Kamwe asema aliyefunga goli la Yanga dhidi ya Augsburg ni Jumanne Baleke

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #MpumalangaPremiersInternationalCup2024: “Huyu ni Jumanne Baleke” maneno ya Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ally Kamwe akisema aliyefunga goli la Wananchi leo dhidi ya Augsburg sio Jean Baleke wanayemfahamu Watanzania kwa sababu duniani watu ni wawiliwawili.
    Matokeo ni FC Augsburg 2-1 Yanga SC
    #MpumalangaPremiersInternationalCup2024 #Mpumalanga #YangaSC #FCAugsburg #AUGYNG

Комментарии • 68

  • @MWALIMUCHAKATV
    @MWALIMUCHAKATV 2 месяца назад +6

    Duuu Jumanne kwa kweli tumekubali

  • @benedictonkingwa9232
    @benedictonkingwa9232 2 месяца назад +8

    Anatambulishwa Jumanne 😂kama umeelewa gonga like

  • @AloyceMathayo-vj9ws
    @AloyceMathayo-vj9ws 2 месяца назад +3

    Mwagaaahh 💚💚💚kwa jnne

  • @Manfromthefuture-c3o
    @Manfromthefuture-c3o 2 месяца назад +3

    Safi kabisa

  • @SamweliSamwelilemasiyomollel
    @SamweliSamwelilemasiyomollel 2 месяца назад +3

    Hongeren sana wananchi

  • @FredyPeter-rq8hj
    @FredyPeter-rq8hj 2 месяца назад +6

    Hiyo Kodi ningumu kuijuwa❤❤❤❤❤

    • @daudihamza5666
      @daudihamza5666 2 месяца назад +1

      Anatambulishwa jumanne mbn simple

  • @EzekielGittu
    @EzekielGittu 2 месяца назад

    Habari mashabiki wote wa Yanga sports Club.Habari,kama nilivyotoa mawazo yangu kuhusu sakata la Raisi wetu na nimeeleza kwamba yote haya yanatokana na kazi zuri ambayo anaifanya leo tumeshuhudia timu yetu akifanya vizuri sana uwanja wa ugenini dhidi ya timu kongwe na bora mno barani ulaya.Mashabiki lazima tuusifu umakini wa viongozi wetu.
    Viongozi wetu hooooyeeee❤❤❤

  • @kennyammby
    @kennyammby 2 месяца назад +35

    Kama unamkubalo jumanne baleke 😅 weka like yako hapa

  • @eliasthomas1547
    @eliasthomas1547 2 месяца назад +3

    😂😂😂😂😂 Daa ila ally kamwe.

  • @ismailkiwawas5982
    @ismailkiwawas5982 2 месяца назад +4

    😂😂😂😂😂ally kamwe bana

  • @claratango9262
    @claratango9262 2 месяца назад +6

    🤣🤣🤣🤣🤣ila kamwe

  • @JumanneZengo
    @JumanneZengo 2 месяца назад +3

    😂😂😂 eti jumanne zengo baleke

  • @salehwaziri5062
    @salehwaziri5062 2 месяца назад +1

    Jumanne Baleke

  • @kiboshokiboshomungumkubwa7789
    @kiboshokiboshomungumkubwa7789 2 месяца назад +3

    Msilolijua litawasumbua kazi kweni sisi ni wapwani

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy 2 месяца назад +1

    Bonge la strike babu atari💚💛💚💛😎😎😎

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 2 месяца назад +2

    Jumanne Baleke😂😂😂😂

  • @MousaAmos
    @MousaAmos 2 месяца назад +2

    Ila uyu msemaji wetu uyu

  • @mwengemaregesi173
    @mwengemaregesi173 2 месяца назад +3

    Ali anaznguwa😂

  • @emmanuellupiga
    @emmanuellupiga 2 месяца назад +1

    Nimetazama mechi hii kiufundi yanga kuna mda mnajisahau mnashindwa kumark mikimbio ya wapinzani wanakuwa wengi kwenye box yenu kuliko ninyi ndio maaana wanakuwa na nafasi kubwa ya kupiga langoni kwenu kama sio umahir wa kipa mngeokota nyingi mabeki jaribuni kuwa makini kumark mikimbio ya wapinzani ili kuwanyima nafasi ya kupiga na uhuru zaaidi

  • @ibrahimabdallah8076
    @ibrahimabdallah8076 2 месяца назад +4

    😂😂

  • @NelbatKasekwa
    @NelbatKasekwa 2 месяца назад +2

    Nifowadi mkali mno mno🎉🎉🎉

  • @hasanimohamedi279
    @hasanimohamedi279 2 месяца назад +3

    😂😂😂😂😂kamwwww

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 2 месяца назад +2

    Kumsikiliza huyu Dogo inatakiwa ujitoe ufahamu, yaani km ubongo wake huwa unazima upande mmoja, Mkude ni Mkude tu km Baleke alivyo wote walikuwa wachezaji wa Simba, Huyu Dogo ubongo wake ni mdogo km wa kuku, hawezi kuhifadhi kumbukumbu

    • @AnnaJayden-k4m
      @AnnaJayden-k4m 2 месяца назад

      Tena sio sio kuku tu kifaranga kijinga sana

    • @fatmaally7252
      @fatmaally7252 2 месяца назад

      😂😂😂😂 mnakufa mkiwa wapi mbona inawauma ivyo

    • @LilianBitwale
      @LilianBitwale 2 месяца назад

      Ila anawag za USO mbwa nyie 😂😂😂 yaaan hamna jins mnaona Bora mumtukane

  • @shani-l8s
    @shani-l8s 2 месяца назад

    huyo jumanne alianzaga hiv hiv akiwa simba, ni swala la muda tuu😭😭😭😭😭

  • @KhamisAlawi-y9o
    @KhamisAlawi-y9o 2 месяца назад

    Huyu mwehu kweli🤣

  • @soudyruge-fi9xv
    @soudyruge-fi9xv 2 месяца назад +1

    Abdlazack Baleke

  • @AbduliJumanne-c3f
    @AbduliJumanne-c3f 2 месяца назад +2

    jumane baleke.😂😂😂

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 2 месяца назад

    Jumanne😂😂😂😂😂😂😳😳😳😳😳😳😳😳

  • @GloryD-ky5nf
    @GloryD-ky5nf 2 месяца назад

    Jumanne baleke

  • @SelemaniMarko
    @SelemaniMarko 2 месяца назад

    Jumanne baleke 😅😅😅

  • @RamseykingGenius
    @RamseykingGenius 2 месяца назад

    Saa itakuaje🤔🤔🤔😂😂

  • @ANNAWILSON-z5w
    @ANNAWILSON-z5w 2 месяца назад +1

    😅😅😅😅

  • @godfreydidas2575
    @godfreydidas2575 2 месяца назад

    Wewe makombo ya simbaaaaa boss n mmesjli kwel

  • @muxinkarabaki2688
    @muxinkarabaki2688 2 месяца назад

    😅😅😂😂😂

  • @augustinemainde
    @augustinemainde 2 месяца назад

    Mi nafikiri mikimbio ya simba tutimark,pamoja na magoma wao

  • @emmanuelnkukura6736
    @emmanuelnkukura6736 2 месяца назад

    6-2

  • @GracePaul-k2l
    @GracePaul-k2l 2 месяца назад

    😅😅😅😅wewe Ali kamwe jamaniiiiiiii mpaka machozi

  • @RamdhnniAlee
    @RamdhnniAlee 2 месяца назад

    Ahahahaha

  • @KLYLIANTHOMAX
    @KLYLIANTHOMAX 2 месяца назад

    Manake ameslimu KUWA islam

  • @metixrecordstudio6000
    @metixrecordstudio6000 2 месяца назад

    Ujue kamwe wewe Huwa nichizi ila Huwa hujuitu

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂dogo unasifaa ww

  • @evancemoevt8597
    @evancemoevt8597 2 месяца назад +1

    Kamechanganyikiwa hako!!!😢😂😂😂😂

    • @UmmyZakiah
      @UmmyZakiah 2 месяца назад

      😂😂😂tena sio kidogo

  • @LabaniAkyoo
    @LabaniAkyoo 2 месяца назад

    Huyu msemaji ana masifa,, je mngeshinda ingekuwaje,

  • @Leonardherman-ng1qt
    @Leonardherman-ng1qt 2 месяца назад +1

    Shekhe acha kujizalilisha

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 2 месяца назад

    Hivi kwel Leo yanga ndo wanamtegemea baleke😂😂😂

  • @ElisanteElisante
    @ElisanteElisante 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂 shukurudi chuo cha boli msimbazi baleke kawasev😂😂😂😂😂😂😂

  • @AshaMwamba-g3l
    @AshaMwamba-g3l 2 месяца назад

    Kwemda ukoo namngefunga goli ata tatu tisingepumuwaaaaa

  • @franccoz94
    @franccoz94 2 месяца назад

    Utopolo bwanaa unafungwa bado unashangilia,kisaa wazungu wamewafunga very stupid club

    • @fatmaally7252
      @fatmaally7252 2 месяца назад +1

      Unakufa ukiwa wapi

    • @GodfreyKunambi
      @GodfreyKunambi 2 месяца назад +2

      Huna akili tatiz Shoga mjanee ww

    • @st.jamese.r6941
      @st.jamese.r6941 2 месяца назад +2

      Mpira co uadui, ukfungwa hta 5 inabid ushangilie 😢😢

    • @LilianBitwale
      @LilianBitwale 2 месяца назад

      Ona hili kumanina nalo 😂😂😂

    • @terrence9477
      @terrence9477 2 месяца назад

      8 - 1 Egypt