Shukran Usatdh kama unamjuwa Yusuf Diwari muusie akae kimya maana kila akiongea twamuona mweupeeee zuzuuuuu.vila anavyo ongea mwambie awe mwana habari.
ALLAAH AKUHIFADHI SHEKH WETU,USIJALI KWA COMENT ZA MATUSI ZA HAWA MASUFI NA AHLULBIDA'A , WALIANZA KUMTUKANA BACHU HUMUHUMU KWAMBA HANA ELIMI LAKINI LEO AIBU IMEWAJAA, ALLAAH AKUHIFADHI
Nakushauri kijana wetu achana na mijadala isiyo na faida Waisilamu wana matatizo mengi ya kijamii ikiwemo umasikini hivyo tumieni muda wetu kutatua matatizo kama hayo.
@abjadacademy - Akhy Allah akubarik na azidi kukuthibitisha kwenye haki na akupe ikhlas - Naomba ktk muendelezo wako tutolee somo kuhusu ukaswanywaji wa bibilia na lini iliandikwa ili tubainishe upotofu wake .
Mafasiriyo ya sheikh Muhammad bachu inatosha kufahamisha kiukweli bwana Yusufu diwani amepotosha jamii hivi Nani anayeweza kusema bachu akaongopea wakati akisema analeta dalili ya wanavyuoni wanaotegemewa kwenye Dini yetu ya uislamu na diwani mazungumzo yake hakuna dalili hata moja ama hata dalili ya uongo kama wafanyavyo watu WA maulidi waletavyo hadithi za uongo Kwa lengo la kukuza maulidi yao. Sheikh bachu nimempenda kwa ajili ya Allah na ili darasa lake kueleweka Zaidi amemfanya diwani kuwa ubao WA kuelimisha jamii na wanaelewa hivi nani awezae kusupport diwani akaacha Muhammad bachu?!!! Nashangazwa na mtu mwenye hajamuelewa Muhammad bachu anavyojitahidi kuupeleka ukweli Kwa hikma na busara minakasha kati yake na masufi imenifanya kutambuwa masufi ovyoooooo mawahabu ongera nasema tena ongera bwana Muhammad bachu umekuwa kwangu kisababu cha kuupenda uwahabi na masheikh wao na wewe bwana mdogo ongera kujitahidi kuuweka inje utapeli wa yusufu diwani maneno mingi na kelele zake zimewatapeli wanafunzi wake
Mtu asijiami na elimu yake. Ukijiona unaelimu basi Jua kua yupo zaidi alokupita. Kisa maarufu cha nabii Mussa As na hindhir. Diwani nikiumbe mkaidi sana naasio na hekma hata kidogo. Kujuiona anajua nahau. Kumbe wapo watu wanakuangia tu.
SubhanaLLah. Allah Subhana Wata'ala aliahidi kuihifadhi Qur'an tukufu yeye mwenyewe. Na hii sasa ndio tafsiri ya Qur'an kunusuriwa kutokana na tafsiri mbovu zisizo na mashiko sahihi. Ndugu zangu Allah Subhana Wata'ala Anatisha. Huyu ndugu yetu aliyeitwa "kitoto kidogo" ndio anabainisha mapungufu ya wazi kabisa ya Sheikh Yusuf Diwani. Shughuli ya "kitoto kidogo" ndo hiyo! Haya akija mtu mzima tutaweka wapi nyuso zetu za ukaidi, matusi na inda? Turudini kwa Allah ndugu zangu. Sifa ya kukataa ukweli sio sifa nzuri kwa mu'umin. SubhanaLLah! Sheikh wetu Allah Akujaze Kheri kwa kutupatia Ilmu yenye manufaa na Akuinue daraja fii Dunya wal Aakhera. Endelea kunusuru dini ya Allah
Yani nimeamini kweli mawahabi uwelewa mdogo sana kila anavyo fafanua shekhe diwani hawaelewi ukweli nilichi jifunza watu awanaushabiki wakimadhehebu lakini shekhediwani kaelewika we mtoto hunaelim yakumkosowa shekhe diwani hatamimi nilikuwa kama wewe ila kwenyeukweli nabidi nikubali diwani yupo sawa sisemi unafiki
Hata ukiijua laa ilaha illa Allahu ni ilm kumbwa kuliko kusoma maktaba ya nchi nzima na ukawa ahlul ziada yaani unazidisha mambo ambayo hayapo kwenye qur’ani wala sunnah sahihi
Kwako ww mjinga nikelele utajo wa Allah lakini kwetuss nifuraha kutajiwa jinaili la Allaha kwetu ss nineema Allaha ndiyo kilakitu kwetuss naww usiyejitambuwa naoo wagangawako
Makafiri waliopita pia waliwaambia mitume yao kua wampe mtaji wa maisha ili atulie lkn mitume waliwajibu kua alichotupa Allah nibora na kheri zaidi kuliko mlivyopewa nyinyi Na elimu ya kumjua Allah nibora kuliko mitaji ya maisha ya dinia
Hakuna kitu imeisha, mpaka haqi ikuwe wazi kwa wanaotaka, mliogopa kutusi watu tena😂😂😂o mkatoliki mdogo, o mwana haramu, mwisho mlichukiwa na watu wenu ikabidi muate matusi na hakuna kitu ingine mnaweza isipokuwa matusi 😂😂😂
@@shabanihugo8332 sawa mimi na kunasih tu hilo nijambo zito sana kumkufurisha mtu nyinyi mawhabi pamoja na chafu mulionao kwenye aqudah lkin sisi hatuwakufurushi nyinyi kwasababu tunajuwa hatari yake kwahiyo wewe kama umechaguwa njia hiyo endelea
A.aleikum Yussuf Diwani kila kitu kwake majibu yake matusi sasa kakatazwa kumtukana M.bachu sasa anaanza kututukana sisi tunao comment kibonzo huyu Yussuf Diwani badala alete majibu mazuri na yenye mashiko kwanini kafunga comment section yeye analeta matusi.Bure Kabisa huyu.
@@iddimutua420 acha ujinga ww majibu mulete nyinyi wapi mtume sw ame gawanya tawhid 3 ama allah ame gawanya munahama mada munataka majibu ya nn sasa na nyie ndio wenye majib
Toa hoja. Muislamu wa kweli hatukani. Huyu kijana yupo katika juhudi. Kama umeumia, pole vumilia hamna jinsi. Jifunze ujibu hoja, acha matusi hayasaidii kitu.
@@shabanihugo8332kuwa makini na kukufurisha watu kama sikafir hilo neno haliend bure kwamujibu wa mtume s.a.w kwahiyo kuwamakin ila si hivo utachomeka
Maashaallaah
Jazaaka allaahu khyraa
Shukran Usatdh kama unamjuwa Yusuf Diwari muusie akae kimya maana kila akiongea twamuona mweupeeee zuzuuuuu.vila anavyo ongea mwambie awe mwana habari.
Akhuy Allaah akubariki umeongea vyema kabisa Maashaa Allaah
@@OmarAlly-iz8ot uyo uta mwita ata anti lakin hamna kitu humo
We kijana, nakupa maua yako🎋🎋🎋 Allah akuongezee elimu na hekima
Sasa allah ametujaribu kupitia so mtihani mdogo huu
JAZAKALLAHU KHEIR
Allahu Yaalam
Bismillah
Kijana tuna kusikiliza
Maashallah Allah akubariki
Baaraka llahu fik
ALLAAH AKUHIFADHI SHEKH WETU,USIJALI KWA COMENT ZA MATUSI ZA HAWA MASUFI NA AHLULBIDA'A , WALIANZA KUMTUKANA BACHU HUMUHUMU KWAMBA HANA ELIMI LAKINI LEO AIBU IMEWAJAA, ALLAAH AKUHIFADHI
Unajua kwamba huyu sheikh wako ni shia
Ivi Diwani shida yake ni nini mbona anapotea anataka awe na mwisho mbaya
Alla kukuzidishie kaka uzidi kubainisha ukweli, SHIDA YA DIWANI HAKUBALI KUKOSOLEWA IJIFANYA YEYE NI MTUME ALLAH AMUONGOZE NASISI
@@RamadhaniShembilu-l1e acha kupata dhambi za bure kajifanya lini kua mtume kazi zenu kukufurisha watu tu
@@RamadhaniShembilu-l1e je nyinyi masalafi ni yup ambae anakubal kukosolewa baina yenu ndio nyie munao jua kila kitu
Nakushauri kijana wetu achana na mijadala isiyo na faida Waisilamu wana matatizo mengi ya kijamii ikiwemo umasikini hivyo tumieni muda wetu kutatua matatizo kama hayo.
@abjadacademy - Akhy Allah akubarik na azidi kukuthibitisha kwenye haki na akupe ikhlas - Naomba ktk muendelezo wako tutolee somo kuhusu ukaswanywaji wa bibilia na lini iliandikwa ili tubainishe upotofu wake .
Sheikh tuwekee namba yapo tukupe swadaqa, Umefanya juhudi kubwa sana katika kuondoa shubha hii. Ambaye hajakuelewa Allah ampe ufahamu In Shaa Allah.
Diwani anamatatizo sana kwahali ya namna hiyo
Kwa hali ya namna hiyo
😂😂
Huo msemo anaupenda sana.😂
Tupe elimu shekh tupate kuelimika
Fanya Mambo Yatakayo Ufanya Ummah Uwe Pamoja Na Sio Kuwagawa Watu Kwakujifanya Ni Mjuzi Wao Mnoo...
Anaelimisha,acha hasadi. Kama unaumia pole vumilia.
Mafasiriyo ya sheikh Muhammad bachu inatosha kufahamisha kiukweli bwana Yusufu diwani amepotosha jamii hivi Nani anayeweza kusema bachu akaongopea wakati akisema analeta dalili ya wanavyuoni wanaotegemewa kwenye Dini yetu ya uislamu na diwani mazungumzo yake hakuna dalili hata moja ama hata dalili ya uongo kama wafanyavyo watu WA maulidi waletavyo hadithi za uongo Kwa lengo la kukuza maulidi yao. Sheikh bachu nimempenda kwa ajili ya Allah na ili darasa lake kueleweka Zaidi amemfanya diwani kuwa ubao WA kuelimisha jamii na wanaelewa hivi nani awezae kusupport diwani akaacha Muhammad bachu?!!! Nashangazwa na mtu mwenye hajamuelewa Muhammad bachu anavyojitahidi kuupeleka ukweli Kwa hikma na busara minakasha kati yake na masufi imenifanya kutambuwa masufi ovyoooooo mawahabu ongera nasema tena ongera bwana Muhammad bachu umekuwa kwangu kisababu cha kuupenda uwahabi na masheikh wao na wewe bwana mdogo ongera kujitahidi kuuweka inje utapeli wa yusufu diwani maneno mingi na kelele zake zimewatapeli wanafunzi wake
Anayo sifa ya uganga na alisema kuwa Uganga ni sunna.
Mtu asijiami na elimu yake. Ukijiona unaelimu basi Jua kua yupo zaidi alokupita.
Kisa maarufu cha nabii Mussa As na hindhir.
Diwani nikiumbe mkaidi sana naasio na hekma hata kidogo.
Kujuiona anajua nahau.
Kumbe wapo watu wanakuangia tu.
History hujui basi ya hamajina ya watu
SubhanaLLah. Allah Subhana Wata'ala aliahidi kuihifadhi Qur'an tukufu yeye mwenyewe. Na hii sasa ndio tafsiri ya Qur'an kunusuriwa kutokana na tafsiri mbovu zisizo na mashiko sahihi. Ndugu zangu Allah Subhana Wata'ala Anatisha. Huyu ndugu yetu aliyeitwa "kitoto kidogo" ndio anabainisha mapungufu ya wazi kabisa ya Sheikh Yusuf Diwani. Shughuli ya "kitoto kidogo" ndo hiyo! Haya akija mtu mzima tutaweka wapi nyuso zetu za ukaidi, matusi na inda? Turudini kwa Allah ndugu zangu. Sifa ya kukataa ukweli sio sifa nzuri kwa mu'umin. SubhanaLLah!
Sheikh wetu Allah Akujaze Kheri kwa kutupatia Ilmu yenye manufaa na Akuinue daraja fii Dunya wal Aakhera. Endelea kunusuru dini ya Allah
Nenda kasome,huna kitu katika elimu,na usitukane Maulamaa
Kwani wewe na huyu bwana mdogo nani karuzukiwa ufahamu zaidi? Kaa sini bado hujachelewa. Acha hahasadi.
Angalia hoja, na huu ndo ufahamu sahihi.
Onyo Kali Kwa Waislam Tunao Miliki Channel Za Kidini Tumuogope Allah Maana Tusijejitafutia Moto Wa Bure Kwakutaka Kukuza Channel Zetu...
Usiwe na haraka na usheikh subir alau uote ndevu
Vip ND kigez ch usheh wew chukua hoja km n mfuatiliaji zifuatilie
Acha hasadi. Watu wapate faida. Yeye amekwambia anataka ushekhe?Acha husda.
Mnajisumbua tu kumjibu huyo Mbumbumbu Diwani, hata masufi wenzake hawazingatii porojo zake za kiganga. Allaah amuongoze
Hahaha😂😂😂 kweli ndugu huyu jamaa masufi wenzake wamemkataa wasema nimweupee hajulikani kusomea wap
Halafu Muna mpatia likes
Sheikh , muhimize Sheikh Diwani afungue comments tumsaidie aache kukufuru.
walaykum salam
shekh weka namba zako tuchangie uendeshaji wa vipindi
Jazakum Allahu khayran
Acheni ujinga Yani nyinyi watoto wasasa mukisha juwa kitabu Cha kimoja ndio mna jiona munajuwa kusoma
Ww umesoma vingapi
Zidsha kuwapoteza hao mambumbumbu wenzako, naona unaooroja tu
Huna hoja zaidi ya maradhi ya moyo.
Umetoke wapi huyu
Ime kuwa vizuri umepata kamera
Allah ukuzidishie rizki nyengine
@@QureishMakame Amin
Masheikh mko wapi mpaka dini anazungumziwa na matahira?
Huyu mtoto kakaliliswa nami nilikua mjinga kama huyu
Uislamu ni Dini ya dalili. Nenda kwenye na uzipinge kwa dalili. Acha kabobo zisizokuwa na mpango.
@@HamzaAmani-b5jAliekaririshwa hawi hivi. Huyu amekaa chini akasoma. Kama wewe hujasoma kuwa mpole, vumilia tu dawa ipite kata msuli. Poleni.
Yani nimeamini kweli mawahabi uwelewa mdogo sana kila anavyo fafanua shekhe diwani hawaelewi ukweli nilichi jifunza watu awanaushabiki wakimadhehebu lakini shekhediwani kaelewika we mtoto hunaelim yakumkosowa shekhe diwani hatamimi nilikuwa kama wewe ila kwenyeukweli nabidi nikubali diwani yupo sawa sisemi unafiki
Katika hali ya namna hiyo Diwani atakua kaelewa ila ubishi ndio utakaofuata
Bachu na diwani ni wanafunzi sheikh wao niwewe uliosoma vitabu viwili tata لفظ nimtihani
Hata ukiijua laa ilaha illa Allahu ni ilm kumbwa kuliko kusoma maktaba ya nchi nzima na ukawa ahlul ziada yaani unazidisha mambo ambayo hayapo kwenye qur’ani wala sunnah sahihi
@umbopaday kwa akili yako .mtume kaambiwa soma hajaambiwa laailaaha ilalah inatosha someni muondokewe na ujinga
@ wewe kichwa buyu siwezi kupigigizana kelele watu mlio laniwa we piga ziada zako vidufu na vinginevyo mpaka ufe 🖐️
Dufu Unalijua Mdogo Angu...?@@umbopaday
@@Islamiccontents_tv Mimi babu yako kuwa na heshima nenda kasome kwanza acha vidufu
Tatizo je mtu akubali kukosolewa
Halafu nyinyi mawahabi na viristoo hakuna tofauti Sasa ni sheikh Gani hyo lugha ya kiaribu hajuw
Kaa kimya usitupigie kelele
Umekomenti mara ngapi kaka, 😂😂😂😂 mwambie Diwani wako haqi lazima ibainishwe, penda usipende
Kwako ww mjinga nikelele utajo wa Allah lakini kwetuss nifuraha kutajiwa jinaili la Allaha kwetu ss nineema Allaha ndiyo kilakitu kwetuss naww usiyejitambuwa naoo wagangawako
Wewe umekwenda alau shele ya msingi?
Usijibu kabla kuelewa
Tutakupa mtaji utulie
Mtaji aliopewa na Allah nibora mno kuliko huo mtaji unaotaka kumpa wewe
Makafiri waliopita pia waliwaambia mitume yao kua wampe mtaji wa maisha ili atulie lkn mitume waliwajibu kua alichotupa Allah nibora na kheri zaidi kuliko mlivyopewa nyinyi
Na elimu ya kumjua Allah nibora kuliko mitaji ya maisha ya dinia
Nuru ya elimu inatosha maana sina dhiki na wala sijawahikumdhania Allah vibaya nikasingizia nyota kama mganga wenu
Nuru ya elimu inatosha maana sina dhiki na wala sijawahikumdhania Allah vibaya nikasingizia nyota kama mganga wenu
Kua na adabu nani alokuambia anashida na mtaji - kijana ana uhuru wake wa kubainisha na kutoa nasaha - acha kejeli
Kumbe hata hio swarfa na balaqa na majazi tumechezwa😂😂😂 kisha sheikh Yusuf Diwani hakosei, mjue hivyo
Haya mambo yameisha mbona unapenda sifa
Hakuna kitu imeisha, mpaka haqi ikuwe wazi kwa wanaotaka, mliogopa kutusi watu tena😂😂😂o mkatoliki mdogo, o mwana haramu, mwisho mlichukiwa na watu wenu ikabidi muate matusi na hakuna kitu ingine mnaweza isipokuwa matusi 😂😂😂
Ww acha ujinga ayamambo ayajaisha mpaka wajinga wakimbiye
Nenda tanga kasilimishe ndugu zako kwanza
Shenzi wewe unatetea kafiri diwani,anayesema maneno ambayo hajawahi tokea hata siku moja ktk waislamu kusema hivyo
@@shabanihugo8332 anasema shekh mukbil mwenye kuwakufurisha waislamu huzingatiwa mbwa katika majibwa ya motoni
@@darajanida chukia utakavyochukia
Huyo ni kafiri
@@shabanihugo8332 sawa mimi na kunasih tu hilo nijambo zito sana kumkufurisha mtu nyinyi mawhabi pamoja na chafu mulionao kwenye aqudah lkin sisi hatuwakufurushi nyinyi kwasababu tunajuwa hatari yake kwahiyo wewe kama umechaguwa njia hiyo endelea
Sheikh Diwani hajamjuwa Alla, humuita hata ndugu yake Hussein alla, naye pia huitwa hivyo hiyo. Chunguza utaona mwazo wa video zao huitana yaalla.
Huyu hana manhaj wala aqidah porojo tu
A.aleikum
Yussuf Diwani kila kitu kwake majibu yake matusi sasa kakatazwa kumtukana M.bachu sasa anaanza kututukana sisi tunao comment kibonzo huyu Yussuf Diwani badala alete majibu mazuri na yenye mashiko kwanini kafunga comment section yeye analeta matusi.Bure Kabisa huyu.
@@iddimutua420 acha ujinga ww majibu mulete nyinyi wapi mtume sw ame gawanya tawhid 3 ama allah ame gawanya munahama mada munataka majibu ya nn sasa na nyie ndio wenye majib
Yan mtu anakaa anazungumza hata ushahidi hana ww ni sheikh kwel hahahaha kakojowe ulale
Mitandao umetuletea jinamizi la majahiluun al murakkabuun kama huyu msegej wa tanga
unaongea upumbavu hata elmu ww huna kwanza nenda ukasome ujifundishe tafsiri vizur sana
Mmmh ulikaa darasan angalau cku 2
@@mwalivanduabdul sasa jiulize ww maaana kaz zenu dharu tu kila munae muona muna hisi hana elmu kwa sabab mume someshwa kubishana tu c jengine
Kutaka umaarufu kutakupelekeni motoni
Nikweli zinamdanganya komenti huyu hajui
Soma historia wewe. Neno Alllah lilitumika hata na wapagani kabla ya uislam. Acha uongo.
Sio umri mdogo ata akili yako ndogo
Wewe mshenzi tunajua unatafta viewers tu ktk Chanel yko, hvo unavyoongea inaonesha wazi umehifadhishwa maneo na Kuja kuporoja hapo, huna unachokijua ww mkatoliki, kafiri na huyo bachu wako,
Hahahaha, napua lako Kama kwato la punda!! Acha ujinga ww mtoto wa kikatoliki.
Nawewe ongea yako tuone Kama utaweza
Mche Allah
Toa hoja. Muislamu wa kweli hatukani. Huyu kijana yupo katika juhudi. Kama umeumia, pole vumilia hamna jinsi. Jifunze ujibu hoja, acha matusi hayasaidii kitu.
Huyu kijana ni mkatoliki??? Angalia ukatoliki usije ukakurudia....
Kwani umepitia marakiz gani wewe ?
Nenda tanga kasilimishe ndugu zako kwanza
Kwani ww sio ndugu yake
Kwani umepitia marakiz gani wewe ?
Markaz ya sunnah sio zile za uchawi kama huyo sheikh wenu 😂😂😂
@@nassoraliy3871 Markazi ya waja wema waliotangulia
Shenzi wewe unachumia quruan
Halafu unamtetea Yusuphu diwani kafiri huyo
@@shabanihugo8332kuwa makini na kukufurisha watu kama sikafir hilo neno haliend bure kwamujibu wa mtume s.a.w kwahiyo kuwamakin ila si hivo utachomeka