Kassim Mganga Ft Nyota & Kilimanjaro Band (Njenje) | Somo | Official Music Video

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • #KassimMganga #Nyota #KilimanjaroBandoNjenje #Somo #OfficialVideo @SlideDigital
    (C) Slide Digital
    SMS [Skiza 8091879] to 811
    Kassim Mganga Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
    ffm.to/kassimm...
    Written & Performed by Kassim Mganga
    Follow Kassim Mganga on:
    Instagram; / kassimmganga
    Twitter: / kassimmgangaa
    Facebook: / kassim.mganga.3
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz

Комментарии • 963

  • @jasminemussa4546
    @jasminemussa4546 8 месяцев назад +54

    Anyone in 2024 🥰🥰

  • @salehkaniki875
    @salehkaniki875 4 года назад +170

    Km mpaka LEO unaitizama hii ngoma gonga like twende sawa

  • @LevisKII-fi6nf
    @LevisKII-fi6nf 5 месяцев назад +7

    Hii song imetoka Niko form for jah bless my life mwez wa kumi naowa...hii nyimbo itapigwa inagusa Sana hisia zangu

  • @latiphakasimu6481
    @latiphakasimu6481 4 года назад +14

    Kwa kaka kaxm Tonga enx hizo bado anastill vzur weka like yako hapo kama bado unasikiliza hili goma 2020 somo wote oeeeh

  • @saidkale6465
    @saidkale6465 7 лет назад +39

    Mambo yetu ya tanga
    Pwani raha

  • @Baba_Ben.
    @Baba_Ben. 7 лет назад +380

    Huu sasa ndio mziki mzuri tunaouzungumzia kila siku. Kama nawe umeukubali gonga like.

  • @daudinyello4033
    @daudinyello4033 5 лет назад +38

    KAWIMBO FULANI HIVI AMAZING.....Tanga ya tajiri.
    KAMA UNAMKUBALI KASSIM MGANGA ACHIA LIKE YAKO

  • @Dantaata
    @Dantaata 3 года назад +2

    Wale wa 2021 gonga like

  • @Baba_Ben.
    @Baba_Ben. 7 лет назад +107

    Bonge ya nyimbo na hii ndio ilistahili Views 5M sio hizi za kipuuzi zenye kiki kwenye mitandao.

  • @priscakundy7233
    @priscakundy7233 5 лет назад +122

    Nani bado anapenda mpaka Leo 2019

  • @halimamshami3279
    @halimamshami3279 5 лет назад +36

    Nani mwengine bado anatazamaa hii 2019, the best song ever♡♥♡.

  • @theafricannetworker8229
    @theafricannetworker8229 4 года назад +7

    Ningeweza ningemfanya Kassim awe milionea kwa wimbo huu tu. Naweza kuusikiliza hata mara mia na sichoki.

  • @kaykay-wu1oh
    @kaykay-wu1oh Год назад +4

    Ila duuh,masomo viuno vigumu sijapentaaa

  • @akademkkz
    @akademkkz 7 лет назад +29

    vingoma flani amaizing..

  • @ChettaFlyee
    @ChettaFlyee 7 лет назад +348

    Mwanamama wa Mombasa nae mtaalam sana Nani kamuelewa kama mm ? Tia like

  • @amirkingu5481
    @amirkingu5481 7 лет назад +5

    Daaaah nimeskiliza hii ngoma ten times, hainiishi hamu, hivi vigoma vya wananjenje kwakweli vimenogesha sana hili goma, brooo umefanya kitu safi sana, Kasim unatuliaga sana kutunga ngoma zako zinafurahisha na kufundisha..... Somo la mwariiiiiiiiiiiiiii..................

  • @junayhaone874
    @junayhaone874 6 лет назад +7

    Hakika hii nyimbo inakonga moyoni
    Maadili
    Maufundi
    Yani kila ladha ya Pwani IPO hapo
    Hongera sana bro kassim mganga hujawahi kutuangusha

  • @mwafrikabarz4507
    @mwafrikabarz4507 6 лет назад +4

    Daah! Kasim, 😂😂wee kachaw, aseee! M husikilizaga&hufanya ngumu(hiphop), lkn huwa spitwi ngoma ako, 👑 👑
    Wagumu wenzangu, hebu gongeni like twende sawa

  • @numohd
    @numohd Год назад +6

    Old is gold asikwambie mtu kila ukisikiliza nyimbo ndio bado inazidi kuwa tamu👌🏽👌🏽👌🏽

    • @huss668
      @huss668 Год назад +1

      Kabisaa Old is gold👌👌👌

  • @benignendayishimye3449
    @benignendayishimye3449 7 лет назад +116

    I think i jst found my new favorite song ❤👌

  • @charleshaule4008
    @charleshaule4008 5 лет назад +3

    Tatizo ni kuwa hatuwaheshimu wasanii wazuri, Kasim Mganga hii kazi aliyoifanya ni kubwa sana nikiifananisha na zile za Tatu Nane. Huyu kijana ametuwakilisha kuutambulisha utamaduni wa Mswahili. Taasisi, vyombo vya habari na mtu mmoja mmoja tungewasaidia kununua kazi zao kuzitangaza kwa nguvu tungekuwa na tunu ya kujidai kwa wasanii wazuri kama Mganga. Mm namsikilza kwa makini Kasim Mganga, atapotea na uzuri wake kama wimbo Boko wa The Kilimanjaro, Indege ya Inafrika akina Bob Rubala na Bizzman bila kupata utambulisho wa Kimataifa. Naumia sana kwa kweli.

  • @rogathcostantine6767
    @rogathcostantine6767 7 лет назад +2

    DAR TAMU TANGA RAHA'MOMBASA OYEEEEE KIGOMA MPAKA TABORA 'ASALI YA VIONJO VYA PWANI,WEE FUNDI

  • @kaeselionvidoti947
    @kaeselionvidoti947 7 лет назад +127

    my favorite Singer Asante Sanaa nilimiss radha ya Kilimanjaro Band 😊😊😊

  • @joseph__kaale
    @joseph__kaale Год назад +2

    Wimbo mzuri (sio nyimbo wadau) wimbo mzuri sana laafudhi nzuri Kiswahili chepesi kinaeleweka maneno yanasikika ladha ya mwambao (sio radha wadau) wimbo umesheheni ujumbe na vionjo mujaarab (sio ngoma wadau ni wimbo)

  • @snahlicious
    @snahlicious 7 лет назад +52

    kabla ya kulishwa nabebwa naenda koga nae
    anisahaulisha nsilete mwenza hapo baadae
    nimehalisha namwomba mola nzikwe nae
    kitandani hachoshi pia
    tukilala anikumbatia
    ametulia ajilia vinono vya mumewe

  • @abouawladsanzesanze429
    @abouawladsanzesanze429 6 лет назад +6

    Nyimbo itaishi kwa muda mrefu.... Hongera sana tajiri wa Mahabba

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 2 года назад +4

    Tanzania ndio nchi pekee duniani ambapo muziki mzuri hauendi Ila makapi ndio yanayoenda! Sijui tumerogwa!

  • @arafatismail4945
    @arafatismail4945 5 лет назад +10

    Tsawe tamdaiweza 254 msambweni like kama zoteee za kassim

  • @nadiamajaliwa1564
    @nadiamajaliwa1564 7 лет назад +5

    mashallah MASHALLAH kassim bhanaaa umetupa rahaa jamanii nakizungusha kiuno taratiiibuuuu hakuna jasho wala ninii asante nyota waziri mmanyema wa kwetu uko juu na team yoote ya kilimanjaro band mwaaah

  • @missysunshine9932
    @missysunshine9932 6 лет назад +17

    nani anasikiliza mwaka huu mwezi huu..saa hizi

  • @lilianboimanda7443
    @lilianboimanda7443 7 лет назад +39

    mesejiiii nzuriiiii sanaaaaa ladiessss tuchezeeee huku ukitafakariiii ujumbeee huuuu I hope ndoa zilizovunjikaaaaaa ziungikeeee hasa wanawakeeeeeee

  • @badboy2577
    @badboy2577 7 лет назад +15

    Kali sana tazamia 1 M views mwisho wa mwezi wa feb

  • @Najla_Chimoche
    @Najla_Chimoche Год назад +3

    NYOTA a.k.a Bi. Riziki mamake Sanura 🥰🥰SANURA series ❤

  • @alilucadis4402
    @alilucadis4402 3 года назад +2

    Tunao angalia hii nyimbo mwaka huu tujuane 2021

  • @zuberymkumba3268
    @zuberymkumba3268 7 лет назад +13

    siye waungwana wa pwani unatuwakilisha vyema mno ndani ya bongo flavour hupotezi ladha za naghma za waungwana.....

  • @halimakindamba4883
    @halimakindamba4883 2 года назад +2

    Nyotaa anikoshaa anposemaa.mkishindwa mrudisheni na mpigeni kwa upande wa kangaa😁😁😁

  • @fatumaababy1281
    @fatumaababy1281 6 лет назад +145

    Nani bado upo 2018🔥🙌😘✅👌

  • @tuntulusekelo4191
    @tuntulusekelo4191 7 лет назад +42

    Somo na mwali kangalauke somo na mwali nenda nae rudi nae mwali wangu kangalauke . somo yake hoyee hoyee , somo wote hoyee hoyee . what a nice song aseeee Best Kassim

  • @mwanashoogobo1785
    @mwanashoogobo1785 Год назад +17

    2023 coast vibe always lit🇰🇪🇰🇪❤️🤗

  • @japhetkakwezi9497
    @japhetkakwezi9497 7 лет назад +46

    Kassim umetuletea bonge moja ya ngoma...huwa haubahatishi....from HAIWEZEKANI to SOMO ni muziki mzuri zaidi every single timefrom you...AHSANTE SANA kwa good music...hivyo vionjo vya wana njenje ni oooollleeeeeee oollleeee...BIG ONE

  • @isserkherry8593
    @isserkherry8593 7 лет назад +6

    tajir Wang mziki unaudai hela nyingi kassim mziki mzur hujawai niangusha

  • @arnoldnicholaus3835
    @arnoldnicholaus3835 3 года назад +1

    Huu wimbo hauishagi hamu hata miaka mingapi. Una Timbre za kutosha?

  • @FaidhaKihiyo
    @FaidhaKihiyo 2 месяца назад +5

    Tunawo angalia tujuane kwa like 😊

  • @mikerichard20
    @mikerichard20 2 года назад +1

    Kiukwl kila ninapo skia hu wimbo namkumbuk best angu ndugu yangu swaleh ulikuwa akipenda usikuiliza nami ndipo nilipo uskia 2017 mpka naleo 2022 nauskiliz kilanimkumbuk ndugu yangu tukiwa wote babati naupenda sana huwimbo wimbo somo

  • @grayson348
    @grayson348 7 лет назад +3

    My best brother singer, sijawah juta kukufaham broo safi sana na Mungu akubariki sana Mziki mzuri wenye mpangilio wa aina yake.

  • @dottoyasin8108
    @dottoyasin8108 6 лет назад +3

    Nkiwazia ndoa yng tu naikmbka nymbo hii,,wish npate somo kama huyu,,somo wote ooyeeeeeh!!!

  • @husnangapu502
    @husnangapu502 7 лет назад +3

    Mchukueni mkishindwa mrudishenin kwa somoe na nyakanga afundwe tena maneno kuntuje

  • @mohamedkaka7036
    @mohamedkaka7036 10 месяцев назад +2

    Master piece my party starter every weekend

  • @MoRasheed
    @MoRasheed 7 лет назад +5

    Kabla ya kulishwa nabebwa naenda kuga nae
    anisahaulisha nsilete mwenzako baadae
    Nimehalalisha namuomba Mola nzikwe nae eh
    anisahaulisha nsilete mwenzako baadae
    Kitanda ninacho shindia
    Tukilala anikumbatiaa..... *Write the following verse*

    • @filamupictures9349
      @filamupictures9349 7 лет назад +1

      Modi Rasheed anisahaulisha nsilete mweza hapo baadae

    • @shexiibabe1
      @shexiibabe1 7 лет назад +1

      ametulia anajilia vinunu vya mumewe anakulia eeeh ananukia vinunu na rangi, somo yake hoyee hoyee somo wote hoyee hoyee
      mwari fundi akizungusha mashallah, mpishi hodari hajui kuunguza mashallah

  • @aishasudi1571
    @aishasudi1571 5 лет назад +1

    kazuli kwel nakapendag akaa kanyimb jmn

  • @ziadasinga596
    @ziadasinga596 7 лет назад +7

    Nyota na kassim mmetisha wimbo nzuri umetulia ukiusikia automatic nyonga inacheza Masha Allah

    • @khadijarajab354
      @khadijarajab354 7 лет назад +2

      Ziada Singa umeona eee lazima kiuno kikupe ushirikiano

    • @nadiamajaliwa1564
      @nadiamajaliwa1564 7 лет назад +1

      Ziada Singa kiuno cha somo tena kungwi haswaa sio viono tuvionavyo siku hizi

  • @krushers__krushers__1860
    @krushers__krushers__1860 7 лет назад +4

    wimbo una mahadhi ya pwani raha tupu, huyo mama ameplay part yake vzr sanaaaaa....

  • @noinoi3823
    @noinoi3823 7 лет назад +8

    hiyo melody imeniumiza jamani takuja tanga kufundwa maana natafuta mchumba sina vigezo vigumu

  • @habibugingo96
    @habibugingo96 7 лет назад +2

    wimbo mzuri sana huu brother,hasa ukiwa unausikiliza while thinking on someone luvs you na unajua .big up

  • @lilithtity8865
    @lilithtity8865 4 года назад +47

    2020 anyone?!🇰🇪 representing..classic song

  • @mohamedkaka7036
    @mohamedkaka7036 10 месяцев назад +1

    My beautiful swahili people whats the meaning of mwarii?

  • @babahamrathy...7423
    @babahamrathy...7423 3 года назад +5

    Still listening in 2021

  • @antarsangali4456
    @antarsangali4456 Год назад +1

    NJENJE wamchukue Kassim Mganga atairudisha katika chati yake

  • @yusuphhaji1399
    @yusuphhaji1399 7 лет назад +186

    Mziki mzuri na ujumbe safi kwa wenye akili timamu....#Ahsante_Tajiri

  • @elizabethemil2727
    @elizabethemil2727 6 лет назад +2

    yani napenda hapo walipochanganya somo na mwali kangaraukee full mauno kila ukifikia hapo .

  • @salumuathumani2217
    @salumuathumani2217 7 лет назад +13

    Kwa Cassim ni maraha tu big up brother

  • @fatashkibz7421
    @fatashkibz7421 4 года назад +2

    Wa pwani mambo yakikwetu yako apa wamombasa like plz😍😍😍😄

  • @hamaddede464
    @hamaddede464 7 лет назад +24

    watu wanapenda muziki mzuri sio mziki wenye promo nzuri ukalazimishwa kuupenda

    • @Basagamp4
      @Basagamp4 6 лет назад

      Hamad Dede
      Nimeipenda Comment yako na umenena ukweli

  • @defence254
    @defence254 Год назад +2

    My favourite song

  • @twilamtumbi2647
    @twilamtumbi2647 7 лет назад +21

    Hautaki haraka music uliopangwa ukapingika, maadili haya ndiyo yetu pwani yanapotea, hivi video imenikumbusha mbali sana kuna mpaka kitanda cha TAUSI da zamani sana nimeipenda sana, safi mganga na nyota njenje

  • @aishawakesho2270
    @aishawakesho2270 Год назад +1

    Mi nimeujuwa Leo Kisha TikTok ndo imenifikisha huku😂 this song is lit

  • @سلطانسليمانبنجمعة
    @سلطانسليمانبنجمعة 7 лет назад +27

    lugha iko na wenyewe watu wa pwani, mashallah, Kiswahili kitamu kweli, big up guys, beautiful song. please give us more like this.

  • @teresiamsigala5925
    @teresiamsigala5925 3 года назад +1

    2021 tunaoendelea kuangalia hii ngoma nipeni like

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 5 лет назад +7

    Wow this song the best 🔥🔥🔥 October 2019 😜🤗

  • @jastusjonsony2721
    @jastusjonsony2721 3 года назад +2

    Who watching this 2021

  • @rajabumlanzi183
    @rajabumlanzi183 3 года назад +4

    January 2021..simply LEGEND ✌

  • @nzogoropatson1787
    @nzogoropatson1787 3 года назад +1

    2021 naickiliza la imetoka jana

  • @HamisiMtityo
    @HamisiMtityo 3 года назад +17

    @2021 still feel goose bumps, the guitar ,the lady's voice, and mwambao theme... damn still good

  • @yirgayemyirgah7820
    @yirgayemyirgah7820 4 года назад +1

    Daaaah huyu mama ana sauti jamaniiii,,,2020 nipo APA Ku enjoy sauti yake

  • @fatmaissa6681
    @fatmaissa6681 5 лет назад +5

    Wale wa Tanga wenzangu ambao bado waiangalia hii mukuje hapa ,,tupia like yako Tangaa raha bhanaa😍😍 najivunia kwakweli kuwa mtangaa

  • @fadhillahhaulejr6802
    @fadhillahhaulejr6802 5 лет назад

    Kombination hii ni balala kuna mama nyota sauti tangu na tangu kali Kasim kumetokea kitu cha ajabu sana nategemea More than 5m views

  • @SunShine-jn7xh
    @SunShine-jn7xh 7 лет назад +16

    kasimu naomba umpe zawadi huyo mama yaani kaupamba wimbo wako kuanzia uzuri wake na muonekano wake na ameimba vizuri sana. nimempenda sana huyo mama jamani. bg up sana kasim unatoaga nyimbo za ukweli

  • @deogratiusmlelema8677
    @deogratiusmlelema8677 4 года назад +1

    Hapa Kassim ulipiga... Miaka 100 watakusikiliza

  • @williammwajeka3347
    @williammwajeka3347 7 лет назад +3

    Daah music unajua xn, talent yko kubw xn, honger xn bro 👏

  • @madegajan1912
    @madegajan1912 7 лет назад

    DAH HUYU DEMU ANA MKUNDU HALAFU MZURI KICHIZ,mziki mtamu kapatia kinoma kumuweka huyu dada

  • @josephmwananzumi6412
    @josephmwananzumi6412 7 лет назад +5

    Safi sana muziki mzur ladha nzuri vinanda vizur

  • @krushers__krushers__1860
    @krushers__krushers__1860 7 лет назад +2

    Huu wimbo jamani sichoki kuusikiliza na kuuangalia, bonge moja la wimbo.

  • @hammerQ954
    @hammerQ954 7 лет назад +4

    safiiiii

  • @babyhawa4542
    @babyhawa4542 7 лет назад +5

    zuri sana

  • @JumaHussein-u5l
    @JumaHussein-u5l 11 месяцев назад +1

    Hinyimbo inanikusha mbali sana kaka kasimu ngoma zako Kali hujawahi kukosea kaka

  • @anodnjenje9084
    @anodnjenje9084 7 лет назад +6

    Nmeelewa kasimu we ni nouma

  • @Lilley96
    @Lilley96 5 лет назад +3

    Hii nyimbo nimeitafuta after kuiskia harusini finally nimeipata

  • @dylomemohabbat9610
    @dylomemohabbat9610 7 лет назад +6

    Hii ni hataaar kwa Afya

  • @Omary_Mjema
    @Omary_Mjema Год назад +1

    Duh miaka 6 ishapita 😢nyie Umri unakimbia hile mbaya 2023

  • @moses7655
    @moses7655 4 года назад +3

    Who else is here after watching esmas wedding

  • @graysontogo4251
    @graysontogo4251 Год назад +1

    Kasimu unajua na dada nyota

  • @nasrihassan7460
    @nasrihassan7460 7 лет назад +4

    Tulikuwa tumemic mzuki mzuri kama huu

  • @kiulajuma3989
    @kiulajuma3989 7 лет назад +2

    Mziki mzur sana, that's true music, Hongera sana Kassim hii ni moja ya Nyimbo yangu bora sana kwa mwaka huu 2017 narudia tena Hongera sana 👏👏👏

  • @neemaonesmo2959
    @neemaonesmo2959 7 лет назад +4

    Niceeee song full kkata viuno hapa

  • @muhammadomar1787
    @muhammadomar1787 3 года назад +1

    Kila Siku lazima niuangalie huu wimbo
    Tam sana isioisha hamu
    Kassim bigup sanaaaa
    More love from Kenya❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @aishakhatib1041
    @aishakhatib1041 6 лет назад +3

    cjawai kinai kuckiliza huu wimbi

  • @shariffaabdalla2170
    @shariffaabdalla2170 3 года назад +1

    Hadi june 2021 tunaangali ili goma tujuane apa👌👌

  • @brownchonya8033
    @brownchonya8033 7 лет назад +3

    Mganga ugangani Hatar tupu

  • @heriholder1625
    @heriholder1625 4 года назад +1

    Nimekuja hapa baada ya kuiskia ktk harusi ya Esma , kassim unajua dah, kirimanjaro band Wana njenje 🙏🙏🙏

  • @athmanbenta2852
    @athmanbenta2852 7 лет назад +4

    Daah this song is too good for sure!