Комментарии •

  • @ZakariaSimon-gp1gr
    @ZakariaSimon-gp1gr 12 дней назад +1

    Tunakuja simba ❤ watajificha uto

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s 12 дней назад +1

    Hii timu kuja kuwa seriius sijuwi lini asee hadi naogopa. Huyu si ndo alikua analia na kushindia pombe mwezi mzima kisa matokeo ya timu ambayo imefika hadi robo fainali. Sasa subiri ligi ianze sijuwi watabadirikaje asee😂😂😂😂😂😂

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 12 дней назад +2

    mungu wabariki wachezaji wetu wasitupiwe majini

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 12 дней назад

      Hiyo kazi inafanyagwa na shomari kapombe na Zimbwe Ili kulinda namba zao

    • @othmanali5799
      @othmanali5799 12 дней назад

      Hiooo Kaz anafanya Mgunda maana akipewa timuu yy inafanya vizuri badae wanampokonya ndipooo anaenda kuwalogaa

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 12 дней назад

    Napenda sana confidence ya team zote mbili naona msimu ujao ukiwa msimu bora sana.
    Wachezaji wazee ni Chama na Dube sajili zengine zilizobaki ni U25 rekebisha kauli yako ndugu. Kwa Dube bado akina Musonda na Mzize wapo.

  • @DavidLucas-cb1hx
    @DavidLucas-cb1hx 12 дней назад

    ❤❤❤❤❤mm kama mwanasimba apo kichapo 2

  • @user-pn8ux8of7f
    @user-pn8ux8of7f 9 дней назад

    Mnge msaji mayelle salum fei toto ningewaamini lakini aaa

  • @zakayomosha13
    @zakayomosha13 12 дней назад +1

    Tajiri ameamua mazima!

  • @EliaNelson-l6c
    @EliaNelson-l6c 11 дней назад

    ❤❤❤❤

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s 12 дней назад

    Yaani kagoma ndo tegemeo la kutengeneza timu kweli!?😂😂😂😂😂😂

  • @petermkinga3566
    @petermkinga3566 12 дней назад

    GB umenifurahisha kwenye kazi na umri!

  • @essaumapunda5766
    @essaumapunda5766 12 дней назад +1

    Mo Dwj big up

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 12 дней назад

      Team ikiyumba pia mumtaje Mo Dwj msimtaje Mangungu hata siku moja.

  • @user-fd6ct9tv7q
    @user-fd6ct9tv7q 12 дней назад +1

  • @bahatimshali2731
    @bahatimshali2731 12 дней назад

    Eti NSSF Team.
    Bro wasije kukushambulia😂

  • @lumistarboy8499
    @lumistarboy8499 12 дней назад

    Kati kati ya msimu msije mtukana Mangungu 😅

  • @PeterWillypnk
    @PeterWillypnk 12 дней назад

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤝

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 12 дней назад

    Boss huna baya ila tu walindwe hao wachezaji umesajil watu Bora kabisa nakupa maua yako 🌹

  • @AsumaniMkumba
    @AsumaniMkumba 10 дней назад

    Wew acha ushamb

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman5912 12 дней назад +5

    Wachezaji wa buku buku kibao 😂😂😂

    • @IlhamKhalid-mt3jp
      @IlhamKhalid-mt3jp 12 дней назад +2

      Mpumbavu wewee

    • @user-yq7dm4gw6j
      @user-yq7dm4gw6j 12 дней назад

      Au cyo

    • @user-yq7dm4gw6j
      @user-yq7dm4gw6j 12 дней назад

      Buku we unalo hlo buku kasajil na wewe

    • @SwaumuMalau-jh1hb
      @SwaumuMalau-jh1hb 12 дней назад +1

      Bora ule chakula Cha buku kuliko walichoachia wenzio

    • @jitihadaharuna9448
      @jitihadaharuna9448 12 дней назад +2

      we ndio kuku kweli hujui kitu hujui hichi kikosi kinagharama kubwa kuliko timu yeyote tanzania. mchezaji wa umri chini 25 anagharama kubwa sio chini ya $300 350 unafikiria ni mchezo

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s 12 дней назад

    Eti ndugu yake Aziz Ki yaani ndo sifa😅😅😅😅😅😅. Yanga wamewashika pabaya sana utopolo wa mo dewji

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u 12 дней назад

    Gb 64 tuko pamoja boss Hana baya chakusema mim walindwe tu bas

  • @maidafrancis45
    @maidafrancis45 12 дней назад

    wadaiwa sugu fc wanakoloma utopolo

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 12 дней назад +2

    Je mnajua kwanini SIMBA IMESAJILI WACHEZAJI ambao walikuwa wachezaji bura KATIKA TIMU WALIZOTOKA ? JIBU: NI KWASABABU SIMBA NI TAIFA KUBWA

    • @user-mg1yl2rl8s
      @user-mg1yl2rl8s 12 дней назад

      Wachezaji wa bukubuku watawahusu sana tu na hivi mnapenda kulialia mtalia sana. Wachezaji wa maana hamuwezi kusajiri tajiri hana hela😂

  • @HussainIgayo
    @HussainIgayo 12 дней назад

    Wambie! Ngoja nicheze kwanz😂😂😂

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s 12 дней назад

    Acha uongo Dube ni msumali wa moto kwa simba keshawafunga katika mechi zote 4 mlizokutana na Azam. kibu kawafunga Yanga mara 2. Halafu kuna Aziz Ki ambaye anajipigiaga tu simba tangu akiwa Asec😂

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 12 дней назад

    Makolo Mazuzu watakuja kulia. Vijana Walio Nao ni Mapambo
    Huyu atageuza tu ila Mangungu wasimseme nafasi ya 5 inawahusu Thimbaa Chakavu

  • @alhajimohamed1909
    @alhajimohamed1909 12 дней назад

    Kaka nitumie number yako nikutumie hata ya vocha umenifurahixha sana NSSF

  • @EmmanuelMsika
    @EmmanuelMsika 12 дней назад

    Pamoja

  • @user-yu2hh7kh8o
    @user-yu2hh7kh8o 12 дней назад

    wivu uo

  • @EmanweljahazEmanweljahaz
    @EmanweljahazEmanweljahaz 12 дней назад

    Ninaaminin Sana simbo nguvu moja

  • @RashidiMkongewa
    @RashidiMkongewa 12 дней назад

    KIKULACHO KIKO KIKO KINGUONI MWAKO MNALOGANA WENYEWE SHOMAL NA SHABALALA NDIO WANAOLOGA WACHEZAJI WENU

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 12 дней назад

    Kwausajili huu wa simba nafasi ya tatu iko palepale

  • @juliascherehani2330
    @juliascherehani2330 12 дней назад

    Simba pesa ipo

  • @hamisimsosi6237
    @hamisimsosi6237 12 дней назад

    Upande wa pili ni wazee fc😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s 12 дней назад

    Sawa huku NSSF kule wodi ya watoto halafu tuone ligi ikianza...usianze tu kula mataputapu yako na kwenda jela😂😂😂😂

  • @RashidiMkongewa
    @RashidiMkongewa 12 дней назад +1

    Nafasi ya 4 msimu huu inawahusu nimekaa pale😊

  • @emalema7423
    @emalema7423 12 дней назад

    Hunakula hunavyo jiweza

  • @AsumaniMkumba
    @AsumaniMkumba 10 дней назад

    Mechi nne zip wewe

  • @RashidiMkongewa
    @RashidiMkongewa 12 дней назад

    Shomali nazimbwe ndio wanawaloga wenzao wapate namba siyo yanga

  • @user-ys4zk3hx4f
    @user-ys4zk3hx4f 12 дней назад

    𝙈𝙤 𝙠𝙞𝙡𝙞𝙤 𝙘𝙝𝙖𝙣𝙜𝙪 𝙣𝙞 𝙛𝙚𝙞 𝙣𝙖𝙟𝙪𝙖 𝙩𝙪𝙢𝙚𝙨𝙖𝙟𝙞𝙡 𝙬𝙖𝙘𝙝𝙚𝙯𝙖𝙟 𝙬𝙖𝙯𝙪𝙧 𝙞𝙡𝙖 𝙥𝙡𝙚𝙖𝙨𝙚 𝙣𝙖𝙢𝙪𝙤𝙢𝙗 𝙎𝙪𝙛𝙞

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 12 дней назад

      Kwa Fei chora chini hizo ni ndoto za alnacha

    • @RashidiMkongewa
      @RashidiMkongewa 12 дней назад

      MWAMBIE OYO KOLO FEI NI NDOTO ZA ALNACHA

  • @DavidLucas-cb1hx
    @DavidLucas-cb1hx 12 дней назад

    ❤❤❤❤❤mm kama mwanasimba apo kichapo 2

  • @DavidLucas-cb1hx
    @DavidLucas-cb1hx 12 дней назад

    ❤❤❤❤❤mm kama mwanasimba apo kichapo 2

  • @DavidLucas-cb1hx
    @DavidLucas-cb1hx 12 дней назад

    ❤❤❤❤❤mm kama mwanasimba apo kichapo 2