MIRAJI | WAMEMALIZA DENI NA MZEE SAID BADO MCHEZAJI WANGU NAE WAMNYOE😂| ILE YA BOCCO SIJAIPENDA SANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024

Комментарии • 78

  • @idrisahamimuhasani5717
    @idrisahamimuhasani5717 3 месяца назад +16

    Chagamba umemkosea sana Mzee said alikwambia saidoo akipewa thank yuo uwah kwake asubuh ww umeanza na miraji

  • @iradukundachriskagawa
    @iradukundachriskagawa 3 месяца назад +7

    Miraji hamtaki Chama na Ngoma 😂😂😂😂 alafu mzee Saidi ukimhoji utuoneshe na supu ya kuku 😂😂😂😂

  • @floriankasalya269
    @floriankasalya269 3 месяца назад +1

    Ngoma na Chama ndio kodi ya makochali,Miraji maramoja!!!.😅😅

  • @dnewztz
    @dnewztz 3 месяца назад +6

    Mzee Saidi leo atakunywa Supu ya kuku

  • @mtafyatv
    @mtafyatv 3 месяца назад +4

    CHANGAMBA UNATUZINGUA WAPI MZEE SAID 😅

  • @imamhussein1104
    @imamhussein1104 3 месяца назад +4

    Chagamba chagamba chagamba nenda Kwa mzee saidi chap, kimbia fasta muwahi Yule mzee atupe burudani.

  • @MwanahamisiMchombo
    @MwanahamisiMchombo 3 месяца назад +2

    Chagamba mbna ahad zako sizo lkn

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 3 месяца назад

    Kunamtu mmoja aliitwa Patrick mutesa mafisango marehemu hii story nimeikumbuka ulivyomtaja boban

  • @bakarimmbukwini9623
    @bakarimmbukwini9623 3 месяца назад +3

    Peleka maik kwamzee wa AR jiga side mnyamwez

  • @kefangendwa3336
    @kefangendwa3336 3 месяца назад +1

    Miraji Hilo unalo ongea ni la kweli hakuna kumbukumb za wat walio hit simb

  • @raphaeltanzania
    @raphaeltanzania 3 месяца назад

    mie nilishamjua maana hata mie simpendi kabisa ni chama na katikati ni ngoma au babacar sar

  • @japhethKerenge-rw3li
    @japhethKerenge-rw3li 3 месяца назад +7

    Mzee said jana kalala usingizi mzuri

  • @SaidAlawi-m6x
    @SaidAlawi-m6x 3 месяца назад +1

    Miraji hamtaki chama

  • @amosibushaija4808
    @amosibushaija4808 3 месяца назад

    Huyo ni chama na kiungo ni .......?

  • @ngwilunyiga2447
    @ngwilunyiga2447 3 месяца назад

    Chama huyo nishamjuwa mimi tyr

  • @juliusyusufu2555
    @juliusyusufu2555 3 месяца назад

    Milaji umtaki Ngoma na chama

  • @saidimwanyiro5147
    @saidimwanyiro5147 3 месяца назад

    Akipewa thank you manula na mimi nakula kuku

  • @killingmleke1810
    @killingmleke1810 3 месяца назад

    Documentary njoo yanga

  • @ngwilunyiga2447
    @ngwilunyiga2447 3 месяца назад

    Miraji cheguwavara

  • @jeymoe4992
    @jeymoe4992 3 месяца назад

    miraji huyo atakua chama

  • @LeonardMasalu-ns5km
    @LeonardMasalu-ns5km 3 месяца назад

    Ngoma na chama

  • @sadikiwilliam823
    @sadikiwilliam823 3 месяца назад

    Ngoma onana

  • @sharbaidysalum
    @sharbaidysalum 3 месяца назад

    Onana na chama

  • @sadikiwilliam823
    @sadikiwilliam823 3 месяца назад

    Ngoma

  • @KareemMkungile
    @KareemMkungile 3 месяца назад

    kibu na babacar

  • @simoncmatanda5135
    @simoncmatanda5135 3 месяца назад +2

    Chama__hapao miraji umesema aiseee chama aondoke il tupokee changamoto mpya

  • @YesYeah-ky7fl
    @YesYeah-ky7fl 3 месяца назад

    Onnaaaa

  • @mwanangusana
    @mwanangusana 3 месяца назад +1

    Mlete mzee saidiii ...wapeni senkyuu mlete akina sawadogo 🤣😂🤣

  • @farujohn622
    @farujohn622 3 месяца назад +1

    Nenda kwa mzee Saidi Chagamba tunasubiri hapa

  • @saumumaulidi8768
    @saumumaulidi8768 3 месяца назад +1

    Wapi mzee saidi jaman nitakosa kuku niko mbali😁😁

  • @bakarimmbukwini9623
    @bakarimmbukwini9623 3 месяца назад +1

    Chagamba Mzee yule muwahi kaka

  • @JosephTibu
    @JosephTibu 3 месяца назад +1

    SIMBA NGUVU MOJA 🎉🎉🎉

  • @NeemaAkyoo-s4s
    @NeemaAkyoo-s4s 3 месяца назад +1

    Leo ni saa7 na saa 11 jioni thankyou zinatoka

  • @Khaleed5767
    @Khaleed5767 3 месяца назад

    WEKA HII KWENYE KABATI...
    JOSE LUIS MIQUISSON na BABACAR SARR

  • @husseinmassawa7186
    @husseinmassawa7186 3 месяца назад

    Ukweli usemwe chama aondoke tu, msimu unaokuja atakuwa kashachoka saana😅

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 3 месяца назад

    Swali LA kwanza limejibiwa ki imani sana safi neema za MUNGU

  • @LeonidasStephano
    @LeonidasStephano 3 месяца назад +1

    Documentary miraji 😂😂

  • @Ali.salimu
    @Ali.salimu 3 месяца назад

    Simba. Juuu. Namkubari. Sana. Miraji. Na wewe. Chagamba. Na. Mzee. Saidiy. Nawapenda. Saana. ❤

  • @ramabig9907
    @ramabig9907 3 месяца назад

    Kaka mimi nawajua ila hawawezi kuondoka kwasababu wale watu wao bado wapo wanawapigia kifua lkn kiukweli walitakiwa waondoke

  • @ShedracknicodemuShirima
    @ShedracknicodemuShirima 3 месяца назад

    Miraji kwenye kiungo nakusaidia ni fabrice ngoma

  • @HOMEFRESHEXPORT
    @HOMEFRESHEXPORT 3 месяца назад

    Yenu yanga ya msimu mmoja ya kisiasa haina mashiko

  • @KevinKalonge
    @KevinKalonge 3 месяца назад

    Chagamba umetuzingua wadau wako we mlikubaliana nin na mzee said kuhusu thank you ya saido

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 3 месяца назад

    chagamba tutafutie Mzee said tusaidiane kukula paja la kuku😂😂 uyo ni chama na ngoma wa miraji mm nawajua

  • @kayandaabwe2976
    @kayandaabwe2976 3 месяца назад

    Kibu na chama hao miraji

  • @EssanPius
    @EssanPius 3 месяца назад

    😂😂😂 tunataka Mzee saidi babaaa😅😅😅

  • @odilomwakamela4889
    @odilomwakamela4889 3 месяца назад

    Mbona Yanga na ducomentary yetu mlitusema sana ...

  • @Zainab-yn1iz
    @Zainab-yn1iz 3 месяца назад

    Hahaha muraji wake chama na Inonga 😂😂

  • @GeorgeSwai
    @GeorgeSwai 3 месяца назад

    Onana na baba car

  • @HassaniHashimu-qd5wi
    @HassaniHashimu-qd5wi 3 месяца назад

    Chama huyoo

  • @chancelorharubu2731
    @chancelorharubu2731 3 месяца назад

    Ni chama huyoo mar mojq

  • @GozibartKarugendo
    @GozibartKarugendo 3 месяца назад

    Mzeee said

  • @OmarrySingano-kf9il
    @OmarrySingano-kf9il 3 месяца назад

    Baba keisari

  • @DanielFaraja-qi5vo
    @DanielFaraja-qi5vo 3 месяца назад

    mzee said weeeee

  • @AbdulyShafii-ox5nu
    @AbdulyShafii-ox5nu 3 месяца назад

    Nikibu

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 3 месяца назад

    Kweli mashabiki wa simba ni machizi hivyo vitu unavyo ongea nyie simba hamuna ata office za watu wanao program hayo mambo lazima muanze .kama sisi yanga tunazo hizo office na vijana wanafanya kazi na wanalipwa mshahara nyie simba muna Ahmed Ally tu .yani munaongea vitu hamuna huku munagombana .lazima muanze hy timu yenu kama ya mtaani tu mikuma nyie miraji kweli wewe ni chizi hujui unaongea nini huna upeo wamaongezi mumechanganyikiwa.

    • @BarnabaJaphet
      @BarnabaJaphet 3 месяца назад

      Yani kwel ndugu unanyimwa elim lakin pia unakosa hata maarifa pimbi wewe kua na adabu kwa wakubwa zako alaf nakuomba uludi tena shule mbwa coco wewe

    • @BADAWY575
      @BADAWY575 3 месяца назад

      @@BarnabaJaphet wewe ni choko pamoja na miraji wote machoko .muna ugomvi bado hamuja maliza na bado timu halijajengwa ki timu kwa mambo ya kisasa eti record za bocco wenzenu yanga tuko kamili tunaxidi kuelimika ki sasa na ma media vijana kibao wana ajira nyie je .GB 64 mo.mziwanda miraji mzaramu mipadi milioni mibajia munalumbana tu machoko nyie

  • @AshaAmiri-l2g
    @AshaAmiri-l2g 3 месяца назад

    Bado Fredy Maico

  • @elizampayo4057
    @elizampayo4057 3 месяца назад

    Chama huyo

  • @hilalmdosi3806
    @hilalmdosi3806 3 месяца назад

    Tunamtaka mzee said

  • @mussamohamed2858
    @mussamohamed2858 3 месяца назад

    Onana na ngoma uyo

  • @MusaDadi-pd3jd
    @MusaDadi-pd3jd 3 месяца назад

    Kibu D huyo

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 3 месяца назад

    Chama uyo asepe tu kwanza tumemchoka

  • @FatumaShabani-mp9vt
    @FatumaShabani-mp9vt 3 месяца назад +1

    Labda wachezaji wa ndani ndyo watengenezewe iyo kitabu lakini wageni apana kwakweli mtawafanyia mwisho watakutukana 😢😢

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530 3 месяца назад

    Chama apana aisee

  • @saidamour4791
    @saidamour4791 3 месяца назад

    Chagamba nipe namba ya miraji

  • @creeperofficial16
    @creeperofficial16 3 месяца назад

    huyo ni Chama

  • @ajuayeernest4916
    @ajuayeernest4916 3 месяца назад

    Unamzungumizia chama

  • @GozibartKarugendo
    @GozibartKarugendo 3 месяца назад

    3:42

  • @mwajumaabdallah3254
    @mwajumaabdallah3254 3 месяца назад

    Chama

  • @IMmedia224
    @IMmedia224 3 месяца назад

    😂😂😂

  • @colinjunior3043
    @colinjunior3043 3 месяца назад

    😂😂😂😂

  • @mwasunga
    @mwasunga 3 месяца назад

    Chagamba baba mungu akuzidishie umri mrefu chama Ngoma na babakal wakubari yaishe chama ametutesasana

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 месяца назад +1

      Ngoma c mlimteka airport ana achwaje sasa wakat season 2 bado haijatokea ??

    • @DarliotonTumaini
      @DarliotonTumaini 3 месяца назад

      Gamba umeenda kinyume na makubaliano na mzee said

  • @MarizaniSadi
    @MarizaniSadi 3 месяца назад

    Chama uyo

  • @brinasamuel6361
    @brinasamuel6361 3 месяца назад

    Wakwanza leoo mimi like kwangu miraji na chagamba nawakubali mwageni madini

  • @christinaKufakulala
    @christinaKufakulala 3 месяца назад

    Chama😢