Jamani wengi hatujuwi sheria.hatujasomea sheria.tuacha waliosomea sheria wafanye kazi zao.Huyo.mzee na wenzake wanajidanganya sana .sheria inawabana .wache hizo njaa zao.mi nimemueliwa sana mwanasheria yupo.sahii kabisa.tungoje tu matokeo.ila tuombe sana Mungu atunusuru na haya majanga ya kulawiti watoto nakuwateka.tusikae tu kushabikia magoma.huyo ni njaa tu inamsumbua.
Nimatumaini sheria zikichukuliwa kama inavyotakiwa na kubainisha vyote hivi sio kweli hii ndio itakuwa mwisho kwa watu wenye njaa zao kuvuruga hizi timu ..imagine timu kama Yanga hiko hatua 20 mbele anatokea mtu anajaribu kurudisha nyuma tena kisa kwa njaa zake binafsi its insane
Kwa kutolea maelezo ya Kila siku nn walikuwa wanafanya ndani ya mwaka mzima, itakuwa muujiza kuvuka kiunzi hicho hasa ukizingatia upana wa mawasiliano ya timu husika. Pili. Sijajua kama mahakama hutoa hukumu za kesi kwa ajili ya mitandao ya kijamii. Hivyo tuwe wapole tujifunze kwenye hili
Umeambiwa yanga hawakushirikishwa na pia magoma mwenyew ameshasema mara nyingi kuwa hajawapa yanga hayo makarasi ya hukum mpka leo tena yey magoma anasema ana shangaa kuona mtandaoni na wakati yeye nakala zote za hukum anazo hajazitoa sas nikuulize wew kama yanga magoma hakuwapa hiyo nakala ya hukum na mpka leo anasema hajawapa yanga wangeota kama kuna hukum imetoka??
@@NeemaAkyoo-s4s soma vizuri na elewa nichoandika. Kama hujaelewa ni hivi, upande unaokataa hukumu ndio watakuwa na wakati mgumu kuishawishi mahakama kuwasikiliza.
Na cha ajabu zaid yey mwenyewe anakir kuwa hajawapatia yanga hiyo karatasi ya hukum tangu ameshinda kesi mwaka jana labda yey mwenyew kwa kugundua kuwa hakuwashirkisha yanga badala yake almuweka mtu na akajifanya anaiwakilisha yanga magoma mwenyew imekuwa vigum kwake kuwasilisha hyo hukum kwa yanga maan anajua alipita mlango wa nyuma hakufata sheria
Ni magumu halafu yatachukuwa Muda aise😢,sasa Sijuwi wakati wanafanya mambo YOTE hayo,Hawa wanaotakiwa kuondoka kwenye nafasi zao,watakuwa wanaendelea na kazi au laa?
Ni kwa nini Kesi inayohusu mipira imepelekwa kwenye mahakama ya kiraia badala ya kushughulikiwa na vyombo vya vinavyohusika na mpira? Hili nalo sio kosa kweli kwa mpira wa tanzania kama FIFA wakilinasa?
Je waliposhitakiwa, mahakama iliwapa barua yanga African? Na je Kuna ushahidi wa dispatch inayoonyesha walipelekewa? Pia hyo document iliyompa huyo muwakilishi WA yanga awawakilishe wengine je ilihakikiwa kivipi? Mahakama ilikuwa na uwezo wa kuamua hyo kesi? Kwann mahakama haikujua kuwa Kuna mwanasheria wa club?
Magoma sio mjinga, pale Simba Kigwangala alikuwa anakosoa zile bilioni 20 za Mo lakini alipuuzwa kwasababu Simba ilikuwa inafanya vizuri lakini ikaja kuaminika baada ya simba kupoteana, Yanga nao watakuja kuamini wakianza kufanya vibaya, nyie mtukaneni tu huyo mzee lakini ipo siku mtakuja kumshukuru, tunzeni hii
Magomaaaaa weeee pole sana mzee
Huyo Mzee kayatimba
Wamefanya udanganyifu, magoma na wenzake wawajibike
Unatudanganya hujui sheria wew ,magom atashinda leo
Jamani wengi hatujuwi sheria.hatujasomea sheria.tuacha waliosomea sheria wafanye kazi zao.Huyo.mzee na wenzake wanajidanganya sana .sheria inawabana .wache hizo njaa zao.mi nimemueliwa sana mwanasheria yupo.sahii kabisa.tungoje tu matokeo.ila tuombe sana Mungu atunusuru na haya majanga ya kulawiti watoto nakuwateka.tusikae tu kushabikia magoma.huyo ni njaa tu inamsumbua.
unatumikia miaka saba then unatumikia kifungo cha maisha🤣🤣🤣
Miaka 7 ukiwa umeghushi kawaida lakin ikiwa umeghushi nyaraka za mahakama, ndio kifungo Cha maisha
Mambo ya Simmba na yanga huwa ya kisenge saana
Mzee Kashajitevyenga huyo enheeh Samaki ukiwakaanga wengi sana lazima iwaunguze mikia😂😂😂
😂😂😂Mzee kayakanyaga,walokudanya wamekuponza,utamkumbuka Mandojo na Domokaya,imekula kwako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Dedani kapingo kidato kimoja nakubali sana yanga oyeeeeeeeee
Huyu mzeee amesema anapiga alubadili😮😮 sasa analoga mpaka mahakama
Wafungwe hao mbwa
Mzee kayakanyaga
Waliokutuma wamekuponza😂😂
Huyo mzee ametafuta matatizo aisee
Sisi waziima ila nyinyi ndiyo wasenge maji sisi simba tunaendelea mambo yetu
Sawa
Yan we Mzee magoma umeyatimba ikigunduliwa umefoji cjui yanga watakufanyeje Yan we unabishaba na wa2 weng Tena wananch heeee nakuonea huruma!😂😂😂
Miaka saba then maisha.au vyote kwa pamoja 😅
Mzee magoma cc watu simba tunasema upo sahihi na tupo pamoja na ww jino kwa jino😅😅😂
Kashawaponza😂😂😂 poleenii
Hii kesi viongozi wayanga naona dhahiri wanaenda kuferi lahasha wapite mlango wa pili 😢
Taasisi kubwa mno hii unaishitaki huku Ina viongozi weledi aaaa sahau yule mzee
Mbona wamehukumiwa na kupata ushindi
We unaelewa lakin? Au kichwa Chako ni pambo la kupendezesha mwili? Kamsikilize mwanasheria wa yanga alafu urudi hapa@@zuhurajabiri3900
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
yanga inatakiwa imuajiri Peter madeleka wakili tulie nae hajawahi shinda kesi
Kuna watu wanna umia na huu ufafanuzi kwani vp😂
😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥
Nimatumaini sheria zikichukuliwa kama inavyotakiwa na kubainisha vyote hivi sio kweli hii ndio itakuwa mwisho kwa watu wenye njaa zao kuvuruga hizi timu ..imagine timu kama Yanga hiko hatua 20 mbele anatokea mtu anajaribu kurudisha nyuma tena kisa kwa njaa zake binafsi its insane
Uyo mzee ni njaa tu
Yaani kwa jirani msiba,halafu uitishe disco lazima ndugu tunune
Simba acheni ujinga hebu pambanieni timu yenu mnaonekana wasenge tu
mzee magoma ana hali gan kwasasa
Hakuna cha kufoji magoma sheria alikuwa nayo msituzuge kukanusha tunaakili zetu timamu hapo magoma mmemtuliza tu
🙊🙊 dah magoma wee kama kweli ume gushi 😢😢mhh
Magoma jela ileeeee
Wanasema Kujua kwingi kulimponza nani !!?😂
Huyu ajui kitu😂
we unaejuwa tueleze basi amekosea wapi
Magoma kajishenyenta
Na mama kashawakana huko sasa chupi lazima ziwabane
Yanga apewe hakizake💚💚💚💚💚💚💚💚💚
Eti Yanga ipewe haki yake. Sema GSM aendelee kutupiga wewe.
@@GibsonNtamamilounataka na wewe upewe mshahara kama wachezaji
PERIOD!!!
@@GibsonNtamamilowewe so yanga bwanaa😂😂😂
Aisee yule mzee atazimia akisikia hii taarifa
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Na iwe funzooooooo😂
Aanze kuandika urithi wa wtt wake kabisaa 😅
Waacheni wajitekenye wajitie vidole wenyewe magoma anawasibilia mtoe makalatasi yenu mumpe ofisi
yanga Mnatakiwa muwe na mwanasheria kama huyu anafafanua hoja taratibu kabisa mpaka unaelewa.
Kwa kutolea maelezo ya Kila siku nn walikuwa wanafanya ndani ya mwaka mzima, itakuwa muujiza kuvuka kiunzi hicho hasa ukizingatia upana wa mawasiliano ya timu husika. Pili. Sijajua kama mahakama hutoa hukumu za kesi kwa ajili ya mitandao ya kijamii. Hivyo tuwe wapole tujifunze kwenye hili
Umeambiwa yanga hawakushirikishwa na pia magoma mwenyew ameshasema mara nyingi kuwa hajawapa yanga hayo makarasi ya hukum mpka leo tena yey magoma anasema ana shangaa kuona mtandaoni na wakati yeye nakala zote za hukum anazo hajazitoa sas nikuulize wew kama yanga magoma hakuwapa hiyo nakala ya hukum na mpka leo anasema hajawapa yanga wangeota kama kuna hukum imetoka??
@@NeemaAkyoo-s4s soma vizuri na elewa nichoandika. Kama hujaelewa ni hivi, upande unaokataa hukumu ndio watakuwa na wakati mgumu kuishawishi mahakama kuwasikiliza.
@@Shafikimanga7 hapo sawa nilifikir unasema yanga watapata wakati mgum et na wakati magoma mwenyew anajinadi kuwa hakuwapatia hyo hukum mpaka leo🙏🙏🙏🙏
Na cha ajabu zaid yey mwenyewe anakir kuwa hajawapatia yanga hiyo karatasi ya hukum tangu ameshinda kesi mwaka jana labda yey mwenyew kwa kugundua kuwa hakuwashirkisha yanga badala yake almuweka mtu na akajifanya anaiwakilisha yanga magoma mwenyew imekuwa vigum kwake kuwasilisha hyo hukum kwa yanga maan anajua alipita mlango wa nyuma hakufata sheria
Sio jukum lake kuwap nakal ya hukum ,
Nasikiliza nacheka 😂😂😂😂😂😂 haki matatizo mengine ni ya kujitakia
Ukweli unaujua? Aja mapenzi ya kijinga
@@bakarithegeoinformatician7406 dunduka aka kolo
Pole kijana 🤣🤣🤣🤣🤣
Ikimbukwe mambo ya kimpira hayahukumiwi na Mahakama yoyote zaidi ya Mahakama kuu
Wee umesoma wapi
Hii sio kesi ya Kimpira ni ya Kikatiba😅😅
We nae amnazo sasa km mahakama kuu yeye kaenda kushitaki wapi fifa au mahakama kuu?
@@Dopa7MC ww ndo mpuuzi mkubwa.Hiyo kesi ameifungua mahakama ya hakimu mkazi,siyo mahakama kuu.Unakurupuka tu na ukolo wako.Mtazidi kujianika tu msiotumia akili ipasavyo
dah mbona sasa mambo yanataka kuwa magu
Ni magumu halafu yatachukuwa Muda aise😢,sasa Sijuwi wakati wanafanya mambo YOTE hayo,Hawa wanaotakiwa kuondoka kwenye nafasi zao,watakuwa wanaendelea na kazi au laa?
Msikilize Magoma vizuri ndio utamwelewa aliowashitaki ni akina nani,utajua uongozi bado upo madarakani au la
@@robertzamani5612 nimeona HAWATAKIWI KUWA MADARAKANI WITH IMMEDIATE EFFECTS
@@israelkisaila8401Hamna mtu anaondoka hapoo we tulia tubebe makombe kama tulivozoea
Kidomodomo huwa sio kizuri sasa litamkuta jambo kidomo magoma
Nyny wanasheria mnashndwa kufafanua vfungu vya vya sheria kwa mafisadi mnahangaika na upuuz
Yaan acha tuu
MAGOMA ANASEMA KM WANASEMA SAHIHI WAMEIBUSHI BASI WAENDE MAHAKAMANI SASA KWANN MSIENDE MAHAKAMANI?
Injinia tuchukulie huyu mwanasheria asaidiane na Simin Patrick
Ni kwa nini Kesi inayohusu mipira imepelekwa kwenye mahakama ya kiraia badala ya kushughulikiwa na vyombo vya vinavyohusika na mpira?
Hili nalo sio kosa kweli kwa mpira wa tanzania kama FIFA wakilinasa?
Umeambia sio kes ya mpira ni ya katiba ko mamlaka za inch znahusika na sio tff wala fifa jana ulimwelewa yule wakil tena mahakama ya kisutu tu
Je waliposhitakiwa, mahakama iliwapa barua yanga African? Na je Kuna ushahidi wa dispatch inayoonyesha walipelekewa? Pia hyo document iliyompa huyo muwakilishi WA yanga awawakilishe wengine je ilihakikiwa kivipi? Mahakama ilikuwa na uwezo wa kuamua hyo kesi? Kwann mahakama haikujua kuwa Kuna mwanasheria wa club?
Pia, ilipofungukiwa kesi . Mahakama ilipeleka barua wapi ya kuwajulisha waliofunguliwa kesi?
Na ndo maana inaitwa ni kesi ya upande mmoja watu walijigawa
Magoma umeyabananga
Wewe muongo sana mumekula pesa
basiiiiii
Je, wakati hizo kesi zikiendelea Viongozi wa yanga watakuwa bado ni Viongozi au watakuwa nje ya ofisi? Mawakili hawajafafanua.
Kwenye Shtaka Hilo Hakuna Kiongozi Aliyepo Yanga Katajwa Ktk Kesi Hiyo
Shida yako wawe nje ya office???? Vip umetumwa???
Ikiiiii Simbaaa kinaonekanaaaaa
Magoma sio mjinga, pale Simba Kigwangala alikuwa anakosoa zile bilioni 20 za Mo lakini alipuuzwa kwasababu Simba ilikuwa inafanya vizuri lakini ikaja kuaminika baada ya simba kupoteana, Yanga nao watakuja kuamini wakianza kufanya vibaya, nyie mtukaneni tu huyo mzee lakini ipo siku mtakuja kumshukuru, tunzeni hii
Yanga isifananishwe na vitu vya kijinga
Political cheat code , kupoteza attention ya wananchi kuhoji meli ya kijeshi ya china !!! think big , amkeni !
Inawezekana😢
Mambo ni mengi ase😂😂😂 mara kupotezea attention ya taharuki ya kenya mara meli khaaaa kwaajili ya yanga tyuu duuh maashaAllah very funny😂😂
Umeombwa na nani ufafanuzi huu
😂😂😂
Babaako ekumama zako
Mo
MAGOMA hawezi Kuwa na akili mbovu kiasi HICHO cha kugushi saini
Magoma wamemtoa chambo nyuma yake kuna mtu