فقد روى الإمام أحمد في مسنده عن العرباض ابن سارية، عن النبي صلى الله عليه وسلم، قال: إني عبد الله في أم الكتاب لخاتم النبيين، وأن آدم لمنجدل في طينته، وسأنبئكم بتأويل ذلك: دعوة أبي إبراهيم، وبشرى عيسى قومه، ورؤيا أمي التي رأت أنه خرج منها نور أضاءت له قصور الشام، وكذلك ترى أمهات النبيين صلوات الله عليهم. ورواه الحاكم وصححه، ووافقه الذهبي. Naomba mtafute Bafana akueleze hii hadithi au akudhaifishie pia ni sawa. Kisha ndio upime munayoelezwa na hawa watu yapo ama ni uzushi??? Hebu Bafana akusomeshe hapo
Acheni kutuchekesha! kweli maulidi ni bidaa ilo wazi wanakatika chakacha mpaka basi. Bachu Allah azidi kuku hifadhi nash.wetu bafana Allah awahifadhi nyote ambao mnaitetea haki bila kumsahau swaiba wako Abu qatada mkono kwa mkono hadi peponi.
Mashekhe hawazungumii tena haki za waislamu ,jinsi wanavokandamizwa,watoto wanavoingizwa katk ushoga na usagaji,wanavo bebeshwa mada ya kulevya,watoto wa kiislam jinsi wanavoingizwa ktk biashara ya ukahaba ! mtihani sana mayahudi wanatucheka sana wametukamata ndipo!
Bidaa ni uozo kuliko hayo uyazungumziayo bidaa hii ni laana kabisa hata ufanye ibada ipi kwa bidaa hutoboi isipokuwa kwa rehema ya Mola kukemea bidaa ni muhimu sana halafu si kila mmoja atazungumzia mada zile zile acha kila mtu apambane wakutanishe juhudi kuna wanayofanya hayo unayoyasema nilipo mimi kila ijumaa hakuna kinachobadirika isipokuwa tarehe tu mambo yale yale muda mwingine unaamua tu ukaswali kwengine hii ni challenge watu warudi kwa Allah
Zungumzia na wewe bas. Wenyewe alisha zungumzia hayo kitambo na mara kwa mara huwa wanayazungumzia. Pia masheikh wapo wengi sasa unataka wato wazungumzie mada moja kila siku???? Halaf hao watoto unaowasemea wengi wao wamechagua hizo njia. Pia bi-daa isipozungumziwa si ndo watu watazid kupotea bila elim??!
Sheikh bhachu usijali tuko nawe kielimu na sio kishabiki umedhihirisha umma ukweli ulivyo na tumetosheka...sasa endelea na da`wah yako kama kawaida na tutakuhakikishia ile silsilah ya maulid tutakua nawe sambamba... Allaah akuhifadhi na akujaalie umri mrefu na hikmah na akulinde na kila aina ya hasad na balaa zozote.
Masha Allah ukwel utazid kudhihirika hawana majibu ya hoja 19. Wanasema sheikh Muhammad Bachu hana elmu na lugha inamsumbuwa lakin na masheikh wakubwa kumbe waliyaongelea hayo aceni bidaa maulid hayana ushahidi wowote
Muogope Muumba wako ww... mas-ala ya kulaani mtu kwa kutaka malipo ya RUclips ww yakuhusu na wapi.... mbona hao watu wenyewe wasilalamike hata walalamika ww.... usiwe mtu wa jazba, ukatumia ubakhili wako, uchoyo wako, ulemavu wako wa kiakili na ujinga wako kumlaani mtu ambaye ameambia watu ukweli.... yaani wataka kusema hio video inamfaidisha bachu pekeake na wala sio upande wa pili pili... ama hao wa upande wa pili wawatetea kwa kigezo gani wkt hao wenyewe wameshindwa kutetea nukta moja tuu kati ya nukta nyingi zilizo hitajika... FUATA UKWELI NA UACHE UPPUUZI NDUGU, hasira zitakupeleka pabaya!!!
Saiv washaanzisha ligi eti kwa ajil ya kumsheherekea mtume yaan wamezid tena wameend ktk nyimbo na saiv washaanzisha ligi yaan mtihan mtupu ila tuwaombee dua allah awaongoze...
Et Ujaona Dalili Subhannallah Daah Bidaa Zimewadhiri Sana Unataka Dalili gni Ikiwa Matamasha Yenu Ya Maulidi hayaja dhibitika Kwenye Qur'an Wala Kwenye Adith Sahihi Sasa Wewe Una taka Dalili gani Mpuuzi wewe
Maadamu hamutaki kusoma ilimu mutaendelea kupingapinga mawlidi na filhali munayo yenu muloyazusha kama hayo ya mawlidi lakini kwa sababu ya jahli na hawaa za nafsi hamuyaoni ... Tatizo lenu kubwa ni uhaba wa ilimu na ushujaa wa kusemasema
Nami naona kaeli hapa kuna hawaa ya nafsi hakuna elimu ya kukubali mawlid hakuna hiko kitu na wewe mwenyewe shahidi isipokuwa tu ni Qibri hakuna manufaa anayopata mtu kukutahadhaeisha na hii bidaa isipokuwa anakupa mtihani ujue halafu ukaidi yeye kazi yake keshamaliza hataulizwa siku hiyo nadhani unaijua vizuri tusijishau ndugu katika uislamu
MAULIDI ni Bidah na hizi dalili hapa. 1. Mtume mwenyewe hakuyafanya akiwa hai. 2. Hakuna aya ndani ya Quran takatifu kuhusu maulid. 3. Mwanae wa kike Fatma (r.a) hakuyafanya. 4. Maswahaba wote wanne hawakufanya. 5. Wajukuu wa mtume wakufanya. 6. Imekuja miaka mia saba bada ya Rasul kufa. 7. Barzanji ame zaliwa 1716 juzi tuu mia mia tatu. Swali ni wamuamini vipi barzanji mtuzi wa mashahiri...salalaaa masufi hamuoni kwani nyie ni vipofu na viziwi? MAULIDI ni haramu mwisho wake ni motoni. Topokeni jamanini. Subhanaallah
Hadi Sasa sijasikia jibunla swali. ''Ni ITTIFAQ GANI ya Wanachuoni wa Elimu ya Hadithi waliosema kitabu kikiwa na hadithi Munkar Basi Kitabu hicho HUITWA Ni kitabu Cha Uongo au Mwandishi wa kitabu HUITWA Muongo?'' Wote tuliotazama hulle MJADALA tuliona Sheikh Bachu hakujibu.
Hakuna atafutae kiki.....kma nyie mwatafuta ushindi ila Muhammad Bachu ataka watu wajue kua yote ni bidaa.....na sio heshima kumuita mwenzako kikojozi chuki hizo..... dini haiendi hivyo
Saivi kuna mpaka kombe la mpira la mtume muhammad,( s a w ) yaaki jambo hili limenikera kwelikweli, hivi mtu anamzulia mtume muhammad ( s a w ) uongo halafu aachiwe tu ?
Mikusanyiko ya kheri sh Bahero ni dini na thawab Allah anawapa waja wake tene anajifakharisha kwa mikusanyiko ya kheri... Thawabu hutoi wewe wala mie wala baba zetu wala mama zetu Wewe si muandishi wa thawabu Tusivamie mamlaka ya Allah
Mtume amesema: من أحدث في أمرنا هذا ما ليس منه فهو رد Yoyote mwenye kuzua katika dini jambo ambalo halina asili ya quraan na hadithi, basi ataregeshewa mwenyewe. Maelezo: Kuzua katika dini kumekatazwa hairuhusiwi mtu kufanya ibada yoyote pasina kuwa na dalili kutoka kwenye quraan au hadithi, ibada yoyote ambayo inafanywa kinyume na mafundisho kutoka kwenye quraan na hadithi haikubaliwi wala haina thawabu bali ni dhambi na huenda mwenye kuifanya akakumbwa na adhabu siku ya kiyama kwa muujiju wa hadithi nyingine ya mtume كل بدعة ضلالة وكل ضلالة في النار Kila uzushi ni upotevu na kila upotevu motoni
Hata kupigwa haikuanza leo,na kama Barazanj ingekuwa sawa tangia miaka hiyo ingetafasiriwa vizur kuwaka hayo majaz na kuifanya isiwe na mjadala tena lakini mpaka hamna bas,kuna shida ndani yake,hata maulidi ya zamani na sasa hivi ni tofauti sana,asaiv n ngoma kabisa
W munshid unaweza kuthibitisha huo ushirkina Kama c ushabik t ulionao? Hivi nyinyi mnadhani Kuna vitabu gani kilicho salama hakina makosa vilivo tungwa na wanachuoni ispokuw kur aan pekee bac
maada husika haikua namna watu wanavyo icheza Maulid. maada ni ukweli katika maulid. nilidhani ungeuliza wale wanaocheza wako sahihi au laa. wale hawako sahihi na maulid haijaelezwa kusherehekewa vile. Matendo ya mtu mmoja sio kigezo cha kusema maulid ni bidaaaa. niwaulize tyuu. ni kweli waislamu ni magaidi kutokana na imani za kigaidi za baadhi ya watu wanafanya matukio ya mauaji na kuitajwa ni wailamu?
Waislamu tuacheni mizozo...tusiifanye Dini kama biashara...mfano: waupande huu wako na brand ya samsung na upande mwengine wako na brand ya Iphone...kila mmoja anamuangalia mwenzake kasoro ndogo tu ndio nafasi yake ya kujenga jina na kufanikisha soko la biashara yake kwa kupaza sauti juu ya kasoro za mwenzake kuifanya ovu kabisa ila pengine sivyo bali nikwasababu tu ni washindani katika biashara...Khofu ni tusijetukaibinafsisha Dini...kwa kuifanya kama biashara baina yetu!
Sikiloza alafu fikilia lakuandika bidaa ww unaiyona zambi ndogo. Kwahiyo upotayali. Kizazichako kialibiwe. Laazima. Likemewe hili jambo katri ya uwezo wao na ss pia tuwanass familiazetu
@@suleymansalim5732 ushauri wangu ni tanbihi tu...Maa Shaa Allaah Haki ndio tegemezi sahihi kabisa ila ina mizizi yake na ni chungu katika ladha na kwa wizani ni nzito kama jabali, wewe unaye ibeba sio rahisi na yule unaemkusudia pia kwake sio rahisi...lazima iwepo mizani!
Sheikh ww na kichwa chako hicho manii wamekufa kutambo,mtume wetu kawatoa wapi akawasalisha ndani ya baitul maqdis hali ya kuwa wamekufa kama wauliza kuwepo kwa asiya kwa mazazi ta mtume?
Jambo ambalo linanamuhusu mtume lilokuja kwa dalili kutoka kwenye quraan na hadithi sahihi hatunabudi kuliamini, lakini jambo ambalo halina dalili kutoka quraan na hadithi sahih hilo tunalazimika kulikataa na sio makosa Kuita uongo
Shekhe cc tunajua kwamba kwa Allah kila jmb linawezekana kwaiyo ilo la kuja Asya na Maryam linawezekana tena sn tu, suali hapa n jeeee limethibiti wapi ili ucwe n uongo???
Kupinga hivi unajua maana yake mtu akisema kitu fulan hakuna ndio kashapinga kwahvo kitu kupinga sio mpaka uletewe makaratac Wewe chamsingi ukiambiwa simu sio yako wewe thibitisha kwa kutoa fingerprint bac lakn ukianza story hueleweki
Hivi wewe ukiambiwa ulete dalili ya kutofaa kuswali rakaa nne katika swala ya maghrib waeza leta dalili? anaetakiwa kuleta dalili ni aliyeleta jambo wala sio anaepinga, wewe unadai gari ni lako utaulizwa logbook, hii ni mifano ya kidunia tu kwenye dini ndio usisema, hatuna nafasi yakuengeza katika dini ibada yoyote ampaka iwe na dalilii sio kujibunia tu bila ya dalili.
Hivi ikiwa mmb yametolewa ktk hicho kitabu chenu cha Maulidi na yakaitwa kua n mmb ya uongo, na ktk hadithi sahihi Mtume asema "mwenye kunicngizia mm uongo makaazi yake n motoni" ss hapa ama mujikubalishe kua ktk watu wanaomcngizia uongo Mtume au muje na dalili za kuonyesha kua hayo yaliyoitwa kua n ya uongo c uongo na ya kwl kwa hoja hizi baaaaas🎉
Ndugu zangu waislam tuache mchezo na dini ya Allah haqi ni haqi hata kama Hawa masufi wako wengi huo sio ushindi kwao Bali ni hatari sana kwao sheikh saaid bafanah huyu ndo kajua Nini maana ya elim na haqi Iko wapi sio sheikh diwani Al kubrah na yule wa Kenya Yuko mamrui mjinga kama yeye hakuna namuomba Allah awape haki katika nafsi zao twarika acheni mchozo na dini ya Allah kaburi sio mbali nayusia nafsi yangu pamoja na ndugu zangu waislam
Iyo part ya bahero ndio imenigusa miaka 600 mtu anatuletea maulidi alaf wanasema ni ibada...ukiwauliza dalili wanaleta story mingi.yani shehk bachu usichoke kutuelisha ili jambo limeharibu watu wengi mno...
MAWAHABI UKIWATAJIA BIDAA WANAZOFANYA WAO WATAZITETEA MPAKA KIPOVU CHA MDOMO KITAWATOKA JAPO HAWANA AYA WALA HADITHI EG. KUTOA HOTUBA YA IJUMAA KWA KISWAHILI
Kingine hamna jipya zaidi yachuki hata daghawa yenu hainaga ladha hii nidini sio siyasa.lau ungekuwa natabiya mbaya mwenye roho mbaya watu wangekukimbia.,,
Weee Mpuuzi Sna Nani Alikuambia ivyoo Ndivyo Ujinga wenu Mlivyo Aminishwa Et Maulidi Yanaleta Waislam Pamoja Shit Point Kijinga kabisa Iv Mtume Muhammad S,w Haliwaleta Waislam Pamoja Wakati Kupitia Matamasha Ya Maulidi 😂😂 Atuwezi Kunyamaza Kuona Dini Ya Haki Ilio Kamilika Kisha Tuone Wapuuzi Wanaichavua Kisha Tukae kimya Jambo Ambalo Halikubaliki kabisa Tutakapo Nyamaza Kesho Masuni Tutaulizwa Juuu Ya kuona Mtume Muhammad S,w Anazulia mambo Ambayo Akufanya kisha Mmenyamaza ili Hali Tunajuwa Kwaiyoo Atuta Nyamaza kabisa Kumchavua Mtume Muhammad S,w
Kabla ya kuangalia hii video nilikua ahlu sunnah wal jama³a nasherehekea maulidi lakini sasa bado niko ahlu sunnah wsljama³a na nazidi kuyasherehekea maulidi
😅😅😅wee watha mchezo weye...pilau n chakula hupewa watu km swadaka ...kwaio kutoa swadaka pia n bidaa...nyiee nenden mukasome achaen ushabk katka DNI😂 SubhanaLLAH
Mawahabi ufahamu wenu ni bora mbuzi anaweza akawa muelewa kuliko nyie nyie mmenyimwa ufahamu na elimu we ungesema tu sijui mbona hujasema hujui ulijua kama umekamwa kama yale uloyaandaa yte yamekwamaaa
Sasa kama ufahamu ni mgumu mbona hamfahishi watu 3hrs hata ibara moja kashindwa kunuku hayaa hata HADITH DHWAIF MMEPEWA OFFER MTUMIE LAKINI WAPI.TULINE UMMA UTAMBUE hakki kupitia mashekh.
Mimi naamini kwamba wanyama wanaweza kuongeaaa tena sina shaka katka jambo hilooo sasa kama nyinyi munashaka basi pia kuweni na shaka pia mazazi ya nabii issa kwa sababu kama mwenyezimungu kaweza kufanya miujizaa katka mazazi ya nabii issa vipi ashindwe kufanya miujiza katka mazazi ya mtume s.a.w !
😂😂😂😂 yaani wallah hojaa mulizo nazo zakitoto kabisaa ! Hii yote inaonesha wazi kuwa Badoo wadogo sana kwenye elimu ! Nendeni Mombasa mkasoneshweee ! Yaani mungu kakupeni kipaji Cha kuporojaa tuuu maneno mengii ila hojaa hamuna za msingii! Yaani unashangaa wanyama kuongea katika mimba ya mtume na wakati qur Ani inatwambiaa wanyama wanaongeaa!
Yaani saivi mitandao ya kijamii dini ya kiislamu imehamia kutukanana na kukejeliana tu hakuna tena elimu inayopatikana ,kila mtu anaonesha uhodari wa kuongeaa na kuwa yeye ni msomi kuliko mwengine!!
Tumekuwa umma Bora kwa sababu ya kuamrishana mema na kukatazana uovu. Ubaya hauwezi ukaachwa hivihivi. Msione vibaya mkiambiwa Kweli. Fuata haki ndugu yangu
Mtume alipotumilizwa, alipowalingania makureshi, baadhi yao wakasema kuwa Muhammad anawatukana miungu, ndani ya barazanji kuna uongo na ushirikina mashekh wakisimama kuyazungumza hayo mwasema mashek wanatukana
Katika mtaa wako kuna majirani wangapi hawaswali ,kuna ndugu zako wangapi hawaswali ,kuna watoto wangapi wanaishi katika mazingira magumu sababu wazee wao wametengana au wamefariki bada ya muda wanabakwa na kulawitiwa ,wafanyaji ni waislamu,na wanaofanyiwa ni wasilaamu,kwa nn tusijikite huku,tukaweka mjadala tukajua tunatatua vipi changamoto zao,sisi tumewekwa ktk sehem ya kupigana madongo,wakiristo wanajadili mambo ya msingi ktk kueneza injili yao na kuwa na maisha bora!
Hata zinaa, shirking, wizi, uongo,namengine ni dhambi za wazi na watu wote wanajua wsla haxitak dalili lakini hawaachi ingawaje Allah amekemea ktk kuran illa ujumbe umefikaaaaaaa
Allah akuongoze ila tambua hiyo ni bidaa ndugu yetu katika uislamu si kwa manufaa yetu bali kwako siku utaposimama na kuulizwa ibada hii uliitoa wapi sidhani kama utakuwa na majibu tuache kibri hilo ni vazi la Allah jitoe kwenye hii shubha na Allah atakulipa inshaallah.
فقد روى الإمام أحمد في مسنده عن العرباض ابن سارية، عن النبي صلى الله عليه وسلم، قال: إني عبد الله في أم الكتاب لخاتم النبيين، وأن آدم لمنجدل في طينته، وسأنبئكم بتأويل ذلك: دعوة أبي إبراهيم، وبشرى عيسى قومه، ورؤيا أمي التي رأت أنه خرج منها نور أضاءت له قصور الشام، وكذلك ترى أمهات النبيين صلوات الله عليهم. ورواه الحاكم وصححه، ووافقه الذهبي. Naomba mtafute Bafana akueleze hii hadithi au akudhaifishie pia ni sawa. Kisha ndio upime munayoelezwa na hawa watu yapo ama ni uzushi??? Na hii hadithi Bafana ataidhoofisha vipi ama ataifahamisha vipi, ama hakuwa ameiona?
Aafdhali niwe na ilimu ndogo nikiwa katika suna alietuachia mtume(swa) kuliko kuwa na ilimu kubwa nizue katika dini ya Allah, wal 3iyaadhu billahi min dhaalika
MAA SHAA ALLAH Shekh SAID BAFANA na Shkh MUHAMMAD BACHU ALLAH Awahifadhi
Allah atujaalie mwisho mwema shekhe bachu unapambana vita ya hakki allah ajaalie tuwe miongoni mwa waja wema🤲
Amini
Hawa wanaitwa walionusurika ama kwa lugha sahihi walio okoka .
Hana elimu yakutosha. Hadith ipo na ni dhaif . Na hadith dhaif hazitupwi zinatumika kwa fadhail a3 mal
Allahumma amiin
Allahumma ameen soote jamian yarab🤲
Wallaahi mimi na maulidi Tena baaas nisawa na mbingu na ardhi ,kama mashekhezetu wameshindwa kutetea uongo unaosemwa bas kweli niuongooooo
Kwani umelazimishwa au ndio unafiq
Hakuna alokulazimisha jiunge nao hao mawahabi wasokuwa na ilimu wala kujielewa wao mashekhe wenu walipwa na saudiya kupiga kelele zote
فقد روى الإمام أحمد في مسنده عن العرباض ابن سارية، عن النبي صلى الله عليه وسلم، قال: إني عبد الله في أم الكتاب لخاتم النبيين، وأن آدم لمنجدل في طينته، وسأنبئكم بتأويل ذلك: دعوة أبي إبراهيم، وبشرى عيسى قومه، ورؤيا أمي التي رأت أنه خرج منها نور أضاءت له قصور الشام، وكذلك ترى أمهات النبيين صلوات الله عليهم. ورواه الحاكم وصححه، ووافقه الذهبي.
Naomba mtafute Bafana akueleze hii hadithi au akudhaifishie pia ni sawa. Kisha ndio upime munayoelezwa na hawa watu yapo ama ni uzushi???
Hebu Bafana akusomeshe hapo
Acheni kutuchekesha! kweli maulidi ni bidaa ilo wazi wanakatika chakacha mpaka basi. Bachu Allah azidi kuku hifadhi nash.wetu bafana Allah awahifadhi nyote ambao mnaitetea haki bila kumsahau swaiba wako Abu qatada mkono kwa mkono hadi peponi.
Allahumma amiin
mashaAllah ❤❤ vibano vitaendelea mpaka waingie kwenye line
Nadhani Mohammad ataanza kuingia kwenye line nanyi mtafata
MashaAllah sheikh bachu ❤❤❤
Mashaallah shaikh bafana nakukubali sana Allah akuhifadh milele
Mashaallah Allah awahifadhi mashekhe wetu wa Sunnah
Shehe Bafana Mungu akuhifathi
Mashaallah sheikh allah akujaliyemwishomwema nahakuhifadhi nakwasote watuwa sunna❤
Mashekhe hawazungumii tena haki za waislamu ,jinsi wanavokandamizwa,watoto wanavoingizwa katk ushoga na usagaji,wanavo bebeshwa mada ya kulevya,watoto wa kiislam jinsi wanavoingizwa ktk biashara ya ukahaba ! mtihani sana mayahudi wanatucheka sana wametukamata ndipo!
Bidaa ni uozo kuliko hayo uyazungumziayo bidaa hii ni laana kabisa hata ufanye ibada ipi kwa bidaa hutoboi isipokuwa kwa rehema ya Mola kukemea bidaa ni muhimu sana halafu si kila mmoja atazungumzia mada zile zile acha kila mtu apambane wakutanishe juhudi kuna wanayofanya hayo unayoyasema nilipo mimi kila ijumaa hakuna kinachobadirika isipokuwa tarehe tu mambo yale yale muda mwingine unaamua tu ukaswali kwengine hii ni challenge watu warudi kwa Allah
Zungumzia na wewe bas.
Wenyewe alisha zungumzia hayo kitambo na mara kwa mara huwa wanayazungumzia.
Pia masheikh wapo wengi sasa unataka wato wazungumzie mada moja kila siku????
Halaf hao watoto unaowasemea wengi wao wamechagua hizo njia.
Pia bi-daa isipozungumziwa si ndo watu watazid kupotea bila elim??!
Bahati mbaya hapo hamna Sheikh ila shehena@@Aboodjan4-
Ni kwelo kabsa masheikh zungumzen msiste kurud nyuma hakika umma unaangamia
Kila kukucha huzidi 👌🏻👌🏻❤️ endeleeni kufanya Maulidi watu wajue kama kuna maulidi yaendelea 🥰 النبي حي في قلوبنا
Sheikh bhachu usijali tuko nawe kielimu na sio kishabiki umedhihirisha umma ukweli ulivyo na tumetosheka...sasa endelea na da`wah yako kama kawaida na tutakuhakikishia ile silsilah ya maulid tutakua nawe sambamba... Allaah akuhifadhi na akujaalie umri mrefu na hikmah na akulinde na kila aina ya hasad na balaa zozote.
Inalilahiwainailahirajiuun hiyo kucheza mpaka chini ni Ngoma au taarabu 😢😢😢😢😢😢😢😢
Masha Allah ukwel utazid kudhihirika hawana majibu ya hoja 19. Wanasema sheikh Muhammad Bachu hana elmu na lugha inamsumbuwa lakin na masheikh wakubwa kumbe waliyaongelea hayo aceni bidaa maulid hayana ushahidi wowote
Allahu Bareek ya Sheikh❤
Wa bida hawajali kumdaru mtume inalilaahi wainailehi rajiun
Maa Shaa Allah.
Ulimwengu mzima Barzanji kulisomwa sana. Salalaahu waswalim aleyh
Pole I mawahabi kweny hakuna tofauti kati yamsiba na harusi mda wooote mmenunu tu.tuacheni mtume wetu kama hataki kumtangaza ninyinyi.swalu ghannabii❤
Mumeoza twarika hata alivyongolewa meno mtume muhammad saw hamuoni ju ya kuitetea dini nyinyi mwakata viuno tu
Nadhani watu wa matwari Allah keshawatia muhuri mioyo yenu na masikio yenu. Ole wenu musiporudi kwenye sunnah. Waakhasraaa
Kweli kabisa sheikh wng Said Bafana , Dini ni ya ALLAH wala msiseme tutawaonyesha laah
جزاكم الله خيرا و احسن الجزء
أنا في الاجتماع
في أمان الله
Mimi nimedata na sauti tu ya bafana alipo soma voice over ❤ sauti ya qarma Neema tupu
Chez kwel😂
Ma Shaa Allah
Laana ya Allah imshukie shekh bachu Inshallah kwa kutaka malipo kwa wa2 wa RUclips
Muogope Muumba wako ww... mas-ala ya kulaani mtu kwa kutaka malipo ya RUclips ww yakuhusu na wapi.... mbona hao watu wenyewe wasilalamike hata walalamika ww.... usiwe mtu wa jazba, ukatumia ubakhili wako, uchoyo wako, ulemavu wako wa kiakili na ujinga wako kumlaani mtu ambaye ameambia watu ukweli.... yaani wataka kusema hio video inamfaidisha bachu pekeake na wala sio upande wa pili pili... ama hao wa upande wa pili wawatetea kwa kigezo gani wkt hao wenyewe wameshindwa kutetea nukta moja tuu kati ya nukta nyingi zilizo hitajika... FUATA UKWELI NA UACHE UPPUUZI NDUGU, hasira zitakupeleka pabaya!!!
Nyinyi mnaita nashidi tamasha na sisi tunayaita maulidi wapumbavu nyinyi
Wataelewa tu insha-allah.
Uliposema inshallah umemaliza tunasubili tofiki ya alla yeye allah umuongaza amtakae
In shaa allah pia Raddi zitaendelea mpaka masufi waache maulidi au wafe 😅😅
Ebaaana❤ ni noma
Masha Allah
Sheikh upo sahihi
Masha Allah ♥️ kumbe na huu sheikh nimtu wasunnah! Acha nika mfwatilie kwenye chanel yake
Mwaabudu makaburi makhurafi na masheikh zenu,mwapiga twari ka wanawake,videvu hamufugi masenge nyoko nyinyi
Wewe ndo Shetani mkubwa, unaetukana matusi eti nyoko. Nawe Mbwa basi
Sira hamuijui mawahabi mnasomea ubishani tu
Tupinge bida'aa,,, ❤❤
Saiv washaanzisha ligi eti kwa ajil ya kumsheherekea mtume yaan wamezid tena wameend ktk nyimbo na saiv washaanzisha ligi yaan mtihan mtupu ila tuwaombee dua allah awaongoze...
Nmeion clip na mm
Nimeona yani mtihani hawa masufi
Raddi zitaendelea mpaka masufi waache maulidi au wafe 😂😂😂
Subhana llah sijaona dalili naona rai tu za hawa mashekh na kutokuwa na inswafi juu ya maulidi (elimu ???)
Et Ujaona Dalili Subhannallah Daah Bidaa Zimewadhiri Sana Unataka Dalili gni Ikiwa Matamasha Yenu Ya Maulidi hayaja dhibitika Kwenye Qur'an Wala Kwenye Adith Sahihi Sasa Wewe Una taka Dalili gani Mpuuzi wewe
Maadamu hamutaki kusoma ilimu mutaendelea kupingapinga mawlidi na filhali munayo yenu muloyazusha kama hayo ya mawlidi lakini kwa sababu ya jahli na hawaa za nafsi hamuyaoni ...
Tatizo lenu kubwa ni uhaba wa ilimu na ushujaa wa kusemasema
Umese ukweli hakika Hawa nimahidali Kwa kusema ila ilmu hawana.
Kama kuwa na ilimu ni huku wacha ikae 7:55
@@abuuaisha6110
Taassub haifai katika dini ... ilimu ndio muangaza wa dini yetu ili tusipotee na kupotezana
Nami naona kaeli hapa kuna hawaa ya nafsi hakuna elimu ya kukubali mawlid hakuna hiko kitu na wewe mwenyewe shahidi isipokuwa tu ni Qibri hakuna manufaa anayopata mtu kukutahadhaeisha na hii bidaa isipokuwa anakupa mtihani ujue halafu ukaidi yeye kazi yake keshamaliza hataulizwa siku hiyo nadhani unaijua vizuri tusijishau ndugu katika uislamu
@@swalehahmad8947ilimu ni nuru lakini ikiwa ilimu yako waitumia kuzua katika dini ya Allah itakuwa na maana gani ilimu yako?
watu wa sunna ibada zao zimekamilika kwa kufa mtume ila ibada za wazushi bado zitaendelea kwasababu wao hufuata wahyi wa shaitwaan
Masha Allah❤❤
Maskini😋😋 Mawahab Wataman Msosi wa Maulidin!!!! nyinyi njoni tuu!! Sisi hatuna ubaya na Mtu🙌🙌
Hatari elimu inahitajika
NAMSHUKURU ALLAAH KUNITOA KATIKA MAJANGA YA MASUFI NA UZUSHI WAO
MAULIDI ni Bidah na hizi dalili hapa.
1. Mtume mwenyewe hakuyafanya akiwa hai.
2. Hakuna aya ndani ya Quran takatifu kuhusu maulid.
3. Mwanae wa kike Fatma (r.a) hakuyafanya.
4. Maswahaba wote wanne hawakufanya.
5. Wajukuu wa mtume wakufanya.
6. Imekuja miaka mia saba bada ya Rasul kufa.
7. Barzanji ame zaliwa 1716 juzi tuu mia mia tatu.
Swali ni wamuamini vipi barzanji mtuzi wa mashahiri...salalaaa masufi hamuoni kwani nyie ni vipofu na viziwi?
MAULIDI ni haramu mwisho wake ni motoni.
Topokeni jamanini.
Subhanaallah
Ikiwa huu ni uzushi nambie wapi mtume kafundisha mpira nambie na ni sahaba gani alikua goli kipa au shabiki
@@HamadMbarouk-xo9et normally i don't reply to academic dwarfs swali lako halina msingi
@@HamadMbarouk-xo9et ndo shida ya watu wa bidaa kwa akili yako ndo umejibu au swali au.
We unauliza kuhusu mpira kwani mpira ni dini??
@@HamadMbarouk-xo9etmpira sio dini
Niulizee kwenye Quran mulitajiwa,swala ni ngapi na zikatajwa na rakaaa zake?
Hadi Sasa sijasikia jibunla swali.
''Ni ITTIFAQ GANI ya Wanachuoni wa Elimu ya Hadithi waliosema kitabu kikiwa na hadithi Munkar Basi Kitabu hicho HUITWA Ni kitabu Cha Uongo au Mwandishi wa kitabu HUITWA Muongo?''
Wote tuliotazama hulle MJADALA tuliona Sheikh Bachu hakujibu.
Maasha Allah
nikweli et ndy mana wakashikilia nkuta Moja tu ila tusha jua haki saivi na maulidi tushaacha Allah atusamehe na awaongoze watu wa bidaa waijue haki
We kikojozi bado tuu unatafuta ushindi wakati ulishashindwa kitambo
Hakuna atafutae kiki.....kma nyie mwatafuta ushindi ila Muhammad Bachu ataka watu wajue kua yote ni bidaa.....na sio heshima kumuita mwenzako kikojozi chuki hizo..... dini haiendi hivyo
hakuna anaetafuta ushindi lengo ni watu kujua haqi.ushindi utaupata ukisha kufa ndio utaelewa umeshinda au laa
@@jumamahmoud9271 Kabisaa maneno ya busara.....kuna masuulia kesho Allah atuongoze kwenye haqi
Yan nyny wapiga gitaa na piano mpo vzr sn kwa mnn ya kejeli na ufedhuli na kudhalilisha ndugu zenu, lkn kujibu hoja kwa dalili hamna...
Kila mwanadamu ni mdhambi lakini basi maswali mengine tujipunguzie siku ya Qiyama tuache bidaa pia
Saivi kuna mpaka kombe la mpira la mtume muhammad,( s a w ) yaaki jambo hili limenikera kwelikweli, hivi mtu anamzulia mtume muhammad ( s a w ) uongo halafu aachiwe tu ?
إنِّي عبدُ اللهِ، وخاتَمُ النَّبيِّينَ، وأبي مُنجَدِلٌ في طينتِهِ وسأُخبرُكم عنْ ذلك: دعوةُ أبي إبراهيمَ، وبِشارةُ عيسى، ورُؤيا أُمِّي الَّتي رَأَتْ، وكذلك أُمَّهاتُ النَّبيِّينَ يَرَيْنَ». وأنَّ أُمَّ رسولِ اللهِ ﷺ رَأَتْ حين وضَعَتْهُ نورًا أَضاءتْ لها قصورُ الشّامِ، ثُمَّ تلا: ﴿يا أَيُّها النَّبِيُّ إِنّا أَرْسَلْناكَ شاهِدًا وَمُبَشِّرًا وَنَذِيرًا (٤٥) وَداعِيًا إِلى اللَّهِ بِإِذْنِهِ وَسِراجًا مُنِيرًا﴾ [الأحزاب: ٤٥، ٤٦].
الراوي: عرباض بن سارية • الحاكم، المستدرك على الصحيحين (٣٦١٢) • صحيح الإسناد
Ati nyimbo za barzanji ...Sheikh Abdallah Saleh Farsy
Jibu swali..
Mikusanyiko ya kheri sh Bahero ni dini na thawab Allah anawapa waja wake tene anajifakharisha kwa mikusanyiko ya kheri... Thawabu hutoi wewe wala mie wala baba zetu wala mama zetu
Wewe si muandishi wa thawabu
Tusivamie mamlaka ya Allah
Mtume amesema:
من أحدث في أمرنا هذا ما ليس منه فهو رد
Yoyote mwenye kuzua katika dini jambo ambalo halina asili ya quraan na hadithi, basi ataregeshewa mwenyewe.
Maelezo:
Kuzua katika dini kumekatazwa hairuhusiwi mtu kufanya ibada yoyote pasina kuwa na dalili kutoka kwenye quraan au hadithi, ibada yoyote ambayo inafanywa kinyume na mafundisho kutoka kwenye quraan na hadithi haikubaliwi wala haina thawabu bali ni dhambi na huenda mwenye kuifanya akakumbwa na adhabu siku ya kiyama kwa muujiju wa hadithi nyingine ya mtume
كل بدعة ضلالة وكل ضلالة في النار
Kila uzushi ni upotevu na kila upotevu motoni
Inshallah tutafika
Maulidi haikuanza leo wala jana tuheshimu ikhtilaf kila mmoja afuate anapo ona sawa lakini usimwiti mwisilamu mwenzako mushrik
Hata kupigwa haikuanza leo,na kama Barazanj ingekuwa sawa tangia miaka hiyo ingetafasiriwa vizur kuwaka hayo majaz na kuifanya isiwe na mjadala tena lakini mpaka hamna bas,kuna shida ndani yake,hata maulidi ya zamani na sasa hivi ni tofauti sana,asaiv n ngoma kabisa
Hakuna ikhtilafu katika maulid, kongamano ya wanazuoni maulid ni bid'a
hakuna ikhtilaaf kwenye jambo lililopo wazi...uongo upo wazi..ushirikina upo wazi..asa khilaaf gani kwenye shirk
Mtume hajafanya hiyana hata kidogo ktk kufikisha ibada kwa hiyo kama wew unaitakid maulid tupe dapeni dalili kama
W munshid unaweza kuthibitisha huo ushirkina Kama c ushabik t ulionao? Hivi nyinyi mnadhani Kuna vitabu gani kilicho salama hakina makosa vilivo tungwa na wanachuoni ispokuw kur aan pekee bac
Moja kati ya sifa za masufi Ahlul-Bidaa wal-hawaa ni uongo na uzushi
mpe mtu fursa ya kusema ujue ujinga alionao. sheikh shukran tumekuelewa baada na wewe kusema.
😂😂😂 mbn wanacheza mziki ndowanampenda mtume tu hivo duuuh Allah awaongoze kweli kweli
maada husika haikua namna watu wanavyo icheza Maulid. maada ni ukweli katika maulid. nilidhani ungeuliza wale wanaocheza wako sahihi au laa.
wale hawako sahihi na maulid haijaelezwa kusherehekewa vile.
Matendo ya mtu mmoja sio kigezo cha kusema maulid ni bidaaaa.
niwaulize tyuu. ni kweli waislamu ni magaidi kutokana na imani za kigaidi za baadhi ya watu wanafanya matukio ya mauaji na kuitajwa ni wailamu?
MashaAllah
Bachu ulimifurahisha sana pale kwenye kiti haukua ukipayuka kama unavyo payukaga ukiwa kwenye membari zenu ila pale skuile ulikua wanywa maji tu
Hii ni vita baina ya Haqqi na batili, na batili haiteteeki hata mufanyeje, wazushi kueni na adabu basi
Tena miereka yaki sawa sawa
Wewe Bichwa bahlul
Waislamu tuacheni mizozo...tusiifanye Dini kama biashara...mfano: waupande huu wako na brand ya samsung na upande mwengine wako na brand ya Iphone...kila mmoja anamuangalia mwenzake kasoro ndogo tu ndio nafasi yake ya kujenga jina na kufanikisha soko la biashara yake kwa kupaza sauti juu ya kasoro za mwenzake kuifanya ovu kabisa ila pengine sivyo bali nikwasababu tu ni washindani katika biashara...Khofu ni tusijetukaibinafsisha Dini...kwa kuifanya kama biashara baina yetu!
Bidaa si kasoro ndogo hili linampeleka mtu motoni moja kwa moja kukemea bidaa ni muhimu sana
Watu wanakujuza haki ya Dini wewe unaona wanafanya biashara sijui kama utaelewa
Sikiloza alafu fikilia lakuandika bidaa ww unaiyona zambi ndogo. Kwahiyo upotayali. Kizazichako kialibiwe. Laazima. Likemewe hili jambo katri ya uwezo wao na ss pia tuwanass familiazetu
Umesema kweli
@@suleymansalim5732 ushauri wangu ni tanbihi tu...Maa Shaa Allaah Haki ndio tegemezi sahihi kabisa ila ina mizizi yake na ni chungu katika ladha na kwa wizani ni nzito kama jabali, wewe unaye ibeba sio rahisi na yule unaemkusudia pia kwake sio rahisi...lazima iwepo mizani!
Hawawezi suna ya kufunga kama alivofunga mtume siku ya jumatatu siku aliyozaliwa wamefungua midomo kama chewa kwa ubwabwa😂
pole nyinyi mna mzushia mtume uongo
Hii Ni Shirki Sio Ikhtalafu Hapa hawa nkama Mushriki wa kawaida
Sheikh ww na kichwa chako hicho manii wamekufa kutambo,mtume wetu kawatoa wapi akawasalisha ndani ya baitul maqdis hali ya kuwa wamekufa kama wauliza kuwepo kwa asiya kwa mazazi ta mtume?
Lakn Hilo alifanya mtume mwenyewe na akaelezea ndio manatunamini,je hili lkuja kw Asia n wenzie nani alisema km c uwongo
Jambo ambalo linanamuhusu mtume lilokuja kwa dalili kutoka kwenye quraan na hadithi sahihi hatunabudi kuliamini, lakini jambo ambalo halina dalili kutoka quraan na hadithi sahih hilo tunalazimika kulikataa na sio makosa
Kuita uongo
@@saidmadizi9152Mung hashindwi na jambo lkn hlo la kna Asia kuja halina ushahid ndy tatzo lnapoanza
Shekhe cc tunajua kwamba kwa Allah kila jmb linawezekana kwaiyo ilo la kuja Asya na Maryam linawezekana tena sn tu, suali hapa n jeeee limethibiti wapi ili ucwe n uongo???
MBONA HAMUTOI DALILI ZA KUPINGA... MWASEMA KIAKILI ... DINI HAIENDI KIAKILI YAENDA KIDALILI
Kupinga hivi unajua maana yake mtu akisema kitu fulan hakuna ndio kashapinga kwahvo kitu kupinga sio mpaka uletewe makaratac
Wewe chamsingi ukiambiwa simu sio yako wewe thibitisha kwa kutoa fingerprint bac lakn ukianza story hueleweki
Hivi wewe ukiambiwa ulete dalili ya kutofaa kuswali rakaa nne katika swala ya maghrib waeza leta dalili? anaetakiwa kuleta dalili ni aliyeleta jambo wala sio anaepinga, wewe unadai gari ni lako utaulizwa logbook, hii ni mifano ya kidunia tu kwenye dini ndio usisema, hatuna nafasi yakuengeza katika dini ibada yoyote ampaka iwe na dalilii sio kujibunia tu bila ya dalili.
@@abuuaisha6110hapana nyote mwatakiwa kutoa dalili anaekubali na anae kataa ndg yangu owo mtizamo wako nauheshim lkn si uwafiki.
Dalili mbn zipo nyingi sana tena sn lkn kubwa n ile kua hayakuthibiti ktk Qur'an, hadithi, sunna na mienendo ya waliobora zaidi yetu..
Hivi ikiwa mmb yametolewa ktk hicho kitabu chenu cha Maulidi na yakaitwa kua n mmb ya uongo, na ktk hadithi sahihi Mtume asema "mwenye kunicngizia mm uongo makaazi yake n motoni" ss hapa ama mujikubalishe kua ktk watu wanaomcngizia uongo Mtume au muje na dalili za kuonyesha kua hayo yaliyoitwa kua n ya uongo c uongo na ya kwl kwa hoja hizi baaaaas🎉
Ndugu zangu waislam tuache mchezo na dini ya Allah haqi ni haqi hata kama Hawa masufi wako wengi huo sio ushindi kwao Bali ni hatari sana kwao sheikh saaid bafanah huyu ndo kajua Nini maana ya elim na haqi Iko wapi sio sheikh diwani Al kubrah na yule wa Kenya Yuko mamrui mjinga kama yeye hakuna namuomba Allah awape haki katika nafsi zao twarika acheni mchozo na dini ya Allah kaburi sio mbali nayusia nafsi yangu pamoja na ndugu zangu waislam
sikuzote Wahabi mnajikuta mnaweza kutukana
BACHU HAWA WATU WASIKUUMIZE KICHWA WATU TUSHA ELIMIKA TAAALI
Iyo part ya bahero ndio imenigusa miaka 600 mtu anatuletea maulidi alaf wanasema ni ibada...ukiwauliza dalili wanaleta story mingi.yani shehk bachu usichoke kutuelisha ili jambo limeharibu watu wengi mno...
MAWAHABI UKIWATAJIA BIDAA WANAZOFANYA WAO WATAZITETEA MPAKA KIPOVU CHA MDOMO KITAWATOKA JAPO HAWANA AYA WALA HADITHI EG. KUTOA HOTUBA YA IJUMAA KWA KISWAHILI
Kingine hamna jipya zaidi yachuki hata daghawa yenu hainaga ladha hii nidini sio siyasa.lau ungekuwa natabiya mbaya mwenye roho mbaya watu wangekukimbia.,,
Kakaa huku kwenye sunnah ni kutamu sana na sisi tulikua tunaosoma maulidi lkn Sasa tumeacha tuna enjoy kuwa wanasunnah
Tutamsalia kwa kishindo, endeleeni kuporojaaaaa
Hawa wana udhaifu wa fikra, maulid yanawaleta waislamu pamoja, hawa kibri kingi na ubinafsi
Weee Mpuuzi Sna Nani Alikuambia ivyoo Ndivyo Ujinga wenu Mlivyo Aminishwa Et Maulidi Yanaleta Waislam Pamoja Shit Point Kijinga kabisa Iv Mtume Muhammad S,w Haliwaleta Waislam Pamoja Wakati Kupitia Matamasha Ya Maulidi 😂😂 Atuwezi Kunyamaza Kuona Dini Ya Haki Ilio Kamilika Kisha Tuone Wapuuzi Wanaichavua Kisha Tukae kimya Jambo Ambalo Halikubaliki kabisa Tutakapo Nyamaza Kesho Masuni Tutaulizwa Juuu Ya kuona Mtume Muhammad S,w Anazulia mambo Ambayo Akufanya kisha Mmenyamaza ili Hali Tunajuwa Kwaiyoo Atuta Nyamaza kabisa Kumchavua Mtume Muhammad S,w
Kabla ya kuangalia hii video nilikua ahlu sunnah wal jama³a nasherehekea maulidi lakini sasa bado niko ahlu sunnah wsljama³a na nazidi kuyasherehekea maulidi
Kumbe ulisoma maulidi we pia ?
Pilau watapata wapii wakiwacha maulidi watu hapo ndio wanaponea wanaimba imba baadae pilau bidaaa tupu na kufru
😅😅😅wee watha mchezo weye...pilau n chakula hupewa watu km swadaka ...kwaio kutoa swadaka pia n bidaa...nyiee nenden mukasome achaen ushabk katka DNI😂 SubhanaLLAH
Mawahabi ufahamu wenu ni bora mbuzi anaweza akawa muelewa kuliko nyie nyie mmenyimwa ufahamu na elimu we ungesema tu sijui mbona hujasema hujui ulijua kama umekamwa kama yale uloyaandaa yte yamekwamaaa
Sasa kama ufahamu ni mgumu mbona hamfahishi watu 3hrs hata ibara moja kashindwa kunuku hayaa hata HADITH DHWAIF MMEPEWA OFFER MTUMIE LAKINI WAPI.TULINE UMMA UTAMBUE hakki kupitia mashekh.
Sheikh bachu esta no bom caminho, bachu yuko sahihi ww n gumu wakuwelwa. Por favor vai estudar pouco Allah vai te dar bom inderesso
Sisi bado twangojea itifaq ya wanazuoni kwamba hadithi ikiwa dhaifu yaitwa uongo!
Mimi naamini kwamba wanyama wanaweza kuongeaaa tena sina shaka katka jambo hilooo sasa kama nyinyi munashaka basi pia kuweni na shaka pia mazazi ya nabii issa kwa sababu kama mwenyezimungu kaweza kufanya miujizaa katka mazazi ya nabii issa vipi ashindwe kufanya miujiza katka mazazi ya mtume s.a.w !
😂😂😂😂 yaani wallah hojaa mulizo nazo zakitoto kabisaa ! Hii yote inaonesha wazi kuwa Badoo wadogo sana kwenye elimu ! Nendeni Mombasa mkasoneshweee ! Yaani mungu kakupeni kipaji Cha kuporojaa tuuu maneno mengii ila hojaa hamuna za msingii! Yaani unashangaa wanyama kuongea katika mimba ya mtume na wakati qur Ani inatwambiaa wanyama wanaongeaa!
Yaani saivi mitandao ya kijamii dini ya kiislamu imehamia kutukanana na kukejeliana tu hakuna tena elimu inayopatikana ,kila mtu anaonesha uhodari wa kuongeaa na kuwa yeye ni msomi kuliko mwengine!!
Tumekuwa umma Bora kwa sababu ya kuamrishana mema na kukatazana uovu. Ubaya hauwezi ukaachwa hivihivi. Msione vibaya mkiambiwa Kweli. Fuata haki ndugu yangu
Haki ibanishwe akili kichwani mwako huu sio ukristo au ushia
Mtume alipotumilizwa, alipowalingania makureshi, baadhi yao wakasema kuwa Muhammad anawatukana miungu, ndani ya barazanji kuna uongo na ushirikina mashekh wakisimama kuyazungumza hayo mwasema mashek wanatukana
Katika mtaa wako kuna majirani wangapi hawaswali ,kuna ndugu zako wangapi hawaswali ,kuna watoto wangapi wanaishi katika mazingira magumu sababu wazee wao wametengana au wamefariki bada ya muda wanabakwa na kulawitiwa ,wafanyaji ni waislamu,na wanaofanyiwa ni wasilaamu,kwa nn tusijikite huku,tukaweka mjadala tukajua tunatatua vipi changamoto zao,sisi tumewekwa ktk sehem ya kupigana madongo,wakiristo wanajadili mambo ya msingi ktk kueneza injili yao na kuwa na maisha bora!
Namkumbuka sana sheikh Mohamed Rogo na Ustadh Ilunga hakuna aliyevaa viatu vyao mwenyezi mungu awalipe malipo makubwa sana kwa kazi waliofanya!
❤❤❤❤
Wambie wameerewa shukurani
Bado povu linakutoka kukojozi we .
Sasa ulifanya jambo kwaajili ya Mungu au kushinda.
Allah atuongoze lakini lengo letu nikuona ndugu zetu mkaacha bidaa na kumfata mtume na mafunzo alokuja nayo
Maulidi anayo pigania shkh mohd bachu kweli sio sahihi
, lkn ndugu zetu wakiibadhi Wafanya maulidi kwa nia ya kukumbushana sira y bwana mtume na iyo inafaaa, sio kama hawaisomi sira ispokuwa ktk maulidi laa, bali wanazidisha
Usitukane kasome ufahamu wote ni wasomi sikiliza huyu na huyu
Kama haujui sema si ju i
بارک الله فیک
Bado hamjasema... tutayasomaaa sana mwaka huuu😅😅😅😅😅
Hata zinaa, shirking, wizi, uongo,namengine ni dhambi za wazi na watu wote wanajua wsla haxitak dalili lakini hawaachi ingawaje Allah amekemea ktk kuran illa ujumbe umefikaaaaaaa
@@AllyAhmad-zg2ypumesema kweli
Allah akuongoze ila tambua hiyo ni bidaa ndugu yetu katika uislamu si kwa manufaa yetu bali kwako siku utaposimama na kuulizwa ibada hii uliitoa wapi sidhani kama utakuwa na majibu tuache kibri hilo ni vazi la Allah jitoe kwenye hii shubha na Allah atakulipa inshaallah.
Huyu shekh haelewi anachokizungumzaa
Allah awaongoze chuki yenu ni kwa mtume
Shekhe nenda darsa japo cku moja usiongee tu
Hii ni dini ya haki ipo na dalili zke .
Hawa mawahabi wanachuki na mtume kitu kinacho wakera ni kusifiwa na kusherehekewa kwa mtume basi kufeni na machungu yenu
Upofu wa haki ni mtihani mkubwa. Uongofu unatoka kwa Allah peke yake. Mambo yako bayana lakini yanafunikwa na batil
Habari njema ni kuwa YESU anatupenda mwaminini YESU tu ndugu zangu
tunamwamini ila hatumuabudu sababu ni mwanadamu si Mwenyezi Mungu wala si mwana wa Mungu
فقد روى الإمام أحمد في مسنده عن العرباض ابن سارية، عن النبي صلى الله عليه وسلم، قال: إني عبد الله في أم الكتاب لخاتم النبيين، وأن آدم لمنجدل في طينته، وسأنبئكم بتأويل ذلك: دعوة أبي إبراهيم، وبشرى عيسى قومه، ورؤيا أمي التي رأت أنه خرج منها نور أضاءت له قصور الشام، وكذلك ترى أمهات النبيين صلوات الله عليهم. ورواه الحاكم وصححه، ووافقه الذهبي.
Naomba mtafute Bafana akueleze hii hadithi au akudhaifishie pia ni sawa. Kisha ndio upime munayoelezwa na hawa watu yapo ama ni uzushi???
Na hii hadithi Bafana ataidhoofisha vipi ama ataifahamisha vipi, ama hakuwa ameiona?
Chunguza mengii, wanazusha kama walivyo zusha haya, yasiyo na faida
Hayo ndio mahaba ya kumpenda mtume alafu shekhe kasome ludi darasani wewe bado huna elimu
Ww hamna kitu
Kuongeza Vitu Kwenye Dini Ndio Kusoma Mtiani kwakwel huu Yni Vichwa Vishaaribika na Bidaa
Kasome shekh elimu yako ni ndogo mno hata sisi tusio mashekh tumekugundua katka usomaji wako.
Kusoma alafu kuzua na kubuni ibada za maulid na khurafaata zingine haina maana ilimu hiyo
Aafdhali niwe na ilimu ndogo nikiwa katika suna alietuachia mtume(swa) kuliko kuwa na ilimu kubwa nizue katika dini ya Allah, wal 3iyaadhu billahi min dhaalika
Subhanallah Allah akuongoze na akuepush na bidaa tuepuke huu mtihani wote inshaallah
Mashallah🤲🏻
Tom & Jerry waliongea kiarabu??😂😂😂
sheikh... si ungemhimiza bachu aseme sijui wangeendelea mbele??
Hahahaaa
Hajui nini wewe ndio hujui
Acha bange wakijishekh
Intakillah. Muogope Mungu