Mazinge kiboko awaleta wamasai ambao hawana dini katika uislamu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 116

  • @SharifomarSharif
    @SharifomarSharif Год назад +3

    Shekhe habibu mazinge hakika mm na kupeng kwa ajil ya mung na allh akupe maisha maref pamoja na ss ishaallh

  • @jacobmasoko8491
    @jacobmasoko8491 Год назад +5

    Shekhe nimeslimu mwezi wapili nimeipenda hii dini hakika nidini ya ahlaa

    • @nyatya199
      @nyatya199 Год назад

      Maashaallah karibu sana ila isome kwa undani dini zaidi hakika utafurahi zaidi

    • @istambulahmed6664
      @istambulahmed6664 Год назад

      Allah akuhifadhi ndugu yetu

  • @ummuhafswa8980
    @ummuhafswa8980 Год назад +3

    Subuhanallah.!! Tumezaliwa ktk uisilamu lakini wengiwet hatujuichochote leo wagen kama hawa wanavyozungumza nyoyo zinashangaa

  • @abidalfadhil2093
    @abidalfadhil2093 2 года назад +7

    Mashaallah shekh wetu M/Mungu akupe nguvu uzid kusimamia kuitangazia dini ya haki na sio nyengne zaid uislam

  • @ufundinetwork8680
    @ufundinetwork8680 2 года назад +9

    Shekh mazinge unafanya kazi kubwa sana Allah aibariki kaziyako akupe mwisho mwema ktk hio kaziyako na mungu akuridhie pale atakapo kuhitaji, na ukifufuliwa ,ulipwe pepo ya firdaus

  • @rashidimswagilo8292
    @rashidimswagilo8292 2 года назад +10

    Mwenyezi mungu akupe maisha marefu ustadh Mazinge

  • @mkanulamajid500
    @mkanulamajid500 Год назад +1

    Sheikh Masai uko vizuri Sana ubalkiwe

  • @nasibuukashaukasha8788
    @nasibuukashaukasha8788 Год назад +1

    Mashallah sheikh Allah akupe yote yanayofaa

  • @FatimaFatima-wz2qt
    @FatimaFatima-wz2qt Год назад +2

    Shekhe mazinge Alla akulipe kilalahjer naakufishe ndani yasijda kwauloyafanya nchini tanzania nanje

  • @saidymparee0135
    @saidymparee0135 Год назад +3

    Shekhe mazinge Allah subhana huataallah akupe umri mrefu wenye baraka akujaalie afya njema uendelee kuitangaza dini ya khak Allah akufanyie wepesi vile unavyo pambania dini ya khak Allah akuepushe na watu wabaya wenye kutaka kukupa ugumu kwenye kuitangaza dini ya khak nakuombea kwa Allah akuingize peponi bila hesabu inshallah Amiiiiiin!...🙏

  • @abdullahal-mahruqi9610
    @abdullahal-mahruqi9610 2 года назад +5

    MaShaAllah. Allah awahifadhi na awape mwisho mwema. Juhudi kubwa saana

  • @user-mq6lu2po3y
    @user-mq6lu2po3y 2 года назад +11

    Katika watu ninaowapenda kuliko nafsi yangu ni watu waliosilimu

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 5 месяцев назад +1

    Masai pokea mauwa yako 🌹💐🌹💐🌹

  • @alisaid5583
    @alisaid5583 2 года назад +2

    Sheikh mazinge jazaakallahu kheiran ayyadakallahu binasrihil Aziz

  • @khadijaabud6428
    @khadijaabud6428 Год назад +3

    subhanallah Allah akulinde sheikh wetu umefanya kazi mzuri,yaraabb msameh dhambi zake yeye na ahli zake🤲🤲🤲

  • @MakataWaMakatani
    @MakataWaMakatani 5 месяцев назад +1

    ❤ TAKBIIR ALLAH AKBAR!!!

  • @nourismail4114
    @nourismail4114 2 года назад +3

    Taqibir ,Ma sha Allah wape Dawa mungu awabarik

  • @mohamedabubakar9852
    @mohamedabubakar9852 2 года назад +3

    Mashallah Tabarakallah

  • @ruu6592
    @ruu6592 Год назад +2

    Mashallah masai

  • @fatmasaleh2707
    @fatmasaleh2707 2 года назад +4

    mashaallah...masai kamitoa machozi

  • @husseinmwedi7125
    @husseinmwedi7125 Год назад +1

    Mashaallah shehk mungu akujalie maisha malef

  • @isack6099
    @isack6099 2 года назад +2

    Masha Allah, hapo ni kweli bila shaka dini ya haki ni uislamu...jazzakallahu kheir our brothers

  • @user-pm6tb4yz9i
    @user-pm6tb4yz9i 7 месяцев назад +1

    Allah Akbar

  • @aishaayoub305
    @aishaayoub305 2 года назад +1

    Shekhe mazinge Allah akujalie mwisho mwema walah unafanya kazi ya Allah kidhat nakupenda kwaajili ya Allah

  • @mahmoudjuma3825
    @mahmoudjuma3825 2 года назад +5

    MashaAllah

  • @jumambweze2526
    @jumambweze2526 Год назад +2

    Subhanallah

  • @maulidihamisi7349
    @maulidihamisi7349 2 года назад +2

    Naomba namb ya mazingei inshallah

  • @abdulazizmohamed2805
    @abdulazizmohamed2805 2 года назад +1

    Mazinge kafanya kazi ngumu Sana,

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 2 года назад +3

    Masha Allah!!

  • @irankundasaidi3929
    @irankundasaidi3929 2 года назад +1

    Asalamu alaykum warahamatullah wabarakatuh tunashukuru sana kwa mawaidha mazuri

  • @user-mq6lu2po3y
    @user-mq6lu2po3y 2 года назад +3

    In Sha Allah

  • @issahrashid6319
    @issahrashid6319 2 года назад +1

    MaaShaaAllah Allah awape nguvu ktk Uislam

  • @rashidimswagilo8292
    @rashidimswagilo8292 2 года назад +2

    Naomba no ya Ustadh Mazinge

  • @user-mq6lu2po3y
    @user-mq6lu2po3y 2 года назад +2

    Subhanalla

  • @kaiali2872
    @kaiali2872 2 года назад +2

    MASHAALLAH

  • @amirymsabaha5452
    @amirymsabaha5452 2 года назад +3

    Mashallaah

  • @saidommy998
    @saidommy998 2 года назад +2

    Allah akbar

  • @FatmaFatma-xt7ui
    @FatmaFatma-xt7ui 2 года назад +2

    Mashaallah

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 2 года назад +1

    Mazinge muongo sana, kasema huyu ni mkriso, kumbe alikua hana dini, ila siku moja mazinge atakua mkristo kwa jina la Yesu namuombea uhai tu.

  • @jumasaid8721
    @jumasaid8721 2 года назад +2

    Mazinge njoo katavi ,wilaya ya mpanda kata ya katumba

  • @iddy7599
    @iddy7599 Год назад +1

    mzinge asipoend pepon mm herizang namuomba mungu achukue yy?

  • @harunashemsa1459
    @harunashemsa1459 2 года назад +1

    Wallah aibu kwa cc waislam

  • @minkeymohaa6098
    @minkeymohaa6098 Год назад +1

    wambie hao

  • @isayapaskal6496
    @isayapaskal6496 2 года назад +1

    Mimi isaya paskali lohay dini ya kislaam naielewa sana

  • @Laizer3
    @Laizer3 4 месяца назад

    Maasai

  • @andiqueantonio3377
    @andiqueantonio3377 Год назад +1

    Amen

  • @atwowa6380
    @atwowa6380 2 года назад +1

    Amin

  • @lazaromollel2913
    @lazaromollel2913 Год назад +1

    Masinge huyo sio Mmasai huyo ni msomali anazaliwa engaruka ni jirani yangu ni muislam hajawahi kua mchungaji jina lake abd na mdogo wake anaitwa bashiri 🤣🤣🤣🤣🤣ati Mmasai

  • @rehemamgongwe300
    @rehemamgongwe300 2 года назад +1

    Amina

  • @aishaomari944
    @aishaomari944 2 года назад +1

    Subhanallah 😫😫😫😫😫😫😫

  • @mariamali1887
    @mariamali1887 2 года назад +1

    SubuhanAllah 😭😭😭😭

  • @bonifacenyangori9770
    @bonifacenyangori9770 2 года назад +1

    Takbir

  • @osiagpro6402
    @osiagpro6402 2 года назад +1

    Mashaall

  • @boscomaige4882
    @boscomaige4882 Год назад +1

    Koroan inathibitisha kua isa bin mariam atauhukumu ulimwengu afu unamkataa huyo unathan atahukumu vip ww kipofo unae ungoza vipofu muangalie ostaz amri alivyo badilishwa na yesu alikua zaid yako

  • @faustinesamani6359
    @faustinesamani6359 Год назад +1

    Huyo siyo mmasai namfahamu ni msomali njaa kali hana lolote na mzinga wake.

  • @mohamedabdallah9918
    @mohamedabdallah9918 2 года назад +1

    Mashaallah.

  • @kitoiartworks3876
    @kitoiartworks3876 Год назад +1

    Si unaona jinsi mazinge alivyo muongo mwanzo amemuita mchungaji lakini yeye anasema Hana dini, lakini pia analazimisha kuwafuatilia lugha lakini bado inamshinda
    Kweli sehemu ya waongo wote kwenye lile ziwa liwakalo moto na kiberiti, hakuna mmasai anaongea ivi poleni sana na mazinge wenu

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu 2 года назад +1

    subhanallah

  • @pandungozi1072
    @pandungozi1072 2 года назад +1

    Takbiiirr

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak7418 2 года назад +2

    Mtu yeyote akizaliwa uwa ni muislam

  • @hassancharo1496
    @hassancharo1496 2 года назад +1

    Hii ndo dawa walo ifanya MANABIII wA Allah

  • @lawijosephezekieli1078
    @lawijosephezekieli1078 2 года назад +2

    Watu tunaitaji mafundi tumujuwe MUNGU dini bila upendo kz bule

  • @mathayopapiasi8872
    @mathayopapiasi8872 Год назад +1

    Wewe ni muongo 100 miamoja eti rwanda kuna bibilia ya kihutu na ya kitusi

  • @andreanicholaus1696
    @andreanicholaus1696 2 года назад +1

    Masai umepelekwa katika dini ya mtu sio ya Mungu kumbe umekutana na mazinge kaliakoo huyo mazinge nimuongo anapindisha maandiko ya biblia tunamjua anawasilimisha kwauwongo watu wasio soma anawapeleka katika sinagogi la shetani ufunuo tazama nakupa hao wasinagogi lashetani kwahiyo ndugu yangu Masai ludi kanisani mwamini yesu ndie njia yakweri na uzima

    • @fhyubhhh2881
      @fhyubhhh2881 2 года назад

      Pole sana!! kabla haujatukana dini zingine kasome dini yko kwanza ukishaijua hlf utakua na heshima hautajisemea ovyo!!

    • @andreanicholaus1696
      @andreanicholaus1696 2 года назад

      @@fhyubhhh2881 umepagawa ndugu naukafiri ni some dini gani

    • @zubedarichard2311
      @zubedarichard2311 Год назад

      Yesu wenu alitahiriwa Jmn sasa mungu ganii.

  • @emmanuelkipkemoi1985
    @emmanuelkipkemoi1985 2 года назад +3

    Mashekhe wafuge ndefu jamani

    • @donedaddy4561
      @donedaddy4561 2 года назад

      C farafhi mzee ni sunna kwahiyo kaa kwa kutulia Kwan yesu alioa mbona ninyi mwaoana tu ni mafunzo ya nani mwafuata

    • @ahmadbadawi9664
      @ahmadbadawi9664 2 года назад

      @@donedaddy4561 kuna khilafu shekh,wengine wanasema ni lazima kufuga ndevu na ukinyoa ni ktk madhambi makubwa.

  • @kalingasinjore6443
    @kalingasinjore6443 Год назад +1

    Acha ujinga wenu

  • @ahmadbadawi9664
    @ahmadbadawi9664 2 года назад +2

    Halafu Leo anajitokeza MTU mwingine kuiponda kazi ya kinamazinge,piga kazi shekh wengine wamekalia kuponda madh habu ya wenzao tu badala ya kuingiza watu ktk uislamu.

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 года назад +1

      Wanaomponda ni wale wanafiki Tu na chuki binafsi!!

  • @maulidihamisi7349
    @maulidihamisi7349 2 года назад +2

    Naomba namba ya shekh mazinge tafathar

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak7418 2 года назад +2

    Masai unaongea makosa hakuna mtu alie zaliwa nje ya uislam ila uwa mwapotea kisha ndo mnarudi

    • @ahmadbadawi9664
      @ahmadbadawi9664 2 года назад

      Bado yupo darasani shekh,ndo maana ameslimu,ataelewa pole pole

    • @harunashemsa1459
      @harunashemsa1459 2 года назад +1

      Dini haitaki jazba kuna kabila lilisilim wakati wa mtume haliyakua wanavaa ngozi tena nusu uchi mtume hakuwakemea bali walitaftiwa mwalim jitahid muwe na semina za kulingania hekima ni kila kitu katika daa3wa

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 2 года назад +1

    Kaibomoe Vatican.wamasai hawana historia katika Imani za dini.Kiyama atakaerudi ni Yesu.
    Mwili ni WA kidunia.ya Dunia Yana nguvu kuliko ya imani.imani ni kitu Cha kufikirika.acha watu wapende soka.

  • @nathanichemelako7983
    @nathanichemelako7983 2 года назад +1

    Kuleni sadaka za watu lakini hamna lolote si mashehe si wachungaji ninyi mnaacha kukemea watu waache Zambi nyie mmengangania dini dini dini ya haki ni kutenda mema

    • @sudaissaid8428
      @sudaissaid8428 2 года назад

      huelewi kitu wewe tulia..waongea pumba2

  • @zulficarbacarsuale6877
    @zulficarbacarsuale6877 2 года назад +1

    MashaAllah

  • @mosiamri1274
    @mosiamri1274 Год назад +1

    Masha Allah

  • @mariamsudi2209
    @mariamsudi2209 2 года назад +1

    Mashallah

  • @user-mq6lu2po3y
    @user-mq6lu2po3y 2 года назад +1

    Mashallah

  • @amoury1481
    @amoury1481 2 года назад +1

    Mashallah

  • @adammanyendi7577
    @adammanyendi7577 2 года назад +1

    Mashaallah

  • @mbarakaliyonjo6665
    @mbarakaliyonjo6665 2 года назад +1

    Mashallah

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 2 года назад +1

    Mashaallah