @rashidkhamis8282 Год назад

    Sira hamuijui mawahabi mnasomea ubishani tu

  • @adamkanja6449
    @adamkanja6449 Год назад

    Tupinge bida'aa,,, ❤❤

  • @khalifa_kuchi
    @khalifa_kuchi Год назад +1

    Saiv washaanzisha ligi eti kwa ajil ya kumsheherekea mtume yaan wamezid tena wameend ktk nyimbo na saiv washaanzisha ligi yaan mtihan mtupu ila tuwaombee dua allah awaongoze...

  • @saidilikoko291
    @saidilikoko291 Год назад

    Subhana llah sijaona dalili naona rai tu za hawa mashekh na kutokuwa na inswafi juu ya maulidi (elimu ???)

    • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
      @sanoureyaliwadoakaroyo1696 Год назад

      Et Ujaona Dalili Subhannallah Daah Bidaa Zimewadhiri Sana Unataka Dalili gni Ikiwa Matamasha Yenu Ya Maulidi hayaja dhibitika Kwenye Qur'an Wala Kwenye Adith Sahihi Sasa Wewe Una taka Dalili gani Mpuuzi wewe

  • @swalehahmad8947
    @swalehahmad8947 Год назад +3

    Maadamu hamutaki kusoma ilimu mutaendelea kupingapinga mawlidi na filhali munayo yenu muloyazusha kama hayo ya mawlidi lakini kwa sababu ya jahli na hawaa za nafsi hamuyaoni ...
    Tatizo lenu kubwa ni uhaba wa ilimu na ushujaa wa kusemasema

    • @nurdiniuledi48
      @nurdiniuledi48 Год назад

      Umese ukweli hakika Hawa nimahidali Kwa kusema ila ilmu hawana.

    • @abuuaisha6110
      @abuuaisha6110 Год назад

      Kama kuwa na ilimu ni huku wacha ikae 7:55

    • @swalehahmad8947
      @swalehahmad8947 Год назад

      @@abuuaisha6110
      Taassub haifai katika dini ... ilimu ndio muangaza wa dini yetu ili tusipotee na kupotezana

    • @furahisana7733
      @furahisana7733 Год назад

      Nami naona kaeli hapa kuna hawaa ya nafsi hakuna elimu ya kukubali mawlid hakuna hiko kitu na wewe mwenyewe shahidi isipokuwa tu ni Qibri hakuna manufaa anayopata mtu kukutahadhaeisha na hii bidaa isipokuwa anakupa mtihani ujue halafu ukaidi yeye kazi yake keshamaliza hataulizwa siku hiyo nadhani unaijua vizuri tusijishau ndugu katika uislamu

    • @abuuaisha6110
      @abuuaisha6110 Год назад

      ​@@swalehahmad8947ilimu ni nuru lakini ikiwa ilimu yako waitumia kuzua katika dini ya Allah itakuwa na maana gani ilimu yako?

  • @RaslaniAbedy-qs8vd
    @RaslaniAbedy-qs8vd Год назад +3

    watu wa sunna ibada zao zimekamilika kwa kufa mtume ila ibada za wazushi bado zitaendelea kwasababu wao hufuata wahyi wa shaitwaan

  • @OthmoneyH
    @OthmoneyH Год назад +5

    Masha Allah❤❤

  • @khamismwalim5604
    @khamismwalim5604 Год назад

    Maskini😋😋 Mawahab Wataman Msosi wa Maulidin!!!! nyinyi njoni tuu!! Sisi hatuna ubaya na Mtu🙌🙌

  • @mohamedabdallah431
    @mohamedabdallah431 Год назад +1

    Hatari elimu inahitajika

  • @amyassyassin7909
    @amyassyassin7909 Год назад +2

    NAMSHUKURU ALLAAH KUNITOA KATIKA MAJANGA YA MASUFI NA UZUSHI WAO

  • @mabruqjumamponda7629
    @mabruqjumamponda7629 Год назад +10

    MAULIDI ni Bidah na hizi dalili hapa.
    1. Mtume mwenyewe hakuyafanya akiwa hai.
    2. Hakuna aya ndani ya Quran takatifu kuhusu maulid.
    3. Mwanae wa kike Fatma (r.a) hakuyafanya.
    4. Maswahaba wote wanne hawakufanya.
    5. Wajukuu wa mtume wakufanya.
    6. Imekuja miaka mia saba bada ya Rasul kufa.
    7. Barzanji ame zaliwa 1716 juzi tuu mia mia tatu.
    Swali ni wamuamini vipi barzanji mtuzi wa mashahiri...salalaaa masufi hamuoni kwani nyie ni vipofu na viziwi?
    MAULIDI ni haramu mwisho wake ni motoni.
    Topokeni jamanini.
    Subhanaallah

    • @HamadMbarouk-xo9et
      @HamadMbarouk-xo9et Год назад

      Ikiwa huu ni uzushi nambie wapi mtume kafundisha mpira nambie na ni sahaba gani alikua goli kipa au shabiki

    • @mabruqjumamponda7629
      @mabruqjumamponda7629 Год назад +2

      @@HamadMbarouk-xo9et normally i don't reply to academic dwarfs swali lako halina msingi

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Год назад

      @@HamadMbarouk-xo9et ndo shida ya watu wa bidaa kwa akili yako ndo umejibu au swali au.

    • @rashidramadhani3142
      @rashidramadhani3142 Год назад

      We unauliza kuhusu mpira kwani mpira ni dini??

    • @rashidramadhani3142
      @rashidramadhani3142 Год назад

      ​@@HamadMbarouk-xo9etmpira sio dini

  • @muniraali3158
    @muniraali3158 Год назад +1

    Niulizee kwenye Quran mulitajiwa,swala ni ngapi na zikatajwa na rakaaa zake?

  • @nasoros.mgungo5502
    @nasoros.mgungo5502 Год назад +1

    Hadi Sasa sijasikia jibunla swali.
    ''Ni ITTIFAQ GANI ya Wanachuoni wa Elimu ya Hadithi waliosema kitabu kikiwa na hadithi Munkar Basi Kitabu hicho HUITWA Ni kitabu Cha Uongo au Mwandishi wa kitabu HUITWA Muongo?''
    Wote tuliotazama hulle MJADALA tuliona Sheikh Bachu hakujibu.

  • @abdishivo6764
    @abdishivo6764 Год назад +2

    Maasha Allah

  • @zawiaissa8912
    @zawiaissa8912 Год назад +2

    nikweli et ndy mana wakashikilia nkuta Moja tu ila tusha jua haki saivi na maulidi tushaacha Allah atusamehe na awaongoze watu wa bidaa waijue haki

  • @alumbulaisinda9746
    @alumbulaisinda9746 Год назад +5

    We kikojozi bado tuu unatafuta ushindi wakati ulishashindwa kitambo

    • @kassimsalim6160
      @kassimsalim6160 Год назад +1

      Hakuna atafutae kiki.....kma nyie mwatafuta ushindi ila Muhammad Bachu ataka watu wajue kua yote ni bidaa.....na sio heshima kumuita mwenzako kikojozi chuki hizo..... dini haiendi hivyo

    • @jumamahmoud9271
      @jumamahmoud9271 Год назад +2

      hakuna anaetafuta ushindi lengo ni watu kujua haqi.ushindi utaupata ukisha kufa ndio utaelewa umeshinda au laa

    • @kassimsalim6160
      @kassimsalim6160 Год назад +1

      @@jumamahmoud9271 Kabisaa maneno ya busara.....kuna masuulia kesho Allah atuongoze kwenye haqi

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 Год назад +3

      Yan nyny wapiga gitaa na piano mpo vzr sn kwa mnn ya kejeli na ufedhuli na kudhalilisha ndugu zenu, lkn kujibu hoja kwa dalili hamna...

    • @furahisana7733
      @furahisana7733 Год назад +1

      Kila mwanadamu ni mdhambi lakini basi maswali mengine tujipunguzie siku ya Qiyama tuache bidaa pia

  • @Khamishajj763
    @Khamishajj763 Год назад

    Saivi kuna mpaka kombe la mpira la mtume muhammad,( s a w ) yaaki jambo hili limenikera kwelikweli, hivi mtu anamzulia mtume muhammad ( s a w ) uongo halafu aachiwe tu ?

  • @athmanustadh9239
    @athmanustadh9239 Год назад +2

    إنِّي عبدُ اللهِ، وخاتَمُ النَّبيِّينَ، وأبي مُنجَدِلٌ في طينتِهِ وسأُخبرُكم عنْ ذلك: دعوةُ أبي إبراهيمَ، وبِشارةُ عيسى، ورُؤيا أُمِّي الَّتي رَأَتْ، وكذلك أُمَّهاتُ النَّبيِّينَ يَرَيْنَ». وأنَّ أُمَّ رسولِ اللهِ ﷺ رَأَتْ حين وضَعَتْهُ نورًا أَضاءتْ لها قصورُ الشّامِ، ثُمَّ تلا: ﴿يا أَيُّها النَّبِيُّ إِنّا أَرْسَلْناكَ شاهِدًا وَمُبَشِّرًا وَنَذِيرًا (٤٥) وَداعِيًا إِلى اللَّهِ بِإِذْنِهِ وَسِراجًا مُنِيرًا﴾ [الأحزاب: ٤٥، ٤٦].
    الراوي: عرباض بن سارية • الحاكم، المستدرك على الصحيحين (٣٦١٢) • صحيح الإسناد

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 Год назад

    Ati nyimbo za barzanji ...Sheikh Abdallah Saleh Farsy

  • @mohamedumri4176
    @mohamedumri4176 Год назад

    Jibu swali..

  • @fareedahmad6857
    @fareedahmad6857 Год назад

    Mikusanyiko ya kheri sh Bahero ni dini na thawab Allah anawapa waja wake tene anajifakharisha kwa mikusanyiko ya kheri... Thawabu hutoi wewe wala mie wala baba zetu wala mama zetu
    Wewe si muandishi wa thawabu
    Tusivamie mamlaka ya Allah

    • @abuuaisha6110
      @abuuaisha6110 Год назад

      Mtume amesema:
      من أحدث في أمرنا هذا ما ليس منه فهو رد
      Yoyote mwenye kuzua katika dini jambo ambalo halina asili ya quraan na hadithi, basi ataregeshewa mwenyewe.
      Maelezo:
      Kuzua katika dini kumekatazwa hairuhusiwi mtu kufanya ibada yoyote pasina kuwa na dalili kutoka kwenye quraan au hadithi, ibada yoyote ambayo inafanywa kinyume na mafundisho kutoka kwenye quraan na hadithi haikubaliwi wala haina thawabu bali ni dhambi na huenda mwenye kuifanya akakumbwa na adhabu siku ya kiyama kwa muujiju wa hadithi nyingine ya mtume
      كل بدعة ضلالة وكل ضلالة في النار
      Kila uzushi ni upotevu na kila upotevu motoni

  • @mohamedabdallah431
    @mohamedabdallah431 Год назад

    Inshallah tutafika

  • @mahmudali705
    @mahmudali705 Год назад +4

    Maulidi haikuanza leo wala jana tuheshimu ikhtilaf kila mmoja afuate anapo ona sawa lakini usimwiti mwisilamu mwenzako mushrik

    • @mgazamhina840
      @mgazamhina840 Год назад

      Hata kupigwa haikuanza leo,na kama Barazanj ingekuwa sawa tangia miaka hiyo ingetafasiriwa vizur kuwaka hayo majaz na kuifanya isiwe na mjadala tena lakini mpaka hamna bas,kuna shida ndani yake,hata maulidi ya zamani na sasa hivi ni tofauti sana,asaiv n ngoma kabisa

    • @abuuaisha6110
      @abuuaisha6110 Год назад

      Hakuna ikhtilafu katika maulid, kongamano ya wanazuoni maulid ni bid'a

    • @Munshid_Rajab
      @Munshid_Rajab Год назад

      hakuna ikhtilaaf kwenye jambo lililopo wazi...uongo upo wazi..ushirikina upo wazi..asa khilaaf gani kwenye shirk

    • @MohammadJumah-qk2xc
      @MohammadJumah-qk2xc Год назад

      Mtume hajafanya hiyana hata kidogo ktk kufikisha ibada kwa hiyo kama wew unaitakid maulid tupe dapeni dalili kama

    • @binaamour318
      @binaamour318 Год назад

      W munshid unaweza kuthibitisha huo ushirkina Kama c ushabik t ulionao? Hivi nyinyi mnadhani Kuna vitabu gani kilicho salama hakina makosa vilivo tungwa na wanachuoni ispokuw kur aan pekee bac

  • @abubakarmuhammadsaid3244
    @abubakarmuhammadsaid3244 Год назад

    Moja kati ya sifa za masufi Ahlul-Bidaa wal-hawaa ni uongo na uzushi

  • @rashidsuleiman9253
    @rashidsuleiman9253 Год назад

    mpe mtu fursa ya kusema ujue ujinga alionao. sheikh shukran tumekuelewa baada na wewe kusema.

  • @zawiaissa8912
    @zawiaissa8912 Год назад +7

    😂😂😂 mbn wanacheza mziki ndowanampenda mtume tu hivo duuuh Allah awaongoze kweli kweli

    • @Mr.korongo
      @Mr.korongo Год назад

      maada husika haikua namna watu wanavyo icheza Maulid. maada ni ukweli katika maulid. nilidhani ungeuliza wale wanaocheza wako sahihi au laa.
      wale hawako sahihi na maulid haijaelezwa kusherehekewa vile.
      Matendo ya mtu mmoja sio kigezo cha kusema maulid ni bidaaaa.
      niwaulize tyuu. ni kweli waislamu ni magaidi kutokana na imani za kigaidi za baadhi ya watu wanafanya matukio ya mauaji na kuitajwa ni wailamu?

  • @abuuaisha6110
    @abuuaisha6110 Год назад +2

    MashaAllah

  • @athumaniamiri3764
    @athumaniamiri3764 Год назад +2

    Bachu ulimifurahisha sana pale kwenye kiti haukua ukipayuka kama unavyo payukaga ukiwa kwenye membari zenu ila pale skuile ulikua wanywa maji tu

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot Год назад +2

    Hii ni vita baina ya Haqqi na batili, na batili haiteteeki hata mufanyeje, wazushi kueni na adabu basi

  • @abdulkareemsimba
    @abdulkareemsimba Год назад

    Tena miereka yaki sawa sawa

  • @HoodAnu
    @HoodAnu Год назад +2

    Wewe Bichwa bahlul

  • @humanitydensity8974
    @humanitydensity8974 Год назад +5

    Waislamu tuacheni mizozo...tusiifanye Dini kama biashara...mfano: waupande huu wako na brand ya samsung na upande mwengine wako na brand ya Iphone...kila mmoja anamuangalia mwenzake kasoro ndogo tu ndio nafasi yake ya kujenga jina na kufanikisha soko la biashara yake kwa kupaza sauti juu ya kasoro za mwenzake kuifanya ovu kabisa ila pengine sivyo bali nikwasababu tu ni washindani katika biashara...Khofu ni tusijetukaibinafsisha Dini...kwa kuifanya kama biashara baina yetu!

    • @furahisana7733
      @furahisana7733 Год назад +5

      Bidaa si kasoro ndogo hili linampeleka mtu motoni moja kwa moja kukemea bidaa ni muhimu sana

    • @suleymansalim5732
      @suleymansalim5732 Год назад +3

      Watu wanakujuza haki ya Dini wewe unaona wanafanya biashara sijui kama utaelewa

    • @hanifatanzania7258
      @hanifatanzania7258 Год назад +2

      Sikiloza alafu fikilia lakuandika bidaa ww unaiyona zambi ndogo. Kwahiyo upotayali. Kizazichako kialibiwe. Laazima. Likemewe hili jambo katri ya uwezo wao na ss pia tuwanass familiazetu

    • @shadyaaboud2405
      @shadyaaboud2405 Год назад

      Umesema kweli

    • @humanitydensity8974
      @humanitydensity8974 Год назад

      @@suleymansalim5732 ushauri wangu ni tanbihi tu...Maa Shaa Allaah Haki ndio tegemezi sahihi kabisa ila ina mizizi yake na ni chungu katika ladha na kwa wizani ni nzito kama jabali, wewe unaye ibeba sio rahisi na yule unaemkusudia pia kwake sio rahisi...lazima iwepo mizani!

  • @abuuaisha6110
    @abuuaisha6110 Год назад +5

    Hawawezi suna ya kufunga kama alivofunga mtume siku ya jumatatu siku aliyozaliwa wamefungua midomo kama chewa kwa ubwabwa😂

  • @Abuunuwayra
    @Abuunuwayra Год назад +1

    Hii Ni Shirki Sio Ikhtalafu Hapa hawa nkama Mushriki wa kawaida

  • @zeitunMohammed
    @zeitunMohammed Год назад +4

    Sheikh ww na kichwa chako hicho manii wamekufa kutambo,mtume wetu kawatoa wapi akawasalisha ndani ya baitul maqdis hali ya kuwa wamekufa kama wauliza kuwepo kwa asiya kwa mazazi ta mtume?

    • @saidmadizi9152
      @saidmadizi9152 Год назад +2

      Lakn Hilo alifanya mtume mwenyewe na akaelezea ndio manatunamini,je hili lkuja kw Asia n wenzie nani alisema km c uwongo

    • @abuuaisha6110
      @abuuaisha6110 Год назад +1

      Jambo ambalo linanamuhusu mtume lilokuja kwa dalili kutoka kwenye quraan na hadithi sahihi hatunabudi kuliamini, lakini jambo ambalo halina dalili kutoka quraan na hadithi sahih hilo tunalazimika kulikataa na sio makosa
      Kuita uongo

    • @kylesmeight4837
      @kylesmeight4837 Год назад +1

      ​@@saidmadizi9152Mung hashindwi na jambo lkn hlo la kna Asia kuja halina ushahid ndy tatzo lnapoanza

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 Год назад +1

      Shekhe cc tunajua kwamba kwa Allah kila jmb linawezekana kwaiyo ilo la kuja Asya na Maryam linawezekana tena sn tu, suali hapa n jeeee limethibiti wapi ili ucwe n uongo???

  • @NajibAli-l3u
    @NajibAli-l3u Год назад +3

    MBONA HAMUTOI DALILI ZA KUPINGA... MWASEMA KIAKILI ... DINI HAIENDI KIAKILI YAENDA KIDALILI

    • @saidsobongo912
      @saidsobongo912 Год назад

      Kupinga hivi unajua maana yake mtu akisema kitu fulan hakuna ndio kashapinga kwahvo kitu kupinga sio mpaka uletewe makaratac
      Wewe chamsingi ukiambiwa simu sio yako wewe thibitisha kwa kutoa fingerprint bac lakn ukianza story hueleweki

    • @abuuaisha6110
      @abuuaisha6110 Год назад +2

      Hivi wewe ukiambiwa ulete dalili ya kutofaa kuswali rakaa nne katika swala ya maghrib waeza leta dalili? anaetakiwa kuleta dalili ni aliyeleta jambo wala sio anaepinga, wewe unadai gari ni lako utaulizwa logbook, hii ni mifano ya kidunia tu kwenye dini ndio usisema, hatuna nafasi yakuengeza katika dini ibada yoyote ampaka iwe na dalilii sio kujibunia tu bila ya dalili.

    • @MwinyiJuma-ce3eq
      @MwinyiJuma-ce3eq Год назад

      ​@@abuuaisha6110hapana nyote mwatakiwa kutoa dalili anaekubali na anae kataa ndg yangu owo mtizamo wako nauheshim lkn si uwafiki.

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 Год назад +1

      Dalili mbn zipo nyingi sana tena sn lkn kubwa n ile kua hayakuthibiti ktk Qur'an, hadithi, sunna na mienendo ya waliobora zaidi yetu..

    • @abdulmohd6880
      @abdulmohd6880 Год назад +1

      Hivi ikiwa mmb yametolewa ktk hicho kitabu chenu cha Maulidi na yakaitwa kua n mmb ya uongo, na ktk hadithi sahihi Mtume asema "mwenye kunicngizia mm uongo makaazi yake n motoni" ss hapa ama mujikubalishe kua ktk watu wanaomcngizia uongo Mtume au muje na dalili za kuonyesha kua hayo yaliyoitwa kua n ya uongo c uongo na ya kwl kwa hoja hizi baaaaas🎉

  • @hemedisaidi9023
    @hemedisaidi9023 Год назад +4

    Ndugu zangu waislam tuache mchezo na dini ya Allah haqi ni haqi hata kama Hawa masufi wako wengi huo sio ushindi kwao Bali ni hatari sana kwao sheikh saaid bafanah huyu ndo kajua Nini maana ya elim na haqi Iko wapi sio sheikh diwani Al kubrah na yule wa Kenya Yuko mamrui mjinga kama yeye hakuna namuomba Allah awape haki katika nafsi zao twarika acheni mchozo na dini ya Allah kaburi sio mbali nayusia nafsi yangu pamoja na ndugu zangu waislam

    • @Mr.korongo
      @Mr.korongo Год назад

      sikuzote Wahabi mnajikuta mnaweza kutukana

  • @mohammedmasudi-dz6hb
    @mohammedmasudi-dz6hb Год назад +4

    BACHU HAWA WATU WASIKUUMIZE KICHWA WATU TUSHA ELIMIKA TAAALI

  • @iddimohamed254
    @iddimohamed254 Год назад

    Iyo part ya bahero ndio imenigusa miaka 600 mtu anatuletea maulidi alaf wanasema ni ibada...ukiwauliza dalili wanaleta story mingi.yani shehk bachu usichoke kutuelisha ili jambo limeharibu watu wengi mno...

  • @mussakhamis-g8c
    @mussakhamis-g8c Год назад +1

    MAWAHABI UKIWATAJIA BIDAA WANAZOFANYA WAO WATAZITETEA MPAKA KIPOVU CHA MDOMO KITAWATOKA JAPO HAWANA AYA WALA HADITHI EG. KUTOA HOTUBA YA IJUMAA KWA KISWAHILI

  • @saidikipoto1090
    @saidikipoto1090 Год назад

    Kingine hamna jipya zaidi yachuki hata daghawa yenu hainaga ladha hii nidini sio siyasa.lau ungekuwa natabiya mbaya mwenye roho mbaya watu wangekukimbia.,,

    • @Nuru_ya_sunnah.official
      @Nuru_ya_sunnah.official Год назад

      Kakaa huku kwenye sunnah ni kutamu sana na sisi tulikua tunaosoma maulidi lkn Sasa tumeacha tuna enjoy kuwa wanasunnah

  • @fadhilmawazo9009
    @fadhilmawazo9009 Год назад

    Tutamsalia kwa kishindo, endeleeni kuporojaaaaa

  • @mohamedmanga8391
    @mohamedmanga8391 Год назад

    Hawa wana udhaifu wa fikra, maulid yanawaleta waislamu pamoja, hawa kibri kingi na ubinafsi

    • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
      @sanoureyaliwadoakaroyo1696 Год назад

      Weee Mpuuzi Sna Nani Alikuambia ivyoo Ndivyo Ujinga wenu Mlivyo Aminishwa Et Maulidi Yanaleta Waislam Pamoja Shit Point Kijinga kabisa Iv Mtume Muhammad S,w Haliwaleta Waislam Pamoja Wakati Kupitia Matamasha Ya Maulidi 😂😂 Atuwezi Kunyamaza Kuona Dini Ya Haki Ilio Kamilika Kisha Tuone Wapuuzi Wanaichavua Kisha Tukae kimya Jambo Ambalo Halikubaliki kabisa Tutakapo Nyamaza Kesho Masuni Tutaulizwa Juuu Ya kuona Mtume Muhammad S,w Anazulia mambo Ambayo Akufanya kisha Mmenyamaza ili Hali Tunajuwa Kwaiyoo Atuta Nyamaza kabisa Kumchavua Mtume Muhammad S,w

  • @alamoodyfauzi9658
    @alamoodyfauzi9658 Год назад

    Kabla ya kuangalia hii video nilikua ahlu sunnah wal jama³a nasherehekea maulidi lakini sasa bado niko ahlu sunnah wsljama³a na nazidi kuyasherehekea maulidi

  • @maktab3679
    @maktab3679 Год назад

    Kumbe ulisoma maulidi we pia ?

  • @fay9687
    @fay9687 Год назад +1

    Pilau watapata wapii wakiwacha maulidi watu hapo ndio wanaponea wanaimba imba baadae pilau bidaaa tupu na kufru

    • @FatmaSebe
      @FatmaSebe Год назад

      😅😅😅wee watha mchezo weye...pilau n chakula hupewa watu km swadaka ...kwaio kutoa swadaka pia n bidaa...nyiee nenden mukasome achaen ushabk katka DNI😂 SubhanaLLAH

  • @issamohammednassor8688
    @issamohammednassor8688 Год назад +4

    Mawahabi ufahamu wenu ni bora mbuzi anaweza akawa muelewa kuliko nyie nyie mmenyimwa ufahamu na elimu we ungesema tu sijui mbona hujasema hujui ulijua kama umekamwa kama yale uloyaandaa yte yamekwamaaa

    • @Captainome
      @Captainome Год назад

      Sasa kama ufahamu ni mgumu mbona hamfahishi watu 3hrs hata ibara moja kashindwa kunuku hayaa hata HADITH DHWAIF MMEPEWA OFFER MTUMIE LAKINI WAPI.TULINE UMMA UTAMBUE hakki kupitia mashekh.

    • @isackwaite-uf1zy
      @isackwaite-uf1zy Год назад

      Sheikh bachu esta no bom caminho, bachu yuko sahihi ww n gumu wakuwelwa. Por favor vai estudar pouco Allah vai te dar bom inderesso

  • @jabirhussein4180
    @jabirhussein4180 Год назад +1

    Sisi bado twangojea itifaq ya wanazuoni kwamba hadithi ikiwa dhaifu yaitwa uongo!

  • @ABUUALLY-j7k
    @ABUUALLY-j7k Год назад

    Mimi naamini kwamba wanyama wanaweza kuongeaaa tena sina shaka katka jambo hilooo sasa kama nyinyi munashaka basi pia kuweni na shaka pia mazazi ya nabii issa kwa sababu kama mwenyezimungu kaweza kufanya miujizaa katka mazazi ya nabii issa vipi ashindwe kufanya miujiza katka mazazi ya mtume s.a.w !

    • @ABUUALLY-j7k
      @ABUUALLY-j7k Год назад

      😂😂😂😂 yaani wallah hojaa mulizo nazo zakitoto kabisaa ! Hii yote inaonesha wazi kuwa Badoo wadogo sana kwenye elimu ! Nendeni Mombasa mkasoneshweee ! Yaani mungu kakupeni kipaji Cha kuporojaa tuuu maneno mengii ila hojaa hamuna za msingii! Yaani unashangaa wanyama kuongea katika mimba ya mtume na wakati qur Ani inatwambiaa wanyama wanaongeaa!

  • @salehothman6144
    @salehothman6144 Год назад +1

    Yaani saivi mitandao ya kijamii dini ya kiislamu imehamia kutukanana na kukejeliana tu hakuna tena elimu inayopatikana ,kila mtu anaonesha uhodari wa kuongeaa na kuwa yeye ni msomi kuliko mwengine!!

    • @tamashamagoma2941
      @tamashamagoma2941 Год назад

      Tumekuwa umma Bora kwa sababu ya kuamrishana mema na kukatazana uovu. Ubaya hauwezi ukaachwa hivihivi. Msione vibaya mkiambiwa Kweli. Fuata haki ndugu yangu

    • @hassanmsumari1200
      @hassanmsumari1200 Год назад

      Haki ibanishwe akili kichwani mwako huu sio ukristo au ushia

    • @abuuaisha6110
      @abuuaisha6110 Год назад

      Mtume alipotumilizwa, alipowalingania makureshi, baadhi yao wakasema kuwa Muhammad anawatukana miungu, ndani ya barazanji kuna uongo na ushirikina mashekh wakisimama kuyazungumza hayo mwasema mashek wanatukana

    • @salehothman6144
      @salehothman6144 Год назад

      Katika mtaa wako kuna majirani wangapi hawaswali ,kuna ndugu zako wangapi hawaswali ,kuna watoto wangapi wanaishi katika mazingira magumu sababu wazee wao wametengana au wamefariki bada ya muda wanabakwa na kulawitiwa ,wafanyaji ni waislamu,na wanaofanyiwa ni wasilaamu,kwa nn tusijikite huku,tukaweka mjadala tukajua tunatatua vipi changamoto zao,sisi tumewekwa ktk sehem ya kupigana madongo,wakiristo wanajadili mambo ya msingi ktk kueneza injili yao na kuwa na maisha bora!

    • @salehothman6144
      @salehothman6144 Год назад

      Namkumbuka sana sheikh Mohamed Rogo na Ustadh Ilunga hakuna aliyevaa viatu vyao mwenyezi mungu awalipe malipo makubwa sana kwa kazi waliofanya!

  • @Hunger388
    @Hunger388 3 месяца назад

    ❤❤❤❤

  • @AthumanJuma-hg2cl
    @AthumanJuma-hg2cl Год назад

    Wambie wameerewa shukurani

  • @alumbulaisinda9746
    @alumbulaisinda9746 Год назад

    Bado povu linakutoka kukojozi we .
    Sasa ulifanya jambo kwaajili ya Mungu au kushinda.

    • @furahisana7733
      @furahisana7733 Год назад

      Allah atuongoze lakini lengo letu nikuona ndugu zetu mkaacha bidaa na kumfata mtume na mafunzo alokuja nayo

  • @mubaarakellofiy
    @mubaarakellofiy 11 месяцев назад

    Maulidi anayo pigania shkh mohd bachu kweli sio sahihi
    , lkn ndugu zetu wakiibadhi Wafanya maulidi kwa nia ya kukumbushana sira y bwana mtume na iyo inafaaa, sio kama hawaisomi sira ispokuwa ktk maulidi laa, bali wanazidisha

  • @JahiOmar-i8f
    @JahiOmar-i8f Год назад +1

    Usitukane kasome ufahamu wote ni wasomi sikiliza huyu na huyu

  • @mohamedumri4176
    @mohamedumri4176 Год назад

    Kama haujui sema si ju i

  • @aliykhamisi1431
    @aliykhamisi1431 Год назад

    بارک الله فیک

  • @abdallahshabani710
    @abdallahshabani710 Год назад +1

    Bado hamjasema... tutayasomaaa sana mwaka huuu😅😅😅😅😅

    • @AllyAhmad-zg2yp
      @AllyAhmad-zg2yp Год назад +1

      Hata zinaa, shirking, wizi, uongo,namengine ni dhambi za wazi na watu wote wanajua wsla haxitak dalili lakini hawaachi ingawaje Allah amekemea ktk kuran illa ujumbe umefikaaaaaaa

    • @abuuaisha6110
      @abuuaisha6110 Год назад

      ​@@AllyAhmad-zg2ypumesema kweli

    • @furahisana7733
      @furahisana7733 Год назад +1

      Allah akuongoze ila tambua hiyo ni bidaa ndugu yetu katika uislamu si kwa manufaa yetu bali kwako siku utaposimama na kuulizwa ibada hii uliitoa wapi sidhani kama utakuwa na majibu tuache kibri hilo ni vazi la Allah jitoe kwenye hii shubha na Allah atakulipa inshaallah.

  • @ahmadymuhina6546
    @ahmadymuhina6546 Год назад +1

    Huyu shekh haelewi anachokizungumzaa

  • @MohaMody-jf1zh
    @MohaMody-jf1zh Год назад

    Allah awaongoze chuki yenu ni kwa mtume

    • @issahassan8361
      @issahassan8361 Год назад

      Shekhe nenda darsa japo cku moja usiongee tu
      Hii ni dini ya haki ipo na dalili zke .

  • @swalehahmed6579
    @swalehahmed6579 Год назад

    Hawa mawahabi wanachuki na mtume kitu kinacho wakera ni kusifiwa na kusherehekewa kwa mtume basi kufeni na machungu yenu

  • @mapishinasherry7671
    @mapishinasherry7671 Год назад +3

    Upofu wa haki ni mtihani mkubwa. Uongofu unatoka kwa Allah peke yake. Mambo yako bayana lakini yanafunikwa na batil

  • @zahakiosward1575
    @zahakiosward1575 Год назад

    Habari njema ni kuwa YESU anatupenda mwaminini YESU tu ndugu zangu

    • @RedmiNote7-w3t
      @RedmiNote7-w3t Год назад

      tunamwamini ila hatumuabudu sababu ni mwanadamu si Mwenyezi Mungu wala si mwana wa Mungu

  • @Buddy9072
    @Buddy9072 11 месяцев назад

    فقد روى الإمام أحمد في مسنده عن العرباض ابن سارية، عن النبي صلى الله عليه وسلم، قال: إني عبد الله في أم الكتاب لخاتم النبيين، وأن آدم لمنجدل في طينته، وسأنبئكم بتأويل ذلك: دعوة أبي إبراهيم، وبشرى عيسى قومه، ورؤيا أمي التي رأت أنه خرج منها نور أضاءت له قصور الشام، وكذلك ترى أمهات النبيين صلوات الله عليهم. ورواه الحاكم وصححه، ووافقه الذهبي.
    Naomba mtafute Bafana akueleze hii hadithi au akudhaifishie pia ni sawa. Kisha ndio upime munayoelezwa na hawa watu yapo ama ni uzushi???
    Na hii hadithi Bafana ataidhoofisha vipi ama ataifahamisha vipi, ama hakuwa ameiona?

  • @mj.tv.forpeople992
    @mj.tv.forpeople992 Год назад

    Chunguza mengii, wanazusha kama walivyo zusha haya, yasiyo na faida

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 Год назад

    Hayo ndio mahaba ya kumpenda mtume alafu shekhe kasome ludi darasani wewe bado huna elimu

  • @nurdiniuledi48
    @nurdiniuledi48 Год назад +1

    Kasome shekh elimu yako ni ndogo mno hata sisi tusio mashekh tumekugundua katka usomaji wako.

    • @abuuaisha6110
      @abuuaisha6110 Год назад

      Kusoma alafu kuzua na kubuni ibada za maulid na khurafaata zingine haina maana ilimu hiyo

    • @abuuaisha6110
      @abuuaisha6110 Год назад +1

      Aafdhali niwe na ilimu ndogo nikiwa katika suna alietuachia mtume(swa) kuliko kuwa na ilimu kubwa nizue katika dini ya Allah, wal 3iyaadhu billahi min dhaalika

    • @furahisana7733
      @furahisana7733 Год назад

      Subhanallah Allah akuongoze na akuepush na bidaa tuepuke huu mtihani wote inshaallah

  • @HemzTmT
    @HemzTmT Год назад

    Mashallah🤲🏻
    Tom & Jerry waliongea kiarabu??😂😂😂

  • @AishaSwaleh-z4p
    @AishaSwaleh-z4p Год назад

    sheikh... si ungemhimiza bachu aseme sijui wangeendelea mbele??

  • @tanzaniaonmzamiloon8627
    @tanzaniaonmzamiloon8627 Год назад

    Acha bange wakijishekh