MBOSSO AFUNGUKA UKWELI KUZAA NA ALIYEKUWA MKE WA ABDUL KIBA | BIG SUNDAY LIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • MBOSSO AFUNGUKA UKWELI KUZAA NA ALIYEKUWA MKE WA ABDUL KIBA | BIG SUNDAY LIVE
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 236

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 2 года назад +18

    Yaani dunia imezunguka mpaka inarudi enzi za ujahilia,kuzini siku hizi imekuwa kitu cha kawaida na kuzaa ovyo, imekuwa sifa,,Inna lilah waina ilayhi rajiun

  • @estheroyondi4908
    @estheroyondi4908 2 года назад +22

    Napenda story zako sana,,,mabiliani ilileta mtoto wa kike,,much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 Год назад +2

    Huyu mbosso mwaka uliopita palitokezea kijana akasema yeye ni ndugu yake hata hakumtia mani Léo vile sifa za zina kajitengeneza kuzijibu inalilah wainailayhi radjioun. Mungu tupe mwisho mwema yarrabi🙏🙏🙏🙏🙏

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 2 года назад +14

    sema Abdul aliojiwa na media moja hivi jamaa akamwambia kwamba mbosso amezaa na mtaraka wako aliumia sema alijikaza tu kiume inaonesha alikuwa bado anampenda mkewe na kama alisema ajampataraka hivi sema mboss ukumjua kweli jamani

  • @mamakeaisha4926
    @mamakeaisha4926 2 года назад +15

    Ivi Mwenyewe waona sifaaa???? Tena huna Ata waswas vijana wa kiislam tunaangamia jamaniii yarrab tusimamie na utupe ufahamu wa kufunguka akili turudi kwako inshaallah....

  • @DJDOPEEPISODE
    @DJDOPEEPISODE 2 года назад +24

    He is good storyteller

    • @stuartkudeba
      @stuartkudeba 2 года назад

      ruclips.net/video/Du0Owr8Pebw/видео.html

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 Год назад +4

    Pesa zimewachanganya hawa vijana mpaka wanamsahau . Mungu bora murudie. Mungu wenu kwani shetani anawapandia juu ya utosi😡😡😡😡😭😭

  • @zeinababdulla8137
    @zeinababdulla8137 2 года назад +2

    Hufai kujisifu machafu ulifanya kwa siri Mungu akakustiri leo wasema hadharani.hata umeulizwa hufai kusema mambo yako.Mungu alikustiri leo wajiumbuwa subhannallah.Allah atuongoze,owa kuzini madhambi saana

  • @OnyangoLucas
    @OnyangoLucas 4 месяца назад

    Duuu mbosso kweliii napenda story zakooo😢😢😢😢

  • @mwajumabakari3730
    @mwajumabakari3730 2 года назад +4

    Jmn inawezekana ni kweli hakumfahau kwa mda huo mbosso ni star anakutana na watu wengi hasa wanawake

  • @mwigakatumpula5695
    @mwigakatumpula5695 2 года назад +21

    Kupenda ngono nisawa na kuendekeza sifa za kijinga maana mwisho wa siku unaibuka na ukimwi bure, umalaya sio dili vijana wekezeni kwa mungu inatosha sana 🙆🙆🙆😄

  • @jonathankasembi9217
    @jonathankasembi9217 2 года назад +4

    Huyo mdada alitaka kuzaa na wasanii ndo sababu Ivo alisubiri akijua siku zake ziko sawa Basi akaja kumsuoporti mbosso...kiufupi alipenda bengu damu za kiusanii

  • @khojaAfrique
    @khojaAfrique 2 года назад +6

    Wimbo Ya Harmonize "Wapo" inaongea mengi.

  • @saidwayawaya5356
    @saidwayawaya5356 2 года назад +2

    Mbosso ww sio msema kweli.

  • @shimadosun
    @shimadosun 2 года назад +2

    Mbosso 💞✨️

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 2 года назад +8

    ETI HAKUJUA HUYO DEM ALIKUWA BIBI WA ABDUKIBA AWACHE UWONGO LAZIMA AWE ANAJUA JU ABDUKIBA ALIKUWA RAFIKI YAKE.

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 2 года назад +9

    Naisi uwo ugonjwa wa kutetema umeambukizwa, umezidi umalaya!!!!

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 2 года назад +12

    Hata Mimi simfaham mke wa Abdul kiba kwakwel na mwamba tumecheza mpira wote jangwan 😂

  • @khadijakdj8640
    @khadijakdj8640 2 года назад +9

    Yaani Ww unazalisha tu si owowe au ndo unazalisha wagumba dume la Taifa 🤣kwa umri ulionao kuja kufikisha 80 idadi ya wazazi wenziyo itakuwa wengi siyo vizuri

  • @asaadalbusaidi1870
    @asaadalbusaidi1870 2 года назад +13

    Tajiri wambegu nakubali😂😂

  • @Zahrazahra-ue7bp
    @Zahrazahra-ue7bp 2 года назад +5

    Yeye katupa watu wameokota achen kumuandama ata akizaanae ariomuacha ndio ajiurize aritaka afedheeke

  • @TwalibuMsharaba-xh5xz
    @TwalibuMsharaba-xh5xz Год назад

    Uwa nakukubali sana mdogo mbosso lakin kwa ili amna umezingua sana ulikuwa unajua tyu ata kama wameachana lakin unajua dem wa mwamba inakuwaje unachomchapia mwezako naww utachapiwa hivyo hivyo kwa md ambao utojua malipo hapa hapa

  • @dorcaskemmy738
    @dorcaskemmy738 2 года назад +2

    Si kwa ubaya but 1hr enjoyment can lead a lifetime Arvs,cheza hiyo careful

  • @esthermoraa6648
    @esthermoraa6648 2 года назад +40

    Kumbe huyu kaka malaya kwel kwel kuliko boss wake mwenyewe 😂😂😂😂

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 2 года назад +3

    Mikumi10 tena mboss

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm 2 года назад +3

    lakini Safi sanaaaaaa mbosso dawa Yao ao madem wanajifanya wao wanataka kuwajua sana wanaume kila mwanaume wanata kulala nao iyo kazi Yao anae kuja karib yako piga mimba ukisha maliza kwaher sababu au awana maana kabisa utawatunza na kukaa nao vizuri lakini awaridhiki kabisa uko sahihi kabisa mbosso wanyosheeee

  • @shadyaloaf8694
    @shadyaloaf8694 Год назад

    Yaani mbosso nakupenda bureeee

  • @babyhamisi1437
    @babyhamisi1437 2 года назад +4

    Hii ni hatari sana kupata ugonjwa ni rahisi sana

  • @fatumajumanne5961
    @fatumajumanne5961 2 года назад +7

    Huo n umalaya unamwanamke ndan halafu unahangaika nnje.

  • @zayanazayana5353
    @zayanazayana5353 2 года назад +11

    Kw hio dalili ya kuoa hamna nnachokushauri punguza bata kajitibu Gonjwa lko uje ufanye kazi kw bidii watoto 10 kusomesha Sio mchezo na huyo doctor kakudanganya" M'ke ndio kuzaa inakuwa hatar Sio M'me

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 2 года назад +15

    Sasa ndy unaona bora uzae nje ya ndoa kila mwanamke kuliko kuoa ukapata watoto wa ndoa muislam mzima basi utapewa watoto wengine wasiokuwa wako maana ushaona ufahari kuzaa hovyo acha wabebe mimba kwingine waje kukutegeshea ww uwalelee

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 3 месяца назад

    Uko sahihi mboso wanawake wengi wanachanganya wanaume

  • @queenlaty6788
    @queenlaty6788 2 года назад +7

    Wanawake na sie wapumbavu mtu anajinadi ivo alaf kunamwanamke atamvulia nguo kesho

    • @maryammwinyi932
      @maryammwinyi932 2 года назад

      Yan wanawake tun akil mbov kwel😔😔😔

  • @aishahaji3128
    @aishahaji3128 2 года назад +5

    Mbosso ,wanangu ukihitaji biriani niambie nitakupikia tena tabu cyo za kisikuhizi

  • @mstaraabusantiago747
    @mstaraabusantiago747 2 года назад +9

    Sijui nmecheka nini🤣🤣🤣🤣 eti utashootia wapi🤣🤣🤣

  • @zena4746
    @zena4746 2 года назад +10

    Sasa akiza nae kunaubaya gani simwanamke 😀😀😀😀

    • @hassanmohammed3421
      @hassanmohammed3421 2 года назад

      Angemuowa ingekuwa vizuri zaidi

    • @zena4746
      @zena4746 2 года назад

      @@hassanmohammed3421 kuowa ninia nanimoyo pia brother sio kila mtu yupo tayari kuingia kwenye jihadi iyo ndoa ohoo wangine bado wapowapotu hata wanawake pia nivoivo ndoa ohooo nimamuzi makubwa sana

    • @hassanmohammed3421
      @hassanmohammed3421 2 года назад

      @@zena4746 basi wasizae zae tuu vitoto vya njee hata mtoto wenyewe akikuwa anajua kapatika kwa njia ya uzinzi tuu

  • @shaneshane4175
    @shaneshane4175 2 года назад +5

    Bas simuwe mngoja mtu aongee kuliko kuingilia kwajuu tena acheni ajieleze bas

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 2 года назад +8

    Eti mboso na wewe kidogo tu tayari

  • @ARAFATVSHOW
    @ARAFATVSHOW 2 года назад +3

    Manshallah ❤️

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 2 года назад +1

    Mbosso biriani respect bro🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @daudimagendero4694
    @daudimagendero4694 2 года назад +39

    Wizara ya afya inakukumbusha msanii Mbosso kutumia condom kwa afya yako ',bado tunaman kuskiliza mzki wako maana unaimba vizur ahsant kwa kusoma

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 2 года назад +5

    African young boy never broke again.

  • @farahanafarer7588
    @farahanafarer7588 2 года назад +15

    Yaani ni rahisi sana kupata Ukimwi nyie dhu. Sasa kwanini usioe wewe acha ujinga

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi 2 года назад

      Hii point🔥

    • @annievibes8794
      @annievibes8794 2 года назад

      Hao Freemason ndiyo wamempa hayo masharti muongo huyo

  • @minnahhassan2229
    @minnahhassan2229 2 года назад +1

    Naombaaa kuzaa na mbosso🙈🥰😅

  • @khadijanjama8721
    @khadijanjama8721 2 года назад +1

    Shikamoo mbosso

  • @salimumohammedsalimu1720
    @salimumohammedsalimu1720 2 года назад

    Nijambo baya saana kujidhulu nasfri kisha unaeleza ubaya ulofanya hakika mungu hapendi na vitendo hivyo vimekemewa kwa umma wa kiislam

  • @luendosabah2047
    @luendosabah2047 2 года назад +3

    Biliani Biliani

  • @THEMADOLLAHSHOW
    @THEMADOLLAHSHOW 2 года назад +3

    Mbosso my guy

  • @maryndinda4864
    @maryndinda4864 Год назад

    Wasafi wanapenda gono kweli

  • @speroachpaulsen
    @speroachpaulsen 2 года назад +5

    🔥🔥🔥🔥

  • @janetahmed6948
    @janetahmed6948 2 года назад +7

    Mbosso mi shabiki yako rakini weye malaya sana tu utakuja kuugua ukimwi tu

  • @jeda1234
    @jeda1234 2 года назад +4

    Toba uwe na fikira hizo bor kuzini so vizur

  • @kolethafabian2618
    @kolethafabian2618 2 года назад +2

    Story tamu.

  • @isaiahbaruani8849
    @isaiahbaruani8849 2 года назад

    My gosh " biliani" is what really I need to know it literally

  • @luganoromance8877
    @luganoromance8877 2 года назад +4

    🙏🙏

  • @mnyamapaslee6111
    @mnyamapaslee6111 2 года назад +5

    Wakwanza leo

  • @princessbim6096
    @princessbim6096 2 года назад +3

    Uowe sasa upate watoto wengine ndani ya ndoa

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar5865 2 года назад +13

    hakuna watoto wa nje ya ndoa hawana baba ila tu muhusika wa mimba anafaa amsaidie mama mtoto majukumu acheni kupotosha vijana wa kislam zingatieni mipaka ya dini

    • @arqamibnarqam.7185
      @arqamibnarqam.7185 2 года назад +2

      "Watoto wa nje ya ndoa wapo kwa mujibu was sheria ya kiislam".Mipaka gani izingatiwe?

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 2 года назад

      Hawana baba mbegu zao zimetoka kwa nyani?

    • @zubeidashabhan2188
      @zubeidashabhan2188 2 года назад

      @@emmadora7848 🤣🤣🤣🤣

    • @zubeidashabhan2188
      @zubeidashabhan2188 2 года назад

      @@emmadora7848 wanaharamu hao

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 2 года назад +1

    Hayo maradhi ya moyo kmbhutofanyia bidii, hata huko kuenjoy, hutoenjoy

  • @teddyelizabeth9358
    @teddyelizabeth9358 2 года назад +3

    Kajielezea vzuri sana😍😍😍😍

  • @nancykisero4604
    @nancykisero4604 2 года назад +1

    Kijana Malaya kushinda hata huyo boss wake Simba.

  • @merrysister5871
    @merrysister5871 2 года назад +4

    Unataka umsaidie kumlea😂😂😂

  • @pamanyango8917
    @pamanyango8917 2 года назад +6

    Kwani wewe mbosso na abdulkiba, mna testi moja kwa wanawake? Ndio tukio itoke kama Mara tatu, inamaana mna testi moja

  • @chipulavevo4441
    @chipulavevo4441 2 года назад

    Diamond

  • @jamesobedy3940
    @jamesobedy3940 2 года назад +11

    Mabiliani,😂😂😂😂😂

  • @PUKTTAMEDIA
    @PUKTTAMEDIA 2 года назад +1

    Wakuu Pitieni kwangu

  • @khadijakdj8640
    @khadijakdj8640 2 года назад +3

    Kwahiyo ndo Maana unazalisha hivyo kisa wamesema madokita🤣je m/mungu ndo mpangaji

  • @estherkimario7940
    @estherkimario7940 2 года назад

    Kwan yule mke wa abdukiba alofunga nae ndoa siku moja na Ali kiba walishaachana jaman

  • @mhoranomuno7358
    @mhoranomuno7358 2 года назад +1

    Ila Mbosso anajua kuhadithia

  • @azooclassic2543
    @azooclassic2543 2 года назад +1

    Khan unama scene mtu wangu😃😃😃😂

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 2 года назад +3

    Acha ushamba kuzazaa hovyo ata hao matajiri wanawatoto 2

    • @jumasoli7818
      @jumasoli7818 2 года назад

      Ww naw tukifatilia kwenye family yako utatuambia mpo wawil au muache apate watoto ilimlad anawatimizia mahitaj

  • @fadyasnednassor
    @fadyasnednassor 2 года назад +2

    Basi hukumpenda km ungempenda usingejali kuhusu Kuwahi kuolewa kwake na Abdu you weren’t a man enough na yeye haina umuhimu kukwambia ameamua kuweka life style yake private Sio lazima aweke wazi Maisha ya zamani kwako coz that is her Past you Man up and be real Maana you aren’t real …

  • @farahanafarer7588
    @farahanafarer7588 2 года назад +21

    Muongo uliona ndoa kabisaa sii kweli weqe muongo kabisa acha ujinga inamaana hukuona Abdul alioa.Acha ushamba na ulimtumia DM ulinuaje

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi 2 года назад +1

      Usilazimishe ulichokiona et lazima nae aone🙄🙄

    • @rajabdibwa6415
      @rajabdibwa6415 2 года назад

      Mbona makasiriko😂

    • @duhrurhhddhheud8575
      @duhrurhhddhheud8575 2 года назад

      ​@@TM.Sullusi Wanadhan kila mtu ana muda wa kufata ya watu

  • @margaretnyamwilahila292
    @margaretnyamwilahila292 2 года назад

    Huyu anafikiri ni sifa kuwa na watoto kila kona?? Kwanza haheshimu wanawake!! Jamaa mpuuzi sana!

  • @barakakatana5398
    @barakakatana5398 2 года назад

    Baada ya Biryani Mbosso akaabiria

  • @ARAFATVSHOW
    @ARAFATVSHOW 2 года назад

    Nimependa unavyo ugeya

  • @byerabajulizy7252
    @byerabajulizy7252 2 года назад +1

    Yani huyu nae pua zimemtanuka kama tanuru la moto wa jehanamu😭😭😭😭... kuwa makini jaman ukimwi upo uwiiiiiiiiiii unaona sofa eti kuduuu bila kinga jaman uwiiiiii Mungu tunusuru maana hao wanao liwa huko asubuh jion wanakuja kukiwa na wame za watu wanapeleka magonjwa nyumban kwa wake zao😭😭🤔

  • @latifahwakesho5561
    @latifahwakesho5561 Год назад

    Njoo nikuzalie n mm kbl 30yr

  • @zarmussa2695
    @zarmussa2695 Год назад

    God

  • @timochazze9845
    @timochazze9845 2 года назад +5

    Bili bili bili 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣❤❤❤

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 года назад +1

    Hii ni aibu kweli kweli.

  • @abuukamanda.s.mkenga6687
    @abuukamanda.s.mkenga6687 2 года назад +3

    Kweli we ni tajiry wa mbeggu🤣

  • @pastorGentil1990
    @pastorGentil1990 2 года назад +1

    Mbosso zaasana pls Kama mngu amekujalia kuasaidia totoa baba

  • @zuqkazii
    @zuqkazii 2 года назад

    mbosso

  • @bettyshikoh6191
    @bettyshikoh6191 2 года назад

    Mbosso ata mashairi yamuishe,atafanya comedy🤣🤣

  • @jumasoli7818
    @jumasoli7818 2 года назад +2

    Ukimsema kuwa Malaya mtu kisa kazaa na wanawake tofauti co kwel huwez kujua chanzo nn mpka inakuwa hivyo usihukumu 2

    • @aishajumaa9787
      @aishajumaa9787 2 года назад +1

      Na nyie mkituona wanawake tumezaa nje ya ndoa msituitege malaya hamjui tumepia mangapi mbaka tumefikia hapo

  • @officialgrace1844
    @officialgrace1844 2 года назад

    Please mwambieni mboso ana copy yake huku wanafanana sana

  • @ahmadsalim6782
    @ahmadsalim6782 2 года назад +2

    Uyu lil omy namuona SANA ni mbinafsi hampi jamaa uyo bonge nafas YA kuongea

  • @najimahgomez3334
    @najimahgomez3334 2 года назад +3

    Mmmmm kk wewe una mwaga tu eeeee

  • @spaceonedigital254
    @spaceonedigital254 2 года назад +1

    mabiliani hayo😂😂

  • @moureenchapa4533
    @moureenchapa4533 Год назад

    Biriani kaleta ushabiki

  • @yusrasalum
    @yusrasalum 2 года назад

    Mbosso hapo umeongopa ulikua unajua kama alikua x wa abdukiba mana lazima kwenye maongezi yenu nauyo mwanamke lazima alikwambia wee wazalishe si tunataka wenyewe

  • @tatudevis6525
    @tatudevis6525 2 года назад +8

    Si mtuliye ww dada kiherere tulia

    • @daawatsalaftz1510
      @daawatsalaftz1510 2 года назад +1

      Mnajifanya wasaani vioo vya jamii kumbe ni Public Toilet

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 2 года назад +3

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌ila mbosso 🤣🤣🤣🙌

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 2 года назад

    Mbosso baba oa upesi ulete watoto wa uhakika sio wa kukisia kama sikosei

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 2 года назад +1

    Mmmmmh watoto 8!!!!!🙄🙄

  • @binthatv2794
    @binthatv2794 2 года назад

    Hiyi nimeyipenda sana😂😂😂😂😂😂😂💞💞💞🖐️🖐️🖐️🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮mboso jitahidi uyimbe please wewe jikaze please

  • @idatonymassawe
    @idatonymassawe 2 года назад

    Dem mtangazaji anashobo sna

  • @salehmwarabu6017
    @salehmwarabu6017 2 года назад +3

    So hapa Mnatupa SOMO lipi?

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 2 года назад

    Kwa hio utakua unazalisha wanawake ovyo ovyo kisa uliambiwa na doctor sijui nini owa wacha zinaa