#TBC

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 апр 2024
  • Mbunge wa viti Maalumu Shally Raymond ameishauri Serikali iangalie namna ya kubadilisha hukumu ya adhabu ya kifo kwa watuhumiwa wa mauaji ili wapewe nyingine kuliko kuendellea kutoa hukumu ambayo haitekelezeki.
    Akichangia bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha wa 2024/2025 bungeni jijini Dodoma amesema, katika miaka ya hivi karibuni hajawahi kusikia mtu amenyongwa hadi kufa baada ya kuhukumiwa adhabu ya kifo.

Комментарии •