Kassim Mganga | Dalila | Official Music Video

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 ноя 2017
  • #KassimMganga #Dalila #OfficialVideoo @SlideDigital
    (C) Slide Digital
    SMS [Skiza 8091879] to 811
    Kassim Mganga Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
    ffm.to/kassimmganga
    Written & Performed by Kassim Mganga
    Follow Kassim Mganga on:
    Instagram; / kassimmganga
    Twitter: / kassimmgangaa
    Facebook: / kassim.mganga.3
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 303

  • @sabryhariyz7867
    @sabryhariyz7867 4 года назад +1

    Namkubali sana Kassim Mganga nymbo zake tamu sana na anajua sana

  • @tausisaibu282
    @tausisaibu282 5 лет назад +1

    Napenda sana nyimbo zako na huwa naona hata ikikaa mda mrefu naiona kama mpyaa badooo

  • @jamilajamaljj7976
    @jamilajamaljj7976 6 лет назад +11

    Wallah anakipaji kikubwa huwa na mpenda kwa heshima aliyonayo

  • @stressbyuld765
    @stressbyuld765 6 лет назад +6

    Iko poa sana yani iko vizuri mwenye anaeona kama mm agonge like

  • @djmakora0018
    @djmakora0018 6 лет назад +9

    Wekassin tubakutambua mombasani uko juuu!!!! Wapi likes za +254

  • @mwafrikabarz4507
    @mwafrikabarz4507 5 лет назад +2

    Hv nyie mnaojiita Wasafi, Team kiba, mbn kama huwa mnaimba madudu asee! Hebu rejeshen heshima kwa #Kasim

  • @smart-omiyramadhan3309
    @smart-omiyramadhan3309 6 лет назад +2

    Asant Kasimu ninavo kukubali hii ngoma ndio umezidi kujiaminisha kwangu
    nasema tena nakukubali #K___mganga

  • @kidotifetty8929
    @kidotifetty8929 5 лет назад +2

    nakuelewaga sana broo uko juuu👌👌👌👌

  • @aishamzonge457
    @aishamzonge457 10 месяцев назад

    Hongera sana Kassim, Dalila kibao kimetulia "ukipendwa ficha mupenzi wako: nimekuelewa sana

  • @ayshahassan4792
    @ayshahassan4792 6 лет назад +17

    Waoooo😘😘😘kina dalila tupo wengi 😅gonga like twende sawa km na we ni mmoja na umeikubali ngoma kali from ksm🙏

  • @nasrajosephat99
    @nasrajosephat99 6 лет назад +2

    Nakukubar sana cassimu unajua sana kutengeneza vitu mulua

  • @emanuelmushi7107
    @emanuelmushi7107 6 лет назад +13

    unaachaje kulike sasa..

  • @sofiashaban3738
    @sofiashaban3738 6 лет назад +12

    Tajiri ww hujawahi kukosea 😘😘

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 6 лет назад +2

    Niko pande za kusin mwa tz mbali kiasi newala nasikiliza hii ngoma nabaki najiuliza ivi uliwaza nn maana imetulia sio mno (k) uko salut mdgo wang

  • @allymuhadimu2268
    @allymuhadimu2268 6 лет назад +6

    nimekuelewa umebadilika xanaa

  • @sherrysalim50
    @sherrysalim50 6 лет назад +17

    Asanteeeeeeee msanii wangu wa Roho 👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽 😘❤️nakupenda mpaka chenji haibaki

  • @officialkatanga
    @officialkatanga 6 лет назад +7

    nice song bro weka like yako hapa kama unamkubali kassim mganga...

  • @bahatimandundu2105
    @bahatimandundu2105 6 лет назад +1

    sina ubishi nae casimu mganga kweli ww kiboko kaka

  • @mohammedmkomi9087
    @mohammedmkomi9087 6 лет назад +23

    YAANI KAMA ILEEEE ..USIKIMBILIE MUME UTAUKONDESHA MOYO....
    huyu mtu nyimbo zake zinatibu mangonjwa sugu Kama horozesha hapo... niku #LIKE

    • @mesalimmuna8327
      @mesalimmuna8327 5 лет назад

      Mohammed Mkomi kabsaa umegonga ndipa

    • @Basagamp4
      @Basagamp4 5 лет назад

      Mohammed Mkomi Cassim huwa anaimba nyimbo ambazo hazijaimbwa

  • @nkanoroyal8950
    @nkanoroyal8950 6 лет назад

    Mzee wa mapenzi ni balaaaa hiyo ngoma nimejikuta Na replay Kila mda....haswa koras yke

  • @pammy2216
    @pammy2216 5 лет назад +1

    Love you mtanga mwenzangu @kassim mganga

  • @petroerasto2948
    @petroerasto2948 6 лет назад +6

    Fundiiii miaka buku #billionea

  • @mohamedaboud8019
    @mohamedaboud8019 6 лет назад +4

    Cassim mganga nakukubali kinoma..Najua umenisahau Ila Mimi ndio nilikufunga kilemba mombasa ulivyokuja kuoa.Najua ushanikumbuka

  • @williummathias7618
    @williummathias7618 6 лет назад +19

    dawa yao ngoma kali sana acha like za kutosha

  • @Xamo_love
    @Xamo_love 6 лет назад +8

    Hata mtume alisema ficheni uchumba tangazeni ndoa sababu wabaya wako ni hao unao waambia mambo yako I like this song much respect to tajiri wa mahaba

  • @Thabeetb
    @Thabeetb 6 лет назад +9

    Ni motooooooo......

  • @amoursalehamour6918
    @amoursalehamour6918 6 лет назад +7

    hukoseagi si kwa melody zinazo penya ndan kwa moyo

  • @robibrucelee8461
    @robibrucelee8461 6 лет назад +21

    Kama umemkubali Kassim gonga like hapo

  • @gidionnyangaka8940
    @gidionnyangaka8940 6 лет назад +11

    cassim bro u got the voice, I enjoyed the song

  • @bakarishabani4662
    @bakarishabani4662 5 лет назад

    kasim uko vizuri mkubwa hujawai kukosea

  • @kedmondkepha7707
    @kedmondkepha7707 5 лет назад +1

    Ni kweli

  • @kidotiali9414
    @kidotiali9414 6 лет назад +4

    Pole tajiri

  • @MutramagicTv
    @MutramagicTv 6 лет назад +13

    kama unamkubali tajiri wa mahaba gonga like za kutosha..
    Don't Forget Click Subscribe For Support And Update New Video GUYS :

    • @nadiafahad7945
      @nadiafahad7945 6 лет назад

      Sana tuuu yani zaidya sana nyimbo zake penda sana

  • @vampiresweez6890
    @vampiresweez6890 6 лет назад +3

    Dah yaaan ngoma inanifanya nisahau km kuna bashite

  • @johnmduda7841
    @johnmduda7841 3 года назад +2

    Fireeeeee

  • @winnycharles4277
    @winnycharles4277 6 лет назад

    Fundi ujawai niangusha kassim mganga bonge la ngoma dalila

  • @mohammedsaid9735
    @mohammedsaid9735 4 года назад +2

    Saf sana

  • @ummylahlove3418
    @ummylahlove3418 2 года назад

    Cassim mbn hajibu fans wako uku jmn....mie sijapentaaaa

  • @nasrahmohamed3756
    @nasrahmohamed3756 6 лет назад +4

    Kassim the special one wallah usibadili style yako..wenye utulivu wa akili wasiopenda papara we na muziki wako ndio tulizo letu la mawazo.

  • @finixsecurity8236
    @finixsecurity8236 3 года назад

    Listening from 254 today we mkali mwana

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад +4

    Nice song, inachezeka kiulaini kabisa

  • @kulwamkopak6190
    @kulwamkopak6190 6 лет назад +6

    Kasim we utanitoa roho💋👌👌

  • @abuuchaula6487
    @abuuchaula6487 6 лет назад +1

    we kassim we ni jeul

  • @alishaffi7715
    @alishaffi7715 6 лет назад

    Dalila huyo.salaaaaaaahleh .qassim upo kweli kweli .akachora tatu ya kopa na kati ya jina lake.

  • @husseinomary4466
    @husseinomary4466 4 года назад +2

    Anaemkubali huyu jamaa kua nifundi wa nyimbo za mahaba ogonge like hata moja

  • @urwatarah7611
    @urwatarah7611 6 лет назад +41

    Daaah mimi naona kama umeniimbia mimi kwaajili mimi sili nikashiba foreal

  • @asiazuberi2624
    @asiazuberi2624 6 лет назад +1

    Ningejua nifanye choyo daaaaaaa!kassim umeniua 😭

  • @princehozza6392
    @princehozza6392 5 лет назад +1

    Nakubali

  • @hadijapazia684
    @hadijapazia684 6 лет назад +6

    MB zng zinaishia kwny wimbo huu...

  • @fanemanzi4325
    @fanemanzi4325 6 лет назад +1

    walai unafanya vizur sana kazi zako daah nyimbo hii nimeipenda sana

  • @mamymayaliy3864
    @mamymayaliy3864 5 лет назад +1

    Hujawahi koseya kaka

  • @mrholela7906
    @mrholela7906 3 года назад +1

    Kassim hujawahi kukosea

  • @winniedaudi4670
    @winniedaudi4670 6 лет назад +2

    Nyimbo ya mwakaaaa ni fireeeeeeeee

  • @nourathamis7745
    @nourathamis7745 6 лет назад +1

    Mashallah... Hakika Tanga kunani vileeee.....kassim wanikosha mieeeeeee!!!!!!

  • @josephmbela3684
    @josephmbela3684 6 лет назад +3

    song Kali kinyamaa aaani gonga like tuende sawa

  • @kamkamandallaz7793
    @kamkamandallaz7793 3 года назад

    Wakina dalila chanciiiiii raha

  • @edwins5804
    @edwins5804 6 лет назад +5

    Very experienced Mganga....

  • @disimaskaponko6450
    @disimaskaponko6450 6 лет назад +1

    kasongi kazuri kweli nimekakubari sana

  • @KassimBakari-mw8ey
    @KassimBakari-mw8ey 4 месяца назад

    Kassim mganga , I kassim Bakari Bindo from dar es salaam tanzania

  • @dalylahrnelson5696
    @dalylahrnelson5696 4 года назад

    Ukaamua uniimbie pia.. Regards to you

  • @winniedaudi4670
    @winniedaudi4670 6 лет назад +3

    ❤❤❤

  • @dastonamichaels1854
    @dastonamichaels1854 6 лет назад +2

    Respek... Greetings from mombasa

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua2067 6 лет назад +92

    Yaan kassim mganga hajawahi kuniangusha hata siku moja kama nawewe hajawahi kukuangusha kama Mimi Like hapa

  • @allyabdallah1856
    @allyabdallah1856 6 лет назад +1

    Hatarious Dalilaaaaaaa..!!!

  • @salimzimbo6440
    @salimzimbo6440 6 лет назад +9

    My favourite artist of ol tym tajiri wa mahaba

    • @dkt.mohammedsaid8337
      @dkt.mohammedsaid8337 6 лет назад

      kassim yupo vizuri zaidi ya wanaoonekana wapo vizuri nyimbo zake zina ujumbe kamili

  • @ahmedissa9176
    @ahmedissa9176 6 лет назад +1

    Cassim Mganga another level

  • @chiwambobandawe7266
    @chiwambobandawe7266 6 лет назад +82

    Walai una upeo mkubwa tajiriiiii nanai anakubaliana na mimi agonge like

    • @Basagamp4
      @Basagamp4 6 лет назад

      chiwambo bandawe
      Yaani huyu jamaa akiwa anatunga nyimbo za mapenzi sijui huwa anafikiria kitu gani aiseeee

    • @nadiafahad7945
      @nadiafahad7945 6 лет назад

      Mm namkubali sn wallah nampenda sn

    • @awadhsaid5605
      @awadhsaid5605 6 лет назад

      Good kk

  • @naddelioness6872
    @naddelioness6872 6 лет назад +2

    Bae hukoseagi 🙌🙌 Bora nifanye choyo nidumu nae 👌👌 big up Kassim 😘😘😘 @Romyjohns I see yah ❤❤

  • @zuwenaally3723
    @zuwenaally3723 6 лет назад

    naipenda Sana'a I love you

  • @jastinelwambusha8085
    @jastinelwambusha8085 6 лет назад

    Kasim wee n kiburudisho cha moyo wangu napnd sana music ykoooo

  • @officialkissmiva9778
    @officialkissmiva9778 6 лет назад +16

    katika wasanii wenye identity zao timbulo na cassim.plus ally hapo mmebarikiwa

  • @kaeselionvidoti947
    @kaeselionvidoti947 6 лет назад +12

    Best Of The Best 🙌🙌🙌

  • @amigodossantos4129
    @amigodossantos4129 3 года назад +1

    Finally am here 🇹🇿🤩🎤

  • @JudithMakori
    @JudithMakori 6 лет назад +1

    huu wimbo ni moto sana......... kenya iko ndani.. nimeucheza sijui mara ngapi......kwanza pale kassim anakatika......1:36

  • @neemamatem3928
    @neemamatem3928 2 года назад +2

    I love this song so so much

  • @focushamza4871
    @focushamza4871 6 лет назад +16

    haujawahi kosea kaka nimeipenda hii

  • @Bijan93
    @Bijan93 6 лет назад +1

    So sweet

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda7927 5 лет назад +1

    Yeah

  • @aliyabhabhi4309
    @aliyabhabhi4309 6 лет назад +4

    Ukojuu sana Sana

  • @kololoko298
    @kololoko298 3 года назад

    Santhaa kassim

  • @samirmichael6337
    @samirmichael6337 6 лет назад +5

    kassim unajua xana

  • @augustynmedia
    @augustynmedia 6 лет назад +1

    Jamaa ni fundi.... Hahahahahaaa chezea tajiri wa mahaba.

  • @janejames1899
    @janejames1899 6 лет назад +4

    +254 mpo nice song

  • @zeddynatty9338
    @zeddynatty9338 5 лет назад +1

    Nice one

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 5 лет назад +1

    🔥✔👌

  • @kamalbashir5127
    @kamalbashir5127 5 лет назад

    Nakutafuta Awena, poppote ulipo, bint phililina msangi

  • @mkopmkop8750
    @mkopmkop8750 6 лет назад +3

    👌👌👌💞

  • @jamillaburhan1265
    @jamillaburhan1265 6 лет назад +1

    Melody tamu balaa ❤❤❤❤

  • @issalyatuu9965
    @issalyatuu9965 6 лет назад +9

    Fundiii 🔥🔥🔥

  • @miissfatou7070
    @miissfatou7070 6 лет назад +21

    Nice 👍👍👍👍
    mapenzi yoyo yo mis la dalila

    • @erickjoe9908
      @erickjoe9908 6 лет назад +2

      Kk unaweza mungu akusimamie uende mbele zaidi @ kassim sema dondosha collabo moja na q chilla

  • @khalifatwaha4212
    @khalifatwaha4212 6 лет назад

    huyu jamaa ana hatari zake..!

  • @honellohonello9606
    @honellohonello9606 5 лет назад +1

    NAAM TAJIRI MWENZANGU UMESEMA

  • @karoltunduli107
    @karoltunduli107 6 лет назад +1

    Love this Jam - Kassim Heshima Kwako

  • @erick56nelsoni22
    @erick56nelsoni22 6 лет назад

    Me nakukubali bro

  • @pettermollel2531
    @pettermollel2531 6 лет назад +3

    New supporters,,, nice work wakuu

  • @dismashaule1631
    @dismashaule1631 6 лет назад +1

    Ngoma kali midundo mikali yani nimeikubali

  • @faumamakwaia5095
    @faumamakwaia5095 2 года назад

    Leo Tarehe 11/ 11/ 2021 bado nausikiliza!!

  • @matimbwatv1856
    @matimbwatv1856 6 лет назад +1

    nice
    kama na ww ume elewa like hapa

  • @youngzabron2778
    @youngzabron2778 6 лет назад +14

    Tajiri wa mahaba uko juu kaka hata mond hakugusi

  • @gilbertmchahogo7222
    @gilbertmchahogo7222 4 года назад +1

    Toka nijue kusoma na kusikiliza fasihi wewe umekuwa mwandishi na msimuliaji bora kwngu kwa muda wote... Endelea kfanya kazi kwa kujiamini na kwa uwezo mkubwa ulionao :)