Kassim Mganga Feat. Baby J | Lea | Official Music Video
HTML-код
- Опубликовано: 2 окт 2024
- #KassimMganga #BabyJ #Lea #OfficialVideo @SlideDigital
(C) Slide Digital
SMS [Skiza 8091879] to 811
Kassim Mganga Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/kassimm...
Written & Performed by Kassim Mganga
Follow Kassim Mganga on:
Instagram; / kassimmganga
Twitter: / kassimmgangaa
Facebook: / kassim.mganga.3
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Tupia like kama haujawahi kuangushwa na cassim mganga
Tajiri Wa Mahaba, Gwiji , Fundi , Mwinyi Hajawahi Kuniangusha Kwenye ANGA Zake Haya EID MUBARAK Wa Tanzania Mna La Kusema Kwa CASSIM MGANGA
**TeamMahaba
**TeamTanga
Ahahahahha Nimekuona mkuu,,nisalimie Dada Yangu Blandina na mboni
hii nyimbo ina kasoro moja tu...halafu hilo tatizo lenyewe halipo😁😁😁😁 kituuuu
nakuona nakuona dady
Cassim jeshi la mtu moja
chiwambo bandawe sugzkfbkgfdkgfdknkdsk
baby j duuuh? nilikusahau umebadilika
kw siku natazama mara 6... kwny playlist yangu ipo peke yake... tunaojua mahaba😅😅😅😅
hujawah kuniangusha fundi wangu.. ☺☺☺cassim mganga.
Brother hukoseagi kama una nakubali like zakutisha
mnakua mnajua km izo nyimbo zenu hamuangaliii nyinyin majumbani mwenu mnajua km watu tofauti wanakuangalieni awo mashabiki zenu ndo wanakwambieni mvaaeee ivoooo
Cassim mganga wewe u deserve credit nyimbo Za mahaba
I like it,tafsida baba,"msafirishie chombo"uko vzr laiti wasanii wetu wangetumia lugha vzr tungeokoa kizazi chetu.lakini dah.big up bro
Tanga raha I love 🇹🇿
waah baby j yaani kapinduka nlidhani uzuri wa kidudumtu kumbe bado ulkua waongezeka shiiida jike BBW sasa 😍😍😍😍😘
I don't understand the language lakini hii nyimbo ni kali
You have never faild Cassim Mganga. Mwenyezi Mungu akuongezee.
Huyu baby j kawa na nyam hivi duuh😋😋
daa kassim uko vizuri sana daaa kuanzia leo mm nitakuita mwalimu wa mduara
nice
beby j. hujapendeza upo uchi sana na ww na kasim ni mtu na anko vip au
iyo michuchuuuuu!! au umepata ajira ya kunyonyesha???👅
Salma Suleiman 😂😂😂😂😂 itakua
Huu ujinga ulofanya baby j unatuonesha chuchu huoni km unajishusha thamani yako vitu vyengine si vyakuiga
hongera sana tajiri wa mahaba,nice song lea lea mamaa lea mwanaume km mtt lea
hongera zote zakwako
Wao mashalla
nyimbo nzuri lakini mwanamke yu uchi amekuaribia shoo
2021 weweeeee
Lea mama leaaa❤❤❤❤😂😂😂
Kassim upo juuuu /Shkamooo kwa mzik mzur
Kassim hukoseagi kuimba hata siku moja ila kaka hizo ndevu daah..
Baby J unatuonesha chuchu iseeh utaamsha dude huku
Athman Benta haaaaha dude????
Makorora
Mikanjuni
Kwa njeka 😁😁😁
He always kill
nyimbo zako tafauti na zengine nice mwaume kama mtoto kabisa ahitaji kubembelezwa
anaitwa bby jei mtoto huyo
yes brother nakuelewaga sana tangu kipindi kile ulivyo toa hawena ulinibamba kinoma noma
Ndugu yangu umenipa amani kila cku brazaa safiii ila naomba upige kolabo na q chilla au lava lava
Hahahahaha ngoma kali ila kakosa ni kadogo tu nafikiri wakati wa ku edit walijiamini kupita kiasi ,,wakati bbyj anaanza mbele kidogo utaona kiatu kama mguu wa mtu alie kua akija(au kusogea) tazama tena ! Vers ya bbj
😲 baby j anazidi kwa mrembo nice song... mganga .... baby j God has blessed you with everything gives you everything... but my number
First time listening to this song and am in love with it. this must play at my wedding
Sanatu Tanga moja
Lea leaa sio kwa kitchen part hii uliyotupa kasim mganga ni good ipe mbaywa
Baby J. Toa ngoma mpya wadau na mafans wako tufurahie
kasoro ya hii nyimbo ni kua ina mziki nzuri wa kucheza lkn wahusika wanapekekwa kisolomotion.
hawajawahi kuniangusha big up penzi kifaranga ndio anapotua oyooo#Lea
❤❤❤❤❤❤❤
Ama kweli hakuna mwanamke mwembamba baby jay zamani ulikua bomba
Sasa bby j ulikuja onesha katiti2 ama umeimba nn
Makorora twadeka kweli hahaha kama umetuona vile asee we ni mkali asante kwa kutupaisha twakupenda sana Wa makorora kassim
Arooooo wako wapi team free wi-fi come kujaaa sasaaa salute sultan wa tangaa oyooo
Video vixen🔥🔥😜
tale kashaomba poo wasanii wengine wote wa tiptop kawaroga ila kwa huyo wa manzabay kachemka yeye na mkubwa fisi.
hamoud mohamed KAKA HUYO KATOKA TANGA UYOOO KAAGAA KWAOO
wimbo mzuri lakin kassim hizo ndevu umekosea
Rahma ninoh hahahaha mi mwenyew hvyohvyo izo ndevu akuuu
TATIZO SIONDEVU ZA KASIM, TATIZO NI BABY J, KUKAA UCHI SANAAAAA, MIZIWA WAZIIII, MIPAJA WAZIIIIII, N NA LIMWILILENYEWE PUTO, NINI MAANAYAKE SASA,
WANAKERA SANA HAWA WATOTO WAKIKE WASIOJIELEWA, KAPATA NAFASI BADALA YA KUITUMIA VIZURI ANAHISI ATAISHANGAZA DUNIA KWAKUKAA MIZIWA WAZI, INATAKIWA ATAMBUE HAKUNA KIPYA KTK MWILIWAKE AMBACHO AKIKIONYESHA KWA JAMII KITAMPA MAFANIKIO ZAIDI YA SAUTIYAKE NA KIPAJICHAKE TU, MNAIGA IGA UPUUZI
MIRAJI TWAHA mie ata ndo kanikodosha macho na ivyo viguo alivyovaa na hyu mwenziwe kajictiri vizuri kabisaa aya we mungu atawakumbusha in Sha Allah
Hanadi Alabed umeona eeh
Kwa mziki mzuri wa Kassim Mganga siku za mbele atakua tajiri mkubwa kwa kupiga mziki wa bendi
bonge LA voko producer kachemka biti
safari hii naona ni kukata kiuno mpaka chini bby j nae kafura mwili
kassim hujawahi kuniangusha aise em jiunge na WCB kama nawe wasupport hii kitu gonga like.
Yusuph Madebari,,, let him stand by himself,,,he is amazing.
Yusuph Madebari mmmmm jamani kwani wcb ndio nn
Kassim Aboud sawa kaka
Baby j hayo maziwa yako hayana stara au?
Nyimbo haina maadili ndo maana zanzibar ndoa hzidumu
baba la masauti😍😍😍
izo nguo si bora ungemalizia kuvuaa tuuuu
Nampenda sana huyu dada yani basi tu
Wimbo mzuri sana #Tajir
hujawahi kuharibu fundiiiiiiiiiiiiiiii
Wimbo mzuri tatizo ndevu.Hiyo rangi inaonekana kama chafu
mwenye mziki wakeeee wimbo mtamuuuu balaaaaa
Itwo hapa nimekubali video next level
Kassim za hki
Unamziki mtamu and muzuri
Sna 😘😘
Na mwanamke pia anataka kulelewa...
Nakukubali tajir huu n moto mkubwa
Waapiiiii khasim leababa weweeeeee apo sasa
BABY JWE MZURI HATA UKIJISTIRI
Kassim looks like a character in a Harry Potter Movie 😂😂😂
dahh! huyu jamaa hapotezi fundi kabisa do your thang buddy we got ur back cassim mganga
baby j mpk nakusahau umekunywa maji
ebwana cassim hii nyimbo leo ni nomasana
baby j upo vizuri ila huko kuonyesha maziwa sio vzri mabinti wa kibongo duuu
tajiriiiiiiiiiiiiiiiiiii
Naiona zanzibar yetu tulivu
huyu ndo msani wa tz
Hamna vboko just love
poa uko juuu cassin mganga
Wachezaji Hakuna.
Tatizo Ndevu
ongera sana kazi mzuri
we Baby j wewe!
mganga kweli..
Ngoma kali iko poasana
tajiri wa mahaba sisi hao.
Joseph chungwa
nouma Sana huyu jamaa
safi sn kk we fund wa hizi kaz
Uko juu Mganga
tatizo ndevu
Nimeielewa
nitanga eti!
natazama video hii kutafuta kosa ili nimchimbe mwenzio hapa nipo round ya 18 nikiiwatch na sijapata nisaidieni kutafuta kosa ili tumpashe pamoja
paul onsembe ndevu
paul onsembe uwonii kwani ww
paul onsembe 😂😂😂😂
vizuri sana kaka
Daaa Nakukubali sana
kazi mzuri
Kassim wee ni nomaaaaa🙌🏻
iko vzr
Iko poa sana