LULU DIVA - LAVALAVA NILIMPENDA KULIKO MAVOKO | WANAUME KAMA JUX NAWAPENDAGA | BIG SUNDAY LIVE
HTML-код
- Опубликовано: 18 июн 2022
- LULU DIVA - LAVALAVA NILIMPENDA KULIKO MAVOKO | WANAUME KAMA JUX NAWAPENDAGA | BIG SUNDAY LIVE
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm Развлечения
Raha ya kuhifadhi QURAN utuliza moyo upunguza hasira .na ukifa Allah.anakuhifadhi kama ulivo hifadhi Quran yake❤ kuswali lazima kwa kila muislm kutoa zaka na sadaka kwakila mwenye uwezo by ukumbusho 💞💞💞
Maa Shaa Allah Najma
Y. Y
Mungu akujaze kheri
Shukuran ukhuty najma mashaallah Allihmdulillah
Mashallah
Lulu Diva my favorite she is so cute
I love so much lulu i wish all the best my favorite
I love this girl 😍
🇰🇪❤ This lady huwa sawa.💯😘kabisa..
Watangazaj achen maswal ya kugombanisha wasanii
Lava lava yupo vizuri 😍💯
Wasafi big up hichi kipnd ni kizur
I love this gal jmn
Msifosi mtu ajibu kama hatki nyie wapuuzi Kweli.
Kabisa lava lava yupo vizur
Unyam saaaan ccta lulu
Safi saaana
I love wema
Hafai kufanya interview
Nakukubali
Huyu demu inavo onekana kashagongwa na mastaa wote wa bongo🤣
❤❤❤big sandaylive
Jaman nandy
Mozambique
Hongera
Lulu ww ni. Mzur sn lkn cjui kwann Unachukuwa vinyqgo ss sibola lava lava kuliko uyo richi mavoko
We nae mzuri mno bwana unaua
WANAMUITA SAID AYIII
Mbona mnaforce mabifu
nime kuja baada ya kuona video
Wote 😂😂😂🔥🔥🔥🔥
Kila anayeona wcb anachanganyikiwa
Mbona mnataka ataje WCB. Nimempenda dada huyu ana akili sana
Huyu Dem ashakulwa na wasanii wengi mpaka anaona aibu
Enyewe maswali za kifala sana
Maswali ya kichanganishi tu
😁
Maswali ya kipumbavu kweli yaani
Hy kauliza ge ww ya mana
@@nishaabdula5015 sawa
Hizi nguo amevaa lulu mbona naziona na maana flani hivi kaa umenielewa gonga like
Rabda anamashetan
Iyo ni drescode ya nyimbo yke
Like yann sasa
@@jasmineshechambo3401 mbona rangi za kishetani
@@gloriakazungu4082 si jimbo yake yaitwa jina kwahiyo yeye kavaa hivyo kama mganga wa kienyeji my dia
Ila lulu so beut
Huyu demu mavoko anamgonganga shahidi mm
maswali mengine mnafeli
Demu chura watu wamempitia sana
Aiiiii😂😂
Hizo nguo Kama mganga mweee
😂😂😂cjui kawaz nn
@@maimunaulotu2075 jin
Aliingia na wimbo wa jini gani
@@maimunaulotu2075 sababu ya mwimbo wake
Divana mbona kama mganga
Lemba ndo kaniangusha nalooo
Ana wimbo ametoa hiyo ndo dress code ya huo wimbo
Eti eeeeh
Love bite
Maswali yenu yana ukakasi kiasi, nyie mnataka kuishabikia kampuni yenu tu.
Nyinyi wagombanishi sn maswali yenu ya uswahili sn
Ndio washenzi
Nguo gani hizo ulizovaa
Za kilingeni 😂😂
@@JackJack-si7ne 🤣🤣🤣🤣🤣🤸♀️
Aiiiiiii aiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Nadhani mnapaswa kuwa na neutral answers.
Kqvaa
Gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomkalisha MBOSO KHAN ruclips.net/video/Cdyxj5ymOR4/видео.html
Mbona amevaa kama mganga??
😂😂😂😂was thinking the same thing
Mbona kavaa Kama mganga🙄
Mnafosi beef jamani
Yani ni wajinga kwakwel 😏😏
Nyie kuku nn,saa mnatk ajib mnachowaz nyooo
Hemed
Hhhhhm mumy hizo nguo vipi jaman ka bimwenda
Anawimbo wake mpya unaitwa jini ndio maana kavaa ivyo
Maswali yanayohusisha WCB ni conflict of interest!halafu mnalazimisha wahojiwa wachague upande wa WCB.Haipendezi
Hawajafosi Ila kama ni wewe si ungechagua wasafi angalia broo
N kwl,zte lebo Kali xx afanye nn,
Hizo nguo vip tena 😄😄😄
Uyo ni kigagula🤣🤣🤣
ruclips.net/video/HmHNtMaTgTw/видео.html,,,,mbona upitwe na kienyeji ya Kenya
Ati ama wote tayari🤣🤣🤣 wtf niqqa
Nyinyi ndomnapromote bifu
Kumbe umegundua maswali ya kipuzi
Upumbavu mtupu
Nguo km mganga🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nilikua natafuta comment kama hii kabla sijaandika yangu🤣🤣🤣🤣
@@nancyg8664 😂😂😂
Ndungu yangu huyo ni muislamu so kama wewe
@@mwanaherhussani7425 sisi tumesema vaz alovaa kama mganga hatujaongelea dini
@@nancyg8664 pole yako we mbwaa kabsiaa asa Hilo vazi linaendana na dini yake kama hujui mbwaa we
Am a singer, songwriter/ Romance content creator.
Kwa simulizi kali, tembelea: ruclips.net/video/OP1eWQqufJs/видео.html
Sasa namuona kafanana saaana na marehemu mama yake.
ht mimi aisee
Ndiyo
Aaaaaaaiiiiiiiiiii😄😄😄😄😄
kwaiyo kati ya Nina la mbwa na paka yupo tayari aitwe mbwa