Ujue humu kwenye comments bhana yan kila mtu oooh me wakwanza kila mtu wa kwanza... Kwan hata ukiwa wa mwisho ndo hautapata like mnazong'ang'ania??? Msiwe kama sele bhana
Nyieeee Ili Sele alijarogwa kwel tulipopoe jmn mana sio Kwa kuropoka huko Linaogeshwa hapo , eti kwenye Ile suruali niliyokuja nayo Kuna Hela mule 😂😂😂😂😂 in Sele voice🤣🙌
Kama ww timu mkojani naomba like yko
Kenge mmoja
Mkojani safari hiyi ulitupa chumaaa kizito yani SELE Wa Mkojani kamushinda SELE wa Mbosso.
Mkojani uko juu bos 😂
Sele kichwa kimoja ndo kinakupelekesha😂
viola jaman atanitoa roho....mtoto mzuri huyuuuuuuuuu na anajua kucheza na character yake🔥🔥🔥🔥🔥
🎉 Tuendelee
Naona kama mkojani akiwa ni mzee mkorofi anapendeza zaidi kuliko akiwa na busara😂🤣
Kabsa niliwaza hvyo pia
@@dianamsuya8285kamugisha jee🎉
Naombeni😂
Sele kafanya na mm nianze kutamani kuigiza 😂😂😂
Mambo yanaanza kunoga jmn alooh❤❤ em toen maon jmn wanafamilia wa nkojani❤
😅😅😅😅😅😅😅MWANETU BARUTI ANAVUTA BANGE KWENYE BUSTANI YA MKOJANI 😅😅😅😅
Hyo dem wa sele aliye muacha n pisi kali❤❤❤😊
Mwenyekiti 😂😂😂 unachukua asilimia zako kumi huyo muache akahangaike na dunia😂😂😂
ET KINA BARUTI MDOMO UNA FLAME YA BANGI😅😅
Sele apewe kichapo Cha umbwa hiyo ndiyo dawa yake 🤣🤣🤣🤣🤣
Mhhhhhh, stor zingine zauongo jaman😂😂😂😂mkojani
Ujue humu kwenye comments bhana yan kila mtu oooh me wakwanza kila mtu wa kwanza... Kwan hata ukiwa wa mwisho ndo hautapata like mnazong'ang'ania??? Msiwe kama sele bhana
Mnatisha sana Mkojani Gang
All Kenyans makofi kwa team mkojani 🇨🇦🇨🇦🇨🇦👋👋 ... Mkojani nipe huyo mrembo Chandimu ameacha
Sele kichw kimoj ndo kinafnya kaz uyo😂😂haelewii
Chandim ivyo viuno kwenye mgongo wa huyo dada vp😂😂
😂😂😂😂 naww umeona
Mko bana eti lile nijimama likitulia linakuzaa 😅😅😅🎉🎉🎉
Jamani Mkojani mnaniharibia jina langu Naitwa Suleiman Iddi (Sele)
Bora hata Mwanangu Mboso lakini siko /Hatuko hivo
Chandim rudi kwenye Unganga.
Mkojani Sio mwanao Chukua Jiko Kaka.
Sis Viola Usimwite Baba Ulisha Achika Talaka 3.
Muite Baby.
Wakwanza Leo
Jaman nipeni hatandog 😢😢😢😢
Wa kwanzaa
Nyieeee Ili Sele alijarogwa kwel tulipopoe jmn mana sio Kwa kuropoka huko
Linaogeshwa hapo , eti kwenye Ile suruali niliyokuja nayo Kuna Hela mule 😂😂😂😂😂 in Sele voice🤣🙌
Watu mpo fasta😂😂
Kazi nzuri sana hii mtunzi apewe maua yake
Kabla au baada ya jua kali tunashangaa ya sele😅😅😅
From Oman 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 tujuane
Hapo unapopalilia hatukusikii maana vyura wanapiga kelele sanaaaa
Majuto ni mjukuu sele ohoo😢 mwana kuyatafuta mwana kuyapata
Wakwanza
Wakwanza Leo naomba like hata kumi
Go get a job
Sele awe funzo atajutiaaa huyuuu
Mwanangu ukigruka sitaki kukuangalia😅😅
Mkojan umesmama poa san ktk vitengo vyote viwili
Mkojani jamani bangi iko wapi hapo😂😂😂😂
🎉
😅😅😅😅😅😅😅 huyo sele 😂😂😂
Mkojani Gang nawakubali Sanaa big up broh! One love
Ila mkojani lakini kikao cha wanyama wenye pembe na chui yumo afu mwenyekiti simba😂😂
Likes
❤❤❤
Sele litamkuta jambo
Sele kitakacho mkuta atapata tabu sana atakuja kujutia
Wa kwanza
Sere kwahiro rijimama. umeyabananqa. 😂😂😂😂😂😂
Good job ❤❤❤
😂😂😂 seleeeeeeeee🙌🙌🙌
🎉🎉🎉nimewahi
We chandimu kicheko gani hicho, 😂😂😂, a nakwambia wewe MashaAllah kwa kuwa umebeba majanga😂😂😂
Sele mpuzi kweli,yaani unaelewa tu na limama hilo...
Mnajuwa huyu sele haswa
Team mkojani huko juuu
😊😊😊😊
🎉🎉🎉🎉🎉
Mbona hamna sauti au cm yangu
Jimama tandamu😅😅😅
Mashallah ❤❤❤❤❤
Hapo kwenye kukogeshana mumezidi jamani 😢dah hatari na nusu
Sele mijimama
Hahaha mbona bangi jaman
Mk0jani halali Asa m nalalaje kama sijaangalia SELE aseee 😁😁
Sauti
Ila chandimu anakera pamoja na mkojani husimami kama baba chandimu anakupelelesha qnavyotaka
Naliona anguko la sele
Watu mnalal hum
Mkojani soon anakula kibonga Cha violaaaa😂😂😂😂
Hahaha nimesikia kufurahi hvyo.
Nan mwengine kaisikia hio??
🔥🔥🔥
Wa arubaini na mbili leo😊😅😂
chandimu mapenzi kolea
Hatali 😮😮😮
Nalima viazi zinaota bhangi
Courage ya trop mon frère
Wakwanza mimi nipeni like zangu kutoka 🇧🇮🇧🇮
Go get a job
❤
Iyo Lita ya kunywea pombe mbn mpo mnaogeshea maji Tena imebadilika matumiz
Wakwanza leo jaman nipen like zangu
Sele kama mboso kwa benseni eti kwenye ile suruali nilokuja nayo kuna ela mule.
nmeskia kufrahi hivo😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Kitakuja kukukuta kitu wewe sele maana kwa yule jimama umeyakanyaga
😊
😁😁😁
Mbona sauti hamna?
Wamwisho nipeni hizo like zangu...
sugua chuchu😂
Mbon Haina sauti hii
Good good 👍🏾
🎉🎉🎉
✊
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mkojani unatuudhi clip nzima haina sauti pandisha upya maana imekua bubu 😢
Sim yako ndo inatatizo boss
Sm yako ndo shida
MKOJANI UMUOE VIOLA CHANDIMU ASHIKE ADABU
Fesali unapitw
kqan maji yako baridi nn mbna uwatetemekq
Mbon humwambii asugue makende wamwambia chuchu tu
❤❤❤🔥🔥🔥🇰🇪🇸🇦🇰🇪💯💯👍🤣🤣🤣