MSIGWA AKATA RUFAA KWA CHADEMA, AFICHUA MAZITO YALIYOTOKEA KWENYE UCHAGUZI KANDA YA NYASA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 73

  • @hassanihamidu8546
    @hassanihamidu8546 4 месяца назад +5

    Mmeamza kugombania vyeo!!! Mmekwisha yani nyinyi ni waroho wamadaraka hatuwezi kuwapa nchi pumbavu sana nyinyi

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 3 месяца назад +2

    Wewe Msigwa Unazingua Sana.

  • @denismtoma1827
    @denismtoma1827 4 месяца назад +4

    Hapa hatuna kiongozi hapa bora tutafute chama kingine

  • @YasiniRashidi-vq6ny
    @YasiniRashidi-vq6ny 4 месяца назад +5

    C ulikubali na ukatoa pongenz au umelamba asar

  • @ElvisTabula
    @ElvisTabula 4 месяца назад +2

    Ukiona mtu anakuja kwenye siasa kwa jina la Mchungaji ogopa sanaaaa

  • @MalkGunewe-x5d
    @MalkGunewe-x5d 4 месяца назад +2

    Mpuuz wewe nani alilia sikuheshimu Tena mtu gani ukubali? Wewe mjumbe wakamati kuu namlikaa kwann ujamalizana huko? Iringa mmebumba Nako au nao tukuletee ushahidi?

  • @chemstry409
    @chemstry409 4 месяца назад +3

    Nyie si ndio kila siku mnasema mnataka Democrats sasa kikwapi??

  • @MiriamAbdallah
    @MiriamAbdallah 4 месяца назад +2

    Msigwa kichwa kubwa akili sero au umeshalambishwa asali unatafuta kiki ya ukutoka🤔🤔🤔

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 4 месяца назад +3

    Msigwa mbona wewe na sugu marafiki mbona mnaanza kukiuwa Chama jamani au tayali mmeshahogwa tayali naumia Sana mmepitia magumu mangapi mmevuka shetani gani anataka kuwavuluga

  • @DavidMutiba-hr3vo
    @DavidMutiba-hr3vo 4 месяца назад +2

    Kulalamikia uchaguzi na kukata rufaa ni sahihi pia.na ndiyo demokrasia.Nisichojua no kwamba hiyo rufaa ikishindwa Msigwa atakubali matokeo? Mbona wanaolalamikiwa ndiyo haohao ambao rufaa inaelekezwa kwao? : Mbowe,katibu mkuu,mrema,ns Sugu?

  • @Digitalhhhhhgfgg
    @Digitalhhhhhgfgg 4 месяца назад +1

    alipambana kumuangusha magufuli wewe alipofariki ukasharekea sanaaa ngoja msumari ukiingie

  • @ivanymtaki3585
    @ivanymtaki3585 4 месяца назад +3

    Juu ni wapi sasa chama nacho kina mamlaka ya juu hahhah

  • @silverman6930
    @silverman6930 3 месяца назад

    Njaa mbaya sana … stop embarrassing yourself … chama la ovyo sana then you want these people to lead the country … upuuzi mtupu

  • @OmarSeafood
    @OmarSeafood 3 месяца назад

    Msigwa amekosa sifa ya kuwa kiongozi kumtuhumi kiongozi mkuu hadharani ni ukosefu wa maadili ya kiongozi , kwa sasa tunakuomba Kaa pembeni tupishe

  • @bucardjovinary7577
    @bucardjovinary7577 3 месяца назад

    Msigwa hapo unatuxhafulia chama kwann.hutaki mengne waaminiwe uaminiwee ww tuuu syo poaa

  • @magnusnkomola5950
    @magnusnkomola5950 3 месяца назад

    Matunda ya mheshimiwa Lissu.
    Alidai kuwa kuna rushwaaaa ,mbona chama kilijua mapema tuuuuu kuwa msigwaaaaa umehongwaaaaa,huaminikiiiii tenaaaa,.
    Naomba CDM mlipueniiiiii huyuuuu chawaaaaa msimwacheeeeee aendeleeee kuvurugu mipangooo yenuuuu .

  • @konshazikonsha6180
    @konshazikonsha6180 3 месяца назад

    Binadamu bwana, yani mtu akidai haki yake ndio amerambishwa asali?🤔🤔😇😇😇😇

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 4 месяца назад

    SIASA HAINA RAFIKI WALA ADUI WAHUNI WANAJI EXPOSE 😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @meshackmwalongo9798
    @meshackmwalongo9798 3 месяца назад

    Hicho unachoonge ukiwa kama kiongozi mwandamizi wamuda mrefu hakina afya nahukupaswa kuongea mbele ya midia niwazi unaonyesha hujakomaa kisiasa

  • @MohdSuleiman-fw2un
    @MohdSuleiman-fw2un 3 месяца назад

    Tamaa ya madaraka ndo tataz kubwa Tanzania siukubali kushindwa tuuuuuuuu mapambano yaendeleeeee

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 4 месяца назад +1

    Mmb ya demokrasia mzee kumbe hujaiva, ukishindwa lazma ukubal kwn mmb ya kura niyakimkakati kila mtu anahonga kama umehonga kidogo lazima upigwe

  • @mtimti3912
    @mtimti3912 4 месяца назад +4

    Neno la Mungu halipiti kamawe: Ufunuo 16:10 Kisha, malaika wa tano akamwaga bakuli lake juu ya makao makuu ya yule mnyama. Giza likauvamia utawala wake, watu wakauma ndimi zao kwa sababu ya maumivu

  • @maulidjuma5814
    @maulidjuma5814 3 месяца назад

    We toka unataka ufie kwenye uongozi ? Tatizo mnang'ang'ana mpaka basi

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 4 месяца назад +1

    Mpuuzi huyu unakata rufaa barabarani??

  • @TUMSIFU-em5te
    @TUMSIFU-em5te 4 месяца назад +1

    Kamjamaa kamesota sana so kanatafuta kiki ya kuingia ccm. Na huku hatukutaki kaeni uko mama anaendeleza kazi

  • @charlesmazigo8106
    @charlesmazigo8106 3 месяца назад

    Watu wanafeint kwa sababu wewe umeshindwa uchaguzi

  • @jamesukombozi5216
    @jamesukombozi5216 4 месяца назад +1

    Sema madaraka ni matamu 😂😂

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 4 месяца назад +4

    Aaaa Mzee wamekuchoks Haooo Achana nao bwanaa maisha sio kwenye siasa Tuu

    • @TUMSIFU-em5te
      @TUMSIFU-em5te 4 месяца назад

      Kweli kamjamaa hakataki kwenda kulima

    • @frankngoloka5416
      @frankngoloka5416 4 месяца назад

      Rudhuku hiyo inaasali ndani yake

  • @evalutanjuka7290
    @evalutanjuka7290 4 месяца назад +1

    Ni haki yake jamani hata kama alipongeza hajamnyima haki ya kukata rufaa.ila akubali kuna shinda na kushindwa.

  • @musso238
    @musso238 3 месяца назад

    Kama mmeanza kukataana mapema hivi Mkishika nchi mtatukataa kinyama sana😂

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 2 месяца назад

    Hivi nani alimpa uchungaji? Huyu msigwa

  • @Kachuba-w9p
    @Kachuba-w9p 3 месяца назад

    Ha chadema pia mna watu kutoka juu😂😂😂😂

  • @SaidiMkome-qq7hy
    @SaidiMkome-qq7hy 4 месяца назад +1

    Kwaiyo 7 midogo iyo Saba umekifanyia nn chama kweli ccm baba lao

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 4 месяца назад +2

    Huyu msigwa kunakitu anakitafuta
    Yeye alikiri ameshindwa Sasa anataka Nini

    • @ce-08
      @ce-08 3 месяца назад

      Rudia kusikilza

  • @marymichael9964
    @marymichael9964 3 месяца назад

    Sasa Kama ndo ivi tukiwapa urais itakuaje

  • @TUMSIFU-em5te
    @TUMSIFU-em5te 4 месяца назад +1

    Chadema Kuna akina nkurunzinza wengi, acheni umimi waachieni wengine watawale

  • @Kachuba-w9p
    @Kachuba-w9p 3 месяца назад

    Dah chadema bdo sanaa kukamata dola

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 4 месяца назад +1

    Siasa tam ukishinda ukishindwa chungu balaa

  • @saidabdillahi8107
    @saidabdillahi8107 4 месяца назад +1

    Karibuni ACT wazalenfo chama cha weledi wa siasa, ukitaka kuishi kwa raha usimseme Mama kwa Ubaya, ukimsema kwa ubaya Muungwana Samia tegemea kugongwa na kitu kizito, tuyategemee kwa Lisu hata udiwani akigombea hawezi kupata wacha ubunge au Uraisi (keep my word)yajayo yanafurahisha hasa kwa wana siasa wenye midomo michafu

    • @ce-08
      @ce-08 3 месяца назад

      Mtu yoyote akikosea lazma asemwe tu

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 4 месяца назад

    Miaka 7 na BADO hutaki kuachia ngazi ukiona HIVYO NDIO HAWAKUTAKI tena

  • @AngerusLijuja-bg6sb
    @AngerusLijuja-bg6sb 3 месяца назад

    NAWEWE YAMEKUKUTA

  • @barakamwasi7442
    @barakamwasi7442 4 месяца назад +1

    Wanaumana😂😂

  • @jamesmethusela1148
    @jamesmethusela1148 4 месяца назад

    Bora tu CCM iendelee kushika Dola, hawa bado Sio chama ambacho kinastaili kupewa dola bado bado yani bado mnoo wao tu wenyewe bado hawajui hata wanakoelekea ni wapi, hawa ni wachumia tumbo tu wasituaminishe Ujinga hamna kitu hapo.

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 3 месяца назад

    Sasa s ustaafu

  • @pendaelmollel1847
    @pendaelmollel1847 4 месяца назад +5

    Kuna kila dalili ya mtu kulamba asali hapa ili akichafue chama

    • @frankngoloka5416
      @frankngoloka5416 4 месяца назад

      Asali ni noma sana

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 4 месяца назад

      Wanasiasa wote iwe ccm au chadema ni watu wakuogopa sana shida iliopo wananchi wengi Hua hatuoni hawa siasa kwao ni ajira ivyo kuuza wewe mpiga kelele kwa maslahi yake ni sekunde tu

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 4 месяца назад

    Chama kina dalili za dictatorship mwenyekiti miaka 5000 😅😅😅😅😅😅

  • @juliuslengai5089
    @juliuslengai5089 4 месяца назад

    Pameanza kuchangamka.. siku zote chadema ni wehu

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 4 месяца назад

    Kwahiyo KILA mkishindwa hamkubali

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda7927 4 месяца назад

    Chadema inaeza kushinda uchaguzi mkuu ujao amini nawaambia niamini mimi

  • @GeophreyMsomba
    @GeophreyMsomba 4 месяца назад

    😂😂😂😂

  • @Georgemselyamwaluko
    @Georgemselyamwaluko 4 месяца назад

    Au huyu ndoo kapewa hela na mama abduli

  • @cchimodzi3858
    @cchimodzi3858 4 месяца назад

    Kubali matokeo mzee maisha yaendelee

  • @kibonajuhudi4214
    @kibonajuhudi4214 4 месяца назад +2

    Hakuna Demokrasia ndani ya Chama cha Demokrasia😅😅😅

  • @chemstry409
    @chemstry409 4 месяца назад +3

    Umekaa kwa muda mrefu mbona DJ yupo muda mrefu hawamtoi???😂😂😂

  • @onesmomashembo8495
    @onesmomashembo8495 4 месяца назад +2

    Ccm sio watu wema wameiba kura tena

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 4 месяца назад

    Acha chokochoko

  • @rashidally7621
    @rashidally7621 4 месяца назад +2

    Hiking co chama cha maendeleo umeona hata serekali hawajaipata wanaaza kuhujumiana wao kwa wao

  • @alextarimo4972
    @alextarimo4972 3 месяца назад

    Kwan mshahara sh ngapi kuwa kiongozi wa nyasa..

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 4 месяца назад +3

    Millard Ayo na nyie ni wanafiki sana katika nchi hiii mbona hotuba anazozitoa Mweshimiwa Tundu lisu hazitolewi ktk Page yako unapost tu mafalakano nyie waseng hamfai ktk jamii yetu😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮

    • @Mumewangu
      @Mumewangu 4 месяца назад +1

      Mabaya ndio yatolewe njee

    • @JoseWilson-vb2di
      @JoseWilson-vb2di 4 месяца назад +1

      Naanza kuwa na mashaka na ww

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 4 месяца назад +1

      Tundu lisu hajawahi kutoa hotuba zaidi ya kutukana watu kwenye majukwaa, tangu amepigwa risasi akili imeyumba hana jipya