GB 64 KWA HASIRA AMPASUA MANGUNGU KWA MARA NYINGINE TENA, SIJARIDHIKA NA MAJIBU YAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 июн 2024
  • simba
  • СпортСпорт

Комментарии • 58

  • @mkaguru-lz2tn
    @mkaguru-lz2tn 23 дня назад +7

    Mashine hiyo nakubali Sana mwamba wangu nakubali Sana up rearity

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 23 дня назад +2

    Jina mangungu ni generations ile ile ya chief Mangungu wa msovero

  • @houmdmajid-ur9dp
    @houmdmajid-ur9dp 23 дня назад +6

    Jmn kwn hy mangungu hatumujuii anakoa kaa ujinga t kila siku mt 1 mshenzi yule hana watoto au familia ht atusumbue

  • @PaschalNtalimbo
    @PaschalNtalimbo 23 дня назад +2

    Kwa kweli! Ee mama tusaidie kilio chetu Wana Simba

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 21 день назад

    Ila hiki kichwa kinastahili kupewa nafasi pale Simba namuona mbali sana huyu mwenetu

  • @Sherrymwinyi
    @Sherrymwinyi 20 дней назад

    ataondoka tu tutamsomea khalalbadir ataondoka tu ikiwa jua ikiwa mvua akwendreeee tumemchoka yy nani kwani kwanza hana sura ya simba

  • @user-rn3sv8xu8e
    @user-rn3sv8xu8e 22 дня назад

    Mangungu hatukutaku tokaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @jumongjr5837
    @jumongjr5837 22 дня назад +1

    Kweli Mashabiki wa Simba ni MBUMBUMBU Nimeamini

  • @user-iq4rv8dq5r
    @user-iq4rv8dq5r 23 дня назад +1

    We JB 64 unajua sana hawakuwezi hao vibaraka watakaa hata ukifutiwa uanachama piga bakora hao watakuelewa tu

  • @muridundhikri
    @muridundhikri 23 дня назад +1

    Mashabiki wa simba tafuteni kijiwe cha pamoja wekeni misimamo mbali mbali, msende uwanjani, msinunue jenzi, msilipie mchango wowote mpaka watoke mnaotaka watoke

  • @reubenismail385
    @reubenismail385 23 дня назад

    Simba ni yetu watatoka tu!yeye afaidi halafu sisi tunaumia sana na matokeo ya simba!mwachieni Mo afanye yake

  • @reubenismail385
    @reubenismail385 23 дня назад

    Kaka upo vzr sana

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu8467 23 дня назад

    Mungu mchukue mangungu

  • @user-dt5wf8rx4k
    @user-dt5wf8rx4k 23 дня назад

    Msinunue jezi simba day msinde kuweni na msimamo wana simba mpira ni watu

    • @Farida-vg5ry
      @Farida-vg5ry 23 дня назад

      Kweli selekali imemsikiliza mangungu na kutuzuiya tusifanye mkutano bas simba dey tusinunue jezi Wala kwenda kuisapoti team uwanjani Wana Simba wote matawi yote muambizane

  • @AbbasiMdabwa
    @AbbasiMdabwa 23 дня назад

    Mangungu nimtu hatari sana watu wapigakelele zote hizi bando ameng'ang'ani aaaahhh laa mangukama weni mwisilamu safi achana mpira

  • @NyaogaNyaoga
    @NyaogaNyaoga 22 дня назад

    watok kwan wanatak nn

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 23 дня назад

    AggySimba anatamani aonane na huyu mwamba ampe utamu wake

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 23 дня назад +2

    Gb64 akil nyingi sn MashALLAHu

  • @nuruosward8161
    @nuruosward8161 23 дня назад

    Wasikie mara ngap wameamua kututelekeza wanasimba Tumelia mpaka machoz yamekauka wako busy wanawasapot wasanii tuu hii nchi hiiii😢😢😢😢

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 23 дня назад

    Huyu mtu chawa wa Mo.. ameshapokea mshiko..anabadilika kila wakati..

  • @KATEGILEMABADA
    @KATEGILEMABADA 23 дня назад

    Aende kuwa msaidizi wa engineer hapa Simba hapamfai😅

  • @omarkipotwile9052
    @omarkipotwile9052 23 дня назад

    NASEMAJE, SINUNUI JEZI, SIENDI UWANJANI, SILIPII APP MPAKA MANGUNGU ATOKE NA NIPATE KADI YA UANACHAMA

  • @NdayihayikiChobaliko
    @NdayihayikiChobaliko 23 дня назад

    Ulisha kufa ukajua hayo mambo au unasimuliwa arif

  • @moseshaji1177
    @moseshaji1177 23 дня назад

    Mangungu muhuni tu lazima angoke

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g 23 дня назад

    Good🎉🎉🎉

  • @user-ln9tk3qr2r
    @user-ln9tk3qr2r 23 дня назад

    😮

  • @user-vv9wb9he2x
    @user-vv9wb9he2x 23 дня назад +2

    Huyu mangungu katumwa na nani na lengo lake Nini?

    • @Farida-vg5ry
      @Farida-vg5ry 23 дня назад +1

      Hapo Sasa utopolo wanafulahi wanajua hata mwakani ubingwa wa bule upo. Wanapenda tunavolumbana hivi wao wanapata faida

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 23 дня назад

    Mangungo wa Msovero , anachukua shanga , almas na thahabu anawapa wakoloni, Mle mle kazi moja ni migogoro, majungu na kuleta wachezaji wa kula 10%, Miaka mitatu wa nne huu hakuna kitu, yanga hao fainali

  • @WakiliHaule
    @WakiliHaule 23 дня назад

    Uyu mvuta bange

  • @user-bu3lg2sc7x
    @user-bu3lg2sc7x 23 дня назад

    Hili swala ukiliangalia kw jicho la mbali usaliti unaofwanya na baazi ya uwongoz wetu utahatibu kw mashabiki malari hamna kuna matamasha yetu yatapwqya jezi zitakua shida kuzika ... Wasichukulie powaaaa......

  • @Bensonfrank25
    @Bensonfrank25 23 дня назад

    MANGUNGU OUT!

  • @Avit_khan
    @Avit_khan 23 дня назад

    Kwani huyo mama yenu mbona analeta maumivu kwa mamilion ya watz na hajawaza kujiuzuru

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 23 дня назад

    Gb64mwamba cheupe cheupe nakukubari .

  • @user-ps2om3fg8x
    @user-ps2om3fg8x 23 дня назад

    Mangungu sawa na museveni"" mtapiga kelele weeee mwisho wa siku mtasusa tu. Shemarone amesema uongozi mbovu, kocha wa makipa nae kasema ivyoivyo, nelson okwa nae alisema uongozi wa Simba mbovu. Sasa unataka nani aje akwambie mangungu na wenzake wamefely? kama mtu wa jikoni anakwambia huu ubwabwa umepikiwa na maji ya chooni afu wewe wa mbwinde uko autaki

  • @SalimuAlmasi-lt9ud
    @SalimuAlmasi-lt9ud 23 дня назад

    Heko Gb 64

  • @user-rv2ht5vm5k
    @user-rv2ht5vm5k 23 дня назад

    Pumbavu umeanza Uchawa

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 23 дня назад

    HUYU MWAMBA KANYOOKA SANA

  • @user-ln9tk3qr2r
    @user-ln9tk3qr2r 23 дня назад

    O

  • @edwardmizambwa237
    @edwardmizambwa237 23 дня назад

    Mh Mangungu, tafadhali ogopa sana kulaumiwa na kukataliwa na watu waliyo wengi wewe ukiwakebehi na kuwadharau badala ya kuchukua hatua stahiki.
    Hizo lawama za watu wengi zaweza kugeuka kuwa laana kwako.
    Tafadhali sana badilika Mh.

  • @kennedymmbando
    @kennedymmbando 23 дня назад

    Unamtoa mangungu wanaumia yanga🤣🤣🤣🤣ngunguu ni haram

  • @silvanuskisinza4303
    @silvanuskisinza4303 23 дня назад

    Samahani alimaanisha sacrament ya mauti?

  • @PaskaliEdimundi
    @PaskaliEdimundi 23 дня назад

    Mama tusaidie mangugu atuachie simba

  • @user-xq8oo1qz3p
    @user-xq8oo1qz3p 23 дня назад

    Huyu jamaa nae hatumuelewi mara mo hafai mara anfaa Simba kweli inawatu hawajielewi mo ni kirusi hapo simba

    • @houmdmajid-ur9dp
      @houmdmajid-ur9dp 23 дня назад

      Ww yanga unamuogopa Mo lazima useme ivyo

    • @joackimumalya7138
      @joackimumalya7138 23 дня назад

      Acha ujinga wewe

    • @user-xq8pq2ey6t
      @user-xq8pq2ey6t 23 дня назад

      Hayo ni matumizi mabaya ya akili yako

    • @jifunze0042
      @jifunze0042 23 дня назад

      hivi umeanza kumfuatilia gb64 mwaka gani? huyu mwamba alikuwa upande wa viongozi na alikuwa haisemi simba vibaya juzi tu hapa alisema mo ndio hafai leo anasema mo anafaa,yani haeleweki kaka waliokuwa wanasema simba haipo sawa na tangu msimu unaanza na wapo na msimamo wao ni nabii meja,mzee mwenda na miraji yani hawa tangu msimu unaanza mpaka leo wanasema simba kuna shida,huyu gb kuongea kuhusu simba ndio kunamlisha ​@@houmdmajid-ur9dp

  • @fabiandanford3572
    @fabiandanford3572 23 дня назад

    Apo kichomi ni mo anakaa mbali na Tim sasa mwekezaji gan afuatilii kwa ukaribu club

    • @muksinimbaruku1233
      @muksinimbaruku1233 23 дня назад

      Acha ujinga dgo MOO anawetendaji, muda huu yupo Dubai lakini viwanda na biashara zake zinaendelea hapa tz

  • @Avit_khan
    @Avit_khan 23 дня назад

    Kwani huyo mama yenu mbona analeta maumivu kwa mamilion ya watz na hajawaza kujiuzuru