GB64:MANGUNGU| TRY AGAIN TUACHIENI SIMBA YETU TUMECHOKA|SERIKALI TUNAOMBA MTUSAIDIE TUMELIA SANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 530

  • @Bashitetako
    @Bashitetako 6 месяцев назад +21

    Duh huyu mtu sina cha kuongeza 💯🙌🙌🙌🙌

  • @allysudi6401
    @allysudi6401 6 месяцев назад +5

    GB mungu akumbliki kaka umeongea ukwli mtupu umeongea kwauchungu sna at mm inaniuma sna simba inakokwnda inapotez ufalume wke

  • @PhilipoNjalika
    @PhilipoNjalika 6 месяцев назад +26

    GB 64 Ahsante Kwa kuongea ukweli wapo mashabiki wa Simba wanaufahamu ukweli lakini wanaacha kuongea ukweli kwasababu yakutulizwa na pesa za viongozi

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 6 месяцев назад +3

      Huyu nae c ndo wale wale 🤣🤣 ila Leo ka amka na akili yake ya asili , mawingu mawingu ya mvua yanamsaidia ila jua likianza kutoka na kichwa kikapata jua aahh utashangaa atayo yaongea 🤣🤣🤣🤣

    • @SHABANIMALIMA
      @SHABANIMALIMA 6 месяцев назад +1

      😂😂😂😂 Teacher aka GB64 ogopa MUNGU ni technologia yaani umeshau kabisa kama ulisha wahi kusema Kocha BENCHIKHA ni Bonge lakocha kuliko hata ROBERTEHNO ukasema BENCHIKHA ni bora kuliko ROBERTEHNO BENCHIKHA anajua kuwa funga AL AHLY VP tena halafu Si mlisema AL AHLY mlisha mzoea hawasumbui ukatoa na takwim Kabisa Baada ya kutoa nae SaremarambilikwenyeMichuanoya Afcrican Football League (AFL) ukasema una muweza kwa kocha mlie nae Benchikha Leo hii Benchikha una mfananisha na torch ambayo hainawaki haina charge hongera kwa kula matapishi yako

    • @PhilipoNjalika
      @PhilipoNjalika 6 месяцев назад +2

      Aisee

    • @barakajoseph7086
      @barakajoseph7086 6 месяцев назад +1

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

    • @barakajoseph7086
      @barakajoseph7086 6 месяцев назад +1

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @Izaangonyan
    @Izaangonyan 6 месяцев назад +14

    Gb 64 nashindwa niandike nini ila itoshe tu kusema uko sawa sawa na ninakuombea 🤲🤲 kwa Mungu akulinde na kukuongoza vyema 🙏🙏🙏

    • @EmanuelGelvas-iq4me
      @EmanuelGelvas-iq4me 6 месяцев назад +3

      Jamaa shujaa Sana yaan anaongea points sana

    • @SHABANIMALIMA
      @SHABANIMALIMA 6 месяцев назад +1

      Mkiachiwa timu mtaweza kuiongoza acheni ulevi🏃Kuongoza ⚽ wa miguu kazi kubwa

  • @SanchoKimaro
    @SanchoKimaro 6 месяцев назад +14

    Ongea Mzee ukweli wote tunakuelewa robatinyo alijitaidi kuwafichia aibu Sasa wajiuzurutu

  • @lukamkongwi9234
    @lukamkongwi9234 5 месяцев назад +2

    Uko vizur Sana

  • @mzeebabumzee
    @mzeebabumzee 6 месяцев назад +32

    sasa naanza kumu elewa mchome ndiyo shabiki wa kweli ana sema ukweli wote tuli kuwa tuna muona m baya kumbe msema kweli

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 6 месяцев назад

      Chezea posho 😂😂😂, Nina wasi wasi amekatwa huyu ameondolewa kwenye mfumo wa posho la vijana wa mapambioo,,,,, hujifanya ana fact na evidence, tulimwambia ukiwa na hoja mtindi na facts za kuchezea singeli 🤣🤣mwisho utaaibika , ukiwa na hoja za uongo mwisho ukweli utajitokeza tu , lilikuwa suala la muda tu ila sasa ndo muda wake , maji na mafuta yameanza kujitenga 😂😂 oblongata yenyew Inamgomea Gb64 chache sanaaa uongo unamdhuruu 😂😂😂

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu 6 месяцев назад

      Mchome unataka kumpa Sifa za Bure tu, ila huyu ndo mwanasimba Halisi, Ila sio Mchome yule anatumika tu Wala sio mwana Simba yule

  • @amosjulius3263
    @amosjulius3263 5 месяцев назад +6

    Umetuwakilisha wanasimba wote Asante baba

  • @khadhiriramadhan5984
    @khadhiriramadhan5984 5 месяцев назад +1

    jamaa anapointi saana sema viongozi wa simba watamuuwa kwa tamaa zao atapewa kesi ngumu ili apotelee jela niukweli mtupu anaongea clip zoote point saana kaka mungu akueke inshaallah ♥️ ❤

  • @samsonnyihita3985
    @samsonnyihita3985 6 месяцев назад +4

    Asante Sana kaka shida kubwa viongozi

  • @saidmoussa909
    @saidmoussa909 6 месяцев назад +7

    Kwanini team hapewi Mzee Dalali..Jamani kosa Sio MO kosa ni Management yenu...Na boards mzima ni mbovu... Kwanza mangungu na Try Again hawafai kuingoza Simba..

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 6 месяцев назад +1

      Hawatoki na Wala hamna ubavu huo 🤣🤣🤣, nyie ndo wa kulingishiwa mchezaji kweliii aletwe manzoki kwa magharama yote kuja kupumbazwa mwisho unamkuta sawadogo 🤣, okwa, Charamba, chasambi 🤣🤣🤣🤣 unawatoa wachezaji wazuri unaletewa wa kawaida mnapata wapi ujasiri wa kumuacha jean Otto's Baleke unamuacha Moses Phiri Kisha unawaleta akina fred vunja bei 🤣 na jobe kweliii ??? Unamuacha Mohammed Musa Unamleta karabaka 😂😂😂 duuuuuu ndugu zanguni msipokomaa mtaendelea kulia Kila wakatiiiii 😂😂😂

  • @MartinMwakalobo
    @MartinMwakalobo 6 месяцев назад +3

    Pole sana ukiona mwanaume atoa povu kiasi hiki jua imeuma leo ndio umeona mda wote ulikuwa uwoni duuuuu

  • @jamesmaneno2281
    @jamesmaneno2281 6 месяцев назад +6

    Daaa aise mpka machozi yamenitoka jamaa kaongea kiuchungu sana b4 we mtu kaka

  • @pendolingi9055
    @pendolingi9055 5 месяцев назад +1

    KK SEMA ukeli uwogozi mbaya wanasigizia wachezaji waogo Bora wageni wanajitaidi

  • @babyredbabyred7084
    @babyredbabyred7084 6 месяцев назад +10

    Mungu akupe maisha marefu kaka

  • @OmarMomade-u8z
    @OmarMomade-u8z 6 месяцев назад +6

    Sema kaka mm niko mozambiq inauma sana

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 6 месяцев назад +1

      Wewe si ulisema sio mtz Wala sio shabiki wa kolo 🤣😂😂😅
      Sema kipi kikusikitichasho .....
      Dawa inawaingia vzr kolozmelody 🤣😂😂, bado apo ila endeleni kupaza sauti mpaka janja janja iondoke pale udundukani, mkiendelea na uzuzu wetu Yale ya manzoki yatajirudia kwa mayelee, kataeni umbumbumbu juzi mlikuwa mnakataa ukweli wa mwina kaduguda 😂😂😂

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 6 месяцев назад +2

    Mtangazaj nunua mike za earphones ytashukilia hivo mpk lini

  • @dorostaferician-jb1sf
    @dorostaferician-jb1sf 5 месяцев назад +1

    Mangungu na try again ni sawa na njiwa pori hawana adabu hachiaa SIMBA ipone

  • @BarackyMgenimgeni
    @BarackyMgenimgeni 6 месяцев назад +5

    Kweli hayo maviongozi yatokee wabadiri wengine

  • @ChidyMagoly
    @ChidyMagoly 6 месяцев назад +2

    Nakuelewa teacher

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 6 месяцев назад +2

    Gb 64 umekosea kidogo. Mapaka siyo wale 21 ambao hawajakaribishwa kutoa ushauri. Mapaka ni Bodi iliyopo sasa. Hao ndiyo wameshiba dagaa pamoja na mapanya yao.

  • @generozakatima5849
    @generozakatima5849 6 месяцев назад +6

    Ww siulikua unasifia timu yenu bora kulikon leo povu linakutoka! 😂😂😂

    • @angellomarcel5677
      @angellomarcel5677 6 месяцев назад +1

      😂😂 alisema ni Bora lkn imemuangusha acha atoe GESI😅

    • @MabulaMichael-iu2bi
      @MabulaMichael-iu2bi 6 месяцев назад +1

      🤣🤣🤣🤣..kumbe na ww ulimwona mara ya kwanza eh 🤣🤣

    • @issakikwazi-jm5rq
      @issakikwazi-jm5rq 5 месяцев назад

      kaa kimya nyumbu wewe mambo ya simba hayakuhusu

    • @MabulaMichael-iu2bi
      @MabulaMichael-iu2bi 5 месяцев назад

      @@issakikwazi-jm5rq SS nyumbu c wanajuaana ushwahi kuona nyumba anajibizana na binadamu , so hata ww ni nyumbu ukibishana na nyumbu mwenzako 😅

  • @JustoNyaguti-ov8xp
    @JustoNyaguti-ov8xp 6 месяцев назад +2

    Akili nyingi sana brooGb64

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 6 месяцев назад +1

    Mimi yanga damu,lkn gb 64 umeongea kwa uchungu mkubwa yaani kwa hisia kubwa Sana. Pole saaana mtani. Yanga yamekwisha hayo, pambanieni timu tuzidi kuitangaza tz.

  • @estonsaimon6671
    @estonsaimon6671 6 месяцев назад +5

    C.E.O wa Simba ndio kabisa hamna kitu

  • @HamisiMichael
    @HamisiMichael 3 месяца назад

    Yani broo umesema ukweli wa ache wanganganie apo litakalo wakute wa silaumu kama upo pamoja na mm nipe like

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 6 месяцев назад +4

    Yanga sio mnyama mdogo
    Ile ni baruti iliyolipuliwa ili mtoke huko pangoni😅😅😅😅😅😅😅

  • @allyndimbe3260
    @allyndimbe3260 5 месяцев назад

    Msema kweli adumu mungu akulinde

  • @leonardlunguya7112
    @leonardlunguya7112 6 месяцев назад +1

    Hayo machungu uliyonayo kaka GB64 ndiyo tuliyonayo mashabiki wote.Lakini Rais Samia hawezi kuingilia masuala ya michezo.
    Hapo wanachama wakutane wawatimue hao akina Try Again,Mangungu na huyo CEO Kajula.Kama hawataki kuachia timu ni kuwatimua Kwa mawe na Kwa fimbo tu.
    Kwa kweli Viongozi wa Simba wanakera mno Tena mno.
    Halafu yamekaa kimya tu.

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 6 месяцев назад +3

    Waambie na wakina kisugu maana wao kusifia2 mkiungana wale wanatoka2.ila wenzako wakina pasi milioni wakizunguuka wakipewa buku20 wanapamba uongozi

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 5 месяцев назад

      😂wanapewa posho nzito
      GB64 posho hapewi

  • @chidyboy798
    @chidyboy798 6 месяцев назад +2

    Yani wewe tatizo huwa unang'ata na kupuliza kaka kuwa muwazi kama mwenzio miraji huwa unasifia hadi unavuka mipaka kaka

  • @mwanangusana
    @mwanangusana 6 месяцев назад +2

    😂😂😂 kumbe alikuwa anaitaka safari ya Cairo .......c alijidai 😂 😂 hawatak kulipiwa 😂😂😂😂😂 , mkifungwa tu mnaanza kugombana wenyewe kwa wenyew

  • @simonzelote5998
    @simonzelote5998 6 месяцев назад +2

    Huyu jamaa kaongea ukweli try again na mangungu ni tatizo usajili gani huu wa akina saido Fred job kazi gani hii

  • @kassimntara6901
    @kassimntara6901 6 месяцев назад +1

    Asante sijui kama kisugu na wezake wanakuelewa?

  • @elimuvisioncenter
    @elimuvisioncenter 5 месяцев назад +1

    Benchika ni More Best kuliko Robertinho ...
    Uongozi ndio ... tatizo ... na Wachezaji ...
    Ata Robertinho angekutana na Al ahly baada ya kufungwa 5 na yanga yani ndio angefungwa goli 10 kabisa ...

  • @jonathansirkintungi7434
    @jonathansirkintungi7434 6 месяцев назад +2

    Huyu alinyimwa tiketi ya kwenda Misri njaa inamwuuma.

  • @shijamakoye6013
    @shijamakoye6013 6 месяцев назад +2

    Try again na mangungu mkumbukeni huyu jamaa hata million moja mtumieni atulie sio kama anapenda kupiga hizi kelele ila anatafuta kula kama wanavyokula wakina wakatare, muziwanda, mzaramo na wengine

  • @touches4lifeonlinetv46
    @touches4lifeonlinetv46 5 месяцев назад +1

    MPIRA WA SIASA HATUTAKI
    HABARI YA KUPIGA PICHA NA WACHEZAJI HATUTAKI MLIANZA A NA MANZOKI KISHA DUBE MARA MAYELE HATUTAKI MPIRA WA KAMPENI

  • @allymtanga8127
    @allymtanga8127 5 месяцев назад +3

    LEO NDO MTAJUA MAANA YA DAIMA MBELE NYUMA MWIKO 😅😅😅😅

  • @EagerArcade-no3pr
    @EagerArcade-no3pr 5 месяцев назад

    Kaka nakupa BG up sana unaongea vitu vya maana sana, sauti hii ifke maala huska na maamuz yafanyike, mungu akupe maisha marefu kaka,

  • @mussandikumana3561
    @mussandikumana3561 6 месяцев назад +2

    Simba tangu kumtowa Hadji Manara aijawa sawa na apo apo Yanga alianza kuchuwa ma kombe yote mwaka miwili ingekuwa uwezekano upo Manara angerudi ile Simba sio iyi

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 6 месяцев назад

      Acha ujinga mbwa wewe, zeruzeru Haji Manara ndo atasajili wachezaji??

  • @DeviKita
    @DeviKita 5 месяцев назад

    Wambie kak viongozi wanatuuwa yan

  • @JosephMlay-n5w
    @JosephMlay-n5w 6 месяцев назад +1

    Mchome mapovu alitukanwa Sana ase kumbe alikuwa ndio mkweli 😂😂😂😂

  • @georgeuswege5905
    @georgeuswege5905 6 месяцев назад +2

    Nikurekebishe Yanga hatuchezewi, Yanga ndo tunawastua muake kwenye usingizi mzito wapono kupenda kusifia ujinga

  • @damasiseho2252
    @damasiseho2252 5 месяцев назад

    Kuna wakati unadhani viongozi hawaoni haya Mambo yanayotokea
    Sema yote Kaka mwenye masikio ata sikia🎉🎉🎉🎉🎉

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder7022 5 месяцев назад +1

    Hahaha leo tena serikali, mm nakuja kugombea uongozi ili nitoe uozo wote ndan ya simba

  • @msurimtenukila6745
    @msurimtenukila6745 6 месяцев назад +2

    Dah, upo sahihi Gb 64 😮😮😮

  • @joshuamhagama4311
    @joshuamhagama4311 6 месяцев назад +1

    Wewe. Gb hamjui baadhi yao Ni wanachama wa yanga mnawapaje waongoze timu yenu?

  • @stanslausbereghe3819
    @stanslausbereghe3819 5 месяцев назад +1

    Mlikuwa mnaicheka yanga, mlikuwa hamjielewi. Ongeeni sana. Yanga mbele kwa mbele!

  • @JacobMorogoro-is7kj
    @JacobMorogoro-is7kj 6 месяцев назад +4

    ❤❤❤❤Ahsante

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 6 месяцев назад +6

    KUHUSU ROBERTINO WALIMUONEA LAKINI NA HUYU BENCHIKA TUTAMLAUMU KWA LIPI??? UWOZA NI VIONGOZI WETU SIMBA

    • @peterkapel5332
      @peterkapel5332 6 месяцев назад

      Hajamlaumu amaesema Benchika ni Tochi ambayo haina Betri

    • @peterkapel5332
      @peterkapel5332 6 месяцев назад

      Robetinho alikua ni tochi yenye angalau betri

  • @Obadiamobigo
    @Obadiamobigo 5 месяцев назад

    Duu gb unaongea ukweli kabisa yaana inafika hatua m mwenyewe mpaka naumia yaan😂😂😂😂😂😂

  • @mwakilamwaki1718
    @mwakilamwaki1718 6 месяцев назад +2

    Uyu alikuwa anawasifia sana wachezaji awa tena kwa kutukana wenzake leo analialia

  • @JohnRossan-pk5cl
    @JohnRossan-pk5cl 6 месяцев назад +1

    Hao wana wanaopiga Back voko niwa Nomaaa sana

  • @MariamuOmari-z6n
    @MariamuOmari-z6n 5 месяцев назад

    Mwanangu waambie mpila hauna kona kona kaka nakubali xana niko chuga tawijipya lasanawali

  • @AthumaniGabo-n8t
    @AthumaniGabo-n8t 6 месяцев назад +1

    Hakika umeongea ukweli uko sawa kabisa Na huyu kocha tulie nae kaja kuiua histria ya. SIMBA ukweli ndio huo

  • @EmanuelGelvas-iq4me
    @EmanuelGelvas-iq4me 6 месяцев назад +2

    Point Sana yaan umeongea ukweli Sana ❤

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 6 месяцев назад +2

    Mshabiki simba huna nafasi simba simba inawenyewe hatauongee vp haisaidiii unaharibumateyako

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 6 месяцев назад +2

    KOCHA WA SIMBA TUTAMPOTEZA KWA UZEMBE WA VIONGOZI. USAJILI MBOVU SANA.

  • @biggievandar254
    @biggievandar254 6 месяцев назад +4

    Hujskia yanga wakitukana viongozi taja Hilo Simba lako yanga wako vizuri sana

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 6 месяцев назад

      We mkundu wewe na mama yako anatombwa dunia nzima, GB64 anaongea ukweli kabisa

    • @biggievandar254
      @biggievandar254 6 месяцев назад

      @@laninjeje8290 Asante sana ubarikiwe mm sitakutusi juu sijafunzwa hvyo ila ukweli mchungu Simba mbovu pamoja na viongozi yanga nimoja tu Africa

    • @pascalmwaigombe-xc4nt
      @pascalmwaigombe-xc4nt 5 месяцев назад

      Eti yanga nzuri msenge tu wew.gb64 anaakili kuliko ata baba ako matako yako

  • @JosephTibu
    @JosephTibu 6 месяцев назад +3

    Simba nguvu moja ❤❤❤❤,najua ipo siku tutafurai😢😢😢

  • @nuruabdallahmed9495
    @nuruabdallahmed9495 6 месяцев назад +1

    Huyu ni mjinga sana. Anataka apewe timu yeye na nani? Simba imefungwa na Al ahaly anapiga kelele utafikiri simba imefungwa na timu ya daraja la tatu! Hana akili kabisa. Hawa watu wanaoishi kwa kupiga kelele ikawa ndio sehemu ya kuishi kwao ni kuwaogopa kama ukoma. Nilikuwa namheshimu kumbe ni kiazi.

  • @YasriRamadhani-f1b
    @YasriRamadhani-f1b 5 месяцев назад +1

    Safi sana Gb 64 ukweli ndo uo

  • @nuruabdallahmed9495
    @nuruabdallahmed9495 6 месяцев назад +1

    Hamia Utopolo akili yako imekwishaingia kutu. Kama unaona Utopolo ni timu nzuri unashindwa nini kuhamia huko ukamfuata Haji Manara? Huna akili kabisa kama unasahau ulichosema ndani ya dakika 24 nani akuelewe. Achana na mapovu. Una kelele kama mwehu.

  • @habibrwegoshora6624
    @habibrwegoshora6624 6 месяцев назад +5

    ONGERA KWA KUANZA KUWA NA UONO ...UMEANZA KUWA KAMA WANANCHI

  • @NsubiRaphael
    @NsubiRaphael 6 месяцев назад +1

    Hayo nd maneno Gb 64 sasa hayo ndio maneno we umesoma tunafanywa nyumbu,mpira unaingiza siasa miaka 3 team iongozwe na vijana hizo ndio cheche sisi tuko sawa sawa na were hata ukituamb

  • @patrickmmary
    @patrickmmary 6 месяцев назад +3

    INAUMA Sana Sana Sana Kama

  • @piusbaruhuwundi8987
    @piusbaruhuwundi8987 6 месяцев назад +1

    Kama timu ni ya MO maana yake yeye ndiyo mwenye maamuzi. Rais anaweza kuingilia kweli?

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 6 месяцев назад +1

    Usisahau goli 5 walishawafunga😅😅😅😅😅😂😂😂

  • @makambatimbertraderscompan311
    @makambatimbertraderscompan311 6 месяцев назад +1

    Huyu nae Bangi Nyingi 😂😂😂

  • @CharlesLutandula-y3c
    @CharlesLutandula-y3c 5 месяцев назад

    Nashauri Mangu ngu waachie ngazi lasivyo tutaogamagoli kwayanga maana wapinzani watapitia hapa😊

  • @REginamasamathias
    @REginamasamathias 5 месяцев назад

    Sema kaka tunazalilika ❤

  • @GODFREYWITARO
    @GODFREYWITARO 6 месяцев назад +1

    Upo vizuri kaka

  • @dorostaferician-jb1sf
    @dorostaferician-jb1sf 5 месяцев назад

    Bila mungu kumuondoa mangungu na try again Simba in shida kusonga mbele

  • @SelemaniSaid-ip6se
    @SelemaniSaid-ip6se 5 месяцев назад

    🎉🎉🎉ongea brother

  • @bulengwamisiri5630
    @bulengwamisiri5630 6 месяцев назад +2

    Hao viongozi waachie timu

  • @leonardlunguya7112
    @leonardlunguya7112 6 месяцев назад

    Serikali hairuhusiwi kuingilia masuala ya Mpira.Ni jukumu la wanachama na mashabiki kuwafurusha hao akina try again Kwa viboko kama wenyewe hawataki kuachia timu.
    Klabu Ina wanachama na wanauwezo wa kuwafungia ofisini.Hao Akina Try Again na akina Mangungu bila kuwatandika bakora timu itaendelea kuyumba Kwa hao watu

  • @elinafikamollel6538
    @elinafikamollel6538 6 месяцев назад +1

    Ndg 64GB Hasira haitendi haki
    Waliingia kikatiba watatoka kikatiba

  • @hamisibrahim9879
    @hamisibrahim9879 6 месяцев назад +2

    Ongea kaka

  • @oswaldtemba2770
    @oswaldtemba2770 6 месяцев назад +1

    Walicheza namba zipi uwanjani

  • @EmmaSichone-vg9gy
    @EmmaSichone-vg9gy 6 месяцев назад +2

    Nimeanza kukuelewa

  • @rehemambwanji3883
    @rehemambwanji3883 6 месяцев назад +1

    Kwakweli hii hainogi inaumiza sana

  • @HashimuKibaluwa
    @HashimuKibaluwa 6 месяцев назад +1

    Kweli kabisa vingozi wetu wana zingua Sana sajili zetu zajanjanja

  • @shukuruiddi82
    @shukuruiddi82 6 месяцев назад +1

    ila uchaguzi ukifika mnakula maneno yenu mkipewa pesa mangunguuu oyeee maumivu ndio haya sasa. wachambuzi wa simba wengi mnajua kuumia msipopokelewa simu zenu,mkipewa vzr mashabiki mnatupiga chini, umeongea point tupu, ila swali hatuwezi mtoa mtu km kiti kimekaa sehemu sio mahali pake, tuombe uchaguzi wa dharula na maamuzi yafanyike nje na hapo hakuna kutoana kwa media, uchaguzi wa dharula ufanyike na hapo km katiba itakuwa inaruhusu nje na hapo ni machafuko tu.

  • @JumaSaid-t1s
    @JumaSaid-t1s 6 месяцев назад +1

    mwanangu wachane viongozi wanaua chama mpakainauma

  • @IddyyFumbwe
    @IddyyFumbwe 5 месяцев назад +1

    MTAELEWA 2, ONGEA SANA LKN TAFAKARI UWEKEZAJI WENU.

  • @Mkrist
    @Mkrist 6 месяцев назад +2

    Huyu jamaa ana familia?

  • @JescaMwaisumo
    @JescaMwaisumo 5 месяцев назад

    Ulisema yanga ikitufunga akuna kiongozi atakaetoka uwanjani hahahaha vip jana tareh ishilini walitoka viongozi au 😂😂😂😂😂😂 pumbavu msitupigie keklele

  • @shijamakoye6013
    @shijamakoye6013 6 месяцев назад +2

    Oya nawewe uwe unasugua meno yani meno yana rangi kama ya mbuzi au ng'ombe

  • @mjubachibu
    @mjubachibu 5 месяцев назад

    😮❤❤nikweli GB64 viongz wanazngua kbc km wamechoka simba waach mbn wachz wazr wap weng sana tatz vngz wanatamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa wapngz tamaaaaaaaa wataft wachz zr

  • @coolruler6820
    @coolruler6820 5 месяцев назад

    😂😂😂😂😂 Pombe haiachagi mtu salama,,,,,ulishachangia club shilingi ngapi tangu umeanza kushabikia?

  • @boazgodfrey865
    @boazgodfrey865 5 месяцев назад

    Nimekuelewa kaka!!

  • @AdulKiga
    @AdulKiga 6 месяцев назад +1

    Dah ww na miraji mnaonge vema sana

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph5458 5 месяцев назад

    Jamaa anafact kinoma

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 6 месяцев назад +2

    hehehehehehehehehheeheheh nchi ina Raha sana

  • @AdulKiga
    @AdulKiga 6 месяцев назад +1

    Ww uko tofauti na machawa kama kisugu sugu uwa aongei kweli

  • @ramadhankombe2643
    @ramadhankombe2643 5 месяцев назад

    😅😅tabuleleee waahhhh😂😂😂nimecheka xnaaaaa.

  • @PiliSaidi-sv8iv
    @PiliSaidi-sv8iv 5 месяцев назад

    Daaa ongea ukwerii kaka Mana ata sijui tunakwenda wapi enii

  • @jumaMohammedi-rt2ys
    @jumaMohammedi-rt2ys 6 месяцев назад

    Waambiy mzee viongoz wana2aibish

  • @dorostaferician-jb1sf
    @dorostaferician-jb1sf 5 месяцев назад

    Ni kweli bila kumuondoa mangungu na try again Simba haiyafika mbali na mishahara hawapati kwa wakati na posho pia mama Samia tusaidie jamani