20% upo simple sana... Yaani una kiswaswadu chako unakitoa kwenye interview huwazi wala nini.. jamaa you are so simple and Genius yaan unajibu maswali very simple
Shettan ananguvu sana kwann nimesema ivo uhalisia wahuu mziki wa bongo alpaswa huyu jamaa ndo aongoze mziki wabongo maana ukicheki nyimbo zake hazina upuuz kbx
Hivo vi cent kidogo kidogo vipokeee Nimemtuma Bashiri Akuleteee Na vinepi vya mtoto Pokeaah Karibu nitarud Ngojea Najua Mwanangu Hamjui baba, Toka nimwache tumboni miezi saba Jitunze we usije kuwa kahaba, Ukimbemenda mimi nitakubeba 🙌 That verse Bro 🔥🔥
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 nitarudi na roho yangu itawatokea kama nilivyo watokea zamani hii inahuzunisha sana bimana mda atapokua hayupo duniani kizazi chake kitafanya kama yeye inshallah mwenyezi Mungu akusaidie kudumu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🙏❤️❤️❤️❤️❤️🙏
Huyu cyo mbishi, huyu anajiamini sana, ogopa watu wanaojiamini, wanapitiaga mapito makubwa sana na hawawezi kumuomba mtu msaada wanaumia ndani kwa ndani😢
Wasanii wa zamani wanaongeaga point sana angalia chidi chillah sele juma nature nk ila wa sasa hapo ingekuwa vijembe tu angalia mond harmo nk yani dunia inazunguka
Uyu jamaa akiwa Ana misimamo kama anavyo ongea basi ni dhahabu ya Taifa. Lakini kama ni maneno ya juu juu itakuwa mbaya sana. Ni kweli kabisa mziki wa sasa ni wa kumuabudu Shetani ata Chidi Benzi Ali ongea hili swala. Ni ngumu sana kutoboa kama hujakubali mfumo wa siri. Ambao kwa sasa ndio unaongoza Dunia.
Yani huyu jamaaa angemwimbia Mungu watu wengi wangemrudia Mungu,Kama aliweza kuandikia watu Gospel asingeshindwa na angepata baraka zote,Kiroho,kimwili na kiuchumi
Nyimbo za vijana wasasa ni wiki tu inasahaulika tungo hata hazieleweki kwakweli.ila za huyu jamaa nyimbo ya miaka kumi iliyo pita lakini ukipigwa utadhan ndio umetoka jana.tungo zake kama vile mama nema na tamaa mbaya dah natamani kulia jamaa anajua.ila watanzania Kwa watu kama 20 ni madini tunapaswa kuwasaport ili wawarishise watoto wasasa waweze kujua nyimbo zinazo takiwa kuimbwa Zina burudisha na zinafumdisha.apewe saport wadau wekezen mzigo hapo mpigie pesa nasi tupate elmu na burdan.hata watoto wake wakikua wakimsikiliza baba yao watajifunza kitu.isipo kuwa Hawa wakizazi hichi dah mtihani itakua baba katukana Mzee alikua anaimba matusi dah.
🇹🇿/🇺🇲💕💯 Mashaallah Interview yake Tamuuuuu Yaaniii Najikutaa Nina rewind over kumsikilizaaa. Yaani Yaani Vido na 20% Mmetishaa. Napendaa Tungooo za kisaniii za huyu kaka zimenyookaaa Sanaaa. Allah bless what you believe in yourself Brother 20%. 🙏
@@puregamers4215 zinduka amsha akili yako acha kukalili fanya utafiti alieweka pumzi ndani yetu ndie baba yetu na tumefanyika wanawe kwakutii na kusgika sheria zake acha kugandisha akili
Niwachache sana watakao amini dini ya free mason ipo maana wao wanamfuata mtu ambae Mungu amempa kipawa hawamfuati mtu asie kua na kipawa, Freemason wapo na saizi wapo wazi wazi kabisa na kweli wanatoa utajiri lakini unakua utajiri Wa kujutia maisha yako yote mpaka unaingia kabirani. Mungu wa mbinguni atusaidie vijana wa kizazi hiki na Hongera sana 20 mimi binafsi nakuelewa maana nakijua hicho chama nitajili sana
Yani nmependa neno hili haupo duniani kwa starehe lazima ukubali kupitia hata mateso maana n mojawapo ya maisha yakila mwanadamu, ubarikiwe Sana 20.
Hii interview nimeielewa sana...Muulizaji yuko vizuri sana. Long live brother 20% Mwenyezi Mungu akulinde
The best interview Ever 100%
20% upo simple sana... Yaani una kiswaswadu chako unakitoa kwenye interview huwazi wala nini.. jamaa you are so simple and Genius yaan unajibu maswali very simple
Tupia Namba ya 20% tumpe shukrani kwa kazi ya kutuelimisha...huyu akili kubwa na tumuenzi sasa hv sio mpaka akifa
Shettan ananguvu sana kwann nimesema ivo uhalisia wahuu mziki wa bongo alpaswa huyu jamaa ndo aongoze mziki wabongo maana ukicheki nyimbo zake hazina upuuz kbx
Kwel yan anawapa nguvu watu wake wanaomuambudu sanaa tofauti ili kutuogopesha wengine ila Mungu wetu ananguvu zaidi vyote
C ndo ivo kazidiwa na mdogo ake mond mwenzie kakubari masharti
Hivo vi cent kidogo kidogo vipokeee
Nimemtuma Bashiri Akuleteee
Na vinepi vya mtoto Pokeaah
Karibu nitarud Ngojea
Najua Mwanangu Hamjui baba,
Toka nimwache tumboni miezi saba
Jitunze we usije kuwa kahaba,
Ukimbemenda mimi nitakubeba 🙌 That verse Bro 🔥🔥
Twenti yupo mbele sana, kwa majibu yalio nyooka koriko maswari ya vidox. Big UP Sana kwake 20%
Aisee this guy, has to be one of my favorites. Real and down to earth!
All the way from BUJUMBURA we still love and appreciate your fertile brain through your lyrics 20 PERCENT 💙🙏🏽🙏🏽✔
Jamaa angefanikiwa kusoma na kumaliza vidato,,angefundisha watu weng Sana,,Yan nmna anavyojibu maswal unapenda,kiuhalisia kabisa,,big up brother🎉🎉🎉
Something so spiritual in his convo, most doesn’t understand…
Huyu Jana yuko vizuri kabisa kichwa kinafanya kazi big up 20
20 Per wewe ni shida saana. Salute saana mwamba
kaka mkubwa nice . ishi kwenye ualisia dunia tunapita. tuwaache na ulimbukeni wao na mbaya zaidi utandawazi umewameza
God bless you 20percent, love from RWANDA.
jamaa ni msanii ana uniqueness kwenye saut ake nzur kuisikilza👍
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 nitarudi na roho yangu itawatokea kama nilivyo watokea zamani hii inahuzunisha sana bimana mda atapokua hayupo duniani kizazi chake kitafanya kama yeye inshallah mwenyezi Mungu akusaidie kudumu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🙏❤️❤️❤️❤️❤️🙏
much love from burundi.20 nimwarimu mkubwa sana.ubalikiwe sana
Vido anauliza maswali mazuri sana technically na simply I like it 👍👍👍
kweri mtangazaji yuko vzr pia
kweri mtangazaji yuko vzr pia
Tamaa mbaya 😊😊😊 naipenda daima
Actually 20% you deserve 50+% your mostly thinking for the future trust in God will made you the way
Dah ukiwa mkweli sikuzote unaonekana tu, uko vizuri sana 20% tamaa mbaya God bless you bro
Yani leo nimefurahi kumuona tena 20%napenda kazi zako
Nakukubali sana bro 20 me mchoraji nlikuchora nkaweka picha yako room kwangu kukufikia ndio ilikuwa ngumu maan nlikuwa bush bado
your look so handsam 🎉🎉🥰🥰🥰
Shabik bado unao bro 20% ❤❤
Millard ayo plz msanii akija kwa interview hivi msuport na kuweka link 🔗 yake ya RUclips tu msupport pamoja tunaweza big up 20 percent 20%
Natamani kumchangia chochote nikiwa kama mtz
Mungu awabariki ayo tv nawapenda sana
..good idea iwe mfano wakuigwa na ulimwengu shetani ni wakupigwa tu siku zote
From Uganda 🇺🇬 Int'l Congo DRC 🇨🇩 We lov you ❤️ Guys You Still legend King 🌟🌟✊
Hii interview Ya kufungia mwaka; inafundisha, inafurahisha, inaburudisha
Namkubali sana huyu bro❤❤❤🎉
respect. 20% awezi tokea wakufanana naye🙌
May be God protect your Mr 20%
Daa 20% una hofu ya Mungu nimeipenda hio
Noma sana bado yuko vizuri 💪
MUNGU akunyunyizie manji roho yako uchipuke tena😢😢😢
❤❤❤❤❤ huyo jama alivyo 20% halipo tulia nawasani mashetani wakaingia kiwanjani nakupenda Sana twenty nipo Congo drc
Hii kichwa iko vizuri sana
Yuko smart sana kichwani nyimbo zako zinaishi sana ❤
Forever in my heart ❤️
"Mtu ukiwa na akili lazima uchelewe kulala "chukua hiyoo.....
Kaka 20 nimekuelewa sana Mungu akutie nguvu sana
Ukimsikiliza Chidi na ukasikiliza Vee Money sababu ya kuacha muziki, huwez kumuamini yeyote pale juu
kabisa ni uongo mtupu
Kabisa kaka ubarikiwe sana na mungu aendelee kukuweka
20%per asmileee always he is legend 🙌
Sir We Love you And We Respect you, You Change our mind ..
Karibu mbeya kaka
20 %una hekima katika kuyakataa maswali
We noma sana
Uko Vizuri Brother. Hiyo kichwa Iko Vizuri Sana
Solute sana Mzee baba.
Very smart dude. Mwana enterview yake imepoa sana.
Hongera sana kaka upo vizuri
Huyu jamaa, na mpenda toka moyoni 🇨🇩🇨🇩🔥🔥🔥♥️♥️
Mbeya Stand Up. Mbeya Nchi,Sugu Raisi
Most of the best interview i have heard,,,💯
Ungecomment kiswahili tu bro😂😂😂
@@caesarsworld8784😅😅
😅😅😅😅
Hehe Kizungu kizunguzungu
King 20% mnyamaaaah
Broo unatisha very nice
Big up sana 20% hakika una akili na kipaji ya kuzaliwa, nakukubali sana bro
Wenye vipaji wengi masikini🔥
Aisee
hiyo haipingw kbs
Twenty percent I swear is the most powerful star of Africa
Hongera 20 usiingie huko
Colabo ya 20 na na darasa itakua fresh sana kama ikifanyika
Una kitu
kweli kabisa
Nakukubali sana per heshima muhimu sana
Big up watu wa mbeya
Huyu cyo mbishi, huyu anajiamini sana, ogopa watu wanaojiamini, wanapitiaga mapito makubwa sana na hawawezi kumuomba mtu msaada wanaumia ndani kwa ndani😢
20 paa anakili sana hata kwenye itavyuu yake maswali anajibu kwaufanisi sana
sana 🎉
Nakupenda Sana mon star leader
Milard Ayo hongera sana kwa kumpata mtangazaji mzuri na makini' Vido vidox in the best❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥
Yani namkubali adi basi tu!🎉
RESPECT BRO... UR THE BEST..🔥🔥
Hiki kichwa dah akili nyingi sanaaa
sana akili mingi
Ushauri mzuri sana waache kupiga nyimbo za matusiiii , saf sanaa
Kuna nyimbo unasikiliza mpaka unaona aibu kama umekaa na mtu mnaeheshimiana nae , husan Clouds 🙌🏻🙌🏻🙌🏻kwakwel inasikitisha
20.wewe ni wa kwanza tanzania kama unaimba bila freemason.ni wa kwanza mpage tu yesu maisha uje ulale.salama
Legend 👏
Regender big up my brother 💪💪💪💪
chungaaa tamaambayaaa
chunga tamambaayaaaaaaaa
i love this song.... am from 🇱🇷 us
Well said mungu akuweke sana brother
Kiukwel wasanii #20percent#afandesele nawengine wengi wazamani nawapenda kwenye interview zao...huchoki kuwaskiliza asee
kama kuna kiongozi wa serikari atumiwe hii afu aje atuambie amejifunza nini maan huyu jmaa ni daraza zima dadeki
Wasanii wa zamani wanaongeaga point sana angalia chidi chillah sele juma nature nk ila wa sasa hapo ingekuwa vijembe tu angalia mond harmo nk yani dunia inazunguka
Uyu jamaa akiwa Ana misimamo kama anavyo ongea basi ni dhahabu ya Taifa. Lakini kama ni maneno ya juu juu itakuwa mbaya sana. Ni kweli kabisa mziki wa sasa ni wa kumuabudu Shetani ata Chidi Benzi Ali ongea hili swala. Ni ngumu sana kutoboa kama hujakubali mfumo wa siri. Ambao kwa sasa ndio unaongoza Dunia.
True
Nikwel nguvu wanapewa na shetani muimbaji wa kawaida huwez shindana nao
Sikupingi
Yani huyu jamaaa angemwimbia Mungu watu wengi wangemrudia Mungu,Kama aliweza kuandikia watu Gospel asingeshindwa na angepata baraka zote,Kiroho,kimwili na kiuchumi
Ana uwezo mkubwa shida ni nguvu ya uchaguzi au sijui niseme ushauri
Nyimbo za vijana wasasa ni wiki tu inasahaulika tungo hata hazieleweki kwakweli.ila za huyu jamaa nyimbo ya miaka kumi iliyo pita lakini ukipigwa utadhan ndio umetoka jana.tungo zake kama vile mama nema na tamaa mbaya dah natamani kulia jamaa anajua.ila watanzania Kwa watu kama 20 ni madini tunapaswa kuwasaport ili wawarishise watoto wasasa waweze kujua nyimbo zinazo takiwa kuimbwa Zina burudisha na zinafumdisha.apewe saport wadau wekezen mzigo hapo mpigie pesa nasi tupate elmu na burdan.hata watoto wake wakikua wakimsikiliza baba yao watajifunza kitu.isipo kuwa Hawa wakizazi hichi dah mtihani itakua baba katukana Mzee alikua anaimba matusi dah.
Bro 20% kama nakuelewa sana ,naona kuna wapuuzi wanasema eti kama kachanganyikiwa
🇹🇿/🇺🇲💕💯 Mashaallah Interview yake Tamuuuuu Yaaniii Najikutaa Nina rewind over kumsikilizaaa. Yaani Yaani Vido na 20% Mmetishaa. Napendaa Tungooo za kisaniii za huyu kaka zimenyookaaa Sanaaa. Allah bless what you believe in yourself Brother 20%. 🙏
I love yo interview though ...make it u still hot
Namupenda sana huyu musani Niko uganda
Huyu ni mtoto wa Mungu hakika Mungu aiamshe roho yake awe kama kile kilichopo ndqni yake
Iyo kufuru Rabby ajazaa na wala ajazaliwa na afanani na kiumbe chochote katika dunia na ana mfano
Mungu hana mtoto
Hivi hizo akili mgando ni lini zitawatoka ninyi watu wakukalili
@@puregamers4215 zinduka amsha akili yako acha kukalili fanya utafiti alieweka pumzi ndani yetu ndie baba yetu na tumefanyika wanawe kwakutii na kusgika sheria zake acha kugandisha akili
@@FatumaPepeyu bila shaka unatakiwa ufundishwe kwanini huyu mtoto wa Mungu
Uko saii sana 20 ongera
I have something as a gift for this guy when I will meet with them
Kwa hiyo wewe hujuwi kuandika kiswahili ila unaweza kusikia kiswahili acha mbwembwe wewe
If I can what is next
Nothing you can my dear if you can't separate them and him then you're just little stupid who can't write a English correctly
@@ValentineFaustine.What a comeback. ..
@@domplexafrosana5515 regulation
Niwachache sana watakao amini dini ya free mason ipo maana wao wanamfuata mtu ambae Mungu amempa kipawa hawamfuati mtu asie kua na kipawa, Freemason wapo na saizi wapo wazi wazi kabisa na kweli wanatoa utajiri lakini unakua utajiri Wa kujutia maisha yako yote mpaka unaingia kabirani. Mungu wa mbinguni atusaidie vijana wa kizazi hiki na Hongera sana 20 mimi binafsi nakuelewa maana nakijua hicho chama nitajili sana
Nimeamini wapo ila
Sio kwa kila mtu kwa watu ambao tayari wanakitu.
Nataka kudhibitisha , unajiungaje, weka namba
20%👌
Kalibu sana my brother 🙏
Big up bro
Nakubalii
Safi sana kaka
Mungu akulinde
Upojasiri saana
Jamaaa anajielewa sana na misimamooo
Ila he needs to accept kuwa hayupo tena.
Bado anajiona yuko top ama alikuwa star ambayo ni NO.
Akiendelea hvi atakuwa kama BENZ
Nakukubali Tangu Kitambo
Kitamboooo!🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Safi sana 20p