Mashabiki wa simba tafuteni kijiwe cha pamoja wekeni misimamo mbali mbali, msende uwanjani, msinunue jenzi, msilipie mchango wowote mpaka watoke mnaotaka watoke
Kweli selekali imemsikiliza mangungu na kutuzuiya tusifanye mkutano bas simba dey tusinunue jezi Wala kwenda kuisapoti team uwanjani Wana Simba wote matawi yote muambizane
Mangungo wa Msovero , anachukua shanga , almas na thahabu anawapa wakoloni, Mle mle kazi moja ni migogoro, majungu na kuleta wachezaji wa kula 10%, Miaka mitatu wa nne huu hakuna kitu, yanga hao fainali
Hili swala ukiliangalia kw jicho la mbali usaliti unaofwanya na baazi ya uwongoz wetu utahatibu kw mashabiki malari hamna kuna matamasha yetu yatapwqya jezi zitakua shida kuzika ... Wasichukulie powaaaa......
Mangungu sawa na museveni"" mtapiga kelele weeee mwisho wa siku mtasusa tu. Shemarone amesema uongozi mbovu, kocha wa makipa nae kasema ivyoivyo, nelson okwa nae alisema uongozi wa Simba mbovu. Sasa unataka nani aje akwambie mangungu na wenzake wamefely? kama mtu wa jikoni anakwambia huu ubwabwa umepikiwa na maji ya chooni afu wewe wa mbwinde uko autaki
Mh Mangungu, tafadhali ogopa sana kulaumiwa na kukataliwa na watu waliyo wengi wewe ukiwakebehi na kuwadharau badala ya kuchukua hatua stahiki. Hizo lawama za watu wengi zaweza kugeuka kuwa laana kwako. Tafadhali sana badilika Mh.
hivi umeanza kumfuatilia gb64 mwaka gani? huyu mwamba alikuwa upande wa viongozi na alikuwa haisemi simba vibaya juzi tu hapa alisema mo ndio hafai leo anasema mo anafaa,yani haeleweki kaka waliokuwa wanasema simba haipo sawa na tangu msimu unaanza na wapo na msimamo wao ni nabii meja,mzee mwenda na miraji yani hawa tangu msimu unaanza mpaka leo wanasema simba kuna shida,huyu gb kuongea kuhusu simba ndio kunamlisha @@houmdmajid-ur9dp
Mashine hiyo nakubali Sana mwamba wangu nakubali Sana up rearity
Jina mangungu ni generations ile ile ya chief Mangungu wa msovero
Jmn kwn hy mangungu hatumujuii anakoa kaa ujinga t kila siku mt 1 mshenzi yule hana watoto au familia ht atusumbue
Ndiohapo
Kwa kweli! Ee mama tusaidie kilio chetu Wana Simba
Ila hiki kichwa kinastahili kupewa nafasi pale Simba namuona mbali sana huyu mwenetu
ataondoka tu tutamsomea khalalbadir ataondoka tu ikiwa jua ikiwa mvua akwendreeee tumemchoka yy nani kwani kwanza hana sura ya simba
Mangungu hatukutaku tokaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kweli Mashabiki wa Simba ni MBUMBUMBU Nimeamini
utopolooo wewe
We JB 64 unajua sana hawakuwezi hao vibaraka watakaa hata ukifutiwa uanachama piga bakora hao watakuelewa tu
Mashabiki wa simba tafuteni kijiwe cha pamoja wekeni misimamo mbali mbali, msende uwanjani, msinunue jenzi, msilipie mchango wowote mpaka watoke mnaotaka watoke
Kweli kabisa
Simba ni yetu watatoka tu!yeye afaidi halafu sisi tunaumia sana na matokeo ya simba!mwachieni Mo afanye yake
Kaka upo vzr sana
Mungu mchukue mangungu
Msinunue jezi simba day msinde kuweni na msimamo wana simba mpira ni watu
Kweli selekali imemsikiliza mangungu na kutuzuiya tusifanye mkutano bas simba dey tusinunue jezi Wala kwenda kuisapoti team uwanjani Wana Simba wote matawi yote muambizane
Mangungu nimtu hatari sana watu wapigakelele zote hizi bando ameng'ang'ani aaaahhh laa mangukama weni mwisilamu safi achana mpira
watok kwan wanatak nn
AggySimba anatamani aonane na huyu mwamba ampe utamu wake
Gb64 akil nyingi sn MashALLAHu
Wasikie mara ngap wameamua kututelekeza wanasimba Tumelia mpaka machoz yamekauka wako busy wanawasapot wasanii tuu hii nchi hiiii😢😢😢😢
Huyu mtu chawa wa Mo.. ameshapokea mshiko..anabadilika kila wakati..
Alikuwa upande gan na amebadilika vp?
Aende kuwa msaidizi wa engineer hapa Simba hapamfai😅
NASEMAJE, SINUNUI JEZI, SIENDI UWANJANI, SILIPII APP MPAKA MANGUNGU ATOKE NA NIPATE KADI YA UANACHAMA
Ulisha kufa ukajua hayo mambo au unasimuliwa arif
Maandiko kama sio wa imani hyo tulia acha kiburi
Mangungu muhuni tu lazima angoke
Good🎉🎉🎉
😮
Huyu mangungu katumwa na nani na lengo lake Nini?
Hapo Sasa utopolo wanafulahi wanajua hata mwakani ubingwa wa bule upo. Wanapenda tunavolumbana hivi wao wanapata faida
Mangungo wa Msovero , anachukua shanga , almas na thahabu anawapa wakoloni, Mle mle kazi moja ni migogoro, majungu na kuleta wachezaji wa kula 10%, Miaka mitatu wa nne huu hakuna kitu, yanga hao fainali
Uyu mvuta bange
Hili swala ukiliangalia kw jicho la mbali usaliti unaofwanya na baazi ya uwongoz wetu utahatibu kw mashabiki malari hamna kuna matamasha yetu yatapwqya jezi zitakua shida kuzika ... Wasichukulie powaaaa......
MANGUNGU OUT!
Kwani huyo mama yenu mbona analeta maumivu kwa mamilion ya watz na hajawaza kujiuzuru
Gb64mwamba cheupe cheupe nakukubari .
Mangungu sawa na museveni"" mtapiga kelele weeee mwisho wa siku mtasusa tu. Shemarone amesema uongozi mbovu, kocha wa makipa nae kasema ivyoivyo, nelson okwa nae alisema uongozi wa Simba mbovu. Sasa unataka nani aje akwambie mangungu na wenzake wamefely? kama mtu wa jikoni anakwambia huu ubwabwa umepikiwa na maji ya chooni afu wewe wa mbwinde uko autaki
Heko Gb 64
Pumbavu umeanza Uchawa
HUYU MWAMBA KANYOOKA SANA
O
Mh Mangungu, tafadhali ogopa sana kulaumiwa na kukataliwa na watu waliyo wengi wewe ukiwakebehi na kuwadharau badala ya kuchukua hatua stahiki.
Hizo lawama za watu wengi zaweza kugeuka kuwa laana kwako.
Tafadhali sana badilika Mh.
Unamtoa mangungu wanaumia yanga🤣🤣🤣🤣ngunguu ni haram
Samahani alimaanisha sacrament ya mauti?
Hapana, ni Sakaratul mauti (Uchungu wa kifo)
Mama tusaidie mangugu atuachie simba
Huyu jamaa nae hatumuelewi mara mo hafai mara anfaa Simba kweli inawatu hawajielewi mo ni kirusi hapo simba
Ww yanga unamuogopa Mo lazima useme ivyo
Acha ujinga wewe
Hayo ni matumizi mabaya ya akili yako
hivi umeanza kumfuatilia gb64 mwaka gani? huyu mwamba alikuwa upande wa viongozi na alikuwa haisemi simba vibaya juzi tu hapa alisema mo ndio hafai leo anasema mo anafaa,yani haeleweki kaka waliokuwa wanasema simba haipo sawa na tangu msimu unaanza na wapo na msimamo wao ni nabii meja,mzee mwenda na miraji yani hawa tangu msimu unaanza mpaka leo wanasema simba kuna shida,huyu gb kuongea kuhusu simba ndio kunamlisha @@houmdmajid-ur9dp
Apo kichomi ni mo anakaa mbali na Tim sasa mwekezaji gan afuatilii kwa ukaribu club
Acha ujinga dgo MOO anawetendaji, muda huu yupo Dubai lakini viwanda na biashara zake zinaendelea hapa tz
Kwani huyo mama yenu mbona analeta maumivu kwa mamilion ya watz na hajawaza kujiuzuru