"Nimekuja kujisalimisha,nilitumwa kuja kumuuwa mtoto wa boss wangu kichawi" -Bint wa kazi za ndani.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 33

  • @magrethfestomassawe5708
    @magrethfestomassawe5708 2 года назад +5

    Dada olive pole Sana mwachie Mungu wa Kuhani Musa atatenda Mungu akubariki Kuhani wakate kamba shetani ameshindwa Amen ✝️✝️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @annamwakasege9620
    @annamwakasege9620 2 года назад +3

    Wabanweeeee🙏🙏🙏🙏

  • @jokepenis2016
    @jokepenis2016 2 года назад +5

    Lilian Achieng juma I am warching from Germany kuhani musa is Our last bus stop for Our problems ooh lord fight for us thank you Jesus 🙏🙏🙏✝️🕎

  • @GraceKara-o4t
    @GraceKara-o4t 2 месяца назад

    baba musa lichard mwacha komesha .uchawi

  • @djumazuena52
    @djumazuena52 2 года назад

    Mungu wa kohani musa nahomba unifunguwe kizazi na mimi ni zahe mapacha

  • @charlesmakoni135
    @charlesmakoni135 3 месяца назад

    Dah mdg Wang zawadi nilivyokuona mwiili umenisisimuka unakuja kwetu kupiga story kumbe mchawi mbona familia nyenu wakalimu sana

  • @GladysNyaboke-yc9yi
    @GladysNyaboke-yc9yi 2 месяца назад

    Pastor pray for my family,and my husband has mpango wa kando.she wanted to kill me they have take everything belongs to me.Please pray to me and my husband ataki kuniona na wanataka kuniua

  • @MeshackAndrea-uo3ko
    @MeshackAndrea-uo3ko 5 месяцев назад

    Mtumishi wa mungu naomba uniombee niweze kufanikiwa katika maisha yangu nipo chuon ili niweze kusaidia wadogozangu walemavu

  • @LauSeven-vj1tf
    @LauSeven-vj1tf 4 месяца назад

    Naomba maombi mungu anisaidi nipate mtaji nifungue 3:46 duka la dawa na vipodozia mungu anisaidie mwezi wa kumi niende chuo nifanikiwe kusomea utrafiki mungu anibariki 🙏

  • @LauSeven-vj1tf
    @LauSeven-vj1tf 4 месяца назад

    My name is eneah mwaipopo mungu bariki maombi yangu🙏

  • @niyiesther6571
    @niyiesther6571 8 месяцев назад

    Ameeeen baba

  • @princemozes9923
    @princemozes9923 2 месяца назад

    👍👍👍👍❤️❤️

  • @MkirandaMartha
    @MkirandaMartha 2 месяца назад

    Nifunguwe na Mimi

  • @estareliasmagesa8791
    @estareliasmagesa8791 2 года назад +2

    Uchawi hauna maana,Ni bora utoke

  • @JenniferMwaikuka
    @JenniferMwaikuka 24 дня назад

    Fichua Kuhani

  • @EvaJulius-dk3vu
    @EvaJulius-dk3vu Год назад

    Barikiwa Sana kuhan musa

  • @salmaedwin5641
    @salmaedwin5641 8 месяцев назад

    😂😂😂😂

  • @magrethfestomassawe5708
    @magrethfestomassawe5708 2 года назад +2

    Miaka 24, shetani ameshindwa Hallelujah Hallelujah Amen 🙏

  • @jacquelinekimaro8396
    @jacquelinekimaro8396 2 года назад +1

    Love you dady tupo tunakusikiliza japo tunao Kaa nao wanatuzuiya kuja ila naamini nitapokea ata mm

  • @Dogs-jg3mg
    @Dogs-jg3mg 3 месяца назад

    AMENE

  • @grancemashauli6661
    @grancemashauli6661 2 года назад

    Dada mchawi unaniuzi sana unavyojinyoga subiri moto WA kuani ukuwakie utajua dada Oliva acheni kuzoazoa wafanyakazi wengi ni wachawi

  • @samwa9496
    @samwa9496 Год назад

    Duuu ukoo mzima mnakula nyama za watu kuna kitu kitabaki Dunia hii kweli. Mungu tusaidie

  • @florencenjeka6630
    @florencenjeka6630 2 года назад +1

    Amen Amen

  • @upendotarimo8560
    @upendotarimo8560 2 года назад

    Jmn dadaang mimi khaa hawa wasichan bwana mh sema unamoyo lkn mungu yupo

  • @estareliasmagesa8791
    @estareliasmagesa8791 2 года назад +2

    😀😀😀😀😀aeleze yote ngome ya yesu sio ya kawaida ukingia na uchawi wako Lazima yesu akuny'oe kwenye kiti na kukimbia mbele kabisa ukaelezee uchawi wako

  • @suzyrevo8792
    @suzyrevo8792 Год назад

    Amen kubwa mwenyezi Mungu atutangulie

  • @brownmtofole
    @brownmtofole Год назад

    Hongera sana pasta kwa kazi nzuri,ila nashauri Mahojiano kama haya yaishie hapo kanisani yasirushwe hewani yanaweza kusababisha uvunjifu wa amani kwa jamii inayoishi na ndugu wa binti huyo na pia binti mwenyewe..!

    • @samwa9496
      @samwa9496 Год назад +1

      Ndio yapo kwenye u-tube yaani sio vizuri japo wanafanya mabaya ila kama mtu amefanyiwa ubaya atamtafu kwa kweli mtihani mkubwa sana huu

    • @susanboke5040
      @susanboke5040 Год назад

      Emen Baba najiunga na maombi kutoka Kenya

  • @awaahassan936
    @awaahassan936 2 года назад

    Itabidi nije hapa nna matatizo 😭😭😭

  • @stellajohn1638
    @stellajohn1638 2 года назад

    Baba yetu wewe ni kiboko ya wachawi ishi miaka mingi

  • @neemanwa7807
    @neemanwa7807 Год назад

    Huyu mungu ana watu wengi jaman

  • @nzeyimanaamina2829
    @nzeyimanaamina2829 Год назад

    Mungu tu kabisa