MKE WA RINGO AELEZA SABABU YA KUKATAA KUOLEWA NA RINGO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 141

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 3 месяца назад +12

    Kweli Khadija kubadili Dini sio suala la mchezo. Mimi nakumbuka baba angu alisema ukipata bw wa Kiislam mahali ni sh 100 ni kweli ikawa nikaolewa ndoa ya dini yangu baba yangu alifurahi sana akapakaa Jivu usoni kote kwa furaha yaan. Hadi sasa ndoa yangu ina miaka 45 hivi.

    • @ZulekhaAmar-fy4pm
      @ZulekhaAmar-fy4pm 3 месяца назад +1

      45 mashallah shkamooo

    • @restutacostantine50
      @restutacostantine50 3 месяца назад

      Mhhhhhhh na wewe una miaka mingapi

    • @JaneKikoti
      @JaneKikoti 3 месяца назад

      @@restutacostantine50 🤣🤣🤣🤣🤣 Nimecheka sana unapoulizia yeye ana miaka mimgapi

    • @victoriarwerengera4831
      @victoriarwerengera4831 2 месяца назад

      ​@@AshaLidu-tx9nsDah! Umepatwa na maswahibu gani? Mbona hivyo mdogo wangu?

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 3 месяца назад +1

    Hongera sana dear mashalllah 🎉

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 3 месяца назад +2

    Cute bride

  • @ashamohdjuma6325
    @ashamohdjuma6325 3 месяца назад +2

    Bila shakaa kikwazo ilikuwa ni utofauti wa dini,, huenda ikwa hvo but sina uhakika

  • @doriceernest4718
    @doriceernest4718 3 месяца назад +1

    Kichwa Cha habari na habari ni tofauti

  • @sallysafisanakijanakazibut1688
    @sallysafisanakijanakazibut1688 3 месяца назад +2

    Nyinyi wambea kweli

  • @abbykashuba4332
    @abbykashuba4332 3 месяца назад +1

    Waandishi wa abari acheni ujinga kilicho andikwa kwenye kichwa Cha abari kingine na kinacho hojiwa kingine

  • @wadauwasizoni
    @wadauwasizoni 3 месяца назад +1

    Hamfai kuwa waandishi kabisa

  • @JannatShemboza
    @JannatShemboza 3 месяца назад +3

    Mke mchumba ,

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 3 месяца назад

    Kubadili dini kazi kweli yaan. Na ndio maana wazee wake hawakuja kanisan.

    • @KhadijaMohammed-jq8pz
      @KhadijaMohammed-jq8pz 3 месяца назад +1

      Zaid kw mwislam kuritadi😢mtihan mkubwa allah atunusuru atujaze imani

    • @FaridaFaridaseif
      @FaridaFaridaseif 3 месяца назад +1

      Umeacha dini ya haki? Kisa visent vya komred?

  • @HappyCharles-h5z
    @HappyCharles-h5z 3 месяца назад

    Mbona kama

  • @HellenMendard
    @HellenMendard 3 месяца назад +1

    Alafu nyie munaosema waislam amuwezi kubadili dini sijui kapotea, nyie ndiyo wabinafsi ,kwaiyo mumeona wakristo ndiyo awana msimamo na dini yao au,acheni kugawanya dini ,watu wote ni sawa ,na akuna dini bora zaidi ya nyingine

  • @hawasaid6625
    @hawasaid6625 3 месяца назад +1

    Kanisani Na piko jamani

    • @fatmasaid6660
      @fatmasaid6660 3 месяца назад

      Kwani hairuhusiwii au vp😮

  • @Zeanbo1234-pn8tg
    @Zeanbo1234-pn8tg 3 месяца назад

    7:44

  • @laninjeje8290
    @laninjeje8290 3 месяца назад

    Hii media wahudumu wote mnatombwa na wachawi sio bure, kichwa Cha habari na stori havina uhusiano

  • @LeonardPastory-f8s
    @LeonardPastory-f8s 3 месяца назад +4

    Mimi nashangaa wanaopga vta ndoa ya ringo kisa dini kwani sisi wakristo hamna majina ya Yusuph mbn ht kwny bible ameandkwa vzr tu ht mm namtoto anaitwa yusuphu mwng anaitwa ayubu km mungu asingetaka huyu dada kuolewa basi angezuia mpk kaolewa ina maana Mungu kabariki

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 3 месяца назад +8

    Yaaaan waandishi wengine waovyo sana yaaan kilichosemwa kingine ili MLADI TUangalie interview

  • @mr_kajomba_og5719
    @mr_kajomba_og5719 3 месяца назад +6

    Yani mke wa Ringo amekataa kuolewa na Ringo Sasa ndo umeandika nin hapo

  • @mapishiyetumazuri2312
    @mapishiyetumazuri2312 3 месяца назад +4

    Shinda wazazi hawakufundisha ndini sio makosa yake lakini wazazi tujitahidi kuwaleya watoto wetu kimadili Mazuri

    • @Shunah77
      @Shunah77 3 месяца назад +1

      Kwa kwel😢 tunaanzia kwa wazaz wetu elim ya din ni muhim sana

  • @careennkuwi
    @careennkuwi 3 месяца назад +8

    Anajibu maswal ipasavyo jaman amejitahd na saut nzur

  • @mtukwao5775
    @mtukwao5775 3 месяца назад +6

    Mtihani mkubwa sana Kala hasara kubadili dini looo subiri kdogo utaona raha ya kubadili dini

    • @magrethdastanhaule3449
      @magrethdastanhaule3449 3 месяца назад +4

      Wivu tu unakusumbua😂😂😂....nenda kamshauri na fahma wa rayvanny kabla hajafunga ndoa na yeye......haya na vipi kuhusu paula wa marioo naye asi atabadili dini.., mtazoea tu

    • @boyochu1308
      @boyochu1308 3 месяца назад +1

      Fikiri kabla ya kunena, mfano angebadili kuwa muislam napo ungeongea hivyo?

    • @JaneKikoti
      @JaneKikoti 3 месяца назад

      Mungu ni yule yule acheni kuangalia dini huo ni udini

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 3 месяца назад +11

    Kidada kimodo saaf 👌🔥🔥

  • @Sisopotashiumz
    @Sisopotashiumz 3 месяца назад +3

    Hii laana mzazi mungi wa pili,asipo ridhia utashangaa mwenyewe

  • @salmakiti1517
    @salmakiti1517 2 месяца назад +2

    Upo vizuri mdada wewe ❤ ndoa iwe ya kheri

  • @DavidFulana
    @DavidFulana 3 месяца назад +3

    Tafuteni headline sahihi, acheni kupoteza Mbs zetu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 3 месяца назад +1

    Ashalindu hilo neno la mbwa linakujaje.Kwani mimi nimekujibu wewe nimemjibu Khadija. Sitaki matusi halafu mimi sio umri wako.

  • @AdelaideZacariasZacarias-hp8gs
    @AdelaideZacariasZacarias-hp8gs 3 месяца назад +6

    Nimempenda huyu bi arusi hadi rahaa❤❤❤❤

  • @MariamIbrahim-h7p
    @MariamIbrahim-h7p 2 месяца назад +1

    Kwenye ndo September mitihaniie akikoseie niulize mimi niligumukae silu yae studied nikatulizwa tn

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 3 месяца назад +25

    Mke halafu kakataa kuolewa?Hawezi akawa mke kabla hajaolewa.Uandishi wa habari wa hovyo sana,hawana elim ya wanacho kifanya!Mxuuuuuuuuh😢

  • @NamiriNamiri-oz4xs
    @NamiriNamiri-oz4xs 3 месяца назад +3

    Wee muandisbi njinga kweli Sasa kakataa nn hapo au ndio kutaka watu waangalie

  • @glorydaniel8624
    @glorydaniel8624 3 месяца назад +3

    Mmmmmm sa kukosana kidogo tu ndo ukatae ndoa au ndo ilikuwa kutiana hasara ,,Ila we kupotezea ahaaa

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 3 месяца назад +7

    Huyu dada haijui Dini yake ndio maana zjawa anafanya Zinaa kabla ya ndoa.

  • @MariamIbrahim-h7p
    @MariamIbrahim-h7p 2 месяца назад +2

    Mwanamkee mzuri

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 3 месяца назад +1

    Nyie waandishi wa habari kheeee lichoandika na kinachoongelewa hapo sio wapuuzi

  • @Bahati47
    @Bahati47 3 месяца назад +3

    Doh! Innalillah wayna ilayh rajiun 😢

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 2 месяца назад

    Kumbe oabadili din kaenda kwenye ukirsto wallah umepota ndug yangu kwa mme gan yule duuh pole ndug yangu hapo umepotea

  • @Shunah77
    @Shunah77 3 месяца назад +1

    Innalillah wainna ilayhi rajiun 😢

  • @suzysam6002
    @suzysam6002 3 месяца назад +4

    Dada unamajibu mazuri sana

  • @ukhtymwana40
    @ukhtymwana40 3 месяца назад +2

    Dah waislamu tunaishi 😢

  • @najmahhassan7853
    @najmahhassan7853 3 месяца назад +1

    Bac Sawah dada khadija, bwana asifiwe 😂😂😂

  • @JohnUruban
    @JohnUruban 2 месяца назад

    Wanahabari feki

  • @SarahPeter-s2r
    @SarahPeter-s2r 3 месяца назад +1

    Ujue yandan yawatu ili iweje.

  • @sallysafisanakijanakazibut1688
    @sallysafisanakijanakazibut1688 3 месяца назад +2

    Yaani mdada yuko vizuri sana sana

  • @sallysafisanakijanakazibut1688
    @sallysafisanakijanakazibut1688 3 месяца назад +1

    Mtangazaji acha umbeya

  • @rizikisam6481
    @rizikisam6481 3 месяца назад +1

    Yaani unavosema kama sawa eti niachane na ili swala kwanza uoni mwenzio alikuwa ameshajipanga

  • @mapishiyetumazuri2312
    @mapishiyetumazuri2312 3 месяца назад +2

    Zinaa Mika saba

  • @KoleYasini
    @KoleYasini 3 месяца назад +1

    Mke kazi ipo, nakumbuka chanuo..miaka 7 mnamuasi Mungu tu..

  • @AmAlialaa
    @AmAlialaa 3 месяца назад +2

    Mwanamke ndio kubadili dini

  • @bethmahela2182
    @bethmahela2182 3 месяца назад +3

    Anaongea vizuri

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 3 месяца назад +2

    Inalilah wainailah rajiun

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 3 месяца назад +1

    Ana macho mazuri

  • @hillarimtambo482
    @hillarimtambo482 3 месяца назад +1

    Chioma wetu❤❤❤❤❤❤❤

  • @robertmchocha7719
    @robertmchocha7719 3 месяца назад +1

    😂

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 3 месяца назад +2

    ❤hongera

  • @sallysafisanakijanakazibut1688
    @sallysafisanakijanakazibut1688 3 месяца назад +1

    Sasa uko vizuri unajibu point

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 3 месяца назад +1

    Hapo hakuna ndoa Muislamu kwenda kanisani kuomewa, haikubaliki dada yetu umepotea waulize mashehe.

    • @AlfaCharles-e8h
      @AlfaCharles-e8h 3 месяца назад

      Badili naww uolewe make povu limekutoka san

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 3 месяца назад +2

      ​@@AlfaCharles-e8h inalilah wainailah rajiun

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 3 месяца назад +1

      ​@@AlfaCharles-e8hwewe kafiri na uyu biharasi kafiri😢

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 3 месяца назад

      Hata wewe ni khafiri​@@aishaarusha894

    • @AgnesDavid-et3zn
      @AgnesDavid-et3zn 3 месяца назад

      Wivu tyu badili na wew

  • @rehemanassor352
    @rehemanassor352 3 месяца назад

    Hakuna lolote walikuwa wanatengeneza kiki tu

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 3 месяца назад

    Muwe mnaolewa mkiwa org.Sasa macho ya ajabu2

  • @iddsimba3849
    @iddsimba3849 3 месяца назад +8

    A beautin one❤❤❤

  • @nolexkanyittahsuit
    @nolexkanyittahsuit 3 месяца назад +3

    Jiongeze bana mwandish wa habar kukataa kulewa dini na mama kuto kuja eeh

  • @sallysafisanakijanakazibut1688
    @sallysafisanakijanakazibut1688 3 месяца назад

    Ameisha kwambia walikwazana kidogo huachi

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 3 месяца назад +1

    Kuongopa Caption Ila Kuoga Aaaah

  • @mwanahamisijuma7270
    @mwanahamisijuma7270 3 месяца назад +2

    Nani kabadili dini

    • @Mtoto-ig5vw
      @Mtoto-ig5vw 3 месяца назад +2

      Mke

    • @HassanSadiki-l5c
      @HassanSadiki-l5c 3 месяца назад

      Ndoa imefungwa kw maadili ya ukiristo Ina maana dada yetu ameamua kuritadi .....

    • @Aisha-lj8bu
      @Aisha-lj8bu 3 месяца назад +1

      Ndio

  • @musicschool_tz7014
    @musicschool_tz7014 3 месяца назад

    Ameshakuwa mke, ila kabla ya ndoa yao alifanya mgomo kwa sababu zake zisizoweza kuwa public. Mwandishi hajakosea, angekuwa hajaolewa asingemwita mke wa Ringo. Je we mtazamo wako ni upi? Je ungemwita vipi katika kichwa cha habari?

    • @musicschool_tz7014
      @musicschool_tz7014 3 месяца назад

      Halafu wameshaishi kabla ya hii siku ya ndoa. Manake wamehalalisha tuu ndoa

    • @musicschool_tz7014
      @musicschool_tz7014 3 месяца назад

      Hawa wamehalalisha ndoa maana walishaishi kwa miaka kabla ya hii siku.

    • @FaridaFaridaseif
      @FaridaFaridaseif 3 месяца назад

      Wametoka kwenye umaskini. Na tamaa ya visent. 😂

  • @SamsunGalaxy-e5k
    @SamsunGalaxy-e5k 3 месяца назад +11

    Umekula hasara shoga. Umebadili dini duh mtihani

    • @mohammedmajeed5648
      @mohammedmajeed5648 3 месяца назад +2

      Uhakika kakosea

    • @magrethdastanhaule3449
      @magrethdastanhaule3449 3 месяца назад +4

      Wivu huo unakusumbua...nyie mmezoea wanawake wa kikisto tu ndo wanabadili dini.... upendo upendo tu mwenzio kapenda kwa mkristo😁❤

    • @salhamrishoi4943
      @salhamrishoi4943 3 месяца назад +4

      Waja bhana hapo angekuwa mkristo na hakaingia uslam hapo wee ongera kama zote lakini katoka uslam kaja mkristo maneno waja dini imani jamanini kulalamika2 kuoga aaah😅😅😅😂

    • @THELEZASIPRIANI-xi8uo
      @THELEZASIPRIANI-xi8uo 3 месяца назад +2

      Wabongo tunazingatia vitu vya kijinga sana et oooh dini ko nyumbn kwako unaenda kuishi na dini ya kiislamu au kikirsto ebu angalia mtu kma anakufaa din kipengele cha ziada sana kma utajua umhim wa mtu na cyo dini

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 3 месяца назад

      ​@@magrethdastanhaule3449Hakuna mwenye wivu hapa, huyu biharus han akili, dini ya kikristo sio dini sahihi kabisaa na hatodumu nae.

  • @Naju645
    @Naju645 3 месяца назад +1

    Mkee akataa kuolewa😅😅😅😅

  • @FatmaMohammed-ry8yo
    @FatmaMohammed-ry8yo 3 месяца назад +3

    Pole sana Allah akurudishe ktk njia iliyonyooka urudi ktk uongofu utoke ktk upotofu

    • @AlfaCharles-e8h
      @AlfaCharles-e8h 3 месяца назад +1

      Wivu unakusumbua tyu, je Ringo angebadil din ungeongea, acha watyu wapendane, mungu ni mmoja mkristo Muslim wote niwatoto wa mungu

    • @Dianamwansasudddw
      @Dianamwansasudddw 3 месяца назад

      Na wote tunamsubiri huyo mmoja.acha maneno mengi jamani

    • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
      @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 4 дня назад

      waislamu wengi ni mambumbu yani wewe huyu dada wa kiislamu kuolewa n mkristo ni shida

  • @halimashaban3858
    @halimashaban3858 3 месяца назад

    Kiki hadi kweny ndoa

  • @esterMahenge
    @esterMahenge 3 месяца назад +2

    Kazurii kana akiri kana jibu vizurii❤

  • @JosephinaJohn-s3t
    @JosephinaJohn-s3t 3 месяца назад +5

    Kwanza nikabaya

  • @TellaaxisTz
    @TellaaxisTz 3 месяца назад +1

    😮#tellaaxistz

  • @irenemakundi-og9xg
    @irenemakundi-og9xg 3 месяца назад +1

    Anamajb mazur

  • @mohamedomari6129
    @mohamedomari6129 3 месяца назад +1

    Hakuna mke

  • @mussamalekela2107
    @mussamalekela2107 3 месяца назад

    Hakuwa kuwa na dini huyo miaka 7 ndani ya zinaa!!!

  • @Halimahassan-x5j
    @Halimahassan-x5j 3 месяца назад

    Duu jamani mbona kama kabadili dini jina lake na lababa Ake Bado ya kisilam au mm nimesikia vibaya pale kanisani

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le 3 месяца назад

    Yaani huyu mkewe ringo na fahima woote michizi, mtot wa kiislam kweli ubadili kuwa mkristo?? Hawa waislam jina tuu uislam hawaujui, haya bado ya fahima sasa na yy afanye afunge ndoa haramu.

    • @AlfaCharles-e8h
      @AlfaCharles-e8h 3 месяца назад

      Badili naww naona povu linakutoka san

    • @mariumseif6751
      @mariumseif6751 3 месяца назад

      Yaani wewe unayemwambia mwenzio kafuata dini ya haramu unaweza kuwa mwanaharamu kuliko yy yy hana uana haramu wowote na ukristo sio uanaharamu ni dini pia haramu ni matendo yako

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 3 месяца назад

      Hata ww badili nikuoe mimi

    • @LutfiaAbdalla
      @LutfiaAbdalla 3 месяца назад

      ​@@mariumseif6751😢

    • @LutfiaAbdalla
      @LutfiaAbdalla 3 месяца назад

      Loh poh mwanamke wa kiislam kubadili dini