SELE EP 13 MKOJANI | RINGO | CHANDIM/VIOLA MTETEZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 апр 2024
  • #sele #mkojani #comedy
  • ПриколыПриколы

Комментарии • 112

  • @user-ml1qe2ct2t
    @user-ml1qe2ct2t 23 дня назад +16

    Kama ww timu mkojani naomba like yko

  • @user-xl6dd5gb8j
    @user-xl6dd5gb8j 21 день назад +3

    Mkojani safari hiyi ulitupa chumaaa kizito yani SELE Wa Mkojani kamushinda SELE wa Mbosso.

  • @Mchomejr
    @Mchomejr 23 дня назад +9

    Mkojani uko juu bos 😂

  • @user-kl3bl9px3z
    @user-kl3bl9px3z 21 день назад +2

    Sele kichwa kimoja ndo kinakupelekesha😂

  • @EmmanuelKunzugala
    @EmmanuelKunzugala 22 дня назад +4

    viola jaman atanitoa roho....mtoto mzuri huyuuuuuuuuu na anajua kucheza na character yake🔥🔥🔥🔥🔥

  • @winielema-lf9kz
    @winielema-lf9kz 23 дня назад +8

    🎉 Tuendelee

  • @dullasultan5263
    @dullasultan5263 22 дня назад +3

    Naona kama mkojani akiwa ni mzee mkorofi anapendeza zaidi kuliko akiwa na busara😂🤣

    • @dianamsuya8285
      @dianamsuya8285 20 дней назад

      Kabsa niliwaza hvyo pia

    • @rademm8924
      @rademm8924 19 дней назад

      ​@@dianamsuya8285kamugisha jee🎉

  • @juliuscoachesbazuu9050
    @juliuscoachesbazuu9050 23 дня назад +8

    Naombeni😂

  • @King_damizo
    @King_damizo 22 дня назад +2

    Sele kafanya na mm nianze kutamani kuigiza 😂😂😂

  • @user-qp4sm2ko1y
    @user-qp4sm2ko1y 22 дня назад +1

    Mambo yanaanza kunoga jmn alooh❤❤ em toen maon jmn wanafamilia wa nkojani❤

  • @magariabdallah8066
    @magariabdallah8066 22 дня назад +1

    😅😅😅😅😅😅😅MWANETU BARUTI ANAVUTA BANGE KWENYE BUSTANI YA MKOJANI 😅😅😅😅

  • @ramseymjomba9597
    @ramseymjomba9597 22 дня назад +1

    Hyo dem wa sele aliye muacha n pisi kali❤❤❤😊

  • @katabaroonlinetv9688
    @katabaroonlinetv9688 22 дня назад +1

    Mwenyekiti 😂😂😂 unachukua asilimia zako kumi huyo muache akahangaike na dunia😂😂😂

  • @edsonfredrick7994
    @edsonfredrick7994 22 дня назад +2

    ET KINA BARUTI MDOMO UNA FLAME YA BANGI😅😅

  • @kukuzambawazambanga
    @kukuzambawazambanga 22 дня назад +1

    Sele apewe kichapo Cha umbwa hiyo ndiyo dawa yake 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-wy7zl2vr6k
    @user-wy7zl2vr6k 22 дня назад +1

    Mhhhhhh, stor zingine zauongo jaman😂😂😂😂mkojani

  • @PaulBokida
    @PaulBokida 21 день назад +1

    Ujue humu kwenye comments bhana yan kila mtu oooh me wakwanza kila mtu wa kwanza... Kwan hata ukiwa wa mwisho ndo hautapata like mnazong'ang'ania??? Msiwe kama sele bhana

  • @abouclasic8939
    @abouclasic8939 23 дня назад +3

    Mnatisha sana Mkojani Gang

  • @kajairolancaster7028
    @kajairolancaster7028 23 дня назад +2

    All Kenyans makofi kwa team mkojani 🇨🇦🇨🇦🇨🇦👋👋 ... Mkojani nipe huyo mrembo Chandimu ameacha

  • @abdulramadhan3267
    @abdulramadhan3267 23 дня назад +2

    Sele kichw kimoj ndo kinafnya kaz uyo😂😂haelewii

  • @user-kz1rx3rk1b
    @user-kz1rx3rk1b 23 дня назад +2

    Chandim ivyo viuno kwenye mgongo wa huyo dada vp😂😂

  • @user-zc1qh6ti2p
    @user-zc1qh6ti2p 22 дня назад +1

    Mko bana eti lile nijimama likitulia linakuzaa 😅😅😅🎉🎉🎉

  • @SeleIddi-gj9fu
    @SeleIddi-gj9fu 22 дня назад +2

    Jamani Mkojani mnaniharibia jina langu Naitwa Suleiman Iddi (Sele)
    Bora hata Mwanangu Mboso lakini siko /Hatuko hivo
    Chandim rudi kwenye Unganga.
    Mkojani Sio mwanao Chukua Jiko Kaka.
    Sis Viola Usimwite Baba Ulisha Achika Talaka 3.
    Muite Baby.

  • @nassorsuleiman9155
    @nassorsuleiman9155 23 дня назад +3

    Wakwanza Leo

  • @user-ck9pt2ct9c
    @user-ck9pt2ct9c 23 дня назад +3

    Jaman nipeni hatandog 😢😢😢😢

  • @allytondo3043
    @allytondo3043 23 дня назад +3

    Wa kwanzaa

  • @JOHAREHfilms2023
    @JOHAREHfilms2023 23 дня назад +1

    Nyieeee Ili Sele alijarogwa kwel tulipopoe jmn mana sio Kwa kuropoka huko
    Linaogeshwa hapo , eti kwenye Ile suruali niliyokuja nayo Kuna Hela mule 😂😂😂😂😂 in Sele voice🤣🙌

  • @MwanahamisSeifu
    @MwanahamisSeifu 23 дня назад +2

    Watu mpo fasta😂😂

  • @ibranoahngidange5909
    @ibranoahngidange5909 22 дня назад

    Kazi nzuri sana hii mtunzi apewe maua yake

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 23 дня назад

    Kabla au baada ya jua kali tunashangaa ya sele😅😅😅

  • @hamisahamisa5896
    @hamisahamisa5896 23 дня назад +2

    From Oman 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 tujuane

  • @joycemlay5762
    @joycemlay5762 13 дней назад

    Hapo unapopalilia hatukusikii maana vyura wanapiga kelele sanaaaa

  • @Amyomy-od5ry
    @Amyomy-od5ry 22 дня назад

    Majuto ni mjukuu sele ohoo😢 mwana kuyatafuta mwana kuyapata

  • @reyside7899
    @reyside7899 23 дня назад +2

    Wakwanza

  • @user-zl1hu6sd8h
    @user-zl1hu6sd8h 23 дня назад +8

    Wakwanza Leo naomba like hata kumi

  • @dotoomary6889
    @dotoomary6889 23 дня назад

    Sele awe funzo atajutiaaa huyuuu

  • @LucyRafeali
    @LucyRafeali 16 дней назад

    Mwanangu ukigruka sitaki kukuangalia😅😅

  • @KhellyKazyo
    @KhellyKazyo 22 дня назад

    Mkojan umesmama poa san ktk vitengo vyote viwili

  • @user-qq4zr3sk2g
    @user-qq4zr3sk2g 21 день назад

    Mkojani jamani bangi iko wapi hapo😂😂😂😂

  • @Murshid695
    @Murshid695 23 дня назад +2

    🎉

  • @FatumaHamisi-sr6yj
    @FatumaHamisi-sr6yj 22 дня назад

    😅😅😅😅😅😅😅 huyo sele 😂😂😂

  • @Georgezakeo
    @Georgezakeo 22 дня назад

    Mkojani Gang nawakubali Sanaa big up broh! One love

  • @fahadAlloufy
    @fahadAlloufy 18 дней назад

    Ila mkojani lakini kikao cha wanyama wenye pembe na chui yumo afu mwenyekiti simba😂😂

  • @juliuscoachesbazuu9050
    @juliuscoachesbazuu9050 23 дня назад +3

    Likes

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili 23 дня назад +1

    ❤❤❤

  • @joycemlay5762
    @joycemlay5762 13 дней назад

    Sele litamkuta jambo

  • @FikirinRajabu
    @FikirinRajabu 22 дня назад

    Sele kitakacho mkuta atapata tabu sana atakuja kujutia

  • @abouclasic8939
    @abouclasic8939 23 дня назад +5

    Wa kwanza

  • @user-qm2kb1ln7p
    @user-qm2kb1ln7p 22 дня назад

    Sere kwahiro rijimama. umeyabananqa. 😂😂😂😂😂😂

  • @elizabethmahenzo7220
    @elizabethmahenzo7220 23 дня назад +1

    Good job ❤❤❤

  • @MercyMariki
    @MercyMariki 22 дня назад

    😂😂😂 seleeeeeeeee🙌🙌🙌

  • @MosesTv-mh2ry
    @MosesTv-mh2ry 22 дня назад

    🎉🎉🎉nimewahi

  • @user-wy7zl2vr6k
    @user-wy7zl2vr6k 22 дня назад

    We chandimu kicheko gani hicho, 😂😂😂, a nakwambia wewe MashaAllah kwa kuwa umebeba majanga😂😂😂

  • @onesmusfondo7679
    @onesmusfondo7679 22 дня назад

    Sele mpuzi kweli,yaani unaelewa tu na limama hilo...

  • @user-rz2qw3ub8z
    @user-rz2qw3ub8z 22 дня назад

    Mnajuwa huyu sele haswa

  • @InnocentArmadillo-do9vm
    @InnocentArmadillo-do9vm 22 дня назад

    Team mkojani huko juuu

  • @Twilumba
    @Twilumba 23 дня назад +2

    😊😊😊😊

  • @othmansuleiman3479
    @othmansuleiman3479 23 дня назад +2

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @reyside7899
    @reyside7899 23 дня назад +1

    Mbona hamna sauti au cm yangu

  • @miriamjaka2512
    @miriamjaka2512 23 дня назад

    Jimama tandamu😅😅😅

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 22 дня назад

    Mashallah ❤❤❤❤❤

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 22 дня назад

    Hapo kwenye kukogeshana mumezidi jamani 😢dah hatari na nusu

  • @DicksonRevelian
    @DicksonRevelian 22 дня назад

    Sele mijimama

  • @MwanaidMsindo
    @MwanaidMsindo 20 дней назад

    Hahaha mbona bangi jaman

  • @cyprianyinnocenty2002
    @cyprianyinnocenty2002 23 дня назад

    Mk0jani halali Asa m nalalaje kama sijaangalia SELE aseee 😁😁

  • @juliuscoachesbazuu9050
    @juliuscoachesbazuu9050 23 дня назад +2

    Sauti

  • @claudiayohana6576
    @claudiayohana6576 22 дня назад

    Ila chandimu anakera pamoja na mkojani husimami kama baba chandimu anakupelelesha qnavyotaka

  • @katabaroonlinetv9688
    @katabaroonlinetv9688 22 дня назад

    Naliona anguko la sele

  • @amashamahenge3308
    @amashamahenge3308 23 дня назад +1

    Watu mnalal hum

  • @user-zr5rg5ul3q
    @user-zr5rg5ul3q 22 дня назад

    Mkojani soon anakula kibonga Cha violaaaa😂😂😂😂

  • @bilaliabdallah9351
    @bilaliabdallah9351 22 дня назад

    Hahaha nimesikia kufurahi hvyo.
    Nan mwengine kaisikia hio??

  • @ngoshaog1255
    @ngoshaog1255 15 дней назад

    🔥🔥🔥

  • @babitojnr4886
    @babitojnr4886 23 дня назад

    Wa arubaini na mbili leo😊😅😂

  • @omarbosiomar8608
    @omarbosiomar8608 23 дня назад

    chandimu mapenzi kolea

  • @user-xh7sp4ev2v
    @user-xh7sp4ev2v 23 дня назад +1

    Hatali 😮😮😮

  • @ramadhannono
    @ramadhannono 13 дней назад

    Nalima viazi zinaota bhangi

  • @bienfaitjunior
    @bienfaitjunior 23 дня назад

    Courage ya trop mon frère

  • @ElishaNiyonkuru
    @ElishaNiyonkuru 23 дня назад +18

    Wakwanza mimi nipeni like zangu kutoka 🇧🇮🇧🇮

  • @Twilumba
    @Twilumba 23 дня назад

    Iyo Lita ya kunywea pombe mbn mpo mnaogeshea maji Tena imebadilika matumiz

  • @AmilyBanoba
    @AmilyBanoba 23 дня назад +5

    Wakwanza leo jaman nipen like zangu

  • @user-zc1qh6ti2p
    @user-zc1qh6ti2p 22 дня назад

    Sele kama mboso kwa benseni eti kwenye ile suruali nilokuja nayo kuna ela mule.

  • @dullahmelo
    @dullahmelo 23 дня назад

    nmeskia kufrahi hivo😂😂😂

  • @IsayaKasiyani
    @IsayaKasiyani 22 дня назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @muniraahmedawadh2619
    @muniraahmedawadh2619 23 дня назад

    Kitakuja kukukuta kitu wewe sele maana kwa yule jimama umeyakanyaga

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 23 дня назад +1

    😊

  • @hassanmrutu8332
    @hassanmrutu8332 23 дня назад +1

    😁😁😁

  • @rukiaabdul7191
    @rukiaabdul7191 23 дня назад +1

    Mbona sauti hamna?

  • @mdengirazack
    @mdengirazack 23 дня назад +3

    Wamwisho nipeni hizo like zangu...

  • @user-sp8mr8ou3o
    @user-sp8mr8ou3o 22 дня назад

    sugua chuchu😂

  • @user-nl4ri8tj6z
    @user-nl4ri8tj6z 23 дня назад

    Mbon Haina sauti hii

  • @Gamba81
    @Gamba81 23 дня назад

    Good good 👍🏾

  • @peteryohana891
    @peteryohana891 23 дня назад

    🎉🎉🎉

  • @suleOficialtz8451
    @suleOficialtz8451 23 дня назад

  • @LovelyCows-dq2uv
    @LovelyCows-dq2uv 23 дня назад

    ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 23 дня назад +1

    Mkojani unatuudhi clip nzima haina sauti pandisha upya maana imekua bubu 😢

  • @bilaliabdallah9351
    @bilaliabdallah9351 22 дня назад

    MKOJANI UMUOE VIOLA CHANDIMU ASHIKE ADABU

  • @user-or3us2op8n
    @user-or3us2op8n 23 дня назад

    Fesali unapitw

  • @saumuzimba1160
    @saumuzimba1160 23 дня назад

    kqan maji yako baridi nn mbna uwatetemekq

  • @hbaba.
    @hbaba. 23 дня назад

    Mbon humwambii asugue makende wamwambia chuchu tu

  • @aminali2677
    @aminali2677 23 дня назад

    ❤❤❤🔥🔥🔥🇰🇪🇸🇦🇰🇪💯💯👍🤣🤣🤣