Haji Manara afungiwa miaka miwili, faini ya Milioni 20 na ataikosa siku ya Wananchi (Yanga Day)
HTML-код
- Опубликовано: 20 июл 2022
- Kamati ya Maadili ya TFF, imemfungia Msemaji wa Klabu ya Yanga, Haji Manara kutojihusisha na masuala ya mpira ndani na nje ya nchi kwa miaka miwili na faini ya shilingi milioni 20 kwa kosa la kumtolea maneno yasiyofaa Rais wa TFF, Wallace Karia katika mechi ya fainali ya kombe la Azam iliyopigwa Jijini Arusha.
Спорт
Hawa wamemfanyia kwa makusudi milioni 20 wana njaaa. Na ni wizi huo dhulma. Raisi samia ingilia kati hski hspa haijatendekea
Mie nahisi hata kama kakosea kwa ninavyowaona hawa kuwa hawampendi yule haji manara wana choyo hao wote wana tamaa. Nyote hamfai matatizo matupu.
Kiukweli timu nyingi za Ligii kuu zinajitaidi kuwekeza kwenye timu zao, ndio maana ubora wa ligii ya Tanzania unaonekana, ukija kwenye Shirikisho la mpira kiukweli ni vituko vya kinapwagu na pwaguzi, wameshindwa kuja na mkakati kabambe wa kutafuta wadhamini ili ata timu zilizopo ligii kuu ziondokane kupata pesa za karanga. Timu inawekeza bilion of money kwenye usajili, inapofika mwisho wa ligi,timu inambuulia pesa ambayo ata wachezaji wawili uwezi walipa, wamekosa mipango mipya ,ndio maana wanatafuta vyanzo vipya kupitia mtu mmoja mmoja kubambika makosa watu, kwa mfumo wa viongozi tulio nao, kamwe atutopiga atua,haswa kwenye timu ya taifa, viongozi wameweka matumbo yao mbele, mungu awachape kofi.
Hamana Cha maadri hapo unafki tyu majungu na kujifanya wakubwa mungu anawaona mnakela TFF ☠️☠️☠️
Duhh kazi kweli.. kitu kikiwa hakuna mashiko stori zinkua nyingi
Hayo ndiyo maamuzi sasa uko vizuri TFF
Wakili gani weewe elimu yenyewe mbovu kichwani mwite na karia ajibu nayeye
Kumanina zenu nyote TFFnyinyi ni mashoga mnafirwa nyote
Nnaleta usimba ila mtaelewa 2
Nyinyi Kamati yenu ni ya wahuni kama wahuni wengine mitaani.Hivi sekretarieti hiyo ya TFF,ikimshitaki mtu,haihitaji kuhojiwa kwa lolote.Halafu mnatusomea mashitaka kwa lugha ya kiingereza,je ni Watanzania wote wanaojua lugha hiyo?Je mwenyekiti unataka kuwaambia Watanzania kuwa hukumu yenu inatoka mbinguni,au kwenu nyie mliojaa ushabiki myoyoni mwenu!!??
Du kweli.faini ni.shilingi.Milioni ishirini hata.haya haipo hamna hamuipendi Yanga Inshalla Mungu yupo
Simbaa walimfukuza kwa sababu hana heshima kwa viongozi wake cheki sasa kilichotokea huo ndo uhalisia wa manara
Haji ongeza ulinzi maana Kuna watu hata sumu wanaweza kukupa
Karie hafai kuwa kiongozi mzuri lkn Mungu atalipa haki hiyo.ni msomali huyo
Anatakiwa aende kwao
Sawa Haji alimwambia Karia kuwa wewe unanifuata fuata na hii ni mara ya tatu, swali langu ni kitu gani Karia aliongea mpaka ikapelekea Haji aseme uwa anafuatwa fuatwa na Karia? Karia aliongea nini mpaka Haji ajibu hivyo?
Na mpaka manara aseme kuwa karia Huwa anamfuatafuata je JJ karia alimwambia nini ? Mpaka haji manara amjibu hivyo
Tiff inapambana na Yanga?
safi sana
Chanzo nini ? Hii ndiyo Tanzania
Ongea kiswahili mbwa ww kingeleza huweza lugha za watu hizo
Maamzi yenu ni ya unafiki myup haina maana yoyote mtutolee usimba wenu maamudhi ya kinafiki tup
Kwaiyo karie hakuongea lugha chafu kwa manara au kisa zeruzeru mnamyanyapaa
Swali hilo
Wajibu sasa
Mnatengeneza picha mbaya ya mpira halafu kuna watu wanashangilia upumbavu wa kumfungia msemaji wetu hiyo ni kurudisha mpira nyuma
Jamaa kama lichawi hilo
hapa kiingreza kinahusikaje? Issue inawahusu waswahili watupu. utumwa mwengine ni wakujitakia
Kwann apewe hyo fain mnataka faida au
Kwa namna hii hii mpira wa tz utofika mbali Kwa huyu karia alete vyeti
Daaah mnyonge mnyongeni kwanini msijiulize kunifuatafuata
Hata wewe mwenyekiti hauna maadili sioni sababu ya mtu kufungiwa michezo ndani na nje ya nchi wakati makosa yake yanahusiana na mambo ya ndani dhambi hizi zitawatafuna , laana itatembea
Tff ni washenzi tu kwa kosa gani la kumfungia mtu apo
Wote wamekaa kichawi sana hata sura zao zinaonyesha
Kuna kamati ya madili apo, nyie wote hukuna mwenye madili apo ni wajiliwa na karia;. Hakuna cha TFF wara kamati, selekeri tutolereni awa wantu tumewa choka Sana,wanali zalirisha inchi yetu, ETi Raisi anasimama kutukanana na wantu viwanjani kweri?. Towa wote awo.
Kifungu Cha Sheria ndo kimeandikwa hiyo ml 20 au
Fungia huyo lini mwananch akajibizan na rais wa nch ane ilaumu tff subili msafala rais samia unapita kavuluge uone kitakacho kukuta
Wewe Karis usituletee Vita hapa na wazee wasenge kama huyu anaeta Gaza kapewa
Mti wenye matunda ndio upigwao mawe, siku hazigandi yataisha tu.
Hahahahaa...... Yanga kurudisha hali yake ya Ubingwa imekua shida Tanzania, this is not fair.
Hizi ni chuki tu, mbona hamjaeleza kwanini walirumbana?
#provocation
Mm naweza kusema kamat ya maadili nayo inataji ijifunze maadili coz kama tunaangalia video anaonekana manara anatak kumfata rais wa TFF ila na raisi nae anaonekana kutaka kumvaa manara Sasa hiyi kamati ya maadili maadili gan wanayo yafatilia Kwann na rais wa TFF wasimwite nae kumuhoji hiyi Ina mainisha kwambia TFF hawatak kusemwa ukisemwa unapewa azabu kubwaa alafu nataka nfafanuliewe TFF inaazaje kumzuwia mtu kushuhulikia suwala la mpira hata njee ya nchi tuwe makin lakn thaman ya mpira kwetu Ina potea TFF lazima mufanye kazi Kwa maendeleo co kufanikisha maisha yenu
,kwanamna lolote tff ndio wanauwa soka nchii hii
Yanga mtalalamika hadi lini?shida nyie mnaokota watu ovyo simba walimkataa nyie mkaona anafaa madhara yake ndo hayo mkubali mkatae manara hana heshima kwa viongozi hafai hayo ndo faida ya mtu ambaye hana adabu
MANARA ana bahati nyota yake inawaka si mchezo.. maana umeupiga mwingi vikombe 3, land cruiser plado, mshahara Mzuri na nyota ya kupendwa na watu.. CHUKI LAZIMA... baada wafundishe marefa wao sheria kila siku za mpira zinabadilika.. wapi bize na manara.
Inawezekana Ila tu ustaarabu ndio hana
Manara ananyota ya bahati hata akiwashabiki wa Yanga bado nyota itawaka hivi kweli kwa hili mumemwonea au kwa sababu ni al
Kama msamaha mbona kaomba au ni utim umewaingia
Karia usimba unakuponza TU yanga Kawa bingwa una weweseka
Mil 20 ni nyingi jamani kama mtakomaa watanzania tutachanga tulipe
Hyo karia alikua na chokochoko sana manara ni c mara moja ni mara nyingi sijui alimchukulia mkewe
Haaa
Kwa nini hawakumfungia maisha!
Wote hamna hakili
Ufyookoofyookooo. Mtuupuu. Hata. Uyoo. W. Kariia. Afungiwe. Tuu. Maana. True. Ndo. Chanzoo
Kwani kiswahili hamjuwi?mnaumiya tu yanga kuchukuwa ubingwa alisema haji kwamba toweni sauti Kama katukana mbona hamkutowa rais gani kura zenyewe kutowa rushwa mnachuki tu
Hawa walitaka Simba ipate ubingwa kwakua haiwezekani wamemfanyia fitina
Mnaleta chuki tu si kesha omba msamaha
Watu Wana roho mbaya na wivu hamtaki mafanikio ya yanga
We we mwenyewe una madili
Mnaowachukia TFF kalaleni uko hamna mapya Manara anajulikana bhana
yiyi niwatazania kweri mbona mna ukabira? acha fitina uwo sio uwongozi mna sababu zenu yiyi wote mmekaa sababu Yamanara tu
Wasenge watupu wamechaguliwa kwenye hiyo kamati
Tanazania hatuna viongiz wa TFF tunawaraji tyu eti kazalilishwa kwa kip kuwen na hakil nyie nyie sio mungu mnaharibu mpira tyu hamna lolote🗣️🗣️🗣️🗣️
Hamna jipya huyo raisi mwenyewe anazarau na anamaneno machafu mpaka kwa wanahabari mbona hamjamuadhibu? Au utumiwe kiripu ya maneno yake kusema eti hawajasoma je yy anaelimu Gani ?wote mnafanana akili zenu
Mh Rais wa jamhuli ya Tanzania ingilia Kati Hawa majambazi wataleta Vita kubwa hapa inchini kama ilivyo kwao Somaria huyu Karis na Ubaguzi mkubwa la sivyo tutaanza kuwasaka mmojammoja Hadi kwenye familia yao Vita iko karibu ingilia haraka Mh
Haaa
ongeeni kiswahili kingereza chenyewe kibovu hicho
uwo moto mmewasha yiyi mnataka kutuaribia mpira watu shetani gani amewavamia? acha uchochezi amjateda uwo niujinga mnao
Sasa huyu kashitakiwa na TFF Au na Karia mbona sielewi mm nikimtukana mfano Rais wa tz nashitakiwa na Tz au na Rais mwenyewe???
Unashtakiwa na Tz
Mlalamikaji TFF shahidi Rais wa TFF hakimu Kamati ya maadili ya TFF kuna haki hapo? Msiendeshe mpira wetu kama biashara ya familia ya Karia.
Unatazamia nini kitatokea katika mahakama ya ndege kwa mtuhumiwa panzi !!
sijawahi ona wakili kavaa hivyo na kapero juu unasoma hukumu ya kutafutiza
mwanasheria mwenyewe wa kamati ya maadiri yeye pia hana maadiri, sasa anapataje credibility ya kuwahukumu wengine kwa kukosa maadiri?
Hizo ni chuki binafisi acheni hizo mungu anawaona
Mulio na maadili kaeni nyinyi
Mpo vizur
Tff zero kabsa hamn chochote ni majungu yenu2 kama ali2kanwa kwann alienda na usimba na yanga acheni kukandamiza na mna haribu mchezo
Ni chuki tu, ebu mtueleze watanzania hawa watu chanzo kilikuwanini?
Tff Mna mambo yenu tu
uyo anajikangaya mweyewe mmemtoa wapi?
Ww mwenyewe huna maadili,dressing code yako ikoje na upo umo own podium, honestly hukumu hii ni ya kimkakati,but hata karia alufanya provocation dhidi ya haji manara mbele ya viongozi wa serikali mpaka wakawa wanaamuliwa je na yy amechukuliwa hatua gani?2nd,aliwahi Kuwaita waandishi wakasome jee hii ni lugha ya kimaadili?3rd yy kama rais wa tifuatifua anapaswa kuonesha mahaba ya wazi kwa costal unioni wakati yupo ktk usimamizi wa michezo nchini ambako timu zote ni zake,je haya ni maadili?kuna haja serikali kati hasa BMT na wizara ya michezo coz hata scale of punishment ni kubwa sana 20 millioni na miaka miwili kifungo huku ni kukomoana,na wakes ajiuzulu immediately kwanza hata uchaguzi wake ni kama wa kiimla ulilalamikiwa mpaka na waheshimiwa wabunge
Tunakwenda FIFA hatukubali
Maadidi gani unayo yaongeleya wakati wewe mwenyewe unaonekana wazi hauna maadili mtu mzima ovyooooo hebu naomba ujitathimini unayo hayo maadili wewe bumbavu mkubwa wewe.
Kofia Kama uyoga
Wahuni tu wizi wakubwa haya akilipa hizo pesa mnapeleka wapi kama sio kuchezea pesa zetu? Nyie wenyewe majambazi tu woote nyie
mbwa nyinyinyotehapo
Acheni chuki binafsi hazifai
20,000,000/= KUFUNGIWA MIAKA MIWILI MNA LENU JAMBO NA YANGA PIA NA WASHABIKI ,BORA MNGEMPA FAINI YA BILION 20 TUNGEMCHANGIA BILA SHAKA.
Hpo akuna haki ata kidogo rais kama rais wanatoana wapi kama akuna sababu chin ya kapeti kitu ambacho nakiona rais kama rais apashwi kuegemea tm yoyote rakn rais anaonyesha adhalan tm ambayo anaipenda natutaona mengi unapewa kofi na unashitakiwa
Milioni ishirini ya nini?
Salio .....
Tena mnagongwa
Hawa jamaa wababaishaji
Kumamako ww na TFf nyote
Mmh! Hizo ni chuki binafsi tu.
Haya MIUNGU WETU wa MPIRA TANZANIA semeni mtakavyo.
Fanyeni muonayo.
Muhsin upo sahihi
Karia as if yeye hajafanya chochote kileeee wafanye wanachotaka
Na if possible wampe urais yule dada meneja wa msuva
JASMIN RAZAK kitu kama hicho
Hamfai kabisa hayo nimamuzi ya mihemuko kiushabiki hata aibu hamnatunaomba mtengue mamuzi yenu hayana kichwa mtafanya jambo hili lifikie pabaya
Kamati mnajifanya wababe kwa yanga tu
Wanataka hela milioni 20 wakale na wakezao mbwahao
Midomo imekoleya biya midomo ishazoweya funguwa chupa mnalaana washenzi wakubwa mtafufuliwa na mabaka
Waaenge nyie msinganye lugha msifikilie wote wame soma someni kwa kiswahili