Nimemsoma kiundani sana KIBU Nina maoni binafsi hivyo napendekeza Kwa kocha Davids amrudishe KIBU acheze half beki 4 nadhani ana sifa zote za kucheza namba hizo za nyuma. 1. Ana nguvu mwepesi, mbio na urefu wa kuridhisha kupiga vichwa 2. Mpambanaji ana jihad 3. Anafundishika anaweza kuwa sawa hata kumzidi Baka wa yanga. 4. Kwa kuwa Kibu ana tatizo ktk finishing ama kupasia kule mbele, lakini akiwa nyuma no 4 atakuwa swipa hivyo tatizo atakuwa kaliepuka
❤❤❤❤❤❤❤❤
Duwa ndio muimu kala kitu mungu tu ishaallh mungu atatusaidia
Viongozi wetu wa Simba tunashukuru kwa usajili wa kimkakati tusisahau Dua kwa wachezaji wetu maana macho ya USDA ni mengi
Tupe madini
Nimemsoma kiundani sana KIBU Nina maoni binafsi hivyo napendekeza Kwa kocha Davids amrudishe KIBU acheze half beki 4 nadhani ana sifa zote za kucheza namba hizo za nyuma.
1. Ana nguvu mwepesi, mbio na urefu wa kuridhisha kupiga vichwa
2. Mpambanaji ana jihad
3. Anafundishika anaweza kuwa sawa hata kumzidi Baka wa yanga.
4. Kwa kuwa Kibu ana tatizo ktk finishing ama kupasia kule mbele, lakini akiwa nyuma no 4 atakuwa swipa hivyo tatizo atakuwa kaliepuka
achana na bacca ww