walahi shekh dkt hassani salehe balaa mashalaaaah waisilamu Hawa ndio watu wa kuwaomba waje nchini timu iliyo ratibu ujio huu mwezi mungu walipe fathila amin
Miongoni mwa Miujiza ya Qur'an ni huu,yaani vitabu vyote Duniani hua vinachosha Kusoma au kusikiliza kikisomwa, lakini Qur'an ni kinyume chake,yaani hakichoshi kukisoma au kukisikiliza wakati kinaposomwa,hasa kikikutana na msomaji mwenye kukijua na sauti Nzuri.Allah amzidishie Sheikh huyu,ampe kheri za Duniani na Akhera.
Ukiwa wasikia watu km hawa unahisi kama upo na marafiki wa mtume yeye katangungulia Ila marafiki zake wapo waja wema ndio watakuwa marafiki wa mtume mungu tupe mwisho mwema
Kama bdo wamskiliza shekhe wetu naomba like zangu
Uisilam ni mzuri sana.MashaAllah
Daah jamaaa fundi mashallah allah amhifadhi na ampe umri mrefu zaidi
Masha Allah wallah anaesikiliza na kumfatisha sheikh hassan tunapaswa tuseme Allah tupe mwisho mwema sisi na kizazi chetu
inshaallah inshaallah
Amiyn
walahi shekh dkt hassani salehe balaa mashalaaaah waisilamu Hawa ndio watu wa kuwaomba waje nchini timu iliyo ratibu ujio huu mwezi mungu walipe fathila amin
Amina ya rabi
Maashaallah ingekuwa mwanasoka au mwanamuziki ungeona like nyingi lakini swala la dini like kidogo kwa nini
Mashallah allah atawalipa inshallah
Masha Allah being a Muslim is a big reward from Allah (SWT)
MaashaaAllah laaquwwqta illaa billaah.natamani nami niweze alau nusu ya hivo.Allah awalipe khairati inshaaAllah
Bismillah maashallah Allah Ibarik hassan swaleh❤💓
Mashallah Allah akujalie maisha marefu
Mashaallah Mashallah mashaallah tabaraka rahmani Asante shekhe
Mâcha Allah. Que Dieu vous donne une longue vie inchallah
Mashaallah ❤️❤️ mwamba wa quruan allah akuzidishie
Alhamdullillah Alhamdullillah kwa kuzaliwa Muslim maashaallah shekhe Hassan saleh
ماشاء الله يا شيخنا الفاضل
Miongoni mwa Miujiza ya Qur'an ni huu,yaani vitabu vyote Duniani hua vinachosha Kusoma au kusikiliza kikisomwa, lakini Qur'an ni kinyume chake,yaani hakichoshi kukisoma au kukisikiliza wakati kinaposomwa,hasa kikikutana na msomaji mwenye kukijua na sauti Nzuri.Allah amzidishie Sheikh huyu,ampe kheri za Duniani na Akhera.
Subhanalloh yaassalaam......
MashaAllah mashaAllah Allah barik ❤❤❤
Mashaalallh mungu mzidishie shehe huyu
Maa shaa Allah taabaraq watagha'la Allah Akbar.
ما شاء الله تبارك الرحمن على أروع ترتيل سمعته..ربنا يوفقك و يحفظك
Mashaallah mwenyezi mungu ampe kilalenye kheri naye
Mashaallah Mashaallah ☝️❤❤❤
Mashaallah
Masha Allah ❤❤❤
Maa shaallah subhaana llah Allahu Akbar
Mashaalllah wallah shekh anatups raha sana Allah atujaalie njia ilionyooofu
MashAllah 🌺
MashaALLAH
MASHA ALLAH.
MashaAllah ❤❤
Mashaallah inapendeza lakni tuzingatie Sana tawhd katka maisha yetu
Unakusudia Kusema nini?Au unamaanisha hiyo ni Haramu?Au kwa kua sio Mhabi mwenzio ndio maana unataka kuropka? Mawahabi mna chuki sana na waja wema
Mashaallah
الحمدلله على نعمة السلام
Mashallah
جزاك الله الخيرا يا الشيخ
Mashaallah ❣️❣️
Ukiwa wasikia watu km hawa unahisi kama upo na marafiki wa mtume yeye katangungulia Ila marafiki zake wapo waja wema ndio watakuwa marafiki wa mtume mungu tupe mwisho mwema
Aamiiina
Amiin Yarabil'Alamiin 🙏🤲
Ameen
Mashaallah mashaallah mashaallah
MashaAllah
Subhan Allah
Allah salamat rakhay
Surrya abbasi
Karachi pakistan
2-2-22
Mashalla allah akupambe kwa afiya njema
بسم الله ماشاء الله تبارك الله
ما شاء الله هذا ممتاز بلا ريب الله معاك
Mkalimani umekusudia nin😀
@@allyalzakwani8330 bonyeza transalate to Swahili
Na kama haina iwezeshe katika setting
Maa Shaa Allwah BAARAKA LLWAH
Maasha allh Mwenyezi mungu ampe umri mrefu insaha allsh
MashaAllah 🙂
Text??
MashAllah
Mashallah sheikh hassan saleh
ماشاء الله تبارك الله. اللهم زده. علما.
Maash-Allah
Ma Shaa Allah
Mashaa Allah
Shukran sana kututembelea watanzania
Mashaa allah
Maa shaa Allah
Yupo vzr mbn kwa ibadu rahman
Mashaa Allah tabaraq....yaani raaah jamani
Mashallah jazakallah kheir
Mashaa Allah doooh raha sanaaa
Wallahi rahaaaa
الله اكبر الله اكبر الله اكبر الله اكبر انشاءالله 🤲🤲🤲🤲🤲🇲🇦
Mashallah Baraka Allah fiik
ماشاءالله
May Allah taala grant you long life and except you Amiin.
Machallah
Ма Ша Аллах
Mashaallah allaaaah allahu akbar
Masha allah
Masha allah allah akubarik
Maashaallah
Maashaallah tabarakallah
بارك الله فيكم وايانا
Mashaa Aaallh
Mashallah
Masha Allah allahu Akbar
الهم صلي على سيدنا محمد وعلى واصحبه اجمعين الهم بارك الله فيك 🤲🤲🤲🙋♀️🇲🇦🇲🇦
Masha Allah
Mashaallah Allah atuongeze ktk din yake
Maasha Allah
Maashallah
MAshaallh
Maashaa allah
Ma sha Allah
Man shaa Allah
Ма ша Алла алхамдулиллахи роббил аламин Аллаху Акбар
Masa Allah
Mashaallah 🙏🙏
Mashallah mpaka machoz yananilengalenga
Mtu wa Imani
Maashaa allaaah
Mashawaaaaaa
Mpk nahisi kulia jamaniiiiiiiiiiii😭😭😭😭😭
SubhanAllah ❤️❤️❤️❤️😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭❤️❤️❤️❤️
MA SHAA ALLAH
Hatar najiona nalia tuu sijui sabab
Kwa ajili ya Imani yako
NA WAPEMBA TUNAMUHITAJI HUYU MTU AJE
mashallah
Inaniuma sikujua kama amekuja dar 😭😭 Ningetamani nikamuone
Nikweli kabisa
Umoja: Nasheed
Uwingi: Anasheed
Yule kijana aliyeshika no moja apewe jina la Hassan Swaleh
Very good se you 😢😂 love you 6:22 6:53
Uislamu mtaam san
KWA HAKIKA HUYU MWAMBA NI FUNDI