Aisee hii kitu nilikuwaga najiuliza sana sana kuhusu gharama za ufunguzi wa radio 📻. Sasa nimeelewa naweza anzasha namimi hata ya mkowa mmoja aisee au miwili hivi.❤❤❤❤🙏
Nipo nafanya kazi radio jamaa kaongea mambo ya msingi sana...ukisikia radio inasikika hewani ujue kuna pesa imewekwa si ya mawazo na mwenye kituo kakubali yote kupata faida mapema au kurun kwa hasara kwa muda mrefu.. Mfano mdogo tu gharama za umeme sisi mnarani pekee kila siku 1 humalizika units 56 mpaka 64 za Tanesco.. studio units 24 zinatumika siku 1 na nusu.... Na hapa tunasikika mikoa 4 kwa transmitter ya 1KW
Ningeomba Wasilinganishwe Kati ya Diamond Plz na Alikiba Maana Wote ni Wamba Maana Wote wana Redio na Media Wanazo na Pesa Wanazo na Wanajiweza na Kiba Ataeneza Redio Tanzania Nzima Insha'allah Kila la Kheri Kwa Wasanii Wetyu Pendwa Simba na Mfame
Kuna kitu wa Tz washamba kukielewa, Cha kwanza mnakurupuka kucomment ushabiki, badala ya kutumia uelewa, coz kila mtu anamawazo yke na anamipango yke, maendeleo sio km mashindano kila mtu anafakiw kw wakat wake, na km mawazo bas kla mtu anamawazo yke na ayatimize Baad ya muda gan, so kutangulia sio kwmb ndo mtu anaakir sana au anapesa sana hyo Haina maana hiyo hata kidogo... Hvyo tumia uelewa wa akiri na WA kujua jambo msiwe mnatumia ushabiki mtabaki kuw mazuzu hvyo hvyo.....
Kuhusu radio station kuanzisha akuna noma pesa yake ni ghalama nafuu kiasi vifaa unanunua uk shida ni leseni na jinsi ya kuweza kuiendesha radio yako sababu sipo aina nyingi za radio station ila ya biashala kama clouds efm Crown fm zinatakiwa kuendesha kwa pesa kubwa sana na auwez wekeza peke yako lzm yawepo na makampuni mengine makubwa kuna radio zinasilizwa tu wilaya nyingi mkoa nyingine mikoa kazaa na nyingine nchi nzima ila radio yako iende mtaani wana wasikilize na upate matangazo ni lazima uwe na contents ubunifu njoo na kiti wenzako awana jamii ikikubali radio yako ishatoboa we utakuwa ni mtu wa kupokea matangazo na kula pesa za makampuni makubwa kama tigo Airtel bank's nk
😂SIO KWAMBA KING KIBA HANA PESA ANAZO SANA LAKIN HANA AKILI YA kujuwa azifanyie nini SIO MBUNIFI na ataendelea kuburuzwa NA Diamond simba apewe heshima yake wcb 🔊🔊for life 🥰
@@DattiKassim sasa kwanini asubir SIMBA aanzishe lebo nayeye afate yupogo nyuma sana alafu ilitakiwa SIMBA ajifunze kwa kiba lakin kiba ushamba na maringo kama demu atashika mkia 😂labda SIMBA afe na SIMBA akifa niamini kiba atakuwa Rei alivyo kufa kanumba hazingatiwi 😂🙌
@@BakariMohammed-sr9kd AKILI huna kusoma ujuw Picture huoni alivyo anzisha Wcb lebo uyo kiba akaiga SIMBA kaazisha wasafi radio kiba kafata lakin kwataaaabu sana anaiga kunya kwa tembo NGOJA SIMBA anajambo lake tena tuone kiba atafanya nn 😂😂 tunataka afanye kitu chake bila kuiga tatizo sio pesa tatizo Akili 😂🤝
Kufanya collabo za nje na Kupeperusha Mziki wake kimataifa Sio Shida zake. Hapa Hapa East Africa na Hela anayo ya kuwekeza.. Kijana wenu anapambana Sana Kimataifa lakini List ikitajwa Alikiba hakosekani top 5😁😁😂😂
Ndio mana mabosi wa radio hawalipi wafaniakazi mambo ni mengi Kila mtangazaji anadai mshahara hajalipwa wamiliki wa radio wanadaiwa sana Kuma Kuna mmiriki wa radio hazurum watangazaji ajitokeze nimpe ukeli na madeni aliyo nayo poleni watangazaji.
Joseph kusaga kama alitupiga na kitu kizito katika historia yake alisema alitumia 40 milioni kufungua mawingu fm Sasa hivi mpaka uwe na mabilioni Bakhresa nae eti aliuza machungwa na urojo kariakoo akawa tajiri bilionea ila nyie maisha yana siriii juuu ya mafanikio ya mtu kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake
hahahahaha mjomba ndio maana ukitaka kuanzisha jambo usitafute watu kama hawa lazima wakuvunje moyo sound proof ya milion 45 hahahaha we ukitaka kufungua radio wafuate broadcast technology watakupa data zote
Mimi nataka muhihambiye mtu akafunguwa radio ana pata faida? Niko na nyumba yangu apa usa yenye samani ya $240k nikuhuza sitakosa M600 so nikifunguwa nitakuwa nakipato kizuri ?
Chuma kama Chuma hicho na ni boss wangu siku zote. Muambie Mr.Jackson I do appreciate him always.
Aisee hii kitu nilikuwaga najiuliza sana sana kuhusu gharama za ufunguzi wa radio 📻. Sasa nimeelewa naweza anzasha namimi hata ya mkowa mmoja aisee au miwili hivi.❤❤❤❤🙏
all the best Joseph !!
@@millardayoTZA Kaka Millard shukrani kwa hii content! naomba utuletee na gharama za kufungua TV station!
Ndio maan nasemega milard ayo uko pekeako tz
Nipo nafanya kazi radio jamaa kaongea mambo ya msingi sana...ukisikia radio inasikika hewani ujue kuna pesa imewekwa si ya mawazo na mwenye kituo kakubali yote kupata faida mapema au kurun kwa hasara kwa muda mrefu.. Mfano mdogo tu gharama za umeme sisi mnarani pekee kila siku 1 humalizika units 56 mpaka 64 za Tanesco.. studio units 24 zinatumika siku 1 na nusu.... Na hapa tunasikika mikoa 4 kwa transmitter ya 1KW
Millard umeuliza maswali ya msingi Sana, yaan umeuliza kumwakilisha mtu ambaye hajui kabisa chochote kuhusu radio, hongeraaa
asante sana Ndugu yangu Mwandu
@@millardayoTZA 🙏🙏🙏
mimi ni Ingenier Congo sehemu panaitwa uvira, tumemupandishiya mbunge wa apo na kumukabizi radio yake , ime coast 120.000$ ila ni radio ya kawaida .
Alikiba walikua wanamchukulia poa xana ndomana wengi hawaamini macho Yao mm namuombea Aishi miaka mingi mtaona mengi❤❤❤❤
Nani alikuwa anamchukulia poa bro, aje tumsute
@@mtumeananiasjohachim8760 😂😂 kwa kweli aje tumsute nani
hakuna mtu alikuwa anamchukulia poa msanii ameimba toka zamani
Kabisa
Uyou amepankua tu, Alikiba ana redio moja tu dar és salam, uweze kumlinganisha na Diamondi Platnumz, acheni ubueke
Ni kitu kizuri sana kwakweli brother Millard
Kumbe pesa ndogo sana kwenye Hesabu zangu hapa nikiwa na billion 2.5 nafunguwa nchi nzima mm mwakani
Kaka ukiwa na mill 734 kwa sasa unamiliki radio ya masafa karibu nchi nzima.
Safi sana blue wa kishua mr cowndown umereta majibu ya swali la necta
Ningeomba
Wasilinganishwe Kati ya Diamond Plz na Alikiba
Maana Wote ni Wamba
Maana Wote wana Redio na Media Wanazo na Pesa Wanazo na Wanajiweza na Kiba Ataeneza Redio Tanzania Nzima Insha'allah Kila la Kheri Kwa Wasanii Wetyu Pendwa Simba na Mfame
Follow from kenya
Duh kweli Diamond n Kiba wanashahili heshim😂😂😂sio kwa hesabu hizo duh hizo hela zinarudije 500M+
Ni zaidi ya b kaka maana bado tv
Ni memwelewa vizuri sana na faida itapatikanaje
Kva 50 kwenye mnara ni uongo ,20kva inatosha kabisa ndio nafungaga kwenye minara 😂😂😂
Natamani Sana kuwa na radio
Noma sana
Diamond platnumz,,,ashavuka huko muda sana ❤❤❤
Lkn Daimond Hana ata radio,sio yake ile mbona Kuna mama mmoja hivi ndo anamiliki
@@JannatTahmid😂😂
Je wewe umevuka au ni baba yako uyo 😂😂😂 pumbavu
@@lovelovetv Huyu hata Kuvuka korongo bado labda makorongo ya madem 😂😂😂😂
Kuna kitu wa Tz washamba kukielewa, Cha kwanza mnakurupuka kucomment ushabiki, badala ya kutumia uelewa, coz kila mtu anamawazo yke na anamipango yke, maendeleo sio km mashindano kila mtu anafakiw kw wakat wake, na km mawazo bas kla mtu anamawazo yke na ayatimize Baad ya muda gan, so kutangulia sio kwmb ndo mtu anaakir sana au anapesa sana hyo Haina maana hiyo hata kidogo... Hvyo tumia uelewa wa akiri na WA kujua jambo msiwe mnatumia ushabiki mtabaki kuw mazuzu hvyo hvyo.....
Kweli usimzanie mtu alikiba ame pigaje pigaje mbona mkimya sana kumbe ana ma hela
Kwani Alkiba amewaonesha hati miliki ya redio au mnaongea tu Sasa hivi hakuna tajiri anaetaka kufanya biashara yake 100% watu wanaweka share zao
@@hoseanobocka7140bt he is the biggest shareholder wa hiyo radio
@@hoseanobocka7140 it's true
@@hoseanobocka7140 kwani hawezi kuwa na hiyo pesa?
Alikiba nitajiri wahatari mumpe mahuwa yake🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Dah xina neno kwahil inabid mtu ajipange
Kufungua redio siyo gharama
Kubwa imezidi million 900 tu
Ngoma inakuwa tayl imewaka
Tanzania nzima au
Wewe unayoo?
900M ni ndogo??...we unaumwa
Alikiba msani tajili sana
Alikiba ni mnyama
Ndo vile imeisha hiyo
Diamond is a don 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Radio ya kusaga😂
@@its_khalidy_46Na hiyo ya alikiba ni ya nani?
And me is a done bro😂
Aisee ni hatarii kumbe clouds wanajitahid kusikika mikoa yote hongereni bwana 👏👏 mimi nilichukulia poa
Sasa millard acha nisomeshe watoti niachane na radio maana nikujtafutia mawazo mbingun
Jamaa amekimeza kihaya
😅
Napita tu
Huyo dada nampenda sana kiukweli NIMEJALIBU kukaa kimya lkn daah ❤
Unampenda wapi we sema umemtamani tu hakuna cha kumpenda wala nini
Mnazi fm tumetumia m 300 imetosha
Nawe hyo media gn bhn w at aijulikan
doo maana hatuijui hyo minazi fm
😅😅😅
umetisha sana tajiri
Ela ndogo sana na mim naanzisha yangu😂😂
Wacha weeeee
😅😅
Utaniajili na mimi😅😅
😂😂😂
Shid cy kuanzish shid uendeshaji ulipaj mishahar nk
Je swala la mapato likoje???
Ndoto yangu kuja kufanya kazi ayoTv kaka miradi nione mkuuu
Haya mnae sema king hana hela vyote anavyo
Kwani pia wanakopa kuanzisha biashara kisha unalipa taratib bora uwe na dhaman yakueleweka au mkashare na mtu mwengne pia ni uaminif wenu tu.
Ayyo mjanja sana ,Mimi naiona radio ya ayyyo 2027 haifiki
Soon tutaisikia ayo fm, na ayo tv
Tanzania is very expensive to start radio station but Kenya iyonikupesha watu jamani mbona sio kitu kubwa vile mnasema
Safi sana kaka, tunaomba pia utuambie mtaji wa ufaao kufungua petrol station.
Utakuwa umetufaa sana pia.
Minimum 300M
@@donkhan6841 OK safi sana mkuu, asante
@@donkhan6841Hata mill 90 unafungua tu mkuu kwa pump mbili ukitoa eneo jengo na ujenzi
Ayo unaisibir nn huanzishi ya kwako
Kiukweli Mwanzo ni Mgum Alikiba Atafika Kama Alivyo Fika Diamond Plz
Maana Hata Diamond Alianzia Chini Mpaka Kufika Tanzania Nzima Radio Inasikilizika
Duuh! noma Sana hapo ukute platinum ana share na mtu mwingine si kwa huo mpunga aisee🤔🤔
Uyu naye hamna kitu hap yaan umeambiwa jumla ww unaanza kuchambua HAPA HAMNA MALI KABSA
Nakuulila kyoma
Maokoto yanaitajika hasaaa
Mililioni 300 matirio,mnara ni milion 150 mjengo milion 40 na mlion 45 janereta mimi nimepata milion 540 ila kuna vitu inaendelea duh
Zaidi ya B1 hapo
mzee kaeleza vizuri but hajaeleza k modern but yupo good
Huyu Ally K. ni hatar sana yaan hana sofa sifa ye anafanya mambo mdogo mdogo hatak mbwembwe hana mayowe
Huyu jamaa anataka kusema kuanzisha radio ni zaidi ya billion 1😂😂😂😂
Kaka Kwa kutulia
uyu n mwongo 😂😂😂😂
😅😅😅😅 wanatutisha hawa hawana lolote
Muongo
Unataka kubishana au
daah
Kumbe ela ya nyanya
Kajisachi kwenye utupu uone km unaweza.....😂😂😂😂😂
@millardayo nakuona unafungua radio mpya
au sio 😃 asante sana kwa imani hiyo
@@millardayoTZAna Mimi nitakuwepo pale kwenye kipindi cha today's discussion asubui 😂
Kuhusu radio station kuanzisha akuna noma pesa yake ni ghalama nafuu kiasi vifaa unanunua uk shida ni leseni na jinsi ya kuweza kuiendesha radio yako sababu sipo aina nyingi za radio station ila ya biashala kama clouds efm Crown fm zinatakiwa kuendesha kwa pesa kubwa sana na auwez wekeza peke yako lzm yawepo na makampuni mengine makubwa kuna radio zinasilizwa tu wilaya nyingi mkoa nyingine mikoa kazaa na nyingine nchi nzima ila radio yako iende mtaani wana wasikilize na upate matangazo ni lazima uwe na contents ubunifu njoo na kiti wenzako awana jamii ikikubali radio yako ishatoboa we utakuwa ni mtu wa kupokea matangazo na kula pesa za makampuni makubwa kama tigo Airtel bank's nk
Vp kuhusu faida..!wamiliki wa redio wanatengeneza vipi faida..???
Kuna redio used ipo kwenye hali nzuri made in italy inauzwa milioni 25.
Unataka kufungua redio nini ayo tv
Ase mnatudanganya hajafunguwa radio yeye ilo tunalijuwa yeye nibarozi waio radio munatudanganya asee
Tajiri haongeagi et
Ila vitendo ndo vinaongea
Shikamoo kiba.
Alikiba ni msani mkubwa na tajili tz na Africa mashariki.yeye ni namba moja
Haipingwi
Umeonaeeee ila baado vitoto vya elufu mbili havielewi tunaelewa sisi watu wazima
Jifarijini
Ukiona hivyo ujue hyo n partnership business@@user-ij6eo6pq6z
😂
Million 700 na watu wako kwenye mabilion mzee kwa kiba ni pesa ndogo saana
50kva ni ya studio
Millard Ayo ipo siku utamiliki Redio na TV trust me . Alafu uwaajiri sisi ambao hautuishi Tanzania 🇹🇿 ili tushirikiane 🙏🙏🙏
😂SIO KWAMBA KING KIBA HANA PESA ANAZO SANA LAKIN HANA AKILI YA kujuwa azifanyie nini SIO MBUNIFI na ataendelea kuburuzwa NA Diamond simba apewe heshima yake wcb 🔊🔊for life 🥰
Acha ushamba
Jidanganye
@@DattiKassim sasa kwanini asubir SIMBA aanzishe lebo nayeye afate yupogo nyuma sana alafu ilitakiwa SIMBA ajifunze kwa kiba lakin kiba ushamba na maringo kama demu atashika mkia 😂labda SIMBA afe na SIMBA akifa niamini kiba atakuwa Rei alivyo kufa kanumba hazingatiwi 😂🙌
@@BakariMohammed-sr9kd AKILI huna kusoma ujuw Picture huoni alivyo anzisha Wcb lebo uyo kiba akaiga SIMBA kaazisha wasafi radio kiba kafata lakin kwataaaabu sana anaiga kunya kwa tembo NGOJA SIMBA anajambo lake tena tuone kiba atafanya nn 😂😂 tunataka afanye kitu chake bila kuiga tatizo sio pesa tatizo Akili 😂🤝
kwani umeongea nini
Mtaji shi ngapi radio ya viwango vya chini?
Nataka ya wilayani tu
King kiba is danger artist of africa
Shareholder ni lazima
Kumbe gharama ya kawaida tu hata mimi naweza kufungua radio yangu
Duu hongera ndugu yangu mm najitafuta ndo kwanza nimejenga nyumba sina hata gari
@@giztony2009Kwani ww huoni huyo dogo kamaliza chuo anasubiri ajira, anakutia presha tu.
Yy konde boy ameamua awekeze kwenye mapenzi
Heshima sana Kaka Alikiba na Diamond, Aisee leo ndio Nagundua kwanini Millard hajafungua Radio yake Mpaka leo 😂
Naimani kwasasa, diamond atapewa heshima yake.
Friday anazidi kua mzuri tu..... oya friday nakuelewa
Wahaya wanaaminika kwele😂
Kufanya collabo za nje na Kupeperusha Mziki wake kimataifa Sio Shida zake. Hapa Hapa East Africa na Hela anayo ya kuwekeza.. Kijana wenu anapambana Sana Kimataifa lakini List ikitajwa Alikiba hakosekani top 5😁😁😂😂
Kama unayo pesa ya mawazo utoboi wachie matajiri wenye ma b yao
Hiii ni kujiletea umaskini tu
FM redio ya Ilala ni Tsh Milioni 50 tu upo hewani.
Kabisaah kaka watu wanadanganywa htr
Kumbe ni hela ndogo kiasi hicho nilijua balaaa
Ndio mana mabosi wa radio hawalipi wafaniakazi mambo ni mengi Kila mtangazaji anadai mshahara hajalipwa wamiliki wa radio wanadaiwa sana Kuma Kuna mmiriki wa radio hazurum watangazaji ajitokeze nimpe ukeli na madeni aliyo nayo poleni watangazaji.
Acha uongo ww chanzo Cha taarifa yako ni kipi?
😅😅😅aah bas io sio redio ya ali kiba
ruclips.net/video/vsSa4SHVr64/видео.htmlsi=Tmmm7bLySRrDH5xz NYINGINE HIYO WAKUU
Alikiba ninoma alikuwa hapendi kujionyesha
Mi nilijua ni mabillion!! Kumbe inawezekana tu
Si mchezo vijana wamejitahidi sana
NAOMBA kufahamu ni namna gani redio na tv zinaingiza mapato? maana kwa hesabu hizo ni shida sana..
Mapato makubwa ya TV na radio ni matangazo
😅
Naomba Kujua faida Ya Radio station 🚉
Inategemeana maana biashara ya kubwa ya Radio ni matangazo ya kibiashara na kuuza vipindi kwa wanaokuwa na vipindi vyao binafsi
Ah
Vipi redio inahingiza je pesa Kama kuanzisha redio ni mpunga mkubwa kiasi hicho
Kupitia matangazo ndugu yangu
Kupitia matangazo
Joseph kusaga kama alitupiga na kitu kizito katika historia yake alisema alitumia 40 milioni kufungua mawingu fm Sasa hivi mpaka uwe na mabilioni Bakhresa nae eti aliuza machungwa na urojo kariakoo akawa tajiri bilionea ila nyie maisha yana siriii juuu ya mafanikio ya mtu kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake
Wiki ijayo nilitaka nifungue redio yangu Ila nmeghaili wacha tu nisikilize hizhz bas
Kwanini mtu ataje pesa katika Dola hawezi taja pesa za bongo🤔🤔🤔🤔Au ndio ataonekana mjanja
Kila hesabu zake ni dola na uro 😂😂
Tuache wivu wa kijinga tuache kuwa kadilia watu watu wana hela ila wameka kimya acheni zarau
Ali kiba hana ela nyie wenzake washafanya kitambo ayooo mamb
Kuna aliweka rim ya gari just ya nyuma yake na radio ikawa inapatikana akaiita radio mabibo😂😂😂😂
😂😂😂tatizo huna Siri umeyazagaaa😂😂
Tusimame kuowa tu bora
Kupata hela bila kuwa na hela ni swlaa ambalo halipo😅😅,kama huamini kamsikilize baba level katumia shingapi kupata milioni 200
Tumuulize na yule dogo wa kigoma alitumia bei gn😅
Daaah nilikuwa naogopa kumbe hela yenyewe ni hiyo kiduchu!!mwez ujao nami nafungua yangu puumbaavuuu
Umelogwa
Msitishe watu bana soundproof ya milioni 45 wapi wana uongo internet inatosha bana
hahahahaha mjomba ndio maana ukitaka kuanzisha jambo usitafute watu kama hawa lazima wakuvunje moyo sound proof ya milion 45 hahahaha we ukitaka kufungua radio wafuate broadcast technology watakupa data zote
lakini alisema "KAMA UNATAKA REDIO YA VIWANGO VYA JUU" labda tumzingatie kwenye hilo
Studio 3 ndo 45M
Mimi nataka muhihambiye mtu akafunguwa radio ana pata faida? Niko na nyumba yangu apa usa yenye samani ya $240k nikuhuza sitakosa M600 so nikifunguwa nitakuwa nakipato kizuri ?
Faida utapata kutokana na utakavyo ibrand
Mbona huyo kama sugu ndo anajibu