Lulu Diva Ft Rich Mavoko - Ona (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 1,3 тыс.

  • @diva_20162
    @diva_20162 5 месяцев назад +6

    Asee mimi huu wimbo naupenda sana Jaman una kiradha yake hv amazing 😍😍🤩

  • @shamteabeid2026
    @shamteabeid2026 10 месяцев назад +6

    Daaah!! Yaani mavoko kipaji chetu hiki sijui kapotelea wapi, huyu jamaa anajua sana

  • @henrypodolski3652
    @henrypodolski3652 6 лет назад +270

    mtoto mzuriii pia mziki mzuriii wala siyo sebenee.....like za #lulu diva hapaaa kama unamkubalii🙌🙌🙌🙌🙌🙌

    • @karaniomoit5259
      @karaniomoit5259 6 лет назад +2

      wasafi tv ujinga uko nayo shabikia mziki acha utimu sio lazima sote tunyue beer sisiwengine tunapenda wine alikiba is sweet and long-lasting wine ndo mana ameka game all the time take that to the bank and nenda shule acha kumaliza muda kutusi musani wajamii

    • @myriamjay
      @myriamjay 6 лет назад +1

      wasafi tv 🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥

    • @isackbaton9759
      @isackbaton9759 6 лет назад +1

      Wewe Karan onot acha kutuletea habar za huyo kibamia kwenye ngoma za kjanja kasikilize masebene yenu kule au mshaurin kiba afanye biashara ya machup makubwa makubwa Kama ile ya nandi manake mzik awaachie kwangwaru mamaee povu ni luksaaaa

    • @tzchannel6314
      @tzchannel6314 6 лет назад

      wasafi tv makini 💯💯😂😂✔

  • @sharomresa1581
    @sharomresa1581 6 лет назад

    Ona Sasaaaaa ona ngoms kali video kali sanaaa luludiva bby washaa moto kituuu kimbaaaaa

  • @middlesimba
    @middlesimba 6 лет назад +755

    Kama unamkubali rich mavoko aka Messi wa bongo fleva ngonga like hapa

    • @rojaskimwaga4078
      @rojaskimwaga4078 6 лет назад +1

      Middle simba 💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪

    • @middlesimba
      @middlesimba 6 лет назад +3

      Rojas Kimwaga noma sana mzee baba

    • @rojaskimwaga4078
      @rojaskimwaga4078 6 лет назад +1

      Middle simba 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @rojaskimwaga4078
      @rojaskimwaga4078 6 лет назад +1

      Middle simba hatari sana kaka mkuu

    • @bukaone7507
      @bukaone7507 6 лет назад

      🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @tricebite8175
    @tricebite8175 6 лет назад +94

    Nimpenda ur song lulu diva & rich uko n mambo ni 💥💥moto mko vizuri wapendwa 😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘

  • @jei_maimu6957
    @jei_maimu6957 6 лет назад +4

    akii saut kama ya giggy mapesa...kumbe mchumba ndo huyu😍😍 bonge lakitu

  • @olofjohn2504
    @olofjohn2504 6 лет назад +1

    Nyimbo kaliii saaana aise,Luludivatz & Richmavoko mme funika mbaya humu

  • @frowinfocus5641
    @frowinfocus5641 6 лет назад +5

    Bonge la jam yaani mtoto mzuri na mziki mzuri basi mpaka raha yaani na mavoko utadhani katumwa na kijiji...🔥🔥🔥🔥🔥

  • @AimedoKasanya
    @AimedoKasanya 4 месяца назад

    Rich Mavoko unaweza Big Up Félicitations

  • @stephanozibe2740
    @stephanozibe2740 6 лет назад +7

    mavoko rich ww an nakukubal sana naweit mzigo wako iy video nimeipata still in wasafi umwaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @youngzubelyzubely2288
    @youngzubelyzubely2288 Год назад

    Huu moto nahis mwez ukipita bila kuichek daah sizisikii kama ninamood yan.. bonge la HIT SONG

  • @roseenock2166
    @roseenock2166 6 лет назад +8

    Ona sasa onaaaa😍😍 kazi nzur jomoni

  • @samainainverstment8132
    @samainainverstment8132 6 лет назад +1

    mavokoooooooooo we no nyokooo aseee sio kwa ufundi huoo messiiiiii big up broo MPE hai beby diva mwambie nimeonaaaaaaa

  • @aureliebeatrice5952
    @aureliebeatrice5952 6 лет назад +6

    Team Lulu? Uuh mommy
    Nakubali sana❤️😍🔥
    From USA 🇺🇸 ❤️❤️
    #onasasaonasasaona

  • @anthonym2542
    @anthonym2542 6 лет назад

    Hili dude noma sanaaaaaa... Richie weka huyu Mtoto mimba yaishe

  • @bongonewstz
    @bongonewstz 6 лет назад +8

    From USA Sijui Kiswahili Vizuri Ila Hii Ngoma Ni Kali Sana Asee

    • @neemadenis31
      @neemadenis31 3 года назад

      🤣🤣🤣sijui kiswahili 🤣

  • @junioursalum3505
    @junioursalum3505 6 лет назад +1

    Ngoma Kali Sana Aisee Sijapata Kuona Mjini Ona Sasa Ona Sema Nini Diva Tunyoooshee Mambugila Wasiojitambua Kwenye Game La Mziki

  • @kekuugodwin8712
    @kekuugodwin8712 6 лет назад +6

    aseee ume uwa divana salute you bae😍😘😘😘😘😘😘

  • @boldwalkclassy7656
    @boldwalkclassy7656 6 лет назад

    Nyoka jamani nyoka...sijapenda kabisa....ila rich mavoko part yako iko kabisa

  • @makondefinest
    @makondefinest 6 лет назад +25

    Lulu una enjoy saaana kiasi unashindwa kuficha kama mko na mahusiano you act as really

  • @kakulumajara7257
    @kakulumajara7257 5 лет назад

    Kama kipofu Mimi sioni,uchungu wa mepnzi unakaba koo,s tukale mamba mtoniii. Daaahhh diva ur voice is soooo lip...

  • @slimdadybaishe8948
    @slimdadybaishe8948 4 года назад +8

    2juane apa 2020 wanaoangalia hii nyimbo ya diva ft mess wa mzki"

  • @kennedykibutu938
    @kennedykibutu938 Год назад +1

    Great song..shida ni iyo nyoka .....pu!

  • @johmassawe2154
    @johmassawe2154 5 лет назад +5

    Big up lulu diva,upo n fundii mavoko

  • @leunammeleunamme6019
    @leunammeleunamme6019 6 лет назад

    huyu diva anampenda sana rich.......sema messi km anampotezea hv......sema kumamake goma n kali...

  • @juniorlyatuu710
    @juniorlyatuu710 6 лет назад +7

    Hongera sana kaka yangu mavoko hujatuangusha WCB

  • @ianilomo9505
    @ianilomo9505 6 лет назад +1

    Mavokkoo🙌🏾🙌🏾🙌🏾

  • @ayubuhenry5426
    @ayubuhenry5426 6 лет назад +53

    Hapo kwa Richard ndo pana nifanya nikae nanunu kifurushi daaa, ona sasa, ona sasa, ona sasa mb zangu zina kata

  • @issahmkigomastars3479
    @issahmkigomastars3479 5 лет назад

    kaka mavoko nimeipenda sana hiyo nyimbo ona sasasa ona ona sasasa ona happy brother

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 6 лет назад +6

    Nimebaki kiwiliwili basi simamia tishaaa sanaaa🔥🔥🔥🔥

  • @deusdedityaugustino6784
    @deusdedityaugustino6784 6 лет назад

    on aaah. .sasa on aaah. .on aaah sasa. ngoma hatar iiiii. ..!

  • @directormktz
    @directormktz 6 лет назад +18

    hahahaha NGOMA kaliii mzee baba
    ndo maana nmekoment
    kama unaungana nami ngoma kali gonga like.....................

  • @k-radtz7633
    @k-radtz7633 6 лет назад

    Mbona si iichoki huu wimbo mtamu hatar ila lulu diva ujue mie ndio shabiki wako namba moja Akia mungu tena I love you

  • @benimagaya7966
    @benimagaya7966 6 лет назад +5

    Iko Vizuri Sana Good Music ✔✔

  • @lovemanzacharia2112
    @lovemanzacharia2112 6 лет назад

    Ngoma kali kinoma mpaka naugulia, yaan mbuz kafa kwa bucha ni shidaaaa!

  • @mrmwakai3586
    @mrmwakai3586 6 лет назад +31

    kalii sana rep kenya here💪💪

  • @dannykembo7214
    @dannykembo7214 6 лет назад

    hongera Mama... bonge ya pin #lulu diva =ona

  • @titishara
    @titishara 6 лет назад +41

    Hii Ngoma unaweza ukaombea msamaha kwa mke wako na yakaisha kabisa bila shida #ONA ni bonge la ngoma aisee

  • @josephinejoseph8092
    @josephinejoseph8092 6 лет назад

    Sasa ilo linyoka la nini khaaaaa kuiga iga huku nako na ayo marangi ya kijani mdomoni mmhhh wimbo ata sio mzuri mnatiwa tu moyo

  • @bolizozoshirima8088
    @bolizozoshirima8088 6 лет назад +5

    Mwamke hawezi hata kidogo mavoko juuu

  • @mussambare4230
    @mussambare4230 6 лет назад

    mwambh mganga wako kniweza,nzur xana Dada diva 😍😍😍😍

    • @FarhatYummy
      @FarhatYummy 6 лет назад

      Happy Mbare 🔥🔥🔥👌🏼👌🏼

  • @joytz4401
    @joytz4401 6 лет назад +5

    Lulu dv nixhakutoleaga mahali uclixahau hlooo😀😀

  • @watejawetu8276
    @watejawetu8276 6 лет назад

    saaaa baby simamiia lulu diva ndo nn sasa mziki mzur ivy

  • @hajistshariast6335
    @hajistshariast6335 6 лет назад +9

    Kama Unaipenda Huu Wimbo gonga Like

  • @ianmartin9349
    @ianmartin9349 6 лет назад

    Hongera sana kutoka +254....MZUUUUKA!!!

  • @moubilly7703
    @moubilly7703 6 лет назад +11

    nzuriii snaaaaa😘😘😘😘😘😘

  • @MrMbwelwa
    @MrMbwelwa 6 лет назад

    Wakati watu wanateletea ngoma Kali mwana Fulani anatuletea maboringo

  • @joycefilbert370
    @joycefilbert370 6 лет назад +74

    kama umerudi kuangalia kama Mimi like isikose

  • @genovevawinga9471
    @genovevawinga9471 6 лет назад

    Ngoma iko mwaaaaaaaaaaa hongereni sana kwa kazi nzuri

  • @Infinity855-k4o
    @Infinity855-k4o 5 лет назад +4

    Mwafulani ...anauliza amenipa nini? 😍😍😍

  • @mariamsinjen3205
    @mariamsinjen3205 6 лет назад

    kumbe lulu diva nimbaya hvo kweli vipodozi vinasaidia duh

  • @trainerkasim1721
    @trainerkasim1721 6 лет назад +119

    rich mavoko unaweza gonga like twende sawa

  • @zulhairatimazengo7739
    @zulhairatimazengo7739 6 лет назад

    nipe hata kimoja nisimamie ukucha ona sasa ona ona sasa ona hatariiiiii sana weka mbali na mwanangu hiyo remont hatariii sana diva mwenyewe

  • @AzmaMpondaMUSIC
    @AzmaMpondaMUSIC 6 лет назад +17

    Kazi poa.. keep it up.. 💪💪💪

  • @japhetkyarukambaaristides8698
    @japhetkyarukambaaristides8698 6 лет назад

    Kali sanaaa... Ona sasa ona ona sasa ona🏅🎯

  • @worldlyricssongs6141
    @worldlyricssongs6141 4 года назад +23

    Still best song to me in 2020🔥🔥🔥

  • @halimamoyo3631
    @halimamoyo3631 6 лет назад

    ona sasa ona bonge la nyimbo mdogo wangu umefunika mbayaaaaa

  • @vickyalkayda2056
    @vickyalkayda2056 6 лет назад +3

    MAVOKOOO!My all time.nice work bro

  • @fababindawood5842
    @fababindawood5842 6 лет назад

    Hatar wcb hakuna kilaza rich noma ngoma kalh xana wote wameimba vzr

  • @jonathanermas7245
    @jonathanermas7245 6 лет назад +11

    ngoma kali aisee luludiva ila mavoko kauwa zaidi

  • @jamesmahatane2723
    @jamesmahatane2723 4 года назад

    Naona mafundi mme kutana safi sana kazi nzuri mavoko bana

  • @magekajulius6964
    @magekajulius6964 6 лет назад +40

    Big Up saaaana @lulu diva @rich mavoko

  • @romwardyrevokatus6955
    @romwardyrevokatus6955 6 лет назад

    bonge la ngoma mmetisha kinoma yan♥♥♥👍👍👍👍👆🛂💟💟👍👍

  • @moubilly7703
    @moubilly7703 6 лет назад +9

    nzuriii sstr

  • @burudaninamatukio707
    @burudaninamatukio707 6 лет назад +1

    Ngoma Kali sana yan wameiwezea sana congratulations lulu diva and bro mavoko kwa kazi nzuri

  • @dicksonndunguru7002
    @dicksonndunguru7002 5 лет назад +12

    2019 nimekuja kusikiliza sauti ya mavoco alafu naondoka by

  • @omaricyrilysaidi3718
    @omaricyrilysaidi3718 4 года назад

    Support cha kwetu kilosa mojaaaaa hiyooo rich

  • @sharomresa1581
    @sharomresa1581 6 лет назад +5

    Nilipokuonja nikaomba poooooh

  • @francismwita7203
    @francismwita7203 5 лет назад +1

    Nipe hata kimojaaaa nisimamie ukuchaaa tamu kama embe za kibaba mbuzi kafa kwa buchaaa.....ona sasa ona

  • @franklinekiptoo7565
    @franklinekiptoo7565 4 года назад +3

    Wakenya wenzangu mko wapi june 4th 2020?

  • @moshatony4929
    @moshatony4929 6 лет назад

    mavokooooo hatari sanaaaaa anajuaaa muzik kiukwel

  • @mickidadiigali3858
    @mickidadiigali3858 6 лет назад +4

    Naona born to shine wamekata jingle ya wasafiiii, ha ha ha dozen nae kijiba roho, sikiliza audio na video hapo anapo Anza mavoko utaona.....

  • @janejames1899
    @janejames1899 6 лет назад

    Ona ona sasa ona sasa ona sasa ona sasa ona l swear believe that umenikata kichwa nimekua mlevi kwa penzi lako mwambie mganga wako aogeze 😍😍maneno yao kma choo 🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎵🎵🎵🎶🎶big up lulu and rich

  • @ahmedmubarak228
    @ahmedmubarak228 6 лет назад +4

    Perfect husband and wife
    Keep it up mashallah

  • @seifdisail3007
    @seifdisail3007 6 лет назад

    Umetisha saana hii ngoma bidada, binafsi nakukubali kinomanoma..

  • @sharomresa1581
    @sharomresa1581 6 лет назад +5

    Nimekuwa mlevi wa penzi lako

  • @abiolakenedy6685
    @abiolakenedy6685 6 лет назад

    Kalii lulu mweny diva yakee

  • @silvianyambeki1170
    @silvianyambeki1170 6 лет назад +2

    I love this song so much. Tanzania always coming through with bangers

  • @godfreychita3546
    @godfreychita3546 6 лет назад

    Rich mavoko messii unajua sana ndugu yangu

  • @jasminebaibe7355
    @jasminebaibe7355 6 лет назад +7

    nice song bt huyo nyoka jamanii🙈🙈

  • @saumusilvia5752
    @saumusilvia5752 5 лет назад +1

    Diva baeby,umeshika ndipo wallai,umependezana na mavoko sana,tupatieni tena collabo inginr na mavoko...,Nina wapenda bure tuu..peace

  • @aureliebeatrice5952
    @aureliebeatrice5952 6 лет назад +5

    Your voice is unconditional ❤️❤️❤️😍I love you so much

  • @kizibrun
    @kizibrun 6 лет назад

    ngoma safi sana Lulu, just zidisha mama

  • @eliudmbange2278
    @eliudmbange2278 6 лет назад +4

    Ona sasa ona 💃🔥

  • @hucnarmdachy3559
    @hucnarmdachy3559 6 лет назад

    Mama umetishaaaaaa...nyokooooo yn...

  • @emmanuelanthony3496
    @emmanuelanthony3496 6 лет назад +5

    Perfect combo...gud chemistry...gud music

  • @shadidababy1033
    @shadidababy1033 6 лет назад

    Uwiii hii ngoma ni baraa jmn we lulu wewe

  • @jabilyjamadini2217
    @jabilyjamadini2217 6 лет назад +4

    kazi mzur nakubal kaz zako

  • @salumumkwanda368
    @salumumkwanda368 6 лет назад

    Tutafika mbalii sana Dada tupambane tu amnaga Dada kama wewe kwenye game hii

  • @mwitamatete8039
    @mwitamatete8039 3 года назад +4

    I DEEPLY GET TOUCHED WITH MAVOKO'S BREAK DANCING

  • @Emmanuel-gs1vk
    @Emmanuel-gs1vk 3 года назад +3

    One of my favorite song right now!!

  • @idrisakejage9239
    @idrisakejage9239 6 лет назад

    kazi nzuri kobe you lulu diva

  • @victormalley9135
    @victormalley9135 6 лет назад +3

    hii video ni moto
    it must bn#1 on trend

  • @jovitaeustac9419
    @jovitaeustac9419 6 лет назад

    Mh bonge la song big up sana

  • @jamily_.99
    @jamily_.99 6 лет назад +17

    Number one bad gal ft Messi Was bongo

  • @mwibevascoobedi1814
    @mwibevascoobedi1814 6 лет назад +2

    rich umetisha kama umkubali rich like ndo na ngojea apa

  • @wesleyringo6979
    @wesleyringo6979 6 лет назад +6

    Nzur kwa kulia Daku msimu huu wa ramadhani..

  • @salimallymorani3340
    @salimallymorani3340 6 лет назад

    Rich na lulu diva wametokelezea kinoma

  • @domydocta.
    @domydocta. 6 лет назад +4

    ngoma Kali Sana sema Richard najua umeuchangia ukali wa wimbo