Kweli mashabiki wa simba ni machizi hivyo vitu unavyo ongea nyie simba hamuna ata office za watu wanao program hayo mambo lazima muanze .kama sisi yanga tunazo hizo office na vijana wanafanya kazi na wanalipwa mshahara nyie simba muna Ahmed Ally tu .yani munaongea vitu hamuna huku munagombana .lazima muanze hy timu yenu kama ya mtaani tu mikuma nyie miraji kweli wewe ni chizi hujui unaongea nini huna upeo wamaongezi mumechanganyikiwa.
@@BarnabaJaphet wewe ni choko pamoja na miraji wote machoko .muna ugomvi bado hamuja maliza na bado timu halijajengwa ki timu kwa mambo ya kisasa eti record za bocco wenzenu yanga tuko kamili tunaxidi kuelimika ki sasa na ma media vijana kibao wana ajira nyie je .GB 64 mo.mziwanda miraji mzaramu mipadi milioni mibajia munalumbana tu machoko nyie
Chagamba umemkosea sana Mzee said alikwambia saidoo akipewa thank yuo uwah kwake asubuh ww umeanza na miraji
Miraji hamtaki Chama na Ngoma 😂😂😂😂 alafu mzee Saidi ukimhoji utuoneshe na supu ya kuku 😂😂😂😂
Ngoma na Chama ndio kodi ya makochali,Miraji maramoja!!!.😅😅
Mzee Saidi leo atakunywa Supu ya kuku
CHANGAMBA UNATUZINGUA WAPI MZEE SAID 😅
Chagamba chagamba chagamba nenda Kwa mzee saidi chap, kimbia fasta muwahi Yule mzee atupe burudani.
Chagamba mbna ahad zako sizo lkn
Kunamtu mmoja aliitwa Patrick mutesa mafisango marehemu hii story nimeikumbuka ulivyomtaja boban
Peleka maik kwamzee wa AR jiga side mnyamwez
Miraji Hilo unalo ongea ni la kweli hakuna kumbukumb za wat walio hit simb
mie nilishamjua maana hata mie simpendi kabisa ni chama na katikati ni ngoma au babacar sar
Mzee said jana kalala usingizi mzuri
Miraji hamtaki chama
Huyo ni chama na kiungo ni .......?
Chama huyo nishamjuwa mimi tyr
Milaji umtaki Ngoma na chama
Akipewa thank you manula na mimi nakula kuku
Documentary njoo yanga
Miraji cheguwavara
miraji huyo atakua chama
Ngoma na chama
Ngoma onana
Onana na chama
Ngoma
kibu na babacar
Chama__hapao miraji umesema aiseee chama aondoke il tupokee changamoto mpya
Onnaaaa
Mlete mzee saidiii ...wapeni senkyuu mlete akina sawadogo 🤣😂🤣
Nenda kwa mzee Saidi Chagamba tunasubiri hapa
Wapi mzee saidi jaman nitakosa kuku niko mbali😁😁
Chagamba Mzee yule muwahi kaka
SIMBA NGUVU MOJA 🎉🎉🎉
Leo ni saa7 na saa 11 jioni thankyou zinatoka
WEKA HII KWENYE KABATI...
JOSE LUIS MIQUISSON na BABACAR SARR
Ukweli usemwe chama aondoke tu, msimu unaokuja atakuwa kashachoka saana😅
Swali LA kwanza limejibiwa ki imani sana safi neema za MUNGU
Documentary miraji 😂😂
Simba. Juuu. Namkubari. Sana. Miraji. Na wewe. Chagamba. Na. Mzee. Saidiy. Nawapenda. Saana. ❤
Kaka mimi nawajua ila hawawezi kuondoka kwasababu wale watu wao bado wapo wanawapigia kifua lkn kiukweli walitakiwa waondoke
Miraji kwenye kiungo nakusaidia ni fabrice ngoma
Yenu yanga ya msimu mmoja ya kisiasa haina mashiko
Chagamba umetuzingua wadau wako we mlikubaliana nin na mzee said kuhusu thank you ya saido
chagamba tutafutie Mzee said tusaidiane kukula paja la kuku😂😂 uyo ni chama na ngoma wa miraji mm nawajua
Kibu na chama hao miraji
😂😂😂 tunataka Mzee saidi babaaa😅😅😅
Mbona Yanga na ducomentary yetu mlitusema sana ...
Hahaha muraji wake chama na Inonga 😂😂
Onana na baba car
Chama huyoo
Ni chama huyoo mar mojq
Mzeee said
Baba keisari
mzee said weeeee
Nikibu
Kweli mashabiki wa simba ni machizi hivyo vitu unavyo ongea nyie simba hamuna ata office za watu wanao program hayo mambo lazima muanze .kama sisi yanga tunazo hizo office na vijana wanafanya kazi na wanalipwa mshahara nyie simba muna Ahmed Ally tu .yani munaongea vitu hamuna huku munagombana .lazima muanze hy timu yenu kama ya mtaani tu mikuma nyie miraji kweli wewe ni chizi hujui unaongea nini huna upeo wamaongezi mumechanganyikiwa.
Yani kwel ndugu unanyimwa elim lakin pia unakosa hata maarifa pimbi wewe kua na adabu kwa wakubwa zako alaf nakuomba uludi tena shule mbwa coco wewe
@@BarnabaJaphet wewe ni choko pamoja na miraji wote machoko .muna ugomvi bado hamuja maliza na bado timu halijajengwa ki timu kwa mambo ya kisasa eti record za bocco wenzenu yanga tuko kamili tunaxidi kuelimika ki sasa na ma media vijana kibao wana ajira nyie je .GB 64 mo.mziwanda miraji mzaramu mipadi milioni mibajia munalumbana tu machoko nyie
Bado Fredy Maico
Chama huyo
Tunamtaka mzee said
Onana na ngoma uyo
Kibu D huyo
Chama uyo asepe tu kwanza tumemchoka
Labda wachezaji wa ndani ndyo watengenezewe iyo kitabu lakini wageni apana kwakweli mtawafanyia mwisho watakutukana 😢😢
Chama apana aisee
Chagamba nipe namba ya miraji
huyo ni Chama
Unamzungumizia chama
3:42
Chama
😂😂😂
😂😂😂😂
Chagamba baba mungu akuzidishie umri mrefu chama Ngoma na babakal wakubari yaishe chama ametutesasana
Ngoma c mlimteka airport ana achwaje sasa wakat season 2 bado haijatokea ??
Gamba umeenda kinyume na makubaliano na mzee said
Chama uyo
Wakwanza leoo mimi like kwangu miraji na chagamba nawakubali mwageni madini
Chama😢