Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Hii ndoa namuomba MUNGU idumu milele katika jina la YESU KRISTO
Kila laheri my brother mungu akutangulie karibu kwenye chama cha ndoa
Mungu awape maisha ya aman na baraka ..ndoa yenu naikabidhi mikononi wa mungu
hongera sana Ringo ndoa yenu ifike mbali nakuombea coz umejua kuchagua mke mzuri❤
Mzuri sawa ni mwemaaa?
Jacob a.k.a Ringooooo safari ya ndoa si Lele kaza...hope hadi unaamua kuingia maana yake umejitathimini..Mungu awatangulie❤❤
Ringo Ringo Ringo aisee Aya bna kila la kheri bwana mkweche
Ringo hongera snaa
😂😂😂 jani mbona zakia hutulii Kama mumeo mtarajiwa hebu tulia basi acha kuzunguka Kama feni
Mungu akufanyie wepes
Mungu awabariki katika maisha yenu ya ndoa
Kwaiyo mama daines umemuacha lingo
Jaman mansatula
Kumbe ringo bado hajaoa badooo😮😮😮
Heee bi harusi mwendo wa kuzunguruka tu 😂
Binti kabadili dini kamfata yesu
;nm
📀📀📀🙊😁💯🌽📀📀🙊📀media.tenor.com/9Hlh1EvqSvUAAAAM/cristiano-ronaldo-ronaldo.gifmedia.tenor.com/MojW2yr1vFoAAAAM/money-money-money.gif😅😢😢
Hiii inaweza ikawa move wanaigiza
Masantula jamani😂😂😂😂😂😂
Sielewi sasa huyu ndo mke wa ringo?na yule mwingine mweupe ivi mwenye walikuwaga naigiza naye kwani hakuwa mkewe. Mbona kuna siku ringo kashaga mtambulisha kuwa mchumba wake.sasa huyu mrefu katokeya wapi,labda ringo katuficha.mpendane inafurahisha.❤
Aiseee ringoooo
Hongera
Huyu zakia kama feni anazunguka zunguka auna aja ya kununua feni
Kanisa la comedy
Mh na mm nioe Sasa.....
Bi harusi anatatizo gani...? Mbona hatulii kama vile kabanwa na haja ndogoo😅😅 au ndo pozi..!!?
Wamebatizwa kweli kwa maji tele
Namuona masantura 😂😂😂😂
Lingo masabufa😅😅😅😅🎉
Saaaafi
Nimependa jambo frani apo
Umechagua fungu lililo jema hongera sana
Mbona vichekesho
Kila laheri Jacob
Bib harusi c utulie mbona unajizungusha san
Yani hatuliii kaniboa sana 😅😅
Automatically vibration zinatokea. ❤❤
Wengine kuondoa aibu bhana ndo mana anafanya hayo we nae
Bi harusi mrefu kama zailisa Mke wa manala
Sasa ili kanisa au FM academy 😅😅😅
😂
Huyo bibi harusi anazunguka tu au anaumwa
Anaumwa kizunguzungu
kanisa la tabasamu
Watuu wakee mbn hawapo ringoo
Anafurahia ndoq
Hii ndoa namuomba MUNGU idumu milele katika jina la YESU KRISTO
Kila laheri my brother mungu akutangulie karibu kwenye chama cha ndoa
Mungu awape maisha ya aman na baraka ..ndoa yenu naikabidhi mikononi wa mungu
hongera sana Ringo ndoa yenu ifike mbali nakuombea coz umejua kuchagua mke mzuri❤
Mzuri sawa ni mwemaaa?
Jacob a.k.a Ringooooo safari ya ndoa si Lele kaza...hope hadi unaamua kuingia maana yake umejitathimini..Mungu awatangulie❤❤
Ringo Ringo Ringo aisee Aya bna kila la kheri bwana mkweche
Ringo hongera snaa
😂😂😂 jani mbona zakia hutulii Kama mumeo mtarajiwa hebu tulia basi acha kuzunguka Kama feni
Mungu akufanyie wepes
Mungu awabariki katika maisha yenu ya ndoa
Kwaiyo mama daines umemuacha lingo
Jaman mansatula
Kumbe ringo bado hajaoa badooo😮😮😮
Heee bi harusi mwendo wa kuzunguruka tu 😂
Binti kabadili dini kamfata yesu
;nm
📀📀📀🙊😁💯🌽📀📀🙊📀media.tenor.com/9Hlh1EvqSvUAAAAM/cristiano-ronaldo-ronaldo.gifmedia.tenor.com/MojW2yr1vFoAAAAM/money-money-money.gif😅😢😢
Hiii inaweza ikawa move wanaigiza
Masantula jamani😂😂😂😂😂😂
Sielewi sasa huyu ndo mke wa ringo?na yule mwingine mweupe ivi mwenye walikuwaga naigiza naye kwani hakuwa mkewe. Mbona kuna siku ringo kashaga mtambulisha kuwa mchumba wake.sasa huyu mrefu katokeya wapi,labda ringo katuficha.mpendane inafurahisha.❤
Aiseee ringoooo
Hongera
Huyu zakia kama feni anazunguka zunguka auna aja ya kununua feni
Kanisa la comedy
Mh na mm nioe Sasa.....
Bi harusi anatatizo gani...? Mbona hatulii kama vile kabanwa na haja ndogoo😅😅 au ndo pozi..!!?
Wamebatizwa kweli kwa maji tele
Namuona masantura 😂😂😂😂
Lingo masabufa😅😅😅😅🎉
Saaaafi
Nimependa jambo frani apo
Umechagua fungu lililo jema hongera sana
Mbona vichekesho
Kila laheri Jacob
Bib harusi c utulie mbona unajizungusha san
Yani hatuliii kaniboa sana 😅😅
Automatically vibration zinatokea. ❤❤
Wengine kuondoa aibu bhana ndo mana anafanya hayo we nae
Bi harusi mrefu kama zailisa Mke wa manala
Sasa ili kanisa au FM academy 😅😅😅
😂
Huyo bibi harusi anazunguka tu au anaumwa
Anaumwa kizunguzungu
kanisa la tabasamu
Watuu wakee mbn hawapo ringoo
Anafurahia ndoq
Kila laheri my brother mungu akutangulie karibu kwenye chama cha ndoa