UFAFANUZI WA KISHERIA SAKATA LA YANGA MAHAKAMANI, "KUFOJI SAINI UNAWEZA KUFUNGWA MAISHA,WAKILI DEDAN

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 106

  • @wilsonlevayoni2361
    @wilsonlevayoni2361 2 месяца назад +7

    Magomaaaaa weeee pole sana mzee

  • @collectionline6055
    @collectionline6055 2 месяца назад +5

    Huyo Mzee kayatimba

  • @ulicydickson6816
    @ulicydickson6816 2 месяца назад +12

    Wamefanya udanganyifu, magoma na wenzake wawajibike

  • @luqmanomary3558
    @luqmanomary3558 2 месяца назад

    Unatudanganya hujui sheria wew ,magom atashinda leo

  • @SantinaChale
    @SantinaChale Месяц назад

    Jamani wengi hatujuwi sheria.hatujasomea sheria.tuacha waliosomea sheria wafanye kazi zao.Huyo.mzee na wenzake wanajidanganya sana .sheria inawabana .wache hizo njaa zao.mi nimemueliwa sana mwanasheria yupo.sahii kabisa.tungoje tu matokeo.ila tuombe sana Mungu atunusuru na haya majanga ya kulawiti watoto nakuwateka.tusikae tu kushabikia magoma.huyo ni njaa tu inamsumbua.

  • @BrighterStore
    @BrighterStore 2 месяца назад +5

    unatumikia miaka saba then unatumikia kifungo cha maisha🤣🤣🤣

    • @mesuitozil1527
      @mesuitozil1527 2 месяца назад +1

      Miaka 7 ukiwa umeghushi kawaida lakin ikiwa umeghushi nyaraka za mahakama, ndio kifungo Cha maisha

  • @MbeziAmos
    @MbeziAmos 2 месяца назад +5

    Mambo ya Simmba na yanga huwa ya kisenge saana

  • @bsmonline8482
    @bsmonline8482 2 месяца назад

    Mzee Kashajitevyenga huyo enheeh Samaki ukiwakaanga wengi sana lazima iwaunguze mikia😂😂😂

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 2 месяца назад

    😂😂😂Mzee kayakanyaga,walokudanya wamekuponza,utamkumbuka Mandojo na Domokaya,imekula kwako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AsmaKapaya
    @AsmaKapaya 2 месяца назад

    Dedani kapingo kidato kimoja nakubali sana yanga oyeeeeeeeee

  • @elizabetty-rt7py
    @elizabetty-rt7py 2 месяца назад

    Huyu mzeee amesema anapiga alubadili😮😮 sasa analoga mpaka mahakama

  • @isaacsimon3580
    @isaacsimon3580 2 месяца назад +3

    Wafungwe hao mbwa

  • @LucasKazimoto
    @LucasKazimoto 2 месяца назад +4

    Mzee kayakanyaga

  • @MohdAli-cx7bc
    @MohdAli-cx7bc 2 месяца назад +1

    Waliokutuma wamekuponza😂😂

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 2 месяца назад +3

    Huyo mzee ametafuta matatizo aisee

  • @LucianaJoachim
    @LucianaJoachim 2 месяца назад +1

    Sisi waziima ila nyinyi ndiyo wasenge maji sisi simba tunaendelea mambo yetu

  • @Mwitamkunyimarwa
    @Mwitamkunyimarwa 2 месяца назад

    Sawa

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 2 месяца назад

    Yan we Mzee magoma umeyatimba ikigunduliwa umefoji cjui yanga watakufanyeje Yan we unabishaba na wa2 weng Tena wananch heeee nakuonea huruma!😂😂😂

  • @johnsonjuliusmassaka5519
    @johnsonjuliusmassaka5519 2 месяца назад

    Miaka saba then maisha.au vyote kwa pamoja 😅

  • @salehegiza3305
    @salehegiza3305 2 месяца назад +1

    Mzee magoma cc watu simba tunasema upo sahihi na tupo pamoja na ww jino kwa jino😅😅😂

  • @deoselcom9701
    @deoselcom9701 2 месяца назад

    Hii kesi viongozi wayanga naona dhahiri wanaenda kuferi lahasha wapite mlango wa pili 😢

  • @maxmiliangunze8931
    @maxmiliangunze8931 2 месяца назад +2

    Taasisi kubwa mno hii unaishitaki huku Ina viongozi weledi aaaa sahau yule mzee

    • @zuhurajabiri3900
      @zuhurajabiri3900 2 месяца назад

      Mbona wamehukumiwa na kupata ushindi

    • @MohamedMpeneka-og6sq
      @MohamedMpeneka-og6sq 2 месяца назад

      We unaelewa lakin? Au kichwa Chako ni ​ pambo la kupendezesha mwili? Kamsikilize mwanasheria wa yanga alafu urudi hapa@@zuhurajabiri3900

  • @MomadeMudimoz70-cs2ud
    @MomadeMudimoz70-cs2ud 2 месяца назад

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @simsotv2261
    @simsotv2261 2 месяца назад

    yanga inatakiwa imuajiri Peter madeleka wakili tulie nae hajawahi shinda kesi

  • @AbelKidungu
    @AbelKidungu 2 месяца назад +2

    Kuna watu wanna umia na huu ufafanuzi kwani vp😂

  • @rafikiyako6697
    @rafikiyako6697 2 месяца назад

    Nimatumaini sheria zikichukuliwa kama inavyotakiwa na kubainisha vyote hivi sio kweli hii ndio itakuwa mwisho kwa watu wenye njaa zao kuvuruga hizi timu ..imagine timu kama Yanga hiko hatua 20 mbele anatokea mtu anajaribu kurudisha nyuma tena kisa kwa njaa zake binafsi its insane

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 2 месяца назад +2

    Uyo mzee ni njaa tu

  • @mazaramatucha
    @mazaramatucha 2 месяца назад

    Yaani kwa jirani msiba,halafu uitishe disco lazima ndugu tunune

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 2 месяца назад +2

    Simba acheni ujinga hebu pambanieni timu yenu mnaonekana wasenge tu

  • @hamisrahul6067
    @hamisrahul6067 2 месяца назад +4

    mzee magoma ana hali gan kwasasa

  • @saidimwanyiro5147
    @saidimwanyiro5147 2 месяца назад

    Hakuna cha kufoji magoma sheria alikuwa nayo msituzuge kukanusha tunaakili zetu timamu hapo magoma mmemtuliza tu

  • @mussakilo4916
    @mussakilo4916 2 месяца назад +2

    🙊🙊 dah magoma wee kama kweli ume gushi 😢😢mhh

  • @mwangasonimwanga5850
    @mwangasonimwanga5850 2 месяца назад

    Magoma jela ileeeee

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 2 месяца назад

    Wanasema Kujua kwingi kulimponza nani !!?😂

  • @AronAnselemi
    @AronAnselemi 2 месяца назад

    Huyu ajui kitu😂

    • @gregory6165
      @gregory6165 2 месяца назад

      we unaejuwa tueleze basi amekosea wapi

  • @SaidiYahya-t1c
    @SaidiYahya-t1c 2 месяца назад

    Magoma kajishenyenta

  • @tezuramziray8700
    @tezuramziray8700 2 месяца назад

    Na mama kashawakana huko sasa chupi lazima ziwabane

  • @Mrmakavu
    @Mrmakavu 2 месяца назад +2

    Yanga apewe hakizake💚💚💚💚💚💚💚💚💚

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 2 месяца назад

      Eti Yanga ipewe haki yake. Sema GSM aendelee kutupiga wewe.

    • @kanyeshahigirimana5686
      @kanyeshahigirimana5686 2 месяца назад

      ​@@GibsonNtamamilounataka na wewe upewe mshahara kama wachezaji
      PERIOD!!!

    • @FirdausyAbubakary-bl2wo
      @FirdausyAbubakary-bl2wo 2 месяца назад

      ​@@GibsonNtamamilowewe so yanga bwanaa😂😂😂

  • @maxmiliangunze8931
    @maxmiliangunze8931 2 месяца назад +2

    Aisee yule mzee atazimia akisikia hii taarifa

  • @LucianaJoachim
    @LucianaJoachim 2 месяца назад

    Waacheni wajitekenye wajitie vidole wenyewe magoma anawasibilia mtoe makalatasi yenu mumpe ofisi

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 2 месяца назад

    yanga Mnatakiwa muwe na mwanasheria kama huyu anafafanua hoja taratibu kabisa mpaka unaelewa.

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 2 месяца назад

    Kwa kutolea maelezo ya Kila siku nn walikuwa wanafanya ndani ya mwaka mzima, itakuwa muujiza kuvuka kiunzi hicho hasa ukizingatia upana wa mawasiliano ya timu husika. Pili. Sijajua kama mahakama hutoa hukumu za kesi kwa ajili ya mitandao ya kijamii. Hivyo tuwe wapole tujifunze kwenye hili

    • @NeemaAkyoo-s4s
      @NeemaAkyoo-s4s 2 месяца назад

      Umeambiwa yanga hawakushirikishwa na pia magoma mwenyew ameshasema mara nyingi kuwa hajawapa yanga hayo makarasi ya hukum mpka leo tena yey magoma anasema ana shangaa kuona mtandaoni na wakati yeye nakala zote za hukum anazo hajazitoa sas nikuulize wew kama yanga magoma hakuwapa hiyo nakala ya hukum na mpka leo anasema hajawapa yanga wangeota kama kuna hukum imetoka??

    • @Shafikimanga7
      @Shafikimanga7 2 месяца назад

      @@NeemaAkyoo-s4s soma vizuri na elewa nichoandika. Kama hujaelewa ni hivi, upande unaokataa hukumu ndio watakuwa na wakati mgumu kuishawishi mahakama kuwasikiliza.

    • @NeemaAkyoo-s4s
      @NeemaAkyoo-s4s 2 месяца назад

      @@Shafikimanga7 hapo sawa nilifikir unasema yanga watapata wakati mgum et na wakati magoma mwenyew anajinadi kuwa hakuwapatia hyo hukum mpaka leo🙏🙏🙏🙏

  • @NeemaAkyoo-s4s
    @NeemaAkyoo-s4s 2 месяца назад

    Na cha ajabu zaid yey mwenyewe anakir kuwa hajawapatia yanga hiyo karatasi ya hukum tangu ameshinda kesi mwaka jana labda yey mwenyew kwa kugundua kuwa hakuwashirkisha yanga badala yake almuweka mtu na akajifanya anaiwakilisha yanga magoma mwenyew imekuwa vigum kwake kuwasilisha hyo hukum kwa yanga maan anajua alipita mlango wa nyuma hakufata sheria

    • @luqmanomary3558
      @luqmanomary3558 2 месяца назад

      Sio jukum lake kuwap nakal ya hukum ,

  • @stewartsylvester2353
    @stewartsylvester2353 2 месяца назад +1

    Nasikiliza nacheka 😂😂😂😂😂😂 haki matatizo mengine ni ya kujitakia

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 2 месяца назад +5

    Ikimbukwe mambo ya kimpira hayahukumiwi na Mahakama yoyote zaidi ya Mahakama kuu

    • @SadickHusein
      @SadickHusein 2 месяца назад +1

      Wee umesoma wapi

    • @Fred-Ma
      @Fred-Ma 2 месяца назад +1

      Hii sio kesi ya Kimpira ni ya Kikatiba😅😅

    • @Dopa7MC
      @Dopa7MC 2 месяца назад +1

      We nae amnazo sasa km mahakama kuu yeye kaenda kushitaki wapi fifa au mahakama kuu?

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 2 месяца назад +2

      @@Dopa7MC ww ndo mpuuzi mkubwa.Hiyo kesi ameifungua mahakama ya hakimu mkazi,siyo mahakama kuu.Unakurupuka tu na ukolo wako.Mtazidi kujianika tu msiotumia akili ipasavyo

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 2 месяца назад +2

    dah mbona sasa mambo yanataka kuwa magu

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 2 месяца назад +1

      Ni magumu halafu yatachukuwa Muda aise😢,sasa Sijuwi wakati wanafanya mambo YOTE hayo,Hawa wanaotakiwa kuondoka kwenye nafasi zao,watakuwa wanaendelea na kazi au laa?

    • @robertzamani5612
      @robertzamani5612 2 месяца назад

      Msikilize Magoma vizuri ndio utamwelewa aliowashitaki ni akina nani,utajua uongozi bado upo madarakani au la

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 2 месяца назад

      @@robertzamani5612 nimeona HAWATAKIWI KUWA MADARAKANI WITH IMMEDIATE EFFECTS

    • @FirdausyAbubakary-bl2wo
      @FirdausyAbubakary-bl2wo 2 месяца назад +1

      ​@@israelkisaila8401Hamna mtu anaondoka hapoo we tulia tubebe makombe kama tulivozoea

  • @salwasuleiman8943
    @salwasuleiman8943 2 месяца назад

    Kidomodomo huwa sio kizuri sasa litamkuta jambo kidomo magoma

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 2 месяца назад

    Nyny wanasheria mnashndwa kufafanua vfungu vya vya sheria kwa mafisadi mnahangaika na upuuz

    • @iddkessy
      @iddkessy 2 месяца назад

      Yaan acha tuu

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 2 месяца назад

    MAGOMA ANASEMA KM WANASEMA SAHIHI WAMEIBUSHI BASI WAENDE MAHAKAMANI SASA KWANN MSIENDE MAHAKAMANI?

  • @MRJ1308
    @MRJ1308 2 месяца назад +1

    Injinia tuchukulie huyu mwanasheria asaidiane na Simin Patrick

  • @bbanyikwa
    @bbanyikwa 2 месяца назад +2

    Ni kwa nini Kesi inayohusu mipira imepelekwa kwenye mahakama ya kiraia badala ya kushughulikiwa na vyombo vya vinavyohusika na mpira?
    Hili nalo sio kosa kweli kwa mpira wa tanzania kama FIFA wakilinasa?

    • @EligiaMligo
      @EligiaMligo 2 месяца назад +3

      Umeambia sio kes ya mpira ni ya katiba ko mamlaka za inch znahusika na sio tff wala fifa jana ulimwelewa yule wakil tena mahakama ya kisutu tu

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 2 месяца назад

    Je waliposhitakiwa, mahakama iliwapa barua yanga African? Na je Kuna ushahidi wa dispatch inayoonyesha walipelekewa? Pia hyo document iliyompa huyo muwakilishi WA yanga awawakilishe wengine je ilihakikiwa kivipi? Mahakama ilikuwa na uwezo wa kuamua hyo kesi? Kwann mahakama haikujua kuwa Kuna mwanasheria wa club?

    • @efraimjohn4956
      @efraimjohn4956 2 месяца назад +1

      Pia, ilipofungukiwa kesi . Mahakama ilipeleka barua wapi ya kuwajulisha waliofunguliwa kesi?

    • @mesuitozil1527
      @mesuitozil1527 2 месяца назад +1

      Na ndo maana inaitwa ni kesi ya upande mmoja watu walijigawa

  • @ChefasNganda-pl5yj
    @ChefasNganda-pl5yj 2 месяца назад

    Magoma umeyabananga

  • @AmisiAloisi
    @AmisiAloisi 2 месяца назад

    Wewe muongo sana mumekula pesa

  • @jacksonelphas7256
    @jacksonelphas7256 2 месяца назад +1

    basiiiiii

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 2 месяца назад +2

    Je, wakati hizo kesi zikiendelea Viongozi wa yanga watakuwa bado ni Viongozi au watakuwa nje ya ofisi? Mawakili hawajafafanua.

    • @ErastoOmari-ij1zs
      @ErastoOmari-ij1zs 2 месяца назад +1

      Kwenye Shtaka Hilo Hakuna Kiongozi Aliyepo Yanga Katajwa Ktk Kesi Hiyo

    • @swedywamba5535
      @swedywamba5535 2 месяца назад +1

      Shida yako wawe nje ya office???? Vip umetumwa???

  • @AllySalum-j9y
    @AllySalum-j9y 2 месяца назад +1

    Ikiiiii Simbaaa kinaonekanaaaaa

  • @Mwafrika2021
    @Mwafrika2021 2 месяца назад +1

    Magoma sio mjinga, pale Simba Kigwangala alikuwa anakosoa zile bilioni 20 za Mo lakini alipuuzwa kwasababu Simba ilikuwa inafanya vizuri lakini ikaja kuaminika baada ya simba kupoteana, Yanga nao watakuja kuamini wakianza kufanya vibaya, nyie mtukaneni tu huyo mzee lakini ipo siku mtakuja kumshukuru, tunzeni hii

  • @IvanChrisantus-hz4cv
    @IvanChrisantus-hz4cv 2 месяца назад

    Political cheat code , kupoteza attention ya wananchi kuhoji meli ya kijeshi ya china !!! think big , amkeni !

    • @UrassaPaschal
      @UrassaPaschal 2 месяца назад

      Inawezekana😢

    • @FirdausyAbubakary-bl2wo
      @FirdausyAbubakary-bl2wo 2 месяца назад +1

      Mambo ni mengi ase😂😂😂 mara kupotezea attention ya taharuki ya kenya mara meli khaaaa kwaajili ya yanga tyuu duuh maashaAllah very funny😂😂

  • @alhajjsimba8833
    @alhajjsimba8833 2 месяца назад +1

    Umeombwa na nani ufafanuzi huu

  • @fadhiliabasi6585
    @fadhiliabasi6585 2 месяца назад

    MAGOMA hawezi Kuwa na akili mbovu kiasi HICHO cha kugushi saini