Huyu nae c ndo wale wale 🤣🤣 ila Leo ka amka na akili yake ya asili , mawingu mawingu ya mvua yanamsaidia ila jua likianza kutoka na kichwa kikapata jua aahh utashangaa atayo yaongea 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂 Teacher aka GB64 ogopa MUNGU ni technologia yaani umeshau kabisa kama ulisha wahi kusema Kocha BENCHIKHA ni Bonge lakocha kuliko hata ROBERTEHNO ukasema BENCHIKHA ni bora kuliko ROBERTEHNO BENCHIKHA anajua kuwa funga AL AHLY VP tena halafu Si mlisema AL AHLY mlisha mzoea hawasumbui ukatoa na takwim Kabisa Baada ya kutoa nae SaremarambilikwenyeMichuanoya Afcrican Football League (AFL) ukasema una muweza kwa kocha mlie nae Benchikha Leo hii Benchikha una mfananisha na torch ambayo hainawaki haina charge hongera kwa kula matapishi yako
Chezea posho 😂😂😂, Nina wasi wasi amekatwa huyu ameondolewa kwenye mfumo wa posho la vijana wa mapambioo,,,,, hujifanya ana fact na evidence, tulimwambia ukiwa na hoja mtindi na facts za kuchezea singeli 🤣🤣mwisho utaaibika , ukiwa na hoja za uongo mwisho ukweli utajitokeza tu , lilikuwa suala la muda tu ila sasa ndo muda wake , maji na mafuta yameanza kujitenga 😂😂 oblongata yenyew Inamgomea Gb64 chache sanaaa uongo unamdhuruu 😂😂😂
jamaa anapointi saana sema viongozi wa simba watamuuwa kwa tamaa zao atapewa kesi ngumu ili apotelee jela niukweli mtupu anaongea clip zoote point saana kaka mungu akueke inshaallah ♥️ ❤
Kwanini team hapewi Mzee Dalali..Jamani kosa Sio MO kosa ni Management yenu...Na boards mzima ni mbovu... Kwanza mangungu na Try Again hawafai kuingoza Simba..
Hawatoki na Wala hamna ubavu huo 🤣🤣🤣, nyie ndo wa kulingishiwa mchezaji kweliii aletwe manzoki kwa magharama yote kuja kupumbazwa mwisho unamkuta sawadogo 🤣, okwa, Charamba, chasambi 🤣🤣🤣🤣 unawatoa wachezaji wazuri unaletewa wa kawaida mnapata wapi ujasiri wa kumuacha jean Otto's Baleke unamuacha Moses Phiri Kisha unawaleta akina fred vunja bei 🤣 na jobe kweliii ??? Unamuacha Mohammed Musa Unamleta karabaka 😂😂😂 duuuuuu ndugu zanguni msipokomaa mtaendelea kulia Kila wakatiiiii 😂😂😂
Wewe si ulisema sio mtz Wala sio shabiki wa kolo 🤣😂😂😅 Sema kipi kikusikitichasho ..... Dawa inawaingia vzr kolozmelody 🤣😂😂, bado apo ila endeleni kupaza sauti mpaka janja janja iondoke pale udundukani, mkiendelea na uzuzu wetu Yale ya manzoki yatajirudia kwa mayelee, kataeni umbumbumbu juzi mlikuwa mnakataa ukweli wa mwina kaduguda 😂😂😂
Gb 64 umekosea kidogo. Mapaka siyo wale 21 ambao hawajakaribishwa kutoa ushauri. Mapaka ni Bodi iliyopo sasa. Hao ndiyo wameshiba dagaa pamoja na mapanya yao.
Mimi yanga damu,lkn gb 64 umeongea kwa uchungu mkubwa yaani kwa hisia kubwa Sana. Pole saaana mtani. Yanga yamekwisha hayo, pambanieni timu tuzidi kuitangaza tz.
Hayo machungu uliyonayo kaka GB64 ndiyo tuliyonayo mashabiki wote.Lakini Rais Samia hawezi kuingilia masuala ya michezo. Hapo wanachama wakutane wawatimue hao akina Try Again,Mangungu na huyo CEO Kajula.Kama hawataki kuachia timu ni kuwatimua Kwa mawe na Kwa fimbo tu. Kwa kweli Viongozi wa Simba wanakera mno Tena mno. Halafu yamekaa kimya tu.
Benchika ni More Best kuliko Robertinho ... Uongozi ndio ... tatizo ... na Wachezaji ... Ata Robertinho angekutana na Al ahly baada ya kufungwa 5 na yanga yani ndio angefungwa goli 10 kabisa ...
Try again na mangungu mkumbukeni huyu jamaa hata million moja mtumieni atulie sio kama anapenda kupiga hizi kelele ila anatafuta kula kama wanavyokula wakina wakatare, muziwanda, mzaramo na wengine
Simba tangu kumtowa Hadji Manara aijawa sawa na apo apo Yanga alianza kuchuwa ma kombe yote mwaka miwili ingekuwa uwezekano upo Manara angerudi ile Simba sio iyi
Huyu ni mjinga sana. Anataka apewe timu yeye na nani? Simba imefungwa na Al ahaly anapiga kelele utafikiri simba imefungwa na timu ya daraja la tatu! Hana akili kabisa. Hawa watu wanaoishi kwa kupiga kelele ikawa ndio sehemu ya kuishi kwao ni kuwaogopa kama ukoma. Nilikuwa namheshimu kumbe ni kiazi.
Hamia Utopolo akili yako imekwishaingia kutu. Kama unaona Utopolo ni timu nzuri unashindwa nini kuhamia huko ukamfuata Haji Manara? Huna akili kabisa kama unasahau ulichosema ndani ya dakika 24 nani akuelewe. Achana na mapovu. Una kelele kama mwehu.
Hayo nd maneno Gb 64 sasa hayo ndio maneno we umesoma tunafanywa nyumbu,mpira unaingiza siasa miaka 3 team iongozwe na vijana hizo ndio cheche sisi tuko sawa sawa na were hata ukituamb
Serikali hairuhusiwi kuingilia masuala ya Mpira.Ni jukumu la wanachama na mashabiki kuwafurusha hao akina try again Kwa viboko kama wenyewe hawataki kuachia timu. Klabu Ina wanachama na wanauwezo wa kuwafungia ofisini.Hao Akina Try Again na akina Mangungu bila kuwatandika bakora timu itaendelea kuyumba Kwa hao watu
ila uchaguzi ukifika mnakula maneno yenu mkipewa pesa mangunguuu oyeee maumivu ndio haya sasa. wachambuzi wa simba wengi mnajua kuumia msipopokelewa simu zenu,mkipewa vzr mashabiki mnatupiga chini, umeongea point tupu, ila swali hatuwezi mtoa mtu km kiti kimekaa sehemu sio mahali pake, tuombe uchaguzi wa dharula na maamuzi yafanyike nje na hapo hakuna kutoana kwa media, uchaguzi wa dharula ufanyike na hapo km katiba itakuwa inaruhusu nje na hapo ni machafuko tu.
Duh huyu mtu sina cha kuongeza 💯🙌🙌🙌🙌
GB mungu akumbliki kaka umeongea ukwli mtupu umeongea kwauchungu sna at mm inaniuma sna simba inakokwnda inapotez ufalume wke
GB 64 Ahsante Kwa kuongea ukweli wapo mashabiki wa Simba wanaufahamu ukweli lakini wanaacha kuongea ukweli kwasababu yakutulizwa na pesa za viongozi
Huyu nae c ndo wale wale 🤣🤣 ila Leo ka amka na akili yake ya asili , mawingu mawingu ya mvua yanamsaidia ila jua likianza kutoka na kichwa kikapata jua aahh utashangaa atayo yaongea 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂 Teacher aka GB64 ogopa MUNGU ni technologia yaani umeshau kabisa kama ulisha wahi kusema Kocha BENCHIKHA ni Bonge lakocha kuliko hata ROBERTEHNO ukasema BENCHIKHA ni bora kuliko ROBERTEHNO BENCHIKHA anajua kuwa funga AL AHLY VP tena halafu Si mlisema AL AHLY mlisha mzoea hawasumbui ukatoa na takwim Kabisa Baada ya kutoa nae SaremarambilikwenyeMichuanoya Afcrican Football League (AFL) ukasema una muweza kwa kocha mlie nae Benchikha Leo hii Benchikha una mfananisha na torch ambayo hainawaki haina charge hongera kwa kula matapishi yako
Aisee
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Gb 64 nashindwa niandike nini ila itoshe tu kusema uko sawa sawa na ninakuombea 🤲🤲 kwa Mungu akulinde na kukuongoza vyema 🙏🙏🙏
Jamaa shujaa Sana yaan anaongea points sana
Mkiachiwa timu mtaweza kuiongoza acheni ulevi🏃Kuongoza ⚽ wa miguu kazi kubwa
Ongea Mzee ukweli wote tunakuelewa robatinyo alijitaidi kuwafichia aibu Sasa wajiuzurutu
Uko vizur Sana
sasa naanza kumu elewa mchome ndiyo shabiki wa kweli ana sema ukweli wote tuli kuwa tuna muona m baya kumbe msema kweli
Chezea posho 😂😂😂, Nina wasi wasi amekatwa huyu ameondolewa kwenye mfumo wa posho la vijana wa mapambioo,,,,, hujifanya ana fact na evidence, tulimwambia ukiwa na hoja mtindi na facts za kuchezea singeli 🤣🤣mwisho utaaibika , ukiwa na hoja za uongo mwisho ukweli utajitokeza tu , lilikuwa suala la muda tu ila sasa ndo muda wake , maji na mafuta yameanza kujitenga 😂😂 oblongata yenyew Inamgomea Gb64 chache sanaaa uongo unamdhuruu 😂😂😂
Mchome unataka kumpa Sifa za Bure tu, ila huyu ndo mwanasimba Halisi, Ila sio Mchome yule anatumika tu Wala sio mwana Simba yule
Umetuwakilisha wanasimba wote Asante baba
jamaa anapointi saana sema viongozi wa simba watamuuwa kwa tamaa zao atapewa kesi ngumu ili apotelee jela niukweli mtupu anaongea clip zoote point saana kaka mungu akueke inshaallah ♥️ ❤
Asante Sana kaka shida kubwa viongozi
Kwanini team hapewi Mzee Dalali..Jamani kosa Sio MO kosa ni Management yenu...Na boards mzima ni mbovu... Kwanza mangungu na Try Again hawafai kuingoza Simba..
Hawatoki na Wala hamna ubavu huo 🤣🤣🤣, nyie ndo wa kulingishiwa mchezaji kweliii aletwe manzoki kwa magharama yote kuja kupumbazwa mwisho unamkuta sawadogo 🤣, okwa, Charamba, chasambi 🤣🤣🤣🤣 unawatoa wachezaji wazuri unaletewa wa kawaida mnapata wapi ujasiri wa kumuacha jean Otto's Baleke unamuacha Moses Phiri Kisha unawaleta akina fred vunja bei 🤣 na jobe kweliii ??? Unamuacha Mohammed Musa Unamleta karabaka 😂😂😂 duuuuuu ndugu zanguni msipokomaa mtaendelea kulia Kila wakatiiiii 😂😂😂
Pole sana ukiona mwanaume atoa povu kiasi hiki jua imeuma leo ndio umeona mda wote ulikuwa uwoni duuuuu
Daaa aise mpka machozi yamenitoka jamaa kaongea kiuchungu sana b4 we mtu kaka
KK SEMA ukeli uwogozi mbaya wanasigizia wachezaji waogo Bora wageni wanajitaidi
Mungu akupe maisha marefu kaka
❤❤❤❤
❤❤❤
Sema kaka mm niko mozambiq inauma sana
Wewe si ulisema sio mtz Wala sio shabiki wa kolo 🤣😂😂😅
Sema kipi kikusikitichasho .....
Dawa inawaingia vzr kolozmelody 🤣😂😂, bado apo ila endeleni kupaza sauti mpaka janja janja iondoke pale udundukani, mkiendelea na uzuzu wetu Yale ya manzoki yatajirudia kwa mayelee, kataeni umbumbumbu juzi mlikuwa mnakataa ukweli wa mwina kaduguda 😂😂😂
Mtangazaj nunua mike za earphones ytashukilia hivo mpk lini
Mangungu na try again ni sawa na njiwa pori hawana adabu hachiaa SIMBA ipone
Kweli hayo maviongozi yatokee wabadiri wengine
Nakuelewa teacher
Gb 64 umekosea kidogo. Mapaka siyo wale 21 ambao hawajakaribishwa kutoa ushauri. Mapaka ni Bodi iliyopo sasa. Hao ndiyo wameshiba dagaa pamoja na mapanya yao.
Ww siulikua unasifia timu yenu bora kulikon leo povu linakutoka! 😂😂😂
😂😂 alisema ni Bora lkn imemuangusha acha atoe GESI😅
🤣🤣🤣🤣..kumbe na ww ulimwona mara ya kwanza eh 🤣🤣
kaa kimya nyumbu wewe mambo ya simba hayakuhusu
@@issakikwazi-jm5rq SS nyumbu c wanajuaana ushwahi kuona nyumba anajibizana na binadamu , so hata ww ni nyumbu ukibishana na nyumbu mwenzako 😅
Akili nyingi sana brooGb64
Mimi yanga damu,lkn gb 64 umeongea kwa uchungu mkubwa yaani kwa hisia kubwa Sana. Pole saaana mtani. Yanga yamekwisha hayo, pambanieni timu tuzidi kuitangaza tz.
C.E.O wa Simba ndio kabisa hamna kitu
Yani broo umesema ukweli wa ache wanganganie apo litakalo wakute wa silaumu kama upo pamoja na mm nipe like
Yanga sio mnyama mdogo
Ile ni baruti iliyolipuliwa ili mtoke huko pangoni😅😅😅😅😅😅😅
Watuachie timu mangungu na ageni
Msema kweli adumu mungu akulinde
Hayo machungu uliyonayo kaka GB64 ndiyo tuliyonayo mashabiki wote.Lakini Rais Samia hawezi kuingilia masuala ya michezo.
Hapo wanachama wakutane wawatimue hao akina Try Again,Mangungu na huyo CEO Kajula.Kama hawataki kuachia timu ni kuwatimua Kwa mawe na Kwa fimbo tu.
Kwa kweli Viongozi wa Simba wanakera mno Tena mno.
Halafu yamekaa kimya tu.
Waambie na wakina kisugu maana wao kusifia2 mkiungana wale wanatoka2.ila wenzako wakina pasi milioni wakizunguuka wakipewa buku20 wanapamba uongozi
😂wanapewa posho nzito
GB64 posho hapewi
Yani wewe tatizo huwa unang'ata na kupuliza kaka kuwa muwazi kama mwenzio miraji huwa unasifia hadi unavuka mipaka kaka
😂😂😂 kumbe alikuwa anaitaka safari ya Cairo .......c alijidai 😂 😂 hawatak kulipiwa 😂😂😂😂😂 , mkifungwa tu mnaanza kugombana wenyewe kwa wenyew
Huyu jamaa kaongea ukweli try again na mangungu ni tatizo usajili gani huu wa akina saido Fred job kazi gani hii
Asante sijui kama kisugu na wezake wanakuelewa?
Benchika ni More Best kuliko Robertinho ...
Uongozi ndio ... tatizo ... na Wachezaji ...
Ata Robertinho angekutana na Al ahly baada ya kufungwa 5 na yanga yani ndio angefungwa goli 10 kabisa ...
Sahihi
Huyu alinyimwa tiketi ya kwenda Misri njaa inamwuuma.
Try again na mangungu mkumbukeni huyu jamaa hata million moja mtumieni atulie sio kama anapenda kupiga hizi kelele ila anatafuta kula kama wanavyokula wakina wakatare, muziwanda, mzaramo na wengine
Tulia we Nyani fc 🦧 🦍
MPIRA WA SIASA HATUTAKI
HABARI YA KUPIGA PICHA NA WACHEZAJI HATUTAKI MLIANZA A NA MANZOKI KISHA DUBE MARA MAYELE HATUTAKI MPIRA WA KAMPENI
LEO NDO MTAJUA MAANA YA DAIMA MBELE NYUMA MWIKO 😅😅😅😅
amae😅😅😅
Kaka nakupa BG up sana unaongea vitu vya maana sana, sauti hii ifke maala huska na maamuz yafanyike, mungu akupe maisha marefu kaka,
Simba tangu kumtowa Hadji Manara aijawa sawa na apo apo Yanga alianza kuchuwa ma kombe yote mwaka miwili ingekuwa uwezekano upo Manara angerudi ile Simba sio iyi
Acha ujinga mbwa wewe, zeruzeru Haji Manara ndo atasajili wachezaji??
Wambie kak viongozi wanatuuwa yan
Mchome mapovu alitukanwa Sana ase kumbe alikuwa ndio mkweli 😂😂😂😂
Nikurekebishe Yanga hatuchezewi, Yanga ndo tunawastua muake kwenye usingizi mzito wapono kupenda kusifia ujinga
Kuna wakati unadhani viongozi hawaoni haya Mambo yanayotokea
Sema yote Kaka mwenye masikio ata sikia🎉🎉🎉🎉🎉
Hahaha leo tena serikali, mm nakuja kugombea uongozi ili nitoe uozo wote ndan ya simba
Dah, upo sahihi Gb 64 😮😮😮
Wewe. Gb hamjui baadhi yao Ni wanachama wa yanga mnawapaje waongoze timu yenu?
Mlikuwa mnaicheka yanga, mlikuwa hamjielewi. Ongeeni sana. Yanga mbele kwa mbele!
❤❤❤❤Ahsante
KUHUSU ROBERTINO WALIMUONEA LAKINI NA HUYU BENCHIKA TUTAMLAUMU KWA LIPI??? UWOZA NI VIONGOZI WETU SIMBA
Hajamlaumu amaesema Benchika ni Tochi ambayo haina Betri
Robetinho alikua ni tochi yenye angalau betri
Duu gb unaongea ukweli kabisa yaana inafika hatua m mwenyewe mpaka naumia yaan😂😂😂😂😂😂
Uyu alikuwa anawasifia sana wachezaji awa tena kwa kutukana wenzake leo analialia
Hao wana wanaopiga Back voko niwa Nomaaa sana
Mwanangu waambie mpila hauna kona kona kaka nakubali xana niko chuga tawijipya lasanawali
Hakika umeongea ukweli uko sawa kabisa Na huyu kocha tulie nae kaja kuiua histria ya. SIMBA ukweli ndio huo
Point Sana yaan umeongea ukweli Sana ❤
Mshabiki simba huna nafasi simba simba inawenyewe hatauongee vp haisaidiii unaharibumateyako
KOCHA WA SIMBA TUTAMPOTEZA KWA UZEMBE WA VIONGOZI. USAJILI MBOVU SANA.
Hujskia yanga wakitukana viongozi taja Hilo Simba lako yanga wako vizuri sana
We mkundu wewe na mama yako anatombwa dunia nzima, GB64 anaongea ukweli kabisa
@@laninjeje8290 Asante sana ubarikiwe mm sitakutusi juu sijafunzwa hvyo ila ukweli mchungu Simba mbovu pamoja na viongozi yanga nimoja tu Africa
Eti yanga nzuri msenge tu wew.gb64 anaakili kuliko ata baba ako matako yako
Simba nguvu moja ❤❤❤❤,najua ipo siku tutafurai😢😢😢
Tutafurahi Mangungu na Try Again watakapoiachia Simba
Sawakabisa
Washatutesa vyakutosha
Huyu ni mjinga sana. Anataka apewe timu yeye na nani? Simba imefungwa na Al ahaly anapiga kelele utafikiri simba imefungwa na timu ya daraja la tatu! Hana akili kabisa. Hawa watu wanaoishi kwa kupiga kelele ikawa ndio sehemu ya kuishi kwao ni kuwaogopa kama ukoma. Nilikuwa namheshimu kumbe ni kiazi.
Safi sana Gb 64 ukweli ndo uo
Hamia Utopolo akili yako imekwishaingia kutu. Kama unaona Utopolo ni timu nzuri unashindwa nini kuhamia huko ukamfuata Haji Manara? Huna akili kabisa kama unasahau ulichosema ndani ya dakika 24 nani akuelewe. Achana na mapovu. Una kelele kama mwehu.
ONGERA KWA KUANZA KUWA NA UONO ...UMEANZA KUWA KAMA WANANCHI
Hayo nd maneno Gb 64 sasa hayo ndio maneno we umesoma tunafanywa nyumbu,mpira unaingiza siasa miaka 3 team iongozwe na vijana hizo ndio cheche sisi tuko sawa sawa na were hata ukituamb
INAUMA Sana Sana Sana Kama
Kama timu ni ya MO maana yake yeye ndiyo mwenye maamuzi. Rais anaweza kuingilia kweli?
Usisahau goli 5 walishawafunga😅😅😅😅😅😂😂😂
Huyu nae Bangi Nyingi 😂😂😂
Nashauri Mangu ngu waachie ngazi lasivyo tutaogamagoli kwayanga maana wapinzani watapitia hapa😊
Sema kaka tunazalilika ❤
Upo vizuri kaka
Bila mungu kumuondoa mangungu na try again Simba in shida kusonga mbele
🎉🎉🎉ongea brother
Hao viongozi waachie timu
Serikali hairuhusiwi kuingilia masuala ya Mpira.Ni jukumu la wanachama na mashabiki kuwafurusha hao akina try again Kwa viboko kama wenyewe hawataki kuachia timu.
Klabu Ina wanachama na wanauwezo wa kuwafungia ofisini.Hao Akina Try Again na akina Mangungu bila kuwatandika bakora timu itaendelea kuyumba Kwa hao watu
Ndg 64GB Hasira haitendi haki
Waliingia kikatiba watatoka kikatiba
Ongea kaka
Walicheza namba zipi uwanjani
Nimeanza kukuelewa
Kwakweli hii hainogi inaumiza sana
Kweli kabisa vingozi wetu wana zingua Sana sajili zetu zajanjanja
ila uchaguzi ukifika mnakula maneno yenu mkipewa pesa mangunguuu oyeee maumivu ndio haya sasa. wachambuzi wa simba wengi mnajua kuumia msipopokelewa simu zenu,mkipewa vzr mashabiki mnatupiga chini, umeongea point tupu, ila swali hatuwezi mtoa mtu km kiti kimekaa sehemu sio mahali pake, tuombe uchaguzi wa dharula na maamuzi yafanyike nje na hapo hakuna kutoana kwa media, uchaguzi wa dharula ufanyike na hapo km katiba itakuwa inaruhusu nje na hapo ni machafuko tu.
mwanangu wachane viongozi wanaua chama mpakainauma
MTAELEWA 2, ONGEA SANA LKN TAFAKARI UWEKEZAJI WENU.
Huyu jamaa ana familia?
Ulisema yanga ikitufunga akuna kiongozi atakaetoka uwanjani hahahaha vip jana tareh ishilini walitoka viongozi au 😂😂😂😂😂😂 pumbavu msitupigie keklele
Oya nawewe uwe unasugua meno yani meno yana rangi kama ya mbuzi au ng'ombe
Fegi
😮❤❤nikweli GB64 viongz wanazngua kbc km wamechoka simba waach mbn wachz wazr wap weng sana tatz vngz wanatamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa wapngz tamaaaaaaaa wataft wachz zr
😂😂😂😂😂 Pombe haiachagi mtu salama,,,,,ulishachangia club shilingi ngapi tangu umeanza kushabikia?
Nimekuelewa kaka!!
Dah ww na miraji mnaonge vema sana
Jamaa anafact kinoma
hehehehehehehehehheeheheh nchi ina Raha sana
Ww uko tofauti na machawa kama kisugu sugu uwa aongei kweli
😅😅tabuleleee waahhhh😂😂😂nimecheka xnaaaaa.
Daaa ongea ukwerii kaka Mana ata sijui tunakwenda wapi enii
Waambiy mzee viongoz wana2aibish
Ni kweli bila kumuondoa mangungu na try again Simba haiyafika mbali na mishahara hawapati kwa wakati na posho pia mama Samia tusaidie jamani