MAPENZI YA BONGO PART 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • iptasam ka iba mwanaume wa mwenzake......

Комментарии • 724

  • @MonalisaKwimba
    @MonalisaKwimba 7 месяцев назад +334

    Tunaompenda cheupe tulike hapa 😂❤

  • @RaymondLucas-k3r
    @RaymondLucas-k3r 7 месяцев назад +94

    huyo kaka atajuta akimuacha hyo dada mweupe coz mweus hana mapenz ya dhat she looks like khb

    • @emmanuelcuthbert2666
      @emmanuelcuthbert2666 5 месяцев назад +2

      Mweusi ni Malaya NDIO

    • @RasuliSamiji-cn3tf
      @RasuliSamiji-cn3tf 5 месяцев назад +1

      Amini kwamba ka lamaya ivi si anaonekana tuh

    • @ouweydalton7732
      @ouweydalton7732 5 месяцев назад +1

      tatizo wife material hatuwapigi kama michepuko asee

    • @miriamcastor5713
      @miriamcastor5713 4 месяца назад +1

      Sana anazingua huyu jamaa

    • @فاطمهال-ص7ت
      @فاطمهال-ص7ت 3 месяца назад

      Kabisa kwanza amesema hana mpenzi mmoja 😢 utaletwa maradhi dada achana nahuyo mwanaume ww mzuri mbona

  • @NaomiPallangyo-g8x
    @NaomiPallangyo-g8x 4 месяца назад +31

    jmn mdada mweupe ni mxtaarabu ,mtulivu ,mrembo lastly anaongea kistaarabu na mme wake jmn me nimependaaa💓💓

  • @lovenessmagige6517
    @lovenessmagige6517 7 месяцев назад +112

    Nimependa huyo mdada mweupe anajitambua,,mtulivu❤

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 7 месяцев назад +108

    Huyu dada mweupe mpole na ni wife material huyu mwingine ni changudoa la mjini tu

    • @RozanaRobert-n3b
      @RozanaRobert-n3b 7 месяцев назад

      Uhakika 🥱

    • @arafajuma4128
      @arafajuma4128 7 месяцев назад +4

      Tena anaonekana nimgomv na hana mapenz uyu malkia mweusi 😢

    • @miriamjagadi7303
      @miriamjagadi7303 7 месяцев назад +4

      Yaaani acha tu linajifanya alaf libaya

    • @omegadamian529
      @omegadamian529 7 месяцев назад

      Amin kwamba

    • @careenkiondo
      @careenkiondo 7 месяцев назад

      Kabisa yaan she is totally a wife material

  • @AmanAbel-y4q
    @AmanAbel-y4q 7 месяцев назад +55

    Ila dada mweupe ni mzuri na nimpole

  • @RenaldaMsuya-s1f
    @RenaldaMsuya-s1f 7 месяцев назад +83

    Uyu dada mweupe ana hekima sana… na anaonekana very smart na ana mapenzi ya kweli kabsa❤

    • @Tamtam-wd1dy
      @Tamtam-wd1dy 5 месяцев назад +3

      Sema kapata wrong person anampa kila kitu mwanaume ona alivotendwa. Mwanaume hahudumiwi... Ila atajifunza bora akae atapata real man wa ku show true love na respect. Aachane nae jamaa kamdhalilisha sana

    • @HasnaSawaid
      @HasnaSawaid Месяц назад

      Mweusi nimapepe sana

  • @camillamdeda6870
    @camillamdeda6870 7 месяцев назад +38

    Ww dada mweupe huyo kaka hakupendi my dear achana nae tu mana anakupotezea muda!.🙌

    • @LoveAron
      @LoveAron 7 месяцев назад

      Yaani siyo mwaminifu kabisa huyo kaka kashikika kwa danga inaonyesha cheusi Mabwana km woteee 😂

  • @showibuchumi
    @showibuchumi 5 месяцев назад +20

    Jman wanao amin uyo boy ampend mdada mweupe tujuane😅

  • @officialijang
    @officialijang 7 месяцев назад +57

    Nikipata mdada kama huyu mweupe ntamficha mbali sana wasimuone kabisa ❤❤😢😢😢

  • @AngelNelson-y4t
    @AngelNelson-y4t 7 месяцев назад +32

    Huyu dada mweusi linavyojishaua Sasa bayaaa pole dada mweupe we mzuriii utapata wako Tu na utainjoy

  • @happycarloss6726
    @happycarloss6726 4 месяца назад +14

    UTI haiwezi kuisha

  • @ShadyaTwaha
    @ShadyaTwaha 7 месяцев назад +14

    Ww mweusii rohoo mbayaa kama chunguu Cha vitumbuaa

  • @brianosiemo86x4
    @brianosiemo86x4 7 месяцев назад +5

    Daaah anybody kisss my comment 😢😢😢pendo to be a wife material 🥰🥰🥰

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 7 месяцев назад +10

    We cheusi mwenzio akinyolewa tia maji nywele zako

  • @JacklineJosia-qs5hb
    @JacklineJosia-qs5hb 7 месяцев назад +11

    Mdada mweupe n wife material ♥️😅 ila mapenz dah 😅😅😅

  • @NajmaSaid-w6s
    @NajmaSaid-w6s 7 месяцев назад +15

    Next plz pole dada cheupe mungu akujalie akija akuchague wewe ilo jitu jeusi litayari

  • @AirinSumeno
    @AirinSumeno 7 месяцев назад +20

    😂😂😂 naomba huyu cheusi avue miwani tumthaminishe kwanza

    • @mwinjemwinje1016
      @mwinjemwinje1016 6 месяцев назад

      Na wigi

    • @Munayya-g2p
      @Munayya-g2p 2 месяца назад

      😂😂😂😂😂🎉​@@mwinjemwinje1016

    • @Munayya-g2p
      @Munayya-g2p 2 месяца назад

      Ila watu 🙌😂😂😂😂😂

  • @Ashleyomary
    @Ashleyomary 7 месяцев назад +13

    Daaah😭 wanaumee nyinyi tuna date na nyinyi bt mnatumiza sana aisee ila uyo dada black ampendi uyo boy anaonekana ana mmb mengi sana yaani daah wanaume aya niiteni ikija iyo part 2😢

    • @AggyMkumbo
      @AggyMkumbo 7 месяцев назад +2

      Ana mambo mengi,,,hana hata chembe ya huruma,,,tizama hata kucha zake anaonekana kasagaji hako kadada sio bure😢

  • @AsmahKipira
    @AsmahKipira 7 месяцев назад +11

    Pendo naomba focus na maisha yako

  • @lucyannastacia6385
    @lucyannastacia6385 5 месяцев назад +8

    Aki kiswahili is such a romantic language.ila mdada mweupe namkubali sana

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow 7 месяцев назад +12

    Yan hili dada jeusi mmh han ubinadam kabisaa

    • @fabykim7771
      @fabykim7771 7 месяцев назад

      Limekaa kikahaba hat roho y huruma halina

    • @esterpaul3146
      @esterpaul3146 7 месяцев назад

      Mdangaj uyo

  • @Kipepeocheusi
    @Kipepeocheusi 4 месяца назад +7

    Nyieeeeee🤣🤣🤣🙌🙌
    Naachana na mapenz

    • @rayvanny2976
      @rayvanny2976 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂🙈🙈🙈

    • @fatmampunga4497
      @fatmampunga4497 2 месяца назад

      The same to me 🙌🏻🙌🏻🙌🏻Sitaki tena

  • @Fahema1013Alsenaid
    @Fahema1013Alsenaid 7 месяцев назад +4

    R I P mapenz🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️

  • @carolinemunishi1286
    @carolinemunishi1286 4 месяца назад +4

    Jaman huyu dada mweupe Mungu akuheshimishe mumy hakika Una busara na heshima sana Mwenzio yupo kazini uwiii

  • @coleinvee3181
    @coleinvee3181 7 месяцев назад +1

    pendo pole but what i can advice on you just move on huyo kaka hakufai ,na learn kuacha kuhudumia mwanaume huo ni wajibu wake sio wako.

  • @khadidjaabdi-hd8py
    @khadidjaabdi-hd8py 7 месяцев назад +24

    Looh imeniumaa mpaka nimejikuta 😢😢wallah huyu cheus analoho mbaya

  • @sesjohn8054
    @sesjohn8054 3 месяца назад +2

    Huyu unchu apana😂😂😂

  • @ConsolataMedard
    @ConsolataMedard 7 месяцев назад +3

    Apo hakuna wakumsifia wote wanazini tu hakuna alieolewa hapo japo kuwa huyo Mweusi kisirani lakin kiiman zetu Wote niwazinifu

  • @NeemahChristopher-pq3kc
    @NeemahChristopher-pq3kc 7 месяцев назад +3

    Honchu atajuta kumpoteza huyu pendo 😢😢

  • @ramlanaisula1677
    @ramlanaisula1677 4 месяца назад +3

    Wooishe...❤..we ni karembo sana...you will get a man who love you Mammah..HUGs kipenzi...

  • @gracelevis3257
    @gracelevis3257 5 месяцев назад +4

    ukimwi, UTI sugu , gono zitauwa watu cycle ni kubwa sanaaa 😢

  • @VictoriaMahali-ik8id
    @VictoriaMahali-ik8id 7 месяцев назад +3

    Yani ingekua mm kibuti huyo mwaname wala haina haja ya kuja kuchagua hapo hawajaoana

  • @ShirleeCassady-v3b
    @ShirleeCassady-v3b 13 дней назад

    Gonzalez Dorothy Young Richard Williams Elizabeth

  • @MajdaSaleh-e4z
    @MajdaSaleh-e4z 7 месяцев назад +3

    Ila uyu iptsam anavyo react hapo kua ndo kafiika kumbe na yy inaweza mkuta zaidi ya uyo dada…. Ila uyo dada nyie 😢

  • @BigDrones
    @BigDrones 7 месяцев назад +8

    Ilo limevaa miwani kama masaani ya Bar

    • @RishAmiri
      @RishAmiri 6 месяцев назад

      😂😂😂

  • @AngelMbaga
    @AngelMbaga 2 месяца назад +2

    My dear achana na huyo mwanaume, Mungu amekuonesha mapema. Utapata wako kipenzi❤, amazing man. Huyo anaweza sema nimeachana naye kumbe wanaendelea. Mpka kaka wa watu anaona huruma yeye 😮. Mnaona vile wanaume wakiingia kwenye ndoa wanatoka nje, wengi wao wanakuwa ni ex wao wa zamani. Focus my dear, live your life.... atakurudisha nyuma kimaendeleo

  • @AsiaNangapome-l1k
    @AsiaNangapome-l1k 7 месяцев назад +2

    Och kokote uliko mwanamke wa kuowa ni pendo uyo ipt Ana mambo mengi

  • @RACHELFESTO-pt6fv
    @RACHELFESTO-pt6fv 7 месяцев назад +6

    Mwanamke wakwanza mweusi mwenyeroho mbaya Africa 🌍 apatikana hyu hapa jaman

  • @StellaBalongo
    @StellaBalongo 7 месяцев назад +3

    Kumbe sisi wa muda mrefu tunakazi yani uyo mweusi hata ajionei huruma ajui watu yanawarudia

  • @zainabusabas7421
    @zainabusabas7421 6 месяцев назад +4

    Maokoto huyu kaka anafata kwa huyu dada dada mweupe nakushaury huyo sio mwanaume achananae asikupotezee mda alafu maswala yakuhudumia mwanaume my dear utaumia sana

  • @SmithJacob-f2r
    @SmithJacob-f2r 7 месяцев назад +1

    Kumbe hata mtu kupigwa uchizi

  • @MariaHamis-cl3nu
    @MariaHamis-cl3nu 7 месяцев назад +10

    Pendo achana tyu na huyo mwanaume

  • @JoyceMkhomoi
    @JoyceMkhomoi 5 месяцев назад

    Mweupe kachokwa mweus penz bado jipya ataachwa na mwanaume atarud kwa mwanzo

  • @RoseKaiza-g2j
    @RoseKaiza-g2j 4 месяца назад +1

    Wanaume wengi ndivyo walivyo hivyo bas wanawake inabidi inabidi tusipende kama mababu zetu huko nyuma tuwe na kiasi tukiendekeza mapenz kufika miaka 15 mbele wanawake wengi watakua na magonjwa sugu kama kisukar, presha, moyo kutanuka, moyo kuvimba,nk, tuwe bize kutafuta hela tule vizur tulale pazur watoto wetu wasome vizur na sio kumbeba mtoto wa mwenzio kifuani

  • @fatmaali6780
    @fatmaali6780 7 месяцев назад +4

    Jamnii this white lady she's very intelligent part 2 pliz

  • @RosemaryShio
    @RosemaryShio 7 месяцев назад +7

    Huyo mwanamke shangingi

  • @gichekgroup6574
    @gichekgroup6574 2 месяца назад +1

    Black mamba huwa wanajiamini sana

  • @edisonbenard226
    @edisonbenard226 4 месяца назад +4

    Wanaume sisi washenzi sana cjui tuna mapepo gani eeem mungu nisaidie mimi na kizazi changu inasikitisha sana

  • @daydaypapaa7709
    @daydaypapaa7709 7 месяцев назад +6

    😢😢staki mapenzi jamani k yangu nauhakika haiozi. Nimelia sana huyo dada mweupe anamapenzi yadhati kabisaa

  • @orekumtukunyi8888
    @orekumtukunyi8888 4 месяца назад +2

    Cheupe ww ni mwanamke haswaa popote ulipo ❤

  • @StellaEmmanuel-wc3bt
    @StellaEmmanuel-wc3bt 3 месяца назад +1

    Miendelezo

  • @HoratioTina-l9q
    @HoratioTina-l9q 8 дней назад

    Perez Thomas Lewis James Hall Edward

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 20 дней назад

    Huyu mwanaume alitaka kujaribu black & white 😂😂😂

  • @LucyTaylor-n4m
    @LucyTaylor-n4m 28 дней назад

    Allen Lisa Williams Dorothy Walker Patricia

  • @rynekiswaga4597
    @rynekiswaga4597 7 месяцев назад +3

    Tukutane tena lini Mr Uky, si saivi jaman?!

  • @abdallaabdulrahman8319
    @abdallaabdulrahman8319 2 месяца назад

    Pretty black woman you speak with courage,I like you

  • @SaherAli-t3s
    @SaherAli-t3s 25 дней назад

    Robinson Brenda Lewis Brenda Jones Sarah

  • @JacklineNamahala-r4y
    @JacklineNamahala-r4y 7 месяцев назад +3

    Huyu pendo anatia huruma huyu mweusi anavyojifanya hvy ananiuzi 😏😂

  • @VernonSims-z5n
    @VernonSims-z5n 9 дней назад

    Moore Anna Harris Thomas Anderson Susan

  • @HamiduMlula
    @HamiduMlula 2 месяца назад +1

    😂😂😂 aiseee dad pendooo why.....

  • @mwangoka
    @mwangoka 28 дней назад

    afu huyu black beauty kama ndio yule videoqueen kwenye wimbo wa Ibrah wa "hapa" amevaa kigauni cha blue😁 namuonea huruma mdada mweupe🥹

  • @NeylishCornel
    @NeylishCornel 7 месяцев назад +3

    Huyo dada mweusi litamkuta jambo kanikwaza sanaa anavyomjibu mwenzie

  • @puresportstv9893
    @puresportstv9893 7 дней назад

    Nimeona sura mbili hapo kwa hao wadada shatani na malaika nadhani sura ya shetani inaeleweka

  • @halidhemed7524
    @halidhemed7524 4 месяца назад

    Hyo Jamaa n mbwa kbsa!!.... Anaachaj mwanamke mzuri anaenda kubeba mtu mweusi?

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 5 месяцев назад +2

    Duuu atar wanaume kiboko nyie mnatuletea magonjwaaaaa

  • @happinessabel9071
    @happinessabel9071 2 месяца назад

    Huyu mwingine yupo kibiashara!

  • @mustaphahilary4947
    @mustaphahilary4947 2 месяца назад

    𝑯𝒖𝒚𝒐 𝒌𝒖𝒏𝒈𝒖𝒓𝒖 𝒂𝒏𝒂𝒗𝒚𝒐 𝒋𝒊𝒔𝒉𝒂𝒖𝒘𝒂😂😂😂

  • @MarthaDanieljohn
    @MarthaDanieljohn 15 дней назад

    Uchu anaenda kucheat kudadadekiii msenge mkundu wake

  • @chiiindwat-bg4op
    @chiiindwat-bg4op 7 месяцев назад +2

    bora nyie miaka 2 mm mi5 na yaliyonikuta mhhmm Mr. Uky nna jambo tuongee

  • @AgathaPhilips-w4j
    @AgathaPhilips-w4j Месяц назад

    Mbona part two siioni

  • @FridaLauwa
    @FridaLauwa 4 месяца назад +1

    Nmependa confidence ya huyo black🎉🎉

  • @beatricemduma
    @beatricemduma 7 месяцев назад +1

    How can u trust and call a man your man if ni mwanaume uliyemuiba kwa mtu😂

  • @mohamedally121
    @mohamedally121 2 месяца назад

    Hakuna mwenye makosa hapo, hakuna alioolewa,so acha wachezewe tuu

  • @HappynessJose
    @HappynessJose 3 месяца назад +1

    Huyo dada mweupe anamapenz ya kwel anahekima sana mungu akupe mme mwenye kuliheshimisha mama angu

  • @HamidaUlanga
    @HamidaUlanga 7 месяцев назад +3

    😢😢 wanaume syo kabc waongo san pole kipenz utapata wako lshallah

  • @MarthaDanieljohn
    @MarthaDanieljohn 16 дней назад

    Sasa wote kawaruhusu waje utakuwaje?????

  • @hamisaabdulhamid529
    @hamisaabdulhamid529 4 месяца назад

    Pendo hii challenge yapili yakwanza alisema yupo single ampigie x wake Leo anawaje mmh

  • @hamisaabdulhamid529
    @hamisaabdulhamid529 4 месяца назад

    Pendo hii challenge yapili yakwanza alisema yupo single ampigie x wake Leo anawaje mmh

  • @neemamgesi3752
    @neemamgesi3752 13 дней назад

    Hivi wadada unaanzaje kuita mtu mume wangu bila ndoa yoyote,mimi naona ukakasi balaa

  • @NaomiKibona-v1x
    @NaomiKibona-v1x 6 месяцев назад +2

    Da imeniuma utazan ndio mm nimetendwa

  • @JanethNathan
    @JanethNathan 5 месяцев назад +1

    jina hunchu ukilisikia popote mumkumbuke dada mweupe jamn anatia huruma sana😭

  • @properwelding7948
    @properwelding7948 4 месяца назад +1

    Hapo ndio mtajua kuwa maraya mtam unaona ilo malaya kulia limenogewa na michezo michafu ya uyo jini 😂😂

  • @JoyceMwita-e3w
    @JoyceMwita-e3w Месяц назад

    Pendo mwenyewe mpole hadi anatia huruma

  • @REHEMATINDWA-l9l
    @REHEMATINDWA-l9l 6 месяцев назад +3

    Yaan huyo nyeusi sijuih kanajionaje

  • @abdallaabdulrahman8319
    @abdallaabdulrahman8319 2 месяца назад

    Ule wakati ulioandikwa kweny Biblia sasa umefika

  • @SelineChandja
    @SelineChandja 3 месяца назад

    Uyo dada mweupe ni mtu kwel😢 mweusi ni kichaa😂

  • @ashabady9616
    @ashabady9616 7 месяцев назад +2

    Wanaume jmni 😢😢😢😢we dadangu nakuomba move on 2 maana atakuja kukupa maumivu makubwa zaid ya haya 😢😢😢hali huyo dem mweusi hana huruma hta chembe mungu wngu 😢😢😢

  • @Tyughcdrbdt
    @Tyughcdrbdt 7 месяцев назад +14

    Wanaume nyoko sanaaaa mamaee,

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Месяц назад

    Mimi siwezi mhudumia mwanaume matokeo yake ndo haya anahudumia na yeye avahudumia mwanamke mwingine

  • @PriscaMgata
    @PriscaMgata 10 дней назад

    Magonjwa hayawezi kuishi

  • @johaali9959
    @johaali9959 2 месяца назад

    𝑖𝑙𝑎 ℎ𝑢𝑦 𝑚𝑤𝑒𝑢𝑠 𝑎𝑛𝑎𝑗𝑖𝑠ℎ𝑎𝑢𝑤𝑎

  • @HappynessStephano
    @HappynessStephano 7 месяцев назад

    Huyu cheupe kama anae akili bora ajitoe mwenyewe kuliko kusubiri maujinga ya huyo mjinga wao

  • @Catienanah
    @Catienanah Месяц назад

    Ila hyo fala anajiamini sanaaaa vina muda basiiiiiiiiiii 😂😂😂

  • @MwajumaYusuph-x4p
    @MwajumaYusuph-x4p 2 месяца назад

    Uyo dada mweusi anajishaua afu uyo mdada anajikubali anajikuta anapendwa kumbe wapi wanaume awapo ivo mwisho wa siku atamchezea afu ataludi kwa mpenzi wake wa mda mlefu

  • @HamisaSeif
    @HamisaSeif 7 месяцев назад +1

    Kinachotokea hapo huyo mweusi ni penzi jipyaa huyo mweupe ndio anapendwaa na mwanaume coz mvumiliee ila tu kinachotokea huyo mweusi Bado ajachokwa ni miezi mitatu tu 😂😂

  • @Catienanah
    @Catienanah Месяц назад

    Wanaum nyokooooooooooooooo😂

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 2 месяца назад

    Mwambie atowe hiyomiwani dokta wamikojo

  • @ruqaiyahEidy
    @ruqaiyahEidy 7 месяцев назад

    Huyu dada black ni nyoka jmn . Huyo bro akimuacha huyo dada white wallah atajakujuta

  • @lightmsuyya1714
    @lightmsuyya1714 7 месяцев назад

    Ili lingine lichangudoa malaya mkubwa