JE? MCHAMUNGU ANAWEZA KUTEREZA NA KUFANYA MADHAMBI SHEIKH KISHK

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 окт 2024

Комментарии • 129

  • @زينببنتسعيد-د9ح
    @زينببنتسعيد-د9ح 3 года назад +6

    Sifa zote zimuendee Muumba mbingu,ardhi na vote vilivomo ndani yake Allah Subhana Wa Ta'ala Rehma na Amani za Mwenyezi Mungu zimshukie Mtume wetu kipenzi Mohammad Swalallahu Alleyhi Wasallam maasha Allah ni jambo jema hakuna mkamilifu kiukweli ila Muumba wetu Mwenyezi Mungu awasimamie ma sheikh wetu wa ulimwengu mzima wana Tia juhudi kubwa ya kupigania mambo ya Dini barakallahu feekum #kishkitvonline na crew nzima

  • @aishasaid6749
    @aishasaid6749 3 года назад +7

    Alhamdulillah sheikh kishki Allah ameitikia dua zetu masheikh wetu wapo huru

  • @zeitunkassim9352
    @zeitunkassim9352 3 года назад +8

    MashaAllah TabaraqaAllah sheikh...shukraan Jazzakallah kheir

  • @kijitamfyomi5598
    @kijitamfyomi5598 3 года назад +2

    Allah ameitikia dua za waislamu na wapenda haki duniani kote masheikh wetu wametoka japo bado wengi wenye kesi kama hizi wanateseka magerezani Allah awafanyie wepesi.
    Tunasubiri khutbah kutoka kwa sheikh wetu Sheikh Kishki Allah amuhifadhi Itakayozungumzia mazingatio ama ibra ama mafunzo kwenye kadhia ya masheikh wetu hawa nini muislamu anatakiwa kujivunza kwenye mtihani waliopata masheikh hawa.

  • @husseinguyo4379
    @husseinguyo4379 3 года назад +3

    Yarabbi nakuomba mpatie sheikh wetu umri mrefu azidi kutufundisha mambo ya dini

  • @ندوش-و2ك
    @ندوش-و2ك 3 года назад +4

    Masha Allah yabaraqa Allah shekh asante sana

  • @زينببنتسعيد-د9ح
    @زينببنتسعيد-د9ح 3 года назад +3

    Maasha Allah tabaraka Allah sheikh wetu #nurdeenkishki unapotowa darsa ina uzito na utulivu wa nafsi lazma mumin akae atafakari na aya tendee kazi Mwenyezi Mungu akuhifadh na kila baya na wabaya akupe swiha njema umri mrefu tuzidi kupata faida ya ilmu ya Dini yetu Allahummah Amiin ya Rabbil Allamin

  • @zaitunikhamisi8940
    @zaitunikhamisi8940 3 года назад +4

    Mashaallah tabaraka rahman Shukran sheikh jazakha llahu khayra

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 3 года назад +4

    Mashaallah shukuln sana shekhe wetu

  • @aminamohammed7946
    @aminamohammed7946 3 года назад +3

    Shukran jazakaAllAH khayr

  • @shinayzashiraaz4588
    @shinayzashiraaz4588 2 года назад

    MashaaAllah, Allah akujaliie jannatul Firdousy,na akupe elimu ya zaidi ,uzidi kutuelimisha, Ameeen...jazakumullah kheir

  • @rahmatagasaro134
    @rahmatagasaro134 2 года назад

    Asalam alaikum. Shekh na itwa Rahmat. Natokea Rwanda . Nirikuwa na swali hivi . Ukiwa na mchumba anataka kuku owa rakini hakuna uwezo Kwa sababu anafanya KAZI inaripa 70000k. Kwamwezi Hana nyimba bado anaishi Kwa mam yake jee . Tufanye subra apate pesa awu tu owane hivi hivi mungu atatia balaka . Kurik kuka hata tuka angukiya kwenye dhambi ? Inshallah mtani djibu . Allah akuzidishie 🤲

  • @nyatya199
    @nyatya199 3 года назад +3

    Maashaallah Sheikh Nurdini Mohammad Ahmed Al-ahdaliyy (KISHKI) Allah akihifadhi.

  • @furahamossi3199
    @furahamossi3199 3 года назад +1

    Waleikussalam warahmatullah wabarakat, Sheikh kishki Allah awalipeni kheir ,Allah Akbar walilah ilhamndu, jazzakallah khair

  • @DjumaAsha
    @DjumaAsha Год назад

    Allahuakbar Allah atujaalie tuwe wachamungu ili tuipate Pepo yake ya Firdaus tukiwa Pamoja na Shekh Nurdin 😅Na Mtume wetu Muhammad Sww🤲🤲🤲🤲

  • @bybytata7456
    @bybytata7456 3 года назад +1

    Waleikum musaalam alhamdulila shukran Allah awalipe khery tupopamoja😍🥰💝💝💝💖💖✌✌✌✌

  • @RayaRashid-dc2hn
    @RayaRashid-dc2hn 5 месяцев назад

    Asante kwa ukumbusho nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 6 месяцев назад

    Subhanallah allah allah atujaalie tuwe ni miongoni mwa kuepuka mashetani kwa kufanya ibada

  • @rokiroki1825
    @rokiroki1825 3 года назад

    Sheh nakuoenda kwa ajili ya ALLAH jazzakum llah khaira ALLAH atusamehe waislam wote popote walipo

  • @rokiroki1825
    @rokiroki1825 3 года назад +1

    Mashaallah barakallah fiykum wajazzakullahu

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 5 месяцев назад

    🎉🎉🎉Allah akujaalie kheri ktk dawah

  • @hamisijuma3362
    @hamisijuma3362 3 года назад +5

    mashaalla mashaalla mashaalla mashaalla mashaalla

  • @mugemanadjafar911
    @mugemanadjafar911 3 года назад +2

    JazakAllahu khairan

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 3 года назад +8

    Asaalam Allaykum warahamatulah wabarakatulh team kishk online tv

  • @sein.208
    @sein.208 3 года назад

    Waalaykum salaam Warahmatullah Wabarakatuh
    Masha Allah
    Jazaakallah kheir Sheikh

  • @ayishaayisha8053
    @ayishaayisha8053 3 года назад +1

    Asante sana nakupta vuzuri. Mtanzania toka oman.

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 6 месяцев назад

    Allah akulipe inshallah

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 3 года назад

    Maa Shaa ALLAH, Tabaraka ALLAH. Allah Atuongoze Ya Rabb. Aammiin

  • @user-yo8zc1mk5b
    @user-yo8zc1mk5b 3 года назад

    Allah akubriki shekhe wetu mpenzi Amin

  • @haseanatnsanya2079
    @haseanatnsanya2079 3 года назад +2

    Maashaallaah

  • @MochammdHadija-pn7nn
    @MochammdHadija-pn7nn 10 месяцев назад

    Mashaallah tabarak ❤❤❤

  • @azaniasaidi93
    @azaniasaidi93 3 года назад

    Jazaka'Allahu khairaa

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa7903 3 года назад +1

    Masha Allah raha kweli mafunzo

  • @kizamaulidi6004
    @kizamaulidi6004 3 года назад +2

    Mashaallah

  • @rukiaburundi3092
    @rukiaburundi3092 3 года назад

    Manshaalla tabarakallah 🇧🇮

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 Год назад

    MashaAllaah MashaAllaah MashaAllaah

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 года назад

    Maa shaa Allah

  • @fatumabrondi2719
    @fatumabrondi2719 2 года назад

    Maamshallah

  • @shanially1312
    @shanially1312 3 года назад

    مشاءالله تبارك الله

  • @hashimonlinetv
    @hashimonlinetv 3 года назад

    Jazakallah

  • @SamiaMagaye
    @SamiaMagaye 5 месяцев назад

    Mashallah

  • @ayishaayisha8053
    @ayishaayisha8053 3 года назад

    شكرا شكرا شكرا شكرا زياده

  • @saadiashariff5377
    @saadiashariff5377 3 года назад

    Mashaa Allah

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 6 месяцев назад

    Aaaaamiii8n yarabiiii

  • @hashimalahdal5855
    @hashimalahdal5855 3 года назад +1

    mashallah

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 3 года назад

    Shukran sana

  • @mugemanadjafar911
    @mugemanadjafar911 3 года назад +3

    Sheikh wangu kigali tunakumisi tena

    • @DjumaAsha
      @DjumaAsha Год назад

      Nasi pia burudani 🇧🇮twammiss Shekh😔😔

  • @DjumaAsha
    @DjumaAsha Год назад

    😂😂Naaam innallaha layubbul mutapappirina😅
    Nimecheka Jamani
    Kwakweli Allah akutuhifadhie 🤲

  • @neemajaylani9068
    @neemajaylani9068 3 года назад

    Mashaalah

  • @mariamkhalidi7303
    @mariamkhalidi7303 Год назад

    Assalam walaykum warahmatullah wabarakatuh VP Hal ndio kabisa haipatikani kwaharaka 😂😂

  • @amnahnyangasi8330
    @amnahnyangasi8330 3 года назад

    Amiin ya Rabb

  • @haarunsaidabdillahi4082
    @haarunsaidabdillahi4082 3 года назад

    Dua ya kumlaani Afande Sele haikupaa...

  • @claudbony1210
    @claudbony1210 3 года назад

    Nice

  • @abdulrahmanchege
    @abdulrahmanchege 3 года назад

    Rahman napenda

  • @faridabakarrashid6229
    @faridabakarrashid6229 2 года назад

    Tujisafishe juu ya tabia zetu

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 3 года назад

    Kishki nae amekua watu nasheed. Ma nyimbo mengi at the background. Au sijui ni admin mwenye hizi nasheed

  • @HaliaKheri
    @HaliaKheri 6 месяцев назад

    🤲🤲🤲🤲🤲🙏❤❤❤❤❤

  • @xasaxuma9835
    @xasaxuma9835 3 года назад

    SWADAQTA💯🎯

  • @saidm2718
    @saidm2718 3 года назад

    Shekh wangu ninaushauri,kutokana na data na muingiliano wa muda hafifu wa simu na kazi panoja na jamii,nashauri uwe unaweka vipande vifupi fupi vya dakika 4 mpaka 30 hivi.hii itatuokolea vyote.Kuanza sijui maik inarekebishwa ni kupoteza data zetu you tube

  • @chantalalia4811
    @chantalalia4811 2 года назад

    💞🇧🇮

  • @ashasalim2826
    @ashasalim2826 3 года назад

    Swadaktar

  • @marianachriss2444
    @marianachriss2444 3 года назад

    YESU KRISTO ni Nuru ya ulimwengu wote Yeyote asiyemkiri YESU KRISTO ameshahukumiwa tubuni kabla hamjaachelewa YESU KRISTO ni BWANA na mwokozi wa ulimwengu wote.

    • @mamymdogomamy3670
      @mamymdogomamy3670 3 года назад

      Nyinyi ata mkatiwa kwenye chupa In Sha Allah mtajitokeza yani hamfichiki abadani wallay

    • @amindsalama9683
      @amindsalama9683 3 года назад +1

      Nini maana ya BWANA

    • @marianachriss2444
      @marianachriss2444 3 года назад

      @@amindsalama9683 ni Mungu mwenye haki,malakala,juu ya vyote vilivyo mbinguni na duniani na zaidi ya yeye hapana Mungu mwingine,huyo ndio BWANA wa mabwana na mfalme wa wafalme

    • @marianachriss2444
      @marianachriss2444 3 года назад

      Mungu wa kweli mwenye haki na mamlaka juu ya vyote vilivyo mbinguni na duniani na zaidi ya yeye hapana Mungu mwingine huyo ndio BWANA wa mabwana

    • @amindsalama9683
      @amindsalama9683 3 года назад

      @@marianachriss2444 Ina maana yesu ni mungu

  • @kasimuramadhanisetembwe8390
    @kasimuramadhanisetembwe8390 3 года назад

    Kdtg

  • @أبوفيصل-د3ش
    @أبوفيصل-د3ش 3 года назад

    Sheikh wa kisanii.Hapingi Uzushi wala Shirki.Amekuwa ni mtu wa Answar bidaa.

  • @rahmatagasaro134
    @rahmatagasaro134 2 года назад

    Asalam alaikum. Shekh na itwa Rahmat. Natokea Rwanda . Nirikuwa na swali hivi . Ukiwa na mchumba anataka kuku owa rakini hakuna uwezo Kwa sababu anafanya KAZI inaripa 70000k. Kwamwezi Hana nyimba bado anaishi Kwa mam yake jee . Tufanye subra apate pesa awu tu owane hivi hivi mungu atatia balaka . Kurik kuka hata tuka angukiya kwenye dhambi ? Inshallah mtani djibu . Allah akuzidishie 🤲

  • @kwebajunio4393
    @kwebajunio4393 3 года назад

    Mashaallah