Pastor pray for my family,and my husband has mpango wa kando.she wanted to kill me they have take everything belongs to me.Please pray to me and my husband ataki kuniona na wanataka kuniua
Naomba maombi mungu anisaidi nipate mtaji nifungue 3:46 duka la dawa na vipodozia mungu anisaidie mwezi wa kumi niende chuo nifanikiwe kusomea utrafiki mungu anibariki 🙏
Hongera sana pasta kwa kazi nzuri,ila nashauri Mahojiano kama haya yaishie hapo kanisani yasirushwe hewani yanaweza kusababisha uvunjifu wa amani kwa jamii inayoishi na ndugu wa binti huyo na pia binti mwenyewe..!
Dada olive pole Sana mwachie Mungu wa Kuhani Musa atatenda Mungu akubariki Kuhani wakate kamba shetani ameshindwa Amen ✝️✝️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wabanweeeee🙏🙏🙏🙏
Lilian Achieng juma I am warching from Germany kuhani musa is Our last bus stop for Our problems ooh lord fight for us thank you Jesus 🙏🙏🙏✝️🕎
baba musa lichard mwacha komesha .uchawi
Mungu wa kohani musa nahomba unifunguwe kizazi na mimi ni zahe mapacha
Dah mdg Wang zawadi nilivyokuona mwiili umenisisimuka unakuja kwetu kupiga story kumbe mchawi mbona familia nyenu wakalimu sana
Pastor pray for my family,and my husband has mpango wa kando.she wanted to kill me they have take everything belongs to me.Please pray to me and my husband ataki kuniona na wanataka kuniua
Mtumishi wa mungu naomba uniombee niweze kufanikiwa katika maisha yangu nipo chuon ili niweze kusaidia wadogozangu walemavu
Naomba maombi mungu anisaidi nipate mtaji nifungue 3:46 duka la dawa na vipodozia mungu anisaidie mwezi wa kumi niende chuo nifanikiwe kusomea utrafiki mungu anibariki 🙏
My name is eneah mwaipopo mungu bariki maombi yangu🙏
Ameeeen baba
👍👍👍👍❤️❤️
Nifunguwe na Mimi
Uchawi hauna maana,Ni bora utoke
Fichua Kuhani
Barikiwa Sana kuhan musa
😂😂😂😂
Miaka 24, shetani ameshindwa Hallelujah Hallelujah Amen 🙏
Love you dady tupo tunakusikiliza japo tunao Kaa nao wanatuzuiya kuja ila naamini nitapokea ata mm
AMENE
Dada mchawi unaniuzi sana unavyojinyoga subiri moto WA kuani ukuwakie utajua dada Oliva acheni kuzoazoa wafanyakazi wengi ni wachawi
Duuu ukoo mzima mnakula nyama za watu kuna kitu kitabaki Dunia hii kweli. Mungu tusaidie
Amen Amen
Jmn dadaang mimi khaa hawa wasichan bwana mh sema unamoyo lkn mungu yupo
😀😀😀😀😀aeleze yote ngome ya yesu sio ya kawaida ukingia na uchawi wako Lazima yesu akuny'oe kwenye kiti na kukimbia mbele kabisa ukaelezee uchawi wako
Amen kubwa mwenyezi Mungu atutangulie
Hongera sana pasta kwa kazi nzuri,ila nashauri Mahojiano kama haya yaishie hapo kanisani yasirushwe hewani yanaweza kusababisha uvunjifu wa amani kwa jamii inayoishi na ndugu wa binti huyo na pia binti mwenyewe..!
Ndio yapo kwenye u-tube yaani sio vizuri japo wanafanya mabaya ila kama mtu amefanyiwa ubaya atamtafu kwa kweli mtihani mkubwa sana huu
Emen Baba najiunga na maombi kutoka Kenya
Itabidi nije hapa nna matatizo 😭😭😭
Baba yetu wewe ni kiboko ya wachawi ishi miaka mingi
Huyu mungu ana watu wengi jaman
Mungu tu kabisa