MHE FREEMAN MBOWE AWEKA MAMBO SAWA MPASUKO WA CHAMA ARUSHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 26

  • @EvaKiswaga-j2o
    @EvaKiswaga-j2o 3 месяца назад +1

    Asante kamanda mbowe. Umebarikiwe
    Sana isitoshe upinzani mko vizuri. Wenye kuvuruga Amani Chama tawala. Halafu anasema upinzani mnavugu. Si kweli

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 3 месяца назад +3

    President wangu kila ukiongea maneno yako uniimiza kuwa mtu sahihi kwa siasa...

  • @emmanuelymganga5737
    @emmanuelymganga5737 3 месяца назад +1

    One love Mbowe ✌️💪

  • @GodwinIssack
    @GodwinIssack 3 месяца назад

    Uongozi wa juu wa Chama unapashwa kushughulikia mambo ambayo yanaleta mgawanyiko na matengano kwenye Kanda na Kitaifa kwa ujumla wake.
    Na huu ni wakati ambao umakini unahitajika sana, maana wapumbavu wa upande ule huu ndio wakati ambao huwa wanautumia kuleta mafarakano na kuanza kuwanunua wale walio virus kwenye Chama.

  • @foibennjeje7730
    @foibennjeje7730 3 месяца назад +1

    Safi sana

  • @yosephatMasanyiwa-oh1rl
    @yosephatMasanyiwa-oh1rl 3 месяца назад +4

    Mbowe ukiharibu hicho chama Kuna watu wengi sana watakufa kwa machungu

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd 3 месяца назад

      Kweli kabisa Josephat, Chadema ndilo tumaini pekee la Watanganyoka kutuletea UHURU KAMILI KUTOKA KWA CCM, NATUTAUPATA SI MUDA MREFU UJAO... TAFADHALI WAHAMASISHE WATU KUJIANDIKISHA KISHA KUPIGA KURA NA KULINDA KURA HAKIKA TUTASHINDA.

  • @eliadaudi6664
    @eliadaudi6664 3 месяца назад

    Mbona lisu hayupo

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 3 месяца назад +1

    Mbona mmemtenga lisuu anafanya mkutano sahii kijijini kwao tu

    • @simonnjovu586
      @simonnjovu586 3 месяца назад

      Unataka viongozi wawe sehemu moja ya nchi? Lissu akiwa Itigi na akina Heche na Msigwa aliwaambia wanaItigi kuwa walipanga wawe na Mbowe, lakini kuna jambo anashughulikia Arusha.

    • @stanastana3199
      @stanastana3199 3 месяца назад

      @@simonnjovu586 sasa lisu anataka ubunge ama urais

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 3 месяца назад

    Wachadema Taasisi yao

  • @alphoncembasa592
    @alphoncembasa592 3 месяца назад

    Duu

  • @LutenganoCharles-d7t
    @LutenganoCharles-d7t 3 месяца назад

    Makonda ndo kashusha nguvu ya Arusha ata Lema analijua hilo Ujio wa makonda Arusha na gia aliyoingia nayo kusikiliza kero za wananch itadididmiza sana nguv ya upinzani Arusha

    • @GodwinIssack
      @GodwinIssack 3 месяца назад

      Ule ni upuuzi tu, kwa Mtu Makini na mwenye kujielewa hawezi mzingatia makonda, upuuzi kama huo anaoufanya Arusha aliwahi ufanya Dares Salaam unaweza niambia matokeo yake mpaka leo! Wa Tanganyika tunapashwa kuwatambua watu hovyo kama makonda, sababu anayo yafanya hayapo Kisharia bali kama anataka kweli kuwasaidia Watu wa Arusha angeshauriana na Uongozi wake wa Chama na Serikali kuangalia ni namna gani wa pelekea mswada wa Sharia bungeni ambao utamlinda na kumpa Haki mwananchi wa Arusha na Tanganyika kwa Ujumla linapokuja suala la kudhulumia Ardhi na chochote na Mtu au serikali! Tofauti na hapo ni kuchezea Rasilimali muda wa Watu nakuambia.

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 3 месяца назад

    Wachaga mafisadi tu

    • @albertjames6845
      @albertjames6845 3 месяца назад

      Unawashwa mkundu wewe

    • @PrinceHendry-hp8vv
      @PrinceHendry-hp8vv 3 месяца назад

      Chama cha machame

    • @DONALDMTOWE-u9g
      @DONALDMTOWE-u9g 3 месяца назад

      Kama mama yako anavyo msaliti baba yako,ni fisadi tu.

    • @PrinceHendry-hp8vv
      @PrinceHendry-hp8vv 3 месяца назад

      @@DONALDMTOWE-u9g paka mate nije

    • @GodwinIssack
      @GodwinIssack 3 месяца назад

      Tuambie ufisadi wao kwa evidence sio kuja na masikini wa akili na fikra wa kuwachukia Watu bila sababu.

  • @faiditv5535
    @faiditv5535 3 месяца назад

    Hoja atutaki uwe mwenyekitu

    • @raymondnlelwa427
      @raymondnlelwa427 3 месяца назад +1

      Sababu ni nini au anawachoma na kuwashika pabaya? Ataendelea kuwa kiongozi hadi CDM ichukue nchi.