Kweli Khadija kubadili Dini sio suala la mchezo. Mimi nakumbuka baba angu alisema ukipata bw wa Kiislam mahali ni sh 100 ni kweli ikawa nikaolewa ndoa ya dini yangu baba yangu alifurahi sana akapakaa Jivu usoni kote kwa furaha yaan. Hadi sasa ndoa yangu ina miaka 45 hivi.
Alafu nyie munaosema waislam amuwezi kubadili dini sijui kapotea, nyie ndiyo wabinafsi ,kwaiyo mumeona wakristo ndiyo awana msimamo na dini yao au,acheni kugawanya dini ,watu wote ni sawa ,na akuna dini bora zaidi ya nyingine
Mimi nashangaa wanaopga vta ndoa ya ringo kisa dini kwani sisi wakristo hamna majina ya Yusuph mbn ht kwny bible ameandkwa vzr tu ht mm namtoto anaitwa yusuphu mwng anaitwa ayubu km mungu asingetaka huyu dada kuolewa basi angezuia mpk kaolewa ina maana Mungu kabariki
Wivu tu unakusumbua😂😂😂....nenda kamshauri na fahma wa rayvanny kabla hajafunga ndoa na yeye......haya na vipi kuhusu paula wa marioo naye asi atabadili dini.., mtazoea tu
Ameshakuwa mke, ila kabla ya ndoa yao alifanya mgomo kwa sababu zake zisizoweza kuwa public. Mwandishi hajakosea, angekuwa hajaolewa asingemwita mke wa Ringo. Je we mtazamo wako ni upi? Je ungemwita vipi katika kichwa cha habari?
Waja bhana hapo angekuwa mkristo na hakaingia uslam hapo wee ongera kama zote lakini katoka uslam kaja mkristo maneno waja dini imani jamanini kulalamika2 kuoga aaah😅😅😅😂
Wabongo tunazingatia vitu vya kijinga sana et oooh dini ko nyumbn kwako unaenda kuishi na dini ya kiislamu au kikirsto ebu angalia mtu kma anakufaa din kipengele cha ziada sana kma utajua umhim wa mtu na cyo dini
Yaani huyu mkewe ringo na fahima woote michizi, mtot wa kiislam kweli ubadili kuwa mkristo?? Hawa waislam jina tuu uislam hawaujui, haya bado ya fahima sasa na yy afanye afunge ndoa haramu.
Yaani wewe unayemwambia mwenzio kafuata dini ya haramu unaweza kuwa mwanaharamu kuliko yy yy hana uana haramu wowote na ukristo sio uanaharamu ni dini pia haramu ni matendo yako
Kweli Khadija kubadili Dini sio suala la mchezo. Mimi nakumbuka baba angu alisema ukipata bw wa Kiislam mahali ni sh 100 ni kweli ikawa nikaolewa ndoa ya dini yangu baba yangu alifurahi sana akapakaa Jivu usoni kote kwa furaha yaan. Hadi sasa ndoa yangu ina miaka 45 hivi.
45 mashallah shkamooo
Mhhhhhhh na wewe una miaka mingapi
@@restutacostantine50 🤣🤣🤣🤣🤣 Nimecheka sana unapoulizia yeye ana miaka mimgapi
@@AshaLidu-tx9nsDah! Umepatwa na maswahibu gani? Mbona hivyo mdogo wangu?
Hongera sana dear mashalllah 🎉
Cute bride
Bila shakaa kikwazo ilikuwa ni utofauti wa dini,, huenda ikwa hvo but sina uhakika
Kichwa Cha habari na habari ni tofauti
Nyinyi wambea kweli
Waandishi wa abari acheni ujinga kilicho andikwa kwenye kichwa Cha abari kingine na kinacho hojiwa kingine
Hamfai kuwa waandishi kabisa
Mke mchumba ,
Kubadili dini kazi kweli yaan. Na ndio maana wazee wake hawakuja kanisan.
Zaid kw mwislam kuritadi😢mtihan mkubwa allah atunusuru atujaze imani
Umeacha dini ya haki? Kisa visent vya komred?
Mbona kama
Alafu nyie munaosema waislam amuwezi kubadili dini sijui kapotea, nyie ndiyo wabinafsi ,kwaiyo mumeona wakristo ndiyo awana msimamo na dini yao au,acheni kugawanya dini ,watu wote ni sawa ,na akuna dini bora zaidi ya nyingine
Kanisani Na piko jamani
Kwani hairuhusiwii au vp😮
7:44
Hii media wahudumu wote mnatombwa na wachawi sio bure, kichwa Cha habari na stori havina uhusiano
Mimi nashangaa wanaopga vta ndoa ya ringo kisa dini kwani sisi wakristo hamna majina ya Yusuph mbn ht kwny bible ameandkwa vzr tu ht mm namtoto anaitwa yusuphu mwng anaitwa ayubu km mungu asingetaka huyu dada kuolewa basi angezuia mpk kaolewa ina maana Mungu kabariki
Yaaaan waandishi wengine waovyo sana yaaan kilichosemwa kingine ili MLADI TUangalie interview
Yani mke wa Ringo amekataa kuolewa na Ringo Sasa ndo umeandika nin hapo
Shinda wazazi hawakufundisha ndini sio makosa yake lakini wazazi tujitahidi kuwaleya watoto wetu kimadili Mazuri
Kwa kwel😢 tunaanzia kwa wazaz wetu elim ya din ni muhim sana
Anajibu maswal ipasavyo jaman amejitahd na saut nzur
Mtihani mkubwa sana Kala hasara kubadili dini looo subiri kdogo utaona raha ya kubadili dini
Wivu tu unakusumbua😂😂😂....nenda kamshauri na fahma wa rayvanny kabla hajafunga ndoa na yeye......haya na vipi kuhusu paula wa marioo naye asi atabadili dini.., mtazoea tu
Fikiri kabla ya kunena, mfano angebadili kuwa muislam napo ungeongea hivyo?
Mungu ni yule yule acheni kuangalia dini huo ni udini
Kidada kimodo saaf 👌🔥🔥
Hii laana mzazi mungi wa pili,asipo ridhia utashangaa mwenyewe
Upo vizuri mdada wewe ❤ ndoa iwe ya kheri
Tafuteni headline sahihi, acheni kupoteza Mbs zetu
Ashalindu hilo neno la mbwa linakujaje.Kwani mimi nimekujibu wewe nimemjibu Khadija. Sitaki matusi halafu mimi sio umri wako.
Nimempenda huyu bi arusi hadi rahaa❤❤❤❤
Kwenye ndo September mitihaniie akikoseie niulize mimi niligumukae silu yae studied nikatulizwa tn
Mke halafu kakataa kuolewa?Hawezi akawa mke kabla hajaolewa.Uandishi wa habari wa hovyo sana,hawana elim ya wanacho kifanya!Mxuuuuuuuuh😢
Tanzania vyombo vya habari ni vingi havizingatii qualifications za profession yao
Sure
Ndonamie nmeshangaa hapa,michizi hii😂😂😂
😂😂😂😂
Koment utumbo na hunakazi
Wee muandisbi njinga kweli Sasa kakataa nn hapo au ndio kutaka watu waangalie
Mmmmmm sa kukosana kidogo tu ndo ukatae ndoa au ndo ilikuwa kutiana hasara ,,Ila we kupotezea ahaaa
Huyu dada haijui Dini yake ndio maana zjawa anafanya Zinaa kabla ya ndoa.
Mwanamkee mzuri
Nyie waandishi wa habari kheeee lichoandika na kinachoongelewa hapo sio wapuuzi
Doh! Innalillah wayna ilayh rajiun 😢
Yani 😢
Kumbe oabadili din kaenda kwenye ukirsto wallah umepota ndug yangu kwa mme gan yule duuh pole ndug yangu hapo umepotea
msenge wewe kwaiyo dini yako ya majini iyo ndio ya kweli
Innalillah wainna ilayhi rajiun 😢
Dada unamajibu mazuri sana
Dah waislamu tunaishi 😢
Bac Sawah dada khadija, bwana asifiwe 😂😂😂
Wanahabari feki
Ujue yandan yawatu ili iweje.
Yaani mdada yuko vizuri sana sana
Mtangazaji acha umbeya
Yaani unavosema kama sawa eti niachane na ili swala kwanza uoni mwenzio alikuwa ameshajipanga
Zinaa Mika saba
Mke kazi ipo, nakumbuka chanuo..miaka 7 mnamuasi Mungu tu..
Mwanamke ndio kubadili dini
Anaongea vizuri
Inalilah wainailah rajiun
Ana macho mazuri
Chioma wetu❤❤❤❤❤❤❤
😂
❤hongera
Sasa uko vizuri unajibu point
Hapo hakuna ndoa Muislamu kwenda kanisani kuomewa, haikubaliki dada yetu umepotea waulize mashehe.
Badili naww uolewe make povu limekutoka san
@@AlfaCharles-e8h inalilah wainailah rajiun
@@AlfaCharles-e8hwewe kafiri na uyu biharasi kafiri😢
Hata wewe ni khafiri@@aishaarusha894
Wivu tyu badili na wew
Hakuna lolote walikuwa wanatengeneza kiki tu
Muwe mnaolewa mkiwa org.Sasa macho ya ajabu2
A beautin one❤❤❤
Jiongeze bana mwandish wa habar kukataa kulewa dini na mama kuto kuja eeh
Ameisha kwambia walikwazana kidogo huachi
Kuongopa Caption Ila Kuoga Aaaah
😅😅😅😅
Nani kabadili dini
Mke
Ndoa imefungwa kw maadili ya ukiristo Ina maana dada yetu ameamua kuritadi .....
Ndio
Ameshakuwa mke, ila kabla ya ndoa yao alifanya mgomo kwa sababu zake zisizoweza kuwa public. Mwandishi hajakosea, angekuwa hajaolewa asingemwita mke wa Ringo. Je we mtazamo wako ni upi? Je ungemwita vipi katika kichwa cha habari?
Halafu wameshaishi kabla ya hii siku ya ndoa. Manake wamehalalisha tuu ndoa
Hawa wamehalalisha ndoa maana walishaishi kwa miaka kabla ya hii siku.
Wametoka kwenye umaskini. Na tamaa ya visent. 😂
Umekula hasara shoga. Umebadili dini duh mtihani
Uhakika kakosea
Wivu huo unakusumbua...nyie mmezoea wanawake wa kikisto tu ndo wanabadili dini.... upendo upendo tu mwenzio kapenda kwa mkristo😁❤
Waja bhana hapo angekuwa mkristo na hakaingia uslam hapo wee ongera kama zote lakini katoka uslam kaja mkristo maneno waja dini imani jamanini kulalamika2 kuoga aaah😅😅😅😂
Wabongo tunazingatia vitu vya kijinga sana et oooh dini ko nyumbn kwako unaenda kuishi na dini ya kiislamu au kikirsto ebu angalia mtu kma anakufaa din kipengele cha ziada sana kma utajua umhim wa mtu na cyo dini
@@magrethdastanhaule3449Hakuna mwenye wivu hapa, huyu biharus han akili, dini ya kikristo sio dini sahihi kabisaa na hatodumu nae.
Mkee akataa kuolewa😅😅😅😅
Weh huogopi
Pole sana Allah akurudishe ktk njia iliyonyooka urudi ktk uongofu utoke ktk upotofu
Wivu unakusumbua tyu, je Ringo angebadil din ungeongea, acha watyu wapendane, mungu ni mmoja mkristo Muslim wote niwatoto wa mungu
Na wote tunamsubiri huyo mmoja.acha maneno mengi jamani
waislamu wengi ni mambumbu yani wewe huyu dada wa kiislamu kuolewa n mkristo ni shida
Kiki hadi kweny ndoa
Kazurii kana akiri kana jibu vizurii❤
Kwanza nikabaya
😮#tellaaxistz
Anamajb mazur
Hakuna mke
Hakuwa kuwa na dini huyo miaka 7 ndani ya zinaa!!!
Duu jamani mbona kama kabadili dini jina lake na lababa Ake Bado ya kisilam au mm nimesikia vibaya pale kanisani
Kabadil.din
Yaani huyu mkewe ringo na fahima woote michizi, mtot wa kiislam kweli ubadili kuwa mkristo?? Hawa waislam jina tuu uislam hawaujui, haya bado ya fahima sasa na yy afanye afunge ndoa haramu.
Badili naww naona povu linakutoka san
Yaani wewe unayemwambia mwenzio kafuata dini ya haramu unaweza kuwa mwanaharamu kuliko yy yy hana uana haramu wowote na ukristo sio uanaharamu ni dini pia haramu ni matendo yako
Hata ww badili nikuoe mimi
@@mariumseif6751😢
Loh poh mwanamke wa kiislam kubadili dini