Kassim Mganga Feat. Baby J | Lea | Official Music Video

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • #KassimMganga #BabyJ #Lea #OfficialVideo @SlideDigital
    (C) Slide Digital
    SMS [Skiza 8091879] to 811
    Kassim Mganga Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
    ffm.to/kassimm...
    Written & Performed by Kassim Mganga
    Follow Kassim Mganga on:
    Instagram; / kassimmganga
    Twitter: / kassimmgangaa
    Facebook: / kassim.mganga.3
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz

Комментарии • 134

  • @jumamichael4083
    @jumamichael4083 7 лет назад +80

    Tupia like kama haujawahi kuangushwa na cassim mganga

  • @rogiekissmohammed2350
    @rogiekissmohammed2350 7 лет назад +10

    Tajiri Wa Mahaba, Gwiji , Fundi , Mwinyi Hajawahi Kuniangusha Kwenye ANGA Zake Haya EID MUBARAK Wa Tanzania Mna La Kusema Kwa CASSIM MGANGA
    **TeamMahaba
    **TeamTanga

    • @dullatawakal1492
      @dullatawakal1492 7 лет назад

      Ahahahahha Nimekuona mkuu,,nisalimie Dada Yangu Blandina na mboni

  • @chiwambobandawe7266
    @chiwambobandawe7266 7 лет назад +24

    hii nyimbo ina kasoro moja tu...halafu hilo tatizo lenyewe halipo😁😁😁😁 kituuuu

  • @hemediphdvevo5338
    @hemediphdvevo5338 7 лет назад +11

    baby j duuuh? nilikusahau umebadilika

  • @maulamaula7583
    @maulamaula7583 7 лет назад +1

    kw siku natazama mara 6... kwny playlist yangu ipo peke yake... tunaojua mahaba😅😅😅😅

  • @maulamaula7583
    @maulamaula7583 7 лет назад +5

    hujawah kuniangusha fundi wangu.. ☺☺☺cassim mganga.

  • @musabakari8576
    @musabakari8576 4 года назад +1

    Brother hukoseagi kama una nakubali like zakutisha

  • @mohdsimai1546
    @mohdsimai1546 7 лет назад +2

    mnakua mnajua km izo nyimbo zenu hamuangaliii nyinyin majumbani mwenu mnajua km watu tofauti wanakuangalieni awo mashabiki zenu ndo wanakwambieni mvaaeee ivoooo

  • @beckerluhanga752
    @beckerluhanga752 7 лет назад +3

    Cassim mganga wewe u deserve credit nyimbo Za mahaba

  • @awitielias6814
    @awitielias6814 7 лет назад +2

    I like it,tafsida baba,"msafirishie chombo"uko vzr laiti wasanii wetu wangetumia lugha vzr tungeokoa kizazi chetu.lakini dah.big up bro

  • @binhobeetzharoub9934
    @binhobeetzharoub9934 3 года назад +2

    Tanga raha I love 🇹🇿

  • @alekopetro
    @alekopetro 7 лет назад +1

    waah baby j yaani kapinduka nlidhani uzuri wa kidudumtu kumbe bado ulkua waongezeka shiiida jike BBW sasa 😍😍😍😍😘

  • @janejames1899
    @janejames1899 6 лет назад +1

    I don't understand the language lakini hii nyimbo ni kali

  • @jildow4533
    @jildow4533 7 лет назад +1

    You have never faild Cassim Mganga. Mwenyezi Mungu akuongezee.

  • @yunusrnb5227
    @yunusrnb5227 3 года назад

    Huyu baby j kawa na nyam hivi duuh😋😋

  • @yunusifussy7289
    @yunusifussy7289 7 лет назад +2

    daa kassim uko vizuri sana daaa kuanzia leo mm nitakuita mwalimu wa mduara

  • @miissfatou7070
    @miissfatou7070 7 лет назад +1

    nice

  • @maryammaryamkiriwashwa1626
    @maryammaryamkiriwashwa1626 7 лет назад +2

    beby j. hujapendeza upo uchi sana na ww na kasim ni mtu na anko vip au

  • @singlemother4936
    @singlemother4936 7 лет назад

    iyo michuchuuuuu!! au umepata ajira ya kunyonyesha???👅

  • @rayouseif6720
    @rayouseif6720 5 лет назад +1

    Huu ujinga ulofanya baby j unatuonesha chuchu huoni km unajishusha thamani yako vitu vyengine si vyakuiga

  • @missagatha1756
    @missagatha1756 7 лет назад +1

    hongera sana tajiri wa mahaba,nice song lea lea mamaa lea mwanaume km mtt lea

  • @oddogee1278
    @oddogee1278 4 года назад

    hongera zote zakwako

  • @eunicekiilu7485
    @eunicekiilu7485 2 года назад

    Wao mashalla

  • @sophiakaiche4648
    @sophiakaiche4648 6 лет назад +2

    nyimbo nzuri lakini mwanamke yu uchi amekuaribia shoo

  • @ruthmdano4466
    @ruthmdano4466 3 года назад

    2021 weweeeee

  • @nourredineChikambo
    @nourredineChikambo Год назад

    Lea mama leaaa❤❤❤❤😂😂😂

  • @allyshame4013
    @allyshame4013 7 лет назад +1

    Kassim upo juuuu /Shkamooo kwa mzik mzur

  • @athmanbenta2852
    @athmanbenta2852 7 лет назад +2

    Kassim hukoseagi kuimba hata siku moja ila kaka hizo ndevu daah..
    Baby J unatuonesha chuchu iseeh utaamsha dude huku

  • @bongoyetu8938
    @bongoyetu8938 5 лет назад +1

    Makorora
    Mikanjuni
    Kwa njeka 😁😁😁

  • @willelia2554
    @willelia2554 3 года назад

    He always kill

  • @mamapekupekupilipilimuwash9016
    @mamapekupekupilipilimuwash9016 7 лет назад

    nyimbo zako tafauti na zengine nice mwaume kama mtoto kabisa ahitaji kubembelezwa

  • @khadijaali3688
    @khadijaali3688 7 лет назад +1

    anaitwa bby jei mtoto huyo

  • @fredyanania1401
    @fredyanania1401 5 лет назад

    yes brother nakuelewaga sana tangu kipindi kile ulivyo toa hawena ulinibamba kinoma noma

  • @HassanMohamed-vs4re
    @HassanMohamed-vs4re 7 лет назад

    Ndugu yangu umenipa amani kila cku brazaa safiii ila naomba upige kolabo na q chilla au lava lava

  • @callmangumbo1552
    @callmangumbo1552 7 лет назад

    Hahahahaha ngoma kali ila kakosa ni kadogo tu nafikiri wakati wa ku edit walijiamini kupita kiasi ,,wakati bbyj anaanza mbele kidogo utaona kiatu kama mguu wa mtu alie kua akija(au kusogea) tazama tena ! Vers ya bbj

  • @AbdulRahim-ci3wr
    @AbdulRahim-ci3wr 6 лет назад

    😲 baby j anazidi kwa mrembo nice song... mganga .... baby j God has blessed you with everything gives you everything... but my number

  • @mpendamuziki
    @mpendamuziki 6 лет назад +1

    First time listening to this song and am in love with it. this must play at my wedding

  • @muhindihamisi7091
    @muhindihamisi7091 3 года назад

    Sanatu Tanga moja

  • @zaujiaomary6713
    @zaujiaomary6713 7 лет назад

    Lea leaa sio kwa kitchen part hii uliyotupa kasim mganga ni good ipe mbaywa

  • @cholloriyamiy2249
    @cholloriyamiy2249 4 года назад

    Baby J. Toa ngoma mpya wadau na mafans wako tufurahie

  • @rashidseif6103
    @rashidseif6103 7 лет назад

    kasoro ya hii nyimbo ni kua ina mziki nzuri wa kucheza lkn wahusika wanapekekwa kisolomotion.

  • @queenmaa7892
    @queenmaa7892 7 лет назад

    hawajawahi kuniangusha big up penzi kifaranga ndio anapotua oyooo#Lea

  • @Furaha-q1h
    @Furaha-q1h Месяц назад

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @princessfathamy9787
    @princessfathamy9787 4 года назад

    Ama kweli hakuna mwanamke mwembamba baby jay zamani ulikua bomba

  • @mohammedc8704
    @mohammedc8704 4 года назад

    Sasa bby j ulikuja onesha katiti2 ama umeimba nn

  • @kibahasrall7387
    @kibahasrall7387 7 лет назад

    Makorora twadeka kweli hahaha kama umetuona vile asee we ni mkali asante kwa kutupaisha twakupenda sana Wa makorora kassim

  • @SalimSalim-fp7zd
    @SalimSalim-fp7zd 7 лет назад

    Arooooo wako wapi team free wi-fi come kujaaa sasaaa salute sultan wa tangaa oyooo

  • @johnklinte7284
    @johnklinte7284 4 года назад +1

    Video vixen🔥🔥😜

  • @hamoudmohamed6591
    @hamoudmohamed6591 7 лет назад

    tale kashaomba poo wasanii wengine wote wa tiptop kawaroga ila kwa huyo wa manzabay kachemka yeye na mkubwa fisi.

    • @sleyabdallah8051
      @sleyabdallah8051 7 лет назад +1

      hamoud mohamed KAKA HUYO KATOKA TANGA UYOOO KAAGAA KWAOO

  • @rahmaninoh7434
    @rahmaninoh7434 7 лет назад +3

    wimbo mzuri lakin kassim hizo ndevu umekosea

    • @melaniengitu8520
      @melaniengitu8520 7 лет назад

      Rahma ninoh hahahaha mi mwenyew hvyohvyo izo ndevu akuuu

    • @mirajitwaha1824
      @mirajitwaha1824 7 лет назад +2

      TATIZO SIONDEVU ZA KASIM, TATIZO NI BABY J, KUKAA UCHI SANAAAAA, MIZIWA WAZIIII, MIPAJA WAZIIIIII, N NA LIMWILILENYEWE PUTO, NINI MAANAYAKE SASA,

    • @mirajitwaha1824
      @mirajitwaha1824 7 лет назад +6

      WANAKERA SANA HAWA WATOTO WAKIKE WASIOJIELEWA, KAPATA NAFASI BADALA YA KUITUMIA VIZURI ANAHISI ATAISHANGAZA DUNIA KWAKUKAA MIZIWA WAZI, INATAKIWA ATAMBUE HAKUNA KIPYA KTK MWILIWAKE AMBACHO AKIKIONYESHA KWA JAMII KITAMPA MAFANIKIO ZAIDI YA SAUTIYAKE NA KIPAJICHAKE TU, MNAIGA IGA UPUUZI

    • @hanadialabed8635
      @hanadialabed8635 7 лет назад +1

      MIRAJI TWAHA mie ata ndo kanikodosha macho na ivyo viguo alivyovaa na hyu mwenziwe kajictiri vizuri kabisaa aya we mungu atawakumbusha in Sha Allah

    • @rahmaninoh7434
      @rahmaninoh7434 7 лет назад

      Hanadi Alabed umeona eeh

  • @saidriphat3491
    @saidriphat3491 7 лет назад

    Kwa mziki mzuri wa Kassim Mganga siku za mbele atakua tajiri mkubwa kwa kupiga mziki wa bendi

  • @fredrickitala3903
    @fredrickitala3903 7 лет назад

    bonge LA voko producer kachemka biti

  • @abdillahishaban913
    @abdillahishaban913 7 лет назад

    safari hii naona ni kukata kiuno mpaka chini bby j nae kafura mwili

  • @yusuphmadebari2030
    @yusuphmadebari2030 7 лет назад +18

    kassim hujawahi kuniangusha aise em jiunge na WCB kama nawe wasupport hii kitu gonga like.

    • @cassim4027
      @cassim4027 7 лет назад +3

      Yusuph Madebari,,, let him stand by himself,,,he is amazing.

    • @khadijaali3688
      @khadijaali3688 7 лет назад +1

      Yusuph Madebari mmmmm jamani kwani wcb ndio nn

    • @yusuphmadebari2030
      @yusuphmadebari2030 7 лет назад

      Kassim Aboud sawa kaka

  • @neytharkhan128
    @neytharkhan128 5 лет назад

    Baby j hayo maziwa yako hayana stara au?

  • @victoriachesco2833
    @victoriachesco2833 6 лет назад

    Nyimbo haina maadili ndo maana zanzibar ndoa hzidumu

  • @khadijambuta4360
    @khadijambuta4360 7 лет назад +1

    baba la masauti😍😍😍

  • @mohdsimai1546
    @mohdsimai1546 7 лет назад

    izo nguo si bora ungemalizia kuvuaa tuuuu

  • @willelia2554
    @willelia2554 3 года назад

    Nampenda sana huyu dada yani basi tu

  • @simonseyongwe
    @simonseyongwe 7 лет назад +1

    Wimbo mzuri sana #Tajir

  • @farajibohela5883
    @farajibohela5883 7 лет назад

    hujawahi kuharibu fundiiiiiiiiiiiiiiii

  • @fastfacts1967
    @fastfacts1967 7 лет назад +1

    Wimbo mzuri tatizo ndevu.Hiyo rangi inaonekana kama chafu

  • @kaeselionvidoti947
    @kaeselionvidoti947 7 лет назад

    mwenye mziki wakeeee wimbo mtamuuuu balaaaaa

  • @issasalum1546
    @issasalum1546 7 лет назад

    Itwo hapa nimekubali video next level

  • @khadijambuya794
    @khadijambuya794 5 лет назад

    Kassim za hki
    Unamziki mtamu and muzuri
    Sna 😘😘

  • @eddieelijah9359
    @eddieelijah9359 6 лет назад

    Na mwanamke pia anataka kulelewa...

  • @buruanisaidi2411
    @buruanisaidi2411 7 лет назад

    Nakukubali tajir huu n moto mkubwa

  • @zainabuomary1154
    @zainabuomary1154 5 лет назад

    Waapiiiii khasim leababa weweeeeee apo sasa

  • @zanzibarsmzenji
    @zanzibarsmzenji 7 лет назад

    BABY JWE MZURI HATA UKIJISTIRI

  • @TheAmadoni
    @TheAmadoni 7 лет назад

    Kassim looks like a character in a Harry Potter Movie 😂😂😂

  • @awadhtevez2918
    @awadhtevez2918 7 лет назад

    dahh! huyu jamaa hapotezi fundi kabisa do your thang buddy we got ur back cassim mganga

  • @nasrimohamed7556
    @nasrimohamed7556 7 лет назад

    baby j mpk nakusahau umekunywa maji

  • @mussaleonard4211
    @mussaleonard4211 7 лет назад

    ebwana cassim hii nyimbo leo ni nomasana

  • @aminakshamoona6900
    @aminakshamoona6900 7 лет назад +2

    baby j upo vizuri ila huko kuonyesha maziwa sio vzri mabinti wa kibongo duuu

  • @mohamedmkape698
    @mohamedmkape698 7 лет назад

    tajiriiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @prettypretty9745
    @prettypretty9745 5 лет назад

    Naiona zanzibar yetu tulivu

  • @halimrasham1221
    @halimrasham1221 7 лет назад

    huyu ndo msani wa tz

  • @ummymohamed4653
    @ummymohamed4653 7 лет назад +1

    Hamna vboko just love

  • @abdillahishaban913
    @abdillahishaban913 7 лет назад

    poa uko juuu cassin mganga

  • @bapiisniper5717
    @bapiisniper5717 7 лет назад

    Wachezaji Hakuna.

  • @gka9147
    @gka9147 7 лет назад

    Tatizo Ndevu

  • @kalidjokitokololo1558
    @kalidjokitokololo1558 7 лет назад

    ongera sana kazi mzuri

  • @mnzavachris5423
    @mnzavachris5423 7 лет назад

    we Baby j wewe!

  • @samuelnganga1654
    @samuelnganga1654 7 лет назад

    mganga kweli..

  • @issasalum1546
    @issasalum1546 7 лет назад

    Ngoma kali iko poasana

  • @kenphiskikeyaan7669
    @kenphiskikeyaan7669 7 лет назад

    tajiri wa mahaba sisi hao.

  • @josephchungwachungwa2174
    @josephchungwachungwa2174 7 лет назад

    Joseph chungwa

  • @geofreyernest3437
    @geofreyernest3437 7 лет назад

    nouma Sana huyu jamaa

  • @allyfleva8920
    @allyfleva8920 6 лет назад

    safi sn kk we fund wa hizi kaz

  • @zedbclaudiazed9584
    @zedbclaudiazed9584 7 лет назад

    Uko juu Mganga

  • @azizaooo6309
    @azizaooo6309 7 лет назад

    tatizo ndevu

  • @abdularteta500
    @abdularteta500 7 лет назад

    Nimeielewa

  • @lawwagama9978
    @lawwagama9978 7 лет назад

    nitanga eti!

  • @pwoka5208
    @pwoka5208 7 лет назад +2

    natazama video hii kutafuta kosa ili nimchimbe mwenzio hapa nipo round ya 18 nikiiwatch na sijapata nisaidieni kutafuta kosa ili tumpashe pamoja

  • @copromaganiko893
    @copromaganiko893 7 лет назад

    vizuri sana kaka

  • @adamsclassic9306
    @adamsclassic9306 7 лет назад

    Daaa Nakukubali sana

  • @rayanalhabsi8029
    @rayanalhabsi8029 5 лет назад

    kazi mzuri

  • @sigaliyejoyce6268
    @sigaliyejoyce6268 7 лет назад

    Kassim wee ni nomaaaaa🙌🏻

  • @naftarchaula9364
    @naftarchaula9364 7 лет назад

    iko vzr

  • @husnaomar9161
    @husnaomar9161 7 лет назад

    Iko poa sana