Uongozi wa juu wa Chama unapashwa kushughulikia mambo ambayo yanaleta mgawanyiko na matengano kwenye Kanda na Kitaifa kwa ujumla wake. Na huu ni wakati ambao umakini unahitajika sana, maana wapumbavu wa upande ule huu ndio wakati ambao huwa wanautumia kuleta mafarakano na kuanza kuwanunua wale walio virus kwenye Chama.
Kweli kabisa Josephat, Chadema ndilo tumaini pekee la Watanganyoka kutuletea UHURU KAMILI KUTOKA KWA CCM, NATUTAUPATA SI MUDA MREFU UJAO... TAFADHALI WAHAMASISHE WATU KUJIANDIKISHA KISHA KUPIGA KURA NA KULINDA KURA HAKIKA TUTASHINDA.
Unataka viongozi wawe sehemu moja ya nchi? Lissu akiwa Itigi na akina Heche na Msigwa aliwaambia wanaItigi kuwa walipanga wawe na Mbowe, lakini kuna jambo anashughulikia Arusha.
Makonda ndo kashusha nguvu ya Arusha ata Lema analijua hilo Ujio wa makonda Arusha na gia aliyoingia nayo kusikiliza kero za wananch itadididmiza sana nguv ya upinzani Arusha
Ule ni upuuzi tu, kwa Mtu Makini na mwenye kujielewa hawezi mzingatia makonda, upuuzi kama huo anaoufanya Arusha aliwahi ufanya Dares Salaam unaweza niambia matokeo yake mpaka leo! Wa Tanganyika tunapashwa kuwatambua watu hovyo kama makonda, sababu anayo yafanya hayapo Kisharia bali kama anataka kweli kuwasaidia Watu wa Arusha angeshauriana na Uongozi wake wa Chama na Serikali kuangalia ni namna gani wa pelekea mswada wa Sharia bungeni ambao utamlinda na kumpa Haki mwananchi wa Arusha na Tanganyika kwa Ujumla linapokuja suala la kudhulumia Ardhi na chochote na Mtu au serikali! Tofauti na hapo ni kuchezea Rasilimali muda wa Watu nakuambia.
Asante kamanda mbowe. Umebarikiwe
Sana isitoshe upinzani mko vizuri. Wenye kuvuruga Amani Chama tawala. Halafu anasema upinzani mnavugu. Si kweli
President wangu kila ukiongea maneno yako uniimiza kuwa mtu sahihi kwa siasa...
One love Mbowe ✌️💪
Uongozi wa juu wa Chama unapashwa kushughulikia mambo ambayo yanaleta mgawanyiko na matengano kwenye Kanda na Kitaifa kwa ujumla wake.
Na huu ni wakati ambao umakini unahitajika sana, maana wapumbavu wa upande ule huu ndio wakati ambao huwa wanautumia kuleta mafarakano na kuanza kuwanunua wale walio virus kwenye Chama.
Safi sana
Mbowe ukiharibu hicho chama Kuna watu wengi sana watakufa kwa machungu
Kweli kabisa Josephat, Chadema ndilo tumaini pekee la Watanganyoka kutuletea UHURU KAMILI KUTOKA KWA CCM, NATUTAUPATA SI MUDA MREFU UJAO... TAFADHALI WAHAMASISHE WATU KUJIANDIKISHA KISHA KUPIGA KURA NA KULINDA KURA HAKIKA TUTASHINDA.
Mbona lisu hayupo
Mbona mmemtenga lisuu anafanya mkutano sahii kijijini kwao tu
Unataka viongozi wawe sehemu moja ya nchi? Lissu akiwa Itigi na akina Heche na Msigwa aliwaambia wanaItigi kuwa walipanga wawe na Mbowe, lakini kuna jambo anashughulikia Arusha.
@@simonnjovu586 sasa lisu anataka ubunge ama urais
Wachadema Taasisi yao
Duu
Makonda ndo kashusha nguvu ya Arusha ata Lema analijua hilo Ujio wa makonda Arusha na gia aliyoingia nayo kusikiliza kero za wananch itadididmiza sana nguv ya upinzani Arusha
Ule ni upuuzi tu, kwa Mtu Makini na mwenye kujielewa hawezi mzingatia makonda, upuuzi kama huo anaoufanya Arusha aliwahi ufanya Dares Salaam unaweza niambia matokeo yake mpaka leo! Wa Tanganyika tunapashwa kuwatambua watu hovyo kama makonda, sababu anayo yafanya hayapo Kisharia bali kama anataka kweli kuwasaidia Watu wa Arusha angeshauriana na Uongozi wake wa Chama na Serikali kuangalia ni namna gani wa pelekea mswada wa Sharia bungeni ambao utamlinda na kumpa Haki mwananchi wa Arusha na Tanganyika kwa Ujumla linapokuja suala la kudhulumia Ardhi na chochote na Mtu au serikali! Tofauti na hapo ni kuchezea Rasilimali muda wa Watu nakuambia.
Wachaga mafisadi tu
Unawashwa mkundu wewe
Chama cha machame
Kama mama yako anavyo msaliti baba yako,ni fisadi tu.
@@DONALDMTOWE-u9g paka mate nije
Tuambie ufisadi wao kwa evidence sio kuja na masikini wa akili na fikra wa kuwachukia Watu bila sababu.
Hoja atutaki uwe mwenyekitu
Sababu ni nini au anawachoma na kuwashika pabaya? Ataendelea kuwa kiongozi hadi CDM ichukue nchi.