Sasa wewe chandimu unataka msaada wa lazima kwa mbunge mtarajiwa ambae hujui kama atashinda au atashindwa 😂😂 mwache bwana mkojani wetu usimsumbue anatoa kwa moyo hiyo lazima kwioo
Hata Mimi nilipoolewa nikasema nikimfuma mume wangu naachana nae nikawa nawasema na wamama wanaowafuma waume zao masiku yakazid kwenda sasa analeta mapka home na taraka hatoi ukiondoka anakufata NDOA sio masihara nyie🙌🙌
Mwanaume hata akichepuka Bado ndowa yake ataendelea kuyitunza, ila once mwanamke akicheat basi ndowa haipo tena ,kwanza ataanza zalau nyingi, nyodo kama zote hivyo ndowa haitakuwa imara tena ,ndiyo maana hata maandiko matakatifu yanasema nyinyi ni viumbe zaifu, Asante samahani kama nimekujibu vibaya
Kutoka south Africa Durban leo wa Kwanza team mkojani nipeni tu like mana nimo mbali Ila najiwahi
Like ndo kusema nini,,grow up plz
Hivi mkojani na chandimu hawajawahi kuelewanaa😢😢😢😢😂😂😂😂😂😂😂
Alhamdulillah mkojani sahii umerudi naona naomba isiwe fupi InshaAllah 🇸🇦🇸🇦🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Baba Hajj hongera kwa kuvaa uhusika kwa kweli😅😅😅😅
Mgombea halalamiki hana pesa mwagapesa mwagapesa
Kijiko kitu usicho kijuwa huyo mgombea wenu amefumaniwa na huyo haji ndio maana inakuwa ngumu kwa haji kujiunga na nyinyi
Ooh nilikua sijui
nakubari san mkojan gang
Chandimu ni more than actor tunao elewa sanaa huyu dogo tunamuona mbali sana ni trance palent sana nimependa jinsi alivyo poa kwenye hii
Trance palent ndo nn?😅😂
Duh aisee haji upo juu kwani hili dicho unalomwangalia mkeo utazani nikweli
Zilete zilete tupate uhondo
Muheshimiwa mgombea Mkojani twaomba mmpe chakula Kijiko maana sio wembamba tn huo 😂😂😂😂😂
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
kumbe hajji anaongea nikajua bubu😂😂❤❤❤❤😂😂😂😂❤❤❤
Haji ndo scene zako hizi😊😊
mkojani bin darwesh bin tarbush
Jaman mi hawa wa tu nawakubal sana yan mkojan wakikutana na samofi na kijiko utaipenda move 😅
Kijiko jamani hicho kizibao chake😂😂😂😂
Uyu Dem anamoyo sio jiiwe kinachomuweka nn asisepe adi jamaa moyo upoe kdg
Team mkojani gang. Muko sambamba kazi nzuri sana
Sorry my best comedian leo nimechelewa kuangalia
Nimependa vipisi virefu mpaka raha
Kijiko afanye kunenepa basi 😂😂😂😂 miguu kama fito 😂😂😂
Mkojani hapiti namtabiri sai mgombea malaya
Piga kelele kwa mgombea wetu mkojani weweeeeeeeeeeeeeeeeeeee
❤❤❤
Mheshimiwa nguo moja jmn😂
Good work guys...sinema itambe
Ah huwa namkubaro sana haji ani anaigiza akiwa serious 🤣🤣🤣🤣🤣🤣shika adabu ako na adabu ikushike🤣🤣🤣🤣
mimi ningeondoka aka mtihani mgumu sana huu
Safi sana wazee tuko pamoja sana
Sasa wewe chandimu unataka msaada wa lazima kwa mbunge mtarajiwa ambae hujui kama atashinda au atashindwa 😂😂 mwache bwana mkojani wetu usimsumbue anatoa kwa moyo hiyo lazima kwioo
Haji na huy0 dada pia asee Mmeupiga mwingii
🔥🔥🔥
Haji unamacho makubwa kliko duniani
Haji jamani😂😂😂😂😂khaaa baba mkali
Kati ya waigizaji wenye kipaji kikubwa saana ni Haji Adam jama yupo serious saana
Kweli kabisa haji anajuwa kuuva husiika sanaaa
Kijiko handnepi
Umefumaniwa na mume hakuulizi na bado upo tu aisee
Yuatafutwa kuchinjwa
Hatar
Baba Haji kwenye serious scenes Yuko Vzuri hatari . Nakubali tangu movie yake ya Masaa24
Sanaa
Haji bwege nazi, kwa fumanizi lile bado una kaa naye acheni masiara.
Ndio hekima hio akichukua maamuzi ya haraka aeza fanya kitu kibaya zaidi
@@saumbliz8983 ni kweli ni hekma lakini kwa fumanizi la wazi hivi bila kuambiwa pengine uje useme kazingiziwa aaaa weeeh!
Hata Mimi nilipoolewa nikasema nikimfuma mume wangu naachana nae nikawa nawasema na wamama wanaowafuma waume zao masiku yakazid kwenda sasa analeta mapka home na taraka hatoi ukiondoka anakufata NDOA sio masihara nyie🙌🙌
Shida ya nini😂ukifumaniwa fungasha virago sepa
3:53 🎉🎉🎉🎉
team mkojani wapi gonga like
🎉🎉🎉
Good good 👍🏾
Kijiko kakonda heee
p1 daima
❤❤❤❤❤
Mnaomba like wote mabwabwa
Aisee ni mabwabwa kweli
😂😂😂😂😂😂😂
Kwa namna gni 😂😂
❤❤❤🎉🎉
❤❤❤😊😊😊😊
Mkojani huyo jamaa hapo bar na chandimu amevaa tshirt nyeupe hayumo atakama ni extra talent zero
❤❤❤🇸🇦🇸🇦🇰🇪🔥🔥🔥👏👏
Lakin nauliza mbona cc wanawake tukifumaniwa hatusamehewi 😂😂tunaacwa lakin waume wanataka cc tuwasamehe 😅😅 tucwaache kwann lakin😂😅❤
Mwanaume hata akichepuka Bado ndowa yake ataendelea kuyitunza, ila once mwanamke akicheat basi ndowa haipo tena ,kwanza ataanza zalau nyingi, nyodo kama zote hivyo ndowa haitakuwa imara tena ,ndiyo maana hata maandiko matakatifu yanasema nyinyi ni viumbe zaifu, Asante samahani kama nimekujibu vibaya
@@user-fr3dl6dx9v sawa nimekuelewa kumbee
Mwanamke kutembea na mtu mwengine huo ni umalaya na ukahaba
@@complex7582 🤣🤣kumbe lakin mwanamume cmalaya😄😄
@somoeluku933 yes,Malaya ni wanawake sio wanaume,ndio maana ww ukifumaniwa hata wanawake wenzako watakushangaa,lkn mwanaume hakuna anaemshangaa
❤❤❤
🔥🔥🔥
❤❤❤