Haji Manara afungiwa miaka miwili, faini ya Milioni 20 na ataikosa siku ya Wananchi (Yanga Day)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 июл 2022
  • Kamati ya Maadili ya TFF, imemfungia Msemaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara kutojihusisha na masuala ya mpira ndani na nje ya nchi kwa miaka miwili na faini ya shilingi milioni 20 kwa kosa la kumtolea maneno yasiyofaa Rais wa TFF, Wallace Karia katika mechi ya fainali ya kombe la Azam iliyopigwa Jijini Arusha.
  • СпортСпорт

Комментарии • 103

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 2 года назад +1

    Hawa wamemfanyia kwa makusudi milioni 20 wana njaaa. Na ni wizi huo dhulma. Raisi samia ingilia kati hski hspa haijatendekea

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 2 года назад +1

    Mie nahisi hata kama kakosea kwa ninavyowaona hawa kuwa hawampendi yule haji manara wana choyo hao wote wana tamaa. Nyote hamfai matatizo matupu.

  • @ezramichael7038
    @ezramichael7038 2 года назад +1

    Kiukweli timu nyingi za Ligii kuu zinajitaidi kuwekeza kwenye timu zao, ndio maana ubora wa ligii ya Tanzania unaonekana, ukija kwenye Shirikisho la mpira kiukweli ni vituko vya kinapwagu na pwaguzi, wameshindwa kuja na mkakati kabambe wa kutafuta wadhamini ili ata timu zilizopo ligii kuu ziondokane kupata pesa za karanga. Timu inawekeza bilion of money kwenye usajili, inapofika mwisho wa ligi,timu inambuulia pesa ambayo ata wachezaji wawili uwezi walipa, wamekosa mipango mipya ,ndio maana wanatafuta vyanzo vipya kupitia mtu mmoja mmoja kubambika makosa watu, kwa mfumo wa viongozi tulio nao, kamwe atutopiga atua,haswa kwenye timu ya taifa, viongozi wameweka matumbo yao mbele, mungu awachape kofi.

  • @imeldasamwel539
    @imeldasamwel539 2 года назад +1

    Hamana Cha maadri hapo unafki tyu majungu na kujifanya wakubwa mungu anawaona mnakela TFF ☠️☠️☠️

  • @alhaminyangusi8035
    @alhaminyangusi8035 2 года назад

    Duhh kazi kweli.. kitu kikiwa hakuna mashiko stori zinkua nyingi

  • @nuhuomary2629
    @nuhuomary2629 2 года назад

    Hayo ndiyo maamuzi sasa uko vizuri TFF

  • @claveryxavery4365
    @claveryxavery4365 2 года назад +1

    Wakili gani weewe elimu yenyewe mbovu kichwani mwite na karia ajibu nayeye

  • @jumakalimu2450
    @jumakalimu2450 2 года назад +1

    Kumanina zenu nyote TFFnyinyi ni mashoga mnafirwa nyote

  • @amirmkola451
    @amirmkola451 2 года назад +2

    Nnaleta usimba ila mtaelewa 2

  • @bisekolugola2082
    @bisekolugola2082 2 года назад +2

    Nyinyi Kamati yenu ni ya wahuni kama wahuni wengine mitaani.Hivi sekretarieti hiyo ya TFF,ikimshitaki mtu,haihitaji kuhojiwa kwa lolote.Halafu mnatusomea mashitaka kwa lugha ya kiingereza,je ni Watanzania wote wanaojua lugha hiyo?Je mwenyekiti unataka kuwaambia Watanzania kuwa hukumu yenu inatoka mbinguni,au kwenu nyie mliojaa ushabiki myoyoni mwenu!!??

    • @fuemlindoko9839
      @fuemlindoko9839 2 года назад

      Du kweli.faini ni.shilingi.Milioni ishirini hata.haya haipo hamna hamuipendi Yanga Inshalla Mungu yupo

  • @mariaraphael5463
    @mariaraphael5463 2 года назад

    Simbaa walimfukuza kwa sababu hana heshima kwa viongozi wake cheki sasa kilichotokea huo ndo uhalisia wa manara

  • @betridadaniel1461
    @betridadaniel1461 2 года назад +1

    Haji ongeza ulinzi maana Kuna watu hata sumu wanaweza kukupa

  • @suleimanmwenyemvua995
    @suleimanmwenyemvua995 2 года назад +1

    Karie hafai kuwa kiongozi mzuri lkn Mungu atalipa haki hiyo.ni msomali huyo

  • @amourseiph3765
    @amourseiph3765 2 года назад +2

    Sawa Haji alimwambia Karia kuwa wewe unanifuata fuata na hii ni mara ya tatu, swali langu ni kitu gani Karia aliongea mpaka ikapelekea Haji aseme uwa anafuatwa fuatwa na Karia? Karia aliongea nini mpaka Haji ajibu hivyo?

    • @abrahmanmussa1384
      @abrahmanmussa1384 2 года назад

      Na mpaka manara aseme kuwa karia Huwa anamfuatafuata je JJ karia alimwambia nini ? Mpaka haji manara amjibu hivyo

  • @suleimanmwenyemvua995
    @suleimanmwenyemvua995 2 года назад +1

    Tiff inapambana na Yanga?

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 2 года назад

    safi sana

  • @mussasospeter3120
    @mussasospeter3120 2 года назад

    Chanzo nini ? Hii ndiyo Tanzania

  • @Ahenya2005
    @Ahenya2005 2 года назад +1

    Ongea kiswahili mbwa ww kingeleza huweza lugha za watu hizo

  • @jonathankihebe9889
    @jonathankihebe9889 2 года назад

    Maamzi yenu ni ya unafiki myup haina maana yoyote mtutolee usimba wenu maamudhi ya kinafiki tup

  • @hajiussi5969
    @hajiussi5969 2 года назад +1

    Kwaiyo karie hakuongea lugha chafu kwa manara au kisa zeruzeru mnamyanyapaa

  • @josephnchunga4229
    @josephnchunga4229 2 года назад

    Mnatengeneza picha mbaya ya mpira halafu kuna watu wanashangilia upumbavu wa kumfungia msemaji wetu hiyo ni kurudisha mpira nyuma

  • @tanzalandtv3311
    @tanzalandtv3311 2 года назад +1

    Jamaa kama lichawi hilo

  • @alikhamis4550
    @alikhamis4550 2 года назад

    hapa kiingreza kinahusikaje? Issue inawahusu waswahili watupu. utumwa mwengine ni wakujitakia

  • @marymwaipopo5613
    @marymwaipopo5613 2 года назад

    Kwann apewe hyo fain mnataka faida au

  • @mwarabutv806
    @mwarabutv806 2 года назад

    Kwa namna hii hii mpira wa tz utofika mbali Kwa huyu karia alete vyeti

  • @chieframadhani4976
    @chieframadhani4976 2 года назад

    Daaah mnyonge mnyongeni kwanini msijiulize kunifuatafuata

  • @wistonmtewele9952
    @wistonmtewele9952 2 года назад

    Hata wewe mwenyekiti hauna maadili sioni sababu ya mtu kufungiwa michezo ndani na nje ya nchi wakati makosa yake yanahusiana na mambo ya ndani dhambi hizi zitawatafuna , laana itatembea

  • @ahmedhamad2410
    @ahmedhamad2410 2 года назад +2

    Tff ni washenzi tu kwa kosa gani la kumfungia mtu apo

  • @jumakassim8718
    @jumakassim8718 2 года назад

    Wote wamekaa kichawi sana hata sura zao zinaonyesha

  • @olivermhando5271
    @olivermhando5271 2 года назад

    Kuna kamati ya madili apo, nyie wote hukuna mwenye madili apo ni wajiliwa na karia;. Hakuna cha TFF wara kamati, selekeri tutolereni awa wantu tumewa choka Sana,wanali zalirisha inchi yetu, ETi Raisi anasimama kutukanana na wantu viwanjani kweri?. Towa wote awo.

  • @alexmaungo2851
    @alexmaungo2851 2 года назад

    Kifungu Cha Sheria ndo kimeandikwa hiyo ml 20 au

  • @richardlameck1624
    @richardlameck1624 2 года назад

    Fungia huyo lini mwananch akajibizan na rais wa nch ane ilaumu tff subili msafala rais samia unapita kavuluge uone kitakacho kukuta

  • @lulujidahbrighton5148
    @lulujidahbrighton5148 2 года назад

    Wewe Karis usituletee Vita hapa na wazee wasenge kama huyu anaeta Gaza kapewa

  • @abubakarnabahani4994
    @abubakarnabahani4994 2 года назад

    Mti wenye matunda ndio upigwao mawe, siku hazigandi yataisha tu.

  • @zulfikakalumba1977
    @zulfikakalumba1977 2 года назад +1

    Hahahahaa...... Yanga kurudisha hali yake ya Ubingwa imekua shida Tanzania, this is not fair.
    Hizi ni chuki tu, mbona hamjaeleza kwanini walirumbana?
    #provocation

  • @jayhassan5611
    @jayhassan5611 2 года назад

    Mm naweza kusema kamat ya maadili nayo inataji ijifunze maadili coz kama tunaangalia video anaonekana manara anatak kumfata rais wa TFF ila na raisi nae anaonekana kutaka kumvaa manara Sasa hiyi kamati ya maadili maadili gan wanayo yafatilia Kwann na rais wa TFF wasimwite nae kumuhoji hiyi Ina mainisha kwambia TFF hawatak kusemwa ukisemwa unapewa azabu kubwaa alafu nataka nfafanuliewe TFF inaazaje kumzuwia mtu kushuhulikia suwala la mpira hata njee ya nchi tuwe makin lakn thaman ya mpira kwetu Ina potea TFF lazima mufanye kazi Kwa maendeleo co kufanikisha maisha yenu

  • @abrasiapaul1455
    @abrasiapaul1455 Год назад

    ,kwanamna lolote tff ndio wanauwa soka nchii hii

  • @mariaraphael5463
    @mariaraphael5463 2 года назад

    Yanga mtalalamika hadi lini?shida nyie mnaokota watu ovyo simba walimkataa nyie mkaona anafaa madhara yake ndo hayo mkubali mkatae manara hana heshima kwa viongozi hafai hayo ndo faida ya mtu ambaye hana adabu

  • @alhaminyangusi8035
    @alhaminyangusi8035 2 года назад +1

    MANARA ana bahati nyota yake inawaka si mchezo.. maana umeupiga mwingi vikombe 3, land cruiser plado, mshahara Mzuri na nyota ya kupendwa na watu.. CHUKI LAZIMA... baada wafundishe marefa wao sheria kila siku za mpira zinabadilika.. wapi bize na manara.

    • @hamzasemsambia3761
      @hamzasemsambia3761 2 года назад

      Inawezekana Ila tu ustaarabu ndio hana

    • @chieframadhani4976
      @chieframadhani4976 2 года назад

      Manara ananyota ya bahati hata akiwashabiki wa Yanga bado nyota itawaka hivi kweli kwa hili mumemwonea au kwa sababu ni al

    • @chieframadhani4976
      @chieframadhani4976 2 года назад

      Kama msamaha mbona kaomba au ni utim umewaingia

    • @josephsamwel5388
      @josephsamwel5388 2 года назад

      Karia usimba unakuponza TU yanga Kawa bingwa una weweseka

  • @mashakashobo2529
    @mashakashobo2529 2 года назад

    Mil 20 ni nyingi jamani kama mtakomaa watanzania tutachanga tulipe

  • @saidimpama613
    @saidimpama613 2 года назад

    Hyo karia alikua na chokochoko sana manara ni c mara moja ni mara nyingi sijui alimchukulia mkewe

  • @leonceuwandameno6378
    @leonceuwandameno6378 2 года назад

    Kwa nini hawakumfungia maisha!

  • @salumkamwana3887
    @salumkamwana3887 2 года назад

    Wote hamna hakili

  • @daudkhatib4678
    @daudkhatib4678 2 года назад

    Ufyookoofyookooo. Mtuupuu. Hata. Uyoo. W. Kariia. Afungiwe. Tuu. Maana. True. Ndo. Chanzoo

  • @hisanihaji8626
    @hisanihaji8626 2 года назад

    Kwani kiswahili hamjuwi?mnaumiya tu yanga kuchukuwa ubingwa alisema haji kwamba toweni sauti Kama katukana mbona hamkutowa rais gani kura zenyewe kutowa rushwa mnachuki tu

  • @jumamashaka5813
    @jumamashaka5813 2 года назад

    Hawa walitaka Simba ipate ubingwa kwakua haiwezekani wamemfanyia fitina

  • @ayubmakame9251
    @ayubmakame9251 2 года назад +1

    Mnaleta chuki tu si kesha omba msamaha

  • @betridadaniel1461
    @betridadaniel1461 2 года назад

    Watu Wana roho mbaya na wivu hamtaki mafanikio ya yanga

  • @salumkamwana3887
    @salumkamwana3887 2 года назад

    We we mwenyewe una madili

  • @nuhuomary2629
    @nuhuomary2629 2 года назад

    Mnaowachukia TFF kalaleni uko hamna mapya Manara anajulikana bhana

  • @matashobyajosia2109
    @matashobyajosia2109 2 года назад

    yiyi niwatazania kweri mbona mna ukabira? acha fitina uwo sio uwongozi mna sababu zenu yiyi wote mmekaa sababu Yamanara tu

  • @ashuramohammed8403
    @ashuramohammed8403 2 года назад

    Wasenge watupu wamechaguliwa kwenye hiyo kamati

  • @imeldasamwel539
    @imeldasamwel539 2 года назад

    Tanazania hatuna viongiz wa TFF tunawaraji tyu eti kazalilishwa kwa kip kuwen na hakil nyie nyie sio mungu mnaharibu mpira tyu hamna lolote🗣️🗣️🗣️🗣️

  • @abrahmanmussa1384
    @abrahmanmussa1384 2 года назад

    Hamna jipya huyo raisi mwenyewe anazarau na anamaneno machafu mpaka kwa wanahabari mbona hamjamuadhibu? Au utumiwe kiripu ya maneno yake kusema eti hawajasoma je yy anaelimu Gani ?wote mnafanana akili zenu

  • @lulujidahbrighton5148
    @lulujidahbrighton5148 2 года назад

    Mh Rais wa jamhuli ya Tanzania ingilia Kati Hawa majambazi wataleta Vita kubwa hapa inchini kama ilivyo kwao Somaria huyu Karis na Ubaguzi mkubwa la sivyo tutaanza kuwasaka mmojammoja Hadi kwenye familia yao Vita iko karibu ingilia haraka Mh

  • @djwinnerbrand1108
    @djwinnerbrand1108 2 года назад

    ongeeni kiswahili kingereza chenyewe kibovu hicho

  • @matashobyajosia2109
    @matashobyajosia2109 2 года назад

    uwo moto mmewasha yiyi mnataka kutuaribia mpira watu shetani gani amewavamia? acha uchochezi amjateda uwo niujinga mnao

  • @remigiusyustinian2060
    @remigiusyustinian2060 2 года назад

    Sasa huyu kashitakiwa na TFF Au na Karia mbona sielewi mm nikimtukana mfano Rais wa tz nashitakiwa na Tz au na Rais mwenyewe???

  • @narcissusmakenge4710
    @narcissusmakenge4710 2 года назад

    Mlalamikaji TFF shahidi Rais wa TFF hakimu Kamati ya maadili ya TFF kuna haki hapo? Msiendeshe mpira wetu kama biashara ya familia ya Karia.

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 2 года назад

      Unatazamia nini kitatokea katika mahakama ya ndege kwa mtuhumiwa panzi !!

  • @jamessilwamba2862
    @jamessilwamba2862 2 года назад

    sijawahi ona wakili kavaa hivyo na kapero juu unasoma hukumu ya kutafutiza

  • @nunketenkamu1402
    @nunketenkamu1402 2 года назад

    mwanasheria mwenyewe wa kamati ya maadiri yeye pia hana maadiri, sasa anapataje credibility ya kuwahukumu wengine kwa kukosa maadiri?

  • @husnakasim9662
    @husnakasim9662 2 года назад

    Hizo ni chuki binafisi acheni hizo mungu anawaona

  • @nuhuomary2629
    @nuhuomary2629 2 года назад +1

    Mulio na maadili kaeni nyinyi

  • @mrburiburicomed7051
    @mrburiburicomed7051 2 года назад

    Tff zero kabsa hamn chochote ni majungu yenu2 kama ali2kanwa kwann alienda na usimba na yanga acheni kukandamiza na mna haribu mchezo

  • @khalifasaidi7001
    @khalifasaidi7001 2 года назад

    Ni chuki tu, ebu mtueleze watanzania hawa watu chanzo kilikuwanini?

  • @stewartsylvester2353
    @stewartsylvester2353 2 года назад

    Tff Mna mambo yenu tu

  • @matashobyajosia2109
    @matashobyajosia2109 2 года назад

    uyo anajikangaya mweyewe mmemtoa wapi?

  • @fadhilisheckimweri2512
    @fadhilisheckimweri2512 2 года назад

    Ww mwenyewe huna maadili,dressing code yako ikoje na upo umo own podium, honestly hukumu hii ni ya kimkakati,but hata karia alufanya provocation dhidi ya haji manara mbele ya viongozi wa serikali mpaka wakawa wanaamuliwa je na yy amechukuliwa hatua gani?2nd,aliwahi Kuwaita waandishi wakasome jee hii ni lugha ya kimaadili?3rd yy kama rais wa tifuatifua anapaswa kuonesha mahaba ya wazi kwa costal unioni wakati yupo ktk usimamizi wa michezo nchini ambako timu zote ni zake,je haya ni maadili?kuna haja serikali kati hasa BMT na wizara ya michezo coz hata scale of punishment ni kubwa sana 20 millioni na miaka miwili kifungo huku ni kukomoana,na wakes ajiuzulu immediately kwanza hata uchaguzi wake ni kama wa kiimla ulilalamikiwa mpaka na waheshimiwa wabunge

  • @mirajishentembo4962
    @mirajishentembo4962 2 года назад

    Tunakwenda FIFA hatukubali

  • @nyavas41
    @nyavas41 2 года назад

    Maadidi gani unayo yaongeleya wakati wewe mwenyewe unaonekana wazi hauna maadili mtu mzima ovyooooo hebu naomba ujitathimini unayo hayo maadili wewe bumbavu mkubwa wewe.

  • @suleimanmwenyemvua995
    @suleimanmwenyemvua995 2 года назад

    Kofia Kama uyoga

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 2 года назад

    Wahuni tu wizi wakubwa haya akilipa hizo pesa mnapeleka wapi kama sio kuchezea pesa zetu? Nyie wenyewe majambazi tu woote nyie

  • @barakasilungwe9305
    @barakasilungwe9305 2 года назад

    mbwa nyinyinyotehapo

  • @amirmkola451
    @amirmkola451 2 года назад +2

    Acheni chuki binafsi hazifai

    • @finamurosso7342
      @finamurosso7342 2 года назад

      20,000,000/= KUFUNGIWA MIAKA MIWILI MNA LENU JAMBO NA YANGA PIA NA WASHABIKI ,BORA MNGEMPA FAINI YA BILION 20 TUNGEMCHANGIA BILA SHAKA.

    • @vailethlaurian8992
      @vailethlaurian8992 2 года назад

      Hpo akuna haki ata kidogo rais kama rais wanatoana wapi kama akuna sababu chin ya kapeti kitu ambacho nakiona rais kama rais apashwi kuegemea tm yoyote rakn rais anaonyesha adhalan tm ambayo anaipenda natutaona mengi unapewa kofi na unashitakiwa

  • @piussimtala5111
    @piussimtala5111 2 года назад

    Milioni ishirini ya nini?

  • @ephulaemsengo2816
    @ephulaemsengo2816 2 года назад

    Tena mnagongwa

  • @juliussenzia8717
    @juliussenzia8717 2 года назад

    Hawa jamaa wababaishaji

  • @jumakalimu2450
    @jumakalimu2450 2 года назад

    Kumamako ww na TFf nyote

  • @muhsinsalum8009
    @muhsinsalum8009 2 года назад +1

    Mmh! Hizo ni chuki binafsi tu.
    Haya MIUNGU WETU wa MPIRA TANZANIA semeni mtakavyo.
    Fanyeni muonayo.

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 2 года назад

      Muhsin upo sahihi
      Karia as if yeye hajafanya chochote kileeee wafanye wanachotaka
      Na if possible wampe urais yule dada meneja wa msuva
      JASMIN RAZAK kitu kama hicho

  • @yakoboyohana8811
    @yakoboyohana8811 2 года назад

    Hamfai kabisa hayo nimamuzi ya mihemuko kiushabiki hata aibu hamnatunaomba mtengue mamuzi yenu hayana kichwa mtafanya jambo hili lifikie pabaya

  • @stevenkessy7359
    @stevenkessy7359 2 года назад

    Kamati mnajifanya wababe kwa yanga tu

  • @suleymanmrutu9498
    @suleymanmrutu9498 2 года назад

    Wanataka hela milioni 20 wakale na wakezao mbwahao

  • @hisanihaji8626
    @hisanihaji8626 2 года назад

    Midomo imekoleya biya midomo ishazoweya funguwa chupa mnalaana washenzi wakubwa mtafufuliwa na mabaka

  • @ephulaemsengo2816
    @ephulaemsengo2816 2 года назад

    Waaenge nyie msinganye lugha msifikilie wote wame soma someni kwa kiswahili