Hii timu kuja kuwa seriius sijuwi lini asee hadi naogopa. Huyu si ndo alikua analia na kushindia pombe mwezi mzima kisa matokeo ya timu ambayo imefika hadi robo fainali. Sasa subiri ligi ianze sijuwi watabadirikaje asee😂😂😂😂😂😂
Napenda sana confidence ya team zote mbili naona msimu ujao ukiwa msimu bora sana. Wachezaji wazee ni Chama na Dube sajili zengine zilizobaki ni U25 rekebisha kauli yako ndugu. Kwa Dube bado akina Musonda na Mzize wapo.
we ndio kuku kweli hujui kitu hujui hichi kikosi kinagharama kubwa kuliko timu yeyote tanzania. mchezaji wa umri chini 25 anagharama kubwa sio chini ya $300 350 unafikiria ni mchezo
Acha uongo Dube ni msumali wa moto kwa simba keshawafunga katika mechi zote 4 mlizokutana na Azam. kibu kawafunga Yanga mara 2. Halafu kuna Aziz Ki ambaye anajipigiaga tu simba tangu akiwa Asec😂
Tunakuja simba ❤ watajificha uto
Hii timu kuja kuwa seriius sijuwi lini asee hadi naogopa. Huyu si ndo alikua analia na kushindia pombe mwezi mzima kisa matokeo ya timu ambayo imefika hadi robo fainali. Sasa subiri ligi ianze sijuwi watabadirikaje asee😂😂😂😂😂😂
mungu wabariki wachezaji wetu wasitupiwe majini
Hiyo kazi inafanyagwa na shomari kapombe na Zimbwe Ili kulinda namba zao
Hiooo Kaz anafanya Mgunda maana akipewa timuu yy inafanya vizuri badae wanampokonya ndipooo anaenda kuwalogaa
Napenda sana confidence ya team zote mbili naona msimu ujao ukiwa msimu bora sana.
Wachezaji wazee ni Chama na Dube sajili zengine zilizobaki ni U25 rekebisha kauli yako ndugu. Kwa Dube bado akina Musonda na Mzize wapo.
❤❤❤❤❤mm kama mwanasimba apo kichapo 2
Mnge msaji mayelle salum fei toto ningewaamini lakini aaa
Tajiri ameamua mazima!
❤❤❤❤
Yaani kagoma ndo tegemeo la kutengeneza timu kweli!?😂😂😂😂😂😂
GB umenifurahisha kwenye kazi na umri!
Mo Dwj big up
Team ikiyumba pia mumtaje Mo Dwj msimtaje Mangungu hata siku moja.
❤
Eti NSSF Team.
Bro wasije kukushambulia😂
Kati kati ya msimu msije mtukana Mangungu 😅
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤝
Boss huna baya ila tu walindwe hao wachezaji umesajil watu Bora kabisa nakupa maua yako 🌹
Wew acha ushamb
Wachezaji wa buku buku kibao 😂😂😂
Mpumbavu wewee
Au cyo
Buku we unalo hlo buku kasajil na wewe
Bora ule chakula Cha buku kuliko walichoachia wenzio
we ndio kuku kweli hujui kitu hujui hichi kikosi kinagharama kubwa kuliko timu yeyote tanzania. mchezaji wa umri chini 25 anagharama kubwa sio chini ya $300 350 unafikiria ni mchezo
Eti ndugu yake Aziz Ki yaani ndo sifa😅😅😅😅😅😅. Yanga wamewashika pabaya sana utopolo wa mo dewji
Gb 64 tuko pamoja boss Hana baya chakusema mim walindwe tu bas
wadaiwa sugu fc wanakoloma utopolo
Je mnajua kwanini SIMBA IMESAJILI WACHEZAJI ambao walikuwa wachezaji bura KATIKA TIMU WALIZOTOKA ? JIBU: NI KWASABABU SIMBA NI TAIFA KUBWA
Wachezaji wa bukubuku watawahusu sana tu na hivi mnapenda kulialia mtalia sana. Wachezaji wa maana hamuwezi kusajiri tajiri hana hela😂
Wambie! Ngoja nicheze kwanz😂😂😂
Acha uongo Dube ni msumali wa moto kwa simba keshawafunga katika mechi zote 4 mlizokutana na Azam. kibu kawafunga Yanga mara 2. Halafu kuna Aziz Ki ambaye anajipigiaga tu simba tangu akiwa Asec😂
Makolo Mazuzu watakuja kulia. Vijana Walio Nao ni Mapambo
Huyu atageuza tu ila Mangungu wasimseme nafasi ya 5 inawahusu Thimbaa Chakavu
Kaka nitumie number yako nikutumie hata ya vocha umenifurahixha sana NSSF
Pamoja
wivu uo
Ninaaminin Sana simbo nguvu moja
KIKULACHO KIKO KIKO KINGUONI MWAKO MNALOGANA WENYEWE SHOMAL NA SHABALALA NDIO WANAOLOGA WACHEZAJI WENU
Kwausajili huu wa simba nafasi ya tatu iko palepale
Simba pesa ipo
Upande wa pili ni wazee fc😅😅😅😅😅😅😅😅
Sawa huku NSSF kule wodi ya watoto halafu tuone ligi ikianza...usianze tu kula mataputapu yako na kwenda jela😂😂😂😂
Nafasi ya 4 msimu huu inawahusu nimekaa pale😊
Hunakula hunavyo jiweza
Mechi nne zip wewe
Shomali nazimbwe ndio wanawaloga wenzao wapate namba siyo yanga
𝙈𝙤 𝙠𝙞𝙡𝙞𝙤 𝙘𝙝𝙖𝙣𝙜𝙪 𝙣𝙞 𝙛𝙚𝙞 𝙣𝙖𝙟𝙪𝙖 𝙩𝙪𝙢𝙚𝙨𝙖𝙟𝙞𝙡 𝙬𝙖𝙘𝙝𝙚𝙯𝙖𝙟 𝙬𝙖𝙯𝙪𝙧 𝙞𝙡𝙖 𝙥𝙡𝙚𝙖𝙨𝙚 𝙣𝙖𝙢𝙪𝙤𝙢𝙗 𝙎𝙪𝙛𝙞
Kwa Fei chora chini hizo ni ndoto za alnacha
MWAMBIE OYO KOLO FEI NI NDOTO ZA ALNACHA
❤❤❤❤❤mm kama mwanasimba apo kichapo 2
❤❤❤❤❤mm kama mwanasimba apo kichapo 2
❤❤❤❤❤mm kama mwanasimba apo kichapo 2