Mnyika ‘atiririka’ mbele ya Rais Magufuli
HTML-код
- Опубликовано: 18 дек 2018
- Mnyika ‘atiririka’ mbele ya Rais Magufuli. “Naamini Watanzania wamekuombea usiwe na kiburi, Wananchi wana malalamiko juu ya Bomoabomoa nakuomba kwa kutanguliza utu, Mwl. Nyerere alisema maendeleo ni ya vitu lakini maendeleo zaidi ni ya watu tafakari kuwalipia fidia Wananchi waliopisha ujenzi huu" - John Mnyika
Very smart Mbunge yaaani wewe ungekuwa CCM, NAAMINI unaweza kuwa WAZIRI wa TAMISEMI
Mnyika unetixha na....👏👏👏👏
Umesema kweli kamanda
Well said Mnyika
Cdm iko vizuri wakipewa nchi itasimama vizuri
Mmhh!!!🙆♂️🙆♂️
Hapa kazi na Bata hakuna kusema uongo msema kweli mpenzi WA mungu hongera mnyika wewe ni jembe
John mnyika mwanasiasa bora wa mwaka 2018, kaongea point 1000%
Ramadhan Seif amenifrahisha sana nina njaa lakin nimehisi kushiba, msomi hakurupuki unaeza ujute kumpa nafasi kama ile mmh
vizur Sana
Kweli japo mchungu
mwenye hekima na busara keep them mda wke bdo
salute, kati ya wazalendo naisi wewe ni Mmoja wao
Je.Mh Mnyika leo Mh.Rais akitaka kukuteu kuwa waziri Fulani mf. wa mambo ya ndani au Upande wa Tamisemi uko tayari kupokea Eshima hio?
nime kukubal sana uoga mwiko
maneno yako haya Mnyika yameandikwa kwa matone ya dhahabu!!!!
huyo ndugu huwa hapendi kuambiwa ukweli
Saf umenena
Point
Yani hapa ndipo nme ona umuhimu wa upinzani tuna pata mawazo tofauti ya kuchangamsha
Umesema ukweli mtupu siosiri Hali ya maisha imekuwa tete sana
Kweli kamanda ujumbe murua huo
Wee utapandisha mshahara
gooooood
Hongera sana John Mnyika. Ningekuwa kwenye Jimbo lako ningekupigia Kura yangu!!! Mnyika Hoyeeeeee!!!
Mnyika ni Jembe!!