MTAJE MPENZI WAKO | MBONA HUJAJA KWENYE GRADUATION YAKE???

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 28

  • @HidayaTwitunge
    @HidayaTwitunge 4 дня назад

    Anajiaminii mashaaallah 🎉🎉

  • @cassianusbarongo606
    @cassianusbarongo606 5 месяцев назад +4

    Jamn kupendwa raha alooooh 🎉🎉 pongeziii kwaooo

  • @ErnestMalima
    @ErnestMalima День назад

    Hata ingekua mimi ningetulia sehemu 1 kwakweli🤔

  • @abushirikhalfan5068
    @abushirikhalfan5068 5 месяцев назад +5

    Jamaa anatulia pazuri aiseeee 😂😂😂😂😂

  • @deonatusdaud4640
    @deonatusdaud4640 5 месяцев назад +1

    Hata hana maringo..wakina ssi tukiojiwa ssa mashauzi mengi...hongera ss

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 5 месяцев назад +3

    Love is beautiful thing 💖

  • @victoriapaul1364
    @victoriapaul1364 2 месяца назад +1

    Kazur Jaman karembo

  • @jacktons8614
    @jacktons8614 5 месяцев назад +2

    Ila @kiredio 😂, Eti kwanza mmenikasirisha😂 jamaa anapenda sana watu waachane huyu...😅

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 5 месяцев назад +4

    MashaAllah bibie anajianini hakuwa hata na pressure mwenyewe ❤😊...sio kina sisi huku mpaka tunaogopa hizo challenge wanaweza wakatajwa watatu na usiwepo hate kwenye top5😂😂😂😂😂

  • @Fabere_can
    @Fabere_can 5 месяцев назад +4

    Mbna kakitambaa kanapulizia simu 😀

  • @leonardkambona3608
    @leonardkambona3608 5 месяцев назад +1

    kazi kinoma

  • @DeusMsumule
    @DeusMsumule Месяц назад +1

    Huyu mwanamke jamaa kapata

  • @musamahamdu3790
    @musamahamdu3790 5 месяцев назад +1

    Atr sana

  • @Grtudajunior-cw5zp
    @Grtudajunior-cw5zp 5 месяцев назад +1

    Good girl

  • @stevenjoshua5866
    @stevenjoshua5866 4 месяца назад +1

    Huyu ni choko kabsa anajifanya et hacheart

  • @naomysalim5012
    @naomysalim5012 5 месяцев назад +1

    Umeumbuka leo😂😂😂😂😂

  • @fellybrowntz177
    @fellybrowntz177 5 месяцев назад +6

    Mdada mzuri kinoma hata mm ningemtaja florah kwakweli😅😅

  • @nicksonnewton1540
    @nicksonnewton1540 5 месяцев назад +3

    oya pis kali kinomo

  • @rajah9328
    @rajah9328 5 месяцев назад +2

    Mtoto chocolate 🍫 mtoto rangi imetulia kwenye ngozi wala haitaji vipodozi ....mtoto ata kizani hauna haja ya mshumaaa

  • @razzaqyabdillah4727
    @razzaqyabdillah4727 5 месяцев назад +1

    Unabalaa ww kiredio

  • @noelsimon3320
    @noelsimon3320 5 месяцев назад +1

    Apo ata mm ningetulia

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs Месяц назад

    😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉