EXCLUSIVE: 20 PERCENT AFUNGUKA "NILIFATWA NA FREEMASON, NINA HALI MBAYA,HARMONIZE HAWEZI KUNISAIDIA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 343

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista4654 8 месяцев назад +10

    Yani nmependa neno hili haupo duniani kwa starehe lazima ukubali kupitia hata mateso maana n mojawapo ya maisha yakila mwanadamu, ubarikiwe Sana 20.

  • @amirimbago8325
    @amirimbago8325 9 месяцев назад +22

    Hii interview nimeielewa sana...Muulizaji yuko vizuri sana. Long live brother 20% Mwenyezi Mungu akulinde

  • @eddobillah2369
    @eddobillah2369 8 месяцев назад +14

    The best interview Ever 100%

  • @Mr_smart.code_10
    @Mr_smart.code_10 9 месяцев назад +15

    20% upo simple sana... Yaani una kiswaswadu chako unakitoa kwenye interview huwazi wala nini.. jamaa you are so simple and Genius yaan unajibu maswali very simple

  • @nyumbanituthegendaheka7222
    @nyumbanituthegendaheka7222 8 месяцев назад +6

    Tupia Namba ya 20% tumpe shukrani kwa kazi ya kutuelimisha...huyu akili kubwa na tumuenzi sasa hv sio mpaka akifa

  • @Iddy-lg1ly
    @Iddy-lg1ly 9 месяцев назад +20

    Shettan ananguvu sana kwann nimesema ivo uhalisia wahuu mziki wa bongo alpaswa huyu jamaa ndo aongoze mziki wabongo maana ukicheki nyimbo zake hazina upuuz kbx

    • @agnesjonas1192
      @agnesjonas1192 8 месяцев назад

      Kwel yan anawapa nguvu watu wake wanaomuambudu sanaa tofauti ili kutuogopesha wengine ila Mungu wetu ananguvu zaidi vyote

    • @ShakieBebe
      @ShakieBebe 7 месяцев назад +1

      C ndo ivo kazidiwa na mdogo ake mond mwenzie kakubari masharti

  • @ericktona3638
    @ericktona3638 9 месяцев назад +31

    Hivo vi cent kidogo kidogo vipokeee
    Nimemtuma Bashiri Akuleteee
    Na vinepi vya mtoto Pokeaah
    Karibu nitarud Ngojea
    Najua Mwanangu Hamjui baba,
    Toka nimwache tumboni miezi saba
    Jitunze we usije kuwa kahaba,
    Ukimbemenda mimi nitakubeba 🙌 That verse Bro 🔥🔥

  • @SufoWazir-s4q
    @SufoWazir-s4q 9 месяцев назад +10

    Twenti yupo mbele sana, kwa majibu yalio nyooka koriko maswari ya vidox. Big UP Sana kwake 20%

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 9 месяцев назад +12

    Aisee this guy, has to be one of my favorites. Real and down to earth!

  • @chrismugisha6173
    @chrismugisha6173 8 месяцев назад +2

    All the way from BUJUMBURA we still love and appreciate your fertile brain through your lyrics 20 PERCENT 💙🙏🏽🙏🏽✔

  • @HamzaSaid-wj4gi
    @HamzaSaid-wj4gi 9 месяцев назад +11

    Jamaa angefanikiwa kusoma na kumaliza vidato,,angefundisha watu weng Sana,,Yan nmna anavyojibu maswal unapenda,kiuhalisia kabisa,,big up brother🎉🎉🎉

  • @dementriarichard3557
    @dementriarichard3557 6 месяцев назад +2

    Something so spiritual in his convo, most doesn’t understand…

  • @StarMerinyo
    @StarMerinyo 9 месяцев назад +7

    Huyu Jana yuko vizuri kabisa kichwa kinafanya kazi big up 20

  • @user-ps8zs9fc5g
    @user-ps8zs9fc5g 9 месяцев назад +7

    20 Per wewe ni shida saana. Salute saana mwamba

  • @winlove4
    @winlove4 9 месяцев назад +4

    kaka mkubwa nice . ishi kwenye ualisia dunia tunapita. tuwaache na ulimbukeni wao na mbaya zaidi utandawazi umewameza

  • @SUPERMANAGERVIBEZ
    @SUPERMANAGERVIBEZ 9 месяцев назад +6

    God bless you 20percent, love from RWANDA.

  • @issahamisi674
    @issahamisi674 9 месяцев назад +13

    jamaa ni msanii ana uniqueness kwenye saut ake nzur kuisikilza👍

  • @mussasebatiano4787
    @mussasebatiano4787 8 месяцев назад +6

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 nitarudi na roho yangu itawatokea kama nilivyo watokea zamani hii inahuzunisha sana bimana mda atapokua hayupo duniani kizazi chake kitafanya kama yeye inshallah mwenyezi Mungu akusaidie kudumu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🙏❤️❤️❤️❤️❤️🙏

  • @user-xs8qf4hl3n
    @user-xs8qf4hl3n 9 месяцев назад +7

    much love from burundi.20 nimwarimu mkubwa sana.ubalikiwe sana

  • @enocmsafi2023
    @enocmsafi2023 9 месяцев назад +6

    Vido anauliza maswali mazuri sana technically na simply I like it 👍👍👍

  • @mariamdullazy8166
    @mariamdullazy8166 9 месяцев назад +12

    Tamaa mbaya 😊😊😊 naipenda daima

  • @edwardmasululi
    @edwardmasululi 9 месяцев назад +6

    Actually 20% you deserve 50+% your mostly thinking for the future trust in God will made you the way

  • @EDDIEBashange
    @EDDIEBashange 5 дней назад

    Dah ukiwa mkweli sikuzote unaonekana tu, uko vizuri sana 20% tamaa mbaya God bless you bro

  • @zahraalajmi7967
    @zahraalajmi7967 9 месяцев назад +11

    Yani leo nimefurahi kumuona tena 20%napenda kazi zako

  • @emanuelneriwa6619
    @emanuelneriwa6619 9 месяцев назад +4

    Nakukubali sana bro 20 me mchoraji nlikuchora nkaweka picha yako room kwangu kukufikia ndio ilikuwa ngumu maan nlikuwa bush bado

    • @sifatiiman
      @sifatiiman 9 месяцев назад

      your look so handsam 🎉🎉🥰🥰🥰

  • @juliejackson1742
    @juliejackson1742 9 месяцев назад +11

    Shabik bado unao bro 20% ❤❤

  • @moseshandsam1865
    @moseshandsam1865 9 месяцев назад +5

    Millard ayo plz msanii akija kwa interview hivi msuport na kuweka link 🔗 yake ya RUclips tu msupport pamoja tunaweza big up 20 percent 20%

    • @febroniamsoma178
      @febroniamsoma178 8 месяцев назад

      Natamani kumchangia chochote nikiwa kama mtz

  • @KulekatsengeHaruni-sb6qc
    @KulekatsengeHaruni-sb6qc 8 месяцев назад +4

    Mungu awabariki ayo tv nawapenda sana

  • @kakabeka2515
    @kakabeka2515 9 месяцев назад +4

    ..good idea iwe mfano wakuigwa na ulimwengu shetani ni wakupigwa tu siku zote

  • @epmzmusifiwar6694
    @epmzmusifiwar6694 9 месяцев назад +3

    From Uganda 🇺🇬 Int'l Congo DRC 🇨🇩 We lov you ❤️ Guys You Still legend King 🌟🌟✊

  • @Ohhvio
    @Ohhvio 9 месяцев назад +8

    Hii interview Ya kufungia mwaka; inafundisha, inafurahisha, inaburudisha

  • @sharifusaidi461
    @sharifusaidi461 8 месяцев назад +4

    Namkubali sana huyu bro❤❤❤🎉

  • @agathasemindu79
    @agathasemindu79 8 месяцев назад +2

    respect. 20% awezi tokea wakufanana naye🙌

  • @Nyaburyaofficial217
    @Nyaburyaofficial217 9 месяцев назад +6

    May be God protect your Mr 20%

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono 9 месяцев назад +7

    Daa 20% una hofu ya Mungu nimeipenda hio

  • @tabithakitundu8736
    @tabithakitundu8736 8 месяцев назад +4

    Noma sana bado yuko vizuri 💪

  • @user-du7nq4gs3g
    @user-du7nq4gs3g 9 месяцев назад +12

    MUNGU akunyunyizie manji roho yako uchipuke tena😢😢😢

  • @EsongoEbalove-xw6bo
    @EsongoEbalove-xw6bo 8 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤ huyo jama alivyo 20% halipo tulia nawasani mashetani wakaingia kiwanjani nakupenda Sana twenty nipo Congo drc

  • @vocatusmecksedeck5793
    @vocatusmecksedeck5793 8 месяцев назад +5

    Hii kichwa iko vizuri sana

  • @SelinaPaschal-vq2iy
    @SelinaPaschal-vq2iy 8 месяцев назад +4

    Yuko smart sana kichwani nyimbo zako zinaishi sana ❤

  • @Lumambitv
    @Lumambitv 9 месяцев назад +9

    Forever in my heart ❤️

  • @annethbraysceson2401
    @annethbraysceson2401 8 месяцев назад +7

    "Mtu ukiwa na akili lazima uchelewe kulala "chukua hiyoo.....

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np 9 месяцев назад +7

    Kaka 20 nimekuelewa sana Mungu akutie nguvu sana

  • @titus_maridhia
    @titus_maridhia 9 месяцев назад +13

    Ukimsikiliza Chidi na ukasikiliza Vee Money sababu ya kuacha muziki, huwez kumuamini yeyote pale juu

    • @sifatiiman
      @sifatiiman 9 месяцев назад

      kabisa ni uongo mtupu

  • @rehemaphillingsonmlawa4206
    @rehemaphillingsonmlawa4206 9 месяцев назад +4

    Kabisa kaka ubarikiwe sana na mungu aendelee kukuweka

  • @georgemerere3448
    @georgemerere3448 9 месяцев назад +22

    20%per asmileee always he is legend 🙌

  • @lubangojean-wg3iv
    @lubangojean-wg3iv 9 месяцев назад +2

    Sir We Love you And We Respect you, You Change our mind ..

  • @rehemaphillingsonmlawa4206
    @rehemaphillingsonmlawa4206 9 месяцев назад +5

    Karibu mbeya kaka

  • @user-bq9jt9uj7q
    @user-bq9jt9uj7q 9 месяцев назад +6

    20 %una hekima katika kuyakataa maswali
    We noma sana

  • @lusungungimbudzi4265
    @lusungungimbudzi4265 9 месяцев назад +5

    Uko Vizuri Brother. Hiyo kichwa Iko Vizuri Sana

  • @eddyimamu751
    @eddyimamu751 8 месяцев назад +4

    Solute sana Mzee baba.

  • @domplexafrosana5515
    @domplexafrosana5515 9 месяцев назад +3

    Very smart dude. Mwana enterview yake imepoa sana.

  • @ZuhuraAthumani-bo8yy
    @ZuhuraAthumani-bo8yy 4 месяца назад +1

    Hongera sana kaka upo vizuri

  • @EddyEdgard-q8d
    @EddyEdgard-q8d 9 месяцев назад +18

    Huyu jamaa, na mpenda toka moyoni 🇨🇩🇨🇩🔥🔥🔥♥️♥️

  • @bensonjohn9633
    @bensonjohn9633 9 месяцев назад +5

    Mbeya Stand Up. Mbeya Nchi,Sugu Raisi

  • @nathanielshauri5135
    @nathanielshauri5135 9 месяцев назад +7

    Most of the best interview i have heard,,,💯

  • @patriciatumain172
    @patriciatumain172 9 месяцев назад +4

    King 20% mnyamaaaah

  • @user-pn6bj7uz2p
    @user-pn6bj7uz2p 8 месяцев назад +3

    Broo unatisha very nice

  • @Othmanhija-g8v
    @Othmanhija-g8v Месяц назад

    Big up sana 20% hakika una akili na kipaji ya kuzaliwa, nakukubali sana bro

  • @johnsonsabanya5860
    @johnsonsabanya5860 9 месяцев назад +13

    Wenye vipaji wengi masikini🔥

  • @Directeur_MugondaAmisi-qc9do
    @Directeur_MugondaAmisi-qc9do 12 дней назад

    Twenty percent I swear is the most powerful star of Africa

  • @ameenaameena422
    @ameenaameena422 8 месяцев назад +3

    Hongera 20 usiingie huko

  • @sammyallan623
    @sammyallan623 9 месяцев назад +9

    Colabo ya 20 na na darasa itakua fresh sana kama ikifanyika

  • @AmaniPascal-go3ux
    @AmaniPascal-go3ux 9 месяцев назад +5

    Nakukubali sana per heshima muhimu sana

  • @dauddaud8841
    @dauddaud8841 9 месяцев назад +9

    Big up watu wa mbeya

  • @ShakieBebe
    @ShakieBebe 7 месяцев назад +1

    Huyu cyo mbishi, huyu anajiamini sana, ogopa watu wanaojiamini, wanapitiaga mapito makubwa sana na hawawezi kumuomba mtu msaada wanaumia ndani kwa ndani😢

  • @user-bf9fk1sm1j
    @user-bf9fk1sm1j 9 месяцев назад +11

    20 paa anakili sana hata kwenye itavyuu yake maswali anajibu kwaufanisi sana

  • @user-yj7xw9zw9l
    @user-yj7xw9zw9l 8 месяцев назад +1

    Nakupenda Sana mon star leader

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 6 месяцев назад

    Milard Ayo hongera sana kwa kumpata mtangazaji mzuri na makini' Vido vidox in the best❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥

  • @shukuruemedi9805
    @shukuruemedi9805 9 месяцев назад +4

    Yani namkubali adi basi tu!🎉

  • @mariamandambike5013
    @mariamandambike5013 2 месяца назад

    RESPECT BRO... UR THE BEST..🔥🔥

  • @ambroceharouna1612
    @ambroceharouna1612 9 месяцев назад +7

    Hiki kichwa dah akili nyingi sanaaa

    • @sifatiiman
      @sifatiiman 9 месяцев назад

      sana akili mingi

  • @agnessjoseph9069
    @agnessjoseph9069 8 месяцев назад +4

    Ushauri mzuri sana waache kupiga nyimbo za matusiiii , saf sanaa

    • @agnessjoseph9069
      @agnessjoseph9069 8 месяцев назад

      Kuna nyimbo unasikiliza mpaka unaona aibu kama umekaa na mtu mnaeheshimiana nae , husan Clouds 🙌🏻🙌🏻🙌🏻kwakwel inasikitisha

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 8 месяцев назад +1

    20.wewe ni wa kwanza tanzania kama unaimba bila freemason.ni wa kwanza mpage tu yesu maisha uje ulale.salama

  • @jacksonmichael799
    @jacksonmichael799 9 месяцев назад +3

    Legend 👏

  • @sumairahjohn-jt4qy
    @sumairahjohn-jt4qy 9 месяцев назад +9

    Regender big up my brother 💪💪💪💪

  • @sunwizy608
    @sunwizy608 5 месяцев назад

    chungaaa tamaambayaaa
    chunga tamambaayaaaaaaaa
    i love this song.... am from 🇱🇷 us

  • @ramadhaniomar4774
    @ramadhaniomar4774 8 месяцев назад +1

    Well said mungu akuweke sana brother

  • @benybenrique1224
    @benybenrique1224 9 месяцев назад +5

    Kiukwel wasanii #20percent#afandesele nawengine wengi wazamani nawapenda kwenye interview zao...huchoki kuwaskiliza asee

  • @SekaOnlineTV
    @SekaOnlineTV 9 месяцев назад +4

    kama kuna kiongozi wa serikari atumiwe hii afu aje atuambie amejifunza nini maan huyu jmaa ni daraza zima dadeki

  • @jurakijuraki8870
    @jurakijuraki8870 9 месяцев назад +3

    Wasanii wa zamani wanaongeaga point sana angalia chidi chillah sele juma nature nk ila wa sasa hapo ingekuwa vijembe tu angalia mond harmo nk yani dunia inazunguka

  • @NyotaTanoTV-gt3od
    @NyotaTanoTV-gt3od 9 месяцев назад +39

    Uyu jamaa akiwa Ana misimamo kama anavyo ongea basi ni dhahabu ya Taifa. Lakini kama ni maneno ya juu juu itakuwa mbaya sana. Ni kweli kabisa mziki wa sasa ni wa kumuabudu Shetani ata Chidi Benzi Ali ongea hili swala. Ni ngumu sana kutoboa kama hujakubali mfumo wa siri. Ambao kwa sasa ndio unaongoza Dunia.

    • @issahamisi674
      @issahamisi674 9 месяцев назад +3

      True

    • @isacksimonmahungilo
      @isacksimonmahungilo 9 месяцев назад +1

      Nikwel nguvu wanapewa na shetani muimbaji wa kawaida huwez shindana nao

    • @bigtengwemela3153
      @bigtengwemela3153 9 месяцев назад +1

      Sikupingi

    • @kayatv7322
      @kayatv7322 8 месяцев назад +1

      Yani huyu jamaaa angemwimbia Mungu watu wengi wangemrudia Mungu,Kama aliweza kuandikia watu Gospel asingeshindwa na angepata baraka zote,Kiroho,kimwili na kiuchumi

    • @kayatv7322
      @kayatv7322 8 месяцев назад

      Ana uwezo mkubwa shida ni nguvu ya uchaguzi au sijui niseme ushauri

  • @JumaShimende
    @JumaShimende 9 месяцев назад +3

    Nyimbo za vijana wasasa ni wiki tu inasahaulika tungo hata hazieleweki kwakweli.ila za huyu jamaa nyimbo ya miaka kumi iliyo pita lakini ukipigwa utadhan ndio umetoka jana.tungo zake kama vile mama nema na tamaa mbaya dah natamani kulia jamaa anajua.ila watanzania Kwa watu kama 20 ni madini tunapaswa kuwasaport ili wawarishise watoto wasasa waweze kujua nyimbo zinazo takiwa kuimbwa Zina burudisha na zinafumdisha.apewe saport wadau wekezen mzigo hapo mpigie pesa nasi tupate elmu na burdan.hata watoto wake wakikua wakimsikiliza baba yao watajifunza kitu.isipo kuwa Hawa wakizazi hichi dah mtihani itakua baba katukana Mzee alikua anaimba matusi dah.

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 9 месяцев назад +5

    Bro 20% kama nakuelewa sana ,naona kuna wapuuzi wanasema eti kama kachanganyikiwa

  • @zainabtumba1186
    @zainabtumba1186 9 месяцев назад +2

    🇹🇿/🇺🇲💕💯 Mashaallah Interview yake Tamuuuuu Yaaniii Najikutaa Nina rewind over kumsikilizaaa. Yaani Yaani Vido na 20% Mmetishaa. Napendaa Tungooo za kisaniii za huyu kaka zimenyookaaa Sanaaa. Allah bless what you believe in yourself Brother 20%. 🙏

  • @KulekatsengeHaruni-sb6qc
    @KulekatsengeHaruni-sb6qc 8 месяцев назад +2

    Namupenda sana huyu musani Niko uganda

  • @VestinaIsack
    @VestinaIsack 9 месяцев назад +17

    Huyu ni mtoto wa Mungu hakika Mungu aiamshe roho yake awe kama kile kilichopo ndqni yake

    • @FatumaPepeyu
      @FatumaPepeyu 9 месяцев назад +2

      Iyo kufuru Rabby ajazaa na wala ajazaliwa na afanani na kiumbe chochote katika dunia na ana mfano

    • @puregamers4215
      @puregamers4215 9 месяцев назад

      Mungu hana mtoto

    • @VestinaIsack
      @VestinaIsack 9 месяцев назад +1

      Hivi hizo akili mgando ni lini zitawatoka ninyi watu wakukalili

    • @VestinaIsack
      @VestinaIsack 9 месяцев назад

      @@puregamers4215 zinduka amsha akili yako acha kukalili fanya utafiti alieweka pumzi ndani yetu ndie baba yetu na tumefanyika wanawe kwakutii na kusgika sheria zake acha kugandisha akili

    • @VestinaIsack
      @VestinaIsack 9 месяцев назад

      @@FatumaPepeyu bila shaka unatakiwa ufundishwe kwanini huyu mtoto wa Mungu

  • @trommy_kid
    @trommy_kid 8 месяцев назад +3

    Uko saii sana 20 ongera

  • @ValentineFaustine.
    @ValentineFaustine. 9 месяцев назад +9

    I have something as a gift for this guy when I will meet with them

    • @fidodido9578
      @fidodido9578 9 месяцев назад

      Kwa hiyo wewe hujuwi kuandika kiswahili ila unaweza kusikia kiswahili acha mbwembwe wewe

    • @ValentineFaustine.
      @ValentineFaustine. 9 месяцев назад

      If I can what is next

    • @fidodido9578
      @fidodido9578 9 месяцев назад

      Nothing you can my dear if you can't separate them and him then you're just little stupid who can't write a English correctly

    • @domplexafrosana5515
      @domplexafrosana5515 9 месяцев назад

      ​@@ValentineFaustine.What a comeback. ..

    • @ValentineFaustine.
      @ValentineFaustine. 9 месяцев назад

      @@domplexafrosana5515 regulation

  • @stevenkipara9310
    @stevenkipara9310 9 месяцев назад +6

    Niwachache sana watakao amini dini ya free mason ipo maana wao wanamfuata mtu ambae Mungu amempa kipawa hawamfuati mtu asie kua na kipawa, Freemason wapo na saizi wapo wazi wazi kabisa na kweli wanatoa utajiri lakini unakua utajiri Wa kujutia maisha yako yote mpaka unaingia kabirani. Mungu wa mbinguni atusaidie vijana wa kizazi hiki na Hongera sana 20 mimi binafsi nakuelewa maana nakijua hicho chama nitajili sana

    • @Teevents
      @Teevents 9 месяцев назад

      Nimeamini wapo ila
      Sio kwa kila mtu kwa watu ambao tayari wanakitu.

    • @patrickm1056
      @patrickm1056 8 месяцев назад

      Nataka kudhibitisha , unajiungaje, weka namba

  • @cecyjanclymerly5025
    @cecyjanclymerly5025 9 месяцев назад +2

    20%👌

  • @gayanimwansasu
    @gayanimwansasu 8 месяцев назад +2

    Kalibu sana my brother 🙏

  • @Dullz-yt9gk
    @Dullz-yt9gk 8 месяцев назад +2

    Big up bro

  • @chuleeman
    @chuleeman 9 месяцев назад +3

    Nakubalii

  • @salama1113
    @salama1113 9 месяцев назад +5

    Safi sana kaka

  • @IsaacIsaya-ii2co
    @IsaacIsaya-ii2co 2 месяца назад

    Mungu akulinde
    Upojasiri saana

  • @rasvegas8991
    @rasvegas8991 9 месяцев назад +4

    Jamaaa anajielewa sana na misimamooo

    • @bobsalim4285
      @bobsalim4285 9 месяцев назад +1

      Ila he needs to accept kuwa hayupo tena.
      Bado anajiona yuko top ama alikuwa star ambayo ni NO.
      Akiendelea hvi atakuwa kama BENZ

  • @MomadeMohammed
    @MomadeMohammed 9 месяцев назад +4

    Nakukubali Tangu Kitambo

  • @HalfaSaid-vl6ki
    @HalfaSaid-vl6ki 9 месяцев назад +3

    Kitamboooo!🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @priscakanjanja5256
    @priscakanjanja5256 8 месяцев назад +2

    Safi sana 20p