wasafi tv ujinga uko nayo shabikia mziki acha utimu sio lazima sote tunyue beer sisiwengine tunapenda wine alikiba is sweet and long-lasting wine ndo mana ameka game all the time take that to the bank and nenda shule acha kumaliza muda kutusi musani wajamii
Wewe Karan onot acha kutuletea habar za huyo kibamia kwenye ngoma za kjanja kasikilize masebene yenu kule au mshaurin kiba afanye biashara ya machup makubwa makubwa Kama ile ya nandi manake mzik awaachie kwangwaru mamaee povu ni luksaaaa
Ona ona sasa ona sasa ona sasa ona sasa ona l swear believe that umenikata kichwa nimekua mlevi kwa penzi lako mwambie mganga wako aogeze 😍😍maneno yao kma choo 🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎵🎵🎵🎶🎶big up lulu and rich
Asee mimi huu wimbo naupenda sana Jaman una kiradha yake hv amazing 😍😍🤩
Daaah!! Yaani mavoko kipaji chetu hiki sijui kapotelea wapi, huyu jamaa anajua sana
Even in 254
mtoto mzuriii pia mziki mzuriii wala siyo sebenee.....like za #lulu diva hapaaa kama unamkubalii🙌🙌🙌🙌🙌🙌
wasafi tv ujinga uko nayo shabikia mziki acha utimu sio lazima sote tunyue beer sisiwengine tunapenda wine alikiba is sweet and long-lasting wine ndo mana ameka game all the time take that to the bank and nenda shule acha kumaliza muda kutusi musani wajamii
wasafi tv 🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥
Wewe Karan onot acha kutuletea habar za huyo kibamia kwenye ngoma za kjanja kasikilize masebene yenu kule au mshaurin kiba afanye biashara ya machup makubwa makubwa Kama ile ya nandi manake mzik awaachie kwangwaru mamaee povu ni luksaaaa
wasafi tv makini 💯💯😂😂✔
Ona Sasaaaaa ona ngoms kali video kali sanaaa luludiva bby washaa moto kituuu kimbaaaaa
Kama unamkubali rich mavoko aka Messi wa bongo fleva ngonga like hapa
Middle simba 💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪
Rojas Kimwaga noma sana mzee baba
Middle simba 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Middle simba hatari sana kaka mkuu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nimpenda ur song lulu diva & rich uko n mambo ni 💥💥moto mko vizuri wapendwa 😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
Trice Bite kweli eeeh
Trice Bite niceee
akii saut kama ya giggy mapesa...kumbe mchumba ndo huyu😍😍 bonge lakitu
Nyimbo kaliii saaana aise,Luludivatz & Richmavoko mme funika mbaya humu
Bonge la jam yaani mtoto mzuri na mziki mzuri basi mpaka raha yaani na mavoko utadhani katumwa na kijiji...🔥🔥🔥🔥🔥
Wazi
Rich Mavoko unaweza Big Up Félicitations
mavoko rich ww an nakukubal sana naweit mzigo wako iy video nimeipata still in wasafi umwaaaaaaaaaaaaaaaa
Huu moto nahis mwez ukipita bila kuichek daah sizisikii kama ninamood yan.. bonge la HIT SONG
Ona sasa onaaaa😍😍 kazi nzur jomoni
mavokoooooooooo we no nyokooo aseee sio kwa ufundi huoo messiiiiii big up broo MPE hai beby diva mwambie nimeonaaaaaaa
Team Lulu? Uuh mommy
Nakubali sana❤️😍🔥
From USA 🇺🇸 ❤️❤️
#onasasaonasasaona
hii chemistry! yakibabe
Aurelie Bma waooooo
Aurelie Bma 👌🏼👌🏼👌🏼
Hili dude noma sanaaaaaa... Richie weka huyu Mtoto mimba yaishe
From USA Sijui Kiswahili Vizuri Ila Hii Ngoma Ni Kali Sana Asee
🤣🤣🤣sijui kiswahili 🤣
Ngoma Kali Sana Aisee Sijapata Kuona Mjini Ona Sasa Ona Sema Nini Diva Tunyoooshee Mambugila Wasiojitambua Kwenye Game La Mziki
aseee ume uwa divana salute you bae😍😘😘😘😘😘😘
Nyoka jamani nyoka...sijapenda kabisa....ila rich mavoko part yako iko kabisa
Lulu una enjoy saaana kiasi unashindwa kuficha kama mko na mahusiano you act as really
nice
Makonde Finest umeonaee
Noma
Kama kipofu Mimi sioni,uchungu wa mepnzi unakaba koo,s tukale mamba mtoniii. Daaahhh diva ur voice is soooo lip...
2juane apa 2020 wanaoangalia hii nyimbo ya diva ft mess wa mzki"
Great song..shida ni iyo nyoka .....pu!
Big up lulu diva,upo n fundii mavoko
huyu diva anampenda sana rich.......sema messi km anampotezea hv......sema kumamake goma n kali...
Hongera sana kaka yangu mavoko hujatuangusha WCB
wasafi bhana,hahhaha we acha tyu
Mavokkoo🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Hapo kwa Richard ndo pana nifanya nikae nanunu kifurushi daaa, ona sasa, ona sasa, ona sasa mb zangu zina kata
Ayubu Henry ona sasa ona
ruwaida mohd yaaap Ona sasa ona, nimeingia tena youtube ku watch
waaao
Ayubu Henry good
kaka mavoko nimeipenda sana hiyo nyimbo ona sasasa ona ona sasasa ona happy brother
Nimebaki kiwiliwili basi simamia tishaaa sanaaa🔥🔥🔥🔥
on aaah. .sasa on aaah. .on aaah sasa. ngoma hatar iiiii. ..!
hahahaha NGOMA kaliii mzee baba
ndo maana nmekoment
kama unaungana nami ngoma kali gonga like.....................
Mbona si iichoki huu wimbo mtamu hatar ila lulu diva ujue mie ndio shabiki wako namba moja Akia mungu tena I love you
Iko Vizuri Sana Good Music ✔✔
Ngoma kali kinoma mpaka naugulia, yaan mbuz kafa kwa bucha ni shidaaaa!
kalii sana rep kenya here💪💪
hongera Mama... bonge ya pin #lulu diva =ona
Hii Ngoma unaweza ukaombea msamaha kwa mke wako na yakaisha kabisa bila shida #ONA ni bonge la ngoma aisee
TITI SHARA 😂😂😂😂😂 kbsaaaaa ona sasa ona
😂😂😂😂 yategemea n kosa gan
hahahaa
TITI SHARA 😂😂😂😂fala ww
TITI SHARA mi nshaombea msamaha umekubaliwa
Sasa ilo linyoka la nini khaaaaa kuiga iga huku nako na ayo marangi ya kijani mdomoni mmhhh wimbo ata sio mzuri mnatiwa tu moyo
Mwamke hawezi hata kidogo mavoko juuu
mwambh mganga wako kniweza,nzur xana Dada diva 😍😍😍😍
Happy Mbare 🔥🔥🔥👌🏼👌🏼
Lulu dv nixhakutoleaga mahali uclixahau hlooo😀😀
saaaa baby simamiia lulu diva ndo nn sasa mziki mzur ivy
Kama Unaipenda Huu Wimbo gonga Like
Hongera sana kutoka +254....MZUUUUKA!!!
nzuriii snaaaaa😘😘😘😘😘😘
Wakati watu wanateletea ngoma Kali mwana Fulani anatuletea maboringo
kama umerudi kuangalia kama Mimi like isikose
Joyce Filbert poa
Joyce Filbert uko safiiiiiii
Nzurisana
Daaah hawa wanawake hawaeleweki baada ya kuona dhihaki ya lulu kwa mavoko ikabidi nije you tube kwanza, any way mungu amtangulie jembe letu mavoko
Ngoma iko mwaaaaaaaaaaa hongereni sana kwa kazi nzuri
Mwafulani ...anauliza amenipa nini? 😍😍😍
kumbe lulu diva nimbaya hvo kweli vipodozi vinasaidia duh
rich mavoko unaweza gonga like twende sawa
Siopouwa
Yupo vzr sana mzee baba rish
nipe hata kimoja nisimamie ukucha ona sasa ona ona sasa ona hatariiiiii sana weka mbali na mwanangu hiyo remont hatariii sana diva mwenyewe
Kazi poa.. keep it up.. 💪💪💪
Kali sanaaa... Ona sasa ona ona sasa ona🏅🎯
Still best song to me in 2020🔥🔥🔥
ona sasa ona bonge la nyimbo mdogo wangu umefunika mbayaaaaa
MAVOKOOO!My all time.nice work bro
Hatar wcb hakuna kilaza rich noma ngoma kalh xana wote wameimba vzr
ngoma kali aisee luludiva ila mavoko kauwa zaidi
Jonathan Ermas vp kuhusu Jay z sasa
Naona mafundi mme kutana safi sana kazi nzuri mavoko bana
Big Up saaaana @lulu diva @rich mavoko
jaman umenipa mimeomba poooo 😀 🔥
Huyo nyoka bwana nice song
Mageka Julius gf
bonge la ngoma mmetisha kinoma yan♥♥♥👍👍👍👍👆🛂💟💟👍👍
nzuriii sstr
Ngoma Kali sana yan wameiwezea sana congratulations lulu diva and bro mavoko kwa kazi nzuri
2019 nimekuja kusikiliza sauti ya mavoco alafu naondoka by
Nice song 👌👌
Support cha kwetu kilosa mojaaaaa hiyooo rich
Nilipokuonja nikaomba poooooh
Nipe hata kimojaaaa nisimamie ukuchaaa tamu kama embe za kibaba mbuzi kafa kwa buchaaa.....ona sasa ona
Wakenya wenzangu mko wapi june 4th 2020?
mavokooooo hatari sanaaaaa anajuaaa muzik kiukwel
Naona born to shine wamekata jingle ya wasafiiii, ha ha ha dozen nae kijiba roho, sikiliza audio na video hapo anapo Anza mavoko utaona.....
mickidadi Igali
#WASAFI imetolewa, but why is that?
Ramazani Mulongeca hata sijui
Dozen ndio snitch pale clouds
Ona ona sasa ona sasa ona sasa ona sasa ona l swear believe that umenikata kichwa nimekua mlevi kwa penzi lako mwambie mganga wako aogeze 😍😍maneno yao kma choo 🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎵🎵🎵🎶🎶big up lulu and rich
Perfect husband and wife
Keep it up mashallah
Umetisha saana hii ngoma bidada, binafsi nakukubali kinomanoma..
Nimekuwa mlevi wa penzi lako
Kalii lulu mweny diva yakee
I love this song so much. Tanzania always coming through with bangers
Rich mavoko messii unajua sana ndugu yangu
nice song bt huyo nyoka jamanii🙈🙈
Jasmine baibe 🔥🔥🔥
Farhat Yummy 😍😘😍😍😍
Diva baeby,umeshika ndipo wallai,umependezana na mavoko sana,tupatieni tena collabo inginr na mavoko...,Nina wapenda bure tuu..peace
Your voice is unconditional ❤️❤️❤️😍I love you so much
ngoma safi sana Lulu, just zidisha mama
Ona sasa ona 💃🔥
Mama umetishaaaaaa...nyokooooo yn...
Perfect combo...gud chemistry...gud music
Uwiii hii ngoma ni baraa jmn we lulu wewe
kazi mzur nakubal kaz zako
Tutafika mbalii sana Dada tupambane tu amnaga Dada kama wewe kwenye game hii
I DEEPLY GET TOUCHED WITH MAVOKO'S BREAK DANCING
One of my favorite song right now!!
kazi nzuri kobe you lulu diva
hii video ni moto
it must bn#1 on trend
Mh bonge la song big up sana
Number one bad gal ft Messi Was bongo
rich umetisha kama umkubali rich like ndo na ngojea apa
Nzur kwa kulia Daku msimu huu wa ramadhani..
Rich na lulu diva wametokelezea kinoma
ngoma Kali Sana sema Richard najua umeuchangia ukali wa wimbo