Mnyika ‘atiririka’ mbele ya Rais Magufuli

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 дек 2018
  • Mnyika ‘atiririka’ mbele ya Rais Magufuli. “Naamini Watanzania wamekuombea usiwe na kiburi, Wananchi wana malalamiko juu ya Bomoabomoa nakuomba kwa kutanguliza utu, Mwl. Nyerere alisema maendeleo ni ya vitu lakini maendeleo zaidi ni ya watu tafakari kuwalipia fidia Wananchi waliopisha ujenzi huu" - John Mnyika

Комментарии • 26

  • @engemanuelemanuel785
    @engemanuelemanuel785 5 лет назад +1

    Very smart Mbunge yaaani wewe ungekuwa CCM, NAAMINI unaweza kuwa WAZIRI wa TAMISEMI

  • @floriankedmon2963
    @floriankedmon2963 5 лет назад +3

    Mnyika unetixha na....👏👏👏👏

  • @emmanuelgabagendi4515
    @emmanuelgabagendi4515 5 лет назад +6

    Umesema kweli kamanda

  • @ebenezerfreight3309
    @ebenezerfreight3309 5 лет назад +2

    Well said Mnyika

  • @fredreckmwakalinga3475
    @fredreckmwakalinga3475 5 лет назад +2

    Cdm iko vizuri wakipewa nchi itasimama vizuri

  • @keyakeya8911
    @keyakeya8911 5 лет назад +1

    Hapa kazi na Bata hakuna kusema uongo msema kweli mpenzi WA mungu hongera mnyika wewe ni jembe

  • @ramadhanseif4564
    @ramadhanseif4564 5 лет назад +1

    John mnyika mwanasiasa bora wa mwaka 2018, kaongea point 1000%

    • @salumkanju1732
      @salumkanju1732 5 лет назад +1

      Ramadhan Seif amenifrahisha sana nina njaa lakin nimehisi kushiba, msomi hakurupuki unaeza ujute kumpa nafasi kama ile mmh

  • @leonardmponzi49
    @leonardmponzi49 5 лет назад +1

    vizur Sana

  • @jimjam4162
    @jimjam4162 5 лет назад +2

    Kweli japo mchungu

  • @matatizovedastus4445
    @matatizovedastus4445 5 лет назад +1

    mwenye hekima na busara keep them mda wke bdo

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel 5 лет назад

    salute, kati ya wazalendo naisi wewe ni Mmoja wao
    Je.Mh Mnyika leo Mh.Rais akitaka kukuteu kuwa waziri Fulani mf. wa mambo ya ndani au Upande wa Tamisemi uko tayari kupokea Eshima hio?

  • @sindamkali6652
    @sindamkali6652 5 лет назад +2

    nime kukubal sana uoga mwiko

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 4 года назад +1

    maneno yako haya Mnyika yameandikwa kwa matone ya dhahabu!!!!

  • @charlzlyimo1982
    @charlzlyimo1982 5 лет назад +1

    huyo ndugu huwa hapendi kuambiwa ukweli

  • @kaidrisa2711
    @kaidrisa2711 5 лет назад +2

    Saf umenena

  • @ramadhanibrahim7619
    @ramadhanibrahim7619 5 лет назад

    Point

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 года назад

    Yani hapa ndipo nme ona umuhimu wa upinzani tuna pata mawazo tofauti ya kuchangamsha

  • @mikajoseph9716
    @mikajoseph9716 5 лет назад +3

    Umesema ukweli mtupu siosiri Hali ya maisha imekuwa tete sana

  • @amribihume8786
    @amribihume8786 5 лет назад

    Kweli kamanda ujumbe murua huo

  • @luluamri370
    @luluamri370 5 лет назад

    Wee utapandisha mshahara

  • @mrishomzelela4627
    @mrishomzelela4627 5 лет назад

    gooooood

    • @eutropiaminja5342
      @eutropiaminja5342 5 лет назад

      Hongera sana John Mnyika. Ningekuwa kwenye Jimbo lako ningekupigia Kura yangu!!! Mnyika Hoyeeeeee!!!

    • @eutropiaminja5342
      @eutropiaminja5342 5 лет назад

      Mnyika ni Jembe!!