Tolly Media
Tolly Media
  • Видео 13
  • Просмотров 83 268

Видео

🚨LIVE, UONGOZI WA SINGIDA BLACK STARS UKIWEKA WAZI SHIDA YA MWENDA AJIUNGE NA KAMBI PESA ATAPEWA.
Просмотров 8017 часов назад
#football #simbavsyanga #footballclub #arsenalfc #yanganasimba #yangavssimba #liverpool
🚨BREAKINGNEWS,Yanga watangaza kocha Mpya kwenye kikosi chao,Edina lema morinho Arejea Yanga princes.
Просмотров 3319 часов назад
#arsenal #arsenalfc #football #liverpool #manchesterunited #soccer #simba #simbasc #yanga #yangaleo
🚨BREAKINGNEWS,kocha wa Simba Fadlu Davids na mshambuliaji Jean Ahoua wang'ara Tuzo za Tff,ubora mkub
Просмотров 8219 часов назад
#arsenal #arsenalfc #football #liverpool #manchesterunited #soccer #simba #simbasc #yanga #yangaleo
🚨Uchambuzi wa Hansrafael,Yanga 2-0 Kagera sugar, Tathimini dkk 90,ubora na mapungufu wa Timu zote.
Просмотров 38День назад
#arsenal #arsenalfc #football #liverpool #manchesterunited #soccer #simba #simbasc #yanga #yangaleo
🚨Uchambuzi wa George Ambangile,Kagera 0-2 Yanga,Tathimini dkk 90,ubora wa yanga,walichofanya Kagera.
Просмотров 64День назад
#arsenal #arsenalfc #football #liverpool #manchesterunited #soccer #simba #simbasc #yanga #yangaleo
🚨Uchambuzi wa Hansrafael,Simba 4-0 Fountain Gate fc,Amnyooshea mikono Jean Charles ahoa,hii ni Mali.
Просмотров 82214 дней назад
#arsenal #arsenalfc #football #liverpool #manchesterunited #soccer #simba #simbasc #yanga #yangaleo
🚨BREAKINGNEWS,FIFA YAWATAKA YANGA KULIPA MILLION 217 NDANI YA SIKU 45,KISA AUGUSTINE OKRA,BENCHEM.
Просмотров 55814 дней назад
#arsenal #arsenalfc #football #liverpool #manchesterunited #soccer #simba #simbasc #yanga #yangaleo
🚨Kocha Wa Vital O,Fc Afunguka Baada ya kupangwa na yanga,Maji tumeyavulia nguo.
Просмотров 12 тыс.Месяц назад
#arsenal #arsenalfc #football #liverpool #manchesterunited #simba #simbasc #soccer #yanga #yangaleo
🚨LIVE kutoka Misri Ahmedally Afunguka Vingi, Kinachoendelea kambini Simba.
Просмотров 20 тыс.Месяц назад
#arsenal #arsenalfc #football #liverpool #manchesterunited #simba #simbasc #soccer #yanga #yangaleo
🚨Mapya Yaibuka inshu ya Aziz ki,Zandani kaanza safari kurudi dar es Salaam.
Просмотров 23 тыс.Месяц назад
#arsenal #arsenalfc #football #liverpool #manchesterunited #simba #simbasc #soccer #yanga #yangaleo
🚨Kiufundi Usajili wa Simba,namna wachezaji watachezeshwa kwenye nafasi zao.
Просмотров 14 тыс.2 месяца назад
#arsenal #arsenalfc #football #liverpool #manchesterunited #simba #simbasc #soccer #yanga #yangaleo
🚨HANSRAFAEL amchambua kiufundi Jian Charles mchezaji Mpya Simba,ni Aziz ki mtupu.
Просмотров 13 тыс.2 месяца назад
#arsenal #arsenalfc #football #liverpool #manchesterunited #simba #simbasc #soccer #yanga #yangaleo

Комментарии

  • @KulijeNovart
    @KulijeNovart 14 дней назад

    Atawafunga akina nani? Fountain gate ilikuwa na wachezaji wa first 11 watatu tu

  • @MohammedJaizan-yf5yt
    @MohammedJaizan-yf5yt 19 дней назад

    Kama umelaaniwa huna dawa nyingine Kila kukicha adhabu haikuondokei

  • @sudiustathi-ku8rg
    @sudiustathi-ku8rg 19 дней назад

    Timu ya kupigwa faini Kila wakati

  • @yohanakiureimoon-mo4py
    @yohanakiureimoon-mo4py Месяц назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @emanuelkilinga9196
    @emanuelkilinga9196 Месяц назад

    Hatujapata aziz k waketu, huyu ni mchezaji wetu ahuo na atabaki kuwa ahuo msitufananishe fananishe hovyo hovyo

  • @AsiaNgoleka
    @AsiaNgoleka Месяц назад

    Juzi wameanza kusajili baada ya kupangwa na yanga.

  • @ZamlaKifurago
    @ZamlaKifurago Месяц назад

    Duwa ndio muimu kala kitu mungu tu ishaallh mungu atatusaidia

  • @charleslinhege690
    @charleslinhege690 Месяц назад

    Nimemsoma kiundani sana KIBU Nina maoni binafsi hivyo napendekeza Kwa kocha Davids amrudishe KIBU acheze half beki 4 nadhani ana sifa zote za kucheza namba hizo za nyuma. 1. Ana nguvu mwepesi, mbio na urefu wa kuridhisha kupiga vichwa 2. Mpambanaji ana jihad 3. Anafundishika anaweza kuwa sawa hata kumzidi Baka wa yanga. 4. Kwa kuwa Kibu ana tatizo ktk finishing ama kupasia kule mbele, lakini akiwa nyuma no 4 atakuwa swipa hivyo tatizo atakuwa kaliepuka

  • @yuzolove7120
    @yuzolove7120 Месяц назад

    😂😂😂😂 anaanza kujitetea huyo

    • @jovinmashauri7883
      @jovinmashauri7883 Месяц назад

      Eti anasema wameanguka kwenye yanga🤣😂😂😂😂

  • @fahadrashid9754
    @fahadrashid9754 Месяц назад

    Anaongea kinyonge adi uruma

  • @scratcharico6223
    @scratcharico6223 Месяц назад

    karibu tanzania

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Месяц назад

    Tuna matumaini nae sanaa huyo kijana utoporo kazi wanayo Tutawapima umri wao wooote

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 Месяц назад

    Msiwe watangazaji wahivyo always play for the best nani umwambie unaenda motoni akubali hata mlevi ukimwambia utaenda motoni atakutukana

  • @PhizzoSango
    @PhizzoSango Месяц назад

    Ivi mwenda kaachwa au?

  • @user-ej5dq7gx9r
    @user-ej5dq7gx9r Месяц назад

    Tunataka Simba ya kazi tusitake kujua habari za Timu nyingine mwaka huu tufanye kweli

  • @khalidfundi2600
    @khalidfundi2600 Месяц назад

    Viongozi wetu wa Simba tunashukuru kwa usajili wa kimkakati tusisahau Dua kwa wachezaji wetu maana macho ya USDA ni mengi

  • @user-ht5vo2em4f
    @user-ht5vo2em4f 2 месяца назад

    Niny uto hamjitambui niny umewezaje mpaka Simba washindwa huyo AZZ ki atakuja ,,,,,,,

  • @MusaManyilima
    @MusaManyilima 2 месяца назад

    Kwani huyo azz ni mungu aende tu kwao au kwetu

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 2 месяца назад

    Kwa taarifa yako mwanamichezo, Eng.Hersi anampadisha chart ila Anasaini yanga na MO hamhitaji Azizi Ki kwa dau lolote

  • @ZakiaMgabo
    @ZakiaMgabo 2 месяца назад

    Ende tu mpiran n biashara

  • @AllyAthumani-xy4xf
    @AllyAthumani-xy4xf 2 месяца назад

    katika watangazaji wakweli nyinyi mmenyooka

  • @AyatollahMustafa
    @AyatollahMustafa 2 месяца назад

    Kwahyo mtu akipongeza ujio wa mchezaji ndo inamaanisha atabaki hata mayele alikua kipenzi cha yanga aliishi kama mfalme ila nini kilitokea kueni na kumbukumbu acheni kuchambua kwa ubunifu wenu

  • @fathimadaid3429
    @fathimadaid3429 2 месяца назад

    Mmezidi umbea

  • @noelmakere1381
    @noelmakere1381 2 месяца назад

    Wachambuzi acheni uongo. ...km hamna taarifa sahihi kaeni kimyaaa

  • @Vedsastomutalemwa1980
    @Vedsastomutalemwa1980 2 месяца назад

    Belozdad alitoa ofa tangia mwezi wa 6 wala sio Jana.

  • @AliUsi-ms4bm
    @AliUsi-ms4bm 2 месяца назад

    Nyinyi mnaweka akili ya mafanikio tu, hamuangalii Kuna na bahati mbaya ya kufeli, Kuna kuumia na mengineyo, ? Uchambuzi gn huo unaoangalia mafanikio tuu?

  • @godfreykibaha4441
    @godfreykibaha4441 2 месяца назад

    Deal done, Stephen ni Mwananchi

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v 2 месяца назад

    WAAMDISHI ISHINI KWA" FACT" MSIISHI KWA" SPECULATION" WENYE "D2 TUTAWADHARAU SANA

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v 2 месяца назад

    TIMU ZA AFRICA HAZINA UWEZO WA KUMSAJIRI AZIZI KI ISIPOKUWA YANGA

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v 2 месяца назад

    NYIE WACHAMBUZI ni UJINGA WENU WA KUFIKIRI

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 2 месяца назад

    Waongo nyinyi

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 2 месяца назад

    Acheni uongo hiyo offer fake nilioona mshahara siyo dola laki 4 hiyo ni pesa ya kusani tu mshahara ni dola 20, 000 mnatangaza vitu hata uongo wenyewe unakua na uongo ndani yake sijui mmesoma wapi uandishi KI KSAINI ZAMANI MPAKA LEO KI ANA SIKU 16 MTU YUKO FREE AJENT ANAKOSAJE TIMU MAFISI WANGEKUA WASHAMPITIA

  • @Ba63828
    @Ba63828 2 месяца назад

    Umepatia mchambuzi: UPENDO FURAHA MUHIMU

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 2 месяца назад

    Aziz ki ameshaondoka kweda wapi? zaidi ya kwenda Yanga?

  • @user-up4kd4di7h
    @user-up4kd4di7h 2 месяца назад

    Acheni akatsfute maisha

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 2 месяца назад

      Ndo yupo njiani kuelekea Egypt kujiunga na akina deborah

  • @pambaboniface1199
    @pambaboniface1199 2 месяца назад

    Makolon hawana ubavu wa kimsajili hiyu dogo....wanatafuta mlango wa kutokea ilii wapte viewers

  • @user-vy9oq7gq9d
    @user-vy9oq7gq9d 2 месяца назад

    Yani kiukweli wana simba wenzangu tujiandae maana naona kama tabu iko palepale

  • @user-vy9oq7gq9d
    @user-vy9oq7gq9d 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig 2 месяца назад

    Wwe ni mchambuz mandaz k azzi amesha ondoka

  • @HassibuMvungi
    @HassibuMvungi 2 месяца назад

    Tupe madini